akiolojia kutoka kiyunani zamani na neno usemi ni somo linalohusu mabaki ya tamaduni za watu wa nyakati zilizopita wanaakiolojia wanatafuta vitu vilivyobaki kwa mfano kwa kuchimba ardhi na kutafuta mabaki ya majengo makaburi silaha vifaa vyombo na mifupa ya watu tofauti na somo la historia akiolojia haichunguzi sana maandishi hasa ili kupata ufafanuzi wa mambo ya kale historia inatazama zaidi habari zilizoandikwa lakini akiolojia inatazama vitu vilivyobaki kutoka zamani wanaakiolojia wanaweza kutumia maandishi na habari za historia wakiamua jinsi gani waendelee na utafiti wao kwa mfano wachimbe wapi lakini hutumia mitindo ya sayansi mbalimbali kuchunguza vitu vinavyopatikana kwa njia ya akiolojia kinyume chake matokeo ya akiolojia ni chanzo muhimu kwa wachunguzi wa historia mara nyingi matokeo ya akiolojia yanaweza kupinga au kuthibitisha habari zilizoandikwa au kufungua macho kwa kuzielewa tofauti mfano bora wa akiolojia ni utafiti wa mji wa pompei huko italia habari za pompei zimepatikana katika maandishi mbalimbali ya kiroma lakini mji uliharibika kabisa na kufunikwa na majivu ya volkeno vesuvio mwaka b k kuanzia mwaka wataalamu walianza kuchimba mahali pa mji mpotevu wakaupata hadi leo sehemu kubwa ya mji umefunuliwa tena chini ya majivu na udongo wa karne nyingi vitu vingi vimehifadhiwa vizuri ambavyo vingepotea kabisa visingefunikwa kwa mfano picha za kiroma zenye rangi nzuri kabisa kwenye kuta za nyumba hata mabaki ya chakula yamepatikana yakachunguzwa ujuzi wa akiolojia ni muhimu sana kwa ajili ya historia ya afrika tamaduni nyingi za afrika ziliendela bila maandishi hadi juzi au hata leo habari zetu kuhusu utamaduni wa zimbabwe kuu au kuhusu uenezi wa wabantu hutegemea akiolojia kwa kiasi kikubwa sana hivyo akiolojia huongeza ujuzi wetu kwa kufunua ushahidi wa nyakati za kale wakati huohuo kazi ya akiolojia inahatarisha ushahidi huo kwa sababu kazi yake huondoa hifadhi ya udongo katika karne za kwanza za akiolojia mabaki mengi ya tamaduni za kale yameharibika kutokana na kufunuliwa kwao kuepukana na tatizo hilo ni jukumu muhimu la akiolojia ya kisasa historia kutoka kigiriki historia pia tarehe kutoka kiarabu tarih kwa maana ya historia pia tena mapisi ni somo kuhusu maisha ya binadamu na utamaduni wao wakati uliopita mara nyingi neno hilo lina pia maana ya maarifa yoyote kuhusu wakati uliopita yawe au yasiwe maarifa ya watu kwa mfano historia ya ulimwengu historia ni hasa mfululizo wa habari za mambo yaliyotokea pamoja na sababu zake binadamu anaziandika ili kuelewa maisha yake yaani ametokea wapi amepata mafanikio gani na matatizo gani historia inatufundisha kuishi kumbukumbu za mambo ya zamani vita uhuru viongozi na mengineyo zinatuwezesha kuendelea vizuri zaidi wanahistoria wanapata maarifa yao kutoka maandishi ya zamani hasa kwa historia andishi kutoka fasihi simulizi na kutoka akiolojia hasa kwa historia ya awali historia ya afrika ni historia ya bara hilo lililo asili ya binadamu wote kwa ujumla historia ni kumbukumbu ya maisha ya mwanadamu duniani hasa ile tarehe iliyosajiliwa na kuhifadhiwa katika vitabu maandishi mbalimbali na simulizi au hekaya za mapokeo ingawa historia iliyobebwa katika simulizi na hekaya huchukuliwa na baadhi kuwa haina nguvu kwa kukosa ithbati ya maandishi bado hivi ni vyanzo muhimu vya historia mara nyingi historia iliyoko katika maandishi huwa imehifadhiwa katika simulizi na hekaya kwa muda mrefu kabla ya kuandikwa hapo kale bara la afrika lilishuhudia matukio mengi ya harakati za mwanadamu kuliko mabara mengine ya ulimwengu wataalamu wa athari wamegundua athari za zamadamu zinazorudi nyuma kufikia hadi miaka milioni minne na athari za ustaarabu wa wamisri wa kale huko misri na wafoinike huko tunis na sehemu nyinginezo za afrika ya kaskazini katika karne ya kk harakati za madola makubwa ya warumi na waarabu ziliweza kuonekana kabla ya karne ya bk na waarabu walianza kuingia afrika huko habasha ethiopia tangu karne ya bk na kutangaza dini ya uislamu na kuieneza katika maeneo mbalimbali ya afrika pamoja na kuanzisha biashara na ustaarabu na kuimarisha mamlaka zao katika sudan ya wakati huo tangu karne ya baada ya kikristo himaya za ghana mali na songhai zilikuwa zikijulikana kwa utajiri mkubwa na biashara stawi iliyokuwa ikifanyika wakati huo ya dhahabu na bidhaa nyinginezo mwisho wa karne ya bk himaya ya songhai ilikuwa na nguvu kuweza kuitia chini ya utawala wake mamlaka ya mali sehemu nyingine za kusini mwa afrika zilikuwa wakati huu hazijulikani sana na historia yake ilikuwa bado haijasajiliwa baina ya karne ya kk na karne ya bk watu waliokuwa wakizungumza lugha ya kibantu watokao sehemu za nigeria na cameroon ya leo ndio waliokuwa wameenea kwenye sehemu mbalimbali kusini mwa bara la afrika wakiwa wameanzisha vijiji mashamba na mamlaka katika sehemu za jamhuri ya kidemokrasia ya kongo ya leo za luba na mwememutapa lakini makundi ya wachungaji wa wanyama walianza kuhamia kusini katika karne za na na kukutana na wabantu ndipo walipoanzisha mamlaka zao za bunyoro buganda rwanda na ankole wazungu walianza kugundua bara la afrika katika karne ya wakati wareno walipokuja kwenye fukwe za bara la afrika kutafuta njia nyepesi na ya amani ya kufikia india na kuweza kupata nafasi ya kushikilia biashara ya dhahabu na pembe na watumwa ambayo ilikuwa ikiendelea wakati huo katika bara la afrika katika mwaka bartolomeo dias alizunguka rasi ya tumaini jema kwa kiingereza cape of good hope na katika mwaka vasco da gama alifika ufukwe wa afrika mashariki na kuendelea mpaka india baada ya hapo ureno ulianzisha vituo vya biashara afrika ukifuatiwa na waholanzi waingereza wafaransa na wazungu wengineo na biashara ya watumwa iliyosimamiwa na waarabu na baadhi ya waafrika wenyewe ikashika kani na kuwa na kasi na nguvu wakati huohuo waturuki walishikilia sehemu za kaskazini ya afrika na waomani wakashikilia ufukwe wa afrika mashariki kati ya miaka na wazungu waligawana bara la afrika na nchi zote zikawa chini ya utawala wa wazungu isipokuwa liberia na ethiopia wafaransa wakachukuwa afrika magharibi na kaskazini na kwa hivyo nchi za afrika magharibi dahomey sasa benin guinea mali cote d ivoire mauritania niger senegal na volta ya juu sasa burkina faso zilikuwa chini ya utawala wake hali kadhalika algeria tunisia na morocco zilitawaliwa na wao aidha wafaransa walitawala togoland somaliland madagascar comoro na reunion waingereza nao wakatawala afrika mashariki na kusini na kuwa sehemu ya sudan na somalia uganda kenya tanzania chini ya jina la tanganyika zanzibar nyasaland rhodesia bechuanaland basutoland na swaziland chini ya utawala wao na baada ya kushinda katika vita huko afrika ya kusini walitawala transvaal orange free state cape colony na natal na huko afrika ya magharibi walitawala gambia sierra leone the gold coast na nigeria wareno wakachukuwa sehemu ya guinea angola na msumbiji na sehemu na visiwa fulanifulani huko afrika ya magharibi wabelgiji wakachukua kongo na rwanda urundi na wahispania wakachukua sehemu ya guinea spanish sahara sasa sahara ya magharibi ifni na sehemu nyingine za morocco wajerumani nao wakachukua togoland cameroon na baadhi ya nchi katika afrika ya magharibi na afrika ya mashariki lakini baada ya vita vya kwanza vya dunia wakanyang anywa waitalia wakachukua libya eritrea na sehemu kubwa ya somalia nchi ya kwanza kujitawala upya katika afrika ni nchi za afrika ya kusini zilizojiunga na kujiendesha wao wenyewe katika mwaka misri katika mwaka wa walikuwa wanajiendesha wenyewe na tangier katika mwaka wa madola mengi ya afrika yalianza kupigania uhuru katika miaka ya baina ya na na wazungu wakasalimu amri na kuanza kutoa uhuru libya wakajinyakulia uhuru katika mwaka wa eritrea katika mwaka ikiwa imejiunga na ethiopia morocco katika mwaka wa na wakarudishiwa tangier katika mwaka huu wa sudan na tunisia vile vile walipata uhuru wao na ghana katika mwaka wa guinea katika mwaka wa na vile vile morocco wakarudishiwa spanish morocco katika mwaka wa ufaransa ukatoa uhuru kwa cameroon jamhuri ya afrika ya kati chad congo brazzaville cote d ivoire dahomey benin gabon madagascar mali mauritania niger senegal na volta ya juu burkina faso vile vile katika mwaka huohuo wa congo kinshasa nigeria somalia na togo zikapata uhuru na katika mwaka wa sierra leone na tanganyika zikapata uhuru na afrika ya kusini ikawa jamhuri katika mwaka wa algeria burundi rwanda na uganda zikawa huru na zikafuatia zanzibar gambia na kenya na katika mwaka wa malawi nyasaland na zambia rhodesia ya kaskazini zikapata uhuru baada ya miaka miwili katika mwaka wa botswana bechuanaland na lesotho basutoland zikajinyakulia uhuru mauritius na swaziland katika mwaka wa na vile vile guinea ya ikweta hispania ikairudisha ifni katika mwaka wa katika mamlaka ya morocco aidha katika mwaka wa guinea ya kireno guinea bissau ikapata uhuru wake na katika mwaka wa angola cape verde mozambique sao tome na principe zikapata uhuru hispania vilevile ikaitoa sahara ya magharibi kwa morocco na mauritania katika mwaka wa lakini wananchi wakakataa kuwa chini ya nchi mbili hizi kukazuka vita mauritania ukaitoa sehemu yake na kuipa morocco katika mwaka wa tatizo ambalo mpaka sasa linaendelea baina ya morocco na sahara ya magharibi na umoja wa mataifa unajaribu kutatua tatizo hili waingereza wakawapa uhuru shelisheli katika mwaka wa na ufaransa ukatoa uhuru kwa visiwa vya ngazija comoro katika mwaka wa jibuti nchi ya afars na issas iliyokuwa ikitawaliwa na wafaransa ikarudi kwa wenyewe rhodesia zimbabwe ikapata uhuru halisi mwaka wa na south west africa iliyokuwa ikitawaliwa na afrika ya kusini ikapata uhuru katika mwaka na kuitwa namibia uingereza umebaki na visiwa vya saint helena na ascension na ufaransa unaendelea kutawala mayotte na reunion hispania vilevile unaendelea kutawala visiwa vya canarias pamoja na ceuta na melilla na visiwa viwili vingine vilivyoko karibu na morocco kiesperanto ni lugha ya kupangwa inayozungumzwa zaidi duniani kati ya lugha hizi ilipangwa na ludwik lejzer zamenhof myahudi aliyetoka mjini biaystok nchini urusi siku hizi ni sehemu ya nchi ya poland alitoa kitabu cha kwanza cha lugha hii mwaka baada ya kuitengeneza kwa miaka karibu kumi nia yake ilikuwa kutengeneza lugha rahisi ili iwe lugha saidizi ya kimataifa lugha ya pili kwa kila mtu duniani waesperanto wengine bado wanataka hiyo lakini wengine wanapenda kuitumia tu bila nia ya kuieneza duniani kote waesperanto wanakitumia kiesperanto kwa ajili ya kukutana na wageni na kujifunza kuhusu nchi na tamaduni nyingine siku hizi maelfu ya watu wanaitumia mara kwa mara ili kuwasiliana na watu popote duniani chunguzi za kitaalamu zimeonyesha kwamba kiesperanto kinaweza kujifunzwa rahisi zaidi sana kuliko lugha asilia na pia kwamba kujifunza kiesperanto kwanza kunarahisisha kujifunza kwa lugha nyingine kwa kuwa lugha ya kupangwa kiesperanto hakiko katika familia yoyote a lugha maneno yake yanatoka hasa lugha za kirumi kama kifaransa na kilatini lakini pia lugha za kigermaniki kama kiingereza na kijerumani na lugha za kislavoni kama kirusi na kipolandi maneno mengi yanaumbwa kwa kuunganisha mzizi wa neno moja na viambishi au kwa kuunganisha mizizi ya maneno mbalimbali kwa mfano kuna kiambishi awali mal inayoonyesha kinyume bona ni zuri na malbona ni baya kwa hiyo inawezekana kusema mambo mengi baada ya kujifunza maneno machache tu katika kiesperanto kuna harufi na kuna sauti kila harufi inaweza kutamka kwa sauti moja tu na kila sauti inaandikwa kwa serufi moja tu harufi za kiesperanto ni zifuatazo irabu zote a e i o u zinatamka kama kwa kiswahili kwa upande wa konsonanti b d f g h k l m n p r s t v na z zinatamka kama kwa kiswahili c inatamka kama ts inatamka kama ch matamshi ya yanafanana na matamshi ya j kwa kiswahili ni sawasawa na matamshi ya j katika neno la kiswahili njia j ya kiesperanto inatamka kama y ya kiswahili inatamka kama j ya kifaransa inafanana na sh ya kiswahili lakini inatamka na sauti kama z inatamka kama sh inatamka kama w inatumika baada ya a na e tu ingawa zamenhof wenyewe na waesperanto wengine waiunganisha na irabu yoyote k m sahila kiswahili ato wati tena jina la herufi yenyewe ni o tofauti kati ya au na a ni kwamba au inatamka kwa silabi mbili na a kwa silabi moja nomino majina zote zinahitimu kwa kiambishi tawali o kwa mfano arbo mti wingi wa nomino unahitimu kwa oj arboj miti vivumishi vinahitimu kwa kiambishi tawali a kwa mfano alta refu vivumishi kwa kawaida vinawekwa kabla ya nomino inayohusu lakini pia inaweza kuwa baada yake wingi pia unaonyeshwa katika vivumishi kwa harufi j altaj arboj miti mirefu vitenzi vina viambishi tamati mbalimbali lugha ya kuundwa au lugha unde ni lugha ambayo misamiati na sarufi zake zimetungwa na watu badala ya kukua kama sehemu ya utamaduni wa umma fulani kwa kawaida zinaundwa kwa ajili ya kuwasiliana kati ya watu sawasawa na lugha asilia nyingi zinatengenezwa ili kuwa lugha saidizi za kimataifa lakini nyingine zinaundwa kwa ajili ya usiri au majaribio ya isimu au bila sababu fulani lugha ya kuundwa inayozungumzwa zaidi ni kiesperanto mara chache lugha ya kuundwa maana yake ni lugha za kompyuta au za kuandaa programu angalia lugha asilia kwa sababu ya utata huo watu wengi hasa waesperanto hawapendi kutumia neno lugha ya kuundwa na badala yake wanasema lugha ya kupangwa msemo lugha ya kupangwa unatumika kwa lugha zile tu ambazo ziliundwa kwa ajili ya utumiaji wa kawaida baina ya watu kama kiesperanto lugha kutoka neno la kiarabu ni utaratibu wa kuwasiliana kati ya binadamu wengine wanadai hata kati ya viumbe wenye akili somo la lugha linaitwa maarifa ya lugha au isimu mwaka wa ulikuwa mwaka wa lugha wa kimataifa lugha ni mfumo wa sauti za nasibu zenye maana na zilizokubaliwa na jamii ya watu fulani ili zitumike katika kuleta mawasiliano lugha ni mfumo wa sauti za nasibu kwa sababu zilitokea kama bahati tu kwa binadamu wanyama hawatumii lugha kama chombo cha mawasiliano kwa kuwa lugha ni sauti zenye maana na kukubaliwa na jamii hakuna lugha bora zaidi duniani kwa kuwa lugha zote zina ubora mradi zikidhi matakwa ya jamii husika mbali na maana ya kawaida kuna pia lugha ya ishara inayotumiwa na watu bubu katika fani ya programu za kompyuta ni kawaida kuongea juu ya lugha ya kompyuta lugha huwa na tabia zifuatazo kimsingi lugha ni moja uwasilishwaji wake ndio huigawa katika tanzu aina kuu mbili hii ni lugha ambayo huwasilishwa na watu kwa njia ya mazungumzo ya mdomo na hurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine kwa njia ya mazungumzo lugha ya mazungumzo ni kongwe hai na halisi zaidi ya mzungumzaji na ina maana nyingi kwani mzungumzaji na msikilizaji huwa ana kwa ana katika mazingira mamoja stadi za lugha ya mazungumzo ni kuzungumza na kusikiliza hii ni lugha ambayo huwasilishwa kwa njia ya maandishi hii ni kiwakilishi cha lugha ya mazungumzo katika mfumo wa maandishi lugha ya maandishi ni changa kwani imeanza milenia za hivi karibuni baada ya kuvumbuliwa kwa maandishi stadi za lugha ya maandishi ni kuandika na kusoma kwa kawaida lugha ni sehemu ya utamaduni wa umma fulani lugha ya aina hii inaitwa lugha asilia lakini pia kuna lugha za kuundwa lugha ina nyanja kuu mbili nazo ni tangu siku za kwanza za binadamu lugha zimekuwa zikichipuka kukua kutangaa na kufa kama kiumbe yeyote mwingine kwa hivyo lugha zilizopo leo ulimwenguni huenda baada ya karne nyingi kupita zikatoweka na kuzuka nyinginezo leo ulimwenguni mathalan kuna lugha karibu zikiwa katika bara la kaskazini na la kusini la amerika zikiwa kwenye bara la afrika katika bara la ulaya katika bara la asia na katika bara la oshania australia na nchi jirani nayo lugha asilia ni lugha ambayo ilikua kama sehemu ya utamaduni wa umma fulani ambao watu wake wanaiongea kama lugha mama ni kinyume cha lugha ya kuundwa lughaundwe mara nyingine lugha asilia maana yake ni lugha yoyote ambayo inaweza kuzungumzwa na watu huku lugha za kompyuta na za kuandaa programu zinaitwa lugha za kuundwa mara nyingine tena lugha asilia ni lugha ambayo mtu huzaliwa nayo au huikuta baada ya kuzaliwa hata hivyo lugha asilia huwa chimbuko la watu fulani katika jamii na hutofautisha jamii moja na nyingine mara nyingi ni sehemu ndogo tu ya jamii ndiyo huwa na lugha asilia yaani kila ukoo au kabila huwa na lugha yake ya asili katika mabara lile lenye nchi nyingi zaidi ni afrika likiwa na nchi au madola likifuatiwa na bara la ulaya likiwa na madola kisha asia likiwa na madola halafu amerika ya kaskazini pamoja na amerika ya kati likiwa na madola na baada yake ni australia na pasifiki oshania likiwa na madola na mwishowe ni amerika ya kusini likiwa na madola kwa hivyo kwa ujumla kuna madola ulimwenguni as asia af afrika na amerika ya kaskazini sa amerika ya kusini a antaktika eu ulaya na au australia na nchi za pasifiki orodha ya nchi kufuatana na wakazi sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa mara nyingi galileo galilei anahesabiwa kuwa baba wa sayansi ya kisasa kuna sayansi mbalimbali ambazo huainishwa katika makundi yafuatayo sayansi asili k m sayansi umbile k m sayansi jamii k m sayansi tumizi k m pia kuna sayansi zinazohusu mada mbalimbali msingi wa sayansi ni vitendo vitendo vya kisayansi vina njia zake zinazotumika kuthibitisha kweli za kisayansi namna ya kueleza jambo kisayansi huchimbuka toka nadharia ama udhanifu halafu ili kweli ikubalike hutoka kwenye udhanifu na kwa kupitia majaribio rasmi hutengeneza dhana kamili ama nadharia kama ni shauri la kueleza mwenendo na tabia kwa hivyo asili ya njia ya kisayansi ni mtazamo unaokwenda sambamba na vitendo vinavyochunguzwa kutoka mitazamo wanasayansi wanaunda nadharia baadaye wanaangalia kama bashiri za nadharia ni kweli isipokuwa kweli watakanusha nadharia hiyo ikionekana kwamba mara nyingi sana nadharia ilibashiri ukweli na haijakosea itakuwa nadharia inayokubalika mara chache maarifa yatokanayo na sayansi yanaweza kupinga hali ya kawaida kwa mfano nadharia ya atomu inasema kwamba katika jiwe maada yabisi kuna uvungu dutu tupu na kwamba atomi zinacheza katika nafasi ndogo katika jiwe ukifananisha na maada kimiminika lakini kwa nadharia hii tunaweza kueleza mambo mengi hata kwa nini tunaweza kusema kwamba jiwe halina uvungu sayansi iliaanza kama udadisi wa mtu mmojammoja lakini kadiri maarifa yanavyopanuka inakuwa vigumu kwa mtu mmoja kufanya mchango wa kujitenga hivyo jumuiya zimebeba kusudi ambalo hapo mwanzo lilionekana kama ni shauku la mtu mmojammoja kama awali hii hufanya mkururo wa ugunduzi ama uvumbuzi kuwa sehemu ya historia ya sayansi majina na sifa kutajwa sambamba na shauri la aliyepelekea sayansi na jamii huenda pamoja katika kuleta mabadiliko kwa kuwa mabadiliko huletwa na watu wenyewe katika dunia hii ya leo maendeleo ya watu hujidhihirisha sana kutokana na jinsi jamii husika ilivyopiga teke katika uwanja huu ingawaje haibainishwi wazi miongoni mwa sura ya mambo ya kidunia sayansi kwa kweli ni nguvu inayoweza kubadili maisha ya watu kwa wema lakini katika kilele chake cha mafanikio vyombo vyenye nguvu za mamlaka na fedha hushikilia baadhi ya matunda yake katika hali ya kibiashara na kiutawala zaidi wapo watu pia ambao hutumia sayansi kujaribu kuboresha maisha ya watu wote kwa ujumla hivyo sayansi haibakii tu mikononi mwa wenye kushika dau kimifumo bali changamoto ya wote wenye kutaka kuleta maendeleo ya ujumla hivyo roho ya uchunguzi ndiyo iliyoleta kuzaliwa kukua na kutapakaa kwa sayansi ni ishara ya idara ya sheria haki inaonyeshwa kama mungu jike ambaye anabeba ishara tatu za utawala wa kisheria upanga unaoashiria nguvu ya mahakama mizani zinazoashiria upimaji wa madai yanayoshindana na kitambaa kinachofunika macho kuashiria kutofanya upendeleo sheria kutoka neno la kiarabu kwa kiingereza law ni mfumo wa kanuni ambazo kwa kawaida hutekelezwa kupitia seti ya taasisi maalumu inaunda siasa uchumi na jamii kwa njia mbalimbali na huratibu mahusiano baina ya watu sheria ya mkataba huongoza kila kitu kuanzia kununua tiketi ya basi hadi biashara katika masoko sheria ya mali inafafanua haki na wajibu unaohusiana na uhamisho wa jina la mali ya binafsi na mali ya kweli sheria ya hifadhi inatumika kwa mali yanayotumika kwa uwekezaji na usalama wa kifedha huku sheria ya kukiuka wajibu inaruhusu madai ya fidia ikiwa haki au mali za mtu zinafanyiwa madhara ikiwa madhara ni kinyume cha sheria sheria ya jinai inatoa mbinu zinazoweza kutumiwa na taifa ili kumshtaki mhusika sheria ya kikatiba inatoa utaratibu wa utungaji wa sheria ulinzi wa haki za kibinadamu na uchaguzi wa wawakilishi wa kisiasa sheria ya utawala inatumika kuangalia upya maamuzi ya vyombo vya serikali huku sheria ya kimataifa inatawala shughuli baina ya nchi huru zinazohusu mambo kama vile biashara vikwazo vya kimazingira na hatua za kijeshi akiandika mnamo k k mwanafalsafa wa ugiriki ya kale aristotle alisema utawala wa sheria ni bora kuliko utawala wa mtu yeyote binafsi mifumo ya sheria inaelezea haki na majukumu kwa njia mbalimbali tofauti ya jumla inaweza kufanywa kati ya maeneo yanayotawaliwa na mfumo wa sheria ya kiraia ambayo huandika sheria zao na yale yanayofuata sheria za kawaida ambapo sheria haijaundwa kwa utaratibu maalumu katika baadhi ya nchi sheria ya dini bado hutumika kama sheria maalum sheria ni chanzo kikuu cha uchunguzi wa kitaalam wa historia ya sheria falsafa ya sheria uchambuzi wa kiuchumi wa sheria au somo la kijamii kuhusu sheria sheria pia huibua masuala muhimu na magumu kuhusu usawa uadilifu na haki katika usawa wake wa ajabu alisema mwandishi anatole france mnamo mwaka sheria inakataza matajiri na mafukura kulala chini ya madaraja kuombaomba barabarani na kuiba mikate katika demokrasia ya kawaida taasisi za msingi za kutafsiri na kuunda sheria ni matawi matatu makuu ya utawala ambayo ni mahakama isiyo na upendeleo bunge na serikali yenye kuwajibika ili kutekeleza na kutumia nguvu za kufanya sheria ifuatwe na kutoa huduma kwa umma urasimu wa serikali jeshi na polisi ni muhimu vyombo hivyo vyote vya dola viliundwa na kutawaliwa na sheria taaluma ya kisheria iliyo huru na jamii yenye bidii zinajulisha na kusaidia maendeleo mifumo yote ya kisheria inahusu na masuala ya msingi lakini kila taifa inaainisha na kubainisha masomo yake ya kisheria kwa njia mbalimbali tofauti ya kawaida ni kuwa sheria ya umma maneno yanayohusika kwa karibu na taifa na kuhusisha sheria ya kikatiba kitawala na ya jinai na sheria ya kibinafsi inayohusisha mkataba sheria ya kukiuka wajibu na mali katikamifumo ya sheria ya kirai mkataba na kukiuka wajibu zinapatikana chini ya sheria ya majukumu huku sheria ya hifadhi inapatikana chini ya serkali za halali au mikataba ya kimataifa sheria ya kimataifa kikatiba kitawala jinai mkataba kukiuka wajibu na mali na hifadhi zinatambulika kama masomo msingi ya jadi ingawa kuna masomo zaidi ambayo yanaweza kuwa na umuhimu mkubwa zaidi wa kiutendaji sheria ya kimataifa inaweza kuashiria mambo matatu sheria ya umma ya kimataifa sheria ya kibinafsi ya kimataifa au mgongano wa sheria na sheria ya mashirika makubwa ya kimataifa sheria ya kikatiba na kiutawala zinasimamia mambo ya nchi sheria ya kikatiba inahusisha uhusiano baina ya serikali bunge na mahakama na haki za kibinadamu au uhuru wa kiraia wa watu binafsi dhidi ya nchi maeneo mengi ya kisheria kama vile marekani na ufaransa zina katiba moja iliyoandikwa kwa makini iliyo na muswada wa haki katiba chache kama vile uingereza hazina hati kama hiyo katiba kwa ufupi ni zile sheria ambazo zinajumuisha mwili wa kisiasa kutoka kanuni sheria za uamuzi na mkataba kesi kwa jina entick dhidi ya carrington ilionyesha wazi kanuni ya kikatiba inayotokana na sheria ya kawaifa nyumba ya bwana entick ilifanyiwa upekekuzi na afisa mmoja wa polisi aliyeitwa carrington wakati bwana entick alipolalamika mbele ya mahakama afisa carrington alidokeza kwamba kibali kutoka waziri wa serikali ali wa halifa kilikuwa na mamlaka halali hata hivyo hakukuwa na sheria iliyoandikwa au mamlaka ya kimahakama ambayo yalitoa uwezo huo hakimu mkuu bwana camden alisema mwisho mkubwa ambao ulifanya watu kuingia katika jamii ilikuwa kupata mali haki hiyo imetunzwa na ni takatifu na haiwezi kuondolewa wakati wowote ambapo haijaondolewa au kufupishwa na sheria fulani ya umma kwa manufaa ya wote hakuna sababau inayoweza kupatikana au kutolewa kimya cha vitabu ni mamlaka dhidi ya mshtakiwa na aliyeathiriwa lazima atendewe haki kanuni ya kimsingi ya kikatiba ilitokana na john locke inadokeza ya kwamba mtu binafsi anaweza kufanya isipokuwa kile ambacho kimekataliwa kisheria sheria ya utawala ndiyo mbinu msingi ya kufanya mashirika ya umma yawajibike watu wanaweza kutumia mapitio ya kimahakama kwa matendo au uamuzi uliofanywa na za halmashauri za mitaa huduma za umma au wizara za serikali kuhakikisha kuwa zinazingatia sheria mahakama ya kwanza ya maalum ya kiutawala yalikuwa mahakama ya conseil d tat yaliyoundwa mnamo mwaka wa wakati napoleon alipochukua mamlaka nchini ufaransa sheria ya jinai inayojulikana pia kama sheria ya kuadhibu inahusisha makosa na adhabu kwa hivyo inapima ufafanuzi wa adhabu ya makosa yaliyopatikana kuwa na madhara yanaonekana kuwa na uwezo wa kusababisha uharibifu lakini kwa undani haifanyi uamuzi wa kimaadili kumhusu mkosaji wala kuwekea jamii vikwazo ambavyo vinakataza watu kimwili wasifanye makoa mwanzoni investigating apprehending charging and trying suspected offenders is regulated by the law of criminal procedure kesi ya kidhana ya uhalifu inatokana na ushahidi kuzidi shaka ya kuridhisha kuwa mtu ana hatia ya mambo mawili kwanza mshtakiwa lazima awe amefanya kitendo ambacho kinatazamwa na jamii kuwa hatia au actus reus kitendo cha hatia pili lazima mshtakiwa awe na dhamira ya kufanya uharibifu ya kufanya kitendoo fulani cha jinai au mens rea akili ya hatia hata hivyo kwa kile kinachojulikana kama hatia za dhima kali actus reus haitoshi mifumo ya jinai ya utamaduni wa sheria ya raia zinatofautisha kati ya nia katika dhana pana dolus directus na dolus eventualis na uzembe uzembe hauna jukumu la jinai isipokuwa ambapo hatia fulani una adhabu yake maalum mifano ya uhalifu ni mauaji kushambulia udanganyifu na wizi katika mifano maalum utetezi unaweza kutumika kwa vitendo maalum kama zile kuuwa ili utetezi wa kibinafasi au katika nyakati maalum kujitetea kuwa wazimu mfano mwingine ni katika kesi ya karne ya ya jamhuri dhidi ya dudley na stephens iliyopima utetezi wa kimahitaji meli ya mignonette iliyokuwa ikisafiri kutoka mji wa southampton kuelekea mji wa sydney ilizama wafanyikazi watatu wa meli hiyo na richard parker kijana aliyekuwa na umri wa miaka walibaki katika meli iliyoundwa na vijiti walikuwa na njaa na kijana yule alikuwa karibu kufa kwa sababu ya kuwa na njaa iliyokithiri wafanyikazi hao walimuuwa kijana yule na kumla wafanyikazi hao waliokolewa lakini wakafikishwa mahakamani huku wakiwa na hatia ya mauaji walijitetea kwa kusema kwamba ilihitajika kwa lazima kwa wao kumuuwa kijana yule ili kuyaokoa maisha yao bwana coleridge akieleza kukataa kukubwa aliamua kuhifadhi maisha ya kibinafsi ni kwa kuzungumza kijumla wajibu lakini inaweza kuwa jukumu kuu kuyatoa maisha hayo kama kafara wanaume hao walihukumiwa nyonga lakini maoni ya umma uliunga mkono haki ya wafanyikazi wale wa meli kuyaokoa maisha yao mwishowe ufalme ulipunguza hukumu zao hadi miezi sita gerezani makosa ya jinai yanatambulika si tu kama makosa dhidi ya waathirika binafsi lakini jamii pia taifa kawaida likisaidiwa na polisi huongoza mashitaka basi hiyo ndiyo sababu mbona katika nchi zenye sheria ya kawaida kesi hutajwa kama watu dhidi ya au jamhuri kwa re au regina dhidi ya pia jopo la waamuzi ambao hutokana na raia wa kawaida hutumika kuamua hatia ya washitakiwa kutokna na pointi zinazoweza kubainika ukweli jopo la waamuzi haliwezi kubadilisha kanuni za kisheria baadhi ya nchi zilizostawi bado hutumia adhabu ya kifo kwa matendo ya jinai lakini adhabu ya kawaida ya uhalifu itakuwa ni kufungwa gereza faini usimamizi wa taifa kama vile probesheni au huduma ya kijamii sheria ya kisasa ya jinai imeathiriwa vilivyo na sayansi ya jamii hasa kuhusu kuhukumu utafiti wa kisheria kuunda sheria na kuwasaidia wahalifu kurekesha mwenedo wao katika ngazi ya kimataifa nchi wanachama wa mahakama ya kimataifa ya jinai ambayo ilianzishwa kuwahukumu watu kwa hatia dhidi ya ubinadamu sheria ya mkataba inahusu ahadi zinazowezwa kutendwa na inaweza kuandikwa kwa ufupi katika maneno ya kilatinipacta sunt servanda ahadi lazima zitimizwe katika maeneo ya kimamlaka ya sheria ya kawaida vipengele vitatu muhimu kuhusu utengenezaji wa mkataba vinahitajika kutoa na kukubali kutilia maanani na nia ya kutengeneza uhusiano wa kisheria katika kesi ya carlill shisi ya kampuni ya carbolic smoke ball kampuni ya matibabu ilitangaza kuwa dawa yake mpya ya ajabu smokeball ingewatibu watu kutokana na mafua na ikiwa haingefaulu kuwatibu wanunuzi wangepata watu wengi waliwasilisha kesi mahakamani ili wapate zao wakati dawa hiyo iliposhindwa kuwatibu ikiogopa kufilisika kampuni ya carbolic ilijitetea kwa kusema kuwa tangazo lile lilikuwa mzaha tu na kwa hivyo halikuwa toleo lenye nguvu za kisheria lilikuwa karibisho mchezo tu lakini mahakama ya rufaa yaliamua kuwa kwa mtu mwenye kufikiria kwa kawaida kampuni ya carbolic ilikuwa imefanya toleo watu walikuwa wametoa kusudi la kununua bidhaa ile kwa kupitia shida bayana ya kutumia bidhaa yenye hitilafu soma tangazo vile utakavyo na ulibadilishe tangazo hilo vile utakavyo alisema hakimu lindley haa kuna ahadi maalum ilitajwa katika lugha isyokuwa na utata wowote sheria ya ukiukaji wa wajibu ambayo wakati mwingine huitwa kosa la jinai ni makosa ya raia kuwa na kosa la ukiukaji wa wajibu mtu lazima awe amekiuka wajibu aliukwa anafaa kumtendea mty mwingine au kukiuka haki fulani ya awali ya kisheria mfano unaweza kuwa kumgonga mtu kimakosa na mpira wa mchezo wa kriketi chini ya sheria ya uzembe ambayo ndiyo aina ya ukiukaji wa wajibu maarufu zaidi mtu aliyepatwa na madhara anaweza kuomba fidia kwa ya majeraha yake kutoka kwa mtu mwenye uwajibikaji kanuni za uzembe zinaonyeshwa na kesi ya donoghue dhidi ya stevenson rafiki mmoja wa bi donoghue aliagiza chupa isiyopenyeka nuru la pombe ya tangawizi iliyokusudiwa kutumika na bi donoghue katika mkahawa katika eneo la paisley baada ya kunya kunya nusu ya bia ile bi donoghue alimimina iliyosalia katika bilauri mabaki yaliyooza ya konokono yalielea juu ya pombe alidai kuwa alipigwa na bumbuwazi na kupata ugonjwa wa kuchomeka ndani ya matumbo na ilimbidi kumpeleka mtengenezaji pombe kwa kuruhusu kinywaji kuchafuka ovyo nyumba ya mabwana iliamua kwamba mtengezaji pombe aliwajibika kwa ugonjwa wa bi donoghue bwana atkin alikuwa na mtazamo maalum wa kimaadili na akasema dhima ya upuuzaji bila shaka ina msingi wake katika mawazo ya kijumla ya umma kuhusu makosa ya kimaadili amabyo mkosaji lazima alipe kanuni ya kuwa unafaa kumpenda adui yako kisheria inakuwa haufai kumjeruhi jirani yako na swali la wakili nani ndiye jirani yangu linapokea jibu lenye vikwazo lazima uwe na uwangalifu wa kuepuka na vitendo au visa ambapo hautendi lolote inapofaa ambavyo unaweza kutazamia kuwa vikamjeruhi jirani yako huu ulikuwa msingi wa kanuni nne za upuuzaji bwana stevenson alimdai bi donoghue wajibu wa kujali wa kuuza vinywaji salama yeye alivunja wajibu wake wa kujali madhara hayangefanyika isipokuwa kwa kuvunja kwake kwa wajibu wa kujali na tendo lake lilikuwa sababau ya karibu au haikuwa tokeo la mbali la madhara yaliyompata mtu fulani mfano mwingine wa ukikaji wa wajibu unaweza kuwa wa jirani ambaye anapiga kelele nyingi sana na na mashine katika nyumbani kwake chini ya dai la kero kelele hiyo inaweza kukomeshwa ukiukaji wa wajibu pia inaweza kuhusisha vitendo vya kimakusudi kama vile ushambulizi vita au kuvuka na kuingia katka maeneo yaliyopigwa marufuku sheria ya ukiukaji wa wajibu inayofahamika vyema ni ile ya kumharibia mtu jina ambayo inafanyika kwa mfano wakati gazeti linapochapisha madai yasiyokuwa na msingi ambayo yanaharibu sifa ya mwanasiasa fulani ukiukaji wa wajibu ambao ni mbaya zaidi ni zile wa kiuchumi ambao huwa msingi wa sheria ya ajira katika baadhi ya nchi kwa kufanya vyama vya kibiashara kuwa na dhima kwa sababu ya migomo wakati ambapo amri ya kisheria haipatiani kinga sheria ya mali inatawala vitu vya thamani ambavyo watu huvitambua kama vyao mali ya kweli wakati mwingine huitwa mali isiyohamishika inahusu umiliki wa ardhi na vitu vilivyojikita katika ardhi hiyo mali ya kibinafsi inaashiria mambo mengineyo vyombo vinavyowezwa kusongeshwa kama vile tarakilishi magari mapambo na mikate au turathi haki kama vile akiba na hisa haki ya in rem ni haki ya kipande maalum cha mali ikitofautishwa na haki in personam ambayo inaruhusu fidia kwa hasara lakini si kwa kurudishiwa kitu fulani sheria ya ardhi inajumuisha msingi wa aina nyingi za sheria za mali na ndiyo ngumu zaidi inahusisha mogeji mikataba ya kukodisha leseni maagano ruhusa na mifumo ya kisheria kwa usajili wa ardhi kanuni kuhusu matumizi ya ardhi ya kibinafsi chini ya haki miliki sheria ya kampuni hifadhi na sheria ya biashara mfano wa kesi msingi ya ya sheria nyingii za mali ni armory v delamirie kijana wa kufagia chimni alipata pambo lenye mawe ya thamani alichukua pambo lile kwa muundaji wa vifaa vya dhahabu ili thamani yake ikadiriwe mwanafunzi wa muundaji wa vifaa vya dhahabu aliangalia pambo lile akaiba mawe yale ya thamani ma kumuambia kijana yule kuwa thamani yake ilkuwa nusu peni tatu na kuwa angeinunua kijana yule alimwambia kuwa angepenga arudishiwe pambo lile kwa hivyo mwanafunzi wa muundaji vifaa alimrudishia pambo lakini bila mawe yale ya thamani kijana yule alimpeleka mtengenezaji wa vifaa vya dhahabu kotini kwa jaribio la mwanafunzi wake kumdanganya bwana hakimu mkuu pratt aliamua kuwa ingawa kijana hangesemekana kuwa mumiliki wa pambo lile angefaa kutazamwa kama mpataji aliyefaa mpataji muwekaji hadi mumiliki wa kiasili anapopatikana kwa kweli mwanafunzi na kijana yule wote walikuwa na haki ya umiliki wa pambo lile dhana ya kiufundi inayomaanisha kuwa kitu fulani kingeweza kumilikiwa na mtu fulani lakini nia ya kijana yule ya kumiliki ilitazamiwa kuwa bora zaidi kwa sababu ingeweza kudhihirishwa kuwa ya kwanza katika wakati umiliki unaweza kuwa sehemu tisa kwa kumi ya sheria lakini si yote kesi hii hutumika kudhihirisha mtazamo wa mali katika maeneo ya kisheria ya kawaida kuwa mtu anayeweza kuonyesha dai bora zaidi la kipande cha mali dhidi ya chama kingine ndiye mumiliki kwa kulinganisha mbinu ya kiklasiki ya sheria ya raia kuhusu mali iliendelezwa na friedrich carl von savigny ni kuwa ni haki nzuri dhidi ya ulimwengu wajibu kama mkataba na ukiukaji wa wajibu hutazamwa kama haki nzuri dhidi ya watu binafsi dhana ya mali inaibua maswala mengi zaidi ya kifalsafa na kisiasa locke alidokeza kwamba maisha uhuru na nyumba zetu ni mali yetu kwa sababu tunamiliki mali yetu na tunachangayana ajira yetu na mazingira yetu usawa na amana ni mwili wa sheria ulioibuka nchini uingereza kando na shera ya kawaida sheria ya kawaida ilisimamiwa na mahakimu bwana chansela kwa upnade mwingine kama muwekaji dhamiri wa mfalme angeweza kupuuza sheria iliyotengenezwa na hakimu ikiwa alifikiria kuwa ilikuwa sawa kufanya hivyo hili lilimaanisha kuwa usawa ulianza kufanya kazi zaidi kupitia kanuni bali si sheria ambazo hazikubadilika kwa mfano ambapo mifumo ya sheria ya kawaida au sheria ya raia haiwaruhusu watu kugawa umiliki wa kutoka kwa udhibiti wa kipande kimoja cha mali usawa unaruhusu hili kupitia mpango unaoitwa amana kudhibitiwa kwa mali na wenye amana ambapo kwa upande mwingine umiliki wenye manufaa au yenye usawa wa mali ya amana inashikiliwa na watu wanojulikana kama wadhamini wadhamini wana wajibu kwa walengwa wao wa kuyachuna vyema mali waliyokabidhiwa katika kesi ya awali ya keech dhidi ya sandford mtoto alirithi haki ya kokodisha katika soko katika eneo la ramford mjini london bw sandford alikabidhiwa mali hayo hadi wakati ambapo mtoto angekomaa lakini kabla ya hapo kipindi cha kukodisha kilikwisha kabaila alikuwa inaonekana amemwambia bw sandford kuwa hakutaka mtoto yule awe na kukodisha kupya lakini bado kabaila alikuwa amefurahi inaonekana kumpa bw sandford fursa ya kukodisha bw sandford aliichukua wakati ambapo mtoto sasa bw keech alikuwa mkubwa alimpeleka bw sandford mahakamani kwa faida aliyokuwa akipata kwa kupata kukodisha kwa soko bw sandford alifaa kuaminika lakini alijiweka katika nafasi ya mgongano wa maslahi bwana kansela bwana mfalme alikubali na kumuamuru bw sandford kutoa faida ile na kumlipa bw keech aliandika bila shaka bwana mfalme lc alikuwa na wasiwasi kwamba wadhamini huenda wakatumia fursa ya kutumia mali ya amana wenyewe badala ya kuyachunga wadadisi wa kibiashara wanaotumia hifadhi walikuwa wamesababisha kuaguka kwa soko la hisa katika siku hizo wajibu mkali kwa wadhamini ulijumuishwa katika sheria ya serikali na kutumika kwa wakurugenzi wa makampuni na maafisa watendaji wakuu mfano mwingine wa jukumu la mdhamini unaweza kuwa kuwekeza mali vizuri au kuiuza hii hasa ndiyo kesi kwa fedha za pensheni aina muhimu kwa zote ya amana ambapo wawekezaji ndio wadhamini wa akiba za watu hadi wastaafu lakini amana pia zinaweza kuundwa kwa madhumuni ya hisani mifano maarufu ikiwa makavazi ya uingereza au shirika la rockefeller sheria huenea mbali kuliko masomo ya msingi hadi karibu kila eneo la maisha ngazi tatu zimetajwa hapa ili kurahisiha majadiliano ingawa masomo mbalimbali hufanana na kutegemeana kwa ujumla mifumo ya kisheria inaweza kugawanywa kati ya mifumo ya kisheria ya kiraia na mifumo ya kisheria ya kawaida maneno sheria ya kiraia yanayoashiria mfumo wa kisheria hayapaswi kuchanganyishwa na sheria ya kiraia kama kundi la masomo ya kisheria ambayo ni tofauti na sheria ya umma au ya jinai aina ya tatu ya mfumo wa kisheria inayokubalika bado na baadhi ya nchi ambazo zina utengano wa kanisa na taifa ni sheria sheria ya kidini ambayo ina msingi wake katika maandiko ya kidini aina ya mfumo amabo nchi inatumia kutawala mara nyingi kudhamiriwa na historia yake uhusiano wake na nchi zingine au kushikilia kwake kwa viwango vya kimataifa vyanzo ambavyo maneneo fulani ya kisheria hutumia kama kama zenye uwezo wa kuwa nguvu za kisheria ndizo sifa fafanuzi za mfumo wowote wa kisheria hata hivyo uainishaji ni jambo la umbo kuliko maana kwani sheria sawa mara nyingi hutawala sheria ya kiraia ni mfumo wa kisheria unaotumika katika nchi nyingi duniani katika sheria ya kiraia vyanzo vinavyotambulika kama kuwa na mamlaka ni haswa uundaji wa sheria haswa sheria zilizoandikwa katika katiba au amri zinazopitishwa na serikali na tamaduni sheria za kuandikwa zinapatikana hata katika miaka mingi ya awali huku mfano mmoja ukiwa code hammurabi ya kibabeli mifumo ya sheria za kiraia ya kisasa inatokana na mazoezi ya kisheria ya dola la kirumi ambalo maadiko yake yalipatikana katika ulaya ya zama za kati sheria ya kirumu katika siku za jamhuri ya kiruma na dola la kirumi lilitegemea sana utaratibu na ilikosa daraja la kitaaluma badala uake mtu wa kawaida aliyeitwa iude alichagukiwa kufanya uamuzi kesi za awali hazikuripotiwa kwa hivyo sheria yoyote yenye msingi katika kesi iliyoibuka ilifichwa na hata kutotambulika kila kesi ilikuwa ilimuliwe upya kutokana na sheria za nchi ambayo ni sawa na kupungua kwa umuhimu kinadharia wa uamuzi wa mahakimu kwa kesi za siku za usoni kwa mufumo ya kisheria siku za leo katika kipindi cha karne ya nk katika dola la mashariki la roma kaisari justinian i aliandika na kuzikusanya pamoja sheria ambazo zilikuwa zinapatikana hapo awali katika roma ambapo kile kilichobakia kilikuwa sehemu moja juu ya ishirini ya kiwango cha maandiko ya kisheria kutoka awali hili ikawa inafahamika kama corpus juris civilis kwa mujibu wa mwanahistoria mmoja wa kisheria justinian alitazama kwa uangalifu hadi miaka ya dhahabu ya nyuma ya sheria ya kirumi na alilenga kuirejesha hadi upeo wake wa karne tatu za awali wakati uo huo ulaya ya magharibi ilitumbukia polepole katika zama za giza na haikuwa hadi karne ya ambapo wasomi katika chuo kikuu cha bologna walipoyagundua upya maandiko yaliyokuwa yamepotea na kuyatumia kuzitafsiri sheria zao maandiko ya sheria za kiraia yenye msingi unaofanana kwa karibu na sheria ya kirumu sambamba na ushawishi mchache kutoka sheria za kidini kama vile sheria ya kikanoni na sheria ya kiislamu iliendelea kuenea kote baranii ulaya hadi kutaalmika kisha katika karne ya ufaransa na sheria iliyoandikwa ya kiraia na ujerumani brgerliches gesetzbuch zilifanya sheria zao zilizokuwa zimeandikwa kuwa za kisasa sheria hizi mbili zilizoandikwa zilisukuma vilivyo si tu mifumo ya kisheria ya nchi katika bara ulaya kama vile ugiriki lakini pia tamaduni za kisheria za ujapani na kikorea leo cnhi ambazo zina mifumo ya kisheria ya kiraia ni kama vile urusi na uchina na maeneo mengi ya marekani ya kati na marekani ya kilatini marekani inafuata sheria ya kawaida inayofafanuliwa hapa chini sheria ya kawaida na usawa ni mifumo ya kisheria ambapo uamuzi wa mahakama yanakubalika wazi kuwa vyanzo vya sheria mafundisho ya utangulizi au stare decisis kilatini kwa kusimama kwa uamuzi unamaanisha kuwa sumauzi unaofanywa na mahakama yenye mamlaka kubwa yanafunga mahakama yenye mamlaka ya chini mifumo ya kisheria ya kawaida hutumia amri mara chache sana zinazopitishwa na bunge lakini huenda zikafanya jaribio ambalo si la kitaratibu kuandika sheria zao kuliko katika mfumo wa sheria wa kiraia sheria ya kawaida ina asili yake nchini uingereza na imerithiwa na karibu nchi zote ambazo hapo awali zilihusika na dola la uingereza isipokuwa malta scotland na jimbo la marekani la louisiana na jimbo la kanada la quebec katika uingereza wakati wa zama za kati ushindi wa norman ulisababisha kuungana kwa desturi mbalimbali za kikabila na hivyo basi kuunda sheria ya kawaida ya nchi yote labda ikisukumwa na mazoea ya kisheria ya kiislamu wakati wa krusedi sheria ya kawaida iliendelea ambapo mfalme wa kiingereza alikuwa amefanywa kuwa dhaifu na gharama kubwa ya vita vywa kudhibiti sehemu kubwa za ufaransa mfalme yohana alikuwa amelazimishwa na mabaroni wake kutia saini hati iliyoweka vikwazo kwa mamlaka yake ya kupisha sheria mkataba huu mkuu au magna carta wa mwaka pia ulihitaji jopo la mahakimu wa mfalme kufanya mikutano yao ya kimahakama na uamuzi wao katika mahali maalum badala ya kutoa haki ya kibepari katika maeneo yaliyokuwa magumu kutabiri kote kundi la mahakimu walsomi na waliokolea walipata jukumu muhimu katika kuunda sheria chini ya mfumo huu na ikilinganishwa na wenzao barani ulaya mahakama ya uingereza ilikuwa na urasimu mwingi zaidi kwa mfano mnamo mwaka wa wakati ambapo mahakama kuu ya ufaransa yalikuwa na mahakimu hamsini na wawili mahakama ya uingereza ya maombi ya kawaida yalikuwa na watano mahakama haya yenye nguvu na yaliyoshikamana yalisababisha mfumo wa kikiritimba kufuatana na hilo kadiri wakati ulivyopita idadi iliyoongezeka ya raia waliomba mfalme kupuuza sheria ya kawaida na kwa niaba ya mfalme bwana chansela alitoa uamuzi kufanya kile ambacho ni sawa kwa kila kesi kuanzia wakati wa thomas more wakili wa kwanza kuteuliwa kama bwana chansela mwili wa kimfumo wa usawa uliongezeka kando ya sheria ya kawaida yenye ukiritimba na ilianzisha mahakama yake ya chancery mwanzoni usawa ulikosolewa kuwa ulikosa kukosa utaratibu na kuwa ulibadilika kulingana na urefu wa mguu wa chansela lakini baada ya muda iliunda kanuni hasa chini ya bwana eldon katika karne ya mifumo hiyo miwili iliunganishwa pamoja katika kuendeleza sheria ya kawaida na usawa waandishi wa kitaaluma wamekuwa na jukumu muhimu william blackstone kuanzia kipindi cha alikuwa mwanachuoni wa kwanza kuelezea na kufunza usawa lakini kwa kuelezea tu wasomi walitafuta melezo na miunso msingi walibadilisha polepole jinisi sheria ilivyofanya kazi sheria ya kidini inatokana na maagizo ya dini baadhi ya mifano ni halakha ya kiyahudi na sharia ya uislamu ambazo zote mbili zinamaanisha njia ya kufuata huku sheria za kanisa za ukristo nazo hutumika katika madhehebu machache kama vile kanisa katoliki kanisa la kiorthodoksi na la anglikana mara nyingi dini inadai kutobadilika kwa sheria kwa sababu neno la mungu haliwezi kufanyiwa marekebisho wala kupingwa na mahakimu au serikali hata hivyo mfumo fasaha wa sheria kwa jumla unahitaji upanuzi upande wa binadamu kwa mfano torati au vitabu vitano vya musa katika agano la kale vitabu hivyo vina kanuni na sheria za msingi za uyahudi ambayo baadhi ya jamii ya kiisraeli huchagua kutumia halakha ni kanuni ya sheria za kiyahudi inayofanya muhtasari wa baadhi ya ufafanuzi wa kitabu cha talmud hata hivyo sheria za israeli zinaruhusu mlalamikaji kuchagua mbinu za kidini ikiwa tu anataka mfano mwingine ni korani ambayo ina sheria na inakuwa kama chanzo cha sheria zaidi kupitia ufafanuzi qiyas kulinganisha ijma kufikia muafaka na yaliyokwishatokea hili hasa hupatikana katika mkusanyo wa sheria na falsafa ya kisheria inayojulikana kama sharia na fiqh hadi karne ya sharia ilitekelezwa kote katika ulimwengu wa kiislamu katika mfumo ambao haukuwa umeandikwa kwa ufasaha huku sheria ya mecelle ya dola la ottoman katika karne ya ilikuwa ya kwanza kuandika vipengele vya sharia tangu miaka ya kati ya majaribio yamefanywa katika nchi nyingi kufanya sheria hizo zifanane zaidi na hali na dhana za kisasa katika nyakati za sasa mifumo ya kisheria katika mataifa mengi ya kiislamu hutegemea sheria za kiraia na sheria ya kawaida na pia sheria na tamaduni za kiislamu katiba za baadhi ya nchi za kiislamu kama vile misri na afghanistan zinatambua uislamu kama sheria ya taifa hivyo kuyafanya mabunge katika nchi hizo yasiwe na budi kufuata sharia saudia inatambua korani kama katiba na inatawaliwa kwa msingi wa sheria ya kiislamu iran pia imeshuhudia kurudi kwa sheria ya kiislamu katika mfumo wake wa kisheria baada ya mwaka katika miongo michache iliyopita mojawapo ya tofauti kuu ya harakati ya mwamko wa kiislamu imekuwa wito wa kuirejesha sharia wito ambao umeibua kiasi kikubwa cha maandishi na kuathiri siasa duniani historia ya sheria inashikamana kwa karibu na maendeleo ya ustaarabu sheria ya misri ya kale iliyorudi nyuma mbali hadi mnamo kk ilikuwa na mkusanyiko wa sheria ambao huenda ulikuwa umegawanjwa katika vitabu kumi na viwili ilizingatia dhana ya ma at iliyokuwa na sifa ya mapokeo hotuba za kushawishi usawa wa kijamii na uaminifu kufikia karne ya kk mtawala wa zamani wa kisumeri ur nammu alikuwa ameandaa mkusanyiko wa sheria ambao ulihusisha kauli za kimjadala ikiwa basi kufikia mwaka wa kk mfalme hammurabi aliboresha zaidi sheria ya babeli kwa kuikusanya na kujandika katika jiwe kubwa hammurabi aliweka nakala kadhaa za jiwe lile kote katika milki ya babeli kama stelae ili watu wote waitazame hii ilikuja kufahamika kama mkusanyiko wa sheria za hammurabi nakala iliyobaki ambayo haijaharibika sana wa stelae hizi iligunduliwa katika karne ya na waingereza wasomi wa mambo ya milki ya assyria na tangu wakati huo imenakiliwa upya na kutafsiriwa katika lugha mbalimbali zikiwemo kiingereza kijerumani na kifaransa agano la kale lilianza mnamo kk na linachukua umbo la amri za kimaadili kama mapendekezo ya jamii nzuri mji dola wa ugiriki ya kale atheni ya kale kuanzia karne ya kk ilikuwa jamii ya kwanza kuwa na msingi wake katika kuhusisha raia kwa upana isipokuwa wanawake na daraja la watumwa hata hivyo atheni haikuwa na sayansi ya kisheria na hapakuwa na neno la sheria isipokuwa kama dhana ya kiakili tu bado sheria ya ugiriki wa kale ilikuwa na uvumbuzi mkubwa wa kikatiba katika kuendeleza demokrasia sheria ya kirumi ilisukumwa sana na falsafa ya kigiriki lakini maelezo yake ya kina yaliendelezwa na wanasheria wa kitaaluma na yalikuwa magumu sana katika kipindi cha karne zilizopita kati ya kupanda na kushuka kwa dola la roma sheria imebadilishwa ili kukabiliana na hali za kijamii zilizokuwa zikibadilika na ilikusanywa na kuandkiwa vilivyo wakati wa utawala wa kaisari justinian i ingawa ilipungua kwa umuhimu mwanzoni mwa karne za kati sheria ya kirumi iligunduliwa upya wakati wa karne ya ambapo wasomi walianza kutafiti mkusanyiko wa sheria za kirumi na kuyatumia mawazo yao katika uingereza ya zama za kati mahakimu wa mfalme waliunda mwili wa utangulizi ambao baadaye ulijulikana kama sheria ya kawaida sheria ya biashara ya ulaya mzima iliundwa ili kuwapa wafanyabiashara uwezo wa kufanya biashara kwa kutumia viwango sawa vya mazoezi badala ya kutumia sheria za kimtaa zenye pande nyingi hiyo le mercatoria mtangulizi wa sheria ya kisasa ya biashara ilihimiza uhuru wa mkataba na kuwekwa mbali kwa mali kadiri utaifa ulipozidi katika karne za na ndipo le mercatoria ilipozidi kujumuishwa katika sheria za kimanispaa za nchi mbalimbali chini ya mkusanyiko mpya wa sheria za kiraia mkusanyiko wa sheria za napoleoni na sheria za kijerumani ulikuwa na ushawishi mkubwa zaidi ikitofautishwa na sheria ya kawaida ya uingereza ambayo ina idadi kubwa ya sheria za kesi mikusanyiko ya sheria katika vitabu vidogo ni rahisi kuuza nje ili mahakimu waweze kuitumia hata hivyo hivi leo kuna ishara kuwa sheria ya kiraia na sheria ya kawaida zinazidi kukaribiana sheria ya umoja wa ulaya imekusanywa katika mikataba lakini huendelezwa kupitia utangulizi unaofanywa na mahakama ya ulaya ya haki sheria ya kiislamu na falsafa ya sheria zilianza katika kipindi cha zama za kati mbinu ya kisheria ya utangulizi na kufikiria kupitia mlinganisho qiyas iliyotumika katika sheria ya mapema ya kiislamu ilifanana na na ile ya baadaye ya mfumo wa sheria ya kawaida ya uingereza hii ilitumika hasa katika shule ya maliki ya sheria ya kiislamu iliyopatikana sana katika eneo la afrika kasakazini uhispania wa kiislamu na baadaye sicily ya kiemereti kati ya karne za na sheria ya maliki iliendeleza taasisi nyingi zilizokuwa sambamba na taasisi za baadaye za sheria ya kawaida sheria ya kale ya uhindi na uchina zinawakilisha mapokeo tofauti ya sheria na kihistoria yamekuwa na shule huru za kinadharia na mazoezi arthashastra ambayo pengine iliandikwa mnamo bk ingawa ina maandiko ya awali kidogo na manusmriti yalikuwa mikataba ya uanzilishaji nchini uhindi na ilikuwa na maandiko yanayofikiriwa kuwa wongofu wenye mamlaka wa kisheria falsafa kuu ya manu ilikuwa kuvumiliana na mfumo wa vyama vingi na ilitajwa kote katika eneo la asia ya kusini mashariki mapokeo haya ya kihindu pamoja na sheria ya kiislamu yalibadilishwa na na sheria ya kawaida wakati ambapo uhindi ilifanywa kuwa sehemu ya dola la uingereza malaysia brunei singapore na hong kong pia ilianza kutumia sheria ya kawaida mapokeo ya sheria ya asia ya kusini yanaangazia mkusanyiko maalum wa ushawishi wa kidunia na kidini ujapani ilikuwa nchi ya kwanza kuufanya mfumo wake wa sheria uwe wa kisasa sambamba na ule wa nchi za magharibi kwa kuagiza sehemu za mkusanyiko wa sheria za ufaransa lakini hasa mkusanyiko wa sheria za kijerumani hili lilionyesha kwa kiwango fulani hadhi ya ujerumani kama nguvu yenye uwezo mkubwa zaidi katika kipindi cha mwisho cha karne ya pia sheria ya mapokeo ya uchina ilifungua njia kwa kubadilishwa na nchi za magharibi kuelekea miaka ya mwisho ya nasaba ya ch ing kupitia njia ya mkusanyiko wa sheria tatu za kibinafsi zilizokuwa na msingi katika muundo wa ujapani wa sheria ya ujerumani leo sheria ya taiwan inabaki na mshikamano wa karibu zaidi na mkusanyiko wa sheria kutoka kipindi hicho kwa sababu ya mgawanyiko kati ya wanataifa wa chiang kai shek ambao walitoroka kutoka sehemu hiyo na wakomunisti wa mao zedong waliopata ushindi wa kudhibiti bara mnamo mwaka wa muundombinu wa sasa wa jamhuri ya watu wa uchina ilishawishika pakubwa na sheria ya kisoshalisti ya umoja wa kisovyeti inayopea sheria ya utawala umuhimu mwingi kuliko haki za sheria ya kibinafsi kwa sababu ya kuongezeka kwa kasi kwa viwanda leo uchina inapitia machakato wa wa marekebisho angalau katika nyanja ya haki za kiuchumi ikiwa si haki za kijamii na kisiasa sheria mpya ya mkataba ya mwaka wa ilikuwa ishara ya kusonga mbali na kuwa na utawala mwingi isitoshe baada ya mazungumzo yaliyodumu miaka kumi na mitano mnamo mwaka uchina ilijiunga na shirika la biashara duniani falsafa ya sheria kwa kawaida inaitwa jurisprudensi jurisprudensi unaozidi kuongezka wenyewe ni falsafa ya kisiasa na unauliza sheria inafaa kuwa nini huku jurisprudensia ya uchambuzi inauliza sheria ni nini jibu la kiutumikaji la john austin linajibu kuwa sheria ni amri zinazoandamana na matishio ya vkwazo kutoka kwa mtawala ambaye watu wote wamezoea kumtii mawakili wa sheria ya kimaumbile kwa upande mwingine kama vile jean jacques rousseau wanadokeza kwamba sheria inaangazia sheria isiyobadilika ya tabia ya kimaumbile dhana ya sheria ya kimaumbile iliibuka katika falsafa ya kigiriki ya zamani kwa wakati mmoja na kwa pamoja na dhana ya haki na iliingia mkondo wa utamaduni wa magharibi kupitia maandiko ya thomas aquinas na maoni ya mwanafalsafa wa kiislamu na mwanasheria averroes hugo grotius mwanzilishi wa mfumo uliotegemea dhana za kiakili pekee ya sheria ya kimaumbile alidokeza kuwa sheria inatokana na msukumo wa kijamii jinsi aristotle alivyokuwa amesema na kufikiria immanuel kant aliamini kuwa amri ya kimaadili inahitaji sheria zichaguliwe kana kwamba zinafaa kushikilia kama sheria za ilimwenguni kote za kimaumbile jeremy bentham na mwanafunzi wake austin wakimfuata david hume waliamini kuwa hili liliongeza utata wa kilicho na kile ambacho kinafaa kuwepo bentham na austin walisisitiza kuwe na sheria ya uchanya na kuwa sheria ya kweli ni tofauti kabisa na maadili kant pia alikosolewa na friedrich nietzsche ambaye alikataa kanuni ya usawa huku akiamini kuwa sheria hutokana na nia kwa nguvu na haiwezi fanywa kuwa ya kimaadili au utovu wa nidhamu mnamo mwaka wa mwanafalsafa wa kiaustria hans kelsen alizidi na mapokeo ya uchanya katika kitabu chake nadharia safi ya sheria kelsen aliamini kuwa ingawa sheria ni tofauti na maadili inapewa ukawaida kumaanisha kuwa tunfaa kuitii ingawa sheria ni taarfa chanya za ni k m faini ya kuendesha kwa kurudi nyuma katika barabara kuu ni hii sheria inatuelezea kile tunachofaa kutenda kwa hivyo kila mfumo wa sheria unaweza kudadisiwa kuwa na kanuni ya msingi grundnorm ianyotupea amri ya kutii mpinzani mkuu wa kelsen carl schmitt alikataa uchanya na dhana ya utawala wa sheria kwa sababu hakukubali umuhimu wa kanuni za kidhana za uchanya badala ya mitazamo na uamuzi bayana wa kisiasa kwa hiyo schmitt alipendekeza falsafa ya sheria ya maalum hali ya dharura ambayo ilikanusha kuwa kanuni za kisheria zingezunguka uzoefu wote wa kisiasa baadaye katika karne ya h l a hart alimshambulia austin kwa kurahisisha kwake kwa suala hilo na kelsen kwa kutunga kwake kwa mambo ya kihadithi katika kitabu cha dhana ya sheria hart alidokeza kuwa sheria ni mfumo wa kanuni zilizogawanywa kuwa kanuni za maadili ambazo ndizo za kimsingi na sheria za upili zinazowalenga maafisa kusimamia kanuni msingi kanuni za upili zimegawanywa zaidi kuwa sheria za uamuzi kutatua migogoro ya kisheria kanuni za mabadiliko zinazoruhusu sheria kuwa tofauti na sheria ya utambuzi inayoruhusu sheria kutambulika kama halali wawili kati ya wanafunzi wa hart waliendeleza mjadala ktaika kitabu chake dola la sheria ronald dworkin alimshabulia hart na wachanya kwa kukataa kwao la kufanya sheria iwe suala la kimaadili dworkin anadokeza kuwa sheria ni dhana ya kitafsiri inayowataka mahakimu kupata suluhisho bora zaidi kwa mgogoro wa kisheria kwa mujibu wa mila zao joseph raz kwa upande mwingine anawataka alitetea mtazamo wa kichanya na kukosoa mtazamo wa hart wa nadharia laini ya kijamii katika kitabu chake mamlaka ya sheria raz anadokeza kuwa sheria ni mamlaka yanayotambulika kupitia vyanzo vya kijamii na bila kurejelea hoja za kimaadili katika maoni yake uainishaji wowote wa kanuni zozote zaidi ya majukumu yao kama vifaa vya kimamlaka katika upatanisha ni bora yaachiwe elimu ya jamii badala ya falsafa ya sheria katika karne ya adam smith aliwasilisha msingi wa kifalsafa wa kuelezea uhusiano kati ya sheria na uchumi taaluma hiyo ilitokana na mchango wa ukosoaji dhidi ya vyama vya wafanyikazi na sheria dhidi ya amana nchini marekani watetezi wa taaluma hii waliokuwa na ushawishi mkubwa zaidi kama vile richard posner na oliver williamson na kinachojulikana kama shule ya chicago ya wanauchumi na mawakili ikiwemo milton friedman na gary becker kwa jumla ni watetezi wa uouguzaji wa udhibiti na ubinafsishaji na ni maadui wa udhibiti wa serikali au kile wanachokiona kuwa vikwazo dhidi ya unedeshaji wa masoko huru mchambuzi maarufu zaidi wa kiuchumi wa sheria ni mshindi wa tuzo la nobel la mnamo ronald coase ambaye makala yake makuu ya kwanza hali ya kampuni kulidokeza sababu za kuwepo kwa makampuni mbalimbali makampuni ubia n k ndiyo kuwepo kwa gharama za biashara binadamu ambao hufikiria kawaida hufanya biashara kupitia mikataba ya bilaterala katika masoko wazi hadi wakati ambapo gharama ya biashara kunamaanisha kuwa kutumia makampuni ya kihalmasahhuri ili kuzalisha bidha ni ya ufanisi mwingi zaidi makala yake makuu ya pili shida ya gharama ya kijamii yalidokeza kuwa tunaishi katika dunia bila gharama za kibiashara watu ambao huongea kuhusu gharama pamoja wanatengeneza mgao sawa wa rasilimali buila kujali jinsi mahakama yanavyoweza kuamua katika migogoro kuhusu mali coase alitumia mfano wa kesi ya kero iliyoitwa sturges dhidi ya bridgman ambapo mtengenezaji peremende ambaye alipiga kelele nyingi na daktari mtulivu walikuwa majirani na walienda mahakamani ili wajue nani kati yao ndiye angefa kuhama coase alisema kuwa bila kujali ikiwa hakimu aliamua kuwa mtengenezaji peremende angefaa kuwacha kutumia mashine zake au ikiwa ingembidi daktari kuvumilia kelele ile wote wawili wangefikia mapatano ya pamoja kuhusu nani ndiye angefaa kuhama ambayo yanafikia matokeo sawa na mgawanyo wa rasilimali ni kuwepo tu kwa bei za biashara kunaoweza kuzuia hili kwa hivyo sheria infaa kutazamia kile ambacho huenda kikafanyika na kuongozwa na ufumbuzi wenye ufanisi wenye kuunda mipango serikalini wanaamini wazo kwamba sheria na vikwazo si muhimu au zenye ufanisi katika kuwasaidia watu coase na wengine kama yeye walitaka mabadiliko ya mbinu ili kuweka mzigo wa ushahidi katika serikali iliyokuwa ikiingilia soko kwa kuchambua gharama za hatua somo la kijamii la sheria ni taaluma pana ya masomo inayotazama mwingiliano kati ya sheria na jamii na inahusiana kwa karibu na falsafa ya sheria uchambuzi wa kiuchumi wa sheria na masomo maalum zaidi kama somo la jinai taasisi za ujenzi wa jamii na mifumo ya kisheria ni maeneo muhimu ya uchunguzi wa taaluma hii mwanzoni wananadharia wa kisheria walishuku taaluma hii kelesen alimshambuliwa mmoja wa waanzilishi wake eugen ehrlich ambaye alitaka kuweka wazi tofauti kati ya sheria ya uchanya ambayo mawakili wanajifunza na kutumia na aina zingine za sheria au kanuni za kijamii zinazodhibiti maisha ya kila siku na kwa jumla kuzuiwa migogoro isiwafikie mawakili mahakamani katika kipindi cha mwaka ma weber alifafanua mbinu yake ya kisayansi ya sheria huku akitambua umbo la kimantiki ya sheria kama aina ya utawala ambao si chanzo cha watu lakini kwa dhana za kiakili umantiki wa kisheria yalikuwa maneno yake aliyoyatumia kuelezea mwili wa sheria zinazoeleweka na zinazoweza kuhesabika na zilikuwa hatua ya kwanza ya maendeleo ya kisasa ya kisiasa na taifa la ukiritimba la kisasa na kuibuka sambamba na ubepari msomi mwingine wa somo la jamii mile durkheim aliandika katika mgawanyo wa ujira na jamii kuwa kadiri jamii inavyozidi kuwa kubwa ndivyo mwili wa sheria ya kiraia unaohusika hasa na fidia unapozidi kukuwa kwa gharama ya sheria za jinai na vikwazo vya kisheria wasomi wengine wa somo la jamii ni hugo sinzheimer theodor geiger georges gurvitch na leon petraycki barani ulaya na william graham sumner nchini marekani sheria si mwili wa kanuni zisizobadilika bali ni machakato badilifu wa kanuni zinazobadilishwa kila wakati kuundwa na kupewa umbo ili kuambatana na hali fulani mabadiliko yanafanywa kila wakati na taasisi mbalimbali katika jamii taasisi kuu za sheria katika demokrasia huru ni mahakama huru mifumo ya haki bunge serikali yenye uwajibikaji na ukiritimba wenye uwezo na usiokuwa na ufisadi kiksoi cha polisi kudhibitiwa kwa jeshi na raia na taaluma ya kisheria yenye nguvu inayohakikisha watu wanapta haki na jamii ya kiraia mbalimbali neno linalotumika kuashiria taasisi za kijamii jamii na ushirikiano unaunda msingi wa kisiasa wa sheria john locke katika maandiko mawili kuhusu serikali na baron de montesquieu katika roho ya sheria walitetea mgawanyo wa madaraka kati ya miili ya kisiasa ya bunge na serikali kanuni yao ilikuwa kuwa hakuna mtu anayefaa kuwa na uwezo wa kuchukua mamlaka yote ya taifa ikitofautishwa na nadharia ya uimla ya thomas hobbes leviathan ma weber na wengine walibadilisha mawazo kuhusu taifa jeshi la kisasa upolisi na mamalaka ya ukiritimba juu ya masiha ya raia wa kawaida husababisha matatizo maalum ya uwajibikaji ambayo waandishi wa awali kama vile locke au montesquieu hawangeweza kutabiri mashirika ya kisasa ya kimataifa huzingatia umuhimu wa utawala wa sheria na utawala mzuri huku waandishi wengine hutafiti uhsusiano kati ya utawala wa sheria na utawala wa ufanisi katika nchi za kisasa mahakama ni idadi ya mahakimu wanaosikiza migogoro ili kuamua matokeo nchi nyingi zina mfumo wa mahakama ya rufaa yanayojibu kwa mamlaka makuu ya kisheria nchini marekani haya ni mahakama kuu ya marekani nchini australia mahakama kuu ya australia nchini uingereza ni mahakama kuu ya uingereza tangu tarehe oktoba hapo awali yalikuwa nyumba ya mabwana nchini ujerumani ni bundesverfassungsgericht nchini ufaransa ni cour de cassation kwa nchi nyingi za ulaya mahakama ya ulaya ya haki nchini luembourg inaweza kuukataa umauzi wa kitaifa wakati ambapo sheria ya umoja wa ulaya inafaa mahakama ya ulaya ya haki za kibinadamu inayopatikana strasbourg inawaruhusu raia wa nchi wanachama za baraza la ulaya kuleta kesi zao zinzohusiana na haki za kibinadamu mbele yake baadhi ya nchi huruhusu mamlaka yao makuu ya mahakama kukataa sheria wanayopata kuwa kinyume na katiba katika kesi ya roe dhidi ya wade mahakama kuu ya marekani ilipindua sheria ya jimbo la teas iliyopiga marufuku kutoa msaada kwa wanawake wenye nia ya kuavya mimba marekebisho ya kumi na nne ya katiba ya marekani yalikuwa yametafsiriwa kuwapa ya faragha na kwa hivyo haki ya mwanamke kuchagua kuavya mimba mahakama kinadharia yamefundwa na katiba kama tu miili ya bunge katika nchi nyingi mahakimu wana uwezo tu wa kutafsiri katiba na sheria zingine zote lakini katika nchi zasheria ya kawaida ambapo mambo si ya kikatiba mahakama pia yanweza kuunda sheria chini ya mafundisho ya utangulizi uingereza finland na new zealand hutumia dhana ya uhuru wa bunge ambapo mahakama ambayo hayajachaguliwa hayawezi kupindua sheria iliyopitishwa na bunge la kidemokrasia katika nchi za kikomiunisti kama vile uchina mahakama mara nyingi hutazamwa kama sehemu ya serikali au kuwa chini ya bunge taasisi za kiserikali na watendaji mbalimbali basi wana ushawishi tofauti kwa mahakama katika nchi za kiislamu mahakama mara nyingi huchunguza ikiwa sheria za nchi zinafuata sharia mahakama kuu ya kikatiba ya misri inaweza kuoinga sheria kama hizo na nchini iran baraza la ulinzi linahakikisha uwiano wa sheria zinazopitishwa na vigezo vya uislamu mifano maarufu ya bunge ni majumba ya bunge mjini london kongresi mjini washingtin d c bundestag mjini berlin na duma nchini moscow parlamento italiano mjini roma na assemble nationale mjini paris kwa kanuni ya serikali wakilishi watu hupigia kura wanasiasa ili watimize matakwa yao ingawa nchi kama israeli ugiriki uswidi na uchina zina nyumba moja ya bunge nchi nyingi zina nyumba mbili za bunge kumaanisha kuwa zina nyumba mbili za kibunge zinazochaguliwa tofauti katika nyumba ya chini wanasiasa wanachaguliwa kuwakilisha maeneo wakilishi bungeni nymba ya juu kawaida huchaguliwa kuwakilisha majimbo katika mfumo wa majimbo kama vile nchii australia ujerumani au marekani au upigaji kura tofauti katika katika mfumo wa umoja kama vile nchini ufaransa nchini uingereza nyumba ya juu inachaguliwa na na serikali kama nyumba ya marudio ukosoaji mmoja wa mifumo yenye nyumba mbili yenye nyumba mbili zilizochaguliwa ni kuwa nyumba ya juu na ya chini huenda zikafanana utetezi wa tangu jadi wa mifumo ya nyumba mbili nni kuwa chumba cha juu huwa kama nyumba ya marekebisho hili linaweza kupunguza uonevu na dhuluma katika hatua ya kiserikali ili kupitisha sheria idadi kubwa ya wabunge lazima wapige kura ili muswada sheria inayopendekezwa upitishwe katika kila nyumba kawaida kutakuwa na kusoma kwingi na marekebesho mengi yaliyopendekezwa na makundi tofaiti ya kisiasa ikiwa nchi ina katiba inayofuatiliwa vyema idadi maalum ya mabadiliko katika katiba yanahitajika hivyo kufanya iwe gumu kubadilisha sheria serikali kwa kawaida huongoza mchakato huo ambao unaweza kujumuisha wabunge k m nchini uingereza na ujerumani lakini katika mfumo wa kiraisi serikali inachagua baraza la mawaziri kutawala kutoka kwa washirika wake kisiasa ikiwa wamechaguliwa au la k m nchini marekani au brazili na jukumu la bunge linapunguza liwe kukubali au kukataa mtendaji katika mfumo wa kisheria hutumika kama kituo cha serikali cha mamlaka ya kisiasa katika mfumo wa kibunge kama vile nchini uingereza italia ujerumani na ujapani mtendaji hujulikana kama serikali na huwa na wanachama wa bunge mtendaji huchaguliwa na waziri mkuu au chansela ambaye ofisi yake ina nguvu za chini ya imani ya bunge kwa sababu uchaguzi wenye watu wengi huteua vyama vya kisiasa kutawala kiongozi a chama anaweza kubadilika katika kipindi kabla ya uchaguzi mwingine mkuu wa taifa ni kando na mtendaji na kimfano hupitisha sheria na huwa kama mwakilishi wa nchi baadhi ya mifano ni rais wa ujerumani anayeapishwa na bunge malkia wa uingereza wadhifa wa kurithi na rais wa austria anachaguliwa kwa kura ya wengi mfano mwingine muhimu ni mfumo wa kirais unaopatikana nchini ufaransa marekani na urusi katika mifumo ya kirais mtrndaji huwa kama mkuu wa taifa na mkuu wa serikali na ana nguvu za kuchagua baraza la mawaziri pekee yake chini ya mfumo wa kirais tawi la mtendaji ni kando na bunge ambapo haiwajibiki mbele ya bunge ingawa jukumu la mtendaji ni tofauti toka nchi moja hado nyingine kawaida itapendekeza wingi wa sheria na kupendekeza ajenda ya serikali katika mifumo ya kirais mtendaji mara nyingi ana nguvu za kukataa sheria mara nyingi mtendaji katika mifumo yote ana wajibu wa sera za mahusiano ya nje jeshi na polisi na urasimu mawaziri au maafisa wengine wanasimamia ofisi za nchi kama vile wizara ya nje au wizara ya ndani uchaguzi wa mtendaji tofauti kwa hivyo ina uwezo wa kupindua mtazamo wa nchi nzima wa serikali ingawa mashirika ya kijeshi yamekuwepo kwa muda mrefu kama serikali yenyewe dhana la kikosi cha polisi kilicho tayari ni dhana ya kisasa mfumo wa uingereza ya zama za kati ya mahakama ya jinai ya kusafiri au assize ilitumia kesi za maonyesho na unyongaji hadharani kufanya jamii ziwe na hofu na hivyo kudumisha udhibiti polisi wa kwanza wa kisasa pengine walikuwa wale wa paris wa karne ya katika mahakama ya louis iv ingawa polisi wa mkoa wa paris ndio wanadai kuwa wao ndio waliokuwa wa kwanza kuvaa sare weber yu maarufu kwa kudokeza kwamba taifa ni lile ambalo linadhibiti kihalali utumizi wa kipekee wa vurugu majeshi na askari wanalinda usalama kufuatana na amri ya serikali au mahakama maneno taifa lililopangarayika yanaashiria taifa ambalo haliwezi kutekeleza au kulazimisha sera askari wao na majeshi hawana uwezo wa kulinda usalama na amani na jamii inaelekea vurugu pekee wakati serikali inapokosekana asili ya neno urasimu kwa kiingereza bureaucracy ni neno la kifaransa la ofisi bureau na neno la kigiriki cha zamani cha nguvu kratos kama tu wanajeshi na polisi watumishi wa mfumo wa kisheria wa serikali na miili inayounda urasimu wake hufuata maagizo ya mtendaji mojawapo ya marejeo kwa dhana yalifanywa baron de grimm mwandishi wa kijerumani aliyeishi nchini ufaransa mnamo mwaka wa aliandika roho halisi ya sheria nchini ufaransa ni urasimu amabo marehemu monsieur de gournay alikuwa akilalamika sana kuhusu hapa ofisi makarani makatibu wasimamizi na wanaonuia kufanya kazi fulani hawaapishwi kufaidi maslahi ya umma kwa hakika maslahi ya ummayanaonekana kuanzishwa ili ofisi hizo ziwepo wasiwasi kuhusu utawala wa kiofisi bado ni kawaida na utendaji wa watumishi wa umma kawaida hutofautishwa na wa kampuni za kibinafsi zinazoendeshwa na lengo la faida kwa kweli kampuni za kibinafsi hasa zile kubwa pia zina urasimu mtazamo mbaya wa urasimu kando huduma za umma kama vile elimu afya na shughuli za polisi au uchukuzi wa umma ni kazi muhimu nchi hivyo basi kufanya urasimu wa umma chanzo cha nguvu za serikali akiandika mapema katika karne ya ma weber aliamini kuwa sifa muhimu ya nchi iliyoendelea ilikuwa imekuwa msaada wake wa kirasimu weber aliandika kuwa sifa za kawaida za urasimu wa kisasa ni kuwa maafisa wanafafanua lengo lake wigo wa kazi umefungwa na kanuni usimamizi unajumuisha wataalamu wa wataalamu wa kitaaluma amabo ambao husimamia kuanzia juu kuenda chini wakiwasiliana kupitia kuandika na kufunga uwezo wa wafanyikazi wa umma kufanya watakavyo kwa kutumia kanuni hitimisho la utawala wa sheria ni kuwepo kwa taaluma ya kisheria yenye uhuru wa kutosha wa kuweza kuomba mamlaka ya mahakama huru haki ya usaidizi kusaidiwa na wakili mahakamani uanatokana na hitimisho hili nchini uingereza kazi ya wakili inatofautishwa na ile ya mshauri wa kisheria kama mahakama ya ulaya ya haki za binadamu yanavyosema sheria inafaa kupatikana na kila mtu na waty wanfaa kutabiri jinsi sheria itakavyowaathiri ili kudumisha utaaluma zoezi la sheria kawaida linachungwa na serikali au mwili huru kama vile chama cha mawikili baraza la mawakili au jamii ya sheria mawakili wa kisasa wanapata utambulisho maalum wa kisheria kupitia taratibu maalum za kisheria k m mafanikio katika mitihani yanahitajika na sheria ili kuwa na cheti maalum elimi ya kisheria inayompa mwanafunzi shahada ya sheria shahada ya sgeria ya kiraia au shahada ya juris doctor na zinawekwa ofisini kwa kutumia fomu za kisheria za kuapishwa kukubaliwa katika baraza la mawakili nchi nyingi za kiisalmu zina sheria sawa kuhusu elimu ya kisheria na taaluma ya kisheria lakini zingine bado zinaruhusu mawakili wenye mafunzo katika sheria ya kiislamu ya jadi katika taaaluma ua sheria katika mahakama ya hadhi ya kibinasfi nchini uchina na katika nchi zingine za ulimwengu unaoendelea hakuna watu wa kutosha wenye mafunzo ya kisheria kufanya kazi katika mifumo ya mahakama iliyopo katika nchi hizo na kufuatana na hilo viwango rasmi si vikali sana baada ya kupata kukubalika wakili mara nyingi atafanya kazi katika kampuni ya sheria katika vyumba kama wakili wa kipekee katika wadhifa wa kiserikali au katika shirika la kibinafsi kama mshauri wa ndani isitoshe wakili anaweza kuwa mtafiti wa kisheria anayepeana uatafiti wa kisheria unapoitishwa kupitia maktaba huduma ya kibiashara au kazi isiyokuwa na muajiri mmoja watu wengi wenye mafunzo katika sheria walitumia utafiti wao katika taaluma nyingine tofauti kabisa adhimu kwa zoezi la sheria katika mapokeo ya sheria ya kawaida ni utafiti wa kisheria kujua hali ya wakati wa sasa wa sheria hili linahushisha kuchunguza ripoti za kesi majarida ya kisheria na sheria zoezi la sheria pia inahusu kuandika hati kama vile kuiitia kwa mahakama brifu mikataba au amana majadiliano na ujuzu wa kusuluhisha migogoro ikijumuisha mbinu za adr pia ni muhimi kwa zoezi la sheria ikitegemea na aina ya taaluma dhana ya kiripablikani wakati kulipokuwa na madaraja mbalimbali ya kijamii ya mashirika ya kijamii ilianzia wakati wa hobbes na locke locke aliona mashirika ya kijamii kama watu wenye sheria sawa na mahakama kurejelea yenye mamlaka ya kuamua utata baina yao mwanafalsafa wa kijerumani georg wilhelm friedrich hegel alitofautisha taifa na mashirika ya kijamii burgerliche gesellschaft katika kitabu chake vipengele vya falsafa ya sawa hegel aliamini kuwa mashirika ya kijamii na taifa zilikuwa kinyume kabisa katika mpangilio wa nadharia yake ya historia taifa la kisasa lenye pande hizi mbili mashirika ya kijamii lilizaliwa tena katika nadharia za aleis de tocqueville na karl mar siku hizi katika nadharia ya wakati wa baada ya kisasa za mashirika la kijamii lazima iwe chanzo cha sheria kwa kuwa msingi ambapo watu wanaunda maoni na kushwishi yale wanayoamini sheria inafaa kuwa kama wakili wa kiaustralia na mwandishi geoffrey robertson qc alivyoandika kuhusu sheria ya kimataifa mojawapo ya vyanzo vyake vya kisasa inapatikana katika majibu ya kawaida ya wanaume na wanawake na mashirika yasiyo ya kiserikali amabyo wengi huunga kwa ukiukaji wa haki za kibinadamu amabyo wengi huona kwenye runinga wakiwa sebuleni nyumbani mwao uhuru wa kujieleza uhuru wa kujumuika na sheria zingine nyingi za kibinafsi zinawaruhusu watu kukusanyika kujadili kukosoa na kufanya serikali zao kuwajibika ambapo msingi wa demokrasia ya majadiliano inaibuka watu wanapozidi kujihusisha mamlaka ya kisheria na na kuwa na uwezo wa kubadilisha jinsi mamlaka ya kisiasa yanapotumika maishani mwao ndivyo sheria inapozidi kuwa halali kwa watu taasisi ambazo ni za kawaida sana za mashirika ya kijamii ni masoko ya kibiashra kampuni zenye malengo ya kupata faida familia vyama vya kibiashara hospitali vyuo vikuu shule mashirika ya msaada vilabu vya kujadili mashirika yasiyokuwa ya kiserikali vitongoji makanisa na vyama vya kidini siasa ni njia ya kufanya maamuzi katika ngazi mbalimbali za jamii kama vile mji taifa au hata dunia nzima siasa ya kimataifa sehemu muhimu ya siasa ni majadiliano kati ya watu mbalimbali wenye nguvu au mamlaka katika demokrasia kila mtu ana kiasi fulani cha nguvu kwa hiyo siasa ya demokrasia ina maana ya watu wote kuchangia maamuzi hapa chini mifumo mbalimbali ya kisiasa huelezwa kifupi ni mfumo wa uongozi unaompa mamlaka ya dola na ya serikali mfalme katika mfumo huu madaraka hurithiwa na mtu wa familia ya kifalme ni mfumo wa uongozi unaotoa madaraka yasiyo na mipaka kwa kiongozi katika utawala huu watu binafsi hawana haki na uhuru katika maamuzi ni mfumo unaowapa wachache kati ya wengi nguvu za maamuzi katika dola na serikali nafasi ya wachache hawa hutokana na haiba na uwezo wao kiuchumi kijamii kijeshi au kutokana na mafanikio yao katika nyanja mbalimbali za maisha mfumo huu ni nadra sana siku za hivi karibuni pia waweza kuitwa utawala wa makabaila ni utawala unaotokana na jamii kuamua misingi ya kujiongoza hivyo unatoa fursa ya madaraka kwa umma moja kwa moja au kutokana na kuwakilishwa mfumo huu wa utawala hujulikana kama demokrasia na umegawanyika katika sehemu zifuatazo ni aina ya demokrasia ya kura inashirikisha watu wote kuwa wanachama ni aina ya demokrasia inayojikita katika kulinda nguvu za kiuchumi zaidi ni aina ya demokrasia inayotokana na makundi ya watu na kisha kupitia makundi hayo watu kuunda serikali mfano chama serikali ni aina ya demokrasia inayotoa fursa ya usawa na kupinga matabaka katika jamii katika aina hii ya demokrasia wachache hupewa dhamana na wengi katika uwakilishi wa jamii katika maamuzi wachache huchaguliwa na wengi kwa njia ya demokrasia huru na haki kwa kufuata katiba ya nchi hiyo mfano wabunge huwakilisha wananchi wao katika kuleta maendeleo na kuishauri serikali juu ya maendeleo ya nchi ushairi ni utungo wa kisanaa ulio na madhumuni ya kutumbuiza au kuelimisha tena ushairi ni tawi mojawapo la fasihi andishi kinyume chake ni nathari inawezekana kutunga mashairi yenyewe au kutumia lugha ya kishairi katika aina nyingine za sanaa kwa mfano tamthiliya au nyimbo ushairi una historia ndefu kwa mfano mwanafalsafa aristotle katika kitabu chake ushairi poetics kwa kiingereza anachunguza matumizi yake katika hotuba tamthiliya nyimbo na futuhi ushairi una vipera vitano ambavyo ni katika kujenga hoja mbalimbali za ushairi ni nini wakongwe na magwiji wa ushairi wa awali walieleza maana mbalimbali za ushairi kulingana na utunzi wakongwe hao waliamini kuwa mtunzi ana uhuru wa kutunga aina za mashairi wazipendazo bora tu wapashe ujumbe kwa hadhira washairi hao walitunga mashairi bila kujali arudhi za ushairi hisabati ni somo linalohusika na idadi upimaji na ukubwa wa vitu kwa ujumla linahusika na miundo na vielezo hisabati linaundwa na masomo mbalimbali kama hesabu jiometria na aljebra neno hisabati katika lugha ya kiswahili limetokana na neno la kiarabu halisi hesabu wingi somo hili huweza kutumika kutatua matatizo mbalimbali lakini hasa ni la msingi katika uelewa wa ulimwengu kisayansi hivyo hutumiwa na masomo mengine kama fizikia jiografia kemia katika mafunzo yake mwanahisabati mjerumani carl friedrich gauss aliita hisabati malkia wa sayansi ambayo inasaidia katika uvumbuzi wa kisayansi somo la hisabati lilikita mizizi kwa sababu ya uchu wa wanasayansi kupenda kutatua shida kama vile za biashara ugavi wa ardhi na masomo ya sayari na katika kukisia uzani sheng ni lugha ya mitaani nchini kenya inayochanganya kiswahili na kiingereza pamoja na lugha mbalimbali za kienyeji kama vile kikikuyu kijaluo n k sanasana hutumiwa na vijana katika mji wa nairobi hata hivyo lugha hii inasambaa katika sehemu mbalimbali za kenya na watu wa matabaka mbalimbali wanaitumia sheng inatumiwa kwenye mabasi redio muziki na hata wakati mwingine kwenye bunge la kenya sheng ilianza kutumika mwanzoni mwa miaka ya katika kitongoji cha eastlands katika jiji la nairobi wanamuziki hasa wa mtindo wa rap wamefanya lugha hii kujulikana na kuanza kukubalika wanamuziki kama vile kalamashaka na nonini wamekuwa wakiitumia sana kwenye nyimbo zao ingawa misamiati mingi muundo na kanuni za sheng zinatoka kwenye lugha ya kiswahili sheng inatumia maneno ya kiingereza na pia lugha za makabila nchini kenya ingawa kuna watu wengi wanaoipenda na kuitetea sheng wako wengine wakiwemo walimu wa lugha shuleni na vyuoni wanaoipinga kwa maelezo kuwa inaharibu lugha ya kiswahili na pia inahatarisha uwezo wa watoto na vijana kumudu kiingereza na kiswahili sanifu baadhi ya maneno ya sheng dame msnow kiswahili ni lugha ya kibantu yenye misamiati mingi ya kiarabu lakini sasa ya kiingereza pia inayozungumzwa katika eneo kubwa la afrika ya mashariki lugha hii ina utajiri mkubwa wa misamiati misemo methali mashairi mafumbo vitendawili na nyimbo kiswahili hutumika kufundishia shuleni na kuna vitabu vingi vilivyotungwa kwa kutumia lugha hiyo vikiwa pamoja na vile vya hadithi hekaya au riwaya lugha ilianza takriban miaka iliyopita katika mazingira ya vituo vya biashara vya pwani ambako wafanyabiashara kutoka uarabuni uajemi na uhindi walikutana na wenyeji waafrika lugha kuu ya kimataifa ya biashara hiyo ilikuwa kiarabu inaonekana ya kwamba lugha mpya ilijitokeza wakati wenyeji wa pwani waliokuwa wasemaji wa lugha za kibantu walipopokea maneno mengi hasa ya kiarabu katika mawasiliano yao kwa hiyo msingi wa kiswahili ni sarufi na msamiati wa kibantu pamoja na maneno mengi ya kiarabu imekadiriwa ya kwamba karibu theluthi moja ya maneno ya kiswahili yana asili ya kiarabu kando ya kiarabu toka zamani pia kuna athira ya lugha mbalimbali kama kiajemi kihindi na kireno kuanzia karne ya hadi sasa maneno mengi yamepokewa kutoka kiingereza na katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kifaransa lakini pia kutoka lugha nyingine kiarabu kikiwa mojawapo kwa karne nyingi iliandikwa kwa herufi za kiarabu sawahili au lugha sawahiliya sarufi ya kwanza pamoja na kamusi iliandikwa mwaka na dokta ludwig krapf huko rabai mpya mombasa kiswahili kilikuwa na lahaja nyingi kutokana na lugha mbalimbali za kibantu zilizochangia katika eneo husika tangu karne ya lugha ilianza kuenea barani kwa njia ya biashara wakati wa ukoloni wa uingereza lugha ilisanifishwa na kamati ya kimaeneo ya lugha ya kiswahili kwenye msingi wa lahaja ya unguja hakuna hakika kuhusu idadi ya wasemaji wa lugha hiyo idadi zinazotajwa zinatofautiana tunadhani ni wasemaji milioni wasemaji wanaoitumia kama lugha ya kwanza hawapungui milioni na wasemaji wanaoitumia kama lugha ya pili ni zaidi ya milioni idadi ya wasemaji wa lugha ya kwanza inakua haraka kwa sababu lugha inaenea katika maeneo ambapo lugha nyingine zilikuwa lugha kuu na hasa katika miji ya tanzania imekuwa lugha kuu badala ya lugha za kikabila kutokana na mchanganyiko wa watu hata ndani ya nyumba moja kama vile wanapooana watu wa makabila tofauti jambo ambalo limekuwa la kawaida hasa tanzania ambayo inaongoza kwa matumizi ya kiswahili kwa watoto wengi kimekuwa lugha mama kati ya nchi nyingine ambapo kiswahili kinatumika kuna kenya uganda kongo kinshasa rwanda burundi msumbiji somalia na visiwa vya bahari hindi kama visiwa vya ngazija komoro kiswahili kimekuwa lugha rasmi katika nchi zifuatazo kiasili kiswahili kilikuwa lugha ya kwanza tu ya wakazi wa miji ya waswahili kwenye pwani katika sehemu za pwani pia kijijini baada ya kuenea kimekuwa lugha ya watu wengi mjini hasa tanzania lakini pia kenya kimeenea zaidi kama lugha ya mawasiliano na biashara pale ambako watu wa makabila mbalimbali wanakutana pamoja na nchi zinazotajwa hapo juu kiswahili kinatumika katika kaskazini ya msumbiji kusini kabisa ya somalia mashariki ya burundi maeneo ya mpaka wa tanzania kuna pia wasemaji kadhaa huko malawi na zambia tanzania na kenya zilipokea wakimbizi wengi waliojifunza kiswahili lakini hakuna uhakika kama bado kinatumika wakirudi rwanda sudan au somalia lugha hii leo imekuwa na umuhimu mkubwa duniani kwa jumla na hasa afrika kwa sababu ya kuenea kwake nchi mbali mbali na kukusanya kwake watu wa makabila na nchi kadha wa kadha wakaweza kufahamiana kwa lugha moja hasa ilivyokuwa ni lugha mojawapo katika lugha kubwa za africa ambazo zinachukuwa mahala pa lugha za kigeni na wakoloni kama kiarabu kiurdu kiebrania kireno na kadhalika leo imekuwa inatumiwa katika kusambaza habari katika vituo mbali mbali ulimwenguni kama vile sauti ya amerika bbc deutsche welle monte carlo rfi na nchi nyinginezo kama vile uchina urusi irani aidha imekuwa ni mojawapo ya lugha muhimu zinazofundishwa katika vyuo vikuu nchini marekani uingereza ulaya bara urusi uchina na barani afrika lugha ina maendeleo inaweza kukua kukwama au kufa athira nyingi hutokea bila mpangilio pale ambako wasemaji wanapokea maneno mapya wanaacha kutumia maneno mengine au hubadilisha kawaida ya matamshi au sarufi haya yote hutokea pia katika uwanja wa kiswahili kuna mzaha unaosimuliwa hasa tanzania kiswahili kilizaliwa unguja kilikua tanzania bara kikafa kenya na kuzikwa uganda hali halisi kiswahili kina maendeleo yake katika nchi hizo zote labda zaidi kongo lakini itategemea pia juhudi za serikali kama umoja wa lugha utatunzwa kwa sababu kuna athari nyingi kutoka lugha za kila eneo zinazoingia katika ukuzi wa kiswahili kwa namna zinazotofauitiana kuna taasisi zinazolenga kukuza na kuimarisha kiswahili kama vile taasisi ya taaluma za kiswahili tataki kwenye chuo kikuu cha dar es salaam pamoja na idara za kiswahili katika vyuo vikuu vingine vya kenya na pia uganda nchini tanzania kuna baraza la kiswahili la taifa bakita na baraza la kiswahili zanzibar bakiza ilhali nchini kenya kuna chama cha kiswahili cha taifa chakita bakita na chakita pamoja na wawakilishi kutoka uganda wanaandaa kuundwa kwa baraza la kiswahili la afrika mashariki bakama uchunguzi wa kiswahili huendelea pia katika idara za vyuo vikuu vingi duniani kwa mfano katika institute national des langues et civilisations orientales jijini paris ufaransa matumizi yake ni kwa njia ya lahaja za kingwana kati ya shughuli muhimu za taasisi hizo mojawapo ni kazi ya kukuza misamiati ya kiswahili yaani kutafuta maneno mapya au kupanua matumizi ya maneno yaliyopo ili kutaja mambo ya maisha ya kisasa yaliyobadilika utunzi wa kamusi za kiswahili hupanua elimu hiyo faida za kutumia lugha ya kiswahili zinatajwa kama ifuatavyo kiarabu ar al arabiyyah kwa kirefu al luatu al arabiyya ni lugha ya kisemiti inayotumiwa na watu milioni kama lugha ya kwanza na milioni wa ziada kama lugha ya pili ilhali kuna lahaja nyingi kiarabu sanifu ar fu ni lugha rasmi ya nchi za jumuiya ya nchi za kiarabu na ya mkutano wa kilele wa kiislamu na mojawapo ya lugha rasmi za umoja wa mataifa kuna pia matumizi kama lugha ya kidini katika uislamu hivyo kiarabu ni mojawapo ya lugha muhimu sana duniani ikisomwa kwa viwango tofauti na mamilioni ya waumini waislamu wakielekea kujifunza na kuelewa kitabu cha korani kama lugha ya kidini ina athari na taathira kubwa juu ya lugha nyingi ulimwenguni na juu ya ustaarabu na utamaduni wa watu na makabila tofautitofauti walio waislamu kiarabu kwa kawaida huandikwa kwa herufi za kiarabu ni lugha yenye utajiri mkubwa wa misamiati maneno ufasaha mkubwa wa misemo na udhibiti mkubwa wa sarufi na nahau ni lugha iliyokusanya aina nyingi za mithali na mafumbo na ina utamaduni mkubwa wa nyimbo mashairi na misemo nayo inakubaliwa na watu wengi duniani kuwa lugha yenye utamu wa matamshi na uzuri wa lafudhi kwa kuwa qurani tukufu na hadithi za mtume muhammad na mashairi ya zama za ujahili ndio yenye kudhibiti lugha hii isitetereke wala kubadilika na kupotea kama lugha nyingine nyingi leo baada ya miaka zaidi ya elfu imebaki thabiti kama ilivyokuwa wakati ilipoandikwa qurani na mabadiliko yoyote yaliyotokea hayana uhusiano na lugha yenyewe ya kiarabu bali yana uhusiano na lahaja na vilugha mbalimbali zinazotumika na waarabu wa sehemu fulani ya nchi au mji ama lugha rasmi ya kiarabu basi imedhibitika kulingana na qurani na sunnah ili maandishi hayo yaendelee kufahamika milele leo kiarabu ni lugha ya sita ulimwenguni kwa wingi wa wanayoitumia kila siku katika maisha yao baada ya kichina kihindi kihispania kiingereza na kibengali umuhimu wa lugha hii unazidi kukua kila siku kwa sababu ya kutumika kwenye maeneo ya katikati ya ulimwengu baina ya mabara ya kale afrika asia na ulaya na mabara mapya ya ulimwengu amerika ya kaskazini na kusini kiarabu pamoja na lugha ya kiebrania ya uyahudi na kiaramu ya mashariki ya kati na kiamhari ya ethiopia zinatokana na asili moja ya lugha ya kisemiti kuna lugha nyingi vile vile ambazo zinatokana na asili hii kama kiashuri kifinisia kibabili na kadhalika baadhi ya hizi lugha zimekufa au kuwa na wazungumzaji wachache na kwa hiyo umuhimu wake umekuwa si mkubwa kama ulivyo umuhimu wa lugha ya kiarabu kuna aina tatu kubwa za lugha hii ya kiarabu kiarabu ni lugha ya zamani sana tarehe yake inarudi nyuma zaidi ya miaka nayo pamoja na lugha nyinginezo za kisemiti zilikuwa zikitumika katika nchi za mashariki ya kati kiarabu fasihi ilianza kuwa na nguvu zaidi baada ya kuteremshwa qurani kwa lugha hiyo na kuhifadhiwa hadithi za mtume muhammad na kuwa ndio chanzo cha lugha zote nyinginezo za kiarabu zilizokuweko wakati huo fasihi ya kiarabu isiyo na tabia ya kidini ilikuwa hasa ushairi washairi kama abu nuwas omar khayyam hafiz ibn qayyim al jawziyyah wanakumbukwa hadi leo masimulizi kama alfu lela u lela hayakuwa fasihi yenyewe hata kama yamepata umaarufu katika nchi za ulaya maandishi mengine ya kiarabu yaliyokuwa muhimu sana ni maandiko ya falsafa na sayansi waarabu walitafsiri maandiko ya wagiriki wa kale wakaendeleza ujuzi wao katika karne zilizopita ulaya ilipokea sehemu kubwa ya elimu yake kutoka kwa waarabu kwa njia hiyo tangu karne ya na katika karne ya fasihi ya kiarabu imepata uamsho mkuu khalil jibran wa lebanon yuko kati ya washairi wanaosomwa zaidi kimataifa nagib mahfuz wa misri ni mwandishi mwarabu wa kwanza aliyepokea tuzo ya nobel ya fasihi mwaka uislamu kwa kiarabu al islam ni dini inayotokana na mafunzo ya mtume muhammad wafuasi wa imani hiyo huitwa waislamu na wanakadiriwa kuwa milioni hivi hivyo ni dini ya pili duniani yenye wafuasi wengi baada ya ukristo wenye wafuasi milioni uislamu ni ile imani kuwa muumba ni mmoja tu kwa dhati na sifa zake nguzo nyingine za imani zinajengwa juu ya imani ya mungu mmoja wa kweli imani juu ya maisha baada ya kifo imani juu ya malaika wa mungu vitabu vyake na kudra na tafsiri ya vitendo ya imani hii ni sala zakah saumu na hija imani katika uislamu ni kumwamini mungu mmoja tu peke yake anayeitwa allah ambaye hajazaa wala hajazaliwa na hafanani na yeyote yule kitabu kitakatifu cha waislam ni qur an ambayo inaaminiwa ilifunuliwa kwa mtume muhammad kutoka kwa mwenyezi mungu mbinguni kupitia malaika jibrili ni kawaida kusema qurani iliteremshwa kwa muhammad kwa imani hiyo kabla yake walioteremshiwa kitabu ni musa torati daudi zaburi na isa injili pamoja na qurani kuna mafundisho ya sunna na hadith ambayo ni maneno ya mtume muhammad na masimulizi juu ya matendo yake ambayo pengine hutazamiwa kama mwongozo katika uislamu allah ndiye mungu pekee na muumba wa kila kitu qurani inasisitiza kwamba hana mshirika hana baba wala mwana hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mwanzo wala mwisho pamoja na amri mbalimbali kuna mfumo wa sheria za kidini zinazoitwa kwa jumla sharia inajumlisha maagizo kuhusu mambo mengi ya maisha ya kila siku uchumi na siasa muhammad alizaliwa mnamo mwaka bk kama mtoto wa mfanyabiashara mjini maka uliopo kwenye bara arabu kufuatana na mapokeo ya kiislamu malaika jibril alimtokea alipokuwa na umri wa miaka yaani mnamo mwaka kutoka kwa malaika alipokea maneno ya kurani na ufunuo huu uliendelea hadi mwisho wa maisha yake mtume alitangaza yale aliyosikia kwa wafuasi wake na maneno haya yalianza kukusanywa tayari wakati wa maisha ya mtume baada ya kifo chake mwaka khalifa wa tatu uthman ibn affan alikusanya muswada na kumbukumbu zote na kuziweka pamoja na kuwa kitabu kamili ujumbe uliohubiriwa na muhammad huko maka ulipata wasikilizaji wachache lakini viongozi wengi wa kikuraishi waliokuwa kabila kubwa maka waliwaona kama hatari kwa maka na mwaka waislamu walipaswa kutoka maka wakahamia yathrib mji wa jirani uliojulikana baadaye kama madina uhamisho huu unaitwa hijra na tangu khalifa wa pili umar ibn al khattab huhesabiwa kuwa ni chanzo cha kalenda ya kiislamu mjini yathrib mtume aliendelea kuwa kiongozi wa kisiasa na wa kijeshi alifanya mapatano na watu wa yathrib iliyoitwa baadaye madinat an nabi ikajulikana kwa kifupi kama madina kutoka madina mtume alianza kushambulia misafara ya watu wa maka akawashinda mara kadhaa wakati huohuo aliwafukuza wayahudi wa yathrib mwaka viongozi wa maka walilazimishwa kufanya mapatano na waislamu na mwaka jeshi la waislamu liliingia mjini maka mtume alipoaga dunia mwaka sehemu kubwa ya bara arabu ilikuwa chini ya uislamu tayari uislamu unawafunza wafuasi wake mambo mengi yanayohusiana na maisha ikiwa yale yanayohusu ibada kama sala zakat saumu na hija ambazo pamoja na kauli ya shahada nakiri kwa moyo na kubaini kwa ulimi kwamba hakuna mola apasaye kuabudiwa kwa haki ila allah na muhammad ni mtume wake huitwa nguzo za uislamu au yale yanayohusu maingiliano baina ya wanadamu yakiwa maingiliano ya kijamii kama ndoa na talaka na ujirani mwema au ya kiuchumi kama biashara au ya kisiasa kama kawaida za kumchagua kiongozi wa dola au ya uhusiano baina ya mataifa mbali mbali ulimwenguni uislamu unatazamwa kuwa mfumo kamili wa maisha ya binadamu kiimani kimaisha kisiasa kijamii na kiuchumi ibada katika uislamu ni vile vitendo ambavyo muislamu anamfanyia mwenyezi mungu peke yake kwani ibada yoyote haitakikani iwe na ushirikina ndani yake na wakati itakapokuweko aina yoyote ya shirki basi ibada ile inakuwa haina maana wala thawabu wala ujira wowote ni kazi ya bure kwa hiyo kila muislamu anatakikana wakati anapofanya ibada yake afanye kwa ajili ya mola wake aliyemuumba akampa kila aina ya neema na kumtukuza kuliko viumbe vingine vyovyote kwa kumpa akili fahamu na elimu nguzo zauislamu umejengwa uislamu kwa mambo matano kushuhudia ya kwamba hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa mwenyezi mungu na kwamba muhammad ni mja wake na ni mtume wake na kusimamisha swala tano za kila siku na kutoa zaka na kuhiji nyumba tukufu al ka abah ilioko makkah na kufunga mwezi wa ramadhani imepokewa na bukhari na muslim kuna matendo kadhaa ambazo zinaitwa nguzo za uislamu kwa kawaida ni tano zinazofundishwa katika madhehebu ya wasunni jinsi inavyoonyeshwa hapo chini washia hawahesabu shahada kati ya nguzo tano wakiona shahada pamoja na imani ya kiislamu ni msingi kwa nguzo tano halafu wanaongeza wilayat yaani kukubali uongozi wa maimamu kama nguzo ya tano uislamu umeweka kawaida mbali mbali katika maisha wakati watu wanataka kuweka uhusiano fulani baina yao ili mambo yaende vizuri na uhusiano uzidi kuwa mwema baina yao katika maingiliano yaliyowekewa kawaida na nidhamu katika uislamu ni mambo yanayohusu kuna mielekeo mikubwa miwili ndani ya uislamu ambayo ni vikundi vya wasunni na washia kundi kubwa ni wasunni waliopata jina kutokana na sunna kawaida ya mtume takriban asilimia ya waislamu wote huhesabiwa humo kati yao kuna madhehebu ambao ni hanafi maliki hanbali na shafii tofauti katika mafundisho si kubwa zinahusu hasa sharia na fikh kundi dogo zaidi ni washia ambao wamegawanyika kati yao katika vikundi vingi washia walijitenga na wasunni baada ya makhalifa wanne wa kwanza kuhusu swali ni nani anayefaa kuongoza waislamu washia ni wale waliosisitiza sharti awe mtu kutoka ukoo wa muhammad kupitia binti yake fatima vikundi vya washia vinatofautiana juu ya viongozi hawa jumuiya kubwa ya washia ni ithnashara walio wengi huko uajemi irak na lebanoni kurani kwa kiarabu qur an ni kitabu kitukufu cha uislamu ambacho kinatazamwa na waislamu kama neno la allah mwenyezi mungu kitabu hiki kwao ni tofauti kabisa na maandiko ya vitabu vya dini nyingine kwa maana hicho kinaaminika kwamba kimeandikwa moja kwa moja na mwenyezi mungu kupitia mtume wake wa mwisho muhammad imeandikwa na kusomwa kwa lugha ya kiarabu pekee kwa zaidi ya miaka kadiri ya qurani mungu alimuambia muhammad na namna hivi tumekufunulia qurani kwa kiarabu ili uwaonye watu wa makka na walio pembeni mwake lakini kwa vile leo waislamu walio wengi ulimwenguni hawajui kiarabu maana halisi ya qur an hutolewa kwa lugha nyingine hivyo kupelekea wasomaji kuelewa vyema yale maneno ya kiarabu kwenye qur an yana maana gani vitabu hivyo ni kama kamusi kwa ajili ya qur an hawavisomi hivi kama moja ya sehemu ya quran tukufu na waislam ili kuwa badala ya quran ya kiarabu waislamu wengi wanaamini kwamba tafsiri ile siyo ya qur an tukufu na wala siyo ya kweli ni kopi ya kiarabu tu iliyotolewa kwenye qur an ya kweli waislamu wanaamini kwamba qur an tukufu mtume muhammad alipewa na malaika jibrl kwenye pango la mlima hira kwa kipindi cha zaidi ya miaka ishirini na tatu hadi mauti wake ilipomfikia qur an tukufu haikuwa kitabu cha maandiko wakati wa uhai wa mtume muhammad iliwekwa kwa mawasiliano ya kimdomo tu bimaana watu walihifadhi kichwani mtume labda hakuwa anajua kusoma wala kuandika lakini kwa mujibu wa waislamu swahaba wake abu bekr alikuwa akiandika maandiko yale juu ya kitu fulani wakati huo mtume muhammad yu hai pale abu bekr alipokuja kuwa khalifa ameileta qur an na kuwa kitabu kitakatifu uthman ambaye ni khalifa wa tatu ameondoa vipengele ambavyo vilikuwa havihusiani na qur an tukufu kuna sehemu katika qur an ambayo inafanya kuwa na sura kila sura ina namba tofauti ya mistari kwa mujibu wa mafunzo ya kiislam sura kati ya hizi zimeshuka mjini makka sura kati ya hizi zimeshuka mjini madina miongoni mwa sura zilizoshushwa mjini medina ni pamoja na al baqara al imran al anfal al ahzab al ma ida an nisa al mumtahina az zalzala al hadid muhammad ar ra d ar rahman at talaq al bayyina al hashr an nasr an nur al hajj al munafiqun al mujadila al hujraat at tahrim at taghabun al jumua as saff al fath at tawba al insan katika qu ran tukufu inasomwa kwamba wayahudi na wakristo pia huamini mungu wa kweli dini hizi pamoja na uislamu huitwa za abrahamu kwa sababu ya mahusiano haya kuna baadhi ya kurasa za qu ran zinazoelezea habari za mambo ya watu wa katika biblia kwa mfano watu wa katika biblia waliotajwa kwenye qu ran ni pamoja na adamu nuhu abraham lutu ismaili yakobo yosefu haruni musa mfalme daudi solomoni elisha yona yobu zakaria yohane mbatizaji bikira maria na yesu hata hivyo kuna tofauti za muhimu kabisa baina ya uislamu na toleo la biblia katika kuelezea habari za aina moja kwa mfano qu ran tukufu inaelezea kwamba yesu kristo si mwana wa mungu kama jinsi wakristo wanavyoamini kwa waislamu alikuwa nabii tu anayeheshimiwa kwa jina la isa bin mariamu uislamu unafundisha kwamba haya yanatokea kwa sababu maandiko ya awali ya biblia yamepotea na hivyo kuna baadhi ya watu wameyabadilisha lakini nje ya qu ran hakuna uthibitisho wa fundisho hilo hadithi au sunnah ni maneno na vitendo ambavyo mtume muhammad alikuwa akisema au akifanya katika kipindi chake cha utume hadithi hizi ni mmoja kati ya miongozo ya imani kwa waislamu hadithi hizi zinajumuisha pia mambo aliyoyaona au kuyasikia katika muda wa utume wake akalinyamazia kimya au akawa hakulipinga na akalikubali muhammad aliishi miaka kama arobaini bila kuwa na imani ya mungu pekee kisha mwenyezi mungu akamletea mjumbe kutoka kwake aitwaye malaika jibrili anayeaminiwa na waislamu kuwa ndiye aliyempa aya zilizoko katika msahafu wa waislamu kurani inaelezwa kuwa jibrili alimpa muhammad aya hizo kwa muda wa miaka ishirini na mitatu mpaka alipofariki dunia akiwa na umri wa miaka hadithi za mtume muhammad zimekusanywa katika vitabu vingi sana na wanazuoni mbalimbali wa hadithi lakini vitabu vya hadithi ambavyo ni muhimu na vinategemewa na wengi katika uislamu ni hivi vifuatavyo mtume muhammad alikuwa hapendelei hadithi zake ziandikwe wakati mmoja na kurani yasije yakachanganyika maneno yake na yale ya mwenyezi mungu kwa hiyo hadithi zilichelewa kuandikwa mpaka baada ya kufariki kwake dunia kwa muda mkubwa kidogo na kwa sababu hiyo hadithi zikatawanyika sehemu mbalimbali kulingana na usahihi wake au udhaifu wake au uwongo wake hivyo kuna hadithi aina nne kulingana na fahamu na kutegemewa kwa msimulizi wa hiyo hadithi hadithi sahihi hadithi hasan nzuri hadithi dhaifu na hadithi maudhu u hadithi ya uwongo vile vile kuna aina nyingine za hadithi zilizogawanyika kwa mujibu wa mambo mengine kama vile kwa mujibu wa wapokezi au mfululizo wa wasimulizi au idadi ya wasimulizi katika kila sehemu ya mfululizo au kwa mujibu wa simulizi lenyewe na msimulizi wake ukristo kutoka neno la kigiriki khristos ambalo linatafsiri lile la kiebrania m linalomaanisha mpakwamafuta ni dini inayomwamini mungu pekee kama alivyofunuliwa kwa waisraeli katika historia ya wokovu ya agano la kale na hasa yesu kristo katika agano jipya ambaye ni mwanzilishi wake katika karne ya dini hiyo iliyotokana na ile ya wayahudi inalenga kuenea kwa binadamu wote na kwa sasa ni kubwa kuliko zote duniani ikiwa na wafuasi kati ya watu bilioni ambao nusu ni waamini wa kanisa katoliki na nusu ya pili wamegawanyika kati ya waorthodoksi na waprotestanti wa madhehebu mengi sana karibu wote wanakubali utatu mtakatifu yaani kwamba milele yote mungu ni nafsi tatu zenye umoja kamili baba mwana na roho mtakatifu ni kwa jina lao kwamba mataifa yote wanahimizwa kubatizwa kwa maji ili kuzaliwa upya kadiri ya agizo la yesu ili kuingizwa katika fumbo la mungu pekee kupitia fumbo la kifo na ufufuko wake mwenyewe kitabu kitakatifu cha ukristo kinajulikana kama biblia ndani yake inategemea hasa injili na vitabu vingine vya agano jipya wakati wa mababu wa kanisa misingi ya imani ya ukristo ilifafanuliwa na mitaguso ya kiekumeni namna inayokubaliwa na wengi kabisa kati ya wakristo wa leo maungamo yao yanakiri kwamba yesu ni mwana wa mungu aliyefanyika mtu ili kuwaokoa binadamu baada ya kuteswa na kuuawa msalabani alizikwa ila akafufuka siku ya tatu akapaa kwa mungu akishiriki mamlaka ya baba hadi atakaporudi kuhukumu waadilifu na wasiotubu akiwapa tuzo au adhabu ya milele kadiri ya imani na matendo yao hivyo kati ya madhehebu ya ukristo karibu yote yanamkiri yesu kuwa kwa pamoja mungu kweli na mtu kweli katika umoja na nafsi yake ya kimungu zinapatikana sasa hali hizo zote mbili yote yanamkiri kuwa mwokozi wa watu wote na kuwa ndiye atakayerudi mwishoni mwa dunia kwa hukumu ya wote ingawa maelezo kuhusu jambo hilo yanatofautiana vilevile yote yanamchukua kama kielelezo cha utakatifu ambacho kwa msaada wa roho mtakatifu na wa sakramenti zilizowekwa na yesu mwenyewe kuanzia ile ya ubatizo kiwaongoze ndani ya kanisa katika maadili yao maalumu kuanzia unyenyekevu na upole hadi upendo unaowaenea wote bila kumbagua yeyote hata adui chimbuko la ukristo ni mtu huyo aliyezaliwa takriban miaka iliyopita huko mashariki ya kati katika kijiji cha bethlehemu kilichopo hadi hivi leo kwenye mipaka ya palestina alikuwa akiitwa yesu wa nazareti kijiji alikokulia au mwana wa yosefu mchonga samani mama yake akifahamika kwa jina la bikira maria kwa kumuita pia kristo wafuasi wake walikiri kwamba ndiye aliyetimiza utabiri wa manabii wa kale kama unavyopatikana katika vitabu vya biblia ya kiebrania na deuterokanoni habari za maisha na mafundisho yake zinapatikana kirefu zaidi katika injili nne zilizokubalika katika agano jipya kwa jumla lakini pia ziliandaliwa na kutabiriwa na agano la kale ukristo ni matokeo ya utume wa yesu uliopokewa na waliomwamini kuwa ndiye masiya yaani mkombozi aliyetimiliza ahadi za mungu kwa binadamu katika kitabu cha mwanzo tunasoma utabiri wa kuja kwake ulianzia katika bustani ya edeni pale mungu alipomwambia nyoka yaani shetani kuhusu mwanamke kwamba uzao wake utakuponda kichwa mwa baadaye abrahamu babu wa taifa la israeli kwa imani na utiifu wake kwa mungu aliahidiwa kwamba katika uzao wake mataifa yote yatabarikiwa musa mwanaharakati aliyewakomboa watu wa israeli kutoka utumwani misri takribani miaka kk kabla ya kuzaliwa kwa yesu ndiye nabii wa kwanza kutabiri wazi kwa niaba ya mungu ujio wa masiya au kristo kumb hususan mstari nitawainulia nabii kama wewe kutoka miongoni mwa ndugu zenu na nitatia neno langu kinywani mwake na atasema nao yote niliyomwamuru kuja kwake kulitimia katika agano jipya ambalo ni ukamilifu wa yote yaliyotabiriwa katika agano la kale kwani musa alitumwa kuanzisha agano la kale kama maandalizi ya agano jipya akikabidhi mifumo mingi ya nje na ndani kwa watawala na waamuzi waliomfuatia watakaoshikilia agano la kusubiri masiya wakishirikiana na manabii na makuhani yesu alizaliwa miaka kama baada ya abrahamu vitabu vya injili vinaeleza matukio na mafundisho ya yesu ambayo ndiyo mwongozo wa imani hiyo maisha na kazi ya yesu vimeibua mambo mengi katika historia ndiyo sababu kalenda iliyoenea duniani huhesabu miaka kutoka ujio wake huu ni mchango mmojawapo wa ukristo katika ustaarabu yesu alifanya ishara za kustaajabisha au miujiza matokeo ni kwamba watu wengi wakamwamini nikodemu mshiriki mmojawapo wa baraza la sanhedrini ambalo lilikuwa pia mahakama kuu ya wayahudi alivutiwa na kutaka kujua zaidi kuhusu siri ya miujiza hiyo na ujumbe kutoka kwa mungu kwani yeye alihamasika kuona ishara zile kutoka kwa mungu yesu akamjibu kwamba hakika mtu hawezi kuingia ufalme wa mungu asipozaliwa mara ya pili kwa maji na roho mtakatifu pia akajieleza kuwa mpatanishi wa ulimwengu wa dhambi na mungu na kwamba kila anayemgeukia kwa imani hatapotea bali atarithi uzima wa milele alisema mwenyewe ni mfano wa nyoka wa shaba aliyetengenezwa na musa yoh hes akiwa kando ya ziwa la galilaya yesu alikuta umati wa watu umekusanyika basi akapanda mashuani na kuenda mbali kidogo na ufuoni akaanza kuwafundisha kuhusu ufalme wa mbinguni kupitia mfululizo wa mifano mmojawapo ni huu ufuatao ufalme wa mbinguni ni kama punje ya haradali ambayo mtu anaipanda ingawa ni mbegu ndogo sana inakua na kuwa mti wa mboga mkubwa kuliko yote inakuwa mti ambao ndege wanauendea wakipata makao katika matawi yake math mk lk zab isa jumuia ya wakristo inaitwa kanisa yaani mkusanyiko kama lilivyotajwa na yesu mwenyewe hasa katika injili ya mathayo wewe ndiwe petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu wala milango ya kuzimu haitalishinda yesu aliita wengine pamoja na petro kuunda kundi la mitume wake idadi yao ilipangwa kwa kusudi la kudokeza kwamba ndiyo mwanzo mpya wa taifa la mungu kama vile watoto wa yakobo israeli walivyokuwa mwanzo wa taifa lake la kale yesu aliwapa hao thenashara mamlaka ile aliyopewa na mungu baba ili kuokoa watu yesu na wanafunzi wake wa kwanza walikuwa wayahudi yaani walizaliwa katika uzazi wa abrahamu wakiwa watoto wa agano lililofanywa kati ya mungu na taifa lake la israeli zamani za musa wakati wa yesu waisraeli hao waliitwa wayahudi walio wengi waliishi nje ya nchi ya israeli palestina kutokana na vita vingi vya zamani vilivyosababisha wakimbizi kuhamia nchi zenye usalama zaidi jumuiya za wayahudi zilipatikana katika miji yote mikubwa ya afrika kaskazini hasa misri na libia ulaya kusini na asia magharibi mpaka uajemi kwa upande mmoja wayahudi walitoka katika ukoo wa ibrahimu hasa waliokaa israeli palestina lakini watu wengine wenye asili ya mataifa tofauti waliwahi kujiunga na imani ya wayahudi na kuchukua hatua ya kuongoka na kutahiriwa katika mazingira yao wayahudi walikuwa watu wa pekee waliomshuhudia mungu mmoja tu walikuwa tofauti na wengine kwani hawakushiriki katika ibada ya miungu ya serikali tena walitunza utaratibu wa sabato yaani kutotenda kazi siku ya saba mitume wa yesu walizunguka awali hasa katika jumuiya za wayahudi kila mahali walipokwenda mwanzoni kanisa lilionekana kama dhehebu la kiyahudi tu baada ya kupokea watu kutoka mataifa bila kuwatahiri hali ilibadilika kanisa likawa taifa la mungu kutoka kwa wayahudi na kwa mataifa mara baada ya yesu kwenda zake katika tukio linalotajwa kupaa kwake mbinguni wafuasi wake wakarudi yerusalemu yapata mwendo wa sabato na walipoingia huko wakapanda ghorofani walipokuwa wakikaa mtume petro na wenzake hata ilipotimia siku ya pentekoste walikuwapo wote mahali pamoja ukaja upepo toka juu kama upepo wa nguvu ukienda kasi ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi kukatokea na ndimi zilizogawanyikana kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao wote wakajazwa na roho mtakatifu wakaanza kusema kwa lugha nyingine kama roho alivyowajalia mdo hii ilifuatiwa na petro na wenzake kuanza kuhubiri ufufuko wa bwana yesu na hatimaye kugusa watu waliokubali kubatizwa siku hiyo mdo watu walipokuwa wakidumu katika fundisho la mitume sala kumega mkate na katika ushirika wengi wakaona ishara zao nyingi basi nao wakauza mali zao na vitu walivyokuwanavyo na kugawia watu wote kama kila mtu alivyokuwa na haja basi siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu wakila pamoja na kushiriki kwa moyo mweupe hivyo ndivyo jumuia ilivyozaliwa na kufahamika kama kanisa mdo kukutanika na kushiriki mafumbo makuu kushukuru na kusifu pamoja na uwepo wa vipaji na karama za roho mtakatifu hufanya kanisa liwe hai ujumbe wa yesu ulienea haraka toka yerusalemu hata lida yafa kaisaria samaria damasko n k na kuanzisha jumuia nyingi nazo jumuia kwa bidii za waamini wa mwanzo zikafika foinike kipro antiokia ambako waliitwa wakristo kwa mara ya kwanza kutokana na waamini wa mataifa mengine kuwazidi wale wenye asili ya kiyahudi mdo imani na desturi za mikusanyiko hiyo zenye asili ya kiyahudi zilitapakaa na hivyo kuanza kusuguana na mapokeo ya jamii mbalimbali zilipopenya hii inatokana na ukweli kwamba watu wengi wa siku zile tayari walikuwa na imani zao walizokuwa wakizitunza basi ukaja wakati ambao wakristo wakaanza kukosoana kuhusu dhamiri zao na huduma ndiyo asili ya nyaraka mbalimbali ambazo zinaunda sehemu muhimu wa agano jipya kila jumuiya inatumia mbinu zake za uongozi mkuu wa jumuiya ya wanafunzi tangu mwanzo ni bwana yesu lakini kama kundi ni kubwa kazi ya uongozi ni tofauti haiwezekani kufanya kila kitu pamoja watu wakiwa wengi ipo lazima ya kugawana kazi na madaraka suala hili limekuwa muhimu sana katika historia ya ukristo njia mbalimbali za uongozi ambazo zilitafutwa na kujaribiwa zinaonyesha tofauti muhimu kati ya madhehebu mbalimbali kwa jumla njia hizo zote zinajaribu kuiga mifano ya ushirika wa kwanza inayopatikana katika biblia vyeo na shughuli maalumu zilizopo katika ukristo leo vina asili na mwanzo katika ugawaji wa madaraka ulivyokuwa wakati wa mitume katika nyaraka za paulo ambazo ni maandiko ya kwanza katika agano jipya tunaona hali ya ukristo mwanzoni kabisa paulo anataja mitume manabii walimu wenye vipawa mbalimbali kor n k au maaskofu na mashemasi pia wazee kwa jumla hakuna picha kamili ya utaratibu mmoja uliokuwepo kila mahali katika ushirika wa kwanza kule yerusalemu mitume yaani marafiki wa yesu wa karibu waliotumwa naye na kupewa kazi ya kueneza habari njema ndio waliokuwa viongozi lakini baada ya muda mfupi kazi zilikuwa nyingi hivyo wakaongeza wasaidizi saba hao saba walishughulikia hasa huduma za upendo yaani kuwagawia wajane na wazee misaada baada ya mtume petro kuhama yerusalemu yakobo mdogo ndiye aliyeongoza ushirika huo mwishoni mwa karne ya cheo cha askofu kiliimarika sana lakini pia vikundi vya wakristo wenye vyeo maalumu vya utumishi vilianza kutokea pamoja na askofu vyeo vya kasisi na shemasi vilikuwa kawaida mashemasi wa kike walipatikana pia mwanzoni lakini walipotea baadaye kutokana na utamaduni uliokazia kipaumbele cha wanaume kuanzia mwaka hivi kanisa likaitwa katoliki maana yake kanisa moja kwa ajili ya nchi zote na watu wote tofauti na vikundi vilivyojitenga nalo kila mji ulikuwa na askofu wake aliyeongoza kanisa maaskofu wa eneo au mkoa mmoja walikuwa chini ya askofu mkuu maaskofu wa roma ulaya hadi afrika kaskazini magharibi aleksandria afrika na antiokia asia waliheshimiwa kuliko maaskofu wengine wote wakaitwa papa na patriarki cheo cha patriarki kilipatikana pia kwa askofu wa bizanti leo nchini uturuki baada ya makaisari wa roma kuhamia kule na vilevile kwa askofu wa yerusalemu katika karne za baadaye vikundi mbalimbali vilianza kupinga kuwapo kwa vyeo maalumu vya utumishi walisisitiza zaidi ukuhani wa wakristo wote maana yake kila mkristo hushiriki utumishi ulio mmoja tu katika kanisa madhehebu mengine ya kiprotestanti yakikumbuka sana matatizo ya utaratibu wa kiaskofu wakati wa karne za kati yaliona afadhali kuendelea bila cheo hicho wakatoliki waorthodoksi waorthodoksi wa mashariki pamoja na wamoravian na waanglikana wamehifadhi ngazi za kale yaani uaskofu ukasisi na ushemasi nchini tanzania walutheri pia wabatisti wa aina ya a i c wanaheshimu cheo cha uaskofu lakini kimataifa sehemu kubwa ya walutheri na hasa wapresbiteriani reformed na wabatisti hawana askofu wakisisitiza zaidi uwezo na haki ya kila mkristo kushiriki katika shughuli zote za utumishi akichaguliwa imani ya ukristo ni juu ya yesu alikuja kwelikweli hapa duniani alichagua kuja katika nchi ile ya israeli miaka iliyopita akawachagua wanafunzi wake ambao tunawaita mitume hakika alikuwa na maana kufanya hivyo mitume ndio waliotekeleza maagizo ya yesu basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi mkiwabatiza kwa jina la baba na mwana na roho mtakatifu na kuwafundisha kuyashika yote niliyoamuru ninyi na tazama mimi nipo pamoja nanyi siku zote hata ukamilifu wa dhahari math biblia inatupa habari za aina hii wale mitume ni mifano ya ukristo wetu katika nguvu au karama zao lakini pia katika udhaifu wao petro ni jina lenye maana ya mwamba alikutana na yesu akiwa mvuvi akaendelea kuwa rafiki yake wa karibu sana yesu alipokamatwa petro alitaka kutumia upanga wake ili amtetee lakini alipoulizwa baadaye kama yeye ni rafiki wa yesu aliogopa akasema hamjui katika ushirika wa yerusalemu alikuwa kiongozi muhimu alikuwa mtume wa kwanza kumpokea katika kanisa watu wasio wayahudi bila kudai watahiriwe kwanza baadaye akawa katika mji mkubwa wa antiokia katika taarifa ya luka tunamwona tena yerusalemu alipokutana na paulo na kushauriana juu ya kupokea wapagani katika ukristo agano jipya ina nyaraka mbili zilizoandikwa kwa jina lake kumbukumbu ya kale inasema alifika mpaka roma hapo aliuawa pamoja na paulo katika mateso ya kwanza ya wakristo chini ya serikali petro ni mfano mzuri wa nguvu na udhaifu katika maisha ya kikristo alikuwa na moyo mkuu kumtetea yesu kwa upanga asikamatwe lakini mpaka siku ile hakuelewa kwamba njia ya yesu si njia ya silaha alitaka kuwa karibu na yesu lakini kwa hofu akamkana alimwingiza katika kanisa jemadari mpagani lakini baadaye akawaogopa waliosema kwamba mpagani asiingie katika ushirika mpaka awe ametahiriwa na kuwa myahudi kwanza mwishoni mwa maisha yake petro akawa shahidi wa damu kwa bwana wake kule roma akafa msalabani kama yesu kanisa la roma linamkumbuka kama askofu wake wa kwanza kila papa wa kanisa katoliki huitwa mwandamizi wa petro kwani anashika cheo cha askofu wa roma kinachoaminika kuwa cha kwanza kati ya maaskofu wote duniani paulo hakuwa mfuasi wa yesu alipokuwa duniani alikuwa myahudi farisayo mzaliwa wa tarso mji wa kilikia leo nchini uturuki alikwenda palestina kwa masomo ya kidini tunasikia habari zake alivyohusika na kifodini cha stefano mdo baadaye akatumwa na baraza kuu la kiyahudi kuwatafuta wayahudi waliojiunga na ukristo na kuwakamata kama wakosaji aliposafiri hadi dameski mji mkuu wa siria kwa ajili hiyo yesu alimtokea katika ono akaongoka kuwa mkristo hivyo mtesaji wa wakristo akawa mhubiri mkuu wa injili hakuna mwingine kati ya mitume wote aliyesafiri kuhubiri na kuanzisha shirika kama paulo katika safari kubwa tatu alizunguka asia magharibi na ulaya kusini akaendelea kufundisha shirika alipoondoka kwa njia ya barua au nyaraka nyaraka zake mbalimbali zimehifadhiwa katika agano jipya katika nyaraka hizo paulo anaonekana kuwa mtaalamu wa sheria ya kiyahudi ilivyo katika agano la kale akatetea kupokea wapagani katika kanisa akafundisha jinsi gani uhuru katika kristo unavyopita masharti ya sheria ya kale mwishoni akakamatwa kule yerusalemu akashtakiwa ya kuwa amehatarisha amani kama mzaliwa wa tarso alikuwa na uraia wa roma akadai haki yake ya kukata rufaa kule mbele ya kaisari akapelekwa roma mdo hatuna hakika juu ya kesi yake labda alipata nafasi ya kusafiri tena na kuhubiri injili mpaka hispania lakini kumbukumbu ya kale inatuambia kwamba aliuawa baada ya petro kwa kukatwa kichwa katika mateso ya kwanza ya wakristo bk paulo ni mfano mzuri jinsi gani mtu aliyepinga injili vikali aliongozwa kuihubiri nyaraka zake zinatuonyesha jinsi gani mkristo anaweza kutumia akili yake pamoja na imani katika maandishi yake tunapata mtu aliyebebwa na imani katika matatizo na mateso makubwa anatufundisha kutoangalia ukristo kama sheria au amri tu fanya acha bali kama jibu la upendo la mtu aliyeelewa upendo wa mungu kwanza mtume anayekumbukwa sana kule india ni thoma au tomaso aliyefika mpaka bara hindi kaburi lake huonyeshwa katika mji wa madras mpaka leo wako wakristo wa thoma kusini magharibi mwa bara hindi kwa muda mrefu walikosa mawasiliano na wakristo wengine waliokuwa mbali lakini siku hizi wanashiriki katika umoja wa kanisa duniani ukristo ulianza mashariki ya kati kama madhehebu ya uyahudi ukaenea haraka kwa watu wa mataifa mengine mengi ya asia afrika na ulaya hivi kwamba waamini wenye asili ya kiyahudi walizidi kuwa asilimia ndogo hasa kufikia mwisho wa karne ya kwa juhudi za mitume waliowahi kuchaguliwa na yesu na za wengineo hasa mtume paulo ukristo ulienea hasa ndani ya mipaka ya dola la roma na kupokea yaliyo mema kutoka umataduni hasa wa wagiriki mashariki na walatini magharibi bila kukwamishwa na dhuluma za serikali zilizodumu kwa kwikwi miaka karibu hata nje ya dola hilo ukristo ulikabiliana na dhuluma kama vile mesopotamia na uajemi ambapo ulidumisha zaidi sura asili ya kisemiti wakati wa maisha ya mitume dhuluma zilizotabiriwa na yesu zilianza kutoka kwa wayahudi wasiomuamini na kutoka kwa watu wengine wa kwanza kuuawa alikuwa stefano na kati ya mitume yakobo mkubwa kabla ya kufa wengi kwa kuuawa mitume waliweka waandamizi wao ambao kati yao maaskofu mwanzoni mwa karne ya walikuwa wameshika uongozi wa makanisa wakisaidiwa na mapadri na mashemasi wakati huohuo vitabu vingi vya kikristo vilivyotungwa katika nusu ya pili ya karne ya vilizidi kuenea na kukusanywa hadi vikaunda agano jipya baada ya hapo vitabu viliendelea kuandikwa kwa kutetea kutangaza na kufafanua imani sahihi ndiyo mwanzo wa teolojia kama fani maalumu tofauti za ufafanuzi huo kama zile kati ya shule ya aleksandria na shule ya antiokia ndizo chanzo cha mabishano yaliyochangia mafarakano makubwa yaliyotokea hasa katika karne ya ingawa kuanzia mwaka mitaguso mikuu ilikusanya maaskofu wengi kutoka sehemu mbalimbali ili kumaliza migogoro tofauti za lugha na utamaduni pamoja na utaifa zilichangia sana mafarakano maendeleo mengine muhimu yalipatikana katika maisha ya kiroho kwa uanzishaji wa umonaki wa kikristo kwanza katika majangwa ya misri halafu sehemu nyingine zote juhudi za watu hao zilichochea waumini wenzao pia kuwa waaminifu katika ulimwengu uliozidi kuwashawishi badala ya kuwatesa ni kwamba kufikia mwisho wa karne ya ukristo ulikuwa dini rasmi ya dola la roma ambalo kabla ya hapo kwa miaka karibu lilikuwa limeukataza kikatili kabla yake armenia ilikuwa nchi ya kwanza kupokea ukristo kama dini ya taifa ushindi huo ulifanya wengi watamani vyeo ndani ya kanisa kwa kuwa viliendana sasa na heshima na mali hivyo ubora ulipungua dola la roma magharibi lilipozidi kudhoofiwa na uvamizi wa wagermanik na makabila mengine yasiyostaarabika askofu wa roma kama mchungaji mkuu alilazimika kuwajibika ili kuokoa jahazi ndivyo walivyofanya hasa papa leo i na papa gregori i kwa juhudi za wamonaki wabenedikto na wengineo ustaarabu wa kale uliokolewa katika vitabu vyake na uinjilishaji uliendelea katika ulaya ya kati kumbe uenezi wa uislamu kuanzia karne ya ulidhoofisha na pengine kukomesha kabisa ukristo katika nchi nyingi ukirudisha nyuma ustawi wa kanisa lote hata hivyo mwanzoni mwa karne ya uislamu ulizuiwa na wafaranki kuenea zaidi ulaya bara kabila hilo kubwa la kigermanik liliwahi kujiunga na kanisa katoliki likawa msaada mkubwa kwa mapapa isipokuwa kwa kuwaachia watawale italia ya kati walisababisha papa aanze kuwa kama mfalme wa dunia hii jambo lililoathiri sana majukumu yake ya kiroho hadi mwaka katika karne za kati ulaya yote ilikwisha kuwa ya kikristo kutoka huko ulienea pamoja na ustaarabu wa magharibi ulioathiriwa sana na ukristo katika amerika yote na sehemu nyingine za dunia katika historia ndefu ya ukristo yalitokea mafarakano mengi waamini wa yesu wakizidi kutofautiana makundi makubwa zaidi ni kanisa katoliki makanisa ya waorthodoksi na ya waorthodoksi wa mashariki na madhehebu ya uprotestanti hasa tangu mwaka madhehebu mengi yanashiriki juhudi za ekumeni kwa ajili ya kurudisha umoja wa awali zaidi ya nusu ya wakristo wote wanashikamana katika imani na sakramenti chini ya maaskofu wenye ushirika kamili na yule wa roma ambaye kwa kawaida anaitwa papa kati yao umoja unazingatiwa sana kama sifa ya kwanza ya kanisa inayotambulisha wanafunzi wa yesu neno katoliki tunaendelea kulitumia zaidi kwa maana ya madhehebu maalumu yenye wafuasi wengi duniani kiteolojia linamaanisha kanisa lililopo popote lililo moja tu kila mahali na kila wakati kwa maana hiyo kila mkristo yumo katika ukatoliki kwani mbele ya kristo kanisa ni moja tu kila mahali duniani waanglikana walutheri wamoravia na wengineo huamini kabisa kwamba wenyewe ni sehemu ya kanisa lile moja la bwana yesu lililopo mahali popote upande mwingine hata kanisa katoliki linaloongozwa na askofu papa wa roma ni la kiinjili kwani linakubali na kutangaza injili habari njema ya yesu kristo wakristo wengi walioishi upande wa mashariki wa dola la kirumi na ng ambo ya mipaka yake ya mashariki walitengana na wakatoliki hasa katika karne v waorthodoksi wa mashariki na karne i waorthodoksi hata hivyo msimamo wao wa imani si tofauti sana kwa kuwa wanachanga mapokeo ya awali ya kanisa la mitume na la mababu utitiri wa madhehebu ya waprotestanti ndio wenye tofauti kubwa zaidi kati yao wenyewe na kati yao na wakristo waliotajwa kwanza hiyo ilitokana na msimamo wa msingi wa urekebisho wa kiprotestanti wa kutaka kila mmoja aweze kutafsiri biblia alivyoielewa bila kutegemea mapokeo wala mamlaka rasmi ya kanisa ila msaada wa roho mtakatifu umoja halisi wa kanisa unaweza kupatikana tu katika ukweli wa injili ya yesu kristo ni habari mbaya kwamba katika karne ya kuupigania ukweli huo kulivunja umoja wa ukristo wa magharibi haiwezekani kushangilia mafarakano ya wafuasi wa yesu yale ya karne hiyo yalitokana na kuelewa tofauti kweli za imani ya kikristo na yalikuwa na ukali kwa sababu pande zote zilisadiki kwamba kushikilia kwa usahihi ufunuo wa mungu ni suala la wokovu wa milele kwa mfano martin luther aliandika sikubali mafundisho yangu yahukumiwe na yeyote hata kama ni malaika asiyekubali mafundisho yangu hawezi kufikia wokovu pamoja na hayo mambo mengi yalichangia farakano si teolojia tu bali siasa uchumi jamii na utamaduni wakati huo mara nyingi hoja za imani na malengo ya kisiasa vilichanganyikana wanasiasa wengi walitumia hoja hizo ili kufikia malengo ya kiutawala na vilevile wanateolojia walitumia siasa kutetea mafundisho yao ili kuvuta watu ndiyo sababu luther alichorwa kama shujaa wa taifa la ujerumani mara nyingi pande zote zilipotosha maana ya wapinzani na kuwachora vibaya wakivunja amri ya nane inayokataza uongo dhidi ya jirani hata waliojitahidi kusema ukweli tu juu ya wengine kwa kawaida hawakujitahidi vya kutosha kuelewa msimamo wao na kuona kwamba pengine si mbaya zaidi kila mmoja alitaka ushindi akachangia ugomvi uliorithishwa kwa vizazi vilivyofuata hivyo kilichosababisha zaidi farakano si masuala ya imani yaliyojadiliwa na waprotestanti bali lawama zao dhidi ya hali mbaya ya kanisa la wakati huo iliyokuwa inakera wengi na kuwaelekeza kuunga mkono urekebisho hapo kale neno hilo kwa kilatini reformatio lilihusu badiliko la hali mbaya iliyopo ili kurudia hali nzuri zaidi ya awali katika karne za kati lilitumika mara nyingi kwa marekebisho ya umonaki katika karne ya haja ya urekebisho ilionekana wazi si tu kwa mashirika ya kitawa bali kwa kanisa lote hasa mtaguso wa konstanz ulidai kabisa ufanyike katika kichwa na katika viungo lakini kwa jumla mitaguso yote ya karne za kati na mikutano mingi ya bunge la dola la ujerumani ililenga urekebisho wa kanisa kwa kweli karne za kati zilikuwa na mchanganyiko wa mambo yaliyopingana ibada za nje tu na za dhati kabisa teolojia iliyoelekeza kutenda kwa msingi wa nipe nikupe na hakika ya kwamba binadamu anategemea kabisa neema ya mungu kutojali wajibu hata upande wa viongozi wa kanisa na marekebisho safi ya mashirika ya kitawa karne ya ilikuwa kipindi cha umotomoto wa pekee katika kanisa ambapo walei wengi zaidi na zaidi walipata elimu nzuri hivyo walitamani hotuba bora na mafundisho ya kuwasaidia kuishi kikristo zaidi luther aliitikia haja hizo zilizomgusa sana kama mtu wa wakati wake luther alitumia kwa nadra neno urekebisho lakini likaja kuwa jina la kawaida la matukio yale mengi ya miaka yaani kuanzia uenezi wa hoja za martin luther hadi amani ya augsburg kati yake chanzo yaani mabishano ya kikanisa yaliyosababishwa na teolojia ya luther yalichanganyikana mapema na siasa uchumi na utamaduni kutokana na hali halisi ya wakati huo mbali kuliko mwenyewe alivyofikiri viongozi mbalimbali wakaiga mfano wa luther ila juhudi zao zikatofautiana ndio mwanzo wa madhehebu mengine yanayoitwa ya kiinjili jina hilo linataka kusisitiza kwamba yanasimama kwenye msingi wa injili tu kinyume cha kanisa katoliki lililoona mapokeo yake kuwa na umuhimu pamoja na biblia kumbe wafuasi wa luther na wengineo waliitwa na wakatoliki waprotestanti maana yake wapinzani to protest kupinga neno hilo lilianza kutumika tangu wafuasi wa luther walipopinga azimio la bunge lililotaka wajerumani wote warudi chini ya papa wa roma tangu mwaka tapo la wapentekoste limeenea duniani kote linakadiriwa kuwa na waumini milioni karibu na kuathiri hata madhehebu yote ya zamani ambapo mara nyingi waumini wa aina hiyo wanaitwa wakarismatiki kwa miaka ya mwisho asilimia za wakristo kati ya watu wote zimebaki yaani mmoja kwa watatu lakini uwiano kati ya mabara umebadilika sana kwa maana katika afrika asia na nchi nyingine zinazoendelea wakristo wameongezeka kumbe ulaya na amerika kaskazini wamepunguapew research center inakadiria kwamba mwaka watazidi bilioni tatu wakati huo wakatoliki na waprotestanti huenda wakalingana kwa idadi kuhusu maeneo ambako wakristo wanapungua ni kwamba kutokana na historia ya kanisa kuwa na mchanganyiko wa mazuri na mabaya wengine wanahisi kuwa halina maana tena pia kuna makundi kama wakomunisti na wamasoni ambayo yanakusudia kabisa kufuta ukristo kwa kutangaza kasoro za waumini na viongozi wao pamoja na kuhimiza watu kwenda kinyume cha maadili hali hii inajionyesha hasa pale ambapo waamini wengi hasa ulaya wameacha kwenda kanisani isipokuwa siku ya krismasi na pasaka au kwenye harusi na misiba pia kutokana na mgawanyiko wa madhehebu kumekuwa na mkanganyiko kuhusu kazi ambazo zinalipasa kanisa la leo mafundisho ya yesu kuhusu sala hayatii maanani taratibu maalumu badala yake yeye alisisitiza msimamo wa ndani wa kumuendea mungu kwa imani na unyofu kama vitoto wanavyohusiana na baba zao ndivyo mwenyewe alivyosali katika roho mtakatifu aliyewaahidia wafuasi atawaongoza badala yake kwa msingi huo katika historia ya kanisa namna nyingi za kusali zimetokea kwa maisha ya kiroho ya mkristo binafsi na kwa jumuia nzima pamoja kwa kawaida taratibu za kuendesha ibada zinaitwa liturujia kutoka maneno ya kigiriki yenye maana ya kazi ya hadhara wakatoliki waorthodoksi waorthodoksi wa mashariki waanglikana wamethodisti walutheri na wengineo wanafuatilia desturi kama walivyozipokea mtiririko wa ibada zao huandikwa na hujulikana kama liturujia madhehebu mengine hasa yale ya kipentekoste huwa na ibada ambazo hazijaandikwa kitabuni kiongozi wa ibada wa siku hiyo huja na madondoo yake na mtiririko wa ibada huenda kama roho atakavyoongoza siku hiyo kwa sababu hiyo husema kwamba hawafuati desturi au mapokeo ukiangalia zaidi utaona kuwa ibada zao pia huwa na mtindo na mtiririko fulani kama vile kuimba mapambio ya harakaharaka wakiwa wanapiga makofi kucheza na kurukaruka mapambio hayo hufuatiliwa na mengine ya taratibu wakiinua mikono kuabudu inawezekana kusema hao nao wana utaratibu au liturujia yao ingawa haijaandikwa kwenye vitabu wakristo wanahesabu ufufuko wa yesu kuwa msingi mkuu wa imani yao kor ndiyo sababu karibu wote wanaabudu hasa jumapili ambayo ndiyo siku ya tukio hilo kuu la historia yote ila asilimia inashika sabato iliyo siku ya wiki ambapo wayahudi hupumzika na kuabudu upande mwingine wanakanisa wanajaribu kuonyesha jitihada zao katika jamii ikiwa ni pamoja na kuleta amani na maendeleo na kutoa misaada ya kijamii kuna uwezekano kwa madhehebu kadhaa kubadilisha mkazo wao kuutoa kwenye imani tu na kuuweka kwenye huduma za jamii au elimu hii inafanya yaonekane kama moja ya mashirika ya hisani katika nchi nyingi kanisa limekuwa nguvu ya kutetea haki za binadamu tumesikia habari za desmond tutu kule afrika kusini au za janani luwum katika uganda jinsi walivyojaribu kutetea haki za wananchi dhidi ya utawala mbaya ikiwa wakristo wanajisikia wito wa kusimama na kusema mbele ya wakubwa hukumbuka manabii wa agano la kale hadi yohane mbatizaji wanakumbuka pia wakristo wengi katika historia walioweza kusimama mbele ya wafalme na kutetea haki za watu labda tunamkumbuka askofu ambrosi wa milano aliyemvuta kijana agostino kuwa mkristo alivyomtenga kaisari na kanisa kwa sababu ya uuaji wa wananchi wengi wasio na kosa uliofanywa na wanajeshi wa serikali msingi wake ni katika mafundisho juu ya kazi ya uumbaji mbele ya mungu tuko sawa kuna msingi gani kuona wengine ni sawa zaidi lakini si wakristo wote wanakubali na kufurahia msimamo wa aina hiyo wengine huona imani ya kikristo haihusiki na taratibu za dunia hii au huona ni wajibu wa mkristo kutii serikali yoyote wakikumbuka maneno ya mtume paulo katika rum pamoja na hayo katika ukristo yapo mapokeo ya kutoshindana na wenye mamlaka bali kuwavumilia katika yote labda huona hofu ya kuwa dini inaingizwa mno katika siasa binadamu wa karne ya wanahitaji jibu litakalosaidia kuwakwamua kutoka matatizo yao wenye dini mbalimbali hususan wakristo wanadai kujua ufumbuzi wa matatizo makuu ya binadamu ingawa wachache tu wameweza kuonyesha dhahiri matatizo yaliyotatuliwa kabisa kwa dini wakati mwingine wanadini wenyewe wamekuwa chanzo cha matatizo badala ya kuyatatua jibu linaweza kupatikana katika maneno ya yesu mwenyewe aliposema kwamba wafuasi wake ni chumvi ya dunia ambayo ilete ladha katika maisha ya watu lakini kama chumvi hiyo inapoteza ladha yake haifai kitu isipokuwa kutupwa na kukanyagwa kwa dharau hivyo changamoto ya wakristo ni kufuata vema mafundisho ya imani yao ili kukidhi hitaji la nyakati hizi la kuishi kwa amani furaha na upendo duniani kote ukristo na dini nyingine zinahusiana kwa kiasi tofauti kadiri ya mazingira asili historia mafundisho kuhusu imani na maadili desturi ibada n k ni wazi kuwa ukristo unahusiana zaidi na dini ya uyahudi kwa sababu unatokana nayo na kutumia vitabu vyake vitakatifu tanakh na pengine deuterokanoni pia haiwezekani kumuelewa yesu kwa kumweka nje ya mazingira ya kiyahudi dini hizo mbili zilitengana moja kwa moja miaka hivi baada ya yesu kuaga dunia ni kwamba wayahudi wa shule ya jabneh mwaka hivi b k waliamua kuwatenga kama wazushi wananchi wenzao waliomuamini yesu kristo hasa baada ya kuona hawakusaidia vita vya ukombozi dhidi ya wakoloni warumi vilivyosababisha maangamizi ya hekalu la pili na mji wa yerusalemu mwaka b k tangu hapo wakristo hawakushiriki tena ibada pamoja na wayahudi wakazidi kuzingatia sakramenti ya kumega mkate katika siku ya bwana jumapili siku inaposadikika yesu alifufuka badala ya sabato jumamosi siku ya pumziko ya wayahudi kabla ya hapo wakristo wa kiyahudi walikuwa wanashika siku zote mbili hakuna uhusiano wa kihistoria kati ya yesu na ubuddha hata hivyo mambo kadhaa yanafanana yesu alifundisha kuhusu nidhamu mbili zinazompelekea mtu kuwa mwadilifu na hatimaye kuurithi utukufu wa kiroho ambao karama yake ni uzima wa milele hizo ni kumpenda mungu kwa moyo wako wote na kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote na jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe buddha alifundisha hali ya kutodhuru viumbe hai wowote tena kuwa na moyo mkuu wa mapenzi kwa vitu vyote hii ni miongozo inayolenga mtu atambue tabu anazodumisha yeye mwenyewe kwa matendo yake na upeo ulio na mipaka katika maisha yake ya kila siku baada ya hili mafundisho ya kristo yanatofautiana katika kuchukulia hali hii kwa mujibu wa kristo dhambi matendo yenye kukosea kanuni za kiroho na hata za kimaumbile hufutwa na toba wakati katika mafundisho ya buddha makosa yote yanatokana na kutokuwa makini hivyo kwa mujibu wa buddha njia pekee ya kumkomboa mtu na shida zake ni kufuata mwongozo wa nguzo nane ambazo humweka katika hali ya kuweza kuamka kiroho wakati utulivu wa kimwili na wa kiakili unapofikiwa haya ndiyo yanayofanya ubuddha kuwa ni njia inayojali sana nidhamu ya mtu kimatendo wakati ukristo hufuata sana moyo wenye kukiri makosa na kutafuta uadilifu wa kweli wa kiroho huu ni uzuri wa pekee kutoka kwenye mafundisho ya yesu tubuni kwa kuwa saa ya ukombozi ni sasa jingine lenye tofauti ni kuwa kristo hufundisha kuhusu upendo kwamba ni mungu kwa kuwa upendo una maana kuliko elimu yote ya binadamu nao ndio unaounganisha na kutunza vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana hilo hutambulika kupitia kristo ambaye hujidhihirisha kwa yule mwenye kumpokea roho wa mungu upande wa buddha hukanusha nafsi na pia mungu akisema ni buddha mwenye ufahamu wa milele tena hana nafsi isipokuwa utupu na ni wenye furaha isiyo kifani izidiyo yote yenye kufanyika ulimwenguni yaani nirvana kila mtu ni buddha aliyesahau asili yake ya ndani kabisa ukristo na uislamu vinafanana zaidi kwa sababu muhammad alifahamu wayahudi na wakristo wengi katika nchi yake na katika safari zake dini hizo tatu zinajulikana kwa kushika imani katika mungu pekee muumba wa vitu vyote na kwa kumchukua abrahamu kama kielelezo cha imani na rafiki wa mungu mafundisho ya msingi ya uislamu ni unyenyekevu kwa mola mmoja aitwaye allah mwingi wa rehema na mwingi wa fadhila nguzo ya uislamu ni kumuabudu katika uislamu unyenyekevu wa mtu katika kumcha mola kwa ibada na swala humpa kukirimika na kuhifadhika kwa mola wake mwenye fadhila ambaye atamtunuku haki yake naye mnyenyekevu kwa mola ataishi kuona utukufu mwingi wa mola wenye kutajwa katika kurani kwa majina ya allah kati ya sifa na utukufu huo ulio na majina mengi baadhi yake ni al rahman kwa kiarabu mwenye rehema al nur mwenye nuru n k hayo hufanana na neno la nuru ya bwana rehema na ukombozi kuwa utukufu wa mbingu katika mwongozo wa kikristo pia uislamu unafundisha udugu miongoni mwa waislamu yaani mzizi wa neno linalotumika sana katika kurani waly wala wilayat mawla awla katika kueleza jinsi mwislamu apasavyo kuishi karibu na mwenzake nalo husisitiza upendo na kulindana kwa heri na pia kuepushana na shari hilo linafanana na upendo ambao katika ukristo ndio adili kuu kuliko yote nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika kama sina upendo mimi si kitu kabisa wakorintho lakini katika ukristo upendo hauna mipaka wala masharti unatakiwa kuenea kwa maadui pia na kusamehe kila mara kufuatana na mfano wa baba wa mbinguni mwislamu kadiri ya wingi wa unyenyekevu na usafi wa moyo wake huakisi sifa za mola wake uislamu hufundisha kuhusu vita vya ndani ambavyo muumini hupigana na nafsi yake yenye matamanio ya chini ambayo huzaa chuki dhuluma wivu na maovu mengine ili kuishinda kwa utukufu wa mola na kudumisha dini mwongozo yake katika ngazi zote za maisha kabla yake yesu alihimiza wote wafuate mfano wake wa upole na unyenyekevu wa moyo akitoa kielelezo katika heri nane za hotuba ya mlimani tofauti ya msingi ni kuwa kwa mujibu wa kristo ni kwa neema ya imani katika neno la uzima kwamba mtu hukombolewa kutoka matamanio yake ya kibinadamu mbali ya kwamba anapaswa kujitahidi asije akapotewa na neema hiyo na kurudia utumwa wa dhambi ni imani ya wakristo na ya waislamu kwamba yesu atarudi duniani kwa utukufu ingawa jambo hilo wanalitafsiri kwa namna tofauti uhusiano wa wakristo na waislamu una umuhimu wa pekee kwa ajili ya amani na maendeleo ya nchi katika sehemu mbalimbali wakristo na waislamu waliwahi kushirikiana vema katika mambo mengi ya kijamii lakini uhusiano huo umeanza kuwa mgumu sababu moja ni mzigo wa historia tunaoubeba mara nyingi bila kujua mzigo huo ni urithi wa mahusiano magumu kati ya waislamu na wakristo kule ulaya na asia itakuwa muhimu sana kwa vijana wa leo kukataa mzigo wa historia na kuvumiliana kwa mfano waislamu wanaweza kutumia neno jihadi wakiongea juu ya jitihada za kuimarisha jumuiya yao au kueneza imani yao lakini wakristo walio wengi wanasikia neno hilo vibaya kwa sababu vita vitakatifu vya waislamu vilivyoitwa jihadi vilileta mateso mengi kwa wakristo katika nchi mbalimbali kumbe neno halimaanishi vita hasa ila liliwahi kutumika hivyo tangu muda mrefu vilevile wakristo wengi hawaoni tatizo kutumia neno crusade kwa ajili ya mikutano ya kiroho lakini waislamu wanaweza kuchukua neno hili vibaya pia kwani kiasili crusade maana yake vita vya msalaba linamaanisha hasa kipindi cha miaka hivi iliyopita wakati ule wakristo wa ulaya magharibi walijaribu kufuta utawala wa kiislamu katika nchi za mashariki ya kati kwa vita vilivyoendelea kwa kwikwi muda wa miaka ukristo na uislamu viko karibu katika mambo mengi lakini hutumia mafundisho yanayogongana katika sehemu nyingine hivyo mpaka leo hii kwa waislamu ni vigumu sana kupokea injili wakati wa vita vya msalaba fransisko wa asizi aliona hakuna njia ya kuwavuta waislamu kwa mabavu mashindano pekee yanayoruhusiwa kwa mkristo ni yale ya upendo ya kumfuata yesu kwa jumla mawazo ya mt fransisko yamethibitishwa na historia kwa hiyo si vibaya kujiandaa kushirikiana na waislamu kikristo kwa kufahamu kidogo imani yao na kutambua sifa nzuri zilizopo katika maisha na mafundisho yao pia wakristo kwa jumla wasijivunie sifa zao kuwa bora kuliko za waislamu anayesoma historia ya kanisa ataona mifano mingi ya jinsi wakristo walivyosahau mafundisho ya yesu na kutendeana kwa unyama kwa hiyo mtu asijivune kwamba ukristo ni dini ya upendo au imani yenye maendeleo kama mwenyewe si mfano wa upendo huo na maendeleo hayo kwa wakristo wengi ni fumbo kwa nini mungu alikubali kutokea kwa dini hiyo mpya lakini mwanzoni mwa uislamu mfalme mkristo wa ethiopia alipokea na kuhifadhi wakimbizi waislamu kutoka maka mapokeo ya kiislamu yanasema mfalme huyu aliyekuwa na jina negasi aligeukia uislamu baadaye lakini negasi si jina la mtu fulani ni cheo cha wafalme wote wa ethiopia hadi mwaka kwa kawaida huandikwa negus halafu hakuna kumbukumbu ya kwamba mfalme yeyote wa karne zile aliacha ukristo wake kuhusu wanaofuata bado imani asilia pia ni kwamba wanatunza katika mila na desturi zao urithi wa utamaduni hata maadili mengine yanayofundishwa kwao yanalingana na sehemu za biblia hakika si vema wakristo wakiwacheka na kuwaita kwa majina ya dharau kama wapagani hata juu ya imani hizo za jadi ni kweli kwamba zilimjua mungu kwa namna fulani kutokana na uumbaji wake jinsi alivyoandika mtume paulo katika rom kiingereza ni lugha ya jamii ya kigermanik cha magharibi iliyokua nchini uingereza kwa muda wa miaka leo zaidi ya wasemaji milioni mia nne duniani wanazumgumza kiingereza kama lugha ya kwanza watu wengi zaidi wanazumgumza kiingereza kama lugha ya pili kwa sababu ni muhimu sana kwenye nyanja za mawasiliano sayansi na uchumi wa kimataifa lugha ya kiingereza ilianzia huko uingereza kutokana na kuingiliana kwa lugha mbalimbali hasa lugha za kale za ujerumani denmark na ufaransa sehemu ya kusini ya kisiwa cha britania ilikuwa ndani ya dola la roma hadi mwanzo wa karne ya wenyeji walitumia lugha ya kikelti pamoja na kilatini cha waroma hasa mjini baada ya waroma makabila kutoka ujerumani ya kaskazini na denmark walianza kuvamia kisiwa hicho katika mwendo wa karne mbili waliteka sehemu kubwa ya uingereza ya leo isipokuwa sehemu za magharibi kama vile cornwall na wales na sehemu za kaskazini walipoishi waskoti wavamizi walileta lugha zao za kisaksoni na kianglia ujerumani ya kaskazini zilizounganika kuwa lugha ya kiingereza cha kale ambacho kilikuwa karibu sana na kijerumani cha kale inaonekana ya kwamba wenyeji wakelti walio wengi walianza polepole kutumia lugha ya watawala wapya wengine waliuawa au walihamia sehemu zisizo chini ya waanglia saksoni lugha hii iliathiriwa mara mbili kwanza wadenmark ndio waliojaribu kujenga ufalme wao kisiwani waliteka sehemu za uingereza ya magharibi kiasi cha maneno kutoka lugha yao kimeingia kiingereza cha kale kama wales mwaka jeshi la wanormani kutoka ufaransa ya kaskazini walivamia na kuteka uingereza wanormani walikuwa wa asili ya skandinavia lakini walikuwa wameshaanza kutumia lugha ya kifaransa cha kale wanajeshi hao walikuwa mabwana wapya wa uingereza wakitumia kifaransa chao kwa karne kadhaa lugha mbili zilitumika kandokando kiingereza cha kianglia saksoni cha watu wa kawaida na kile kifaransa cha kinormandy cha tabaka la watawala kwa jumla watawala walianza kutumia lugha ya raia lakini lugha hii ilibadilika pia kwa kupokea maneno mengi kutoka kifaransa kuna makadirio ya kwamba zaidi ya theluthi moja ya maneno yote ya kiingereza yana asili ya kifaransa kipindi hiki cha kuingiliana kati ya kifaransa cha mabwana na lugha ya kawaida kilileta kiingereza cha kati hadi leo asili ya maneno kutoka kijerumani na kifaransa ni wazi kabisa mfano mzuri ni maneno tofauti kwa wanyama kadhaa na nyama yao ng ombe huitwa cow sawa na kijerumani wa kaskazini kau lakini nyama yake ni beef kutokana na neno la kifaransa kwa ng ombe boeuf vilevile sheep kwa mnyama kondoo na mutton kwa nyama yake kijerumani ya kaskazini schaap kifaransa mutton vilevile swine mnyama pork nyama nguruwe na calf mnyama veal nyama ndama wakulima wafugaji walitumia lugha yao kwa mnyama mabwana wasiogusa mnyama lakini hula nyama yake waliendelea kutumia neno la kifaransa kwa ajili ya mnyama yuleyule maneno yote mawili yaliingia katika kiingereza cha kisasa lakini kwa mambo mawili tofauti kiingereza cha kisasa kimeanza na tafsiri ya biblia ya william tyndale baadaye na washairi muhimu kama william shakespeare teknolojia ya uchapaji vitabu ilisambaza lugha hii nchini kote na kupunguza athira ya lahaja mbalimbali wakati ule kiingereza kilipokea pia maneno mengi kutoka lugha za kilatini na kigiriki zilizokuwa lugha za taaluma na sayansi hadi karne ya kote ulaya kiingereza cha kisasa kimeendelea kurahisisha lugha lakini urekebisho wa tahajia umeshindikana hadi leo hata kama kulikuwa na majaribio mbalimbali kutokana na historia yake kiingereza kimebaki na tahajia isiyolingana na matamshi ya maneno mwandishi george bernhard shaw alionyesha tatizo hilo kwa pendekezo la dhihaka kwamba neno fish samaki liandikwe ghoti gh kama sauti ya f katika cough o kama sauti ya i katika women na ti kama sauti ya sh katika nation pamoja na hayo lahaja za kiingereza zinazidi kutofautiana zile muhimu zaidi zikiwa zile za britania na marekani pamoja na dola la uingereza na makoloni yake lugha ilienea duniani kati ya karne ya na tangu karne ya idadi kubwa ya wasemaji wa kiingereza hawaishi tena uingerezea bali marekani katika karne ileile kiingereza kilikuwa lugha ya utawala katika maeneo makubwa ya makoloni ya dola la uingereza baada ya makoloni kuwa nchi huru mara nyingi kiingereza kimeendelea kuwa lugha rasmi za nchi hizo kutokana na matukio hayo yote na marekani kujitokeza katikati ya karne ya kama nchi tawala kisiasa kiuchumi na kiteknolojia kiingereza kimekuwa leo lugha ya kwanza ya mawasiliano duniani hata kama si lugha yenye wasemaji wengi wa lugha ya kwanza pia aina nyingi za krioli na pijini zimetokana na kiingereza na kudumu hadi leo kiingereza ni lugha rasmi pekee katika nchi za uingereza marekani australia nyuzilandi jamaica na nchi nyingine kiingereza ni lugha rasmi pamoja na lugha nyingine katika nchi nyingi kwa mfano kanada pamoja na kifaransa india pamoja na kihindi na lugha za majimbo ireland pamoja na kigaelik philippines pamoja na kitagalog kwa jumla ni lugha rasmi katika nchi karibu mbali ya umoja wa mataifa na umoja wa ulaya nchi nyingi za afrika zinatumia kiingereza kama lugha rasmi lakini ni waafrika wachache isipokuwa waafrika kusini wanaoitaja kuwa lugha ya kwanza kwao nchi hizo ni afrika kusini ghana lesotho liberia kamerun kenya namibia nigeria sierra leone swaziland zambia na zimbabwe kiingereza kinazumgumzwa pia katika nchi nyingine za afrika ambapo si lugha rasmi lugha nyingi za afrika zimekopa maneno ya kiingereza maneno hayo yamerekebishwa kulingana na sauti ya lugha nyingine kwa mfano kiingereza train kiswahili treni afrika ni bara la pili duniani kwa ukubwa likiwa na eneo la kilometa za mraba zipatazo na kwa idadi ya wakazi hao wakiwa mwaka asia ndiyo bara pekee la kushinda afrika neno afrika limetokana na lugha ya kilatini ya roma ya kale waroma kwa jina hilo hawakumaanisha bara lote bali eneo katika tunisia ya leo tu inasemekana asili yake ni kabila la afrig lililoishi sehemu zile lakini kuna pia maelezo mengine tofautitofauti wakati huo wagiriki wa kale walitumia zaidi jina la libya kwa ajili ya nchi kusini kwa bahari ya mediteraneo maeneo ya ndani kuelekea kusini mara nyingi yaliitwa kwa jina la ethiopia linalomaanisha nchi ya watu weusiweusi kwa kigiriki aithiops aliyechomwa na jua katika ramani za kale kutoka ulaya maneno yote matatu ya afrika lybia na ethiopia yanapatikana yakitumika kama jina la bara zima jina la afrika limekuwa la kawaida kuanzia karne ya bk afrika imezungukwa na bahari karibu pande zote kuna kiungo chembamba cha nchi kavu upande wa kaskazini mashariki na bara la asia kwenye rasi ya sinai upande wa kaskazini iko bahari ya mediteranea upande wa mashariki kuna bahari hindi pamoja na bahari ya shamu na upande wa magharibi iko bahari atlantiki kuna kisiwa kikubwa cha madagaska na funguvisiwa mbalimbali barani kuna nchi huru zinazotambuliwa na umoja wa mataifa maeneo yenye hali ya pekee na madola mawili ambayo yanajitawala bila kutambuliwa kimataifa kuna umbali wa kilomita kutoka ras ben sakka nchini tunisia n sehemu ya kaskazini kabisa hadi rasi ya cape agulhas nchini afrika kusini s sehemu ya kusini kabisa umbali ni km kutoka upande wa magharibi rasi ya cape verde w hadi mashariki ras hafun nchini somalia e pwani yote ya afrika ina urefu wa kilomita nchi kubwa ya afrika ni algeria na nchi ndogo ni funguvisiwa la shelisheli katika bahari hindi nchi ndogo afrika bara ni gambia kijiolojia afrika iko kwenye bamba la afrika lile bamba la gandunia la afrika linaenea mbali zaidi kuliko maeneo tunayotazama kuwa afrika kijiografia ni pamoja na maeneo chini ya bahari linapopakana na mabamba ya ulaya asia uarabuni uhindi na australia antaktika amerika ya kusini na kaskazini upande wa mashariki wa bamba la afrika kuna ufa unaozidi kupanuka ikielekea kujitenga kutoka afrika kama bamba la somalia ya afrika ni pana kuanzia kanda za tropiki hadi kufikia maeneo ya nusu aktiki baridi kwenye ncha za milima mirefu nusu ya kaskazini ya bara ni jangwa au angalau yabisi sehemu za kati na za kusini zina maeneo ya savanna na kanda za msitu wa mvua afrika ni bara lenye joto kuliko mabara yote na asilimia za uso wake ni maeneo yabisi au jangwa wataalamu wengi wanakubaliana kutambua afrika kama asili ya binadamu wote walioko duniani mwaka idadi ya wakazi wa nchi zote za afrika ilipita bilioni ni kwamba idadi yao imeongezeka sana katika miaka iliyopita ikipiku zile za ulaya na amerika ilhali mwaka walikuwepo waafrika milioni pekee idadi iliongezeka kuwa milioni mwaka na milioni mnamo hivyo asilimia ya watoto na vijana ni kubwa kuna nchi kadhaa ambako zaidi ya nusu ya wananchi wako chini ya umri wa miaka wakazi wa afrika ni vijana kuliko wale wa mabara mengine yote zaidi ya lugha elfu za kiafrika zinazungumzwa barani leo ingawa nyingi zinazidi kufifia kusini mwa afrika afrika mashariki na ya kati watu wengi ni wasemaji wa lugha za kibantu kwa mfano kiswahili asili yao ilikuwa pande za kusini za kanda ya sahel na kutoka kule walienea katika sehemu nyingi za afrika upande wa kusini kwa sahara kuna pia vikundi vya wasemaji wa lugha za kinilo sahara waliofika hadi afrika ya mashariki wakazi asilia siku hizi wako wachache wakionekana kama wasemaji wa lugha za khoisan au za wabilikimo watu wa afrika magharibi husema zaidi lugha za kiniger kongo hasa zisizo za kibantu pamoja na wasemaji wa lugha za kinilo sahara watu wa afrika ya kaskazini kiasili walikuwa hasa wa makundi matatu waarabu waliovamia eneo hilo lote tangu karne ya bk wameleta lugha yao pamoja na dini ya uislamu lugha yao imekuwa lugha ya watu wengi siku hizi wasemaji wa kiberber bado wako wengi kidogo moroko na algeria na wachache katika sehemu za tunisia na libya kutokana na ukoloni lugha za kihindi kiulaya zinazumgumzwa pia hasa kiingereza kifaransa na kireno kiafrikaans ni lugha ya pekee ya afrika kusini yenye asili ya ulaya katika kisiwa cha madagaska kwenye bahari ya hindi inatumika lugha ya kimalagasy ambayo ni kati ya lugha za austronesia waafrika wana imani za dini nyingi tofauti lakini takwimu zinazotolewa hazina hakika pia kwa sababu suala hilo ni nyeti kisiasa kwa serikali zenye mchanganyiko mkubwa wa watu kama vile nigeria ethiopia na tanzania kadiri ya world book encyclopedia islam ndiyo inayoongoza ikifuatwa na ukristo kumbe kadiri ya encyclopedia britannica za wakazi ni wakristo ni waislamu na wanafuata dini asilia za kiafrika wachache tu ni wahindu wabuddha wabaha i au hawana dini yoyote kuki ni tafsiri ya muda ya neno la kiingereza cookie maana yake asili ni biskuti au keki ndogo lakini neno la kuki linatumika ili kompyuta yenye kurasa za tovuti iweze kuwasaliana na watazamaji programu za tovuti hizi inahifadhi habari kadhaa za mtazamaji au mtumiaji k m jina la mtumiaji neno la siri ruhusa mapendekezo kwenye kompyuta ya mtazamaji mwenyewe hivi mtazamaji anatambuliwa kila wakati anaingia kwenye tovuti hii pendekezo la kuki limepelekwa mbele na mradi wa kilinu linu na open office kwa kiswahili wa chuo kikuu cha dar es salaam mradi wa kampuni ya microsoft ya kuswahilisha programu ya windows umependekeza kutumia neno kidakuzi pamoja na kuki panzi ni aina za wadudu wanaokula mimea wameainishwa katika nusuoda caelifera ya oda orthoptera takriban spishi zote huchupa mbali kwa kutumia miguu yao ya nyuma ambayo ina nguvu sana nyingi zinaweza kuruka angani panzi wana vipapasio vifupi kuliko mwili wao panzi wakubwa ambao wanajikusanya kwenye makundi makubwa huitwa nzige kuna panzi wakubwa wengine wenye miiba mikubwa kwenye miguu ya nyuma lakini wasiojikusanya katika makundi panzi hao hufanana na ndege wadogo wakiruka juu na huitwa parare panzi majike wana vali mwichoni kwa fumbatio zinazowawezesha kuchimba ndani ya ardhi na kutaga mayai yao katika vibumba vibumba vya mayai huweza kuwa na mayai kumi na tano hadi zaidi ya mia moja mayai ya spishi nyingi za panzi huingia kwa diaposi kupitia majira ya baridi au kiangazi hali ya hewa ikiwa nzuri mayai yaendelea kupevuka halafu tunutu wanatoka tunutu panzi wachanga bila mabawa hubambua ngozi yao mara tano hadi mara saba kufuatana na spishi kila hatua ya ukuaji ni ndefu kuliko ile iliyotangulia wakati wa ubambuaji wa mwisho panzi wenye mabawa anatoka na kuwa mpevu ndani ya siku au wiki chache kuna wadudu ambao wanafanana na panzi lakini wana vipapasio virefu kuliko mwili wao hawa ni wana wa nusuoda ensifera spishi moja kati yao anaitwa senene na huliwa na watu jike ana mrija wa kutaga unaofanana na kitara anataga mayai juu ya au ndani ya mimea panzi huliwa sehemu nyingi duniani kwa sababu wana virutubishi vya protini vingi wanajeshi huambiwa wakamate panzi na kuwala wakipungukiwa chakula kuna familia nyingi za panzi lakini takriban spishi zote za afrika ya mashariki ni wanafamilia wa acrididae na pyrgomorphidae mwainisho wa sikuhizi ni kama ufuatao familia zote hazionyeshwi nzige ni jamii ya panzi wenye uwezo wa kujikusanya kwenye makundi makubwa na kuruka umbali mrefu kwa pamoja wanao huitwa tunutu nzige wanapokuwa wametawanyika mmojammoja huishi kama panzi wa kawaida wanapozaliana na kuongezeka idadi hujikusanya katika makundi makundi ya tunutu husafiri kuelekea upande mmoja na kula majani wanakopitia makundi ya nzige waliokomaa huweza kufikia idadi ya zaidi ya bilioni na huruka umbali mrefu na kuharibu mazao wanakotua nzige hudhibitiwa kwa dawa za kikemikali ni vema nzige wadhibitiwe wanapokuwa wadogo au tunutu kabla hawajaingia mashamba na kuharibu mazao tunutu wanaweza kudhibitiwa kwa mashine zinazobebwa mikononi au mgongoni au zilizopachikwa juu ya gari la pickup makundi ya nzige waliokomaa ni lazima yadhibitiwe kwa ndege hivi karibuni dawa ya kibiolojia imeendelezwa na mradi wa kimataifa lubilosa dawa hiyo ina spora za kuvu metarhizium acridum ndani yake siku hizi kuna vifundiro vya kibiashara vitatu sokoni green muscle na green guard vya kampuni basf na novacrid cha kampuni lphant vert vifundiro hivi vinaweza kupulizwa katika mafuta ya diseli kwa mashine za kiwango kidogo sana g katika l kwa ha nzige wanatajwa mara nyingi katika biblia kati ya vitisho vikubwa kwa binadamu kutokana na njaa wanayoweza kusababisha pia wanatajwa kama chakula maalumu cha yohane mbatizaji mtangulizi wa yesu muhammad kwa kiarabu mwenye kusifika sana jina kamili kwa kirefu ni muhammad bin abd allh bin abd al mualib al hshim anaaminika katika dini ya uislamu kuwa ni mtume wa mwisho wa mungu allah kwa binadamu muhammad alizaliwa yatima kwani baba yake alifariki kabla yeye hajazaliwa hakuishi sana na mama yake amina kwa kuwa naye alifariki dunia muhammad akiwa na umri wa miaka sita baadaye akachukuliwa na babu yake abdul muttalib na kuishi naye kwa muda wa miaka miwili kisha babu yake naye akafariki kazi ya kumlea muhammad ilimwangukia ami yake abu talib ambaye ndiye aliyeishi naye mpaka ukubwa na kumuoza na kumpa himaya wakati alipoanza kazi ya kufikisha ujumbe wa mwenyezi mungu kwa watu kadiri ya hadithi za kiislamu ilipokua karibu atadhihiri mtume mapadri wa kinasara na makuhani wa kiyahudi waliokuwa wakikaa bara arabu walikuwa wakiwatahayarisha majirani wao wa kiarabu waliokuwa wakiabudu sanamu wakiwaambia karibu ataletwa mtume katika nchi yenu hii abatilishe hii ibada yenu mbovu ya sanamu walipoambiwa hivi wale waarabu waliwauliza jina la mtume huyo wakawajibu kuwa jina lake litakuwa muhammad kwa hivyo kila mwenye kusadiki hayo alimwita mwanawe muhammad lakini hayakusikilizana majina haya ila kwa baadhi ya waarabu waliokua wakikaa shamu tu na najran yaman ambako mapadri wengi walikaa na vilevile katika madina ambayo nusu ya wakazi wake walikuwa wayahudi hata lilipoanza kutangaa jina la mtume waliokuwa wamekwisha kuitwa kwa jina hilo walikuwa wachache tu bara arabu nzima inasemekana mtume aliinukia tangu utotoni kwake juu ya sifa zake nzuri na ukomavu wa akili ya kiutu uzima hakupata kufanya vitendo vya utoto umri wake wala kuazimia kuvifanya ila mara mbili tu ambazo mara mbili zote hizo mwenyezi mungu alimhifadhi navyo kitendo chenyewe alichokiazimia kukifanya mara mbili zote hizo na mwenyezi mungu akamhifadhi nacho ni kutaka kwenda kukesha katika ngoma za arusi mbili za marafiki wake waliooa katika mji wa makka lakini mungu alimpa usingizi mkubwa katika masiku yote hayo mawili hata hakuweza kufumbua jicho wala kunyanyua miguu kwenda mahali hajapata kuhudhuria hata mara moja katika ibada za kuabudu sanamu wala kula chakula kilichochinjwa kwa ajili yao moyo wake ulichukizwa na hayo na mambo mengine yaliyo mabaya tangu udogo wake mtume aliondokea na sifa nzuri ambazo hapana hata mmoja katika hirimu zake aliyekuwa nazo zote kila sifa zinazohesabiwa kuwa ni njema na waislamu ndizo alizokuwa nazo tangu utoto wake mkewe aisha alipoombwa kutaja kidogo sifa za mtume alisema hivi sifa zake ni zile sifa nzuri zinazosifiwa na qurani na katika qurani zimetajwa chungu ya sifa zilizo nzuri mtume mara nyingi alikuwa akisema sikupata kufanya hata siku moja yale mambo waliyokuwa wakiyafanya makafiri kwa hivyo yeye hakupata kuabudu sanamu kulewa kuzini kucheza kamari wala hakumdhulumu mtu kitu chake na kama haya lakini alikuwa msemakweli mwaminifu mpole na mwenye haya na sifa nyingi nyinginezo bora kama hizi watu wa makka walikuwa wakimsifu kwa tabia zake hata wakampa jina la muhammad al amin mwaminifu alikuwa hatajikani ila kwa jina la al amin wakubwa na wadogo walikuwa wakimheshimu na kumpa amana zao kuwawekea hata baada ya utume makureshi ni watu wa biashara kila kureshi alipata kufanya kazi hii safari moja baadhi yao walipokuwa wakienda yaman katika biashara zao baba yake mdogo wa pili bwana zubeyr alimshauri ikiwa atapenda kusafiri mtume aliridhia akenda naye mpaka yaman wakakaa huko muda wa siku tatu tu kisha wakarejea wakati huu mtume alikuwa mtoto wa miaka tisa hata alipotimia miaka mwaka alisafiri tena pamoja na baba yake mdogo mwingine bwana abu talib safari hii waliazimia kwenda shamu lakini walipofika busra mji wa kusini kabisa katika nchi ya shamu walikutana na padri jina lake bahyra ambaye alimkataza asisogee na mwanawe zaidi kuliko hapo akamwambia mtoto huyu namwona ana alama zote za mtume aliyetabiriwa kuwa atakuja basi naona ni hatari kubwa akienda shamu asije akauawa na wayahudi huko nakusihi sana urejee naye au umpe mtu mwaminifu arejee naye nawe uende katika biashara zako abu talib alimpa mtu arejee naye makka naye akaendelea na safari yake huyu padri bahyra alikuwa mwanachuoni wa kinasara na alimbashiri mtume lakini hakuwahi kumwamini alipoanza utume ila mwanafunzi wake salman al farsy mwajemi mara alipopata habari ya kupata utume wake alisilimu na aliusaidia uislamu katika mambo mengi baada ya kutimia miaka mtume aliingia katika kufanya biashara ndogondogo yeye na mwenziwe saib bin yazid lakini biashara yao walikuwa wakiifanyia katika miji iliyokuwa karibu na makka tu alipata sifa kubwa ya uaminifu na ukweli katika biashara zake hizi mshirika wake huyu alisilimu siku ilipotekwa makka na mtume alifurahi sana kwa kusilimu rafiki yake huyu muhammad hakuwa akihudhuria sikukuu za wapagani tangu kufahamu kwake alikuwa akipenda kukaa peke yake kufanya haya kulikuwa kukimwonjesha raha kubwa kuliko kutoka mbele za watu akaona yale mambo yao mabaya aliyokuwa akiyachukia kila usiku ukicha alikuwa akizidi kuyachukia lakini alikuwa hajui la kufanya hata alipotimiza miaka hakuweza tena kustahimili kuona zile ibada za sanamu na tabia mbovu walizokuwa nazo wenziwe ilivyokuwa hana la kufanya katika kuzizuia alifanya shauri kuuacha mji wa makka na kwenda porini kukaa akapata pango zuri katika jabal hira kaskazini ya makka inapata maili toka huko makka akawa akikaa huko kwenye jabal hira kwa muda wa wiki nyingi kisha hurejea makka kuja kumtazama mkewe wanawe na jamaa zake wengine na vile vile kwa ajili ya kuchukua chakula kinapokuwa kimekwisha wakati mwingine akikaa siku nyingi sana huko porini hata humpasa mkewe khadija kwenda kumsikiliza na mara nyingine alikuwa akifuatana naye pamoja na watoto wao alidumu katika hali hii muda wa miaka miwili na kitu baadaye alisimulia kuwa katika mwezi wa ramadhani jumatatu katika mwaka wa unusu wa umri wake alimuona mtu kamsimamia mbele yake bila ya kumuona wapi katokea akamwambia soma mtume akamjibu mimi sijui kusoma kwani sijapata kujizunza akaja akamkamata akambana akamwambia tena soma mtume akamjibu jawabu yake ileile hata mara ya tatu akamwambia soma iqraa bismi rabbik akamsomea sura ya mpaka kati yake kisha mtume akaisoma kama alivyosomewa hii ndiyo sura ya kwanza kushuka katika qurani ingawa haijawekwa mwanzo mara yule mtu malaika akaondoka machoni pake asimwone kaenda wapi naye akarejea kwake hofu imemshika alipofika nyumbani khadija alidhani ana homa akamfunika nguo gubigubi akakaa mbele yake akimsikiliza anavyoweweseka homa ilipomwachia alimweleza khadija yote yaliyomtokea naye akamtuliza moyo wake akamyakinishia ya kuwa hapana lolote baya litakalomzukia mara bibi huyu akaondoka akaenda kwa jamaa yake waraqa bin naufal akampa habari yote iliyompata mumewe naye akamwamrisha amwite na mtume akaenda akamweleza habari yake yote bwana waraqa akamwambia huyo ndiye jibril aliyemshukia nabii musa na nabii isa basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu nami natamani kuwa hai nikuone unavyosimama kuwatengeneza jamaa zako inshaalla nitakuwa mkono wako wa kulia wakarejea kwao hofu yote imemtoka baada ya kuazimia kuwa hatakwenda tena kule pangoni pale pale akaondoka akenda pangoni mwake ili aonane na malaika tena ingawa alikaa huko muda mrefu siku ile ya kupata utume inawafiki mwezi wa desemba huyu waraqa hakuwa akiabudu dini ya sanamu bali alikuwa mkristo alipokuwa akisoma vitabu aliona kutatokea mtume mwingine ndiyo maana alipohadithiwa habari ile mara moja akaamini kuwa aliyemjia mtume ni jibril muhammad aliishi makka kwa muda wa miaka arubaini katika hiyo akiwa ni mtu wa kawaida kabla ya kupewa utume na akiwa ni mjumbe wa mwenyezi mungu maisha yake makka yalikuwa ya taabu tangu utotoni mwake kwani alizaliwa yatima kisha alipokuwa katika ujana wake alikuwa akifanya kazi ya kuchunga mbuzi na kondoo wa watu wa makka kwa vijipesa kidogo mpaka alipofika umri wa miaka ishirini na tano akapata kazi ya kumfanyia biashara khadija bibi mtukufu wa kikureshi ambaye baadaye alikuja kuwa mkewe na kuzaa naye aghlabu ya watoto wake katika miaka aliyoyaishi hapo makka baada ya kupewa utume muhammad alipata kila aina ya mateso na masumbuko juu ya nafsi yake na juu ya wafuasi wake naye alisubiri na kustahimili kila aina ya taabu na shida kwa ajili ya mola wake mpaka mwenyezi mungu alipompa amri ya kuhama mji huo na kuelekea madina katika muda huu alipokuwa makka wengi katika jamaa zake na watu wa makabila mengine wa matabaka mbalimbali za jamii waliingia dini yake mwaka wakureshi wakiona hasara katika mafungamano yao na waarabu wengine wenye kuabudu miungu mingi kwa dukuduku zao zilimfanya muhammad ahame pamoja na sahibu wake abubakar assiddiq na wafuasi wake hivi akaishi yathrib mji ambao ulikaliwa na waarabu na wayahudi pamoja na ambao baadaya ukaitwa madinat al nabi yaani mji wa nabii kifupi madina mwaka huo ukawa wa kwanza katika kalenda ya kiislamu inayotumika tangu wakati wa halifa omar ibn al khattb hadi leo mtume muhammad baada ya kupewa amri ya kuguria madina aliondoka na kuhamia mji huo ambao ulimpokea na kumkubali na kumsaidia na kumtukuza na kumlinda na maadui ingawa wayahudi wa madina walikataa kumsadiki kuwa nabii kama wale wa biblia aliendelea kuhubiri huko na tangu mwaka wa kwanza alitunga hati ya agano iliyokubaliwa na wamadina wote ndiyo asili ya umma jamii ya waumini mtume muhammad aliishi madina kwa muda wa miaka mingine akitangaza dini ya mwenyezi mungu na huko watu wengi na makabila mbali mbali ya kiarabu yaliingia dini ya uislamu kwa makundi makundi wakati huohuo alianza kushambulia misafara ya wamakka wapagani na kuwashinda kwanza huko badr akashindwa huko uhud hatimaye akapata ushindi mkuu huko madina katika vita vya handaki hapo alifukuza na hatimaye akaangamiza kama wasaliti wayahudi wote wa madina na wanaume wote wa waqurayza wakati wanawake wao pamoja na watoto wakauzwa kama watumwa huko syria mwaka muhammad akiwa na nguvu za kutosha aliweza kurudi makka na kuiteka akairudisha kaaba ambayo ndiyo kibla cha waislamu wote ulimwenguni katika mambo ya sala na hija hata hivyo akarudi kuishi madina na kutoka huko akaeneza kazi yake ya kisiasa na ya kidini katika hijaz yote baada ya ushindi wake huko hunayn dhidi ya waawazin na wenzao aliteka au kusilimisha vijiji mbalimbali vya maana upande wa uchumi au wa vita kwa mfululizo wa mapigano kwenye wadi al qura kwa jumla alihudhuria vita akiua kwa mkono wake mtu mmoja tu akiendelea kuishi madina alinadhimu kwa sharia na hukumu nyingi maisha ya jamii ya waislamu huko na kuweka chanzo cha dola ya kiislamu ulimwenguni sharia na hukumu hizo zinapatikana katika kitabu kitakatifu cha qurani ambacho leo waislamu wote ulimwenguni wananadhimu maisha yao kulingana nacho ingawa kurani inaruhusu wake tu muhammad alisema ana idhini ya kuvuka kiwango hicho jumla alioa wake ambao majina yao yamepangwa hapa chini kufuatana na tarehe ya ndoa kati yao wa kwanza tu alimzalia muhammad watoto lakini wana wote walifariki kabla ya baba yao isipokuwa fatma aliyekufa miezi sita baada yake aliwaoa pia lakini bila ya kulala nao asma binti al nu man mkoma na amra binti yazid aliyekataa katakata ndoa hiyo akapewa mara talaka mbali na wake rasmi kurani inaruhusu kuwa na masuria wasio na idadi dht al yamn waliomilikiwa na mkono wa kuume yaani watumwa hasa waliotekwa vitani muhammad alikuwa nao kati yao marya mkristo alimzalia mtoto wa kiume ibrahim aliyefariki mdogo sana kwa huzuni kubwa ya baba yake aliyemfuata kaburini muda mfupi baadaye fizikia kutoka neno la kigiriki physikos ya kimaumbile ambalo tena linatokana na physis umbile ni fani ya sayansi inayohusu maumbile ya ulimwengu hususan asili ya dunia na viumbe vyote ni taaluma yenye kushughulika na maada na uhusiano wake na nishati fizikia imetoa mchango mkubwa katika sayansi teknolojia na falsafa tangu zama za nyuma kabisa wanafalsafa ya asili walijaribu kueleza mafumbo kama vile mienendo ya sayari na asili ya maada mlengo huu ulijulikana hapo mwanzo kama fizikisi kutoka kiingereza physics ikiandikwa physike kuiga dhana ya aristotle kuibuka kwa fizikia kama tawi la sayansi lenye kujitegemea toka kwenye shina la falsafa asilia kulitokana na mapinduzi ya kisayansi ya karne ya na ya na kuendelea mpaka pambazuko la sayansi ya kisasa mwanzoni mwa karne ya fani hii imekuwa ikiendelea kutanuka kulingana na kukua kwa tafiti na kupelekea gunduzi mbalimbali kama vile modeli sahili ya chembe za kimsingi na uelezi uliotanuka wa historia ya ulimwengu sambamba na mapinduzi ya teknolojia mpya kama silaha za nyuklia na semikonda leo hii utafiti unaendelea katika mikondo mipana ya kimata kuhusisha mpitishoumemkuu katika joto la hali ya juu ukokotoaji wa kikwantumu utafutaji wa higg boson na jitahada za kuendeleza nadharia ya mtuazi wa kikwantumu ulikitwa katika mitazamo na vitendo na pia seti zilizojisheheneza kwa nadharia zinazodhihirishwa kwa hisabati nzuri ugunduzi katika sayansi umegusa kote ndani ya sayansi asilia na fizikia inaelezwa kama sayansi ya msingi kwa sababu nyanja nyingine kama kemia na biolojia huchunguza mifumo ambayo tabia zake husimama kwenye kanuni za fizikia kemia kwa mfano ni sayansi ya dutu iliyofanyika na atomu na molekuli kwa wingi mmoja lakini tabia za kampaundi za kikemia zinatathminiwa kwa tabia za kimaumbile za molekuli zinazochipukia kwayo fizikia ya vitendo inahusiana kwa karibu na uhandisi na teknolojia mwanafizikia anayejihusisha na msingi wa utafiti hufanya muundopicha na kisha kufanya vitendo kwa kutumia vyombotekichi kama kikazanishio mwendo wa chembe na biru na angali mwanafizikia anayejihusisha na tafiti zilizotendewa kazi huvumbua teknolojia kama vile upigaji picha kiusumaku mtetemiazi kwa kiingereza mri magnetic resonance imaging na transista za sifa mbalimbali fizikia ya kinadharia ina uhusiano wa karibu na hisabati ambayo huipa lugha ya nadharia za kimaumbile aghalabu ni kweli kwamba shauri la kwanza la nadharia ni kupembua mahusiano katika sura ya kiulimwengu inayoshabihiana na yatendekayo kazi nyingine ya umuhimu sawa ni kufanyiza kanuni za mahusiano kimahesabu matumizi ya hisabati katika nadharia huwakilisha dhana ya kimawazo katika mchakato wa kuibua hitimisho muhimu kutoka kwenye hali ya udhanifu uliopitia sheria rasmi za ukokotoaji hata hivyo nafasi ya hisabati katika nyanja za fizikia ya kinadharia inapelekea kwamba si tatizo la mwanafizikia ya kinadharia kuchetua kidhibiti hakikivu cha kihesabu na kwa kweli kabisa mahitaji yaliyokaza sana kwenye hesabu mara nyingi hupingana na kweli za kimaumbile mwanafizikia ya kinadharia mara nyingi vilevile huegamia katika ufuatiliaji tathmini wa kinamba na uchocheaji picha wa kompyuta na hivyo kuona matokeo yake na ndiyo maana kompyuta na kuprogramu kompyuta vimekuwa na uwanda mpana wenye sura mbalimbali katika kufanya modeli za kimaumbile kwa kweli nyanja ya hisabati na ufuatiliaji tathmini kikompyuta ni uwanja uliochangamka katika utafiti fizikia ya kinadharia mara nyingi huhusiana na falsafa na metafizikia ambapo inaangukia upande wa mawazo ya kufikirika kama vile nafasi za vizio wakadhaa na ulimwengu sambamba ingawaje mwanafizikia husoma aina mbalimbali za mafumbo ya maisha kuna baadhi ya nadharia zinazotumika kwa wanafizikia wote kila moja kati ya hizi nadharia imejaribiwa kwa idadi ya vitendo na kuhakikishwa makadirio sahihi ya asili iliyopo ndani ya mizingo yenye kubadilika umakini kwa mfano nadharia ya utafiti astronomia inatajwa kama sayansi ya kale zaidi ambapo jamii zilizokuwa zimestaarabika zamani kama wasumeri wamisri wa kale na jamii kuzunguka uwanda wa mto indus takriban miaka kk zilikuwa na uelewa juu ya elimu ya utabiri kuhusu mienendo ya jua mwezi na nyota nyota na mwezi mara nyingi zilichukuliwa kama alama za kidini zikiaminika kuwakilisha miungu yao ingawa maelezo ya matukio hayo mara nyingi hayakuwa ya kisayansi tena yenye upungufu wa vithibitisho hayo maono ya enzi hizo yalikuwa msingi wa uendelezaji wa elimu ya astronomia baadaye kwa mujibu wa asger aaboe chanzo cha astronomia ya kimagharibi kinaweza kupatikana mesopotamia na juhudi zote za watu wa magharibi kuelekea sayansi ya uhalisia zimerithiwa kutoka astronomia ya kale ya kibabuloni wanaastronomia wa misri waliacha alama katika makaburi na kumbukumbu zingine juu ya makundi nyota na mienendo ya maumbo mengine katika samawati maumbosamawati magimba mengine homer mshairi bora wa ugiriki wa kale aliandika katika iliad na odyssey juu ya maumbosamawati tofauti baadaye wanaastronomia wa kigiriki waliyapa majina makundi nyota mengi yanayoonekana katika kizio cha kaskazini cha dunia majina ambayo yanatumika hadi leo falsafa ya asili ina chanzo chake huko ugiriki wakati wa kipindi cha kale kk kk ambapo wanafalsafa wa kabla ya sokrates kama thales waliyakataa maelezo yasiyo ya kiasili kwa matukio ya kiasilia na kutangaza kwamba kila tukio lilikuwa na sababu za kiasili walipendekeza kwamba lazima mawazo yathibitishwe na sababu makini na uoni na nyingi katika nadharia zao zilithibitishwa kwa mafanikio makubwa katika majaribio mbalimbali kwa mfano nadharia ya atomi ilijulikana kuwa sahihi takribani miaka baada ya kupendekezwa kwa mara ya kwanza na leucippus na mwanafunzi wake democritus isaac newton aliandika sheria za mwendo na mvutano ambazo zilikuwa hatua kubwa katika fizikia ya zamani fizikia ilipata kuwa somo peke yake la sayansi wakati wazungu walipoanza kutumia njia za majaribio na upimaji kugundua kile ambacho leo kinachukuliwa ni sheria za fizikia maendeleo makubwa katika kipindi hicho yalijumlisha ubadilishaji wa mfumo wa jua uliofuata mfumo wa jiosentriki kuwa mfumo wa heliosentriki wa copernicus sheria zinazotawala miendo ya sayari katika mfumo wa jua ziliamuliwa na johannes kepler kati ya miaka na kazi za mwanzo katika darubini na unajimu wa kiuchunguzi vilifanywa na galileo galilei katika karne ya na na ugunduzi wa isaac newton na muungano wa sheria zake za mwendo na sheria za jumla za mvutano ambazo zilikuja kubeba jina lake ulifanyika newton pia aliendeleza kalikulasi somo la mahesabu ya mabadiliko ambalo lilileta njia mpya ya kukokotoa matukio ya kiumbo ugunduzi wa sheria mpya za joto mwendojoto thermodynamics kemia na sumakuumeme ulitokana na juhudi kubwa za uchunguzi katika kipindi cha mapinduzi ya viwanda kutokana na kuongezeka kwa kiasi kikubwa kwa mahitaji ya nishati sheria zenye maudhui ya fizikia ya zamani ziliendelea kuwa na matumizi makubwa katika matukio ya kila siku ambapo maada ilisafiri na miendokasi isiyokaribia ule wa mwanga kwa kuwa yalitoa majibu yenye makadirio ya karibu zaidi na nadharia kama kwanta ya kimakenika na ile ya rilativiti zilirahisika kuelekea kutoa majibu kama yaliyotolewa na fizikia ya awali hata hivyo makosa katika fizikia ya zamani hasa kwa vitu vidogo zaidi na vile vyenye mwendo uliokaribia ule wa mwanga vilipelekea kuendelezwa kwa fizikia ya kisasa katika karne ya kazi za albert einstein katika athari za kifotoelektriki na nadharia ya rilativiti ndiyo iliyopelekea mapinduzi ya fizikia katika karne ya ma planck alianzilisha nadharia ya kwanta ya kimakenika na vifurushi kimakenika nadharia hizo zote kwa pamoja zilikuja kwa sababu ya majibu yasiyo sahihi sana yaliyotolewa na mekaniki ya zamani katika baadhi ya matukio mekaniki ya zamani ilitabiri mabadiliko ya mwendokasi wa mwanga jambo ambalo lilishindwa kutatuliwa na mwendokasi usiobadilika uliotabiriwa na milinganyo ya sumakuumeme ya mawell utata huo ulirekebishwa na nadharia ya einstein ya rilativiti maalum ambayo iichukua nafasi ya mekaniki ya zamani kwa vitu vinavyokwenda kwa spidi kubwa zaidi na ikaruhusu mwendo wa mwanga usiobadilika mnururisho wa vitu vyeusi pia ulikuwa tatizo lingine kwa mekaniki ya zamani ambalo lilitatuliwa wakati planck alipopendekeza kwamba mwanga husafiri katika mfumo wa vifurushi vidogovidogo vinavyoitwa fotoni pamoja na athari za fotoniumeme na nadharia nzima inayotabiri ngazi zilizojitenga za njiamzingo za elektroni ilipelekea kwenye nadharia ya vifurushikimakenika kwa kiingereza quantum mechanics kushika nafasi ya mekaniki ya zamani katika mizania ndogo sana nadharia ya vifurushikimakenika ilianzishwa kutokana na kazi za awali za akina werner heisenberg erwin schrdinger na paul dirac kutokana na kazi hizo za mwanzo kila mmoja katika tasnia yake muundo wa kiwango kinachotambulika wa fizikia ya hardali vitu vidogo ilipatikana kufuatia ugunduzi wa tabia za hardali zinazokubaliana na higgs boson katika kituo cha cern mwaka hardali zote za msingi ziliweza kutabiriwa na muundo unaotambulikana na hakuna hardali nyingine zilizoonekana kupatikana hata hivyo fizikia zaidi ya muundo unaotambulika na nadharia kama za supersymmetry ni katika mambo yanayoendelea kufanyiwa utafiti hivi leo bara arabu ni ile sehemu ya dunia iliyoko baina ya bara la afrika na bara la asia ambayo sehemu kubwa yake imezungukwa na bahari upande wa magharibi bahari ya shamu upande wa kusini na bahari ya hindi na ule wa mashariki ghuba ya uajemi sehemu za kaskazini mwa bara arabu zimepakana na nchi za ufalme wa jordani na jamhuri ya iraq kwa sababu ya ukame hakuna mito ya kudumu katika bara hili ijapokuwa kwenye sehemu mbalimbali kunapatikana chemchemi na vijito vya maji ambavyo huzidi wakati wa msimu wa mvua katika majira ya baridi sehemu kubwa ni jangwa tu bara arabu ina milima upande wa magharibi na kusini lakini kila ukiteremkia mashariki unakutana na ardhi tambarare mpaka kufikia kwenye ghuba ya uajemi eneo la bara arabu kwa jumla ni kilomita mraba ikiwa saudia inakalia sehemu nne katika tano ya jumla ya maeneo yake na sehemu iliyobakia ambayo ni moja katika tano inakaliwa na nchi zilizobakia zote zikiwepo pembezoni mwa saudia kwenye bahari ya ghuba ya uajemi na bahari ya waarabu na bahari ya shamu nchi zilizoko kwenye bara hili ni bahrain kuwait oman qatar saudia muungano wa falme za kiarabu na yemen sita za mwanzo zikiwemo kwenye baraza la ushirikiano wa nchi za ghuba zina mfumo wa kifalme katika utawala wake na ya mwisho ni jamhuri ya yemen nchi hizi zina historia ndefu inayorudi nyuma kabla ya kuja uislamu na ustaarabu wa aina mbalimbali ulipatikana katika maeneo ya nchi hizi katika ustaarabu mashuhuri wa nchi hizi ni ule ustaarabu wa nchi ya yemeni ambao ulikuwa ukijulikana kuwa ni ustaarabu wa sabaa zama za balqis malkia wa yemen wakati huo kuna miji mingi katika bara arabu lakini miji mikuu ya madola mbalimbali ya bara arabu ni riyadh mji mkuu wa saudia ijapokuwa kuna miji mashuhuri na mitukufu katika saudia kama makka na madina mji mkuu wa yemeni ni sanaa lakini mingine muhimu ni aden hudeidah taez mukalla shibam na seyun ama mji mkuu wa oman ni maskat lakini kuna miji mengine mashuhuri yenye tarehe kubwa kama salala sohari nizwa na rustaq mji mkuu wa falme za kiarabu ni abu dhabi na mengine mashuhuri ni dubai sharjah ajman ras al khayma ummul quwain na fujairah kuwait mji mkuu wake ni kuwait qatar mji mkuu wake ni doha na bahrain ni manama rasi ya bara arabu ina jangwa kubwa la rub al khali kusini mwake na an nafud kaskazini mwake ni sehemu ya ulimwengu ambayo haina mvua nyingi na ukame ndio tabia ya nchi zilizokuwemo katika bara hili kwa hivyo hali ya hewa huwa ni joto sana katika majira ya joto kufikia hadi daraja c katika baadhi ya sehemu zake na kufikia daraja hadi c katika baadhi ya sehemu nyingine katika majira ya baridi idadi ya wakazi wa nchi hizi saba kwa ujumla inafikia wakiwemo asilimia wenyeji na asilimia wageni wenyeji au wananchi wa nchi hizi aghlabu yake ni waarabu lakini pia kuna waajemi mabulushi wahindi wabangladeshi wazungu wapakistani waafrika na makabila mengineyo nchi zote saba zilizoko kwenye bara arabu ni za kiislamu na aghlabu waislamu wake ni wa madhehebu ya sunni lakini pia kuna madhehebu ya shia na ya ibadhi kwenye baadhi ya nchi hizi asilimia ya wananchi wa nchi hizi ni waislamu lakini vilevile kati ya wakazi wake hasa wahamiaji kuna wafuasi wa dini nyinginezo kama wakristo mabaniani wayahudi na kadhalika kiarabu ndiyo lugha inayotumika kwenye nchi hizi saba na ndiyo lugha rasmi ya nchi hizi lakini hivi karibuni kiingereza kimeanza kutumika sana kwa sababu ya kuwepo dharura ya kutumia lugha hii katika biashara mawasiliano baina ya wananchi na wageni na katika uhusiano wa kimataifa baina ya nchi mbalimbali ulimwenguni bara arabu ina aina nyingi za madini na nishati kuna dhahabu fedha chumvi na kadhalika inajulikana hasa kwa akiba zake kubwa za mafuta ya petroli na gesi jambo lililofanya hizi nchi kutegemea zaidi maliasili hizi kwa ajili ya kukuza uchumi wa nchi zao na maendeleo mengine ya nchi hapo zamani watu wa nchi hizi walitegemea sana uvuvi ufugaji wa wanyama kama mbuzi kondoo ng ombe ngamia na farasi aidha walikuwa wakilima na kupanda mitende matunda ngano na shayiri na kwa hivyo bidhaa zao walizokuwa wakisafirisha nje zilikuwa zaidi ni tende buni samaki na papa wakavu na ngozi za wanyama mwenyezi mungu katika lugha ya kiswahili ni jina linalotumika kwa muumba wa kila kitu mwenye kuabudiwa kwa haki kinyume na neno mungu ambalo linamaanisha chochote au yeyote anayeabudiwa ikiwa kwa haki au si kwa haki neno mwenyezi linaunganisha mwenye na enzi na kumpatia mungu sifa ya kuweza yote bila kuzuiliwa na yeyote wala chochote kwa uweza huo mwenyezi mungu ni muumba wa mbingu na dunia na kila kilichomo ndani yake naye ni mlezi wa viumbe vyote na mpaji riziki kwa kila chenye uhai ulimwenguni mwenyezi mungu katika dini na mila nyingi duniani ni yule anayestahiki kuabudiwa kwa haki ikiwa peke yake bila kushirikishwa na chochote au kwa kushirikishwa na viumbe kwa nia ya kuwa hawa viumbe vinamkurubisha naye hii ni kwa sababu kila dini au mila ina namna yake ya kumsawiri mwenyezi mungu na njia gani sahihi ya kumuabudu na kwa kuwa hakuna itifaki baina ya hizi dini mila na madhehebu kuhusu mwenyezi mungu na namna anavyotakikana kuabudiwa hizi tofauti chungu nzima zimetokea mwenyezi mungu ana sifa mbali mbali kwa mujibu wa dini na mila na madhehebu tofautitofauti na watu wanamsifu mwenyezi mungu kwa namna ambayo wanamjua wao kulingana na mafunzo ya dini na mila zao hii ni kwa sababu watoto tangu wazaliwapo hufunzwa na wazee wao habari za mwenyezi mungu na namna ya kumuabudu na mafunzo haya hubakia katika mawazo na fikra zao na kukua nayo mpaka ukubwani mwao uislamu kwa mfano unaeleza kuwa mwenyezi mungu ni mmoja tu hana mshirika hana mwanzo wala mwisho hakuzaa wala hakuzaliwa wala hapana yeyote mwenye kufanana au kushabihiana naye naye ni mola wa ulimwengu huu wote na muumba wa kila kitu kwake yeye inatoka riziki ya kila kiumbe na ndiye mwenye kuhuisha na mwenye kufisha marejeo ya viumbe vyote wakisha kufa na kufufuliwa ni kwake yeye tu siku ya kiyama yeye pekee ndiye mwenye kuhukumu viumbe siku ya malipo na ndiye atakayewapa waja wake ujira na thawabu na kuwatia peponi kwa mema waliyoyafanya au kuwatia adabu na kuwapa adhabu na mateso na kuwatia motoni kwa maovu waliyotenda hapa duniani waislamu wanafunzwa tangu utotoni mwao kuwa mwenyezi mungu ni mmoja tu peke yake hana mshirika naye ndiye mwenye kufaa kuabudiwa kwa haki bila ya kushirikishwa na chochote katika viumbe vyake na kuwa yeye ni wa kutegemewa katika kila kitu na kuombwa msaada na kuombwa msamaha wakati wa makosa na madhambi yeye hana kitu kilichofanana naye hakuzaa wala hakuzaliwa hana mwanzo wala mwisho mwingi wa rehema na mwenye kurehemu mtoa riziki mwenye kuhuisha na mwenye kufisha hukumu yote ni yake siku ya kiyama mtukufu na mkubwa bwana na mola wa walimwengu wote yeye tu ndiye mwenye kustahiki kuabudiwa na yeye tu ndiye mwenye kufaa kuombwa na kutakwa msaada ukristo unakubaliana na uyahudi na uislamu katika mengi ya sifa hizi za mwenyezi mungu za kuumba kuhuisha na kufisha kuruzuku kufufua kuhukumu na kulipa ya kheri kwa mwenye kufanya kheri na ya shari kwa mwenye kufanya shari lakini aghlabu ya madhehebu ya kikristo ijapokuwa si yote yanampa mwenyezi mungu sifa ya kuwa utatu mtakatifu na kumsifu kuwa huyohuyo ni mungu baba na mungu mwana na mungu roho mtakatifu na kuwa wote hawa watatu wanachanga uungu pekee kwa umoja kamili kabisa kwa dhati uislamu kwa upande wake unakataa katakata masuala ya kumshirikisha mwenyezi mungu na kitu chochote na kwa hiyo ni mmoja tu wala hana mshirika wa aina yoyote katika majadiliano juu ya hilo mara nyingi wakristo wanahisi waislamu wanakariri imani yao wenyewe bila kusikiliza maelezo ya upande wa pili kwamba fumbo la utatu mtakatifu halimaanishi kushirikisha sifa za mwenyezi mungu na wengine wawili nje yake bali kwamba ndiyo alivyo kwa ndani kama vile sifa zote za mungu zilizoorodheshwa na uislamu katika majina zisivyovuruga umoja wake ndivyo ilivyo kwa utatu kwa wakristo karibu wote nafsi tatu ni za mwenyezi mungu yuleyule na zinadokeza kwamba milele yote yeye nafsi ya anajifahamu nafsi ya na anajipenda nafsi ya dini nyinginezo kadhalika zina tasauri na fikra nyingine kuhusu mwenyezi mungu kuna wale wanaoabudu viumbe mbalimbali wakichukulia kuwa wanamwakilisha mwenyezi mungu kama kuabudu sanamu nyota jua ngo mbe wanyama mbalimbali mizimu miti moto viumbe wenziwao malaika majini na kadhalika dini na mila hizi pengine huchukulia kuwa vitu hivi vinatusaidia kutufikisha kwa mwenyezi mungu na kuwa bila ya vitu hivi ibada zetu haziwezi kufika ama wengine huwa na imani kuwa vitu hivi ndio mola mwenyewe wa kuabudiwa na kuombwa na kutakwa msaada dunia kutoka neno la kiarabu wakati mwingine pia ardhi na kwa neno asili la kibantu ni gimba la angani ambapo juu yake tunaishi sisi binadamu na viumbehai wengine wengi tukipata mahitaji yetu kuanzia hewa ya kutufaa na maji dunia ni mojawapo ya sayari nane zinazozunguka jua letu katika anga nje kati ya sayari za mfumo wa jua dunia yetu ni sayari ya tatu kutoka kwa jua masafa baina yake na jua ni kilomita milioni au kizio astronomia dunia huchukua siku kulizunguka jua na masaa kuuzunguka mhimili wake na upana wake ni kilomita dunia huwa na mwezi umri wa dunia hukadiriwa kuwa miaka bilioni ni mahali pekee katika ulimwengu panapojulikana kuna uhai ulioaminiwa kuanza miaka bilioni iliyopita uhai unapatikana kwa spishi milioni za viumbe hai pamoja na wanadamu waliokadiriwa kuwa sasa bilioni kwenye uso wake dunia huwa na tofauti kati ya nusutufe zake mbili nusu moja ina eneo kubwa la mabara yaani nchi kavu ambayo ni asilimia ya sehemu hii kinyume nusutufe nyingine inafunikwa na maji ya bahari na eneo la nchi kavu ni asilimia pekee za maeneo yake kwa jumla dunia ni sayari pekee katika mfumo wa jua yenye maji katika hali ya kiowevu usoni mwake bahari kuu ya dunia inashika asilimia ya maji yote yaliyopo duniani maji ya bahari huwa na asilimia chumvi ndani yake kwa pamoja maeneo ya maji hufunika za uso wa dunia nchi kavu huwa na na sehemu kubwa ya eneo la nchi kavu ni bara za asia afrika amerika kaskazini amerika kusini antarktika ulaya na australia ulaya inaweza kuangaliwa pia kama sehemu ya asia ikiwa kama rasi yake ya magharibi azimio la kutazama australia kama bara na greenland kama kisiwa tu ni azimio la hiari si la lazima maeneo ya bahari kuu ya dunia kwa kawaida hugawiwa kwa bahari kubwa za pasifiki atlantiki na bahari hindi sehemu ya chini baharini iko kwenye mfereji wa mariana katika pasifiki mita chini ya ub kwa wastani bahari huwa na kina cha mita tumeona dunia ina umbo la mviringo au tufe tufe hilo si kipande kimoja kikubwa cha mwamba thabiti dunia ina muundo ndani yake muundo huo unafanana kiasi na kitunguu yaani dunia yetu imefanyika kwa matabaka mbalimbali yanayofuatana kutoka nje kwenda ndani kila moja lina tabia yake kimsingi wataalamu hutofautisha matabaka matatu ambayo ni ganda la dunia ni sehemu imara na uhai wote tunaoujua unapatikana juu yake katikati hali ya koti na ya kiini ni ya joto kubwa sana na maada yake hupatikana katika hali ya giligili si imara kuyeyushwa kila ukiingia ndani dunia inazidi kuwa ya moto mpaka ukifika ndani kabisa daraja ya harara hufikia nyuzi c matabaka hayo yanafanywa kwa elementi za kikemia ambazo ni feri chuma oksijeni silisi magnesi sulfuri nikeli kalsi na alumini mabaki ya ni viwango vidogo vya elementi nyingine elementi hizo zinapatikana kwa hali safi au katika kampaundi za elementi vipimo vimeonyesha ya kwamba matabaka mawili ya koti na kiini huwa tena na mgawanyiko ndani yake hivyo matabaka yafuatayo yanaweza kutofautishwa sehemu ya juu ya koti inafanana kikemia na ganda na sehemu hizo mbili zinaitwa tabakamwamba tabakamwamba ina unene wa kilomita tabakamwamba imekatika katika vipande vinavyoitwa mabamba la gandunia vipande hivi vinaelea juu ya giligili ya koti la ndani ndiyo sababu bara lolote si la milele kila bamba huwa na mwendo wake na ndiyo sababu katika historia ya dunia mabara yameachana na kuungana mara kadhaa kwa mfano imepimwa ya kwamba sehemu kubwa ya afrika ya mashariki ina mwendo wa kuachana na bara la afrika na dalili yake ni bonde la ufa pale ambako mabamba yanapakana volkeno nyingi zinapatikana na matetemeko ya ardhi hutokea dunia inazungukwa na uga sumaku yaani mistari ya nguvu ya kisumaku sababu yake ni kwamba kiini cha dunia kinafanywa na chuma chenye tabia kama sumaku kubwa tabia hiyo inasababishwa na mwendo wa mikondo ya chuma cha moto kilichoyeyuka katika kiini cha nje cha dunia mistari ya nguvu ya sumaku inatoka nje kwenye ncha ya kusini na kurudi ndani ya dunia kwenye ncha ya kaskazini tabia hiyo ni msingi wa kazi ya dira ambamo sindano ya dira huvutwa daima na ncha sumaku ya dunia na kuelekea kaskazini muda wote ugasumaku wa dunia ni kinga muhimu kwa uhai wote duniani dunia inapigwa muda wote na mnururisho kutoka jua kwa njia ya upepo wa jua mnururisho huo ni nuru pamoja miale ya hatari ugasumaku unakengeusha sehemu kubwa ya mnururisho hatari hadi unapita kando ya dunia na kutofika kwenye uso wa dunia dunia yetu ni sayari pekee inayojulikana mpaka sasa ambapo binadamu na viumbe vingine vinaweza kuishi wanasayansi bado wanafanya ufafiti kujua kama kuna kuna viumbe hai kwenye sayari nyingine hapa kuna sababu mbili zinazofanya viumbehai kuishi duniani sehemu kubwa kabisa ya dunia inafunikwa na bahari kwani takriban asilimia ya uso wake unafunikwa na maji ya bahari na kutokana na maji yote yaliyokuwepo ardhini asilimia ni maji ya bahari na asilimia ni maji matamu theluthi inayobaki ni nchi kavu kwenye mabara mbalimali na visiwa vingi sura ya dunia ni kilomita mraba ikiwa nchi kavu imechukua eneo la kilomita mraba na maji yamechukua eneo la kilomita mraba mabara makubwa ni asia afrika amerika kusini na amerika kaskazini australia na ulaya asia na ulaya mara nyingi hutazamiwa wakati mwingine kama bara moja ya eurasia hewa iliyoko juu ya ardhi vile vile ina matabaka mbalimbali na kila tabaka lina kazi yake hewa kwa jumla ina masafa ya kiasi cha kilomita au maili kuendea juu na baada ya hapo unaingia kwenye anga nje hewa hiyo ndiyo inayokinga viumbehai na madhara ya jua na mnururisho wa angani ambao unaingia anga ya dunia na kuteremka chini asia ni bara kubwa kabisa kuliko mabara yote mengine ya dunia bara hili lina eneo la kilomita za mraba maili za mraba ambalo ni sawa na asilimia ya ardhi yote wakazi wa bara la asia ni kwa mujibu wa makisio bara la asia lina nchi na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa everesti wenye urefu wa mita futi ulioko nepal pia uko kwenye bara hili kadhalika nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni china na india pia ziko kwenye bara hili ziwa kubwa kabisa ulimwenguni bahari ya kazwini caspian sea lenye eneo la kilomita za mraba maili za mraba vile vile liko asia kati ya ya nchi hizi azerbaijan urusi kazakhstan turkmenistan na uajemi bara la asia linaweza kugawanywa katika sehemu zifuatazo isa ni umbo la jina yesu katika qurani na pia katika lugha mbalimbali zilizoathiriwa na uislamu ukurasa huu unahusu imani ya uislamu kumhusu yesu kadiri ya kurani kitabu hicho kilichoandikwa miaka hivi baada ya kristo kina aya zinazomhusu lakini hakileti mfululizo wa habari za maisha yake wala za mafundisho yake maalumu ingawa waislamu wanakiri pia vitabu vitakatifu vya torati zaburi na injili katika ibada wanatumia kurani tu na kwa kawaida ndiyo chanzo chao cha habari juu ya watu na matukio ya kabla yake kwao nabii isa ni mtume anayeaminiwa kuwa mmojawapo wa mfululizo wa mitume na manabii watukufu wa mwenyezi mungu walioletwa ulimwenguni kuwapasha wanadamu ujumbe wa umoja wake ili wamuabudu yeye peke yake akiwa ndiye muumba na mruzuku wao hapa duniani mitume na manabii hao wameletwa katika zama mbalimbali na kwa watu kaumu na umma mbalimbali na mfululizo huu ulianza na adamu baba wa wanadamu wote hadi mtume muhammad akiwa ndiye wa mwisho isa ni miongoni mwa mitume wakubwa ambao mwenyezi mungu amewasifu kwa subira yao na ustahimilivu wao mkubwa manabii nuhu na ibrahimu na musa na isa na muhammad tena ni miongoni mwa mitume waliopewa kitabu kutoka kwa mwenyezi mungu kiitwacho injili masihi isa bin mariamu ni mtume wa mwenyezi mungu na neno lake tu alilompelekea mariamu na ni roho iliyotoka kwake sura ya aya wakristo wanamuita kwa kawaida yesu kristo nabii isa alizaliwa na bibi maryam kimuujiza kwani alizaliwa bila ya baba kwa amri ya mola wake ambaye alimtuma malaika jibril kumtangazia kupata kwa mtoto mtukufu baada ya kuzaliwa nabii isa alisema utotoni mwake akiwa bado mchanga ukiwa ni muujiza mwingine kwa watu ili kuwaonyesha kuwa yeye si mtoto wa kawaida na kuwa mama yake hana dhambi ya kuja kwake bila ya baba huo ni mfano mmoja katika mifano minne ya uumbaji aliyotuonyesha mwenyezi mungu kwani mwenyezi mungu alimuumba adamu bila ya baba wala mama na akamuumba hawa bila ya mama na akamuumba isa bila ya baba na akaumba wanadamu wote waliobakia kutokana na baba na mama habari za kuzaliwa kwake nabii isa zinapatikana katika kurani surat maryamu kuanzia aya nabii isa aliletwa kwa wanadamu kufikisha ujumbe kwao wa kuwafahamisha kuwa mwenyezi mungu ni mmoja hana mwenzake na kuwa yeye pekee ndiye mwenye kustahili kuabudiwa kwa haki ujumbe huu ndio ujumbe uleule uliotumwa kwa mitume na manabii wote kwa wanadamu ili kuwaongoza naye alikuja kutilia mkazo na kusisitiza jambo hili na kuzipa nguvu tume za mitume na manabii waliopita kadiri ya sura ya aya ya alisema ni msadikishaji wa yale yaliyokuwa kabla yangu katika taurati na ili niwahalalishieni baadhi ya yale mliyoharimishiwa na nimewajieni na ishara kutoka kwa mola wenu kwa hiyo mcheni mwenyezi mungu na mnitii alitabiri kuwa baada yake atakuja mmoja ambaye atawafundisha wanadamu ukweli wote na kuwaongoza kwenye haki na kuwaeleza kila wanalolihitaji katika maisha yao ujumbe wake ulikuwa ni wa mwisho kabla ya ule wa mtume muhammad ambao ndio wa mwisho kabisa kwa wanadamu wote mwenyezi mungu ameleta mitume na manabii wengi ulimwenguni lakini alichagua baadhi yao na kuwateremshia vitabu vya uongozi na sharia na hekima kwa wafuasi wao katika vitabu vilivyoteremshwa kwa manabii mbalimbali ni taurati kwa nabii musa zaburi kwa nabii daudi injili kwa nabii isa na qurani kwa nabii muhammad kitabu cha nabii isa kiliteremshiwa wayahudi ambao ndio walengwa wake wa kwanza wa nabii isa kama ilivyothibitishwa na qurani wakati aliposema nabii isa alipewa na mwenyezi mungu miujiza mbalimbali kumsaidia katika kazi yake ya kutangaza dini ya mwenyezi mungu kwani ilikuwa kawaida kwa mtume au nabii kuonyesha miujiza kwa watu au kaumu yake ili awathibitishie kuwa yeye kweli ni mjumbe aliyeletwa na mola wa ulimwengu huu mitume waliotangulia kabla ya nabii isa kama nuhu na ibrahim na musa na wengineo wote walikuja na miujiza mbalimbali baadhi ya miujiza ya nabii isa kwa idhini ya mwenyezi mungu ni kuumba ndege kutokana na udongo kuponyesha vipofu wakaweza kuona na kuwaondoshea ukoma wale wenye ukoma na kuhuisha mtu aliyekufa na kuwateremshia wafuasi wake chakula kutoka mbinguni ili iwe ni dalili kwao wote muhammad alikuta wakristo au manasara wakiwa wamehitilifiana katika imani yao kuhusu nabii isa kwani wote walimkiri kuwa mwana wa mungu lakini kwa wengi hii ilikuwa na maana kuwa yeye ni mungu aliyejifanya mtu isipokuwa wachache walitafsiri tofauti makundi ya namna hiyo yalitengana baada ya nabii isa kuondoka ulimwenguni na kuwaachia wafuasi wake waendeleze kazi yake ya kutangaza dini ya mwenyezi mungu wafuasi waliokuja baada ya wale kumi na mbili waliokuwa pamoja naye walitoa fikra na mawazo yao kuhusu isa hivyo baada ya muda waligawanyika makundi mbalimbali waislamu pamoja na wakristo wanaamini kuwa isa atarudi tena ulimwenguni kukamilisha kazi yake aliyoiacha baada ya kupaa kwenda kwa mola wake na haya yanaelezwa katika vitabu vya dini vya kiislamu na vya kikristo lakini wanahitilifiana kuhusu namna na njia aliyoondokea ulimwenguni waislamu wanasema kuwa isa alichukuliwa na mola wake na kupandishwa kwake mbinguni baada ya wayahudi kutaka kumuua na kwa hivyo hawakuweza kumuua wala kumsulubu wakristo kwa upande mwingine wanaamini kuwa aliwahi kusulubiwa na kuzikwa kisha akafufuka siku ya tatu muhimu hapa ni kujua kuwa atarudi tena duniani kukamilisha kazi aliyopewa na mwenyezi mungu hivyo ni kweli kwamba imani kwa nabii isa na kwa yesu kristo ni tofauti sana bara au kontinenti ni sehemu kubwa ya dunia iliyochomoza juu ya bahari ambayo kwa kawaida hukaliwa na watu na kuwa juu yake na milima na mimea na wanyama na kila aina ya viumbe ingawa viumbe hai wengi zaidi wanaishi baharini sehemu hii ya dunia ndiyo inayojulikana kama bara na sehemu nyingine ya dunia ni ile iliyoko chini ya bahari neno bara lamaanisha nchi kavu tofauti na bahari au visiwa vidogo karibu na pwani ya nchi kavu kubwa zaidi si lazima kutaja maeneo makubwa tunayomaanisha tukiongea juu ya mabara saba ya dunia neno kontinenti latokana na kilatini terra continens yaani nchi kavu mfululizo kwa hiyo elezo la neno bara kontinenti katika sayansi ya jiografia ni masi kubwa na mfululizo za nchi kavu zinazotengwa kwa maeneo makubwa ya maji lakini hali halisi sehemu kubwa ya mabara saba yanayokubaliwa kwa kawaida hayatengwi kabisa kati yake kwa maji pia neno masi kubwa halieleweki waziwazi kabisa kwa nini greenland yenye eneo la kilomita za mraba inaitwa kisiwa lakini australia yenye eneo la huitwa bara mabara yote ya dunia yetu huwa na pwani kwenye bahari kuu ya dunia ambayo ni moja tu ikigawiwa kwa sehemu mbalimbali na mabara vigezo vingine kwa lugha ya kawaida bara ni eneo mfululizo wa nchi kavu kwa maana hii tanzania bara ni eneo lote la tanzania isipokuwa visiwa ambavyo ni sehemu ya nchi ya tanzania bila visiwa vya unguja pemba mafia na kadhalika vivyo hivyo ulaya bara ni eneo la ulaya bila visiwa kama britania eire malta na kadhalika kwa macho ya jiolojia bara ni pana kuliko nchi kavu tu inaweza kutaja pia maeneo ya tako la bara yaliyo chini ya maji yasiyo na kina kikubwa pamoja na visiwa vya sehemu hizi kwa mtazamo huu visiwa vya britania na eire ni sehemu ya ulaya na vivyo hivyo autralia na guinea mpya ni bara moja kwa maana ya utamaduni wazo la bara linaweza kujumlisha pia visiwa vya mbali kama vile iceland huhesabiwa sehemu ya ulaya au hata mikoa ya ufaransa katika bahari hindi kuhesabiwa katika ulaya kwenye ramani zinazotumia lugha ya kiingereza kawaida huhesabiwa mabara saba duniani mengine yakiwa makubwa na mengine madogo mara nyingi visiwa vya pasifiki hujumlishwa pamoja na australia kama na kuhesabiwa kama bara kutokana na elezo kuu kuwa bara ni masi ya nchi kavu iliyotengwa na bara nyingine kwa maji kuna mawazo tofauti kuhusu idadi ya mabara wakibaki na amerika afro eurasia australia na antaktiki mabara jinsi yalivyo leo hayakuwepo tangu mwanzo wala hayakai vile ilhali kila bara inalingana na bamba au mabamba ya gandunia ina pia mwendo pamoja na bamba lake wanajiolojia huamini ya kwamba miaka mamilioni iliyopita mabara yote yaliwahi kukaa pamoja kama bara kubwa sana lililoendelea kupasuliwa baadaye vipande huelea juu ya koti ya dunia ambayo ni kiowevo na moto mwendo wa mabamba umepimiwa kuwa sentimita kadhaa kila mwake uhindi zamani haikuwepo sehemu ya asia na sasa hivi afrika inaelekea kupasuliwa kwenye mstari wa bonde la ufa la afrika ya mashariki eneo la dunia yote kwa jumla ni kilomita mraba ikiwa nchi kavu imechukuwa eneo la kilomita mraba na maji yamechukuwa eneo la kilomita mraba eneo la maji kulingana na eneo la nchi kavu ni asilimia na nchi kavu kilomita mraba ni asilimia maji ya bahari yamechukuwa eneo la kilomita mraba ambalo ni asilimia na maji yaliyobakia matamu ni asilimia tu mabara jinsi yanavyoonekana hukaa juu ya mabamba ya gandunia ambayo ni vipande vikubwa vya mwamba vinavyounda uso wa dunia mabara tunavyoyajua yanalingana kila moja na bamba lake na kila bamba ina mwendo wake wa polepole hii ni sababu ya kwamba baada ya miaka mingi uso wa dunia utaonekana tofauti kuliko leo kijiolojia bara haliishi kwenye pwani pale bahari inapoanza bara linaendelea chini ya uso wa bahari kama tako la bara mabara na mabamba yao ni kama ifuatayo afrika bamba la afrika antaktika bamba la antaktika australia bamba la australia ulaya na sehemu kubwa ya asia bamba la ulaya asia amerika kaskazini pamoja na siberia bamba la amerika ya kaskazini na amerika kusini bamba la amerika ya kusini mabamba madogo yamejitenga ingawa nchi juu yao inaonekana kuwa sehemu ya bara lingine mfano wake ni bara hindi iliyokuwa kama bara ndogo au kisiwa kikubwa zamani lakini tangu miaka milioni imejisukuma chini ya bamba la asia ulaya na kuikunja hadi kutokea kwa milima ya himalaya kwa jumla miamba ya sehemu za mabara ni mipesi kushinda miamba ya chini na hii ni sababu ziko juu ya miamba mingine kwa hivyo kwa ujumla kuna madola katika mabara yote ya ulimwengu mara huzidi kukitokea na mgawanyiko wa nchi au hupungua kukitokea umoja au muungano wa nchi tanzania ni nchi iliyoko afrika ya mashariki imepakana na uganda na kenya upande wa kaskazini bahari hindi upande wa mashariki msumbiji malawi na zambia upande wa kusini kongo burundi na rwanda upande wa magharibi eneo lina kilometa za mraba nchi ya duniani maji ya ndani yanachukua asilimia idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka ilikuwa nchi ya duniani kutoka waliohesabiwa katika sensa ya mwaka msongamano ni wa watu kwa km nchi ya duniani tanzania ni nchi kubwa zaidi kati ya wanachama wa jumuiya ya afrika ya mashariki mji mkuu ni dodoma wenye wakazi lakini dar es salaam ndilo jiji kubwa zaidi lenye watu miji mingine ni kama vile mwanza arusha mbeya morogoro tanga kahama tabora na zanzibar nchi iko katika eneo la maziwa makubwa ya afrika hivyo maziwa yanafunika km yaani za eneo lote la nchi pia ina mito mingi ambayo inaelekeza maji yake katika bahari ya hindi mashariki mwa nchi lakini mingine inachangia mto zambezi kupitia ziwa nyasa michache bahari ya kati kupitia ziwa victoria na mto naili mingine tena bahari atlantiki kupitia ziwa tanganyika na mingine inaishia katika mabonde kama ya ziwa rukwa tabia ya nchi ya tanzania hubadilika kwa nyakati tofautitofauti katika mwaka hivyo kiasi cha mvua na halijoto husababisha tofauti za aina ya uoto wa asili udongo na aina ya mazao yanayolimwa karibu thuluthi moja ya nchi inalindwa kwa namna moja au nyingine kuna hifadhi za taifa mbali ya hifadhi teule hifadhi za mawindo mapori ya akiba n k jina tanzania lilipatikana kwa mashindano yaliyotangazwa mwaka na serikali kutafuta jina fupi zaidi kuliko republic of tanganyika and zanzibar mshindi alikuwa mwenyeji wa dar es salaam aliyeitwa mohamed iqbal dar alipendekeza kuunganisha herufi za kwanza za tanganyika na zanzibar akafikia tanzan hakuridhika bado akaona nchi nyingi za afrika zina majina yanayoishia na ia akaongeza herufi hizi mwenyewe alieleza baadaye chaguo lake kwamba aliamua kutumia i ya jina lake iqbal na a ya jina la dhehebu lake analolifuata katika uislamu la ahmadiyya kuhusu historia ya maeneo ya tanzania kabla ya angalia makala za tanganyika zanzibar na afrika ya mashariki ya kijerumani kabla ya uhuru nchi zote mbili tanganyika na zanzibar zilikuwa chini ya utawala wa uingereza lakini hazikuwa makoloni ya kawaida zanzibar ilikuwa na hali ya nchi lindwa kutokana na mikataba kati ya masultani wa zanzibar na ufalme wa muungano uingereza tanganyika iliwahi kuwa sehemu ya afrika ya mashariki ya kijerumani hadi vita kuu ya kwanza ya dunia halafu ikawa chini ya uingereza kama eneo la kudhaminiwa kutokana na azimio la shirikisho la mataifa lililoweka tanganyika katika ngazi b ya maeneo ya kudhaminiwa tanganyika na zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi zilipoungana na kuwa jamhuri ya muungano wa tanzania hapo kiongozi wa tanganyika mwalimu julius kambarage nyerere alipata kuwa rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya zanzibar abedi amani karume akawa makamu wa kwanza wa rais tanzania chini ya rais wa awamu ya pili ali hassan mwinyi iliruhusu mfumo wa vyama vingi vya siasa tanzania na kuanza mpango wa kurekebisha uchumi kuendana na masharti ya benki ya dunia na shirika la fedha duniani rais wa awamu ya tatu benjamin mkapa aliendeleza mfumo wa uchumi wa soko huria ambapo mashirika ya umma yanabinafsishwa tarehe desemba jakaya kikwete aliapishwa kuwa rais wa nne wa taifa naye aliendeleza sera za watangulizi wake akitokea chama hichohicho cha ccm tarehe novemba aliapishwa rais wa awamu ya tano john magufuli wa ccm vilevile tangu muungano wa tanganyika na zanzibar kufanyika mwaka tanzania imekuwa na miundo ifuatayo mambo yafuatayo yamekubalika kuwa shughuli za muungano muundo wa uongozi na utawala katika kipindi cha ukoloni ulizingatia mgawanyo wa madaraka baina ya mihimili mitatu ya dola yaani serikali bunge na mahakama tangu uhuru mgawanyo wa madaraka na uhusiano miongoni mwa mihimili hiyo uliimarishwa kwa kuzingatia wakati mahitaji ya demokrasia na misingi ya utawala bora na umeainishwa pia katika katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ibara ya kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi pia kulikuwa hatua ya kuendelea kuimarisha utawala wa ushiriki wa wananchi kadiri mahitaji ya upanuzi wa maono na falsafa duniani ugatuzi yaani mgawanyo wa kiutawala unafuata katiba ya nchi i tanzania imegawiwa kwa mikoa kila mkoa huwa na wilaya ndani yake jumla ya wilaya ni ambazo kati yake ni miji ndani ya wilaya kuna ngazi za tarafa division na kata ward chini ya kata kuna vijiji na wakati mwingine ngazi ya chini tena ambayo ni vitongoji watu wa tanzania hawaenei sawasawa katika maeneo makavu sana kwa wastani kuna mtu mmoja tu kwa kilomita ya mraba km lakini sehemu zenye rutuba za bara kuna watu kwa kila kilomita ya mraba hatimaye huku unguja kuna watu kwa kilomita ya mraba na katika mkoa wa dar es salaam ni kwa kilomita ya mraba asilimia hivi huishi vijijini ingawa uhamiaji mijini unakwenda kasi jamii nyingi za watu zimeishi na kushirikiana katika eneo la tanzania bara kwa milenia nyingi kati ya jamii hizo nyingi zilikuja kutoka maeneo mengine ya afrika nyingi katika jamii zilizohamia sehemu hii ziliingia katika makundi madogomadogo kwa amani ingawa ziko zilizoingia kwa njia ya uvamizi na vita baadhi ya jamii zilizovamiwa zilijihami na kuwazuia wahamiaji wasiendelee kuteka maeneo mengine kufikia mwaka wakati wajerumani walipoanza harakati za kufanya sehemu hii ya afrika kuwa koloni lao kulikuwa na makabila zaidi ya katika eneo la tanzania bara kuna makabila hivi makabila yenye watu zaidi ya milioni moja ni wasukuma wanyamwezi wachaga waha wagogo wahaya wajaluo na wamakonde jambo la pekee kuhusu jamii zilizoishi na zinazoendelea kuishi tanzania ni kwamba wakazi asili wanawakilisha makundi yote makuu manne ya lugha barani afrika hatimaye kuna wahadzabe wachache ambao utafiti wa dna umeonyesha hivi karibuni wana uhusiano wa asili na watwa wa nchi za afrika ya kati pia kuna asilimia ndogo ya watu wenye asili ya nje ya bara la afrika kwa mfano wahindi waarabu waindochina wafarsi wachina wagiriki na waingereza hii ilisababishwa na karne za mchanganyiko wa mahitaji ya biashara yaliyofanywa na mabara ya ulaya na asia hapo afrika nchini tanzania kuna lugha za kikabila zaidi ya mia moja na ishirini kwa kuwa kila kabila lina lugha yake kiswahili ndiyo lugha ya taifa na inazidi kuwa lugha mama kwa watoto wengi hasa mijini walau asilimia za wakazi wanakitumia walau kama lugha ya pili kiswahili ni mojawapo kati ya lugha za kibantu hii imesaidia sana kukubaliwa kwa kiswahili nchini kwa sababu idadi kubwa ya watanzania ni wasemaji wa lugha za kibantu kiswahili kinatumika kama lugha baina ya watu wa makabila mbalimbali na kwa mambo rasmi kwa hiyo ni lugha rasmi ya dhati baada ya uhuru kiingereza iliyokuwa lugha ya kikoloni kabla ya uhuru iliendelea kutumika kwa mambo kadhaa rasmi na kwa elimu kuanzia sekondari ingawa sera mpya inataka kiswahili kishike nafasi yake hadi chuo kikuu kwa hiyo ilichukuliwa kama lugha rasmi ya dhati pamoja na kiswahili lakini utumizi rasmi wa kiingereza umepungua katika milongo iliyopita na sasa utumizi huu karibu umekwisha kwa hiyo siku hizi ni kawaida zaidi kuchukulia kiswahili kama lugha rasmi ya dhati pekee sera mpya ya elimu inakusudia kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia katika ngazi zote kufikia mwaka nchi haina dini rasmi na katiba ya tanzania inatangaza uhuru wa dini kwa wote mara nyingi idadi ya wafuasi wa dini hutajwa kuwa theluthi moja waislamu theluthi moja wakristo na theluthi moja wafuasi wa dini za jadi lakini tangu uhuru swali la dini ya wananchi halijaulizwa tena katika sensa kwa hiyo kadirio la theluthi theluthi inawezekana ni zaidi azimio la kisiasa kwenye visiwa vya zanzibar idadi ya waislamu huaminiwa kuwa takriban usafiri nchini tanzania ni hasa kwa njia ya barabara nyingine ni reli na ndege kwenye maziwa makubwa na pwani ya bahari hindi kuna pia usafiri wa meli hadi sasa idadi ya barabara za lami si kubwa kuna hasa njia nzuri kati ya dar es salaam mbeya katika kusini magharibi dodoma katika kitovu cha nchi arusha tanga katika kaskazini mashariki kusini mashariki na magharibi ya nchi kwa jumla haina barabara nzuri na mawasiliano ni magumu mashirika mawili ya reli yanayohudumia tanzania ni trc shirika ya reli tanzania tanzania railways corporation na tazara tanzania zambia railways corporation trc imetawala reli ya kati kuanzia dar es salaam hadi kigoma halafu reli ya tanga kati ya tanga na arusha tazara imeunganisha dar es salaam na kusini ya nchi hadi zambia zote hazikutunzwa vizuri na usafiri unakumbwa na huduma mbaya pamoja na ajali huduma kwa ndege zinatumia hasa viwanja vya ndege vyenye barabara ya lami kwa ajili ya ndege hasa julius nyerere dar es salaam kilimanjaro arusha moshi na zanzibar kisauni pia kuna viwanja vingine vya ndege kama vile uwanja wa ndege wa mwanza bukoba na kigoma usafiri wa majini pia unafanyika hasa katika bahari ya hindi ingawa hakuna meli ya serikali hapo na mashirika binafsi hutoa huduma usafiri wa majini hufanyika pia katika maziwa ya viktoria tanganyika na nyasa miongoni mwa meli ni mv bukoba iliyozama tarehe mei pamoja na abiria karibu na mv nyerere iliyozama tarehe septemba pamoja na abiria zaidi ya katika ziwa tanganyika ipo meli ya mv liemba ambayo ilianza kutumika tangia kipindi cha ukoloni wa wajerumani inatoa huduma kati ya miji ya mwambao wa ziwa tanganyika na nchi jirani mwaka ulianza ujenzi wa awamu ya kwanza ya njia ya geji sanifu nchini tanzania inayolenga kuunganisha dar es salaam na morogoro njia hii inatarajiwa kuendelea hadi mwanza na hatimaye hadi burundi kati ya wasanii wa tanzania ni hasa wajume wa ubao na wachoraji waliojulikana kimataifa uchongaji wa mabombwe ya kimakonde yamesifiwa tangu mwanzo wa karne ya wamakonde wengi wamehamia daressalaam au arusha wanapohudumia soko la watalii na soko la nje tangu miaka ya uchoraji wa tingatinga umejulikana ulipata jina hilo kutoka kwa edward tingatinga naye mtu wa umakonde utamaduni wa watanzania ni pamoja na utaraab muziki ana nyimbo za kitaraab ndizo muhimu sana kwa nchi nzima hasa visiwani na pwani pia kuna miziki ya kinyarwanda dansi kama intore n k mahali pafuatapo katika tanzania pamepokewa katika orodha ya unesco ya urithi wa dunia mwaka wa kukubaliwa jina la mahali uhindi pia india ni nchi kubwa ya bara la asia upande wa kusini ikienea hasa katika rasi kubwa ya bahari ya hindi kwa eneo ina nafasi ya saba duniani lakini kwa idadi ya wakazi mwaka ni nchi ya pili baada ya china kati ya nchi za kidemokrasia ndiyo yenye watu wengi zaidi duniani tena inakadiriwa kwamba miaka ya hivi karibuni itapiku china imepakana na pakistan china nepal bhutan bangladesh na myanmar kiutawala uhindi ni shirikisho la jamhuri lenye majimbo ya kujitawala pamoja na maeneo ya shirikisho mji mkuu ni new delhi lakini mji mkubwa zaidi ni mumbai binadamu walifika india kutoka afrika kabla ya miaka iliyopita uwepo wao wa muda mrefu kwanza kama wawindaji wakusanyaji waliozagaa barani umefanya watu wa eneo hilo wawe na tofauti kubwa kati yao upande wa urithi wa kibiolojia ambayo inapitwa na waafrika tu makazi ya kudumu yalianza magharibi katika beseni la mto indus miaka iliyopita hata kuzaa ustaarabu maalumu indus valley civilisation katika milenia ya kk kufikia mwaka kk kisanskrit cha kale mojawapo kati ya lugha za kihindi kiulaya kilikuwa kimeenea india kutoka kaskazini magharibi kikawa lugha ya rigveda mwanzoni mwa dini ya uhindu hivyo lugha za kidravidi zikakoma kaskazini kufikia mwaka kk matabaka ya kudumu katika jamii yalikuwa yamejitokeza katika uhindu hapo dini za ubuddha na ujaini zilitokea zikipinga taratibu hizo za kibaguzi katika bonde la mto gange yalianza madola ya maurya na gupta ndani yake hadhi ya wanawake ilirudi nyuma na mtazamo wa kwamba baadhi ya watu hawatakiwi hata kuguswa ukaimarika huko india kusini falme za kati zilieneza maandishi na tamaduni vya lugha za kidravidi kwa falme za asia kusini mashariki kati karne za kwanza baada ya kristo dini za ukristo uislamu uyahudi na uzoroastro pia zilitia mizizi katika pwani za kusini majeshi kutoka asia ya kati yalivamia kwa kwikwi mabonde ya india hata kuunda usultani wa delhi na kuingiza india kaskazini katika umma wa kiislamu katika karne ya bk dola la vijayanagara liliunda utamaduni wa kudumu wa kihindu kusini mwa india katika punjab usikh ulianzishwa ukipinga dini rasmi dola la mughal mwaka liliwezesha karne mbili za amani na kuacha urithi wa usanifu majengo bora uhindi wa kiingereza ni kipindi cha historia ambapo nchi za bara hindi ama zilitawaliwa na uingereza moja kwa moja ama zilikuwa chini ya usimamizi wa uingereza kama nchi lindwa utawala huo ulienea juu ya uhindi wa leo pamoja na pakistan bangladesh nepal na kwa muda pia juu ya burma myanmar utawala wa kiingereza ulikuwa na vipindi viwili vifuatavyo tarehe desemba malkia elizabeth i alitoa hati ya ulinzi wa kifalme kwa biashara kati ya uingereza na uhindi wa mashariki kampuni iliyopokea hati hii ilikuwa kundi la wafanyabiashara na matajiri wa london waliovutwa na utajiri wa nchi za mashariki na hasa na faida kubwa mikononi mwa wafanyabiashara wareno na waholanzi waliotangulia katika biashara kati ya ulaya na nchi za asia ya kusini kampuni ilishindana kibiashara na kivita na wafanyabiashara wa ureno wa uholanzi na wa ufaransa iliweza kununua au kuvamia vituo vya biashara na kujenga maboma yake kuanzia mwaka huko bombay madras na penginepo mwaka kampuni ilipata kibali cha mtawala wa moghul cha kusamehewa kodi kwa biashara katika ubengali tangu mwaka kampuni ilianzisha jeshi lake la maaskari wahindi na kuwa mshiriki katika siasa ya uhindi kati ya miaka na uingereza pamoja na mataifa mengine ya ulaya ilishiriki katika vita vya miaka saba viliyokuwa vita vya kwanza vya kimabara waingereza walipigana pamoja na prussia dhidi ya austria ufaransa urusi na uswidi jeshi la kampuni liliendesha vita hivyo dhidi ya maeneo ya ufaransa katika uhindi wafaransa walishindwa wakabaki na vituo vidogo tu katika miji kama pondicherry na mahe lakini kampuni iliongeza maeneo yake katika uhindi baada ya mwaka kampuni ya kiingereza ilikuwa enzi muhimu iliweza kushindana hata na nguvu ya moghul ilianza kutawala sehemu kubwa za uhindi wa kusini pamoja na ubengali kampuni ilitumia mbinu mbili mafaniko makubwa ya kampuni yalisababisha mgogoro huko uingereza na sheria mbalimbali za bunge la uingereza zililenga kuongeza athira ya serikali ya uingereza juu ya shughuli za kampuni katika karne ya kampuni ikawa mtawala wa sehemu kubwa za uhindi ama kwa njia ya mikataba na watawala wa kienyeji au kwa utawala wa moja kwa moja kampuni ilianza kubadilisha uso wa india kujenga reli na kuanzisha mawasiliano wa kisiasa kwa huduma ya posta na pia simu za telegrafi mwaka ilitokea uasi wa wanajeshi wahindi wa jeshi la kampuni uliosababisha na mkasi wa mabadiliko na dharau ya viongozi waingereza kwa utamaduni wa wenyeji utawala wa kampuni ulianza kuporomoka uliokolewa tu kwa kupeleka uhindi wanajeshi kutoka uingereza uasi ulikomeshwa kwa mabavu lakini kuingilia kati kwa serikali ya uingereza kulikuwa mwisho wa utawala wa kampuni mwaka serikali ya london ilichukua madaraka yote ya kampuni ikafanya uhindi kuwa koloni la taji la uingereza kuanzia mwaka uhindi ulitawaliwa kama koloni la uingereza kaisari wa mwisho wa moghul bahadur shah zafar ii aliondolewa nchini malkia viktoria wa uingereza alichukua cheo chake akaitwa kaisari wa uhindi kwa kiingereza empress of india kwa kihindi padishah e hind akamuachia utawala gavana wake aliyepewa cheo cha makamu wa mfalme vice roy muundo wa utawala uliendelea maeneo ya kampuni yalikuwa makoloni ya uingereza maeneo ya watawala wahindi yalibaki yalivyo lakini kila maharaja au nawab alipaswa kula kiapo cha utii kwa malkia kama kaisari au malkia mkuu wa uhindi na kumkubali mshauri mwingereza katika jumba lake kama mwakilishi wa uingereza mwisho wa karne ya harakati za kutafuta uhuru zilianza upya mwaka chama cha inc indian national congress kiliundwa na wahindu na waislamu pamoja waliodai uhuru mwaka viongozi waislamu walitoka katika inc na kuunda shirikisho la waislamu mwaka uingereza ulitamka ya kwamba ulitaka kuelekea polepole hali ya kujitawala kwa wahindi viongozi wa wenyeji hawakuridhika na mkasi wa mabadiliko chini ya uongozi wa mahatma ghandi mwendo wa kupigania uhuru bila mabavu ulipata nguvu ghandi alipigania hasa umoja wa wahindu na waislamu lakini alipingwa na viongozi wenye itikadi kali wa pande zote mbili baada ya vita kuu ya pili ya dunia waingereza walikubali kujiondoa katika uhindi swali kubwa lilikuwa kama nchi itabaki kama nchi moja au kama maeneo ya waislamu yatajitenga tarehe agosti utawala wa uingereza ulikwisha bara hindi iligawanywa katika nchi mbili za uhindi na pakistan mgawanyo ulikuja na vita na kumwaga kwa damu nyingi tarehe januari ghandi mwenyewe aliuawa na hindu mkali aliyemchukia kwa sababu alitaka usawa wa waislamu na wahindu hii ni orodha ya majimbo ya uhindi lugha ya taifa ni kihindi ambacho ni lugha ya kihindi kiulaya pamoja na kiingereza ambacho pia ni lugha rasmi kuna lugha kubwa na lugha nyingi zisizo na wasemaji wengi sana kusini mwa uhindi watu husema lugha za kidravidi kama kikannada kitelugu kitamil na kimalayalam kaskazini husema hasa kipunjabi kibengali kigujarati na kimarathi lugha ndogo chache ambazo si lugha za kihindi kiulaya wala za kidravidi ni lugha za kisino tibeti lugha za kiaustro asiatiki na lugha za kitai kadai visiwani mwa andaman kulikuwa na lugha za kiandamani lakini nyingi zao zimeshatoweka kabisa wakazi walio wengi hufuata dini ya uhindu takriban ni waislamu hivyo waislamu wa uhindi ni jumuiya ya tatu katika umma wa kiislamu duniani baada ya waislamu wa indonesia na pakistan dini nyingine ni ukristo usikh ubuddha ujain uzoroastro na bahai afrika ya mashariki ni sehemu ya bara la afrika ambayo iko upande wa mashariki ikipakana na bahari ya kihindi kadiri ya umoja wa mataifa afrika ya mashariki ina nchi zifuatazo hata hivyo afrika ya mashariki inatajwa na sayansi kuwa mahali ambako watu wa kwanza duniani walikopatikana majina ya miji ya afrika ya mashariki imetajwa mara ya kwanza katika periplus ya bahari ya eritrea karne ya b k tangu uenezaji wa ukoloni wa kizulnguupande wa mashariki wa bara ulianza kuitwa afrika ya mashariki somalia eritrea na ethiopia za leo zilitawaliwa na italia kama afrika ya mashariki ya kiitalia africa orientale italiana katika miaka ya hadi kenya ilitwaliwa na uingereza kwa jina la afrika ya mashariki ya kiingereza east africa protectorate au pia british east africa hadi tanganyika pamoja na rwanda na burundi zilijulikana kama afrika ya mashariki ya kijerumani deutsch ostafrika hadi na msumbiji iliitwa mara nyingi afrika ya mashariki ya kireno frica oriental portuguesa hadi uhuru wakazi wengi wa afrika ya mashariki ni wasemaji wa lugha za kibantu sehemu ya kaskazini wasemaji wa lugha za kihamiti ni wengi waoromo wasomalia katika ethiopia kuna wasemaji wengi wa lugha za kisemiti nchi mashuhuri zaidi katika sehemu hii ni kenya uganda tanzania rwanda na burundi kwa sababu ya kutumia lugha moja katika mawasiliano baina ya wananchi wa sehemu hii yaani kiswahili aghalabu nchi za afrika ya mashariki zinazungumza lugha ya kiswahili kama lugha ya mawasiliano kati yao kwani katika nchi hizi kuna makabila mengi sana na kila kabila lina lugha yake ambayo kawaida inatumika nyumbani baina ya watu wa kabila moja lakini wakitaka kuwasiliana na makabila mengine mara nyingi hutumia lugha ya kiswahili na hii ni kwa sababu lugha hii ndiyo iliyoenea zaidi na kufahamika zaidi katika eneo hili la dunia nchi za afrika ya mashariki hasa kenya uganda na tanzania ni nchi ambazo ni karibu tangu zamani zimeshirikiana historia zote zimekaliwa hasa na makabila yanayotumia lugha za kibantu kenya na uganda wana pia idadi muhimu ya wakazi wasiotumia lugha za wabantu katika nchi zote tatu lugha ya kiswahili imekuwa lugha muhimu ingawa kwa daraja mbalimbali wakati wa ukoloni zilitawaliwa na uingereza iliyoacha taasisi na taratibu mbalimbali zilizosaidia kuanzishwa kwa jumuiya ya afrika ya mashariki wakati wa uhuru tanzania kenya na uganda zina ukubwa wa eneo la maili za mraba tanzania ikifuatiwa na kenya na uganda upande wa mashariki nchi hizi zimepakana na bahari ya hindi na upande wa kaskazini mashariki zimepakana na somalia upande wa kaskazini zimepakana na ethiopia na sudan kusini upande wa magharibi ni jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na jamuhuri ya rwanda na burundi kusini ni zambia malawi na msumbiji nchi hizi zimepitiwa na mstari wa ikweta umepita kenya na kusini mwa uganda kenya na tanzania zina ukanda wa pwani wenye bandari za mombasa tanga bagamoyo dar es salaam zanzibar kilwa na mtwara simu kutoka kiarabu sim inayomaanisha waya ni chombo cha mawasilianoanga kinachotumia umeme matumizi ya simu ni kwa ajili ya watu wawili walio katika sehemu mbili tofauti kuongea awali simu ilihitaji iunganishwe na nyaya lakini leo hii inaweza kutumia redio hiyo inaitwa nyayatupu siwaya au simu bila waya watu wengi wanaamini kuwa simu iligunduliwa mnamo na aleander graham bell mskoti mwenye umri wa miaka aliyeishi nchini marekani lakini mwitalia antonio meucci alianzisha matumizi ya simu toka mwaka wa hukohuko marekani tangu mwishoni mwa karne ya kuna aina mpya ya simu iliyoenea ambayo ni simu ya mkononi ingawa haistahili kweli kuitwa tena simu kwa maana asilia kwa sababu hakuna simu ni aina ya mtambo wa mawasiliano uliosambaa haraka sana katika nchi nyingi za afrika simu hizi zina faida ya pekee kwa sababu zinaruhusu mawasiliano hata pale ambako nyaya za posta hazifiki kila simu inapaswa kuwa na namba ya pekee ikiunganishwa katika mtandao wa simu isipokuwa ofisi au kampuni inaweza kuwa na namba moja kwa simu zake zote halafu maungio ya simu ya ndani ambako ama mtu au mtambo unaunganisha simu za ndani na mtandao wa nje kwa kawaida mtandao wa simu ndani ya nchi inagawiwa kwa maeneo maeneo haya yanaweza kugawiwa tena hadi ngazi ya mtandao wa mahali kila eneo linafikiwa kupitia namba ya eneo ndani ya eneo inatosha kutumia namba ya simu yenyewe mfano simu ya namba iko mjini dar es salaam namba ya eneo la dar es salaam ni kufikia simu hii ndani ya eneo la dar es salaam inatosha kupiga mtu anayetaka kuipigia kutoka dodoma au arusha anatangulia namba ya eneo na kupiga simu za mkononi huunganishwa katika mtandao mkubwa wa kitaifa kufuatana na kampuni inayotoa huduma kama vile airtel tigo au ttc yenye mtandao wake wa pekee kwa teknolojia bila waya hakuna haja ya ugawaji wa kieneo lakini kwenye simu hizi ni lazima kutumia pia namba ya mtandao muda wote kwa kupiga simu ya kawaida kutoka simu ya mkononi ni lazima kutumia muda wote namba ya kieneo hata kama mwenye kupiga yuko mji uleule maana mitandao ni tofauti historia ya uandishi wa qurani qurani tukufu kwa mujibu wa waislamu imeteremshwa na mwenyezi mungu kupitia jibrili mmojawapo wa malaika wakubwa wenye heshima kubwa huko mbinguni qurani iliteremka kwa njia ya wahyi au ufunuo katika muda wa miaka ya utume wa muhammad maneno yote yaliyokuwemo ndani ya qurani yanadaiwa na waislamu kuwa ni ya mwenyezi mungu na kuwa muhammad hakuwa akisema maneno haya kwa mujibu wa matamanio yake qurani tukufu ilikuwa ikiteremshwa kidogo kidogo katika muda huu wa miaka kulingana na munasaba mbali mbali wa maisha ya waislamu wa wakati huo ili kuwafahamisha namna bora ya kuishi ulimwenguni kwa wema na hisani na uhusiano wao baina yao wenyewe kwa wenyewe na baina yao na wasiokuwa waislamu katika wao aidha qurani ilikuwa ikigusia masuala mbali mbali ya maisha na mifano ya umma zilizopita ambazo hazikukubali tume za mwenyezi mungu kwao na kuangamizwa kwao kwa kupinga na kwenda kinyume na mitume na manabii wao zama za mtume muhammad qurani tukufu ilipoteremka kwanza iliandikwa kwa amri ya mtume muhammad kwenye vitambaa ngozi mifupa na majiwe muhammad alikuwa akiwaelekeza waandishi wake waandike kwa mujibu wa mpango na utaratibu fulani ambao unatokana na mwenyezi mungu mwenyewe katika wakati wa mtume muhammad qurani ilikuwa zaidi katika nyoyo za masahaba ambao wengi wao walikuwa wameihifadhi qurani nzima na wengi wao walikuwa wakiiandika kwa njia mbali mbali lakini ilikuwa si katika msahafu mmoja zama za abubakar siddiq katika zama za abubakar siddiq khalifa wa mtume wa kwanza baada ya kufa kwake alimtuma zayd bin thabit kuikusanya qurani yote katika kitabu kimoja umar bin al khattab khalifa wa pili ndiye aliyemshauri abubakar kuikusanya qurani na ijapokuwa mwanzo aliona taabu kufanya jambo ambalo mtume mwenyewe hakulifanya hatimaye abubakar alikubali rai yake na qurani ikakusanywa katika kitabu kimoja zama za uthman bin affan baada ya qurani kuandikwa kamili katika msahafu mmoja na kuwekwa katika nyumba ya hafsa bint umar mmoja katika wakeze wa mtume muhammad ulipofika wakati wa kutawala uthman bin affan khalifa wa tatu wa mtume muhammad aliamrisha waandishi fulani kuuchukuwa huo msahafu na kunukulu nakala nyengine kwa ajili ya kupeleka sehemu mbali mbali za ulimwengu wa kiislamu ambao kwa wakati huo ulikuwa umekuwa mkubwa sana na kufikia nchi nyingi za afrika na asia na ulaya waandishi wa qurani tukufu uthman bin uffan aliwaamuru waandishi wafuatao kuandika qurani kutoka na msahafu wa hafsa na kutawanya nakala hizi katika sehemu mbali mbali za ulimwengu wa kiislamu zayd ibn thabit abdullah ibn al zubair said ibn al as abdul rahman ibn al harith ibn hisham mungu ni jina lenye asili ya kibantu linalotumika kwa yeyote anayesadikiwa katika dini mbalimbali kuwa na uhai wa hali ya juu kati ya wafuasi wa dini hizo wengi wanaona kuwa umungu kwa jinsi ulivyo au unavyofirika haukubali mgawanyiko hasa katika uyahudi ukristo na uislamu wanasisitiza umoja wa mungu kuwa ndio msingi wa imani yao kwao mungu ni wa milele anafahamu yote na kutaka hasa uwepo wa viumbe tena kwa hiari yake alipenda kujifunua kwa binadamu kielelezo ni ibrahimu abrahamu aliyefanywa rafiki yake na baba wa waamini wote kuna dini nyingine zinazokubali kuwepo kwa miungu mbalimbali wawili au zaidi hasa dini nyingi za jadi zinaamini wingi wa miungu dini kubwa duniani inayosadiki miungu mingi ni uhindu pia katika sehemu za afrika ya magharibi ibada za miungu mingi zinaendelea hadi leo biblia inaanza kwa kukiri kwamba asili ya uhai wote ni mwenyezi mungu hapo mwanzo mungu aliziumba mbingu na nchi mwa tena kwamba mungu anazidi kushughulikia viumbe vyake akividumisha na kuviongoza vyote vifikie lengo alilovipangia ndani yake yeye tunaishi tunakwenda na kuwa na uhai wetu mdo tunamtegemea pande zote angetuacha kidogo tungetoweka mara yesu alipolaumiwa kwa kuponya watu siku ya pumziko alijitetea kwamba baba yangu anatenda kazi hata sasa nami ninatenda kazi yoh yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu pet kutokana na imani hiyo tunahimizwa kujiachilia mikononi mwake kwa moyo wa kitoto tukiwajibika bila mahangaiko yanayowapata watu wasiomjua waangalieni ndege wa angani ya kwamba hawapandi wala hawavuni wala hawakusanyi ghalani na baba yenu wa mbinguni huwalisha hao ninyi je si bora kupita hao math nawe una nini usichokipokea kor nimrudishie bwana nini kwa ukarimu wake wote alionitendea zab tunaanza kumjua mungu kwa kuzingatia viumbe vyake hasa dhamiri yetu kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana na kufahamika kwa kazi zake yaani uweza wake wa milele na uungu wake rom hivyo tunaweza pia kusema juu ya mungu kuanzia wema ukweli na uzuri wa viumbe vyake na kumsifu kiasi chetu kwamba ndiye wema ukweli na uzuri wenyewe lakini tukiri pia kuwa maneno yetu duni hayawezi kutosha kamwe kufafanua fumbo lake kwa maana nimesema maneno nisiyoyafahamu mambo ya ajabu ya kunishinda mimi nisiyoyajua ayu tungemuelewa asingekuwa mungu mwenyezi mungu ni ukamilifu mtupu usio na mipaka kwa milele yote tazama mungu ni mkuu nasi hatumjui hesabu ya miaka yake haitafutiki ayu mungu ni roho nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli yoh akiwa roho viungo ambavyo pengine anapewa vinamaanisha tu sifa fulani k mf macho ujuzi wake mikono uwezo wake mabawa ulinzi wake n k roho haina mwili na mifupa lk hasa mungu amejifunua kuwa upendo wenyewe bwana bwana mungu mwingi wa huruma mwenye fadhili si mwepesi wa hasira mwingi wa rehema na kweli kut mungu ni upendo naye akaaye katika pendo hukaa ndani ya mungu na mungu hukaa ndani yake yoh yeye asiyependa hakumjua mungu kwa maana mungu ni upendo yoh volkeno pia volkano au volikano ni mahali ambako zaha inatoka nje ya uso wa ardhi mara nyingi lakini si kila mahali volkeno imekuwa mlima volkeno huwa na kasoko yaani shimo ambako zaha na gesi zinatoka nje asili ya jina ni mungu wa dini ya roma ya kale aliyeitwa vulcanus kati ya miungu ya kiroma alihusika na moto radi na uhunzi kwa hiyo aliheshimiwa hasa na wote waliotumia moto kwa kuyeyusha metali kama chuma au shaba volkeno ni dalili ya kwamba mahali pake ganda la dunia si nene sana hivyo joto la ndani linapata njia ya kutoka nje volkeno huanza katika tambarare zaha hutoka katika hali ya kiowevu ikipoa haraka inaganda kuwa mwamba na hujenga mlima wa kuzunguka shimo la kasoko yake milima ya aina hiyo inaweza kukua sana mfano wa volkeno kubwa ni kilimanjaro miamba yake yote ilijengwa na zaha iliyotoka ndani ya dunia volkeno nyingi hutokea pale ambako mabamba ya ganda la dunia yanaachana au kusukumana hivyo volkeno hutokea hasa kwenye mistari ya kukutana kwa mabamba hayo sababu nyingine ya kutokea kwa volkeno ni kuwepo kwa chumba cha magma ndani ya ganda la dunia volkeno inaweza kupatikana kama volkeno hai inayoendelea kutema moto gesi na majivu inaweza pia kuonekana kama volkeno bwete inayokaa kama milima mingine bila kuonyesha dalili za moto lakini kutokana na umbo na tabia za miamba yake inaonekana mlima huu ulijengwa kwa njia ya kivolkeno volkeno bwete inaweza kuamka tena mara nyingi kuwepo kwa chemchemi za maji ya moto au kutokea kwa gesi kwenye sehemu fulani ni dalili ya kwamba bado kuna njia kati ya mlima na magma ya chini kipindi kati ya milipuko kinaweza kuwa cha miaka mingi mlipuko wa volkeno ni hatari sana kwa ajili ya wanadamu na mazingira hiyo hatari ni kubwa zaidi pale ambako volkeno ililala kama volkeno bwete kwa miaka mingi labda elfu kadhaa hapo mara nyingi watu wamevutwa na udongo wenye rutuba kutokana na majivu ya volkeno wajenge makazi na kulima kama hapo volkeni inageuka kuwa hai tena hatari ni kubwa kuna mifano ya vifo vingi vilivyosababishwa na volkeno hasara inategema kama miji iko karibu na volkeno au la na kama serikali zina huduma za kutazama volkeno na kuonya watu watoke mapema wakati dalili za kwanza zinatokea kati ya mifano ya milipuko mikali inayojulikana zaidi ni ol doinyo lengai ni volkeno ndogo iliyolipuka tanzania kaskazini mwaka tofaa pia tufaha kutoka kar tofah ni tunda la mtofaa ni kati ya matunda yanayovunwa sana duniani maua nyeupe hutoa tunda lenye umbo mviringo na kipenyo cha sentimita asili ya mimea iko asia leo kuna takriban aina za matofaa mavuno ya kila mwaka hufikia tani milioni nchi zinazovuna matofaa hasa ni china marekani uturuki ufaransa italia na uajemi tufaa ni tunda la mtufaa malus pumila mti wa familia rosaceae ni miongoni ya miti inayokuzwa kwa wingi sana mti ni mdogo na wenye kupukutisha majani yake wenye kufikia urefu wa mita mpaka za kimo na kushona kwa majani mengi kwelikweli majani yake yamejipanga kwa namna tofauti tofauti yakiwa na urefu wa sm na upana wa sm kwa upana maua mengi huchanua majira ya kuchipua sambamba na kufunguka kwa vichipukizi maua ni meupe na alama kidogo za rangi ya waridi ambayo hufifia taratibu mfaua hayo huwa na petali tano na yana upana wa sm mpaka kwa kipenyo matunda hukomaa msimu wa kuchipua na huwa yamefikia kipenyo cha sm katikati mwa tunda huwa na kapeli tano zilizojipanga muundo kama wa nyota tano huku kila kapeli moja ikiwa na mbegu moja mpaka tatu hivi mti huu asili yake ni asia ya kati ambako miti pori ya kale ya tufaa bado inapatikana mpaka leo sasa hivi kuna zaidi ya aina ya miti ya tufaa inayofahamika inayopelekea kuwa na kila aina ya tabia ya miti ianyotakiwa kwa eneo husika aina hizo zinatofautiana kwa mazao yao na ukubwa wa miti yenyewe hata kama yakipandwa katika shina moja zaidi ya tani milioni za matufaa zilizalishwa duniani kote ndani ya mwaka kwa thamani ya takribani dola za kimarekani bilioni china pekee ilizalisha karibu ya jumla hii marekani ni ya pili kwa uzalishajji kwa zaidi ya uzalishaji duniani uturuki ufaransa italia na irani pia wazalishaji wazuri wa tufaa tufaa pori aina ya malus sieversii aina inayoongoza ni ile ya pori ya malus sieverii inayopatikana huko kati mwa asia kusini mwa kazakstani krygyzstani tajikistani na injiang china na awkati mwingine malus sylvestris mwanzo wa kuchipua kwa jenasi ya malus ni huko uturuki mashariki mtufaa pengine ndio ukawa mti wa kwanza kuanza kulimwa na binadamu na matunda yake yamekuwa yakiboreshwa kwa uchaguzi maalumu kwa miaka maelfu mfalme aleander the great huonwa ndiye mgunduzi wa miti mifupi ya tufaa huko asia ndogo mnamo kk ambayo baadae ilipelekwa macedonia tufaa za kipupwe ambazo huchumwa mwishoni mwa msimu wa kuchipua na kuhifadhiwa katika baridi kali kimekuwa chakula mihimu kwa asia na ulaya kwa miaka mingi hali kadhalika na kwa marekani na hata huko argentina tufaa zilipelekwa amerika ya kaskazini na wakoloni miaka ya na mti wa tufaa wa kwanaza huko amerika ya akskazini wasemekana kuwa huko boston mwaka mwaka miradi ya kilimo cha umwagiliaji ilianza kuruhusu kilimo cha matunda kilichogharimu mabilioni huku tufaa zikiwa ndiyo spishi zinazoongoza kwa kawaida huko msituni tufaa huzaliana kwa mbegu hata hivyo kama yalivyo matunda mengi yanayokua zaidi ya mwaka mmoja huweza kupanda kwa vichipukizi hii ni kwasababu matunda mengi yanayokuzwa kwa mbegu huweza kuzalisha mmea wenye tabia tofauti kabisa baina yamimea wazazi na zinaweza kuwa zenye hasara kubwa spishi nyingi imara huzalishwa kwa kuchanaganya vizalia vya mimea mbalimbali mtufaa na maua yake canadanyuki anina ya orchard mason akiwa kwenye ua la tufaa tufaa lazima zipate uchavushaji kila mwaka ili kuzalisha matunda kila msimu wa maua wakulima wa tufaa lazima waandae wachavushaji kwaajili ya kubeba poleni nyuki wa asali hutumika kwa kazi hii hasa wale wa aina ya orchard mason bee na hutumika kwma msaada wa uchavushaji kwenye mashmba ya biashara pia wakati mwingine nyuki aina ya bumble bee queens huwepo mashambani kwa kazi hiyo hiyo aina mbalimbali za tufaa hutofautiana kwa mazao na ukubwa wa miti hata kama yakikuzwa kwenye shina moja kama baadhi ya miti isipopunguzwa hukua na kuwa miti mikubwa kwelikweli lakini hufanya uvunaji uwe mgumu miti ya kawaida iliyokomaa huzalisha kg za tufaa kila mwaka japo uzalishaji unaweza kukarubia hata sifuri kwene misimu mibaya tufaa huvunwa kwa ngazi tatu zinazofungwa kwenye miti miti midogo hutoa karibu kg za tufa kwa mwaka kibiashara tufaa huhifadhiwa kwa miezi kadhaa kwenye joto maalumu ili kuratibu kiwango cha kuiva kwa nyakati maalumu kwa kutumia kemikali maalumu hutunzwa kwenye chemba zenye kiwango kikubwa cha gesi ya ukaa kaboni daioksaidi na hewa iliyochujwa vizuri hii huzuia ili kemikali maalumu ethylene inayotumika kuivisha matunda isiongezeke na hivyo kuivisha matunda hovyo yakiwa nyumbani kwajili ya matamizi tufaa huweza kuhifadhiwa kwenye jokofu za kawaida kwa majuma mawili hivi kwenye sehemu zenye baridi hasa chini ya c ule msemo tufaa moja kwa siku humweka dokta mbali huonesha faida za tufaa tangu karne ya tafiti zinaonesha tufaa hupunguza uwezekano wa mtu kupata kansa ya utumbo mkubwa tezi ya uzazi prostate na hata kansa ya mapafu ukilinganisha na matunda mengine tufaa zina kiwangio kidigo cha vitamin c lakini zina kiwango kikubwa cha kampaundi za antioidant kiwango cha makapi ambacho ni kidogo kuliko kwenye matunda mw engine husaidia kuratibu mizunguko ya tumbo na hivyo kupunguza uwezakano wa kansa ya utumbo mkubwa husaidia pia kupunguza magonjwa ya moyo kupunguza uzito na kiwango cha mafuta kwenye mishipa ya damu na moyo kwa kuwa na kiasi kikubwa cha kalori kama ilivyo kwa matunda mengi na mbogamboga seattle ni mji wa jimbo la washington ncha ya kaskazini magharibi ya marekani kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa mji una wakazi wapatao milioni wanaoishi katika mji huu mji uko mita juu ya usawa wa bahari seattle ni njia kuu ya biashara kati ya marekani na asia ukiwa na bandari ya nne kwa ukubwa katika marekani kaskazini kwa kontena tangu mwaka seattle na mombasa kenya ni miji ndugu seattle ni mji mkubwa zaidi ya yote katika jimbo la washington na mkoa wa pacific northwest katika marekani kaskazini na ni mkubwa wa kumi na tano katika marekani katika julai seattle iliongeza haraka zaidi katika miji mikuu ya marekani mji upo ismus kati ya puget sound njia ya bahari ya pasifiki na ziwa washington kilometa maili kusini mwa mpaka wa marekani na kanada wamarekani wa asili walikaa eneo la seattle si chini ya miaka kabla ya wakoloni wazungu kuja kwa mara ya kwanza arthur a denny na kundi la wazungu ambalo liliitwa denny party walifika alki point tarehe novemba katika meli inayoitwa eact walitoka illinois na walipitia portland oregon kabla ya kufika eneo la seattle walianzisha koloni katika pwani ya mashariki ya elliott bay ambayo waliita seattle mwaka kuheshimu mtemi si ahl wa makabila ya huko yaliyoitwa duwamish na suquamish sasa seattle ina idadi kubwa ya watu kama wamarekani wa asili waafrika na waasia pia ni mji wa sita kwa kuwa na idadi ya watu wa jamii ya lgbt katika marekani kwa asilimia kiwanda kikuu cha kwanza katika seattle kilikuwa kukata mbao lakini mwishoni mwa miaka mji ulibadilika na ulikuwa kituo kikubwa cha biashara na mahali pa kutengenezea meli seattle ilikuwa njia kwa watu waliosafiri alaska wakati wa klondike gold rush baada ya vita ya pili ya dunia seattle ilikuwa kituo cha kutengenezea ndege kwa sababu shirika la boeing lilianzishwa hapo tangu miaka ya seattle imekuwa kituo cha teknolojia na makampuni kama microsoft na amazon ambayo yalianzishwa hapo kampuni ya ndege ya alaska airlines ilianzishwa katika seatac washington na ilihudumia uwanja wa ndege wa seattle seattle tacoma international airport mji umeona ukuaji wa uchumi kwa sababu makampuni mapya ya teknolojia na mtandao yalileta fedha na rasilimali idadi ya watu iliongezeka kwa kati ya miaka na seattle na jimbo la washington lina baadhi ya mishahara mikuu zaidi katika nchi kwa saa kwa biashara ndogo ndogo na kwa makampuni makuu kwa sababu idadi ya watu wanaongezeka haraka sana seattle ina historia muhimu ya muziki pia kati ya miaka ya na kulikuwa na karibu vilabu ishirini na nne vya klabu muziki wa jazz katika mtaa wa jackson kutoka wilaya ya chinatown international mpaka wilaya ya katikati seattle ni mahali pa kuzaliwa ya mwanamuziki maarufu jimi hendri na pia makundi ya nirvana pearl jam foo fighters na harakati za muziki wa mwamba mbadala mji umejulikana kimataifa hasa kwa sababu hadi ilikuwa makao makuu ya kampuni ya boeing inayojenga ndege za abiria na mizigo jamhuri ya kenya ni nchi iliyoko afrika mashariki katika ikweta kando ya bahari ya hindi kenya imepakana na ethiopia kaskazini somalia kaskazini mashariki tanzania kusini uganda na ziwa victoria magharibi kisha sudan kusini kaskazini magharibi kenya ni nchi mwanachama wa jumuiya ya afrika ya mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa mji mkuu ni nairobi idadi ya watu imeongezeka sana katika miaka ya karibuni na kufikia milioni kenya ina mbuga mbalimbali wanamoishi aina elfu kadhaa za wanyama pori jina la nchi limetokana na mlima kenya ulio wa pili kwa urefu barani afrika kenya ni nchi ya kwa ukubwa duniani ikifuata mara madagaska ikiwa na eneo la kilomita mraba maili mraba kutoka pwani ya bahari ya hindi nyanda za chini zimeinuka hadi milima ya kati milima hii imetenganishwa na eneo la bonde la ufa sehemu tambarare yenye rutuba upande wa mashariki milima ya kenya ni kati ya iliyofaulu kwa kilimo barani afrika eneo hili la milima ndilo la juu zaidi nchini kenya na la pili kwa urefu barani afrika mlima kenya unaofikia urefu wa mita futi na ni eneo lenye mito ya barafu kusini mashariki milima ya taita ndiyo mwanzo wa tao la mashariki safu za milima zenye miaka zaidi ya milioni ambazo zinaenea hasa nchini tanzania upande huohuo wa kusini mlima kilimanjaro huweza kuonekana ukiwa ng ambo ya mpaka wa kenya na tanzania kenya ni nchi yenye jua kali na nguo za majira ya joto huvaliwa mwaka mzima hata hivyo huwa na baridi usiku na pia asubuhi na mapema hali ya hewa ina joto na unyevu sehemu za pwani joto kiasi sehemu za bara na ni kame katika sehemu za kaskazini na kaskazini mashariki mwa nchi hata hivyo kuna mvua nyingi kati ya machi na aprili na mvua ya kadiri kati ya oktoba na novemba halijoto huwa juu zaidi miezi hii yote mvua ya masika hunyesha kuanzia aprili hadi juni mvua ya vuli nayo hunyesha kuanzia oktoba hadi desemba wakati mwingine mvua hii huwa nyingi na aghalabu hunyesha wakati wa alasiri na jioni majira ya joto jingi ni kuanzia februari hadi machi nayo ya baridi ni julai hadi agosti kenya ina maeneo makubwa wanapoishi wanyamapori likiwemo masai mara ambapo nyumbu na wanyama wengi walanyasi hushiriki katika uhamaji kila mwaka uhamaji huo hasa uhamaji wa nyumbu hutokea juni hadi septemba na hushirikisha mamilioni ya wanyama tukio hili huwavutia sana wapigaji picha za sinema takribani nyumbu huangamia kila mwaka katika uhamaji huu wa kutafuta lishe wakati wa kiangazi wale wanyama wakubwa watano wa afrika wanapatikana kenya simba chui nyati kifaru na ndovu wanyama wengine wengi wa pori na ndege hupatikana katika mbuga za taifa na hifadhi za wanyama hawa nchini mazingira ya kenya yanahatarishwa na ongezeko kubwa la idadi ya watu na athari zake mabaki ya mamba mkubwa ajabu wa zamani za mesozoic era ambayo ni miaka milioni iliyopita yaligunduliwa nchini kenya katika chimbo zilizochimbwa na wataalamu kutoka chuo kikuu cha utah na makavazi ya kitaifa nchini kenya miezi ya julai hadi agosti katika bonde la lokitaung karibu na ziwa turkana mabaki yaliyopatikana afrika mashariki yaonyesha kuwa miaka milioni iliyopita viumbehai mfano wa sokwe waliishi eneo hili uchunguzi wa juzijuzi karibu na ziwa turkana waonyesha kuwa viumbe aina ya homo habilis walioishi miaka milioni na iliyopita na homo erectus walioishi miaka milioni na miaka iliyopita huenda ndio wazazi wa watu wa kisasa homo sapiens walioishi kenya enzi za barafu kuu kuisha barani katika mwaka wa uvumbuzi uliofanywa na mtafiti maarufu richard leakey na kamoya kimeu huko ziwa turkana ulikuwa wa mifupa ya mvulana iliyohusishwa na homo erectus wa miaka milioni iliyopita utafiti wa awali wa viumbe hawa unahusishwa na mary leakey na louis leakey ambao ndio waliofanya uchunguzi wa mwanzo wa kiakiolojia huko olorgesailie na hyra hill baadaye utafiti wa olorgesailie uliendelezwa na glynn isaac wakazi wa kwanza wa eneo linaloitwa kenya walikuwa wa jamii ya wakhoisan hadi leo kuna makabila matatu madogo yenye asili hiyo ingawa yanatumia lugha za kikushi waata waawer na wadahalo wakushi kutoka kaskazini waliingia kenya miaka ya kk wafanyabiashara waarabu walianza kufika pwani ya kenya karne ya bk ukaribu wa kenya na uarabuni ulirahisisha ukoloni hivyo waarabu na waajemi walianza kuishi eneo la pwani karne ya hata hivyo baadhi ya walioitwa waarabu katika eneo la afrika mashariki walikuwa machotara waafrika waarabu katika milenia ya kwanza wazungumzaji wa lugha za kinilo sahara na lugha za kibantu waliingia katika eneo hili na sasa waniloti ni ya wakenya wote pwani ya kenya imekuwa makao ya jamii ya wahunzi na jamii ya wakulima wadogowadogo wawindaji na wavuvi ambao walikuwa mhimili wa uchumi kwa kushiriki katika kilimo uvuvi utengenezaji chuma na biashara na nchi za kigeni kuanzia karne ya au karne ya kenya ilijihusisha na shughuli za ubaharia kukuza uchumi ikaanza kutengeneza meli za kuabiria kusini hadi miji mingine yenye bandari kama kilwa na shanga iliyo katika pwani ya afrika mashariki mombasa ulikuwa mji wenye bandari wa nchi ya kenya katika karne za kati bandari hiyo ilitumika kuendeleza biashara na miji mingine yenye bandari afrika uajemi na wafanyabiashara waarabu yemeni na hata bara hindi baharia mreno duarte barbosa wa karne ya alidai kuwa mombasa ni bandari nzuri na yenye shughuli nyingi mashua nyingi na hata meli kubwa ajabu ambazo zote hutoka sofala na nyingine kutoka cambay melinde na nyingine zinazoabiri hadi kisiwani unguja karne kadhaa kabla ya ukoloni upwa wa kenya wanakoishi waswahili ulikuwa sehemu ya eneo la mashariki mwa afrika lililofanya biashara hasa ya watumwa na pembe za ndovu na waarabu na wahindi inasemekana kwamba kabila la wameru lilitokana na watumwa waliotoroka utumwa uarabuni miaka ya mwanzoni wafanyabiashara wengi walitokea milki za uarabuni lakini baadaye wengine wakatokea unguja kama tippu tip kiswahili ambacho ni lugha ya kibantu iliyokopa misamiati ya kiarabu kiajemi na mingine kutoka mashariki ya kati na asia kusini baadaye ilikua ikawa lingua franca ya biashara kwa jamii mbalimbali kwa karne nyingi upwa wa kenya umekuwa mwenyeji wa wafanyabiashara na wasafiri kati ya miji iliyopo kwenye upwa wa kenya mji wa malindi umebakia kuwa makazi muhimu ya waswahili tangu karne ya na wakati mmoja ulishindana na mombasa kwa ukuu pande hizi za afrika mashariki kwa kawaida malindi umekuwa mji na bandari ya kirafiki kwa serikali nyingine mwaka wa sultani mwarabu wa malindi alianzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa uchina wa ming wakati wa safari za mchunguzi zheng he katika mwaka wa utawala wa malindi ulimkaribisha msafiri na mvumbuzi maarufu kutoka ureno vasco da gama wareno walikuwa wazungu wa kwanza kuzuru eneo la kenya ya sasa vasco da gama alikuwa amezuru mombasa mwaka wa safari ya vasco da gama ilifaulu alipofikia huko india na jambo hilo liliwawezesha wareno kufanya biashara moja kwa moja na mashariki ya mbali kupitia bahari na hivyo kutatiza mitandao ya kibiashara ya awali ya nchi kavu na baharini kama njia za biashara ya viungo zilizotumia ghuba la uajemi bahari nyekundu na misafara iliyofika hadi eneo la mashariki ya mediterranea jamhuri ya venisi ndiyo iliyotawala maeneo ya biashara kati ta uropa na asia baada ya njia za kawaida za nchi kavu hadi india kufungwa na waturuki wa ottoman ureno ulitarajiwa kutumia njia ya baharini iliyotumiwa kwanza na vasco da ghama ili kuvunja ukiritimba wa venice utawala wa wareno huko afrika mashariki ulijihusisha hasa na pwani iliyokaribia mombasa kuwepo kwa wareno afrika mashariki kulianza rasmi baada ya mwaka wa wakati manowari za wareno zikiongozwa na don francisco de almeida zilipokishinda kilwa kisiwa kilicho katika eneo ambalo sasa ni tanzania kusini kuwepo kwa wareno afrika mashariki kuliwawezesha kudhibiti biashara katika bahari ya hindi na kulinda njia za baharini zinazounganisha uropa na asia manowari zao za kivita zilikwamisha biashara za maadui wao magharibi mwa bahari ya hindi na walitoza kodi juu ya bidhaa zilizosafirishwa kupitia eneo hilo kwani walitawala bandari zote na njia kuu za meli kujengwa kwa ngome iliyoitwa fort jesus mombasa mwaka wa kulikusudiwa kuimarisha utawala wao katika eneo hilo lakini ushawishi wao ulikatizwa na kuja kwa waingereza waholanzi na waarabu wa omani katika eneo hilo karne ya waarabu kutoka omani ndio waliokuwa tishio kuu la utawala wa wareno afrika mashariki na waliizingira ngome ya wareno wakazishambulia meli zao za kivita kisha kuwafukuza wareno waliobaki kutoka pwani ya kenya na tanzania mwaka wa kufikia wakati huo ufalme wa ureno haukuwa na haja na njia ya bahari ya biashara ya viungo kwani faida yake ilikuwa imepungua sana utawala wa wareno ulibakia tu katika bandari na maeneo ya kusini mwa msumbiji hadi mwaka wa kutawaliwa kwa pwani ya kenya na tanzania na waarabu kutoka omani kuliifanya miji hii iliyojitawala hapo awali iwe chini ya uangalifu mkali wa wageni kuliko ilivyokuwa katika enzi za utawala wa wareno waarabu wa omani kama wareno waliowatangulia waliweza kutawala eneo la pwani tu si eneo la bara hata hivyo kuanzishwa kwa mashamba makubwa ya mikarafuu kuongezeka kwa biashara ya utumwa na kuhamishwa kwa makao makuu ya waomani hadi zanzibar mwaka wa na seyyid said kulisababisha waomani kuimarisha utawala wao katika eneo hilo utawala wa waarabu katika bandari kuu zote za pwani ya afrika mashariki uliendelea hadi uingereza ilipoamua kumaliza biashara ya utumwa na uanzishaji wa utaratibu wa kufanya kazi kwa malipo ukaanza kushinikiza utawala wa waomani kufikia mwisho wa karne ya biashara ya watumwa katika bahari zote kuu ilikuwa imeharamishwa na waingereza waarabu wa omani hawakuwa na uwezo wa kupingana na jeshi la wanamaji la uingereza lililokuwa likitekeleza amri hiyo waomani waliendelea kuwepo visiwani unguja na pemba hadi mapinduzi ya mwaka wa lakini kuwepo kwa waarabu wa omani nchini kenya rasmi kulisitishwa wakati wajerumani na waingereza walipozidhibiti bandari zote kuu na kuanzisha mahusiano ya kibiashara na viongozi mashuhuri waliokuwa wenyeji miaka ya hata hivyo urithi waliouacha afrika mashariki ungali unaonekana kupitia kwa vizazi vyao vipatikanavyo pwani ya kenya na ambavyo vinaona kuwa asili yao ni oman vizazi hivi hata leo humiliki utajiri mwingi na ndio wenye ushawishi mkubwa wa kisiasa katika jamii za pwani ya kenya hata hivyo wanahistoria wengi hushikilia kuwa historia ya ukoloni nchini kenya ilianza wakati wajerumani walipoanza kutawala mali ya sultani wa unguja iliyo pwani mwaka wa ikifuatwa na kuja kwa kampuni ya imperial british east africa company mwaka wa uhasama wa kwanza baina ya mabepari ulikatizwa wakati ujerumani ulipouachia uingereza sehemu ya pwani iliyomiliki hii ilifuatia kujengwa kwa reli iliyounganisha kenya na uganda baadhi ya makabila ya kenya yalipinga ujenzi huo hasa wanandi wakiongozwa na orkoiyot koitalel arap samoei kwa miaka kumi kuanzia hadi lakini hatimaye waingereza waliijenga reli hii inaaminika kuwa wanandi walikuwa kabila la kwanza kuwekwa kwenye maeneo yaliyotengewa waafrika ili kuwazuia kutatiza ujenzi wa reli wakati huo wahindi wengi wenye ujuzi waliingia nchini ili kuchangia ujenzi wakati wa ujenzi wa reli kupitia hifadhi ya taifa ya tsavo magharibi wahindi wengi na wenyeji waafrika walivamiwa na simba wawili waliojulikana kama wala watu wa tsavo wahindi hao na vizazi vyao baadaye walibakia nchini kenya na kuunda kitovu cha jamii za wahindi zijulikanayo kama ismaili muslim na sikh mnamo agosti vita vya kwanza vya dunia vilipoanza magavana wa british east africa kama eneo hilo lilivyojulikana na german east africa walifikia makubaliano ili kuepusha makoloni yao machanga na uhasama hata hivyo luteni kanali paul von lettow vorbeck alichukua mamlaka ya majeshi ya ujerumani akiwa na kusudi la kutwaa raslimali nyingi iwezekanavyo za uingereza jeshi la uingereza likiwa limemtenga na ujerumani von lettow aliendesha kampeni iliyofaulu ya vita vya kuvizia wakila walichopata wakiteka bidhaa za matumizi za uingereza na kuepuka kushindwa mwishowe alisalimu amri na akajisalimisha nchini zambia siku kumi na moja baada ya mapatano ya kusimamisha vita kutiwa sahihi mwaka wa waingereza walitumia jeshi la wahindi kumfukuza lettow na walihitaji wachukuzi wengi ili kubeba vifaa vya matumizi hadi bara kwa miguu na hivyo kutatua shida kuu ya uchukuzi kundi la wanajeshi wachukuzi liliundwa na kuwajumuisha waafrika na kuchangia katika uhamasishaji wao wa muda mrefu kisiasa hadi mwaka wa eneo linaloitwa kenya lilijulikana kama himaya ya uingereza ya afrika mashariki mwaka huo koloni la kenya liliundwa na kupatiwa jina linalotokana na mlima kenyawaingereza walilitamka jina hilo kama ingawa matamshi ya wenyeji na yaliyokusudiwa katika maendelezo asili kenia yalikuwa knja enzi ya jomo kenyatta kuwa rais wa kenya miaka ya matamshi ya kiingereza yaani yalikubalika na kutumiwa sana kwa sababu jina lake lilidumisha matamshi asilia ya wenyeji kumbe saa ya uhuru mwaka jomo kenyatta alichaguliwa kama rais wa kwanza awali alikuwa alishika jina hili kutafakari ahadi yake ya kuikomboa nchi yake na matamshi yake ya jina lake ulisababisha katika matamshi ya kenya katika kiingereza kubadilisha nyuma ya makadirio ya awali uliotokea matamshi mwanzoni mwa karne ya wakulima waingereza na wazungu wengine walituama katika nyanda za juu katika eneo la kati walikoondokea kuwa matajiri kwa kulima kahawa na chai kufikia mwaka takribani walowezi waliishi katika maeneo hayo na walikuwa na ushawishi mkubwa wa kisiasa kwa sababu ya uwezo wao wa kiuchumi maeneo hayo yalikuwa makao ya watu milioni moja wa kabila la wakikuyu na wengi wao hawakuwa na ithibati ya kumiliki mashamba kwa mujibu wa waingereza ingawa mashamba hayo yalimilikiwa na kabila hilo kabla ya wazungu kufika na waliishi kama wakulima wanaohamahama ili kuendeleza matakwa yao walowezi waliwakataza kilimo cha kahawa na kuwalazimisha kulipa kodi ya nyumba na maskwota walipewa mashamba madogo baada ya kuwafanyia kazi wakikuyu wengi walihamia mijini kwani mashamba yao hayangeweza kutosheleza mahitaji yao mwaka wa horace hector hearne akawa mkuu wa sheria nchini kenya alitoka ceylon alikoshikilia wadhifa huohuo na alifanya kazi katika mahakama kuu mjini nairobi alihudumu katika wadhifa huo hadi mwaka alipoteuliwa kama hakimu wa rufaa katika mahakama ya rufaa ya afrika magharibi usiku wa tarehe februari wakati mfalme george vi alipoaga dunia hearne alimsindikiza malkia elizabeth ii na mumewe filipo mwanamfalme wa edinburgh kwa dhifa ya kitaifa hotelini treetops ambayo sasa ni kivutio maarufu cha watalii hapa ndipo alipouanzia umalkia alirudi uingereza mara moja akiandamana na hearne kuanzia oktoba mpaka desemba kenya ilikuwa katika hali ya hatari kufuatia uasi wa mau mau dhidi ya utawala wa uingereza gavana aliomba na kupata msaada wa wanajeshi waingereza na waafrika pamoja na king s african rifles mnamo januari meja jenerali hinde aliteuliwa kuwa mkuu wa oparesheni ya kuzima uasi hali hii haikuimarika kwa kukosa uchunguzi kwa hivyo jenerali george erskine aliteuliwa kuwa kamanda msimamizi wa majeshi ya kikoloni mnamo mei akiungwa mkono hasa na winston churchill kutiwa mbaroni kwa warhi itote aka general china tarehe januari na kuhojiwa kwake kulipelekea waingereza kuuelewa vyema usimamizi wa mau mau oparesheni anvil iliyoanzishwa tarehe aprili ilipangwa na jeshi kwa wiki kadhaa baada ya kukubaliwa na kamati kuu ya vita wakati wa oparesheni hiyo mji wa nairobi ulidhibitiwa na wanajeshi na wakazi wake walihojiwa huku wafuasi wa mau mau wakikamatwa na kupelekwa vizuizini mnamo mei walinzi wa nyumbani walitambulika rasmi kama askari wa usalama askari hao wa nyumbani ndio waliounda kikosi cha kupambana na mikakati ya mau mau kwani walikuwa waafrika waaminifu na si majeshi ya kigeni kama jeshi la uingereza na king s african rifles kufikia mwisho wa hali ya hatari askari hao walikuwa wamewaua mau mau ambao ni asilimia ya waasi wote kukamatwa kwa dedan kimathi huko nyeri tarehe oktoba kuliashiria kushindwa kwa mau mau kukamaliza vita waafrika walichaguliwa moja kwa moja katika bunge la uwakilishi kwa mara ya kwanza mwaka wa licha ya waingereza kutamani kuwakabidhi mamlaka wapinzani wasio na siasa kali ya kiafrika ni chama cha kenya african national union kanu kilichoongozwa na jomo kenyatta kilichounda serikali punde tu kabla ya kenya kupata uhuru tarehe desemba tarehe desemba kenya ilipotangazwa kuwa jamhuri kenyatta akawa rais wa kwanza mwaka huohuo jeshi la kenya lilipigana na vita vya shifta dhidi ya kabila la wasomali waliokusudia kuiona nfd imejiunga na jamhuri ya somalia mashifta walililemea jeshi la kenya lakini baadaye walishindwa mwaka wa kenya ilitia saini mkataba na nchi ya ethiopia mwaka wa unaodumu mpaka leo kwa kuhofia mashambulizi kutoka kwa jeshi la somalia lililokuwa na nguvu zaidi eneo la nfd nchini kenya halijaendelea kutokana na kiangazi na mafuriko hata hivyo wakimbizi wafanyabiashara wa kisomali waliotajirika wamebadilisha mtaa wa eastleigh uliokuwa wa mabanda na kuufanya kuwa ngome ya kibiashara katika sehemu kubwa ya mashariki mwa mji wa nairobi mwaka wa kenyatta alifariki na daniel arap moi akawa rais moi alidumisha urais kwa kuchaguliwa bila kupingwa katika chaguzi za mwaka wa uchaguzi wa dharura na zote zikiwa zilifanyika chini ya katiba ya chama kimoja uchaguzi wa ulifanyika mwaka mmoja kabla ya wakati kutokana na njama ya kupindua serikali iliyokosa kufaulu tarehe agosti mapinduzi hayo yaliyotibuka yalipangwa na askari mwanahewa wa cheo cha chini bwana hezekiah ochuka na kuendelezwa hasa na wanahewa jaribio hilo lilizimwa kwa haraka na wanajeshi waaminifu wakiongozwa na jeshi la nchi kavu general service unit gsu kikosi cha polisi wenye hadhi ya kijeshi na baadaye polisi wa kawaida hata hivyo raia kadhaa walijeruhiwa na wengine kuuawa tukio hilo lilisababisha kuvunjwa kwa kikosi chote cha wanahewa huku wengine wakiachishwa kazi na wengine wakishtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi katika uchaguzi wa kura za mlolongo zilianzishwa ambapo wapigakura walitakiwa kupiga foleni nyuma ya wagombea wanaowapenda badala ya kutumia kura ya siri jambo hilo lilionekana kama kilele cha enzi ya ukiukaji mkubwa wa demokrasia likasababisha msukumo mkuu wa mageuzi ya kikatiba vipengele vilivyokuwa na utata kikiwemo kile kilichoruhusu chama kimoja pekee cha kisiasa vilibadilishwa miaka iliyofuata katika uchaguzi wa kidemokrasia wa vyama vingi wa miaka ya na daniel arap moi alichaguliwa tena kulingana na katiba mwaka moi hakuruhusiwa kuwania urais tena na mwai kibaki wa chama cha upinzani cha national rainbow coalition narc akachaguliwa kuwa rais uchaguzi huo ulitambulikana kuwa wa kidemokrasia na wachunguzi wa humu nchini na wa kimataifa na hivyo kuwa chanzo cha mageuzi makubwa ya kidemokrasia nchini kenya mnamo desemba wakenya walifanya uchaguzi uliokuwa wa kidemokrasia na uwazi ambao kwa kiasi kikubwa uliamuliwa kuwa huru na wa haki na wachunguzi wa kimataifa uchaguzi wa mwaka huo ulikuwa mwanzo mpya na uliiletea kenya mabadiliko makuu ya kisiasa yaliyowezesha chama cha kenya african national union kanu kilichokuwa kimeitawala nchi tangu uhuru kukabidhi kwa amani mamlaka kwa chama cha national rainbow coalition nark uliokuwa muungano wa vyama vingi chini ya uongozi wa rais mwai kibaki muungano wa vyama tawala ulihahidi kushughulikia ukuaji wa kiuchumi kumaliza ufisadi kuimarisha elimu na kuandika katiba mpya baadhi ya ahadi hizi zimeshatimizwa kuna elimu ya msingi ya bure mwaka wa serikali ilitangaza kuwa kuanzia mwaka gharama ya masomo ya shule za upili itapunguzwa huku serikali ikilipia gharama zote za mafundisho katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe desemba rais kibaki wa chama cha party of national unity pnu aliwania uchaguzi dhidi ya chama kikuu cha upinzani orange democratic movement odm kulingana na wachunguzi wa kimataifa uchaguzi huo ulikumbwa na udanganyifu na hivyo kutofikia kiwango kinachokubalika kimataifa chama cha odm kilisambaratika na kupoteza ya kura zake kwa chama kipya cha orange democratic movement kenya odm kikiongozwa na kalonzo musyoka kinyang anyiro kilikuwa kikali kati ya mgombea wa odm raila odinga na kibaki wa pnu kuhesabiwa kwa kura na tume ya uchaguzi ya kenya kulionyesha raila akiongoza kwa kura chache na baadaye kwa kura nyingi hata hivyo kura zilipoendelea kuhesabiwa na tume ya uchaguzi kibaki alimkaribia mpinzani wake kwa kura kisha akamshinda matokeo hayo yalisababisha maandamano na kulaumiwa kwa tume ya uchaguzi ya kenya kwa kumpendelea kibaki hivyo oginga akajitangaza rais wa watu na kutaka kura zihesabiwe tena wabunge wa kenya kwa pamoja waliidhinisha mkataba wa ugawaji mamlaka tarehe mwezi wa machi ili kuiokoa kenya iliyoaminika kama mojawapo ya nchi thabiti na iliyoendelea barani afrika mkataba huu uliunganisha pnu iliyoongozwa na kibaki na odm ya odinga kisha kupelekea kuundwa kwa serikali ya muungano vyama vyote viwili vikiwa na mamlaka sawa tarehe aprili rais kibaki aliitangaza baraza la mawaziri wa serikali hii ya muungano ikijumuisha waziri mkuu na makamu wake wawili baraza hili lilijumuisha pia manaibu wa mawaziri na lilitawazwa katika ikulu ya nairobi tarehe aprili huku kofi annan na viongozi wengine mashuhuri wakishuhudia tarehe novemba ilitangazwa kuwa sikukuu ya kitaifa kusherehekea ushindi wa barack obama ambaye baba yake alikuwa mkenya kama rais wa marekani katika sehemu za mashambani kama wilayani kisii visa vya kuchoma watu wakidaiwa kuwa wachawi vinaongezeka waathiriwa hasa ni wanawake wakongwe mnamo mei watu waliuwa na nyumba kuchomwa kwa sasa kenya ni jamhuri ya kidemokrasia ya kiuwakilishi inayoongozwa na rais ambaye ndiye mkuu wa taifa na kiongozi wa serikali na yenye mfumo wa vyama vingi serikali ndiyo yenye mamlaka ya juu utungaji wa sheria ni jukumu la serikali na la bunge la taifa idara ya mahakama ni huru na imejitenga na serikali kuu na bunge hata hivyo kulikuwa na kutoridhika kwingi hasa katika enzi ya rais mstaafu daniel arap moi kuwa serikali iliingilia sana shughuli za mahakama kenya imedumisha uthabiti wa kutosha licha ya mabadiliko katika mifumo yake ya kisiasa na michafuko katika nchi kadhaa jirani bunge la mseto wa vyama vingi la lilianzisha mageuzi yaliyobadilisha sheria za kikoloni zenye dhuluma zilizotumika kuuzuia uhuru wa kuongea na kutangamana jambo hilo liliimarisha uhuru wa umma na kuchangia kiasi kuaminika kwa uchaguzi wa desemba kenya ina kaunti kila moja ikiongozwa na mkuu wa kaunti anayechaguliwa na watu ambao wanaishi kwenye hiyo kaunti serikali za mitaa huendelezwa kupitia mabaraza ya miji maeneo mengi ya mijini huwa ni mji manisipaa au baraza la mji serikali za mitaa katika maeneo ya mashambani huitwa serikali za wilaya madiwani wa mitaa hii huchaguliwa katika uchaguzi wa madiwani unaofanywa wakati mmoja na uchaguzi mkuu maeneo ya uwakilishi bungeni yamegawanywa kwa sababu ya upigaji kura kuna maeneobunge nchini kenya kenya ni nchi yenye makabila mengi tofautitofauti hasa ya kibantu na ya kiniloti wakenya wengi huzungumza lugha mbili kiingereza na kiswahili na asilimia kubwa pia huzungumza lugha mama ya kabila lao makundi ya makabila ni kama ifuatavyo wakikuyu waluyia wajaluo wakalenjin wakamba wakisii wameru makabila mengine ya kiafrika wasio waafrika wahindi waingereza na waarabu kila kundi au kabila lina lugha yake na kiswahili hutumika kama chombo cha kuwasiliana miongoni mwa makabila tofauti upande wa dini idadi kubwa ya wakenya ni wakristo kulingana na sensa ya mwaka asilimia ya wakazi wa kenya walikuwa wakristo asilimia ni waprotestanti asilimia ni wakatoliki asilimia ni wakristo wa madhehebu mengine mbalimbali wakiwemo waorthodoksi asilimia ni waislamu asilimia ni wafuasi wa dini asilia za kiafrika asilimia ni wa makundi mengine ya dini kuna wahindu takribani ambao wameingiliana vyema na wakenya wengine na huchangia pakubwa uchumi wa nchi na asilimia wanadai hawana uhusiano na dini yoyote ile asilimia ya idadi ya waislamu huishi katika mkoa wa pwani wakiwa asilimia ya jumla ya wakazi wa pale wengi wa wanaoishi sehemu ya magharibi mkoani pwani ni wakristo eneo la kaskazini la mkoa wa mashariki ni makazi ya asilimia ya jumla ya waislamu nchini hii ndiyo dini ya wakazi wengi wa hapa na mbali na idadi ndogo ya wasomali wanaoishi nairobi idadi kubwa ya wakenya wengine ni wakristo kenya ni nchi yenye tamaduni anuwai tamaduni zinazotambulika ni pamoja na waswahili walio katika eneo la pwani jamii za wafugaji katika eneo la kaskazini na jamii nyingine mbalimbali katika maeneo ya kati na magharibi wajaluo wa kenya ni wazawa wa jamii za wakulima na wafugaji walioishi magharibi mwa kenya kabla ya ukoloni inafahamika kwamba asili ya wajaluo na makabila mengine ya waniloti ni kaskazini mwa kenya pengine maeneo ya sudan kusini ya sasa waniloti kama wanavyoitwa ni kikundi cha kianthropolojia kilichotoka maeneo ya kaskazini mashariki mwa afrika pengine walihamia kusini kutokana na vita vilivyosababishwa na ukuaji wa kush na misri waniloti nchini kenya ni wajaluo waturkana wakalenjin na wamasai hili linadhihirika kutokana na kuwepo kwa lahaja zinazofanana kati ya makabila fulani nchini sudan kusini leo makabila haya ni pamoja na akoli na lwo si sawa na luo wanaoishi katika eneo la darfur kuna makabila mengine ya waniloti yanayoishi nchini uganda na tanzania hii hasa ni kwa sababu ya wajaluo kuvutiwa na ziwa victoria ambako wanapatikana katika nchi hizi tatu uganda tanzania na kenya nchini uganda wanajulikana kwa kuanzisha himaya ya waganda na ya himaya ya watoro wajaluo nchini kenya walipigana vita na majirani wao hasa wakalenjin ili kulidhibiti ziwa hilo leo hii utamaduni wa wamaasai unajulikana sana kwa kuangaziwa vilivyo na utalii hata hivyo wamaasai ni asilimia ndogo ya idadi ya wakenya kwa jumla wamaasai wanatambulika kwa kujipamba sehemu ya juu ya mwili na kwa vito kenya ina utajiri mwingi wa muziki vituo vya runinga na maonyesho ya sanaa mfumo wa elimu nchini kenya unajumuisha elimu ya chekechea ya msingi ya sekondari na ya vyuo elimu ya watoto wadogo aghalabu huchukua miaka mitatu ya msingi miaka minane sekondari minne na chuo kikuu miaka minne au sita kwa kutegemea kozi shule za chekechea ambazo ni za watoto wa umri wa miaka mitatu hadi mitano ni sehemu muhimu ya mfumo huu wa elimu na ni kigezo muhimu kabla ya kusajiliwa katika darasa la kwanza gredi ya kwanza mwishoni mwa elimu ya msingi wanafunzi hufanya mtihani wa cheti cha kuhitimu masomo ya msingi kenya kcpe ambao huamua watakaojiunga na shule ya sekondari au vyuo vya ufundi umri wa shule ya msingi ni miaka hadi wale wanaojiunga na shule ya upili hufanya mtihani wa taifa mwishoni mwa kidato cha nne mtihani wa cheti cha kuhitimu masomo ya shule ya upili kenya kcse ambao huamua watakaojiunga na vyuo vikuu vyuo vya taatuma nyinginezo au kuajiriwa baraza kuu la usajili jab ndilo lenye jukumu la kuwachagua wanafunzi watakaojiunga na vyuo vikuu vya umma mbali na shule za umma kuna shule nyingi za binafsi nchini hasa katika sehemu za miji vilevile kuna shule kadhaa za kimataifa zinazofundisha mifumo mbalimbali ya elimu ya ng ambo mfumo wa kwanza wa elimu nchini kenya baada ya uhuru uliletwa na wakoloni waingereza baada ya nchi kupata uhuru tarehe desemba tume ya ominde iliundwa ili kuleta mabadiliko ambayo yaakisi matarajio ya taifa huru la kenya tume hii ilimulika masuala ya usawa na umoja ambayo yalikuwa muhimu hasa wakati huo mabadiliko ya kilichofundishwa katika historia na jiografia yalifanywa ili kuakisi umoja wa kitaifa kati ya miaka na mfumo wa ulifuatwa miaka saba masomo ya msingi miaka minne sekondari ya daraja la chini miaka miwili sekondari ya daraja la juu na miaka mitatu masomo ya chuo kikuu shule zote zilifuata mtaala mmoja mwaka wa kamati iliyoteuliwa na rais kuratibu namna ya kuanzisha chuo kikuu cha pili nchini kenya na pia kuubadilisha mfumo wa elimu kwa jumla ilianza kazi yake kamati hii ilipendekeza kuwa mfumo ule wa ubadilishwe kuwa mfumo wa miaka minane shule ya msingi miaka minne shule ya upili miaka minne elimu ya chuo kikuu jedwali lililo katika elimu ya sasa nchini kenya linaonyesha muundo wa mfumo wa ingawa mfumo wa kinadharia ulifikia kikomo mfumo wa ulipoanzishwa mwaka wa kundi la mwisho la mfumo huo wa awali lilihitimu kutoka vyuo vikuu vya kenya mwaka wa mfumo wa sasa wa ilizinduliwa januari ulitilia mkazo masomo ya kiufundi kwa matarajio kuwa muundo huu mpya utawawezesha wanaoacha shule katika viwango mbalimbali aidha kujiajiri wenyewe au kupata ajira katika sekta ya juakali mnamo januari serikali ya kenya ilitangaza kuanzishwa kwa masomo ya shule za msingi bila malipo hili lilipelekea kuongezeka kwa wanafunzi waliojiunga na shule za msingi kwa asilimia hata hivyo idadi ya waliojiunga na shule za upili na vyuo haikuongezeka sana kwa sababu malipo bado yalihitajika ili kuhudhuria masomo mtihani wa kuhitimu cheti cha masomo ya msingi nchini kenya kcpe hufanywa katika darasa la nane matokeo ya mtihani huu huhitajika ili kusajiliwa katika shule ya upili mtihani wa kuhitimu cheti cha masomo ya shule ya upili nchini kenya k c s e hufanywa katika kidato cha nne wanafunzi hufanya mtihani katika masomo nane mfumo wa elimu wa kenya umepitia mengi magumu katika kipindi kirefu ulichodumu punde tu baada ya kufuzu kwa kundi la kwanza la wanafunzi wa mfumo huu mwaka wa wananchi wengi walijitokeza kuilaumu na kuihukumu serikali kwa kuuanzisha mfumo huu wakosoaji hao walidai kuwa waliohitimu hawajaandaliwa vyema na hawangeweza kushindana na wenzao kutoka sehemu nyingine za ulimwengu wengine walihoji kuwa waliofuzu kupitia mfumo huu walikuwa aidha wachanga sana au hawajaandaliwa vyema kwa nafasi za kazi zilizokuweko serikali haikusikiliza hayo yote pengine kwa sababu uwezekano wa kuubadilisha na kuuunda upya kungeigharimu pesa nyingi hata hivyo kwa miaka mingi waliofuzu kupitia mfumo huu wamewaaibisha walioupinga kwa kufualu katika vyuo vya nchini na ng ambo pia wasomi na wafanyakazi wa afya kuhamia nchi zilizoendelea ni dhihirisho tosha la hali hii mkazo uliotiliwa masomo ya ufundi umefifia na mabadiliko ya hivi juzi katika mtaala yanasisitiza teknolojia ya upashanaji habari sayansi hesabu na lugha kwa vyovyote vile kazi ya kiakademia na kusisitizwa kwa kupita mitihani iliyoandikwa hakujaacha nafasi kwa useremala uashi upishi na mafunzo mengine ya ufundi kenya hushiriki katika michezo mbalimbali ikiwemo kriketi mbio za magari soka raga na ngumi lakini nchi hii inajulikana hasa kwa kutawala katika mbio za masafa ya kadiri na mbio za masafa marefu kenya kwa muda mrefu imetoa mabingwa wa olimpiki na michezo ya jumuia ya madola katika nyanja mbalimbali hasa katika mbio za mita mita mita kuruka viunzi na maji mita mita na mbio za masafa marefu wanariadha wa kenya hasa wa kabila la wakalenjin wanaendelea kutawala mbio za masafa ulimwenguni ingawa ushindani kutoka nchi ya moroko na ethiopia umepunguza umaarufu huu wanariadha wa kenya wanaosifika sana ni pamoja na mshindi mara nne wa mbio za masafa marefu za boston kwa wanawake na mshindi mara mbili wa mbio za dunia catherine ndereba aliyeshikilia rekodi ya awali ya mbio za dunia paul tergat na john ngugi wakati wa michezo ya olimpiki ya beijing kenya ilishinda medali za dhahabu za fedha za shaba na kulifanya taifa lililofaulu sana barani afrika katika michezo ya olimpiki ya mwaka wanariadha wapya walitambulikana kama pamela jelimo mshindi wa medali ya dhahabu katika mbio za mita kwa wanawake aliyejitahidi na kushinda tuzo la golden league na samuel wajiru aliyeshinda mbio za masafa marefu kwa wanaume bingwa mstaafu wa mbio za olimpiki na za jumuia ya madola kipchoge keino alisaidia kuanza ubingwa wa mbio za masafa marefu miaka ya akafuatwa na bingwa wa michezo ya jumuia ya madola henry rono aliyeshikilia rekodi kadhaa za dunia hivi majuzi kumekuwa na mzozo wa wanariadha wa kenya waliosaliti nchi yao na kuwakilisha nchi nyingine hasa bahrain na qatar wizara ya michezo ya kenya imejaribu kuzuia usaliti huu lakini umeendelea tu bernard lagat akiwa wa mwisho akichagua kuiwakilisha marekani usaliti huu kwingi unatokana na sababu za kiuchumi au kifedha ingawa pia wanariadha wazuri wasioweza kufaulu katika timu nzuri ya taifa huona ni rahisi kufaulu kwa kukimbilia nchi nyingine kenya pia imetawala voliboli ya wanawake barani afrika huku vilabu na timu ya taifa vikishinda mashindano kadhaa barani afrika katika mwongo uliopita timu ya wanawake pia imeshiriki katika michezo ya olimpiki na mashindano ya ulimwengu ingawa haijafaulu vilivyo mchezo wa kriketi ni maarufu na pia ni mchezo wa timu ambao umefaulu sana kenya imeshiriki katika kombe la dunia la kriketi tangu mwaka timu hii ilishinda baadhi ya timu maarufu ulimwenguni na kufikia semifainali katika mchuano wa mwaka walishinda ligi ya kriketi ya dunia daraja la iliyofanyika nairobi kwa mara ya kwanza kisha wakashiriki katika mchuano wa ulimwengu wa t nahodha wa sasa wa timu ni collins obuya kenya imejiundia jina katika muungano wa raga mchezo huo ni maarufu nchini hasa kwa sababu ya mchuano wa kila mwaka wa safari sevens timu ya kenya ya raga ya wachezaji saba kila upande ilikuwa nambari ya katika michezo ya dunia ya wachezaji saba irb katika msimu wa mwaka kenya ilikuwa bingwa wa soka katika eneo hili lakini ubingwa huu umefifia kutokana na kutoelewana kwa maafisa wa kamati ya soka nchini mizozo hii ilipelekea kenya kupigwa marufuku na fifa lakini marufuku hii iliondolewa mnamo machi kwa upande wa mbio za magari kenya ndio waandalizi wa mbio za magari maarufu za safari rally zinazotambulika kuwa ngumu zaidi ulimwenguni na ambazo ni sehemu ya bingwa wa mbio za magari kwa miaka mingi hadi kuondolewa kwake baada ya mbio za kwa sababu ya matatizo ya kifedha baadhi ya madereva maarufu wa mbio za magari ulimwenguni walioshiriki na kushinda mbio hizi ni bjorn waldegard hannu mokkola tommi makinen shekhar mehta carlos sainz na colin mcrae ingawa mbio hizi bado huendelea kila mwaka kama sehemu ya kutafuta bingwa wa mbio za magari afrika waandalizi wanatarajia kuruhusiwa kujiunga tena na ubingwa wa magari ulimwenguni katika miaka michache ijayo ngugi wa thiong o ni mmoja wa waandishi maarufu wa kenya kitabu chake ni ufafanuzi wa maisha yalivyokuwa waingereza walipoitwaa kenya hii ni hadithi kuhusu athari za mau mau katika maisha ya wakenya asili kinavyochanganya maudhui ukoloni elimu na mapenzi kunakifanya kuwa kimojawapo kati ya vitabu bora vya hadithi barani afrika kitabu cha hadithi cha m g vassanji the in between world of vikram lall kilishinda tuzo la giller prize mwaka hii ni hadithi ya kubuni ya mkenya mwenye asili ya kihindi na familia yake wavyojizatiti na mabadiliko ya kisiasa wakati wa ukoloni na baada ya ukoloni nchini kenya kuanzia mwaka wa jarida la fasihi kwani limekuwa likichapisha fasihi ya kisasa ya kenya baada ya uhuru kenya iliendeleza ukuaji wa kiuchumi haraka kupitia kwa uwekezaji wa umma kuhimiza uzalishaji wa kilimo na kushawishi uwekezaji wa watu binafsi na wageni katika viwanda pato la taifa lilikua kwa asilimia kuanzia hadi uzalishaji wa kilimo ulikua kwa asilimia kila mwaka kwa kipindi hicho ukiwa umechochewa na ugawaji upya wa mashamba kuanzishwa kwa kilimo cha mimea iliyoimarishwa na kuanzisha mashamba mapya hata hivyo kati ya na ukuaji wa uchumi wa kenya ulipungua kupungua kwa kilimo kulisababishwa na sera za kilimo zisizofaa mikopo isiyotosha na vikwazo visiyofaa vya biashara ya kimataifa mnamo mwaka wa serikali ya kenya ilianzisha mpango mkuu wa kuimarisha uchumi na kuufanya huru waziri mpya wa fedha na gavana mpya wa benki kuu ya kenya walianza mikakati iliyofuatana kuimarisha uchumi kwa usaidizi wa benki ya dunia na shirika la fedha la kimataifa kama sehemu ya mpango huu serikali iliondoa usimamizi wa bei za bidhaa leseni za uagizaji na uthibiti wa ubadilishaji fedha kubinafsisha kampuni nyingi zilizomilikiwa na umma kupunguza idadi ya wafanyi kazi wa serikali na kuanzisha sera madhubuti za kulinda fedha kuanzia mwaka wa hadi ukuaji halisi wa uchumi wa kenya ulikadiriwa juu kidogo ya asilimia kwa mwaka hata hivyo kati ya na uchumi uliingia kipindi cha kupungua au kutoimarika kwa sababu ya hali mbaya ya anga na kupungua kwa shughuli za kiuchumi mwaka wa pato la taifa liliimarika kiasi kwani mvua ilirejea kunyesha karibu na viwango vya awali ukuaji wa kiuchumi uliendelea kuimarika kiasi mwaka wa na kufikia asilimia mwaka wa asilimia mwaka wa kisha asilimia mwaka wa mnamo julai serikali ya kenya ilikataa kutimiza makubaliano ya awali na imf kuhusu mabadiliko ya utawala wake jambo hili lilisababisha kukatizwa kwa misaada kwa miaka nayo benki ya dunia ikaubana mkopo wa dola milioni za mpango wa kuufufua uchumi ingawa mabadiliko mengi ya kiuchumi yaliyofanywa kati ya yalibakia wataalamu wa maswala ya kiuchumi wasiopendelea mabadiliko waliamini kuwa kenya iliitaji mabadiliko zaidi hasa ya kiutawala ili kuongeza ukuaji wa pato la taifa gdp serikali ya kenya ilichukua hatua yakini za mabadiliko pamoja na kuunda tume ya kupambana na ufisadi kaca kuanzisha hatua za kuimarisha uwazi wa katika mikakati ya serikali kupata bidhaa na kupunguza fedha inayotumiwa na serikali kulipia mishahara mnamo julai shirika la imf lilitia saini dola milioni za poverty reduction and growth facility prgf nayo benki ya dunia ilifuatia na mkopo wa dola milioni kuimarisha uchumi na kuibadilisha sekta ya umma mwezi wa desemba iliamuliwa kuwa tume ya kupambana na ufisadi haikuwa ya kikatiba na sehemu za juhudi za mabadiliko kukatizwa mwaka shirika la imf na benki ya dunia zilikatiza mipango yao juhudi zilizofanywa kuanzisha upya mipango hii katikati ya mwaka wa hazikufaulu chini ya uongozi wa rais kibaki aliyechukua hatamu za uongozi tarehe mwezi wa desemba serikali ya kenya ilianzisha mipango mipya na kabambe ya uimarishaji uchumi na imerejelea ushirikiano wake na benki ya dunia na imf serikali mpya ya national rainbow coalition narc iliidhinisha sheria dhidi ya ufisadi na uhalifu wa kiuchumi pamoja na sheria ya maadili ya watumishi wa umma mnamo mei iliyolenga kupiga vita ufisadi katika ofisi za umma mabadiliko mengine hasa katika idara ya sheria kuagiza bidhaa za umma na kadhalika yamepelekea kurejelewa kwa misaada na matumaini ya kuimarisha uchumi kufuatia kupitishwa kwa sheria muhimu za kupambana na ufisadi na serikali mpya wafadhili walirejelea ufadhili mwezi wa novemba na imf ikaidhinisha msaada wa miaka mitatu wa dola milion ili kupunguza umaskini na kuimarisha uchumi wafadhili wakatoa dola bilioni kama msaada wa miaka minnne kurejelewa kwa ufadhili na kujihusizisha upya kwao kumevutia imani ya wawekezaji mswada wa ubinafsishaji umeidhinishwa ingawa kuanzishwa kwa tume ya ubinafsishaji hakujakamilika mabadiliko katika utendakazi wa umma yametekelezwa na mwaka wa kenya ilishinda tuzo la umoja wa kimataifa la utendakazi wa umma mombasa ni mji mkubwa wa pili wa kenya na wenye bandari muhimu zaidi afrika mashariki mji huu uko kwenye mwambao wa bahari hindi baada ya kuundwa kwa serikali ya ugatuzi mombasa umekuwa mji mkuu wa kaunti ya mombasa mombasa ni kitovu cha utalii wa pwani ya kenya watalii wengi hufika kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa moi wengine pia husafiri kupitia barabara kutoka nairobi wakitazama mandhari mbalimbali kutoka nairobi kwenda mombasa ni takribani kilomita watalii wengi hupenda kuuona mji wa mombasa kwanza kisha wanaunganisha ndege hadi kilimanjaro na sehemu nyingine zilizo na vivutio nchini tanzania kati ya ishara ya mji ni boma la yesu na pembe za mombasa mnamo mwaka wa mji wa mombasa ulikuwa na idadi ya wakazi takriban milioni moja nukta mbili kwenye kisiwa cha mombasa pamoja na sehemu zake barani wengi wao ni waislamu kiswahili cha mombasa huitwa kimvita mombasa na seattle ni miji ndugu togo ni nchi ya afrika ya magharibi inayofikia kwenye mwambao wa ghuba ya guinea bahari ya atlantiki ikipakana na benin upande wa mashariki burkina faso kaskazini na ghana mashariki idadi ya wakazi ilikuwa zaidi ya milioni u nusu mwaka mji mkuu ni lome togo ni nchi ndogo katika afrika yenye km pekee kwa umbo la pembenne lenye urefu wa urefu wa kilometa za mraba km na upana wa takriban km mwelekeo wa eneo la nchi ni kaskazini kusini humo kuna kanda zote za kijiografia za afrika ya magharibi kuanzia pwani yenye mchanga na misitu ya minazi kusini vilima vya nyanda za juu katikati na savana pamoja na maeneo yabisi zaidi ya sahel kaskazini nchi ilianzishwa kama koloni la togo ya kijerumani katika pengo kati ya maeneo ya uingereza na ufaransa baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia koloni la kijerumani liligawiwa kati ya majirani hao kama eneo lindwa chini ya mamlaka ya shirikisho la mataifa na baadaye ya umoja wa mataifa mnamo desemba wakazi wa togo ya kiingereza waliamua kwa kura kubaki na ghana hivyo ni togo ya kifaransa pekee iliyopata uhuru mwaka rais wa kwanza alikuwa sylvanus olympio nchini kuna makabila kubwa zaidi ni waewe wazungu hawafikii lugha rasmi ni kifaransa ingawa kwa kawaida wakazi wanazungumza lugha za kikabila upande wa dini mwaka ilikadiriwa kuwa wanafuata dini asilia za kiafrika ni wakristo hasa wa kanisa katoliki na ni waislamu hasa wasuni wamasai ni kabila la watu wanaopatikana kenya na tanzania kwa sababu ya mila zao mavazi tofauti na kuishi karibu na mbuga nyingi za afrika mashariki ni miongoni mwa makabila yanayojulikana zaidi hata nje ya afrika wao wanazungumza maa mojawapo ya lugha za familia ya lugha za kinilo sahara inayohusiana na kidinka na kinuer kwa sababu ya uhamaji wamasai ndio wazungumzaji wa kiniloti wanaoishi kusini zaidi pia wameelimika katika lugha rasmi za kenya na tanzania kiswahili na kiingereza utafiti juu ya dna yao umeonyesha walivyoathiriwa na urithi wa nasaba mbalimbali hata kutoka nje ya afrika lakini hasa wa jamii ya wakushi wa afrika mashariki idadi ya wamasai wa kenya ilihesabiwa kuwa katika sensa ya mwaka na wale wa tanzania walikadiriwa kuwa katika mwaka kwa jumla inakadiriwa kuwa makadirio hayo ya wamasai katika nchi zote mbili huenda ikawa vigumu kuyathibitisha kwa sababu ya umbali wa maeneo ya vijiji vyao vingi na asili yao ya uhamaji kwa asili walikuwa wafugaji na hivyo walihamahama na sehemu bado wanaishi maisha ya namna hiyo ingawa serikali za tanzania na kenya zimeweka mipango kuwahimiza wamasai kuachana na jadi ya uhamaji ili kuishi maisha ya kisasa bado wameendelea na desturi hiyo wao wanadai haki ya kulisha mifugo katika hifadhi za taifa katika nchi zote mbili hivi majuzi ofam imedai ni lazima mtindo wa maisha wa wamasai ukubaliwe kwa kuzingatia mabadiliko ya hali ya hewa kwa sababu hawawezi kulima katika majangwa kulingana na historia simulizi yao wenyewe asili ya wamasai ni kwenye bonde la nile ya chini kaskazini kwa ziwa turkana kenya kaskazini magharibi walianza kuhamia kusini karibu na karne ya wakiwasili katika shina la ardhi kutoka kaskazini mwa kenya na tanzania ya kati tangu karne ya hadi mwisho wa karne ya makabila mengine yalilazimishwa kuyahama makazi yao wamasai walipohamia huko eneo la wamasai lilifikia kilele cha ukubwa wake katikati ya karne ya na kuenea kote katika bonde la ufa na pande za ardhi kutoka mlima marsabit huko kaskazini hadi dodoma huko kusini wakati huo wamasai na vilevile kundi kubwa la waliokuwa wamejiunga nalo walikuwa wakivamia mifugo hadi umbali wa mashariki ya pwani ya tanga huko tanzania washambuliaji walitumia mikuki na ngao lakini walikuwa wamehofiwa kwa kutupa vilabu orinka walivyoweza kutupa kwa usahihi kutoka umbali wa mita mwaka kulikuwa na ripoti ya msongamano wa wapiganaji wa kimasai kuhamia nchini kenya mwaka baada ya kufyeka nyika ya wakuafi kusini mashariki mwa kenya washambuliaji wamasai wakatisha mombasa pwani mwa kenya kipindi cha upanuzi ulifuatwa na emutai ya miaka kipindi hicho kiliainishwa na uenezi wa magonjwa ya bovin pleuropneumonia tauni ya ng ombe na ndui kisio la kwanza la mwanajeshi wa kijerumani huko kaskazini magharibi mwa tanganyika ni kwamba asilimia ya ng ombe na nusu ya wanyamapori walikufa kutokana na ugonjwa wa tauni madaktari wajerumani walidai kuwa katika eneo moja kila sekunde afrika kulikuwa na mtoto aliyeugua matokeo ya ndui kipindi hicho kiliambatana na ukame mvua ilikosa kunyesha kabisa miaka na mtafiti kutoka austria oscar baumann akisafiri katika nchi ya wamasai miaka alieleza makazi huko katika volkeno ya ngorongoro katika kitabu cha mwaka durch massailand zur nilquelle kupitia nchi ya wamasai kwenye chanzo cha nile kulikuwa na wanawake waliodhoofiwa mno waliotazama ule wazimu wa njaa mashujaa waliokuwa wameshindwa kutembea wakiwa na wazee walioathirika na wasiojali kitu vikundi vya tai viliwafuata kutoka juu wakisubiri waathirika kulingana na kisio moja theluthi mbili za wamaasai walikufa katika kipindi hicho kuanzia mkataba wa mwaka na kufuatiwa na mwingine wa mwaka ardhi ya wamasai nchini kenya ilipunguzwa kwa asilimia wakati waingereza walipowafukuza ili kutayarisha mashamba ya wakoloni na hatimaye kuwalazimu kuishi katika wilaya ya kajiado na narok wamasai wa tanzania walifukuzwa kutoka ardhi yenye rutuba kati ya mlima meru na mlima kilimanjaro nyanda yenye rutuba iliyo karibu na ngorongoro katika miaka ya ardhi zaidi ilichukuliwa kwa ajili ya hifadhi ya wanyamapori na hifadhi za taifa amboseli nairobi masai mara samburu ziwa nakuru na tsavo nchini kenya manyara ngorongoro tarangire na serengeti huko tanzania jamii ya wamasai haijawahi kukubali kamwe usafirishaji haramu wa binadamu na wote waliotafuta watumwa walikuwa wakiwaepuka wamasai pamoja na kusimama dhidi ya utumwa waliishi pamoja na wanyama pori wengi huku wakikataa kula wanyama hao wala ndege hivyo sasa ardhi ya wamasai ina hifadhi za wanyamapori zilizo bora kabisa kote afrika mashariki kimsingi kuna jamii kumi na mbili za kabila la wamasai kila jamii ikiwa na desturi muonekano uongozi na lugha tofauti jamii hizo zinajulikana kama keekonyokie daha besdi purko wuasinkishu siria laitayiok loitai kisonko matapato dalalekutuk loodokolani na kaputiei jamii ya wamasai inafuata sana mfumo dume katika desturi yao ni wanaume pamoja na wazee wastaafu wanaoamua mambo makubwa zaidi kwa kila kikundi cha wamasai sheria simulizi zinashughulikia masuala mengi ya desturi kunyongwa kisheria hakujulikani na malipo ya kawaida kwa ng ombe hutosheleza mambo kuna mbinu za kutatua migogoro nje ya mahakama kama amitu inayomaanisha kufanya amani au arop ambayo inahusisha kuomba msamaha wa dhati wamasai humwabudu mungu pekee nao humwita enkai au engai engai ni mungu mmoja mwenye asili mbili engai narok mungu mweusi ana huruma na engai nanyokie mungu mwekundu ana ghadhabu vifo vingi vya watoto wachanga miongoni mwa wamasai vimesababisha watoto wengi kutotambuliwa mpaka kufikia umri wa miezi ilapaitin kwa utamaduni mwishoni mwa maisha yao wamasai huzikwa bila sherehe na maiti wanaachwa nje waliwe na tumbusi maiti kukataliwa na tumbusi na fisi wanaojulikana kama ondili ama oln gojine huonekana kuwa kitu kibaya na kusababisha jamii ya mfu huyo kulaumiwa kwa hiyo haikuwa nadra kupaka miili mafuta na damu ya ng ombe aliyechinjwa mazishi ya zamani yalikuwa yametengwa kwa waheshimiwa wakubwa kwani iliaminika kuwa mazishi yalidhuru udongo maisha ya wamasai inahusika sana na ng ombe ambao huwa msingi wa chakula chao kipimo cha mali ya mtu ni idadi ya mifugo na watoto alionao kuwa na ng ombe au zaidi kunaheshimika na watoto wengi zaidi ni bora mtu ambaye anao wengi upande mmoja lakini si upande wa pili anahesabiwa kama maskini wamasai huamini kwamba mungu aliwapa wao ng ombe wote duniani kwa hiyo kuchukua mifugo kutoka makabila mengine ni suala la kudai haki yao lakini zoezi hili limepungua kihistoria wamaasai ni watu wanaohamahama kwa hiyo tangu jadi wamekuwa wakitumia vinavyopatikana kwa urahisi ili kujenga makazi yao nyumba zao za asili ziliundwa kwa ajili ya kuhama mara kwa mara kwa hiyo hazikujengwa za kudumu inkajijik nyumba hizo zina umbo la nyota au mviringo na hujengwa na wanawake kwa mbao matawi madogo yaliyochanganywa na matope vijiti majani kinyesi cha ng ombe mkojo wa binadamu na majivu mavi ya ng ombe inahakikisha kuwa paa halivuji na maji ya mvua yasiweze kupita enkaji ni ndogo kipimo cha mita na kimo cha m kwenda juu ndani ya nafasi hiyo familia hupika hula hulala hupiga gumzo na huweka akiba ya chakula mafuta na mali nyingine mifugo wadogo mara nyingi pia huwekwa ndani ya enkaji vijiji huzungukwa na ua enkang lililojengwa na wanaume kwa kutumia miiba ya acacia mti wa asili usiku wote ng ombe mbuzi na kondoo huwekwa katikati ya ua hilo kuwalinda kutokana na wanyamapori kitengo kati ya jamii ya wamasai ni umri ingawa wavulana hutumwa nje na ndama na kondoo kuanzia utotoni utoto kwa wavulana ni wakati wa kucheza isipokuwa kuchapwa viboko kidesturi ili kuthibitisha ujasiri na uvumilivu wasichana huwajibika katika kazi ndogondogo kama vile kupika na kukamua ng ombe ujuzi ambao hujifunza kutoka kwa mama zao kuanzia umri mdogo kila baada ya miaka hivi kizazi kipya cha morans au il murran wapiganaji kitatahiriwa hii inahusisha wavulana wengi kati ya umri wa miaka na ambao wamebalehe na si wa kizazi kilichopita moja ya sherehe ya kupita ujana hadi upiganaji ni sherehe ya tohara ambayo inafanywa bila dawa ya kugandisha misuli hii tohara hufanywa na wazee ambao hutumia kisu chenye makali na kigozi cha ng ombe kufunika jeraha neno la kimasai kwa tohara ni emorata kijana lazima avumilie operesheni akiwa kimya kuonyesha maumivu huleta aibu angalau kwa muda maneno yoyote ya mshangao yanaweza kusababisha makosa katika operesheni hiyo nyeti ambayo inaweza kuleta matatizo mengi majeraha zaidi na maumivu mchakato wa uponyaji utachukua miezi wakati ambao kuna uchungu kwenda haja ndogo na wakati mwingine hata hauwezekani na wavulana lazima wabaki katika nguo nyeusi kwa kipindi cha miezi katika kipindi hicho wavulana waliotahiriwa wataishi katika manyatta yaani kijiji kilichojengwa na mama zao manyatta hizo hazina nyua za kulinda boma ili kusisitiza jukumu lao la kulinda jamii hakuna ua la mifugo linalojengwa kwa sababu wapiganaji hawana ng ombe wala hawana jukumu la kufuga ibada za kifungu zaidi zinahitajika kabla ya kufikia hadhi ya mpiganaji mwandamizi ikifikia upeo katika sherehe ya eunoto yaani ujio wa umri wakati kizazi kipya cha mashujaa kinaanzishwa waliokuwa ilmoran huendelea kuwa wazee bila mamlaka ambao huwajibika kwa maamuzi ya kisiasa hadi wafanywe wazee wenye mamlaka wapiganaji wana jukumu la usalama katika jamii na hutumia muda wao mwingi wakizuru ardhi yao pia hupita mipaka yao pia wanazidi kushiriki katika biashara ya mifugo kuliko awali kuendeleza na kuboresha hisa za msingi kupitia biashara na kubadilisha bidhaa wavulana wana wajibu wa kuwalinda mifugo wadogo katika msimu wa ukame wote wapiganaji kwa wavulana huchukua jukumu la ufugaji wazee ni wakurugenzi na washauri wa shughuli za kila siku wanawake wana jukumu la ujenzi wa nyumba na vilevile kuchota maji kuokota kuni kukamua ng ombe na kupikia familia hadithi moja kuhusu wamasai ni kwamba kila kijana anatakiwa kuua simba kabla atahiriwe ingawa simba walikuwa wanawindwa zamani na uwindaji huo umepigwa marufuku katika afrika mashariki bado simba huwindwa wanapowaua mifugo na vijana mashujaa wanaohusika katika mauaji hayo hupewa heshima kuu kutokana na wasiwasi kuhusu idadi ya simba nchini kuna mpango wa kulipa fidia wakati simba anapowua mifugo badala ya uwindaji na kuua simba hata hivyo kuua simba mmoja kuna thamani kubwa na heshima katika jamii wasichana pia hutahiriwa emorata wanapobalehe na hupewa maelekezo na ushauri zinazohusiana na majukumu yao mapya wanasemekana kuwa wamehitimu umri wa wanawake tayari kuolewa ukeketaji nchini kenya unatekelezwa kwa ya wakazi namna ya kawaida ni clitorectomy tendo hilo linaweza kusababisha kovu nene ngozini ambalo linafanya vigumu kwenda haja ndogo na hii pia umeleta utata ukeketaji ni haramu nchini kenya na tanzania na huleta ukosoaji mwingi kutoka nje ya nchi zote mbili na hata kutoka kwa wanawake ambao wameupitia kama vile mmasai mwanaharakati agnes pareiyo ni hivi majuzi katika sehemu mbalimbali imebadilishwa na kukatwa kwa maneno sherehe kuwashirikisha kuimba na kucheza katika nafasi ya ukeketaji hata hivyo unabakia na thamani kwa utamaduni baadhi wanafikiria ni muhimu kwa sababu wamasai wanaume wanaweza wakakataa mwanamke asiyetahiriwa eti haoleweki au sivyo mahari yake itapunguzwa tohara hizo ni kawaida kufanywa na mtekelezaji ambaye mara nyingi si mmasai kwa kawaida hutoka kwa wandorobo visu vya tohara hutengenezwa na wafua chuma il kunono ambao huepukwa na wamaasai kwa sababu ya kutengeneza silaha za kifo visu panga fupi ol alem mikuki n k sawa na wanaume vijana wanawake ambao wamekeketewa huvaa nguo nyeusi hujipaka rangi na alama kwenye nyuso na kisha kufunika nyuso zao wanapokamilisha sherehe wanawake walioolewa wanapokuwa waja wazito huruhusiwa kutofanya kazi nzito kama kukamua ng ombe na kuokota kuni mahusiano ya kingono pia yanapigwa marufuku wamasai huoa wake wengi hii hutendwa ili kukabiliana na vifo vingi vya watoto wachanga na wapiganaji kuolewa na wanaume wengi pia kunakubaliwa mwanamke huolewa si na mumewe tu lakini umri mzima wa kikundi chake wanaume hutarajiwa kumpa mgeni wa rika lake kitanda na mwanamke mwanamke anaamua mwenyewe kama atajiunga na mtu huyo mtoto yeyote atakayezaliwa ni mtoto wa mume katika utaratibu wa kimasai wamasai ni watu wa jadi na hawabadili utamaduni wao kwa vikubwa hata hivyo hii inabadilika polepole wamasai wanaanza kuvaa mavazi za kisasa pia desturi moja ambayo inabadilika ni arusi wasichana wanaolewa wakati wapo kati ya umri wa miaka kumi na mbili na ishirini lakini mila hii inabadilika kwa sababu wasichana wanaenda elimu ya juu na hawawezi kuanza famila bado siku kabla ya harusi mume ataleta mwisho wa mahari iliyokubaliwa kwa familia ya msichana mahari kwa kawaida ni fedha ng ombe mablanketi na asali pamoja siku hiyo msichana ananyolewa kichwa chake kama ishara ya mwanzo wake mpya hata hivyo wanawake wa kimasai wengi hawana nywele na wanaweka kichwa chao harusi inaanza na baraka kutoka kwa mzee yeye hutoa maziwa karibu na nyumba ya mama wa msichana kabla ya msichana kuondoka nyumbani amefungwa nyasi katika viatu vyake hii ni baraka pia kwa sababu nyasi inaashiria wingi kwa maasai watu watu kutoka kijiji cha msichana wanamtembelea kabla ya kuondoka na wanaahidi zawadi msichana hufunga fimbo katika mkufu wake kwa kila zawadi inaitwa enkariwa na hii inamkumbusha ngapi anavyopaswa kukusanya baada ya harusi kisha sherehe iko katika kijiji cha mtu huyo wakati bibi inapofika yeye anapokea mtoto kuwaonyesha watoto ambao atakuwa nao kukabili mashariki ishara ya mwanzo mpya wanaarusi hupata baraka za kimasai kutoka kwa mzee wa kimasai kutoka kwa jamii kisha wanakula mbuzi na wanacheza muziki muziki wa kitamaduni wa kimasai huwa na sauti kutoka kwaya ya waimbaji huku kiongozi wa nyimbo olaranyani huimba kiitikio olaranyani kwa kawaida ni yule mwimbaji bora ambaye anaweza kuimba wimbo huo ingawa watu kadhaa huweza kuongoza wimbo olaranyani huanza kwa kuimba mstari kichwa namba cha wimbo kikundi basi kitajibu kwa kukubali na olaranyani ataimba mistari huku kikundi kikiimba kila wimbo una namba maalum kulingana na kuita na kuitika mipangilio ya nyimbo ya kawaida huwa ya na wakati saini maneno hufuata maudhui maalumu na hurudiwa mara nyingi baada ya muda kutingisha shingo huongozana na kuimba wakati wa kupumua kichwa huelekezwa mbele kichwa huelekezwa nyuma kwa ajili ya kuvuta pumzi kwa ujumla hii hueneza ratiba ya sauti zao wanawake huimba nyimbo tulivu na nyimbo za kuwasifu watoto wao namba ule mfano wa wito na majibu marudio ya misemo isiyokuwa na maana misemo ifuatayo kila mstari kwa kurudiwarudiwa na waimbaji kukabiliana na mistari yao ni ishara ya kuimba kwa wanawake wakati wanawake wamasai wengi hukusanyika pamoja wao huimba na kucheza kati yao wenyewe wamasai hutumia sauti zao pekee wanapoimba isipokuwa wanapotumia pembe la greater kudu kuwaalika wamoran kwa sherehe ya eunoto kuimba na kucheza wakati mwingine hufanyika katika manyatta na kuhusisha kutaniana wavulana hupiga foleni na kuimba oooooh yah kwa kikohozi pamoja na msukumo wa miili yao wasichana husimama mbele ya wanaume na kusokota miili huku wakiimba oiiiyo yo katika kuwajibu wanaume ingawa miili yao hukaribiana hawagusani eunoto sherehe ya kubalehe kwa mpiganaji inaweza kuhusisha siku kumi au zaidi za kuimba kucheza na ibada wapiganaji wa il oodokilani hufanya aina ya mchezo inayoitwa adumu au aigus mara nyingine inajulikana kama ngoma ya kuruka adumu na aigus ni vitenzi vinavyomaanisha kuruka na adumu humaanisha kuruka juu na chini katika ngoma wapiganaji hujulikana vizuri na mara nyingi hupigwa picha katika ushindani huo wa kuruka wapiganaji huingia katika mviringo na moja au wawili wataingia kati ya mviringo kuanza kuruka bila kuacha visigino vyao kugusa ardhi wajumbe wa kikundi wanaweza kuongeza sauti zao kwa kuzingatia urefu wa wanavyoruka washikaji wa moran intoyie hujitembeza katika nguo maridadi kuvutia wengi wao kama mmojawapo ya eunoto mama wa moran huimba na kucheza kuonyesha heshima kwa ujasiri wa watoto wao wanamuziki wa hip hop wa kisasa plastaz kutoka kaskazini mwa tanzania wamechanganya sauti na midundo ya wamasai katika muziki wao kutoboa na kunyosha ndewe ni kawaida ya wamasai vifaa mbalimbali hutumika kutoboa na kunyosha masikio kama vile miiba kwa kutoboa ukuti mawe msalaba sehemu ya jino la tembo n k idadi ya wamasai wanaofuata desturi hiyo hasa wavulana inazidi kupungua wanawake huvaa aina mbalimbali za mapambo katika ndewe la sikio na mapambo madogo juu ya sikio kung oa jino mojawapo kati ya machonge mapema utotoni ni zoezi ambalo limetiwa kumbukumbu katika wamasai wa kenya na tanzania kuna imani kati ya wamasai kuwa kuhara kutapika na magonjwa mengine yanayoathiri watoto husababishwa na kuvimba kwa mizizi ya meno ambayo hufikiriwa kuwa na minyoo au ni meno ya karatasi au meno ya plastiki imani hiyo si ya pekee kwa wamasai vijijini kenya katika kundi la watoto wenye umri kati ya miezi sita na miaka miwili waliotahiniwa mwaka walipatikana kuwa wameng olewa jino moja au zaidi katika kundi la watoto wa umri wa miaka ya watoto walikuwa hawana meno ya kusiaga kijadi wamasai hula nyama maziwa na damu ya ng ombe utafiti wa ilca nestel unasema leo hii chakula kikuu cha kimasai ni maziwa ya ng ombe na unga wa mahindi wao huyanywa maziwa pekee au katika chai na unga wa mahindi hutumiwa kupika uji au ugali unga ulioshikamana unajulikana kama ugali na huliwa na maziwa na hii inatofautiana na uji ambayo hutayarishwa na hupikwa na maziwa nyama ingawa ni chakula muhimu huliwa kwa nadra kwa hiyo haiwezi kutambulika kama chakula kikuu mafuta ya nyama hutumika katika kupika sanasana uji mahindi na maharagwe siagi pia ni chakula muhimu cha watoto wachanga damu hunywewa kwa nadra utafiti wa international livestock centre for africa bekure et al unaonyesha mabadiliko makubwa sana katika mlo wa kimasai kuelekea bidhaa zisizo za mifugo pamoja na mahindi kuwa asilimia na sukari asilimia na wastani wa lita moja ya maziwa hunywewa na kila mtu kwa siku maziwa hayo hutumika sanasana kama maziwa lala au maziwa siagi maziwa yaliyochanganywa na siagi maziwa hutumika sana mahitaji ya protini huwa yametoshelezwa kikamilifu hata hivyo ugavi wa chuma niasini vitamini c vitamini a thiamine na nguvu haviwezi kupatikana kikamilifu kwa kunywa maziwa pekee kutokana na kubadilika kwa mazingira hasa msimu wa ukame wa mara kwa mara wafugaji wengi pamoja na wamasai hutumia nafaka katika maakuli wamasai hufuga ng ombe mbuzi na kondoo pamoja na kondoo mwekundu vilevile ng ombe waliothaminiwa zaidi vipimo vya moyo vilitumiwa kwa wavulana wamasai na hakukuwa na ushahidi wowote wa ugonjwa wa moyo upungufu au ulemavu utafiti zaidi ulionyesha kuwa wastani wa kiwango cha mafuta moyoni ulikuwa asilimia za wastani wa wamarekani matokeo hayo yalithibitisha afya ya wamoran ambayo ilitathminiwa kama kiwango cha olimpiki supu pengine ni mmojawapo ya matumizi muhimu zaidi ya mimea kwa chakula cha wamasai acacia nilotica ni mmea wa supu unaotumika mara nyingi mzizi au shina huchemshwa katika maji na kutumiwa peke yake au huongezwa kwa supu wamasai hupenda kuichukua kama dawa na inajulikana kuwafanya jasiri wenye nguvu na washindani wamasai hunywa supu yenye gome na mizizi inayopunguza mafuta moyoni wamasai wanaoishi mijini ambao hawana mimea hiyo hupatwa na maradhi ya moyo ingawa yanatumiwa kama vitafunio matunda huwa sehemu kubwa ya chakula cha watoto na wanawake wanaochunga wanyama na pia moran jangwani kuchanganya damu ya ng ombe na maziwa inafanywa kuandaa kinywaji cha kitamaduni katika sherehe za pekee na pia kama chakula kwa wagonjwa hata hivyo kuchanganya damu katika mlo unadidimia kutokana na kupunguka kwa idadi ya mifugo hivi majuzi wamasai wamekuwa wakitegemea vyakula kutoka maeneo mengine kama vile unga wa mahindi mchele viazi kabichi zinazojulikana na wamasai kama majani ya mbuzi n k wamasai ambao wanaishi karibu na wakulima wameshughulikia kilimo kama msingi wa kujikimu katika maeneo hayo mashamba hayo hayawezi kudumisha idadi kubwa ya wanyama hivyo wamaasai hulazimika kulima mavazi hutofautiana kadiri ya umri jinsia na mahali vijana wa kiume kwa mfano huvaa nguo nyeusi kwa miezi kadhaa inayofuata tohara hata hivyo nyekundu ni rangi iliyopendelewa bluu nyeusi na milia huvaliwa kama zilivyo miundo na rangi za kiafrika wamasai walianza kubadilisha ngozi ya wanyama ndama na kondoo ili kutumia nguo za pamba katika miaka ya mashuka ni vitambaa vinavyozungushwa mwilini juu ya kila bega kisha ya tatu juu yao hizi kwa kawaida huwa nyekundu ingawa kuna rangi nyingine k m bluu rangi ya waridi hata yenye maua haidharauliwi na wapiganaji mavazi yanayojulikana kama kanga hupatikana kwa urahisi wamasai wanaoishi karibu na pwani huvaa kikoi aina ya kitambaa inayopatikana katika rangi mbalimbali na nguo hata hivyo mtindo uliopendelewa ni mistari wamasai wengi huko tanzania huvaa makubadhi ambayo walikuwa mpaka hivi majuzi wakizitengeneza kutoka ngozi ya ng ombe kulinda nyayo siku hizi hutumia gurudumu au plastiki kuyatengeneza wanaume na wanawake huvaa vikuku vya mbao wamasai wanawake mara kwa mara hufuma marembesho na mikufu ya shanga ushanga huwa sehemu muhimu ya urembesho wa miili yao ingawa kuna tofauti katika maana ya rangi ya shanga baadhi ya maana kwa jumla ya rangi chache ni nyeupe amani bluu maji nyekundu mpiganaji damu shujaa ushanga unaofanywa na wanawake ina historia ndefu kati ya wamasai ambao hujitambulisha katika jamii kupitia mapambo ya mwili na uchoraji kabla ya kuwasiliana na wazungu shanga zilikuwa zikitengenezwa kutoka vifaa vya kienyeji shanga nyeupe zilitengenezwa kutoka udongo pembe au mfupa shanga nyeusi na bluu zilitengenezwa kutoka chuma makaa mbegu udongo au pembe shanga nyekundu zilitengenezwa kutoka mbegu mbao maburu mifupa pembe shaba au chuma katika karne ya shanga nyingi zenye rangi mbalimbali zilifika afrika mashariki kutoka ulaya zikabadilishwa na shanga za jadi na kutumiwa kutengeneza mipangilio bora ya rangi hivi sasa shanga za kioo bila urembesho hupendelewa kunyoa kichwa ni kawaida katika sherehe za kubalehe kuwakilisha mwanzo mpya kutoka sura moja ya maisha hadi nyingine wapiganaji tu wanaruhusiwa kuwa na nywele ndefu ambazo huzifuma katika nyuzi ndogondogo anapofikisha umri wa miezi mtoto hupewa jina na kichwa hunyolewa safi isipokuwa kifurushi cha nywele kinachofanana na kilemba cha jogoo kutoka shingo hadi paji la uso ufananishi huu na jogoo humaanisha hali ya neema wanayopewa watoto wachanga mwanamke aliyepoteza mtoto awali alipokuwa akijifungua ataweka kifurushi hiki cha nywele mbele au nyuma ya kichwa kutegemea kama alipoteza mvulana au msichana siku mbili kabla ya wavulana kutahiriwa vichwa vyao hunyolewa kisha vijana mashujaa huruhusu nywele zao kukua na hutumia muda mwingi wakisuka nywele nywele hizo hupakwa mafuta ya wanyama na mchanga mwekundu na huhasimiwa juu ya kichwa kwa kipimo cha masikio nywele kisha husukwa inagawanyishwa katika sehemu ndogo na kusongwa kwanza ikiwa imetenganishwa halafu ikiwa imeunganishwa pamba au nyuzi za sufu zinaweza kutumiwa kurefusha nywele nywele zilizosukwa huweza zikaachwa zimelegea au zikafungwa pamoja kwa ngozi wakati wapiganaji kwenda kupitia eunoto na kuwa wazee nywele zao ndefu zilizosukwa hunyolewa vilevile wanaume hunyoa nywele wanapopita kifungu kimoja cha maisha hadi kingine bibiarusi pia atanyolewa kichwa chake na kondoo wawili dume watachinjwa kuzingatia sherehe hiyo sera za serikali kama vile hifadhi na utunzaji wa akiba na kutengwa kwa wamasai pamoja na kuongeza idadi n k zimefanya vigumu kudumisha maisha ya wamasai katika kuongezeka kwa umaskini na uhamiaji mamlaka ya wazee wa jadi wa kimasai inaonekana kudidimia kwa muda miradi mingi imeanza kusaidia viongozi wa kimasai kutafuta njia za kuhifadhi mila zao na pia kusawazisha mahitaji ya elimu ya watoto wao kwa dunia ya kisasa njia za ajira zinazojitokeza miongoni mwa wamasai ni kilimo biashara kuuza dawa za jadi biashara ya mikahawa maduka kununua na kuuza madini kuuza bidhaa za maziwa na wanawake nyuzi na mshahara wa ajira kama walinzi wa usalama wapishi kuongoza watalii na wengine ambao wanahusika katika sekta mbalimbali wamasai wengi wameacha maisha ya wahamaji na kupata nafasi za kuwajibika katika biashara na serikali hata hivyo licha ya maisha ya kisasa wanayoishi mjini wengi hurudi nyumbani na nguo za kisasa na hutoka kwenye familia yao wakiwa wamevalia shuka la kitamaduni kitambaa cha rangi nyingi patipati za ngozi ya ng ombe na fimbo ya mbao o rinka wakihisi huru kwa wenyewe na dunia ulaya asili ya jina ni neno la kiarabu wilaayatun inaitwa pia uropa ni bara lenye eneo la km tu lakini wakazi ni milioni wengi wenye asili ya ulaya wakati wa ukoloni walitawanyika duniani hasa amerika wakiathiri kote upande wa lugha utamaduni na dini katika karne ya baada ya vita kuu mbili nchi mbalimbali za ulaya zilianza kushirikiana kwa njia mbalimbali katika orodha inayofuata kanda zinatajwa katika utaratibu wa umoja wa mataifa un categorisations map lakini utaratibu huo haukubaliki ndani ya ulaya kwa nchi za ulaya ya kati wajerumani waaustria waswisi wacheki waslovakia na wapoland hukubaliana ya kwamba wenyewe si ulaya ya magharibi wala ya mashariki ila ulaya ya kati kuna majadiliano kuhusu mipaka ya kanda hili yasiyokwisha bado kwa mfano suala la hungaria au latvia lituanya au lituania ni nchi huru iliyoko kaskazini mashariki mwa ulaya inajulikana rasmi kama jamhuri ya lituania inapakana na latvia belarus polandi na russia ni mwanachama wa umoja wa ulaya mji mkuu wa lituania ni vilnius lituanya iko kwenye mwambao wa bahari ya baltiki lituania kuanzia karne ya ilikuwa nchi huru na imara iliyoteka maeneo mengi kufikia karne ya ikiwa pamoja na polandi ilikuwa kubwa kuliko nchi zote za ulaya mwaka nchi hizo mbili zilifutwa na lituania ikawa sehemu ya dola la urusi mwaka ikawa tena nchi huru lakini mwaka warusi waliiteka tena miaka nchi ilikuwa jamhuri mwanachama wa umoja wa kisovyeti baada ya umoja huo wa majimbo kusambaratika lituania ilijitangaza nchi huru lituania imekuwa nchi mwanachama ya umoja wa ulaya tangu tarehe mei wananchi kwa asilimia wanaongea kilituania ambacho pamoja na kilatvia ndizo lugha hai pekee za jamii ya lugha za kibaltiki kati ya lugha za kihindi kiulaya ndiyo lugha rasmi mbali na walituania asili kuna wapolandi warusi na wengineo dini ya wananchi ni ukristo wa kanisa katoliki mbali ya waorthodoksi na waprotestanti wasio na dini yoyote ni shilingi ni pesa inayotumika kwa malipo halali katika nchi za tanzania kenya uganda na somalia asili ya jina ni kitengo cha kihistoria cha pesa katika nchi mbalimbali za ulaya kama vile austria uswisi uingereza poland denmaki norwei na uswidi katika nchi nyingi kati ya hizo pesa hii haikutumika tena isipokuwa hadi mwaka pauni ya kiingereza ilikuwa na shilling na kila shilling ilikuwa na penny nchi nyingi zilizorithi mfumo wa pesa kutoka uingereza walitumia pauni na shilingi hadi kuhamia kwenye pesa ya desimali vilevile huko austria schilling ilikuwa pesa rasmi hadi kuhamia kwenye euro uingereza ilitoa east african shilling kuanzia mwaka kama pesa ya pamoja kwa ajili ya makoloni yake ya kenya uganda na tanganyika zanzibar ilijiunga na shilingi hiyo mwaka ilipoacha rupia zake baada ya uhuru nchi hizo zilivunja umoja wa kifedha zikaanzisha pesa zao za pekee zote zinaitwa shilingi lakini thamani ilianza kutofautiana haraka kuna majadiliano ya kurudisha shilingi ya pamoja kwa nchi za jumuia ya afrika ya mashariki kwanza ilitarajiwa kuanzishwa mwaka halafu mwaka sasa mwaka kilimanjaro ni jina la mlima mrefu kuliko yote barani afrika mlima huo uko nchini tanzania katika mkoa wa kilimanjaro una urefu wa mita futi hali halisi kilimanjaro ni zaidi ya mlima tu ni kama safu ndogo ya milima mitatu kibo mawenzi na shira hiyo mitatu inaonekana kama vilele vitatu vya mlima mmoja hivyo si vibaya kusema kilimanjaro ni mlima kijiolojia kilimanjaro ni volkeno iliyolala kwa sasa kwenye kilele cha kibo gesi bado inatoka kumbukumbu ya wenyeji ina habari ya mlipuko mnamo mwaka kilele cha juu cha kibo kinaitwa uhuru mtu wa kwanza kufika kileleni hapo alikuwa johannes kinyala lauwo kutoka marangu aliyewaongoza wajerumani hans meyer na ludwig purtscheller tarehe oktoba wakati wa ukoloni wa ujerumani wakati ule waliita ncha ya juu kaiser wilhelm spitze kwa kijerumani kilele cha kaisari wilhelm kwa heshima ya kaisari wa ujerumani kibo ina theluji na barafuto ndogo kadhaa asili ya jina kilimanjaro haijulikani kikamilifu vyanzo vya kimaandishi vinajulikana tangu takriban mwaka ambapo wapelelezi wazungu walitumia jina hilo katika taarifa zao wakidai kilimanjaro ni jina la kiswahili pamoja na umbo hili kulikuwa pia na tahajia ya sehemu mbili ama kilima njaro au kwa namna ya kijerumani kilima ndscharo johann ludwig krapf aliandika mnamo kuwa waswahili kwenye pwani waliita mlima huo kilimanjaro alisema pia ya kwamba hao waswahili walieleza maana yake kuwa ama mlima mkubwa au mlima wa misafara ingawa mwenyewe hakukubali maelezo hayo kwa elezo la mwisho kilima kilimaanisha mlima na jaro labda misafara jim thompson aliandika mnamo kuwa jina kilima njaro lilichukuliwa mara nyingi kuwa na maana ya mlima mkubwa lakini mwenyewe alipendelea maelezo tofauti yaliyosema mlima mweupe njaro ni kiswahili cha zamani kwa ng ara vivyo hivyo krapf aliandika ya kwamba aliwahi kuwatembela wakamba mnamo walioita mlima kima jajeu yaani mlima mweupe leo hii wakamba wangesema kiima kyeu na elezo hili limekubaliwa na watafiti mbalimbali wengine huona ya kwamba ni wazungu wasiojua kiswahili vema waliochanganya mlima na kilima wengine wamejaribu kuona msingi wa jina katika lugha ya kichagga hapo wanadai uwezekano kuwa kileman limetokana na neno la kichagga kileme linalomaanisha kinachoshinda au neno kilelema linalomaanisha kilichokuwa vigumu kilichoshindikana katika hoja hiyo jaro imetokana na kichagga njaare aina ya ndege au kufuatana na wengine chui au kutoka neno jyaro msafara elezo lingine ni kwamba wachagga walisema mlima huo hauwezi kupandwa kilemanjaare au kilemajyaro na wapagazi au wafasiri kutoka pwani waliichukua kuwa jina la mlima na kutafsiri vile kwa wazungu tangu miaka ya mlima umekuwa sehemu ya afrika ya mashariki ya kijerumani ukaitwa kilima ndscharo kwa kijerumani tarehe oktoba hans meyer alikuwa mtu wa kwanza anayejulikana kupanda mlima na kufika hadi kilele cha kibo alichagua jina la kaiser wilhelm spitze ncha ya kaisari wilhelm jina hilo lilitumika hadi tanzania ilipoundwa mwaka na kilele kubadilishiwa jina kuwa uhuru likiwa na maana ya kilele cha uhuru kilimanjaro inapanda hadi mita juu ya tambarare karibu na mji wa moshi uliopo miguuni pake hii inafanya kilele chake kuwa mita juu ya uwiano wa bahari kilimanjaro ni volkeno ya rusu iliyojengwa na rusu za majivu zaha na mata nyingine ni volkeno ndefu kuliko zote duniani nje ya amerika kusini vilele vitatu vya kivolkeno juu ya kilimanjaro ni mawenzi na shira ni volkeno zimwe lakini kibo ni volkeno iliyolala ila inaweza kuwaka tena uhuru ni sehemu ya juu kwenye ukingo wa kasoko ya kibo taasisi ya tanzania national parks authority na unesco zinataja kimo cha uhuru peak kuwa mita kimo hicho kimetokana na upimaji uliofanyika wakati wa ukoloni wa uingereza mwaka tangu upimaji ule kimo cha mlima kimepimwa tena kinaonyesha kuwa mlima unapungua polepole kipimo kilikuwa mita mwaka na mita mwaka muundo wa ndani wa kilimanjaro haujulikani sana kwa sababu hadi sasa haujatokea mmomonyoko mkubwa unaoweza kufunua ndani yake kilele cha kale zaidi ni shira iliyoanza kutema moto takriban miaka milioni iliyopita ikaacha miaka milioni iliyopita wakati ule upande wa kaskazini wa mzingo wa kasoko ulipinduka leo hii shira ina tambarare pana kwenye kilele chake kwenye kimo cha mita inawezekana hii kiasili ilikuwa kaldera iliyojaa lava mabaki ya mzingo wa kaldera yamepungua sana kutokana na mmomonyoko kabla ya kutoa moto na kutokea kwa mmomonyoko kimo cha shira kilikuwa kati ya mita na mata yake ni hasa lava pamoja na kiasi cha piroklasti mawenzi na kibo zilianza kulipuka kutoa moto takriban miaka milioni iliyopita zimetengwa na tambarare saddle plateau kwenye kimo cha mita miamba ya kijana kwenye mawenzi ilitokea miaka iliyopita mawenzi huwa na mgongo wenye umbo la kiatu cha farasi mwenye ncha kali na kufunguka upande wa kaskazini magharibi mgongo unakatwa na mabonde kadhaa na upande wa mashariki wa mlima umepungua kutokana na mmomonyoko mawenzi huwa na kilele cha pili kinachojulikana kwa jina la neumann tower chenye mita kibo ni pia ya kivolkeno yenye kimo kirefu ikiwa na upana wa kilomita kwenye saddle plateau ililipuka mara ya mwisho miaka na iliyopita na mlipuko huo ulifanya kasoko kwenye kilele cha kibo cha sasa hadi leo gesi inatoka kwenye mashimo ardhini kibo huwa na pia kwenye kilele chake chenye umbo kamili kuna kaldera yenye upana wa kilomita na ndani yake pia iko kasoko ya reusch jina hilo lilitolewa na serikali ya tanganyika mwaka kwa heshima ya mjerumani gustav otto richard reusch alipopanda mlima mara ya ndani ya kasoko ya reusch kuna shimo refu linalojulikana kwa jina la ash pit shimo la majivu wakati wa mlipuko wa mwisho uliotokea miaka iliyopita sehemu za mzingo wa kasoko ziliporomoka na kuacha pengo kubwa kibo huwa na pia za kando zaidi ya ambazo ni mashimo ambako gesi zaha na piroklasti zilitoka kwenye pande za mlima wakati wa kuwa volkeno hai zilitokea miaka hadi iliyopita zinapatikana hadi ziwa chala na taveta upande wa kusini mashariki na hadi lengurumani upande wa kaskazini magharibi zaha iliyotoka katika pia hizo za kando ilifunika sehemu kubwa ya pande za mlima wamaasai wana kumbukumbu ya kuwa ziwa chala upande wa mashariki wa kibo lilikuwa mahali pa kijiji kimoja kilichoharibika na mlipuko wa volkeno maji yatoka mlimani kwa njia ya mito na vijito hasa upande wa kusini unaopokea mvua zaidi hasa juu ya mita chini ya kimo hicho maji kwenye mito inapungua kutokana na mvukizo na matumizi ya binadamu mito ya lumi na pangani inabeba maji ya kilimanjaro kuelekea mashariki na kusini tabianchi ya kilimanjaro inaathiriwa na kimo cha mlima kinachoruhusu kufika kwa upepo kutoka bahari wenye unyevu mwingi na wakati mmoja pia upepo za juu sana tabia nyingine ni hali yake ya kuwa mlima wa juu sana peke yake bila jirani ya karibu sana mlima huwa na mfumo wa upepo ambako mchana upepo unaelekea juu na wakati wa usiku kuna upepo unaotelemka kutoka juu hii inatokea zaidi upande wa kusini kuliko upande wa kaskazini kwa sababu tako la mlima ni pana zaidi upande wa kusini na mitelemko yake inaelekea zaidi hivyo kuathiri tabianchi zaidi kilimanjaro huwa na majira mawili ya mvua moja ya machi hadi mei na nyingine mnamo mwezi wa novemba mitelemko ya kaskazini hupokea mvua chache kulingana na mitelemko ya kusini sehemu za chini za mtelemko wa kusini hupokea milimita za mvua kwa mwaka kiwango hiki kinaongezeka kwa milimita hadi kwenye kimo cha mita na hadi juu ya milimita kwenye ukanda wa msitu kwa mita hadi juu zaidi usimbishaji unapungua tena hadi milimita halijoto kwenye kilele ina wastani ya sentigredi yaani jalidi halijoto juu ya ngao ya barafu upande wa kaskazini wakati wa usiku huwa na wastani wa sentigredi na wakati wa mchana viwango vya chini vya hadi vimepimiwa pia usimbishaji wa theluji unaweza kutokea wakati wowote lakini kwa kawaida hutokea zaidi wakati wa majira ya mvua novemba desemba na machi mei usimbishaji wote kwenye kilele ni hasa theluji au mchnganyiko wa tehluji na mvua kwenye kiwango cha milimita hadi kwa mwaka na kuvukiza haraka mlima kilimanjaro hujulikana kuwa kuwa ni mlima wa afrika mwenye kofia ya barafu ya kudumu pamoja na kilimanjaro kuna sehemu mbili nyingine tu barani afrika ni ruwenzori na mlima kenya lakini kiasi cha barafu imepungua kwa kipindi cha zaidi ya miaka mwingereza p c spink aliona mwaka ya kwamba barafu ilipungua sana kulingana na taarifa aliyojua kutoka mpandaji wa kwanza hans meyer baina eneo la ngao ya barafu limepungua kutoka kilomita za mraba hadi km kwenye mwaka hii inalingana na kupunguzwa asilimia sababu kuu ya mabadiliko haya ni kupungukiwa kwa kiwango cha usimbishaji katika mazingira ya mlima tangu mwisho wa karne ya maana kilimanjaro ni mlima wa juu vile ya kwamba mvua wote pamoja na ukungu na usimbishaji mwingine unaofika kwenye kilele chake utaganda na kuwa theluji theluji inayokaa muda mrefu tena katika ganda nene itakuwa barafu lakini wakati uleule mishale ya jua zinasababisha kupotea kwa theluji na barafu kwa njia ya uvukizaji kwa jumla kuongezeka au kupungukiwa kwa barafu kwenye kimo hiki ni swali la kiasi cha mvua na usimbishaji mwingine zinazofika hapa leo hii kuna barafuto kwenye kibo pekee pamoja na mabaki ya ngao ya barafu kwenye tambarare ya kilele na kwenye mitelemko ya kibo hii ngao ya barafu bado iko kwa sababu kilimanjaro ni mlima usio na vilele vikali unaofika juu ya kimo cha mstari wa jeledi kasoko ya kibo imepita na kukata ngao hiyo siku hizi hakuna miendo ya maana inayoonekana kwenye barafuto za kilele kwa sababu unene wao imepungua mno utafiti wa kijiolojia umeonyesha ya kwamba kulikuwa na vipindi vitano vya upanuzi wa barafuto katika miaka iliyopita vilivyofuatwa na vipindi vya kupungua ngao ya barafu mfululizo ilifunika mlima wote hadi kimo cha mita miaka iliyopita wakati barafuto kote duniani zilienea sana kuna dalili ya kwamba barafu yote mlimani iliwahi kupotea kabisa takriban miaka iliyopita kutokana na ukame dunaini wakati ule kuongezeka kwa usimbishaji wakati wa holoseni miaka iliyopita kumeruhusu kurudi kwa barafu mlimani barafuto ziliweza kudumisha kipindi cha ukame miaka iliyopita wakati wa kutembelewa mara ya kwanza katika miaka ya kilele cha kibo kilifunikwa kabisa kwa ngao ya barafu yenye eneo la kilomita za mraba hivi na mikondo ya barafuto iliendelea wenye mitelemko ya kando isipokuwa pia ya kati kaldera yote ilifunikwa na barafu imetazamiwa ya kwamba barafuto kwenye mitelemko ilirudi nyuma haraka kuanzia hadi na polepole zaidi tangu wakati ule inaendelea kupungua nah ii inaonyesha ya kwamba bado hakuna uwiano kati ya kiasi cha mvua kinachofika kwenye kilele na uvukizaji nah ii inaonyesha mabadiliko ya tabianachi yanayoendelea pamoja na kufunika eneo dogo zaidi yaani kujikaza barafuto pia zimepungua unene kutokana na kuyeyuka na uvukizaji mabadiliko haya kwenye barafuto za kilimanjaro zinalingana na mabadiliko yanayoonekana kwenye barafuto kote duniani at the current rate most of the ice on kilimanjaro will disappear by and it is highly unlikely that any ice body will remain after kama barafu juu ya kilimanjaro ingepotea kabisa hii isingekuwa tatizo kubwa kwa maji yanayopatikana katika maeneo yanayozunguka mlima kiasi cha barafu juu ya mlima ni kidogo sana kuliko kiasi cha maji yanayohifadhiwa na misitu kwenye mitelemko ya mlima chini zaidi misitu hii ni chanzo cha maji yanayotiririke chini katika mito na vijito vya mlima mkubwa kuna misitu asilia zinazofunika takriban kilomita ya mraba kwenze mlima sehemu ya chini hulimwa kwa kupanda mahindi maharagwe na alizeti pia ngano upande wa magharibi kuna mabaki ya uoto wa savana ya awali yenye miti kama acacia combretum terminalia na grewia kuanzia kimo cha mita hadi mita kuna kilimo cha kahawa kwa namna ya kidesturi ya wachaga inayopanda miti na mazao kwa pamoja uoto asilia umebaki pekee katika mabonde majkali yasiyoweza kutumiwa kwa kilimo na hapa ni tofauti na uoto kwenye maeneo ya juu zaidi kuanzia kimo cha mita hadi mita kuna kilimo cha kahawa kwa namna ya kidesturi ya wachaga inayopanda miti na mazao kwa pamoja uoto asilia umebaki pekee katika mabonde majkali yasiyoweza kutumiwa kwa kilimo na hapa ni tofauti na uoto kwenye maeneo ya juu zaidi kwenye mitelemko ya kusini penye mvua nyingi kuna misitu ya mvua yenye miti aina ya ocotea usambarensis pamoja na kangaga na epipythi juu zaidi penye ukungu wa kudumu kuna podocarpus latifolius hagenia abyssinica na erica ecelsa pamoja na kuvumwani upande wa kaskazini ulio kavu zaidi pana misitu ya mizeituni croton mlungu mbago calodendrum cassipourea mugome na msikundazi na juniperus mtarakwa kadri kimo kinaongezeka juu zaidi kati ya mita na hufuata kanda la vichaka vya erica mdamba na juu yake kunamajanimajani tu kama helichrysum hadi mita utafiti kwenye kasoko ya maundi kwenye kimo cha mita umeonyesha ya kwamba uoto wa kilimanjaro ulibadilika katika mwendo wa karne na milenia wakati wa baridi kwenye enzi ya barafu miaka iliyopita misitu ilishuka chini na kanda la mdamba lilitokea takriban mita chini ya hali yake ya sasa hakuna wanyama wakubwa wengi waliobaki mlimani wanapatikana hasa kwenye misitu na sehemu za chini mlimani tembo na nyati wanaweza kuwa na hatari kwa watalii wanaopanda mlima na pia kwa wakulima pongo vinyonga digidigi paa nguchiro nyani mbalimbali kama mbega komba chui chozi na ngiri wametazamiwa pia punda milia na fisi wanapatikana mara chache kweye tambarare juu ya shira kuna spishi chache zinazopatikana kilimanjaro pekee hizi ni pamoja na kirukanjia wa kilimanjaro na spishi ya kinyonga kinachoitwa kinyongia tavetana mwalimu julius kambarage nyerere butiama mkoa wa mara pembezoni mwa ziwa nyanza aprili london uingereza oktoba alikuwa rais wa kwanza wa tanzania na mara nyingi anatajwa kama baba wa taifa kwa jinsi alivyoathiri nchi hiyo ndiye mwasisi wa itikadi ya ujamaa na kujitegemea iliyotangazwa hasa katika azimio la arusha kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mwalimu kazi hiyo ndiyo iliyompatia jina ambalo lilimkaa maisha yake yote la mwalimu kwanza aliongoza tanganyika toka mwaka hadi kama waziri mkuu halafu kama rais baada ya muungano wa tanganyika na zanzibar aliongoza tanzania kuanzia mwaka hadi mwaka kama rais mwalimu nyerere ni kati ya viongozi wachache wa afrika ambao wameacha madaraka kwa hiari baada ya kutawala kwa muda mrefu akiwa bado anapendwa na wananchi walio wengi katika nchi alipostaafu urais mwaka alirudi kijijini kwake butiama ambako aliendesha shughuli za kilimo hata hivyo aliendelea kuwa na athari kubwa katika siasa ya tanzania hadi kifo chake kwa ruhusa ya makao makuu ya kanisa katoliki duniani jimbo katoliki la musoma lilianza kushughulikia kesi ya kumtangaza mwenye heri na hatimaye mtakatifu kwa sababu hiyo anaitwa pia mtumishi wa mungu baada ya hapo baraza la maaskofu katoliki tanzania limepokea jukumu la kuratibu mchakato huo pamoja na kesi kuhamishiwa jimbo kuu la dar es salaam kutokana na nyerere kuishi muda mrefu jijini humo na kuzunguka nchi nzima ya tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta umoja katika kupigania uhuru pia alizungumza kwa niaba ya tanu katika trusteeship council na fourth committee ya umoja wa mataifa un huko new york uwezo wake wa kuongea na wa kuunganisha watu ulimwezesha kufanikisha tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo richard turnbull ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru nyerere aliingia katika bunge la kikoloni mwaka na kuchaguliwa kuwa waziri mkuu mwaka mwaka tanganyika ilipata uhuru wake na tarehe desemba nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa tanganyika huru mwaka mmoja baadaye akawa rais wa kwanza wa jamhuri ya tanganyika nyerere alikuwa kiungo muhimu katika muungano wa tanganyika na zanzibar kutengeneza tanzania mara baada ya mapinduzi ya zanzibar mwaka yaliyomtoa madarakani sultani wa zanzibar jamshid bin abdullah tarehe februari aliongoza chama cha tanu kuungana na chama tawala cha zanzibar afro shirazi party na kuanzisha chama kipya cha ccm chama cha mapinduzi akiwa mwenyekiti wake wa kwanza nyerere aliendelea kuongoza taifa hadi alipomwachia nafasi rais wa pili ali hassan mwinyi aliacha kuongoza tanzania ikiwa ni mojawapo kati ya nchi maskini zaidi duniani ingawa yenye huduma za elimu na afya zilizoenea kwa wananchi wengi hata hivyo aliendelea kuongoza ccm hadi mwaka na kuwa na athari kubwa katika siasa ya tanzania hadi kifo chake kwa mfano inasadikika kuwa nyerere alishawishi uteuzi wa benjamin w mkapa kama mgombea wa urais mwaka ambaye alichaguliwa kuwa rais kwenye uchaguzi nyerere alikaa muda mwingi kwake butiama akilima shamba lake pamoja na haya alianzisha taasisi yenye jina lake mwaka alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali za vita vya wenyewe kwa wenyewe huko burundi tarehe oktoba aliaga dunia katika hospitali ya st thomas mjini london baada ya kupambana na kansa ya damu kati ya mafanikio makubwa ya nyerere kuna kujenga umoja wa taifa kati ya watu wa makabila na dini tofauti na hivyo kudumisha amani ya muda mrefu tofauti na hali ya nchi jirani iliyofanya tanzania iitwe kisiwa cha amani pia kustawisha utamaduni wa kiafrika pamoja na lugha ya kiswahili kushinda ubaguzi wa rangi kutetea usalama wa taifa katika vita dhidi ya mvamizi idi amin wa uganda kutoa mchango kwa vyama vya ukombozi vya nchi za kusini mwa afrika kama vile zimbabwe zanu afrika kusini anc na pac namibia swapo angola mpla na msumbiji frelimo nyerere analaumiwa kwa siasa yake ya kiujamaa kuwa ilichelewesha maendeleo ya kiuchumi wa tanzania siasa yake ya ujamaa ilishindikana kwa kiasi kikubwa baada ya mwaka kwa sababu mbalimbali za nje na za ndani ya nchi baada ya kuona kuwa uchumi wa tanzania hautaweza kusimama kwa siasa ya kijamaa na kuwa hataweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa nyingine ambazo yeye hakuwa na imani nazo nyerere kwa hiari yake mwenyewe aliamua kustaafu nafasi ya urais kuanzia uchaguzi wa mwaka na kumwachia usukani ali hassan mwinyi aliyetawala kwa siasa ya uchumi wa soko huria katika hali ya kukubali ukweli nyerere katika tafrija ya kumwaga alitamka juu ya siasa yake upande wa uchumi nimefeli tukubali hivyo kosa lingine ambalo wengine wanaona nyerere alilifanya ni kumhadaa aliyekuwa rais wa zanzibar mzee abeid amaan karume kwa kuziunganisha tanganyika na zanzibar na kuanza kupora mamlaka ya zanzibar kidogokidogo kwa hivi sasa wanzanzibari wengi wamechoka na muungano huo na wanataka uhuru wa nchi yao ili wapumue hata upande wa bara wananchi wengi wanalalamikia kutoweka kwa tanganyika na serikali yake pia kuna makundi ya waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya dini yao na kupendelea wakristo katika utoaji wa elimu na madaraka japo wasomi wengi kwa kipindi cha utawala wake walikuwa wakristo pamoja na hayo nyerere bado anakumbukwa na watanzania hasa wa hali ya chini kutokana na sera zake za kujali utu pia ataendelea kukumbukwa na waafrika barani kote hasa kwa mchango wake mkubwa wakati wa harakati za kupigania uhuru katika nchi mbali mbali barani afrika mwalimu julius kambarage nyerere ni mmoja wa viongozi wachache waadilifu waliokwepa kujilimbikizia mali pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya mwishoni mwa maisha yake nyerere aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake butiama alipatwa na kansa ya damu leukemia akafariki uingereza wakati wa kutibiwa katika mji wa london tarehe oktoba alizikwa mahali pa kuzaliwa kwake kijiji cha butiama mbege ni pombe ya asili ya wachagga wakazi wa mkoa wa kilimanjaro mbege hutengenezwa na ndizi mbivu ulezi na maji mara nyingi mbege hutengenezwa na wanawake na hutumika katika sherehe na matukio mbalimbali kama vile harusi misiba ubarikio kuzaliwa kwa mtoto n k mbege hutumiwa pia kama faini kwenye mahakama za jadi utengenezaji wa mbege hufanywa pia kama shughuli ya kibiashara mbege huuzwa katika vilabu vya pombe na pia majumbani pombe hii hutengenezwa kwa kuchemsha ndizi mbivu kama vile ndizi songea ndizi uganda kibungara kisukari kama zinapatikana kwa sana n k ndizi hizo zikishachemshwa huachwa kwa kipindi cha kama tatu au zaidi ili zichache baada ya hapo unga wa ulezi hupikwa na kuachwa upoe ndizi zilizochemshwa na kuchacha huchanganywa na maji kisha kukamuliwa ili kupata juisi yake juisi hiyo huchanganywa na unga wa ulezi uliopikwa na tunapata kivuo kifue togwa na kuachwa usiku mzima kesho yake mbege huwa tayari kwa kunywewa pombe hii kama haitanyewa na kumalizika siku hiyo basi ikilala tunapata kitu kinachooitwa ngera ambayo ni chachu sana ila ngera pia huweza kuzimuliwa na kuwa pombe ifaayo tena kwa kuchanganya na unga uliopikwa na unga kidogo usiopikwa ila ngera ikilala tena humwagwa kwani haitafaa kunywea tena watengenezaji wengi wa pombe huwa wanaweka gamba la mti wa msesewe rauvolfia caffra hasa maeneo ya kibosho machame na rombo ili kuongeza ladha ya uchachu na kupunguza kasi ya mbege kuchacha chombo maalum kiitwacho kata hutumiwa kunywea mbege ila mara nyingi sehemu za mijini hutumia vyombo vya plastiki vikiwa na ujazo tofauti navyo huitwa chubuku na kitochi katika maeneo ya vijijini mbege hunywewa kijamaa kwa kupokezana kata mtu mmoja anakunywa kisha anampatia mwingine anayekunywa na kumpa mwingine fasihi kutoka neno la kiarabu fasaha kwa maana ya ulimbi au literacy kwa kiingereza ni utanzu tawi wa sanaa ambao hutumia lugha ya mazungumzo au maandishi ili kufikisha kuwasilisha ujumbe kwa hadhira husika ni ufundi wa kuwasilisha mawazo au ujumbe ulio katika fikra za binadamu vipengele vinavyounda fani ya fasihi ni kama ifuatavyo fani ni umbo la nje la kazi ya fasihi maudhui ni umbo lake la ndani katika kazi yoyote ya fasihi ni lazima pawepo na ustadi wenye kuleta mvuto fulani kwa hadhira wasikilizaji au wasomaji husika ustadi ufundi huo unaovutia hadhira huitwa fani ambayo hujumuisha mambo kama vile pamoja na fani kazi yoyote ya fasihi huwa na ujumbe na malengo mbalimbali ambayo hukusudiwa yaifikie jamii husika yale yote ambayo msanii wa kazi ya fasihi anakusudia yaifikie jamii husika huitwa maudhui maudhui ya kazi ya fasihi hujumuisha fasihi hufanya kazi mbalimbali katika maisha fasihi ndiyo aina pekee ya sanaa inayotumia lugha kujitambulisha au kujitofautisha na aina nyingine za sanaa kuna aina kuu mbili za fasihi nazo ni fasihi hizi zina dhima sawa katika jamii ingawa ni tofauti utofauti kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi hujitokeza katika uwasilishwa wake katika jamii husika fasihi simulizi ni aina ya fasihi ambayo hutumia mazungumzo ya mdomo ili kufikisha ujumbe kwa hadhira aina hii ya fasihi ndiyo iliyokuwapo tangu zamani kabisa mwanadamu alipoanza kuishi yaani ilianza pale mwanadamu alipochangamana na wenzake katika kufanya mambo mbalimbali mfano shughuli za biashara kilimo na nyinginezo utanzu huu wa fasihi simulizi una vipera au aina kuu nne nazo ni kimsingi fasihi ni moja ingawa imegawanyika katika sehemu kuu mbili yaani fasihi simulizi na fasihi andishi mbali na mgawanyiko huo kuna mambo ambayo yanafanana katika fasihi zote mbili mambo hayo ni pamoja na intaneti kutoka kiingereza internet pia mtandao wavuti ni mfumo wa kushirikiana kwa kompyuta nyingi unaowezesha tarakilishi mbalimbali duniani kuwasiliana kati yake kupiti le corps coma mtandao huo watu huweza kutembelea tovuti mbalimbali kupiga gumzo na kuandikiana barua pepe intaneti ni mfumo wa kimataifa wa mitandao ya kompyuta inayotumia itifaki inayokubalika ya intanet suite tcp ip kutumikia mabilioni ya watumiaji duniani kote ni mtandao wa mitandao ambayo ina mamilioni ya mitandao binafsi mitandao ya umma mitandao ya elimu mitandao ya biashara na mitandao ya serikali zenye upana wa kimitaa na kiulimwengu ambazo zimeunganishwa na safu pana ya teknolojia za mtandao za elektroniki na za mwangaza intaneti hubeba safu kubwa ya huduma na rasilimali za habari hasa hati za hypertet zilizoshikanishwa za mtandao wa ulimwengu mzima www na miundombinu ya kusaidia barua pepe mbinu nyingi za jadi za mawasiliano ya habari kama vile huduma za simu na televisheni zimeundwa upya kutumia teknolojia za intaneti na kusababisha huduma kama vile itifaki ya kupitisha sauti kwa kutumia intaneti voip na iptv uchapishaji magazeti umeundwa upya katika tovuti ubadilishanaji maoni na kupatikana habari zinapotokea tu intaneti imewezesha au kuharakisha uumbaji wa aina mpya za mafungamano za kibinadamu kupitia ujumbe wa moja kwa moja majukwaa ya intaneti na mitandao ya kijamii kuna mawasiliano ya tarakilishi pamoja na habari zinazotunzwa kwenye mashine na kupatikana kwa programu za kutafuta tovuti kama google au kwa kamusi elezo kama wikipedia asili ya mtandao ina mizizi katika mwongo wa wakati marekani ilifadhili miradi ya utafiti wa wakala zake za kijeshi na kujenga mitandao iliyosambaa ya kompyuta ambazo zina uwezo wa kustahimili mabadiliko na ni vumilivu kwa makosa kipindi hiki cha utafiti na ufadhili wa raia wa marekani wa uti mpya wa mgongo uliyofanywa na msingi wa kitaifa wa sayansi ulisababisha dunia yote kushiriki katika maendeleo ya teknolojia mpya ukasababisha ufanyibiashara wa mtandao wa kimataifa katikati ya mwongo wa na kusababisha kujulikana kwa zana nyingi katika karibu kila uwanja wa maisha ya kisasa ya binadamu kufikia mwaka wa wastani wa robo ya idadi ya watu duniani hutumia huduma ya intaneti intaneti haina utawala wa kati katika utekelezaji wa kiteknolojia au sera ya upatikanaji na matumizi kila mtandao jumuishi unaweka masharti yake yenyewe ufafanuzi tu wa majina mawili makuu katika intaneti itifaki ya anwani za intanet na mfumo wa makundi ya majina ndizo zinazongozwa na shirika iliyoagizwa ya ushirika wa kupeana majina na nambari za intaneti icann msingi wa kiteknolojia na masharti ya itifaki misingi ipv na ipv ni shughuli ya kikundi maalum kilichoundwa kutekeleza kazi za uhandisi wa intaneti ietf ambalo ni shirika la kimataifa lisilo la kutengeneza faida ambalo washiriki wanaweza kuhusika nalo kwa kutoa mchango wa kitaalamu maneno intaneti na mtandao wa ulimwengu mzima mara nyingi hutumika bila tofauti kubwa hata hivyo intaneti na mtandao wa ulimwengu mzima si kitu kimoja wala hazina maana sawa intaneti ni mfumo wa kimataifa wa mawasiliano ya data ni miundombinu ya vifaa na programu ambayo huwezesha mawasiliano kati ya kompyuta kwa kulinganisha mtandao ni mojawapo ya huduma inayowasilishwa na intaneti ni mkusanyiko wa nyaraka zilizounganishwa na rasilimali nyingine zilizoshikanishwa na viungo na url uzinduzi wa sputnik na ussr ulichochea marekani kuanzisha shirika la utafiti wa juu wa miradi iliyojulikana kama arpa katika mwezi februari ili kuongoza kiteknolojia arpa ilitengeneza ofisi ya teknolojia za kuchambua habari ipto ili kuendeleza utafiti wa programu inayojitekeleza ya mazingira ya chini sage ambayo iliunganisha mifumo ya rada za nchi nzima kwa mara ya kwanza j c r licklider alichaguliwa kuwa kiongozi wa ipto licklider alihama kutoka maabara ya masomo yanayochunguza jinsi ubongo wa binadamu unavyofasiri sauti katika chuo kikuu cha harvard mit mwaka baada ya kuvutiwa na teknolojia ya habari akiwa mit alikuwa kwenye kamati iliyoanzisha maabara ya lincoln na kufanya kazi ya mradi wa sage mwaka wa akawa makamu wa rais katika bbn ambapo alinunua kompyuta ya kwanza ya pdp na kuongoza maonyesho ya kwanza ya ugawanaji muda akiwa ipto licklider alimleta lawrence roberts ili aanzishe mradi wa kutengeneza mtandao na roberts alikita msingi wa teknolojia katika kazi ya paulo baran ambaye alikuwa ameandika masomo kamili kwa wanajeshi wa waangani wa marekani akipendekeza ubadilishaji pakiti badala ya ubadilishaji mzunguko ili kupata mtandao bora unaobadilika na unaoweza kustahimili janga profesa wa ucla leonard kleinrock alikuwa ametoa msingi wa nadharia ya pakiti za mitandao mwaka na baadaye katika mwaka wa upitishaji wa kiviwango dhana ambazo zimekuwa msingi wa maendeleo ya intaneti ya leo baada ya kazi nyingi sehemu mbili za kwanza ambazo zingekuwa arpanet ziliunganishwa kati ya shule ya uhandisi na sayansi tumikizi ya ucla na taasisi ya kimataifa ya utafiti ya stanford sri katika bustani ya menlo california tarehe oktoba arpanet ilikuwa moja ya mitandao tangulizi ya mtandao wa intaneti ya leo kufuatia maonyesho kuwa ubadilishaji pakiti ulifanya kazi kwa arpanet kituo cha posta cha uingereza telenet transpac na datapac zilishirikiana kuunda mtandao wa kwanza wa huduma ya ubadilishaji pakiti nchini uingereza hii ilikuwa inajulikana kama huduma ya kimataifa ya ubadilishaji pakiti ipss mwaka mkusanyiko wa mitandao yenye msingi wa ilikua kutoka ulaya na marekani na kutanda kanada hong kong na australia kufikia mwaka sheria ya ubadilishaji pakiti ya ilitengenezwa katika ccitt sasa inaitwa itu t mwaka ilikuwa huru kutoka itifaki ya tcp ip ambayo iliinuka kutokana na kuwa kazi ya majaribio ya darpa kwenye arpanet mtandao wa pakiti za redio na mtandao wa pakiti ya setilaiti wakati mmoja vinton cerf na robert kahn walitengeneza maelezo ya kwanza ya itifaki ya tcp mwaka na kuchapisha karatasi kuhusu mada hii katika mwezi mei matumizi ya neno internet kuelezea mtandao mmoja wa kiulimwengu wa tcp ip yalianza katika mwezi desemba na uchapishaji wa rfc yakiwa maelezo kamili ya kwanza ya tcp iliyoandikwa na vinton cerf yogen dalal na carl sunshine waliokuwa katika chuo kikuu cha stanford katika miaka tisa iliyofuata kazi iliendelea kurekebisha itifaki hizo na kuzitekeleza katika mifumo ya oparesheni ya aina mbalimbali mtandao wa kwanza wenye upana mkubwa wa msingi wa tcp ip ulikuwa ukifanya kazi kufikia tarehe januari wakati ambapo viwekaji vyote vya arpanet vilibadilishwa kutoka itifaki za hapo awali za ncp mwaka wakfu wa sayansi wa kitaifa marekani nsf uliamuru ujenzi wa nsfnet uti wa mgongo wa mtandao wa chuo kikuu wenye kasi ya kilobaiti kwa sekunde kwa kutumia kompyuta zilizoitwa fuzzballs na mvumbuzi wake david l mills mwaka uliofuata nsf ilifadhili ubadilishaji hadi mtandao wenye kasi ya juu zaidi ya megabaiti kwa sekunde maamuzi muhimu kutumia itifaki za darpa tcp ip ulifanywa na dennis jennings aliyekuwa msimamizi wa programu ya kompyuta zenye nguvu huko nsf ufunguzi wa mtandao huo kwa maslahi ya kibiashara ulianza mwaka wa baraza ya mitandao ya kimajimbo marekani ilikubali ushikanishaji wa nsfnet na mfumo wa barua wa mci katika mwaka huo kiungo kilifanywa katika msimu wa joto wa mwaka wa huduma zingine za kielektroniki za kibiashara zilishikanishwa zikiwemo ontyme telemail na compuserve katika mwaka huo watoaji wa huduma ya intanet watatu waliundwa uunet psinet na cerfnet muhimu mitandao tofauti iliyotoa viingilio na baadaye kuungana na intanet ilikuwa bitnet na usenet mitandao mingine ya kibiashara na elimu kama telenet tymnet compuserve na janet iliunganishwa na intanet iliyokuwa ikikua telenet iliyoitwa sprintnet baadaye ulikuwa mtandao mkubwa wa kompyuta wa kitaifa uliofadhiliwa kibinafsi wenye upigaji simu ya intaneti burekatika miji kote marekani na uliyokuwa ukifanya kazi tangu mwongo wa hatimaye mtandao huu uliunganishwa na mingine katika mwongo wa wakati ambapo itifaki ya tcp ip iliendelea kuwa maarufu zaidi uwezo wa tcp ip kufanya kazi kwa karibu mtandao wowote wa mawasiliano uliruhusu ukuaji rahisi ingawa ukuaji wa haraka wa intanet ulikuwa juu ya upatikanaji rahisi wa safu ya vielekezi vya kibiashara kutoka makampuni mengi upatikanaji wa vifaa vya kibiashara vya ethanet ya mitandao ya mitaa na kuenea kwa utekelezaji na uwekaji sheria mkali wa tcp ip katika uni na karibu kila mfumo mwingine wa oparesheni ingawa vifaa msingi na miongozo vinavyofanya uwezekanaji wa intanet vimekuwepo kwa karibu miongo miwili mtandao huo haukupata kuona nyuso za umma mpaka mwongo wa tarehe agosti cern shirika ya ulaya ya utafiti wa chembe ulieleza umma kuhusu mradi mpya wa matandao wa dunia nzima mtandao ulizuliwa na mwanasayansi wakiingereza tim berners lee mwaka wa kivinjari cha mtandao kilichokuwa cha kwanza na chenye umaarufu sana kilikuwa violawww iliyofuata mtindo wa hypercard na kujengwa kwa kutumia mfumo wa window hatimaye ilichujwa na umaarufu wa tovuti ya mosaic mwaka wa kikao kikuu cha zana za kompyuta zenye nguvu katika chuo kikuu cha illinois ilitoa aina ya kwanza ya mosaic na mwisho wa mwaka wa hamu ya umma iliongezeka intanet ambayo hapo awali ilikua ya taaluma na ufundi kufikia mwaka matumizi ya neno intaneti yalikuwa kawaida na kwa hiyo hata matumizi yake kama kisawe cha mtandao wa ulimwengu mzima muongo huo ulipoendelea intaneti ilifanikiwa kushughulikia mitandao mingi binafsi wa awali ingawa baadhi ya mitandao kama fidonet vimebaki tofauti katika miaka ya ilikuwa inakadiriwa kwamba intaneti ilikua kwa asilimia kila mwaka na kipindi kifupi cha mwaka wa na ukuaji wake ulilipuka ukuaji huo ulitokana na ukosefu wa utawala mkuu ambao unaruhusu ukuaji wa kikaboni wa mtandao na pia ukosaji ubinafsi na huru katika itifaki za intaneti ambao unahamasisha ubadilishaji wauzaji na kuzuia kampuni yoyote kuwa na udhibiti mkubwa wa mtandao makadirio ya idadi ya watumiaji wa internet ni bilioni kufikai juni ugumu wa miundombinu ya mawasiliano ya intanet unahusisha vipengele vya vifaa vyake na sehemu za mfumo wa progamu inayodhibiti tabaka mbalimbali za usanifu ingawa vifaa vinaweza kutumika kusaidia mifumo mingine ya programu ni urasimu na mifumo ya sheria za usanifu wa programu zinazoainisha intanet na hutoa msingi wa ukubwa wake na mafanikio yake wajibu wa urasimu wa usanifu wa mifumo ya programu za intanet umepewa tume ya uhandis wa intanet ietf ietf huongoza makundi ya kuweka sheria wazi kwa mtu yeyote kuhusu masuala mbalimbali ya usanifu wa intanet majadiliano yanayotokea na amri za mwisho huchapishwa katika mfululizo wa machapisho iitwayo kuomba kwa maoni rfc ipatikanayo bure kwenye tovuti ya ietf mbinu muhimu za utengenezaji wa mitandao zinazowezesha intanet ziko katika rfc teule yenye sheria za intanet sheria hizi hueleza msingi unaojulikana kama itifaki ya intanet hii ni kielelezo cha usanifu unaogawanya huduma kuwa visehemu katika itifaki ya mfumo rfc rfc visehemu hivi vina uhusiano na mazingira au upeo ambao huduma zao hufanya kazi sehemu ya juu ni sehemu ya zana nafasi iliyotengwa kwasababu ya mbinu za utenegnezaji mitandao zinazotumika katika zana za programu mfano kivinjari chini ya sehemu hii ya juu kuna sehemu ya usafiri iunganishayo zana katika kompyuta tofauti kupitia mtandao mfano client server na mbinu sahihi za kubadilishana takwimu chini ya sehemu hizi ndipo kulipo na msingi wa teknolojia ya mitandao linalojumuisha sehemu mbili sehemu ya intanet inayowezesha kompyuta kutambuana kupitia anwani za itifaki ya internet ip na huziwezesha kuungana pamoja kwa kutumia mitandao zilizo karibu mwisho chini ya usanifu huu ni sehemu ya programu na sehemu ya uunganishaji ambayo huwezesha kuungana kwa kompyuta zilizo katika kiunganishi sawa wa mtandao ya mtaa kama vile mtandao wa eneo lan au uunganishi wa kupiga mfano huu ujulikanao pia kama tcp ip ni iliyoundwa isitegemee vifaa inavyotumia kwa hivyo mfano huu hauna haja ya kujishughulisha na maelezo yoyote mifano mingine vimeundwa kama vile mfano wa mifumo ya kiunganishi kilichofunguka osi lakini si sawa katika maelezo ya ufafanuzi wala utekelezaji lakini kufanana kupo n itifaki ya tcp ip hujumuishwa katika majadiliano ya mitandao ya osi sehemu maarufu zaidi ya picha simamizi ya intanet ni itifaki ya intanet ip ambayo hushughulikia upeanaji wa anwani za ip kwa kompyuta zilizo katika intanet ip inawezesha ushikanishaji wa mitandao na kimsingi hujenga intanet yenyewe toleo ya ya ip ipv ni toleo lililotumiwa katika kizazi cha kwanza cha intanet ya leo na bado yatumika vikubwa iliundwa kushughulikia hadi watumiaji billioni wa intanet hata hivyo kulipuka kwa ukuaji wa intanet umesababisha kuisha kwa anwani za ipv ambayo inakadiriwa kuingia hatua yake ya mwisho katika takriban mwaka wa toleo ya itifaki mpya ipv iliundwa katikati ya mwongo wa toleo hili linauwezo mkubwa wa kupeana anwani na mbinu bora zaidi ya uelekezaji wa trafiki ya intanet ipv kwa sasa ipo katika awamu ya kuachiliwa kibiashara duniani mashirika ya kuweka anwani za intanet rir yameanza kuwahimiza mameneja wote wa rasilimali kupanga uchukuzi na uongofu wa haraka ipv haishirikiani kikazi na ipv kimsingi toleo la ipv hutengeneza toleo sambamba la intanet ambalo halipatikani moja kwa moja na ipv hii ina maanisha uboreshaji wa programu au vifaa vya ukalimani ni muhimu kwa kila kifaa cha mtandao ambacho linahitaji kuwasiliana kupitia intanet ya ipv mifumo ya kuendesha kompyuta ya kompyta za kisasa tayari vimebadilishwa ili vifanye kazi na toleo zote za itifaki ya intanet miundombinu ya mtandao hata hivyo bado yamebaki nyuma katika maendeleo hayo mbali na tata za viungo vinavyotengeneza miundombinu yake intanet imewezeshwa na mikataba ya kibiashara mfano mkataba wa kujitakia na kwa ufundi maalum au itifaki zinazoeleza jinsi ya kubadilishana data kwa kupitia mtandao hakika intanet ina ainishwa na viungo vyake na sheria za uelekezaji muundo wa intanet na sifa za matumizi yake vimekuwa vikisomwa kwa undani imedhamiria kuwa muundo wa uelekezaji katika intanet ya ip na viungo vya hypertet vya mtandao wa dunia nzima ni mifano ya mitandao isiyo na kipimo sambamba na jinsi watoa huduma wa kibiashara za intanet huwasiliana kwa kupitia sehemu za ubadilishanaji habari mitandao ya utafiti kwa kawaida huunganishwa kupitia mitandao mikubwa kama geant gloriad internet halifa wa mtandao wa abilene na mtandao wa utafiti na kitaifa na elimu wa uingereza janet mitandao hii imeundwa kutoka kwa mitandao mingine midogo pia tazama orodha ya mashirika ya kiakademia ya mitandao ya kompyuta wanasayansi wengi wa kompyuta huelezea intanet kama mfano halisi wa mfumo uliyo mkubwa wenye uhandisi wa hali ya juu lakini changamano zaidi intanet ina tofauti nyingi mno kwa mfano kiwango cha kuhamisha data na sifa za kiumbo za uunganishaji vinatofautiana sana intanet inaonyesha tukio ibuka linalotegemea muundo wake mkubwa kwa mfano takwimu za viwango vya kuhamisha data vinaonyesha kufananakwa muda kanuni za mbinu za uelekezaji na utoaji anwani kwa trafiki katika intanet zinarejelea asili yake katika mwongo wa wakati ukubwa na umaarufu wa mtandao haukuweza kutarajiwa kwa hivyo uwezekano wa kujenga miundo mbadalia unachunguzwa internet ni mtandao uliyosambaa duniani ulioundwa na mitandao mingi tofauti iliyoshikanishwa hufanya kazi bila kitengo cha serikali kuu hata hivyo ili kudumisha uwezo wa mifumo tofauti kufanya kazi pamoja nyanja zote za kifundi na sera ya msingi wa miundombinu na nafasi za jina kuu husimamiwa na shirika la intanet linalotoa majina na nambari icann lililo na makao makuu huko marina del rey california icann ndiyo yenye mamlaka ya kusitiri utaratibu wa utoaji wa vitambulisho vya kipekee kwa matumizi ya intanet pamoja na majina ya vikundi anwani za itifaki ya intanet ip nambari ya vipenyezo katika itifaki ya usafiri na takwimu zingine nyingi nafasi ya iliyounganishwa ya majina ya ulimwengu ambapo majina na nambari za kipekee hutolewa ni muhimu kwa mataifa katika kupata huduma za intanet icann huongozwa na halmashauri ya wakurugenzi wa kimataifa wanaotolewa kutoka jamii za ufundi wa intanet biashara elimu na mengine yasiyo ya kibiashara serikali ya marekani inaendelea kuwa na jukumu la msingi katika kuidhinisha mabadiliko katika shina la dnslililoko katika kitovu cha mfumo wa eneo la majina jukumu la icann katika kuratibu zoezi la utoaji vitambulisho vya kipekee hulitofautisha kama shirika la kipekee lenye madaraka ya kuratibu intanet ya kimataifa tarehe novemba mkutano wa dunia juu ya jamii ya habari uliofanyika tunis uliunda fora ya utawala wa intanet igf kujadili masuala yanayohusiana na intanet intaneti inaruhusu mabadiliko makubwa katika masaa na maeneo ya kufanyia kazi hasa kwa kuenea kwa viunganishi vya kasi visivyopimwa na zana za mtandao intaneti kwa sasa yaweza kupatikana karibu popote kwa njia mbalimbali hasa kupitita vifaa vinavyobebwa mkononi simu za mkononi kadi za data michezo ya video na vielekezaji vya mkononi vinaruhusu watumiaji kujiunganisha na intanet kutoka popote pale walipo na mtandao usiotumia waya unaoruhusu teknolojia ya kifaa hiki ndani ya mipaka inayowekwa na skrini ndogo vifaa vingine pungufu kama vifaa vya mfukoni huduma za intanet pamoja na barua pepe na mtandao huweza kupatikana watoa huduma za intanet huweza kuzuia huduma zinazotolewa na malipo ya usafirishaji wa data bila kutumia nyaya yaweza kuwa ya juu zaidi kuliko mbinu zingine za kupata intanet intaneti pia imekuwa soko kubwa kwa makampuni baadhi ya makampuni makubwa leo yamekua kwa kuchukua faida ya gharama nafuu ya matangazo na biasharakwa kupitia intanet pia inajulikana kama biashara kupitia intaneti e commerce ni njia ya haraka sana katika kueneza habari kwa idadi kubwa ya watu kwa ujumla intaneti pia imebadilisha ununuzi kwa mfano mtu anaweza kuagiza cd kupitia intaneti na kuipokea katika barua baada ya siku kadhaa au kuitoa kwa mtandao moja kwa moja katika baadhi ya kesi intaneti pia imewezesha uuzaji wa kibinafsi ambao unaruhusu kampuni kuuza bidhaa kwa mtu fulani au kundi maalum la watu zaidi ya njia zingine za matangazo mifano ya uuzaji binafsi hujumuisha jamii zilizo katika intanet kama vile myspace friendster orkut facebook na nyingine yznye maelfu ya watumizi wa intanet ambao hujiunga kujitangaza wenyewe na kufanya urafiki kupitia intanet wengi wa watumiaji hawa ni vijana na waliobaleghe wenye kati ya miaka kwa upande mwingine wakati wanapojitangaza wao wenyewe hao pia hutangaza maslahi na mazoea yao ambayo makampuni ya uuzaji katika intanet yanaweza kutumia kama habari ili kujua kile ambacho watumiaji hawa watanunua kupitia intanet na kutangaza bidhaa za makampuni kwa watumiaji hao gharama ya chini na ubadilishanaji wa haraka wa mawazo maarifa na ujuzi vimefanya kazi shirikishi kuwa rahisi sana kwa msaada wa programu shirikishi makundi hayawezi tu kuwasiliana kwa bei ya chini bali upana wa intanet unaruhusu makundi kama hayo kujiunda kwa urahisi mfano wa makundi hayo ni harakati ya programu za bure ambazo zimetengeneza miongoni mwa programu nyingine linu mozilla firefo na openoffice org kuongea kupitia intaneti iwe katika fomu ya vyumba vya kuongea vya irc au kupitia mfumo wa ujumbe wa moja kwa moja kunaruhusu mfanyikazi na wenzake kuwasiliana kwa njia rahisi sana wakati wanapofanya kazi katika kompyuta zao wakati wa mchana ujumbe unaweza kubadilishwa kwa njia ya haraka na inayofaa zaidi kuliko barua pepe maongezo katika mifumo hii huweza kuruhusu ubadilishanaji wa faili michoro ya ubao mweupe au mawasiliano ya sauti na video kati ya wanachama wa timu moja mifumo ya kudhibiti toleo unaruhusu timu zinazoshirikiana kufanya kazi kwa seti za hati zenye umiliki mmoja bila ajali ya kufuta kazi za timu nyingine au wanachama kusubiri hadi kupata hati zilizotumwa ili kuweza kutoa michango yao biashara na timu za miradi zinaweza kushirikiana katika kalenda vilevile nyaraka na taarifa nyingine ushirika kama huo hutokea katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na utafiti wa kisayansi maendeleo ya programu kupanga mikutano wanaharakati wa kisiasa na uandishi wa bunifu ushirikiano wa kijamii na kisiasa pia unaenea wakati upatikanaji wa intanet na idadi ya watu waliosoma kompyuta inapoongezeka kutoka matukio ya makundi yanayoundwa haraka na watu mwanzo wa miaka ya na matumizi ya mitandao ya kijamii katika maandamano ya uchaguzi wa huko iran intanet inaruhusu watu kufanya kazi pamoja kwa ufanisi zaidi na kwa njia nyingi zaidi kuliko iwezekanavyo bila intanet intanet inaruhusu watumiaji wa kompyuta kufikia kompyuta zingine na habari huhifadhiwa kwa urahisi popote walipo duniani wanaweza kufanya hivi pamoja na au bila matumizi ya usalama kujitambulisha na teknolojia za kuficha kutegemea na mahitaji yao hii inahimiza njia mpya ya kufanya kazi kutoka nyumbani kushirikiana na kubadilishana habari katika viwanda vingi mhasibu aliyeketi nyumbani anaweza kukagua vitabu vya kampuni iliyo katika nchi nyingine kupitia kitumishi kilicho katika nchi nyingine ya tatu ambayo inahifadhiwa na wataalamu wa it katika nchi ya nne akaunti hizi zinaweza kuwa ziliundwa na waweka vitabu wafanyao kazi nyumbani katika maeneo mengine kwa kuzingatia habari e waliyopata kupitia barua pepe waliyotumiwa kutoka ofisi za duniani kote baadhi ya mambo haya yalikuwa yanawezekana kabla ya kuenea kwa matumizi ya intanet lakini gharama ya laini binafsi ya kukodisha ingefanya mamboo hayo yasiweze kufanyika mfanyakazi wa ofisi akiwa mbali na dawati lake labda upande mwingine wa ulimwengu katika safari ya kibiahsara au likizo anaweza kufungua kikao katika kompyuta yake binafsi iliyoko ofisini mwake kwa kupitia mtandao binafsi wenye usalama vpn kwa kupitia intanet hii inampa mfanyakazi upatikanaji kamili wa faili zake zote za kawaida na data pamoja na barua pepe na zana nyingine za matumizi wakati akiwa mbali na ofisi dhana hii pia inajulikana na baadhi ya watu wa usalama wa mitandao kama mtandao binafsi wa kidhahania wenye ndoto za kutisha kwa sababu inapeleka mzunguko salama wa mtandao wa shirika ndani ya nyumba za wafanyakazi wa shirika hilo watu wengi hutumia maneno intaneti na mtandao wa ulimwengu mzima au web tu kama visawe lakini kama tulivyojadiliana awali maneno haya mawili yana maana tofauti mtandao wa dunia nzima ni seti ya nyaraka picha na rasilimali nyingine zinazotazamwa na kushikanishwa na kitafuta rasilimali sawa url na viungo url hizi huruhusu watumiaji kuvipatia anwani vijakazi vya mtandao na vifaa vingine vinavyohifadhi rasilimali hizi na kuvipata vinapohitajika kwa kutumia hypertet transfer itifaki ya kupelekea hati http http ni itifaki ya kipekee ya mawasiliano inayotumika katika mtandao wa intanet huduma za mtandao huweza pia kutumia http kuruhusu mifumo ya programu kuwasiliana ili kuweza kushiriki na kubadilishana mantiki ya biashara na data bidhaa za programu zinazoweza kupata rasilimali za mtandao mara nyingi huitwa ajenti wa matumizi katika matumizi ya kawaida tovuti za mtandao kama internet eplorer firefo opera apple safari na google chrome huwaruhusu watumiaji kuvuka kutoka kurasa ya mtandao mmoja hadi nyingine kupitia viungo vya hyper hati kwenye mtandao huweza kuwa na mchanganyiko wowote wa data ya kompyuta zikiwemo picha sauti maandishi video mchanganyiko wa picha na sauti na mambo yanayomhusisha mtumiaji wa intanet kama michezo zana ofisi na maonyesho ya kisayansi kupitia utafiti wa intanet unaoendeshwa na maneno maalum kwa kutumia mitambo ya utafutaji kama yahoo na google watumiaji duniani kote huweza kupata habari nyingi kwa urahisi na moja kwa moja kutoka kwa intanet ikilinganishwa na kamusi elezi zilizochapishwa namaktaba za kawaida mtandao wa dunia nzima umewezesha kusambaa ghafla kwa habari na data kwa kutumia mtandao pia ni rahisi kuliko awali kwa watu binafsi na mashirika kuchapisha mawazo na habari kwa watazamaji wengi wanaotarajiwa kuchapisha kurasa ya mtandao kibadilishanaji maoni blogu au kujenga tovuti inahusisha gharama ndogo za awali na huleta kupatikana kwa huduma nyingi zisizo na gharama kuchapisha na kudumisha idadi kubwa ya mitandao ya kitaalamu yenye kuvutia habari tofauti na ya moja kwa moja bado ni swala gumu na ghali hata hivyo watu wengi na baadhi ya makampuni na vikundi vitumizi hutumia mitandao ya ubadilishanaji maoni au blogu ambayo hutumika kama jarida zenye urahisi wakati wa kuongeza habari baadhi ya mashirika ya kibiashara huwahimiza wafanyakazi kuwasilisha ushauri katika maeneo yao maalum katika matumaini ya kuwa wageni watafurahishwa na maarifa ya mtaalam na habari za bure na kuvutiwa kwa shirika hilo kama matokeo mfano mmoja wa zoezi hili ni microsoft ambayo watengenezaji bidhaa zake huchapisha mitandao ya ubadilishanaji binafsi katika blogu ili kuvutia umma kwa kazi zao mikusanyo ya kurasa binafsi za mtandao zilizochapishwa na watoa huduma wakubwa hubakia maarufu na imeendelea kuwa ya kipekee ingawa oparesheni kama vile angelfire na geocities zimekuwepo tangu siku za mwanzo wa tovuti oparesheni mpya kwa mfano tovuti facebook na myspace kwa sasa vina wafuasi wengi oparesheni hizi mara nyingi hujionyesha kama mtandao ya huduma za kijamii kuliko viwekaji vya kurasa za mtandao kuweka matangazo katika kurasa za tovuti pendwa huwa na faida biashara e biashara ya mtandao e commerce au uuzaji wa bidhaa na huduma moja kwa moja kupitia tovuti inaendelea kukua katika siku za mwanzo kurasa za mtandao kwa kawaida zilitengenezwa kama seti za faili za nakala kamilifu na zilizo peke za html zikihifadhiwa kwenye tovuti ya huduma hivi karibuni tovuti hutengenezwa kwa kutumia kisimamizi cha yaliyomo au kifaa ororo cha wiki ambacho huwa na maudhui machache sana mwanzoni wachangiaji wa mifumo hii ambao wanaweza kuwa wafanyakazi wanaolipwa wanachama wa klabu au shirika zingine au wanachama wa umma hujaza vihifadhi data na maudhui kutumia kurasa zilizoundwa kwa kusudi hilo ilhali wageni huangalia na kusoma yaliyomo katika ombo lake la mwisho la html kuna uwezekano wa kuwa au kutokuwa na mifumo ya uhariri kibali na mifumo ya usalama iliyojengwa katika mchakato wa kuchukua maudhui mpya iliyoingizwa na kuifanya ipatikane na wageni wanaolengwa barua pepe ni huduma muhimu ya mawasiliano inayopatikana kwenye intanet dhana ya kutuma ujumbe wa kielektroniki wa maandishi kati ya wahusika kwa njia iliyosawa na kutuma barua au memo ilitangulia utengenezaji wa intanet leo inaweza kuwa muhimu kutofautisha kati ya intanet na mifumo ya kindani ya barua pepe barua pepe ya intanet inaweza kusafiri na kuhifadhiwa kimaandishi katika mitandao mingine mingi na mashine zilizo nje ya udhibiti wa mtumaji na mpokeaji kwa wakati huu kunauwezekano wa yaliyomo kusomwa na kubadilishwa na mhusika wa tatu ikiwa kuna mtu yeyote anayefikiri kuwa una umuhimu wa kutosha mifumo ya barua za kindani ambapo habari haipaswi kamwe kutoka nje ya mtandao wa kampuni au shirika ni salama zaidi ingawa katika shirika lolote kutakuwa na wafanyikazi wa it na wafanyakazi wengine ambao kazi yao inahusu ufuatiliaji na mara chache kufikia barua pepe za wafanyikazi wengine ambazo hawajatumiwa hao picha nyaraka na faili nyingine zinaweza kutumwa kama viungo vya barua pepe barua pepe zinaweza kutumwa kwa anwani nyingi za barua pepe telefoni ya intaneti ni huduma nyingine la mawasiliano ya kawaida iliyowezekana kwa uundaji wa a intanet voip husimamia itifaki ya kupitisha sauti kupitia intanet ikirejelea itifaki msingi ya mawasiliano ya intanet wazo hili lilianza mwanzo wa mwongo wa na zana zilizofanana na simu za polisi za kompyuta binafsi katika miaka ya hivi karibuni mifumo mingi ya voip imekuwa rahisi kutumia na kuwa na manufaa kama simu ya kawaida faida ni kwamba intanet inapobeba trafiki ya sauti voip inaweza kuwa bure au kuwa na gharama ndogo sana kuliko upigaji simu wa jadi hasa juu ya umbali mrefu na hasa kwa wale wenye viunganishi vinanvyowaka wakati wowote kama vile cable au adsl voip inapevuka na kujitokeza kama mshindani mbadalia wa huduma za simu za jadi uwezo wa kubadilishana ujumbe kati ya watoa huduma mbalimbali imeboreshwa na uwezo wa kupiga au kupokea simu kutoka kwa simu ya jadi unapatikana vibadilisha mtandao vya voip ambavyo ni rahisi na vya bei nafuu vinapatikana na vinaondoa haja ya kuwa na kompyuta binafsi ubora wa sauti unatofautiana kutoka wito moja hadi mwingine lakini mara nyingi ni sawa na huweza hata kuzidi ule wa simu za jadi matatizo yaliyobakia kwa voip hujumuisha upigaji simu kwa nambari ya dharura na utumainikaji hivi sasa watoa voip wachache hutoa huduma ya dharura lakini haipatikani na wote simu za jadi huwezeshwa na nguvu za laini na hufanya kazi wakati stima zinapopotea voip haifanyi hivyo bila chanzo kingine cha nguvu kwa vifaa vya simu na vifaa vya upatikanaji wa intanet voip pia imekuwa maarufu kwa zana za michezo kama njia ya mawasiliano kati ya wachezaji wateja wa voip wanaojulikana katika michezo ni kama vile ventrilo na teamspeak wii playstation na bo pia hutoa sifa za voip za kuongea kupitia mtandao kugawana failini mfano wa uhamishaji wa kiasi kikubwa cha data kupitia intanet faili ya kompyuta inaweza kutumwa kwa kutumia barua pepe kwa wateja waenzi na marafiki kama kiungo inaweza kuwekwa kwenye tovuti au tumishi ya ftp kwa upakuaji rahisi na watu wengine inaweza kuweka ndani ya eneo lenye wamiliki wengi au ndani ya tumishi ya failikwa ajili ya matumizi ya haraka na washikadau mzigo wa upakuaji mzito kwa watumiaji wengi unaweza kupunguzwa na matumizi ya vioo vya huduma au mitandao ya viwango aina moja katika hali hizi zote upatikanaji wa faili unaweza kudhibitiwa na kujitambulisha kwa watumiaji usafiri wa faili katika ya intanet unaweza kuborongwa kwa kupewa maana fiche na hongo ya pesa yaweza kutumiwa ili kuzipata faili bei inaweza kulipwa kutoka eneo tofauti kwa njia isiyokuwa wazi kwa mfano kutoka kwa kadi ya deni krediti ambayo maelezo yake hupitishwa pia kwa kawaida hupewa maana fiche kabisa kupitia intanet asili na dhibitisho la faili iliyopokewa inaweza kuangaliwa kupitia saini za dijitali au kwa md au aina nyingine ya ujumbe sifa hizi rahisi za intanet juu ya msingi wa dunia nzima zinabadilisha uzalishaji mauzo na usambazaji wa kitu chochote ambacho kinaweza kupunguzwa na kuwa faili ya kompyuta kwa usafirishaji hii ni pamoja na kila namna ya machapisho ya magazeti bidhaa za programu habari muziki filamu video picha grafiki na sanaa zingine hili kwa upande mwingine limesababisha mabadiliko katika kila moja ya viwanda ambavyo awali vilidhibiti uzalishaji na usambazaji wa bidhaa hizi utabakishaji wa vyombo vya habari unahusu kitendo ambacho watangazaji wengi wa redio na televisheni wanatumia kukuza lishe ya intanet ya habari za moja kwa moja kutumia sauti na tabaka za video kwa mfano bbc wanaweza pia kuruhusu maonyesho na usikilizaji kulingana na mabadiliko ya wakati kama kuangalia mbele picha klasiki na sifa za kusikiliza tena watoaji huduma hawa wameungwa na anuwai ya watangazaji halisi wa intanet ambao kamwe hawakuwa na leseni za kutoa habari moja kwa moja hii ina maanaisha kuwa kifaa kilichounganishwa na intanet kama vile kompyuta au kitu kingine maalum kinaweza kutumika kupata vyombo vya habari vilivyounganishwa na intanet kwa njia ile ile kama ilivyowezekana tu na mpokezi wa televisheni au redio aina ya matini ni pana sana kutoka kwa ponografia hadi tovuti za ufundi na utaaluma wa juu podcasting ni aina fulani katika mada hii ambapo kwa kawaida ni sauti matini zinapakuliwa na kuchezwa tena kwenye kompyuta au kubadilishwa kwenye chombo cha habari kinachobebeka ili kisikilizwe matu anapotembea hizi mbinu za kutumia vifaa rahisi vinaruhusu mtu yeyote aliye na udhibiti ufichaji au udhibiti wa leseni kutangaza picha muziki na video kote ulimwenguni kamera za mtandao zinaweza kuonekana kama ongezeko ya chini ya bajeti ya jambo hili ingawa baadhi ya kamera za mtandao zinaweza kutoa video za kiima kizima picha huwa ndogo au hujiongeza pole pole watumiaji wa intanet wanaweza kuangalia wanyama waliyozunguka kidimbwi cha maji huku afrika meli katika kipisho cha panama trafiki katika mzunguko wa barabara za mtaa au kufuatilia wanapoishi katika muda halisi vyumba vya kuongea vya video na mikutano ya video pia ni maarufu matumizi mengi yakipatikana ya kamera kibinafsi za mtandao zilizo na au zisizo na sauti inayotamba pande zote mbili youtube ilianzishwa tarehe februari na sasa ni tovuti inayoongoza kwa maonyesho ya video za bure pamoja na idadi kubwa ya watumiaji inatumia mtandao wenye msingi wa kichezaji cha flashi kuonyesha faili za video watumiaji waliojiandikisha huweza kuongeza idadi isiyo na kipimo ya video na kutengeneza vitambulishi vyao binafsi youtube inadai kuwa watumiaji wake hutazama mamia ya mamilioni na huongeza mamia ya maelfu ya video kila siku lugha ya iliyoenea katika mawasiliano ya intanet ni kiingereza hii inayotumika zaidi katika intaneti ni kiingereza hili latokana na kuwa ndiyo lugha asilia ya intanet na pia nafasi yake kama lingu franca lugha sambazi pia inaweza kuhusiana na upungufu wa utendaji wa kompyuta za awali kiasi kikubwa zikitoka marekani kushughulikia maandishi mengine kuliko yale ya lahaja ya kiingereza ya alfabeti ya kilatin baada ya kiingereza asilimia ya wageni wa tovuti lugha zilizohitajika zaidi katika tovuti ya dunia nzima ni kichina asilimia kihispania asilimia kijapani asilimia kifaransa asilimia kireno na kijerumani kila moja asilimia kiarabu asilimia na kirusi na kikorea kila moja asilimia katika kanda asilimia ya watumiaji wa intaneti duniani wana makao barahindi asilimia ulaya asilimia amerika ya kaskazini asilimia amerika kusini na caribbean zikichukuliwa kwa pamoja asilimia afrika asilimia mashariki ya kati na asilimia australia oceania teknolojia za intanet zimeendelea ya kutosha katika miaka ya hivi karibuni hasa katika matumizi ya unicode kwamba vifaa vizuri vinapatikana kwa maendeleo na mawasiliano katika lugha zinazotumiwa kwa wingi hata hivyo baadhi ya matatizo kama mojibake uonyeshaji usiosahihi wa maandishi ya lugha za kigeni pia inajulikana kama kryakozyabry bado hubakia njia za kawaida za kupata intaneti nyumbani ni kwa kupiga laini za broadband kupitia waya za koa nyuzinyuzi za optiki au waya za shaba wi fi setilaiti na teknolojia ya rununu ya g maeneo ya umma kwa matumizi ya intaneti ni maktaba na mikahawa ya intaneti ambamo kompyuta zilizounganishwa na intaneti hupatikana pia kuna sehemu za kupata intaneti katika maeneo mengi ya umma kama vile kumbi za uwanja wa ndege na maduka ya kahawa katika baadhi ya sehemu hizi kwa matumizi mafupi wakati umesimama maneno mbalimbali hutumiwa kama vile kiosk za umma za interneti pahala pa upatikanaji intaneti pa umma na simu za kulipia za mtandao hoteli nyingi sasa pia huwa na pahala pa umma ingawa hizi hulipiwa kulingana na matumizi sehemu hizi hutumika kwa matumizi mbalimbali kama ununuzi tiketi amana za benki malipo kupitia mtandao nk wi fi hutoa upatikanaji usiotumia waya wa mitandao ya kompyuta na kwa hiyo yaweza kufanya hivyo kwa intanet yenyewe sehemu moto zinazotoa upatikanaji kama huo hujumuisha mikahawa ya wi fi ambapo watumiaji hupaswa kuleta vifaa vyao visivyotumia waya kufikia intaneti kama vile kompyuta za pajani au pda huduma hizi huweza kuwa bure kwa wote bure kwa wateja tu au waliolipishwa eneo moto halina haja ya kuwa finyu katika eneo ndogo kampasi nzima au bustani au hata mji mzima unaweza kuwezeshwa juhudi za mashinani zimesababishamitandao ya kijamii isiyotumia waya huduma za wi fi za kibiahsara zinazofunika maeneo ya miji mikubwa zinapatikana london vienna toronto san francisco philadelphia chicago na pittsburgh intanet huweza kupatikana kutoka sehemu hizo kama kiti cha bustani mbali na wi fi kumekuwa na majaribio na mitandao ya simu ya kibiashara isiyotumia waya kama ricochet huduma mbalimbali za kasi za data kupitia mitandao ya simu za mkononi na huduma zisizotumia waya zisizobadilika simu za mkononi za hali ya juu kama vile smartphone kwa ujumla huja na upatikanaji wa intaneti kwa kupitia mtandao wa simu vivinjari cha mitandao kama vile opera hupatikana katika simu hizi za mkononi zilizoendelea ambazo pia huweza kutekeleza aina nyingie tofauti ya programu za intaneti simu nyingi za mkononi huweza kupata intanet kuliko pc ingawa hii haitumiki kwa upana kinachotoa huduma za upatikanaji wa intaneti na muundo wa mfanyiko wa itifaki hutofautisha mbinu zinazotumika kupata intaneti intaneti imefanya kuwe na uwezekano mkubwa kabisa wa aina mpya za mahusiano ya kijamii shughuli na upangaji kutokana na sifa zake msingi kama vile kuenea katika matumizi na upatikanaji tovuti za kijamii kama vile facebook na myspace vimetengeneza aina mpya ya ufahamianaji na mwingiliano watumiaji wa tovuti hizi huweza kuongeza vitu mbalimbali kwa kurasa zao binafsi kuonyesha maslahi yao ya kawaida na kuungana na watu wengine inawezekana kupata mzunguko mkubwa wa marafiki hasa kama tovuti inaruhusu watumiaji kutumia majina yao halisi na kuruhusu mawasiliano kati ya makundi makubwa ya watu waliomo tovuti kama meetup com zipo ili kuruhusu matangazo mapana ya makundi ambayo yanaweza kuwepo hasa kwa mikutano ya ana kwa ana lakini ambayo inaweza kuwa na mahusiano mbalimbali madogo katika tovuti ya kundi lao katika meetup org au tovuti zingine zenye kufanana kizazi cha kwanza kwa sasa kinakuzwa na upatikanaji ulioenea wa kujiunga na intaneti unaosababisha utovu wa faragha utambulisho na wasiwasi wa kimiliki wenyeji wa dijitali hukumbwa na wasiwasi tofauti ambao haukuwa na vizazi vya mwanzoni katika jamii za kidemokrasia mtandao umepata uhusiano mpya kama chombo cha kisiasa kupelekea udhibiti wa intaneti na baadhi ya nchi kampeni ya urais wa howard dean mwaka huko marekani ulikuwa mashuhuri kwa uwezo wake wa kutoa michango kupitia intaneti makundi mengi ya kisiasa hutumia interneti ili kufanikisha utaratibu mpya wa kujiandaa ili kutimiza wanaharakati wa intaneti baadhi ya serikali kama zile za iran korea ya kaskazini myanmar jamhuri ya watu wa china na saudi arabia zinaudhibiti wa juu wa yale watu katika nchi zao wanayoweza kupata kwenye intanet hasa maudhui ya kisiasa na kidini hii inakamilishwa kwa kupitia programu inayoficha makundi na maudhui ili yasipatikane kwa urahisi bila mbinu ya kitaaluma zaidi nchini norway denmark finland na uswidi watoa huduma za intaneti kwa hiari yao pengine kuepuka mpangilio kama huo kuwa sheria walikubali kudhibiti upatikanaji wa tovuti zilizotajwa na polisi ingawa orodha hii ya url haramu inapaswa kuwa na anwani za tovuti zinazojulikana zenye kuonyesha ponografia ya watoto yaliyomo katika orodha hii ni siri nchi nyingi ikiwemo marekani zimepitisha sheria zinazofanya umiliki au usambazaji wa nyenzo fulani kama vile ponografia ya watoto iliyoharamu lakini hazitumii programu ya kuficha kuna programu nyingi za bure na zinazouzwa ziitwayo programu za udhibiti wa maudhui na ambazo mtumiaji anaweza kuchagua kuzuia tovuti zinazokera katika kompyuta binafsi au mitandao kama kuzuia uwezekano wa mtoto kupata habari za kimapenzi au vurugu intaneti imekuwa chanzo kikuu cha burudani tangu kabla ya mtandao wa dunia nzima kukiwa na majaribio ya kijamii yanayofurahisha kama vile mud na mooyaliyofanywa katika vitoa nhuduma vya vyuo vikuu ambapo makundi ya usenetya vichekesho yalipokea kiasi kikubwa cha trafiki kuu leo majukwaa mengi ya intaneti yana sehemu ya michezo na video za kuchekesha katuni vibonzo fupi katika mfano wa sinema za flashi pia ni maarufu zaidi ya watu milioni hutumia vibadilishanaji maoni blogu au mbao za ujumbe kama njia ya mawasiliano na kwa ajili ya kubadilishana mawazo viwanda vya sinema za watu wazima na kamari vimechukua faida kamili ya mtandao wa dunia nzima na mara nyingi hutoa chanzo muhimu ya mapato ya matangazo kwa tovuti zingine ingawa serikali nyingi zimejaribu kuweka vikwazo katika matumizi ya intaneti katika viwanda hivi zilishindwa kupunguza kuenea umaarufu wa viwanda hivi eneo moja kuu la burudani kwenye interneti ni michezo yenye wahusika wengi aina hii ya burudani inajenga jamii kuwaleta watu wa umri fofauti na asili zote kufurahia mwendo wa kasi wa ulimwengu wa michezo ya wahusika wengi hii inaanza kutoka mmorpg hadi mfyatua risasi wa kwanza kutoka michezo ya kusawiri mhusika hadi kamari ya intaneti hii imebadilisha njia ambayo watu wengi huweza kuingiliana na jinsi wao wanvyoweza kutumia muda wao wa bure katika interneti wakati michezo ya intaneti imekuwapo tangu mwongo wa aina ya kisasa ya michezo ya intaneti ilianza na huduma kama gamespy na mplayer ambayo wachezaji wa michezo kwa kawaida walijiunga nayo wasiyojiunga walikubaliwa kucheza baadhi ya aina za mchezo iliyochezwa au baadhi ya michezo wengi hutumia intaneti kwa kupata na kuchukua muziki sinema na vitu vingine kwa starehe zao na utulivu kama ilivyojadiliwa hapo awali kuna vyanzo za kulipia na vya bure kwa haya yote kwa kutumia vitoa huduma vikuu na teknolojia za viwango vinavyolingana baadhi ya vyanzo hivi hujali zaidi haki za wasanii wa awali na juu ya sheria za kimiliki kuliko wengine wengi hutumia mtandao wa dunia nzima kupata habari taarifa za michezo na hali ya hewa na kupanga likizo na kujua zaidi kuhusu mawazo na maslahi yao watu hutumia maongezi kupitia mtandao utumaji wa ujumbe na barua pepe kuwasiliana na marafiki duniani kote wakati mwingine kwa njia sawa na jinsi baadhi ya watu awali walivyokuwa na marafiki ambao walifahamiana kwa barua tu mitandao ya kijamii kama myspace facebook na mingineo pia huwasaidia watu kuwasiliana kwa starehe zao intaneti imeshuhudia kuongezeka kwa idadi ya kopyuta binafsi za mtandao ambapo watumiaji wanaweza kupata faili zao folda na masharti kupitia intaneti matumizi ya intaneti yamesababisha upungufu mkubwa kwenye rasilimali ya kampuni mfanyikazi wastani wa uingereza hutumia dakika kwa siku akipitia mtandao wa dunia nzima wakati akifanyakazi kulingana na utafiti wa mwaka wa uliofanywa na huduma za kibiashara za peninsula wavuti wa webmd umesema kuwa mtu aliyenatwa na ashiki ya kuwa kwa mitandao kila wakati addicted huenda akawa na maswala mengine ya kiafya kwa ubongo mental health issues wavuti pia umefanya watu wawe na uchu wa kuangalia filamu za ponografia kwa sababu hili hufanyika kwa urahisi vijana wengi pia wamejipata kwa hatari baada ya jumbe katika vyombo vya habari vya kijamii social media baada ya kutapeliwa au hata kutekwa nyara na watu waliojifanya marafiki kumekuwa pia na michezo mibaya iliyowafanya vijana kujiua kama vile ambapo wachezaji walikuwa wakishawishiwa wajitoe uhai baada ya kushiriki katika mchezo kumekuwa pia na michezo ya kamari online betting ambapo watu wapoteza pesa na hata kugeukia kuwa wezi ili waweze kuendelea kucheza michezo ile wazazi wana jukumu la kuhakikisha kuwa wanao hawaingii katika wavuti baya za ponografia ugaidi zinazofunza itikadi kali au zinazohimiza au kuwashawishi watoto kushiriki katika tabia mbovu wanaweza kufanya hivi kwa kuweka rotating proies ambazo hudhibiti kinachoonwa kwa wavuti ile pia wanafaa waongee na watoto na kuwaambia madhara ya mitandao kama una uraibu wa intaneti inafaa uchukue likizo usitumie mitandao ili uweze kuongea na watu moja kwa moja blogu ni teknolojia mpya inayowezesha watu binafsi kuchapa maoni na fikra zao katika mtandao wa tarakilishi maarufu kama wavuti au intaneti blogu inaweza kuchukuliwa kama ni shajara pepe neno la kiswahili blogu linatokana na neno la kiingereza blog ambalo limetokana na neno lingine weblog kimsingi blogu ni aina ya tovuti ambayo huandikwa mara kwa mara na kwa mpangilio wa mambo mapya kutokea ukurasa wa mbele kuendana na tarehe na mwezi katika blogu za binafsi waandishi hutoa mawazo yao kuhusu masuala ibuka katika jamii na kwa njia hii kuanzia mazungumzo katika intaneti wasomaji wanaweza kuchangia na kuendeleza katika mawazo haya kwa kupeana maoni yao yanayoweza kukubaliana na yale ya mwenye blogu au hata kutofautiana mawazo haya ya wasomaji huwekwa kwa komenti ambazo huwa pale chini ya blogu wanablogu wanaweza kuchochea hisia nzito katika jamii kama zile za uanaharakati au siasa ili kuwa na blogu yako binafsi wafaa kuwa unajua kutumia intaneti na pia uwe na jambo la kuwafahamisha watu au kuwafunza ili upate wasomaji wafaa pia uwe na mtindo blogu za kampuni huwa na lengo maalumu ya kuwafahamisha wasomaji kuhusu bidhaa mbali mbali za kampuni wenye kampuni huzitumia pia kuwafahamisha wateja na wasomaji kuhusu mambo mapya katika kampuni zipo blogu za aina mbalimbali kwa mfano blogu za maandishi blogu za mkononi blogu za picha blogu za sauti na blogu za video blogu ya mradi wa global voices inaandika muhtasari wa majadiliano na habari zinazojitokeza katika blogu mbalimbali duniani hasa nje ya marekani mradi huu una wanablogu katika nchi mbalimbali duniani ambao wanaandika juu ya masuala muhimu yanayojitokeza katika blogu za nchini mwao au katika bara lao tofauti na blogu za maandishi ambapo mwenye blogu huwa na mtindo wa kuandikaandika katika shajara hiyo yake blogu za sauti huwa na sauti za mwenyewe akiongea au akihoji watu wanaomfuata huja na kusikiza sauti zile kando na blogu ambayo huwa na maandishi na picha pekee pia kuna vlogu ambayo huwa na video mwenye vlogu huchukua video akifanya mambo kama mafunzo kuoka mikate kupika kutengeneza simu na watu hufuata vlogu yake ili waweze kusoma unapokuwa na blogu ya aina hii lazima uwe na kamera nzuri ya kuchukua video zako na pia uwe na uwezo wa kurekebisha video jua ni kitovu cha mfumo wa jua wenye sayari nane sayari vibete na magimba mengi madogo dunia ni sayari ya tatu katika mfumo huu jua ni nyota iliyo karibu na dunia yetu kuliko nyota nyingine zote umbo la jua linakaribia kuwa tufe kamili maada yake ni utegili yaani gesi ya joto sana inayoshikamanishwa na nguvu ya graviti kipenyo cha jua ni takriban kilomita ambayo ni mara kipenyo cha dunia yetu masi yake ni mara ya masi ya dunia kwa ujazo jua ni kubwa mara milioni moja kuliko dunia kikemia masi ya jua ni hasa hidrojeni na heli kiasi kinachobaki ni elementi nzito zaidi kama vile oksijeni kaboni chuma na nyingine ingawa elementi nzito ni asilimia ndogo tu za masi ya jua kutokana na ukubwa wa jua elementi nzito zinalingana mara na masi ya dunia muundo wa jua hufanywa na kanda tatu tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa jua lilitokea takriban miaka bilioni iliyopita katika wingu kubwa la molekuli za hidrojeni kama nyota zote jua linapitia ngazi mbalimbali katika maisha yake wataalamu wengi hukadiria kwamba baada ya miaka bilioni ijayo akiba ya hidrojeni katika kitovu cha jua itapungua halafu jua litapanuka sana na kuwa jitu jekundu katika hali hii inaweza kuenea hadi njia ya obiti ya zuhura na hakuna nafasi tena kwa uhai kwenye dunia kutokana na joto kali wataalamu wanatofautiana katika makadirio yao kama upanuzi huu utasababisha pia kupotea kabisa kwa sayari za utaridi mirihi na dunia zikimezwa na kuingia ndani ya jua baada ya miaka bilioni kadhaa ya kuwaka kama jitu jekundu masi yake itakuwa imepungua itajikaza na kuendelea kwa muda usio mrefu kama nyota ndogo na hafifu kuna uwezekano mkubwa wa kwamba jua litaendelea baadaye kama nyota kibete nyeupe white dwarf itakayoendelea kuzimika polepole jua linatoa mwanga joto na mnururisho mwingine wa aina mbalimbali sehemu ya mnururisho huu unatoka kwa umbo la chembe kama protoni na elektroni ambazo kwa jumla hujulikana pia kama upepo wa jua masi ya upepo wa jua ni takriban tani moja kwa kila sekunde asili ya nishati hii ni mchakato wa myeyungano wa kinyuklia ndani yake katika myeyungano huo hidrojeni inabadilishwa kuwa heliamu elementi nyingine zinatokea pia kwa kiasi kidogo badiliko kutoka hidrojeni kwenda heliamu inaachisha nishati inayotoka kwenye jua kwa njia ya mnururisho nishati ya mnururisho huu ni msingi wa maisha ya mimea na viumbe hai katika dunia nuru ya jua inabadilishwa na mimea kwa njia ya usanisinuru kuwa nishati ya kikemia inayojenga miili yao itakayokuwa lishe tena ya mimea na wanyama jua la utosi upepo mwinuko mvua uoto bahari na maziwa ni mambo yanayoathiri tabia ya nchi ya afrika mashariki dunia yetu ina mistari ya kubuni inayowezesha kutambua maeneo mbalimbali kwa urahisi mistari hiyo ni pamoja na mstari wa ikweta tropiki ya kansa na tropiki ya kaprikoni mstari wa ikweta unaigawa dunia katika sehemu nbili za kaskazini na kusini mstari huu una nyuzi na unapita eneo la afrika mashariki katika nchi za kenya na uganda mstari wa tropiki ya kansa upo upande wa kaskazini mwa ikweta mstari wa tropiki ya kaprikoni upo kusini mwa ikweta kipindi ambacho jua la utosi lipo tropiki ya kansa eneo la kizio cha kaskazini huwa na joto kwa kuwa hewa ikipata joto hutanuka hivyo huwa na mgandamizo mdogo wa hewa pepo huvuma kuelekea huko pepo hizi huvuma kutoka kusini mashariki kuanzia mwezi desemba wakati jua la utosi linapokuwa tropiki ya kaprikoni kipindi hiki kizio cha kusini huwa na joto na pepo huvuma kutoka kusini mashariki pia hali hiyo husababisha mabadiliko ya upatikanaji wa mvua na hali ya joto katika eneo la afrika mashariki maeneo ya ikweta yana tabia ya kiikweta ya kuwa na mvua nyingi na joto jingi kusini na kaskazini mwa eneo lenye tabia ya kiikweta kuna tabia ya kitropiki yenye majira mawili makuu ya mwaka majira hayo ya mwaka ni masika na kiangazi lakini katika maeneo ya pwani majira ya mwaka hugawanyika katika sehemu nne ambazo ni vuli kipupwe masika na kiangazi afrika mashariki ina mwinuko wa meta kutoka usawa wa bahari hadi kufika meta maeneo ya pwani mwinuko wake ni kuanzia meta hadi meta kutoka usawa wa bahari wastani wa jotoridi ni nyuzi za sentigredi joto hupungua kadiri unavyoelekea bara meta kutoka usawa wa bahari ni nyuzi za sentigredi ambapo ni wastani wa joto linalopatikana katika maeneo ya tabora maeneo ya mlima mrefu kama kilimanjaro wenye urefu wa meta huwa na jotoridi la chini ya nyuzi za sentigredi maeneo yaliyo kandokando ya maziwa na bahari huwa na unyevunyevu na mvua nyingi mara nyingi maeneo yanayozunguka bahari na maziwa mfano ziwa viktoria na bahari ya hindi yana tabia ya nchi ya aina moja maeneo hayo kwa kawaida hupata mvua nyingi maeneo yenye misitu hupata mvua nyingi kwani mawingu huweza kufanyika kwa urahisi misitu hiyo pia huifadhi unyevu usipotee ardhini kwa urahisi kwa njia ya mvukizo pepo za msimu za kaskazini mashariki huleta mvua kidogo katika eneo kubwa la kenya na kaskazini mwa tanzania pepo huvuma sambamba na pwani pepo hizi pia huvuma kutoka sehemu kubwa ya nchi kavu katika nchi ya ethiopia na sudani kabla ya kufika eneo la afrika mashariki wachagga ni kabila la watu wenye asili ya kibantu lakini pia mchanganyiko wa damu hasa ya kikushi wanaoishi kaskazini mwa tanzania chini ya mlima kilimanjaro mkoani kilimanjaro shughuli kubwa ya wachagga ni biashara kilimo na kazi za ofisini wachagga ni kabila la tatu kwa ukubwa nchini tanzania takwimu za mwaka zinaonyesha kuwa idadi ya wachagga ni watu wachagga wana historia ndefu ya asili yao na ya maingiliano yao na makabila mengine kabila la kichagga ni mkusanyiko wa makabila madogomadogo ya kichagga yaliyosambaa kijiografia kuzunguka mlima kilimanjaro kuanzia mashariki tarakea rombo hadi magharibi kwa kilimanjaro siha machame makabila ya kichagga ni wa rombo wa vunjo ambao wanajumuisha watu wa mwika mamba marangu kilema na kirua ambayo ndio inajulikana na wengi kama kirua vunjo ukipenda unaweza kuwagawa watu hawa wa vunjo kama wa mwika wa mamba wa marangu wa kilema na wakirua makabila mengine ni wa old moshi wa kibosho na wa machame wa uru na wa siha lugha ya kichagga inabadilika kuanzia unapotoka tarakea mpaka unapofika siha magharibi mlima kilimanjaro kutokana na tofauti hizo kichagga kimegawanyika katika kimachame kirombo ambacho nacho kinatofautiana kadiri unavyotoka eneo moja hadi jingine mfano kisseri kimashati kimkuu kimengwe kimahida kivunjo kimarangu kirombo kioldimoshi kingassa kiuru kikibosho na kisiha lugha hizo zinakaribia kufanana kadiri makabila hayo yalivyopakana kwa mfano kivunjo kinafanana na kioldimoshi vile vile kisiha kinafanana sana na kimachame ambacho pia kinafanana kidogo na kikibosho baadhi ya wamachame walihamia sehemu za meru arusha na kuchanganyikana na waarusha hivyo lugha yao ikabadilika kidogo na kuwa kimeru kwa sababu hiyo wameru wanasikilizana sana na wamachame ingawa lafudhi zao zinatofautiana kidogo majina ya kiukoo ya kichagga pia huashiria wanatoka sehemu gani ya uchaga japo si lazima kuwa hivyo kwa mfano familia maarufu za kichagga nchini tanzania ni kama ukoo wa akina mushi mmasy kimaro swai massawe lema urassa nkya ndosi meena hutoka machame akina temu mlaki mlay lyimo moshiro mselle kamnde kileo kimambo tesha msaki assey kyara kessy ndanu macha mbishi kombe njau wanatoka old moshi na vunjo majina mengine ya old moshi ni kama yafuatayo saria mmari macha machange mshiu kyara moshi massamu kimambo mboro mlngu saule tenga njau malisa maro maeda ringo olomi ngowi lyatuu na mengine mengi kavishe mrosso bongole mariki tarimo laswai mallya mrema mkenda massawe silayo lyaruu makyao mowo lamtey tairo masue maleto mramba kauki kiwango wanatoka rombo mchaki masawe sawe usiri shayo kiwelu makundi urasa mtui moshi meela minja njau saria mtei wanatoka marangu na kilema rite makule minja mashayo chao shao makawia ndesano kimario tilla mariale tarimo mafole kituo mrosso lyakundia kessy mmbando matemba ndenshau morio akaro matowo towo mkony temba foya munishi kilawe na kadhalika hutoka kibosho ukoo wa akina teri wako mamba chami chuwa kiria owoya na wachache sango old moshi na wengine walihamia maji ya chai mkoa wa arusha watawala wa kichagga waliitwa mangi hawa walihodhi mashamba ng ombe na waliheshimiwa kama viongozi wa kikabila walikuwa na nguvu za kisiasa na utajiri baadhi ya ma mangi mashuhuri katika historia ni kama mangi shangali wa ukoo wa mushi kutoka machame mangi rindi aliyeingia mikataba na wakoloni wajerumani mangi sina wa kibosho na mangi horombo wa keni waliojulikana kwa uhodari wao wa vita katika kupigana na wamachame na kupora ng ombe na mazao yao hata mpaka leo makabila ya kimachame na kikibosho hayaoani kwa urahisi na mangi marealle wa marangu na vunjo mangi meli huyu alikuwa mangi wa waoldmoshi ambaye alipigana na wajerumani na aliishia kukatwa kichwa na mpaka sasa kichwa chake kipo ujerumani alizikwa kiwiliwili tuu baada ya kumnyoga na mti aliyonyongewa upo mpaka sasa sehemu ya oldmoshi bomani karibu na kolila sekondari wakoloni walipokuja kilimanjaro waliingia mikataba na viongozi hawa wa kikabila ili kuweza kuweka misingi yao ya kikoloni pia ndugu na watoto wa ma mangi walikuwa wa kwanza kupata elimu ya kikoloni kwa hiyo waliweza kushirikishwa katika serikali za kwanza hawa pia wanaaminika walikuwa kama mabepari wa kwanza wa kijadi maana walifanyiwa kazi na watu wengine wakati wao ma mangi wamekaa kuhesabu mali zao usemi maarufu wa u mangi meza nadharia inawezekana kuwa umetokana na watawala hawa wa kichagga wachagga wanajulikana kwa uwezo wao mkubwa katika uwanja wa elimu hususani katika masomo ya sayansi na hisabati moshi ni maeneo ya mwanzo ambayo wamisionari wa ukristo walijenga makanisa na shule sababu hii imefanya wachagga kuwa kabila namba moja lenye watu wengi zaidi walio na elimu ya kisasa elimu ya juu na mkoa wa kilimanjaro unaongoza kwa idadi ya shule za sekondari nchini tanzania kulingana na takwimu za elimu mkoa huo una shule za sekondari zaidi ya pia mkoa una shule za msingi zipatazo idadi hii ya shule ni kubwa zaidi ya idadi ya shule katika mikoa mingine tanzania shule nyingi za sekondari ziko katika mkoa huu kwa sababu zifuatazo ni vema pia kusema kuwa shule hizo huvutia wanafunzi kutoka tanzania nzima haziwasomeshi wachagga tu ingawa ardhi ni msingi wa maendeleo kwa watu wote kwa wachagga ardhi ni mali sana kwa sababu kilimo chao ni cha mazao ya kudumu kama kahawa na ndizi hukaa shambani kwa muda wa miaka mingi mojawapo ya urithi wapewayo watoto ni kihamba hii ni sehemu ya ardhi ambayo mtoto anategemewa atajenga na kuanzisha familia yake bahati mbaya watoto wa kike walikuwa hawapewi kipaumbele katika ugawanaji wa vihamba uhaba wa ardhi huko uchaga ulipelekea wachagga wengi kuhamia mikoa mingine hivi leo utakuta wachagga wakiishi dodoma morogoro iringa mbeya n k wakiwa wamepanda migomba yao na kuendesha biashara za maduka ya vyakula ukienda kwenye mikoa hiyo utakuta wamejenga jamii zao na vyama vyao vya kusaidiana wakati wa sherehe au matatizo aidha hata pombe ya mbege utaweza kuikuta kwenye makusanyiko ya wachagga katika mikoa mbalimbali wachagga hulima mazao ya chakula kama vile mahindi maharagwe viazi ndizi ulezi na mboga mbalimbali pia mazao ya biashara kama vile kahawa nyanya na vitunguu wachaga wengi hawawezi kupika samaki mihogo na wali pia ni wakorofi sana na wabinafsi sana ingawa wachagga wa leo wanakula vyakula mbalimbali kama vile ugali wali na viazi chakula kikuu cha wachagga ni ndizi kuna ndizi za aina mbalimbali na kwa matumizi tofauti mfano ndizi sukari ni fupi na huachwa hadi ziive na huliwa mbivu kama tunda ndizi mshale hukatwa zikiwa mbichi na kupikiwa vyakula mbalimbali pamoja na nyama ya ng ombe kondoo au mbuzi mara nyingine hupikwa na maharage choroko kunde au hata maziwa ya mtindi vyakula vya ndizi huja kwa ladha tofauti kama vile ndizi nyama mtori machalari kiburu na kadhalika aina nyingine ni ndizi ng ombe ambazo huachwa ziive halafu humenywa na kutumiwa kutengenezea pombe maarufu iitwayo mbege mbege hutengenezwa kwa kutumia ndizi mbivu maji na ulezi aina nyingine ni ndizi mzuzu hizi zikikomaa huachwa zianze kuiva kidogo halafu huchomwa na kuliwa kama kitafunwa pamoja na chai au pombe ukipita mitaa ya dar es salaam utaona ndizi mzuzu zikichomwa sambamba na muhogo au kuku vumbi au kiti moto huwa hawajui kupika samaki na ni wasiri sana inasemekana kuwa mchagga halisi hali muhogo akila muhogo atakufa usemi huu umetokana na historia ya mababu kuwa wachagga waliopanda mihogo kilimanjaro enzi za kale walikufa baada ya kuila historia hiyo yaweza kuwa ya ukweli kwa sababu aina nyingi za mihogo zinajenga sumu ya sianidi ndani yake watu waliozoea kutumia mihogo huwa na njia za kuondoa sumu kwa kuiloweka mihogo katika maji kwa muda lakini kama wachagga wale wa zamani hasa wa machame walifanya jaribio bila kujua mbinu ya kuondoa sumu ajali iliweza kutokea cha kushangaza ni kwamba hukohuko kilimanjaro majirani na watani wa wachagga yaani wapare walikuwa wameshazoea mihogo na ilikuja kuwa moja ya chakula chao kikuu pamoja na kilimo cha mazao wachagga hupendelea sana kufuga nguruwe tabia ya kula nyama ya nguruwe ijulikanayo leo kwa jina la kiti moto ni moja ya mambo yaliyoenezwa na wachagga ulaji wa kiti moto haukuwa pendeza baadhi ya wenyeji wa pwani kama dar es salaam ambapo wachagga walihamia kwani wakaaji wengi wa pwani ni waislamu kwa hiyo nguruwe kwao ni haramu wakazi wa dar es salaam watokao makabila mengine na wasiyo waislamu kwao kula nguruwe ilikuwa ruksa ingawa wanaume wa kichagga hupendelea kufanya kazi mbali na kwao wake zao hukaa nyumbani moshi na hufuga ng ombe na kazi za shambani ila kwa sasa kutokana na ugonjwa wa ukimwi tabia hii imepungua miongoni mwao wanawake wa kichagga hasa kutoka machame hujulikana kama wafanyakazi hodari huchangia sana katika mapato ya nyumbani na chakula ingawa kipato cha wachagga ni kikubwa kulingana na cha makabila mengine takwimu zinaonyesha watoto wa mkoa wa kilimanjaro kuongoza kwa utapiamlo sababu kubwa ya watoto kuwa na utapiamlo ni wazazi kujali zaidi kazi kuliko muda wa kuwahudumia watoto wengi wa watoto hao ni wale ambao wazazi wao ni watu wa pombe na kipato chao kinaishia kilabuni utaona kwamba uchagga una vilabu vingi vya pombe na vinaongezeka kwa sababu imekuwa biashara kubwa karibu kila kaya kumi na tano kuna kilabu cha pombe na kiwango cha chini kabisa cha pombe inayouzwa kwa siku katika vilabu hivyo si chini ya madebe sita au lita mia moja pombe ni sababu moja ya watoto kuwa na utapiamlo hii inawezekana kuwa matunda ya wazazi kutowalisha watoto wao chakula cha kutosha au chakula bora kuna sehemu nyingine za uchagga kama old moshi na kibosho ambapo watoto wadogo hupewa pombe ya mbege asubuhi mchana na jioni sababu nyingine ni kazi mama wa kichagga anaweza kushinda shambani kutwa na hana desturi ya kubeba watoto mgongoni kwenda nao shambani hivyo wanakuwa nyumbani ama wenyewe au na mayaya mfano ulio dhahiri ni nyakati za asubuhi na mapema kwenye vyombo vya usafiri karibu robo tatu ya abiria ni wanawake wakienda katika shuguli za biashara na kilimo na vivyo hivyo nyakati za jioni wakirudi majumbani hao ni nje ya wale wanaotumia usafiri wa miguu ambao ni wengi zaidi pia baadhi ya kina mama wa kichaga wanawajali waume zao zaidi kwani nyama nzuri ni ya baba kuepuka gharama baba ataandaliwa chakula kizuri tofauti na chakula walichoandaliwa watoto japo ni chakula kilekile pia wachagga wamekuwa na desturi ya kuwaenzi wazee wao waliotangulia mbele za haki kwa kuwatambikia kwa pombe na nyama za mbuzi pale tu wanaporudi nyumbani ifikapo mwezi desemba hili limekuwa suala la kawaida sana na halipingiki wengi wao huwa wanarudi na magari ndiyo sababu utaona ya kwamba kila ifikapo mwezi desemba kila mwaka foleni za magari zimekuwa zikiongezeka kutokana na wachagga kurudi nyumbani msimu wa sikukuu wengi wao wamekuwa wakitoka sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi wachagga wengi hupenda kurudi nyumbani kipindi cha krismasi ikiwa ni kuwatembelea wazazi wao rafiki au ndugu pia imekuwa kama desturi wanaukoo kukaa pamoja na kujadiliana mambo jinsi yalivyokwenda katika kipindi kizima cha mwaka na wakati mwingine inakuwa sehemu ya kwenda kuwatambulisha watoto kwa bibi na babu zao hasa wale waliozaliwa mijini ni kipindi chenye shangwe na furaha sana kipindi hiki hakuna kaya utakayokuta haina furaha kwa sababu hata kama huna sherehe kuna mialiko mbalimbali ambao haihitaji kadi au michango ingawa wengi hudhani kwamba wachagga wamepokea sana dini imani ya ukristo kwa kuwa wengi wao ni wakristo na hiki huwa ni kipindi cha likizo kwao inaaminika pia kuwa kurudi kwao wakati wa krismasi ni pamoja na kutembelea ndugu zao na kujumuika pamoja katika kuumaliza mwaka baada ya kazi nyingi za kutafuta pesa mwaka mzima si wote wanakwenda kwa sababu zote bali lazima sababu mojawapo ihusike kutokana na sababu hizo wanaokwenda ni watu wote wa dini zote ukienda tofauti na kipindi hiki huwezi kukuta watu wengi sana kwanza baada ya kipindi hicho kupita kila mtu anashughulika na mambo yake kutafuta pesa kama umekwenda na huna chochote utakumbana na ubaguzi na manyanyaso makubwa ref nelson rolihlahla mandela julai desemba alikuwa mwanasiasa nchini afrika kusini kiongozi wa mapambano dhidi ya siasa ya ubaguzi wa rangi apartheid mfungwa jela kwa miaka halafu rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia katika nchi yake alikuwa mwanasheria na mwanachama baadaye kiongozi wa chama cha anc kilichopigania haki za binadamu wote nchini afrika kusini mandela alizaliwa tarehe julai katika familia ya kabila la wahosa kwenye kijiji cha mvezo karibu na umtata iliyokuwa kwenye jimbo la rasi alipewa jina la rolihlahla linalomaanisha anayevuta tawi la mti kwa maana ya mwenye kuleta matata katika lugha ya kihosa baadaye alijulikana kwa jina la ukoo wake madiba jina la nelson alilipokea kutoka kwa mwalimu wake siku alipoanza kwenda shule alitoka katika familia ya kifalme baba wa babu yake ngubengcuka alikuwa mfalme wa wathembu katika maeneo ya transkei wa jimbo la kisasa la rasi mashariki la afrika kusini baba yake gadla henry mphakanyiswa alikuwa chifu na mshauri wa mfalme tangu mwaka hadi mama yake nelson nosekeni fanny alikuwa mke wa tatu miaka ya kwanza aliishi kijijini alipojifunza mila na desturi za wahosa na kutunza mifugo pamoja na wavulana wengine baba aliaga dunia nelson alipokuwa na umri wa miaka tisa alibatizwa katika kanisa la kimethodisti akawa mkristo wa kanisa hilo hadi kifo chake baada ya kifo cha baba mama alimpeleka kwa chifu mkuu wa wathembu aliyemlea kama mtoto wake pamoja na wazazi wake wapya alihudhuria ibada za kanisani kila jumapili zilizoimarisha imani yake ya kikristo akaendelea kusoma katika shule ya kimethodisti aliposoma kiingereza kihosa historia na jiografia katika ikulu ya chifu alisikia masimulizi mengi kuhusu historia ya waafrika kutoka wageni waliokuja kumwaona baba wa kambo mwaka babake alimtuma kusoma shule ndogo ya kimethodisti alipofanyikiwa vema baada ya kifo cha baba aliishi kwa chifu wa watembo na hapo kwene umri wa miaka alishiriki katika sherehe ya jando alipotahiriwa na kupokea jina dalibunga baadaye aliendelea kusoma kwenye shule ya sekondari ya clarkebury boarding institute huko engcobo iliyokuwa shule ya bweni kubwa kwa ajili ya vijana kutoka wathembo hapa alianza mazoezi ya michezo na kupenda kazi ya bustani aliyoendelea kwa maisha yote baada ya miaka miwili alipokea cheti kidogo cha elimu ya sekondari mwaka kwenye umri wa miaka aliendelea kwenye chuo cha wamethodisti huko fort beaufort hapo alikuwa mara ya kwanza rafiki na kijana nje ya kabila lake aliyekuwa msotho akaathiriwa na mwalimu mpendwa mhosa aliyevunja mwiko kwa kumwoa mke kutoka kwa wasotho mandela alitumia muda mwingi huko healdtown kwa kufuata michezo ya kukimbia na bondia tangu alianza masomo kwa shahada ya kwanza kwenye chuo kikuu cha fort hare chuo kwa ajili ya wanafunzi waafrika katika jimbo la rasi mashariki masomo yake yalikuwa kiingereza anthropolojia siasa na sheria wakati ule alitaka kuendelea kuwa mfasiri au afisa katika idara ya shughuli za wazalendo kitengo cha serikali ya kizungu kwa maeneo ya waafrika katika afrika kusini katika bweni lake alikuwa rafiki wa kaiser matanzima na oliver tambo aliyeendelea kuwa rafiki yake kwa miaka mingi ijayo pamoja na kupenda michezo mandela alijifunza dansi ya kizungu alishiriki tamthiliya kuhusu about abraham lincoln akatoa darasa la biblia katika kanisa mandela alihukumiwa kifungo cha maisha kwa miaka kutokana na harakati zake za kuupinga ubaguzi wa rangi alifungwa katika kisiwa cha robben baada ya kuachiliwa huru mwaka alianzisha sera ya maridhiano au sera ya amani baina yake na watu weupe nchini afrika kusini jambo ambalo watu wengi hawakulitegemea mwaka wa pamoja na frederik willem de klerk alikuwa mshindi wa tuzo ya nobel ya amani ambayo ni tuzo ya nadra kutolewa duniani baada ya kutengana na mke wake winnie madikizela alimuoa graca machel aliyewahi kuwa mke wa rais wa msumbiji samora machel kwame nkrumah aprili alikuwa rais wa kwanza wa ghana na mmoja wa viongozi wenye nia ya kujenga muungano wa afrika tena mchochezi wa falsafa ya umajinuni kwame nkrumah alizaliwa mnamo mwaka katika kijiji cha nkroful kwenye koloni la gold coast leo ghana nkrumah mwenyewe aliandika ya kwamba tarehe ilikuwa septemba iliyokuwa siku ya jumamosi hii inalingana na jina kwame ambalo katika utamaduni wa waakan ni jina la mwanamume aliyezaliwa siku hiyo ila tu aliposoma marekani alijulikana kwa jina la francis nwia kofi nkrumah na kofi ni jina la mwanamume aliyezaliwa siku ya ijumaa baba yake ambaye jina lake halikuhifadhiwa alikuwa na kazi ya fundi dhahabu mama yake aliitwa nyanibah akaishi hadi kifo chake na kwa muda alitunza kaburi la mwanawe mtoto alilelewa kijijini pamoja na watoto wengine wa babake na ukoo mama alimsomesha katika shule ya msingi ya misioni ya kanisa katoliki alipita madarasa kumi katika muda wa miaka minane mnamo alikuwa mkristo aliyebatizwa akafundisha katika shule yake kama mwalimu msaidizi kutoka hapo alikaribishwa na mchungaji alec garden fraser mkuu wa chuo cha ualimu cha serikali mjini accra kujiunga na masomo huko huko makamu wa mkuu kwegyir aggrey aliyewahi kusoma marekani alimweleza mafundisho ya marcus garvey na w e b du bois aggrey fraser na walimu wengine wa chuo walifundisha ya kwamba ushirikiano wa watu wa rangi zote ni shabaha kwa maendeleo ya gold coast lakini nkrumah alifuata mwelekeo wa marcus garvey akiamini ya kwamba ni lazima nchi yake itawaliwe na waafrika wenyewe baada ya kumaliza masomo yake mwaka nkrumah aliajiriwa kama mwalimu wa shule ya msingi ya kikatoliki huko elmina na baada ya mwaka alikuwa mwalimu mkuu wa shule ya aim huko alianza kushiriki katika majadiliano ya kisiasa akaanzisha nzima literary society mwaka aliendelea na kuwa mwalimu kwenye seminari ya kikatoliki mjini amissa alipokuwa mwanafunzi wa chuo nkrumah alisikia hotuba ya mwandishi nnamdi azikiwe baadaye alikuwa rais wa nigeria alikutana naye na azikiwe alimpa ushauri kuendelea na masomo yake huko marekani kwenye chuo cha lincoln college alikowahi kusoma mwenyewe an kilichokuwa chuo kwa waamerika weusi nkrumah angependelea kusoma london uingereza lakini alishindwa mitihani ya kuingia hivyo kwa msaada wa mjomba tajiri alisafiri pennsylvania na kuanza masomo huko lincoln kwenye oktoba hakuwa na pesa nyingi hivyo alifanya kazi ndogo kama kusafisha vyombo hotelini siku za jumapili alisali katika makanisa ya weusi mjini philadelphia na new york mwaka alimaliza masomo akapokea digrii ya bachelor katika fani ya uchumi chuo kikampa nafasi ya mhadhiri msaidizi kwa masomo ya falsafa akaendelea kusoma teolojia akachukua ba mwaka alisoma pia chuo kikuu cha pennsylvania alipomaliza digrii za master katika falsafa na ualimu wakati huohuo alishirikiana na mwanaisimu william everett welmers kutunga kitabu cha sarufi ya fante iliyokuwa lugha yake ya kwanza wakati wa likizo nkrumah alipenda kwenda harlem new york iliyokuwa kitovu cha kiutamaduni kwa waamerika weusi hapa alienda kuzunguka mitaani na kusikiliza wahubiri wa barabarani chuoni nkrumah alikusanya wanafunzi kutoka nchi za afrika na kuanzisha african students association of america and canada akichaguliwa kuwa mwenyekiti wake katika majadiliano ya kundi hili alisisitiza haja ya nchi zote za afrika kushikamana baada ya uhuru si kufuata shabaha za pekee kwa kila koloni nkrumah alishiriki pia katika mkutano wa umoja wa afrika mjini new york wa mwaka uliosisitiza marekani kusaidia nchi za afrika kufikia uhuru baada ya vita kuu ya pili ya dunia katika kipindi chake nchini marekani nkrumah alikutana pia na wafuasi wa umar hasa wa mwelekeo wa trotzki hasa c l r james kutoka trinidad alikuwa na athira juu yake nkrumah aliandika baadaye ni johnson aliyemfundisha namna gani kufanya kazi ya kisasa kwa siri kama ni lazima wakati nkrumah alitaka kurudi afrika baada ya vita kwenye mwaka james alitunga barua ya kumtambulisha kwa marafiki huko london akiandika huyu kijana anakuja sasa kwenu si mtu mwelekevu mno lakini fanyeni mnachoweza kumsaidia anataka kuwafukuza wazungu kutoka afrika nkrumah alfika london mwezi wa mei akajiandikisha kwenye chuo cha london school of economics kama mwanafunzi wa phd katika anthropolojia aliacha baada ya mhula mmoja akajiandikisha kwenye chuo kikuu kwa shabaha ya kufuata phd ya falsafa lakini hakuendelea mwishoni alijaribu masomo ya sheria profesa wa falsafa alfred ayer hakumwona nkrumah kuwa mwanafalsafa bora alisema juu yake nilimpenda nikafurahi kujadili naye lakini kwangu hakuonekana kuwa na akili ya mchambuzi alitafuta majibu ya harakaharaka labda sehemu ya matatizo yake ilikuwa ya kwamba hajajikazia kuendeleza thesis yake kwake ilikuwa njia tu ya kupita muda hadi aliweza kurudi ghana nkrumah alitumia nguvu nyingi kupanga mikutano ya siasa alikuwa kati ya waratibu walioandaa mkutano wa pan african congress mjini manchester oktoba wajumbe wa mkutano huu walipatana kuelekea kwa shirikisho la maungano ya madola ya afrika na kujenga utamaduni mpya kwa afrika bila ukabila na siasa itakayounganisha usoshalisti au ukomunisti na demokrasia kati ya wajumbe waliohudhuria walikuwa mzee w e b dubois pamoja na waafrika walioendelea kuwa viongozi wa nchi zao baada ya uhuru kama vile hastings banda wa nyasaland malawi jomo kenyatta wa kenya obafemi awolowo wa nigeria na c l r james baada ya kurusi gold coast nkrumah kwenye mwaka alikuwa katibu mkuu wa chama cha united gold coast convention ugcc mwaka kulitokea ghasia ya accra riots askari waafrika wa jeshi la kiingereza walioachishwa baada ya vita kuu walidai malipo waliyoahidiwa nkrumah alihutubia mkutano wao baada ya maandamano yao kuvunjwa na polisi na watu kufa katika ghasia iliyofuata polisi ilikamata viongozi wa chama cha ugcc mwaka nrumah alitoka katika ugcc akaunda convention people s party cpp iliyokuwa na madai makali zaidi mwaka cpp ilipata kura nyingi katika uchaguzi baada ya kudai uhuru mara moja nkrumah aliyekuwa tena mbaroni aliruhusiwa kugombea alipata asilimia za kura mjini accra akaachwa huru mwaka alichaguliwa na halmashauri ya kisheria kuwa waziri mkuu wa koloni aliendelea kuongoza serikali na mwaka wakati wa uhuru alibadilisha jina la nchi kuwa ghana hii ilikuwa koloni la kwanza kupata uhuru katika afrika ya magharibi baada ya liberia mwaka huohuo alifunga ndoa na fathia helen ritzk mkristo wa kikopti kutoka nchi ya misri nkrumah alianzisha mipango mingi ya kuendeleza ghana kiutamaduni kielimu na kiuchumi pamoja na haile selassie wa ethiopia aliunda umoja wa muungano wa afrika kwa kiingereza organisation of african union oau alikaribia nchi za kikomunisti na kuajiri washauri na wahandisi kutoka urusi na china alijipatia maadui kati ya machifu waliokuwa na mamlaka kubwa wakati wa ukoloni lakini sasa wengi waliachishwa au kupinduliwa na serikali kama hawakufuata maagizo yote kutoka juu alipata pia maadui kati ya wakulima tajiri wa kakao kwa sababu aliongeza sana kodi wakati bei ya zao hili kwenye soko la dunia ilipanda juu mnamo mwaka bei za kakao zilishuka sana na hapo alikosa pesa kwa miradi mingi aliyoanzisha wakati mapato ya kakao yalikuwa juu gharama za miradi kubwa zililipiwa kwa kukopa pesa nje ya nchi deni la taifa lilikua haraka baada ya bidhaa kadhaa kuwa haba serikali ilijaribu kuongoza uchumi kwa mfano wa nchi za kikomunisti upinzani kati ya wananchi ulitazamwa kama uasi na watu wengi walikamatwa kodi zilipandishwa inasemekana ya kwamba pia huduma za siri za cia marekani na mi uingereza zilichochea wapinzani wa nkrumah waliopanga kumpindua mwaka alipokwenda safari ya kutembelea china na korea ya kaskazini kamati ya siri ya upinzani pamoja na jeshi la ulinzi na polisi ya kitaifa ilipindua serikali nkrumah alishindwa kurudi kwa miaka kadhaa alikaa guinea baada ya kugonjeka alihamia kwa tiba huko romania alipoaga dunia mwaka jamhuri ya ghana ni nchi ya afrika magharibi inayopakana na cte d ivoire ivory coast upande wa magharibi burkina faso upande wa kaskazini togo upande wa mashariki na ghuba ya guinea upande wa kusini neno ghana lina maana ya shujaa mfalme na lilikuwa chimbuko la jina guinea kupitia kwa kifaransa guinoye ambalo limetumika kurejelea pwani ya afrika magharibi na ambalo linatumika katika ghuba ya guinea kabla ya ukoloni ghana ilikaliwa na idadi ya watu wa kale hasa wa falme za akan wakiwemo waakwamu upande wa mashariki himaya ya ashanti ya bara na falme kadha wa kadha za kifante pia falme zisizo za kiakan kama waga na waewe waliokuwa pwani na bara biashara na nchi za ulaya ilistawi baada ya kukutana kwao na wareno katika karne ya na waingereza walianzisha nchi ya gold coast chini ya himaya ya uingereza mwaka wa nchi ya gold coast ilijinyakulia uhuru kutoka kwa uingereza mwaka wa ikawa taifa la kwanza la afrika kusini mwa sahara sub saharan africa kufanya hivyo jina ghana lilichaguliwa kwa taifa hili mpya ili kuashiria himaya ya kale ya ghana ambayo kwa wakati mmoja ilienea katika sehemu kubwa ya afrika magharibi ghana ni mwanachama wa mashirika mbalimbali ya kimataifa yakiwemo jumuiya ya madola jumuiya ya kiuchumi ya afrika magharibi umoja wa afrika na umoja wa mataifa ghana ni nchi ya pili baina ya nchi zinazozalisha mmea wa kakao ulimwenguni kote pia ni kiambo cha ziwa volta ambalo ndilo ziwa kubwa zaidi ulimwenguni kuundwa na binadamu vilevile ghana ni nchi inayojulikana sana katika ulimwengu wa soka tarehe oktoba ghana lilikuwa taifa la kwanza la kiafrika kushinda kombe la dunia la fifa kwa walio chini ya umri wa miaka fifa u world cup kwa kushinda nchi ya brazil kwa mabao kwa kupitia mikwaju ya penalti neno ghana lina maana ya shujaa mfalme na lilikuwa jina la heshima walilopewa wafalme wa himaya ya ghana nyakati za kale za afrika magharibi kijiografia himaya ya ghana inakadiriwa kuwa kilomita kaskazini na magharibi mwa ghana ya kisasa na ilitawala majimbo katika eneo la mto sngal na mashariki kuelekea mto wa niger katika maeneo ya sasa ya senegal mauritania na mali ghana lilichaguliwa kuwa jina rasmi la nchi ya gold coast nchi hii iliponyakua uhuru mnamo tarehe machi hata hivyo ghana haikuweza kutangaza uhuru wake kamili kutoka kwa uingereza hadi tarehe julai ambapo pia nchi ilianza kujulikana kama jamhuri ya ghana ghana ni nchi ambayo inapatikana katika ghuba ya guinea nyusi chache kaskazini mwa ikweta jambo ambalo linaipa nchi hii hali ya joto nchi hii inapatikana katika eneo la kilomita mraba maili mraba eneo hili limezungukwa na togo kwa upande wa mashariki cote d ivoire upande wa magharibi burkina faso upande wa kaskazini na ghuba ya guinea bahari ya atlantiki upande wa kusini laini ya greenwich meridian hupita ndani ya ghana katika jiji la viwanda la tema kijiografia ghana inapatikana karibu zaidi ya sehemu ya katikati mwa ulimwengu kuliko nchi yoyote ile ingawa sehemu halisi ya katikati inapatikana katika bahari ya atlantiki kwa makadirio kilomita maili kusini mwa accra ghana katika ghuba ya guinea nchi hii ina maeneo tambarare vilima vya chini na mito michache nchi ya ghana inaweza kugawanywa katika maeneo matano tofauti ya kijiografia eneo la pwani ni sehemu ambayo ni ya chini na iliyo na ufuo wa mchanga huku ikipakana na koko na kukingamana na mito na vijito kadha wa kadha huku sehemu ya kaskazini ikiwa na maeneo ya juu yaliyo tambarare eneo la kusini magharibi na kusini ya kati mwa ghana ni sehemu iliyoinuka sawa na pana yenye misitu ikiwa na vilima vya ashanti na eneo sawa na pana plateau la kwahu na safu ya vilima vya akuapim togo vinapatikana kwenye mpaka wa mashariki mwa nchi bonde la volta linachukua eneo la kati mwa ghana sehemu ya juu zaidi nchini ghana ni mlima afadjato ulio na urefu wa mita futi na unaopatikana kwenye safu ya vilima vya akwapim togo hali ya hewa ni ya hari kanda ya pwani ya mashariki ni ya joto na iliyokauka angalia dahomey gap pembe ya kusini magharibi huwa na joto jingi na unyevu hewani huku sehemu ya kaskazini ikiwa yenye joto jingi na iliyokauka ziwa volta ziwa lisilo la asili kubwa zaidi ulimwenguni linaenea kupitia katika mafungu makubwa mashariki mwa ghana na ndicho chanzo kikuu cha vijito vingi kama vile vya oti na afram kuna misimu miwili mikuu nchini ghana masika na kiangazi kaskazini mwa ghana huwa na msimu wa masika kutoka machi hadi novemba huku sehemu ya kusini ukiwemo mji mkuu wa accra ikiwa na masika kutoka aprili hadi novemba katikati kusini mwa ghana kuna misitu ambayo daima ni ya kijani kibichi na ile ambayo hupoteza majani yake wakati fulani wa mwaka ikiwa na miti kama mikangazi odumu na mipingo sehemu hii inayo pia mingi ya mitende ya mafuta na mikoko miti ya shea mibuyu na mikakaya hupatikana kwa kawaida katika maeneo ya volta na kaskazini mwa nchi ghana imegawiwa katika maeneo ya utawala kumi ambayo yamegawiwa zaidi katika wilaya kila moja ikiwa na bunge la wilaya district assembly chini ya wilaya kuna aina kadhaa za mabaraza yakiwemo mabaraza ya miji au maeneo mabaraza ya kanda na mabaraza ya maeneo kamati za vitengo huwa katika daraja ya chini zaidi maeneo hayo ni kuna ushahidi kutoka kwa maarifa ya mambo ya kale ambao unaonyesha kwamba watu wameishi katika eneo linalojulikana siku hizi kama ghana kutoka karibu miaka ya kk kabla ya kristo licha ya hayo hakuna ushahidi wa kuonyesha kuwa wakazi hao wana uhusiano na wale wa eneo hili kwa sasa kwa mujibu wa mapokeo simulizi mengi kati ya makabila ya ghana leo kama vile watu wa chimbuko la makabila kadhaa kama waakan waga na waewe walifika ghana mnamo karne ya mengi ya maeneo ya ghana yanajumuisha eneo lililokuwa la himaya ya ashanti mojawapo ya falme zilizokuwa na ushawishi mkubwa katika eneo la afrika kusini mwa sahara kabla ya enzi za ukoloni wahamiaji waakan walihama kuelekea kusini na kuanzisha mataifa kadhaa likiwemo lile la kwanza la himaya kuu ya akan ya wabono ambayo kwa sasa inajulikana kama eneo la brong ahafo nchini ghana sehemu kubwa ya eneo la sasa la kusini na kati mwa ghana ilikuwa imeungana chini ya himaya ya ashanti ya waashanti tawi la waakan wa karne ya utawala wa waashanti ilihudumu mwanzoni kama mtandao mlegevu kabla ya kuwa ufalme ulioungana huku ukiwa na urasimu ulioendelea na wenye uchanganuzi mkubwa uliokuwa na makao yake kumasi inasemekana kuwa katika kilele chake waasantehene wangeweza kutuma askari vitani na kuwa na ushawishi wa kijeshi wa kiwango fulani juu ya majirani wake wote thuluthi moja ya waashanti wote walikuwa watumwa waga walianzisha muungano wenye ufanisi mnamo na wagonja wadagomba na wamamprusi pia walipigania uwezo wa kisiasa katika miaka ya mawasiliano ya awali na ulaya kutoka kwa wareno walioingia ghana mnamo yalizingatia upatikanaji wa dhahabu wareno walitua kwanza katika jiji la pwani lililokuwa makazi ya ufalme wa wafante na kuliita eneo hili elmina jina ambalo linamaanisha mgodi kwa kireno mwaka wa mfalme john ii wa ureno aliagiza diogo de azambuja kujenga kasri ya elmina ambayo ilikamilishwa mwaka uliofuata lengo lao lilikuwa kufanya ubadilishanaji wa dhahabu pembe za ndovu na watumwa ili kuimarisha mamlaka yao yaliyokuwa yanakua kwa kasi katika eneo hilo kufikia mwaka wa waholanzi walikuwa wameungana nao na kujenga ngome katika maeneo ya komenda na kormantsi mwaka wa waliiteka kasri ya elmina kutoka kwa wareno na vilevile aim mwaka wa ngome ya mtakatifu antoni wafanyabiashara wengine kutoka ulaya walijiunga nao kufikia miaka ya kati ya karne ya hasa waingereza wadenmarki na waswidi wafanyabiashara waingereza waliovutiwa na rasilimali katika eneo hilo waliliita gold coast pwani ya dhahabu huku nao wafanyabiashara wafaransa wakivutiwa na mapambo waliyokuwa wakivaa watu wa pwani wakiliita eneo la sehemu ya magharibi cte d ivoire au ivory coast pwani ya pembe za ndovu zaidi ya ngome na kasri thelathini zilijengwa na wafanyabiashara wareno waholanzi waingereza na wadenmarki eneo la gold coast lilijulikana kwa karne nyingi kama kaburi la mtu mweupe kwa sababu wengi kati ya wazungu walioenda huko kutoka ulaya walikufa kutokana na malaria na magonjwa mengine ya eneo la hari baada ya waholanzi kuondoka mwaka wa uingereza iliiweka gold coast chini ya himaya yake kufuatia ushindi wa uingereza mwaka wa hadi unyakuzi wa uhuru mnamo machi eneo la ghana ya sasa ghairi ya sehemu ya volta region british togoland lilikuwa likijulikana kama gold coast vita vingi vilitokea baina ya utawala wa kikoloni na baadhi ya mataifa ya eneo hilo vikiwemo vita vya vya ashanti fante na mapambano ya kudumu ya waashanti dhidi ya waingereza ambayo yalikoma baada ya vita vya tatu baina ya waashanti na waingereza the third ashanti british war hata chini ya utawala wa kikoloni machifu na watu wao walipinga mara kwa mara sera za waingereza hata hivyo ushawishi wa kupinga ukoloni ulikolea baada ya vita vya pili vya dunia mwaka wa chama kipya cha united gold coast convention ugcc kilitoa wito wa utawala wa kujitegemea katika wakati mfupi iwezekanavyo baada ya kuongezeka kwa maandamano mnamo wanachama wa chama cha united gold coast convention walikamatwa akiwemo waziri mkuu na rais wa baadaye kwame nkrumah baadaye nkrumah aliunda chama chake mwenyewe the convention people s party cpp ambacho kiliongozwa na usemi serikali ya kujitegemea sasa self government now alianzisha kampeni ya vitendo chanya na kupata ufuasi wa watu wa sehemu za mashambani na wa daraja la wafanyakazi kwa mara nyingine nkrumah alishikwa na kuzuiliwa kwa kuwa msimamizi wa chama ambacho kilisababisha ususiaji migomo na vitendo vingine vya uasi wa raia hata hivyo baada ya kushinda wingi wa viti katika bunge ya kuunda sheria mnamo kwame nkrumah aliachiliwa na kuchaguliwa kuwa kiongozi wa masuala ya serikali baada ya mazungumzo na uingereza hatimaye tarehe machi saa sita usiku kwame nkrumah alitangaza ghana kuwa huru milele bendera iliyokuwa na rangi nyekundu dhahabu kijani kibichi na nyota nyeusi ilikuwa bendera mpya mnamo bendera hiyo iliundwa na theodosia salome okoh na rangi nyekundu inawakilisha damu iliyomwagwa ili kupata uhuru rangi ya dhahabu inawakilisha ukwasi wa madini wa ghana ile ya kijani kibichi inaashiria utajiri wa kilimo na ile nyeusi ni ishara ya uhuru wa waafrika huku ikiundwa kutoka kwa muungano wa maeneo ya gold coast na british togoland kufuatia matokeo ya kura ya maoni ya watu yaliyodhaminiwa na umoja wa mataifa mnamo ghana ilikuwa nchi ya kwanza ya afrika kusini mwa sahara kunyakua uhuru mnamo kwame nkrumah waziri mkuu wa kwanza na baadaye rais wa nchi ya sasa ya ghana hakuwa tu kiongozi wa kiafrika wa kupigana dhidi ya ukoloni ila alikuwa pia mtu aliyekuwa na ndoto ya muungano wa afrika ambayo haingejipata katika ukoloni mamboleo alikuwa kiongozi wa serikali ya kwanza afrika kukuza muungano wa waafrika pan africanism wazo ambalo alilipata wakati wa masomo yake katika chuo kikuu cha lincoln lililoko pennsylvania marekani wakati ambapo marcus garvey alikuwa anapata umaarufu kwa harakati zake za back to africa movement aliunganisha ndoto za macus garvey na zile za mwanachuo mashuhuri mmarekani mweusi w e b du bois ili kuandaa ghana kisasa kanuni za ghana za uhuru na haki usawa na elimu ya bure kwa wote bila kujali kabila dini au mila zinatokana na utekelezaji wa wazo la pan africanism ingawa lengo lake la muungano wa afrika halikuwahi kuafikiwa osagyefo dr kwame nkrumah kama ajulikanavyo sasa alishiriki kwa kiwango kikubwa katika kuzinduliwa kwa shirika la umoja wa afrika ambalo lilifuatwa mnamo na umoja wa afrika african union ingawa nkrumah aliheshimika sana ng ambo hakuwa akipendwa katika masuala ya ndani ya nchi hakufeli tu kuanzisha uchumi wa viwanda ila hata sera zake hukusu uchumi ziliishia kuifanya nchi ya ghana kuwa maskini kuliko ilivyokuwa wakati wa kupata uhuru mafanikio yake yalikuwa kutambuliwa na raia wa ghana wakati wa maadhimisho ya kuzaliwa centenary wake na siku aliliweka kama likizo umma nchini ghana hatimaye nkrumah aliondolewa madarakani na jeshi alipokuwa ng ambo mnamo februari na mabadiliko hayo yalikaribishwa na wengi wa wakazi wa ghana inaaminika na wengi wa wachanganuzi wa masuala ya kisiasa kwamba shirika la marekani la central intelligence agency cia lilihusika na mapinduzi hayo lakini wazo hilo halijawahi kuthibitishwa mfululizo wa baadaye wa mapinduzi kati ya na uliishia kwa kuingia madarakani kwa liuteni wa jeshi la wanahewa flight lieutenant jerry rawlings mwaka wa mabadiliko hayo yalisababisha kusimamishwa kwa katiba ya nchi mnamo na kupigwa marufuku kwa vyama vya kisiasa uchumi ulishuka sana punde baadaye na waghana wengi walihamia nchi zingine ingawa wengi wa waghana waliohama walienda nigeria serikali ya nigeria iliwarudisha ghana karibu waghana milioni moja mwaka wa punde baadaye rawlings aliafikiana na shirika la international monetary fund juu ya mkataba wa mpango wa maendeleo structural development plan na kubadili sera nyingi za awali za uchumi na hivyo uchumi ukaanza kukua katiba mpya iliyorudisha mfumo wa siasa za vyama vingi ilitangazwa mwaka wa na rawlings alichaguliwa kuwa rais na tena mwaka wa katiba ya mwaka wa ilimzuia kuwania kiti hicho kwa muhula wa tatu kwa hivyo chama chake national democratic congress kilimchagua makamu wake wa rais john atta mills kuwania urais dhidi ya vyama vya upinzani huku akishinda uchaguzi wa mwaka john kufuor wa chama pinzani cha new patriotic aliapishwa kama rais mnamo januari na kumshinda tena mills mwaka wa hivyo kuhudumia kama rais kwa mihula miwili mwaka wa john atta mills alichukua mamlaka huku kukiwa na tofauti ndogo sana ya kura ambazo ni kati ya chama chake national democratic congress na kile cha new patriotic party tukio hili likiwa la pili la ubadilishanaji wa mamlaka kutoka kwa kiongozi mmoja aliyechaguliwa kihalali kwa mwingine na hivyo kuimarisha hadhi ya ghana kama demokrasia iliyo imara kwa mujibu wa fahirisi ya mataifa yaliyoanguka failed states inde ghana inaorodheshwa katika nambari ya baina ya mataifa ambayo hayajaanguka huku likiorodheshwa kwa nafasi ya pili baina ya mataifa ya afrika baada ya mauritius taifa la ghana liliorodheshwa katika nafasi ya baina ya nchi katika fahirisi hii na liliainishwa kama taifa la wastani vilevile nchi ya ghana imo katika nafasi ya baina ya nchi za afrika zilizo kusini mwa sahara katika fahirisi ya mwaka wa ya ibrahim inde of african governance ambayo ilitokana na hakiki za mwaka wa fahirisi ya ibrahim ni kipimo chenye uchanganuzi mwingi kuhusu maswala ya utawala barani afrika kinachotokana na maswala ya mabadiliko tofautitofauti ambayo huashiria kufuzu kwa serikali wakati wa kutoa huduma muhimu za kisiasa kwa wananchi wao serikali taifa la ghana lilianzishwa kama demokrasia ya bunge wakati wa kupata uhuru mnamo mwaka wa ikifuatiwa na ubadilishanaji wa serikali za kijeshi na za kiraia mnamo januari serikali ya kijeshi iliondoka na kuipisha jamhuri ya nne baada ya uchaguzi wa urais na ubunge mnamo mwisho wa mwaka wa katiba ya inagawa mamlaka kati ya rais bunge baraza la mawaziri baraza la taifa na mahakama huru serikali huchaguliwa na upigaji kura wa haki kwa wote ingawa bunge halina uwiano kabisa kwani wilaya zilizo na watu wachache hupata wawakilishi wengi kwa kila mtu zikilinganishwa na wilaya ambazo zina idadi ya juu ya wakazi mfumo wa mahakama mfumo wa kisheria unatokana na ule wa uingereza yaani british common law sheria za kimila kitamaduni na katiba ya mwaka wa daraja za mahakama hujumuisha mahakama kuu ya ghana mahakama ya juu zaidi mahakama za rufaa na mahakama kuu za kisheria chini ya mahakama hizi kuna mahakama za kuzunguka mahakama za hakimu na mahakama za kitamaduni taasisi zingine zisizo chini ya sheria ni pamoja na mahakama za umma tangu unyakuzi wa uhuru mahakama zimekuwa huru kwa kiwango fulani uhuru huu unaendelea chini ya jamhuri ya nne mahakama za chini zinadhahirishwa na kupangwa upya chini ya utawala wa jamhuri ya nne siasa vyama vya kisiasa vilihalalishwa katikati mwa mwaka wa baada ya kupigwa marufuku kwa miaka kumi kuna vyama vingi vya kiasisa chini ya jamhuri ya nne hata hivyo vile vikubwa ni national democratic congress kilichoshinda uchaguzi wa urais na ubunge mnamo na new patriotic party chama kikubwa cha upinzani kilichoshinda uchaguzi wa mwaka wa na ule wa people s national convention na convention people s party ambacho kilichukua mahali pa chama cha awali cha kwame nkrumah kilichokuwa na jina lilo hilo mahusiano ya kigeni tangu unyakuzi wa uhuru ghana imefuata kwa dhati mwelekeo wa kutojiunga na upande wa kikapitalisti au ule wa kikomunisti nonalignment na pia siasa zinazopendelea siasa za umoja wa afrika pan africanism mawazo ambayo yanahusishwa na rais wa kwanza osagyefo dr kwame nkrumah nchi ya ghana inapendelea ushirikiano wa kimataifa na wa kikanda wa kisiasa na wa kiuchumi na ni mwanachama mwenye mashuhuri wa umoja wa mataifa na umoja wa afrika wanadiplomasia na wanasiasa wengi waghana wana vyeo katika mashirika ya kimataifa hawa ni pamoja na mwanadiplomasia mghana na katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa kofi annan jaji wa mahakama ya kimataifa ya jinai akua kuenyehia na rais wa zamani jerry rawlings ambaye alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa jumuiya ya kiuchumi ya mataifa ya afrika magharibi economic community of west african states nchi ya ghana ina idadi ya watu inayokadiriwa kuwa milioni ingawa ghana ni kiambo cha zaidi ya makabila tofauti haijashuhudia migogoro ya kikabila ambayo imesababisha vita vya wenyewe kwa wenyewe katika nchi nyingi za kiafrika makabila nchini ghana ni akan ambalo linajumuisha fante akyem ashanti kwahu akuapem nzema bono akwamu ahanta na makabila mengine mole dagbon ewe ga dangme likijumuisha ga adangbe ada krobo na makabila mengine guan gurma gurunsi mande busanga makabila mengine mengine wahausa zabarema wafula sensa ya lugha rasmi ni kiingereza hutumika sana katika masuala ya serikali na biashara lugha hiyo vilevile ndiyo inayotumika katika mafundisho ya elimu hata hivyo waghana wengi pia huzungumza kwa kiasi lugha moja ya kikabila ingawa wataalamu wengine wanasema nchini ghana huzungumzwa zaidi ya lugha na lugha ndogo ethnologue inaziorodhesha tu angalia pia orodha ya lugha za ghana lugha za asili za ghana zimegawanywa katika jamii mbili ndogo kutokana na jamii ya lugha za kiniger kongo lugha za jamii ndogo ya kwa zinapatikana zaidi katika maeneo ya kusini mwa mto volta huku zile za jamii ya gur zikipatikana katika eneo la kaskazini kikundi cha kwa lugha ambayo huzungumzwa na takribani ya wakazi wa nchi kinajumuisha lugha za akan ga dangme na ewe kikundi cha gur kinajumuisha lugha za gurma grusi na dagbani lugha tisa zina hadhi ya kuwa lugha zinazodhaminiwa na serikali akan hasa ashanti twi fanti akuapem twi akyem kwahu nzema dagaare wale dagbani dangme ewe ga gonja na kasem ingawa si lugha rasmi kihausa ndiyo lugha ya mawasiliano inayozungumzwa na waislamu wa ghana kwa mujibu wa sensa ya serikali ya mgawanyiko wa kidini ni wakristo waislamu dini asilia za kiafrika kufikia mwaka wa matarajio ya urefu wa maisha life epectancy wakati wa kuzaliwa ni takriban miaka kwa wanaume na kwa wanawake huku makisio ya vifo vya watoto wachanga yakiwa kwa watoto waliozaliwa hai hesabu ya watoto wanaozaliwa pia ni takriban watoto wanne kwa kila mwanamke kuna takriban madaktari na wauguzi kwa watu ghana ni nchi iliyo na makabila mbalimbali kwa hivyo ni mchanganyiko wa tamaduni wa makabila yake yote ashanti fante akyem kwahu ga ewe mamprusi na dagomba baina ya mengine jambo hili linadhihirika katika upishi sanaa na desturi ya mavazi ya ghana maadhimisho ya tamasha nchini ghana ni sehemu muhimu ya utamaduni wa ghana na kuna tamasha nyingi kama vile homowo odwira aboakyer dodoleglime na sandema baina ya zingine ibada na mila kadha wa kadha hufanywa wakati wote wa mwaka katika sehemu mbali mbali za nchi zikiwemo zile za kuzaliwa ibada za mpito maishani kama vile kubalehe ndoa na kifo soka ndiwo mchezo ulio na umaarufu zaidi nchini timu za kitaifa za soka ya wanaume zinajulikana kama the black stars the black satellites na the black starlets na timu hizi hushiriki katika michuano mingi ikiwemo ile ya kombe la mataifa ya afrika kombe la dunia la fifa na kombe la dunia la fifa kwa walio chini ya miaka timu ya the black satellites ilishinda kombe la dunia la fifa kwa walio chini ya miaka mnamo baada ya kushinda timu ya brazili ya seleo kuna timu za soka kadhaa nchini ghana za kutajika zaidi zikiwa accra hearts ya oak sc na asante kotoko baina ya zingine baadhi ya wachezaji wa soka wa ghana wanaojulikana katika daraja ya kimataifa au waliopata ufanisi katika soka ya ulaya ni abedi pele ibrahim abdul razak tony yeboah anthony annan john paintsil asamoah gyan samuel osei kuffour richard kingston sulley muntari laryea kingston stephen appiah andre ayew emmanuel agyemang badu dominic adiyiah na michael essien kufumwa kwa vitambaa ni kitengo muhimu cha utamaduni wa ghana vitambaa hivi hutumika kutengeneza mavazi ya kiasili na ya kisasa michoro na rangi tofauti humaanisha vitu tofauti pengine kente ndicho kitambaa mashuhuri zaidi baina ya vitambaa vyote vya ghana kente ni kitambaa cha sherehe cha waashanti ambacho kinatengenezwa kwa mkono kwenye kitanda cha mfumi vipande vya takribani inchi nne kwa upana hushonwa pamoja ili kuwa vitambaa vikubwa zaidi vitambaa hivi huwa katika rangi ukubwa na namna tofautitofauti na huvaliwa wakati wa hafla muhimu sana za kijamii au kidini katika muktadha wa kitamaduni kitambaa cha kente kina umuhimu zaidi ya vazi tu ni uwakilishi wa kuonekana wa historia na pia aina ya lugha iliyoandikwa kwa kufuma neno kente lina mizizi yake katika neno la kitwi kenten ambalo lina maana ya kikapu wasusi wa kwanza wa kente walitumia nyuzi za ukindu kufuma vitambaa vilivyoonekana kama kenten kikapu na hivyo vilikuwa vinaitwa kenten ntoma kumanisha kitambaa cha kikapu jina la kiasili la kiasante la kitambaa hiki lilikuwa nsaduaso au nwontoma kumaanisha kitambaa kilichotengenezwa kwa mkono kwenye kitanda cha mfumi hata hivyo neno kente ndilo hutumika zaidi na watu wengi siku hizi aina nyingi tofauti za vipande vyembamba vya vitambaa vinavyofanana na kente hufumwa na makabila mengi tofauti nchini ghana kama ewe ga na mengine ya afrika kente pia hupendwa na waafrika wanaoishi katika nchi za ng ambo nchi ya ghana ina aina nyingi ya muziki wa kitamaduni na wa kisasa midundo hii hutofautiana kutoka kabila moja hadi jingine na eneo moja hadi lingine muziki wa ghana unajumuisha aina nyingi tofauti za vyombo vya muziki kama vile ngoma za talking drum ensembles zeze ya goje na kinubi cha koloko muziki wa jumba la mfalme ikiwemo miziki ya waakan wa atumpan wa waga wa mitindo ya kpanlogo na marimba ya gogo itumikayo katika muziki wa waasonko aina za muziki ambazo zinajulikana zaidi kutoka ghana ni afro jazz ambayo ilifumbuliwa na msanii mghana kofi ghanaba na aina ya awali zaidi ya muziki wa kidunia inayoitwa highlife highlife ni muziki uliochimbuka katika miaka ya mwisho ya na miaka ya mwanzo ya na kuenea kote afrika magharibi hasa sierra leone na nigeria katika miaka ya aina mpya ya muziki ilizinduliwa na vijana huku ikiunganisha jinsi za highlife afro reggae dancehall na hiphop mchanganyiko huu huitwa hiplife wasanii wa ghana kama vile mwimbaji wa ramp b na soul rhian benson mwimbaji wa highlife kojo antwi na msanii wa rap tinchy stryder kwasi danquah wamekuwa na ufanisi wa kimataifa ngoma densi ya ghana ina tofauti mithili ya muziki wake kila kabila lina ngoma zake za kitamaduni na kuna ngoma tofauti tofauti kwa hafla tofauti tofauti kuna ngoma za mazishi sherehe za maadhimisho usimulizi wa hadithi sifa na kuabudu na kadhalika baadhi ya ngoma hizi ni ngoma hii huchezwa na watu wa eneo la kaskazini mwa ghana inasimulia hekaya ya wakati wa ukame mkubwa miungu iliwaambia watu kuwa ukame huo ulikuwa umeletwa na jinsi wanaume walikuwa wakiwakandamiza na kuwatweza wanawake ilisema pia kwamba ukame ungeondolewa tu pale wanaume wangejizusha na kuchukua majukumu waliyokuwa wamewatwika wanawake kwa kuvaa marinda na kushiriki katika ngoma hii wanaume walipofanya hivi mvua ilianza kunyesha kwa sasa ngoma hii huchezwa wakati wa mavuno katika eneo la kaskazini magharibi mwa ghana na wanaume pamoja na wanawake wa dagbani ngoma ya watu wa ashanti wa ghana ngoma hii inatajika hasa kwa madaha na weledi wa mzunguko wa wachezaji upigaji ngoma pia unasifika kwa weledi wa mfuatano wa sauti zinazochanganyika na ngoma mbili za atumpan ambazo zinatumika kama ngoma za kuongoza au ngoma simamizi ngoma hii ilikuwa awali ikichezwa katika mazishi lakini kwa sasa inachezwa pia katika tamasha za kila mwaka na mikusanyiko ya kijamii huchezwa na watu wa ga wa ghana ngoma hii ya kpanlongo ambayo mara nyingi huitwa ngoma ya vijana ilianza kuchezwa punde tu baada ya unyakuzi wa uhuru wa ghana kama aina ya muziki wa burudani jijini accra kpanlongo huchezwa kwa sasa kwa matukio yanayohusu maisha tamasha na mikutano ya kisiasa huu ni muziki na ngoma ambayo inahusishwa na ibada za kubalehe kati ya watu wa krobo wa ghana inasisitiza kusonga kwa madaha kwa mikono na miguu huku wakipiga hatua ndogo kuambatana na muziki na wakigeuza vichwa kwa utaratibu kuangalia chini wacheza ngoma huwa mfano wa madahiro tulivu tofauti baina ya hatua za wachezaji zinanuiwa kuonyesha uzuri wa wacheza ngoma mara kwa mara wachumba wanaotazama ngoma hii kutoka pembeni huzuru jamii ya msichana baada ya sherehe kwa madhumuni ya kumposa msichana huyo vyombo vya habari vya ghana ni mojawapo ya vile vilivyo na uhuru zaidi barani afrika hapo awali vilikuwa vimewekewa vizuizi vingi wakati wa mfululizo wa mapinduzi ya serikali na viongozi wa jeshi sura ya ya katiba ya ya ghana inatoa hakikisho la uhuru na kujisimamia kwa vyombo vya habari huku sura ya ikizuia uthibiti baada ya kujinyakulia uhuru serikali na vyombo vya habari vimekuwa mara kwa mara vikiwa na uhusiano ulio na mvutano huku mashirika ya kibinafsi yakifungwa wakati wa mapinduzi ya kijeshi na sheria kali ili kuzuia ukosoaji wa serikali uhuru wa vyombo vya habari ulirejeshwa mnamo mwaka wa na baada ya uchaguzi wa wa john kufuor mivutano kati ya vyombo vya habari vya kibinafsi na serikali ilipungua kufuor alikuwa mtetezi mkubwa wa uhuru wa vyombo vya habari na alifuta sheria ya masingizio ingawa alisisitiza kuwa ni lazima vyombo vya habari vifanye kazi kwa uwajibikaji vyombo vya habari vya ghana vimeelezwa kuwa baadhi ya vile visivyo na uthibiti mkubwa na serikali mwingi barani afrika huku vikifanya kazi vikiwa na masharti machache mno kwa vyombo vya habari vya kibinafsi vyombo vya habari vya kibinafsi mara kwa mara hukosoa sera za serikali vyombo vya habari vilifanya kazi kwa bidii wakati wa uchaguzi wa rais wa ghana wa mwaka wa na chama cha wanahabari wa ghana ghanaian journalists association gja kilimpongeza john atta mills kwa ushindi wake huku kikinuia kukuza uhusiano mwema baina ya vyombo vya habari na serikali kiwango cha kujua kusoma na kuandika kwa watu wazima kilikuwa mnamo huku wanaume wakiwa na wanawake wakiwa nchi ya ghana ina mfumo wa elimu ya msingi wa miaka kuanzia umri wa miaka sita na chini ya mageuzi ya elimu yaliyotekelezwa mnamo na kurekebishwa mnamo watoto huingia katika mfumo wa miaka mitatu wa elimu ya upili ya daraja la chini mwishoni mwa mwaka wa tatu katika shule ya upili ya junior high kuna mtihani wa lazima unaojulikana kama basic education certificate eamination bece wale wanaoendelea na masomo ni lazima wamalize masomo ya miaka mitatu ya shule ya upili ya daraja ya juu senior high school shs na kufanya mtihani wa kukubaliwa kuingia katika masomo ya chuo kikuu au taasisi yoyote ile kwa sasa ghana ina shule za msingi shule za upili za daraja ya chini shule za upili za daraja ya juu vyuo vya mafunzo vya umma vyuo vya mafunzo vya kibinafsi vyuo vya elimu ya sanaa taasisi za umma ambazo si vyuo vikuu zisizo chuo kikuu msingi umma taasisi vyuo vikuu na zaidi ya taasisi za kibinafsi wengi baina ya waghana wanaweza kupata huduma za elimu ya msingi na ya upili kwa urahisi idadi hizi zinaweza kutofautishwa na zile za chuo kikuu kimoja tu na shule chache tu za upili na za msingi zilizokuwepo wakati wa kujinyakulia uhuru mnamo gharama ya nchi ya ghana kwa elimu imekuwa kati ya asilimia na ya bajeti yake ya mwaka katika mwongo mmoja uliopita mafunzo yote hufanywa kwa lugha ya kingereza ambayo ndiyo lugha rasmi ya ghana na hufanywa na walimu waghana waliohitimu masomo yanayofunzwa katika shule ya msingi au ya mwanzo ni pamoja na kingereza lugha na utamaduni wa ghana hisabati masomo ya masuala ya mazingira masomo ya kijamii na kifaransa kama lugha ya tatu yakiongezwa masomo ya sayansi jumuishi au ya ujumla masomo ya mwanzo ya ustadi wa ufundi pre vocational skills and pre technical skills elimu ya dini na maadili na shughuli za utendaji kama vile muziki ngoma na elimu ya mazoezi ya viungo mtaala wa daraja la upili la senior high una masomo ya lazima na yale ya kuchagua wanafunzi wanapaswa kuchukua masomo manne ya lazima ya lugha ya kingereza hisabati sayansi ya ujumla yakiwemo masomo ya sayansi kilimo na masomo ya maswala ya mazingira na masomo ya kijamii uchumi jiografia historia na serikali wanafunzi wa shule ya upili vilevile hufanya masomo matatu ya kuchaguliwa kati ya matano yafuatayo mtaala wa kilimo mtaala wa kijumla chaguo la sanaa au sayansi mtaala wa somo la biashara mtaala wa ufundi vocational programme and technical programme mbali na shule za msingi na za upili zinazofuata mfumo wa elimu wa ghana kunazo shule za kimataifa kama vile ghana international school lincoln community school na sos hermann gmeiner international college ambazo hufuata mfumo wa international baccalaureat advanced level general certificate of education na international general certificate of secondary education igcse huku ikiwa na asilimia ya watoto wake shuleni kwa sasa nchi ya ghana ni baina ya nchi zilizo na viwango vya juu zaidi vya uandikishaji shuleni katika eneo la afrika magharibi uwiano wa wasichana na wavulana katika ujumla wa mfumo wa elimu ni ambao kwa nchi ya afrika magahribi ni mafanikio makubwa kadiri ya watoto hawaendi shuleni kwa sababu ya ukosefu wa mapato ya kuwezesha ujenzi wa shule kutoa vitabu vya kusoma vya kutosha na kutoa mafunzo kwa walimu wapya chuo kikuu cha zamani zaidi nchini ghana chuo kikuu cha ghana ambacho kilianzishwa mnamo mwaka wa kilikuwa na takriban jumla ya wanafunzi katika mwaka wa tangu unyakuzi wa uhuru wa ghana nchi hii imekuwa mojawapo ya vitovu vya elimu katika eneo la afrika kusini mwa sahara na imekuwa mwenyeji wa watu maarufu kama vile rais robert mugabe wa zimbabwe alhaji sir dauda jawara wa the gambia na cyprian ekwensi wa nigeria baina ya wengine chuo kikuu cha sayansi na teknolojia cha kwame nkrumah ambacho ndicho chuo kikuu cha pili kuanzishwa nchini ghana ndicho chuo cha kwanza cha masomo ya sayansi na teknolojia nchini humo na katika ukanda wa afrika magharibi ikiwa imejaliwa sana na maliasili nchi ya ghana ina mapato yanayokadiriwa kupata kila mtu per capita output yaliyo mara mbili yakilinganishwa na yale ya nchi zilizo maskini zaidi za afrika magharibi hata hivyo ghana imebakia kutegemea kwa kiwango fulani biashara na usaidizi wa kimataifa na vilevile shughuli za uwekezaji kutokana na waghana wanaoishi nchi za ng ambo karibu ya wakazi wanaishi chini ya mstari wa kimataifa wa umaskini wa dola za kimarekani kwa siku na kwa mujibu wa wa benki ya dunia kisio la mapato ya kila mtu per capita income ya ghana yamekuwa mara dufu lakini kwa shida kwa miaka iliyopita nchi ya ghana ikijulikana kwa dhahabu yake katika enzi za ukoloni bado ni kati ya wazalishaji wakuu ulimwenguni wa dhahabu mauzo yake mengine nje ya nchi kama vile kakao mbao umeme almasi bauiti na manganisi ni uzalishaji mkuu wa fedha za kigeni kiwanja cha mafuta kinachoripotiwa kuwa na hadi pipa bilioni m za mafuta mepesi kiligunduliwa mnamo mwaka wa utafutaji wa mafuta bado unaendelea na kiasi cha mafuta kinaendelea kuongezeka bwawa la akosombo ambalo lilijengwa juu ya mto volta mnamo mwaka wa linatoa umeme unaozalishwa na maji kwa nchi ya ghana na nchi zinazoizunguka nguvukazi ya ghana katika mwaka wa ilikuwa jumla ya watu milioni uchumi unaendelea kutegemea sana kilimo ambacho huchangia ya pato la taifa na kutoa ajira kwa kwa ya watu wanaofanya kazi hasa wenye ardhi ndogo sekta ya viwanda ni sehemu ndogo tu ya uchumi wa ghana iliyochangia kwa ujumla ya pato la taifa mnamo sera za kiuchumi zisizofaa za serikali za kijeshi zilizopita na masharti ya vikosi vya kulinda usalama katika maeneo ya kanda vimechangia mfumuko katika fedha za nakisi kushuka thamani kwa sidi na kuongezeka kwa kutoridhika kwa umma katika maswala ya hatua za kupunguza ugumu wa maisha hata hivyo ghana inabakia kuwa mojawapo baina ya nchi za afrika nzima ambazo zina ustawi wa kiuchumi mnamo julai benki ya ghana ilianzisha shughuli ya kugeuza sarafu kutoka kwa sidi hadi kwa sarafu mpya sidi ya ghana gh kiwango cha ubadilishanaji ni sidi moja ya ghana kwa kila sidi benki ya ghana ilizindua kampeni kabambe katika vyombo vya habari ili kuelimisha umma juu ya mageuzo haya sarafu mpya ya sidi ya ghana iko imara kwa kiwango kikubwa na katika mwaka wa ilibadilishwa kwa ujumla kwa thamani ya dola moja ya marekani kwa sidi ya ghana kodi ya ongezeko la thamani ni kodi ya matumizi itozwayo nchini ghana utaratibu huu wa kodi ambao ulianza mnamo ulikuwa wa kiwango kimoja lakini tangu septemba utaratibu wa viwango kadhaa ulizinduliwa mnamo kiwango cha kodi kilikuwa ni na na kilirekebishwa mnamo mwaka wa na kuwa hata hivyo baada ya kupitishwa kwa sheria ya act ya mwaka kodi ya usawa ya a vat flat rate scheme vfrs ilianza kufanya kazi kwa sekta ya usambazaji wa rejareja hii inawezesha wauzaji wa rejareja wa bidhaa zinazotozwa ushuru chini ya sheria ya act kotoza ushuru wa pambizoni wa kwa mauzo yao na kuhesabu ushuru huu pamoja na ule wa vat hii inanuia kurahisisha utaratibu wa uchumi na kuongezeka kwa maafikiano carola daniel amri kinasha alizaliwa longido mkoa wa arusha tanzania mnamo machi ni mwanamuziki wa kike wa kitanzania baada ya kumaliza masomo ya elimu ya msingi huko longido alihamia jijini dar es salaam ambako alipata elimu ya sekondari na ya chuo kikuu katika chuo kikuu cha dar es salaam carola amekuwa akijihusisha na masuala ya muziki tangu mwaka wa ameshiriki katika miradi na matamasha mbalimbali ya kimuziki ndani na nje ya tanzania pia amekuwa mtetezi wa haki za binadamu kwa ujumla akiweka msisitizo zaidi kwenye haki za wasanii wa tanzania anaamini kuwa ili tasnia ya sanaa ya tanzania iweze kukua na kujulikana kimataifa ni muhimu kurejesha elimu ya sanaa kwenye shule zetu pia kuwa na sehemu za kufanyia shughuli za sanaa kwenye kila kitongoji wikipedia ni kamusi elezo huru ya lugha nyingi katika mtandao wa wavuti inalenga kukusanya elimu nyingi iwezekanavyo na kuisambaza kwa njia ya intaneti inatumia taratibu za wikiwiki ni bure kabisa na inaweza kusomwa kuandikwa na kuhaririwa na mtu yeyote popote pale yaani kila mtu anaweza kuchangia makala akiwa na uhuru wa kuboresha makala zilizopo kwa kuzihariri kamusi hii inajengwa kwa utaratibu huria ambao unategemea falsafa ya ushirikiano ambako watu wengi hushirikiana kwa kujitolea bila kupokea malipo yoyote falsafa hii inaonekana katika vuguvugu la programu huria ya tarakilishi mikutano huria demokrasia huria n k wikipedia inaweza kusomwa pia nje ya mtandao kwa kutumia programu huria ya kiwi wikipedia ilianzishwa kwa kiingereza mwezi januari mwaka mwaka kamusi elezo hii ilianzishwa katika lugha ya kiswahili wikipedia imeshachukua nafasi za kamusi elezo mashuhuri kama encyclopedia britannica zilizotazamwa kuwa mkusanyo wa elimu ya dunia kabla ya kutokea kwa intaneti kwa lugha za kiafrika kama kiswahili ni mara ya kwanza ya kwamba jaribio la kukusanya elimu za fani mbalimbali limeanzishwa hadi mwaka wachangiaji wa wikipedia walishirikiana kuunda zaidi ya makala milioni kwa lugha wikipedia kubwa zenye makala zaidi ya milioni mbili zilikuwa kwenye novemba wikipedia ya kiingereza makala ya kicebuano makala ya kiswidi makala ya kijerumani na ya kifaransa makala kwa jumla kulikuwa na wikipedia zenye zaidi ya makala milioni moja kwa lugha kisheria maudhui yote ya wikipedia si mali ya mtu yeyote kwa kuwa ni maudhui huria seva za wikipedia na programu zake zinatunzwa na taasisi ya wikimedia foundation ambayo ni shirika lisilo la kiserikali lililoandikishwa chini ya sheria za jimbo la kalifornia marekani taasisi hii inapokea mapato yote kutoka kwa wafadhili wa kujitolea kote duniani katika nchi mbalimbali kuna shirika za kitaifa zinazojumuisha wanawikipedia ama kwa umbo la taasisi au kwa umbo la makundi ya watumiaji wikimedia user groups nchini tanzania kuna kundi la kundi la ni jumuiya ya wachangiaji kutoka nchi mbalimbali wanaoangalia maendeleo ya wikipedia ya kiswahili dar es salaam ni jiji kubwa kuliko yote nchini tanzania pia ni jina la mkoa wake dar es salaam ni mji mkongwe na wenye watu wengi zaidi katika jumuia ya afrika mashariki katika tanzania ndio mji wenye vitega uchumi vingi na ndio mji unaoangaliwa na watu wengi ni mji mkuu wa kibiashara wa tanzania wakati dodoma ni mji mkuu wa tanzania kinadharia tangu mwaka mpango wa kuhamishia serikali mjini dodoma unaendelea kwa kasi chini ya rais john magufuli japokuwa bado ofisi kadhaa za serikali ikiwa ni pamoja na ikulu zipo dar es salaam mji una wakazi wapatao kwa hesabu ya sensa iliyofanyika katika mwaka wa jiji hili zamani lilikuwa kijiji na kuitwa mzizima sultani seyyid majid wa zanzibar ndiye aliyechagua jina dar es salaam linalotokana na lugha ya kiarabu dr as salm lenye kumaanisha nyumba ya amani maelezo yanayopatikana mara nyingi kuwa maana ni bandari ya salama yachanganya maneno mawili ambayo kimatamshi yanafanana kidogo katika lugha ya kiarabu yaani dar nyumba makazi na bandar bandari hadi leo kuna majengo mawili yaliyobaki ya vyanzo hivi ambayo ni boma la kale na nyumba ya atiman house dar es salaam ilichaguliwa na wakoloni wajerumani kuwa mji mkuu wa afrika ya mashariki ya kijerumani kwa sababu ya bandari asilia yenye mdomo mpana wa mto kurasini hivyo kuanzia mwaka dar es salaam ilichukua nafasi ya bagamoyo kama makao makuu ya utawala bandari pamoja na ujenzi wa reli ya kati kwenda kigoma tangu mwaka viliimarisha nafasi ya mji ulioendelea kama mji mkuu baada ya tanzania bara ya leo kuwa eneo lindwa la tanganyika chini ya uingereza dar es salaam inakadiriwa kuwa na wakazi wapatao milioni tatu ingawa dodoma inafahamika kama ndio mji mkuu wa tanzania dar es salaam ndiko ziliko ikulu mabalozi mashirika ya kimataifa n k uwanja wa ndege mkuu wa tanzania uko pia mjini hii ni uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere bandari ya dar es salaam katika bahari ya hindi ndio bandari kubwa nchini tanzania inayojihusisha na usafirishaji na uingizaji wa bidhaa mbalimbali za kilimo ufugaji ujenzi magari madawa n k kiutawala dar es salaam imegawanywa katika manisipaa za temeke ilala kinondoni kigamboni na ubungo dar es salaam ni mji unaosemekana kuwa mkubwa kuliko yote kwa sababu ya maendeleo mbalimbali ya viwanda uwepo wa bahari uwepo wa sehemu mbalimbali za kihistoria n k huduma ya maji dar es salaam imekuwa na tatizo kubwa katika kudhibiti mfumo wa maji taka katika mkoa wa dar es salaam kwa muda mrefu tangu shirika la maji dawasco dar es salaam water supply company lilipowekwa rasmi kama shirika husika katika kuratibu utaratibu mzima wa mfumo wa maji safi na maji taka kumekuwa na nafuu kidogo tu lakini baada ya muda liliibuka tatizo la kuibiwa kwa mabomba na uharibifu wa vyanzo mbalimbali vya maji kwenye suala hili la elimu vijana wanatakiwa kupewa elimu hasa vijana wa mitaani wasioingiza kipato inabidi wapewe elimu kwa kazi fulani ili waweze kuajiriwa na kulipa faida taifa kwa kuingizia kipato na kukuza uchumi wa taifa mfano wa kazi hizo ni kama ujenzi wa nyumba n k bahari ya hindi ni bahari ya tatu kwa ukubwa duniani ikiwa imechukua asilimia ya uso wa dunia na kuzungukwa na mabara manne upande wa kaskazini imepakana na asia ya kusini magharibi imepakana na ghuba ya uajemi bahari ya shamu na afrika mashariki imepakana na ghuba ya malay visiwa vya sunda indonesia na australia na upande wa kusini imepakana na bahari ya kusini bahari hii ni njia muhimu ya usafiri na usafirishaji kwa meli kati ya asia na afrika mipaka ya bahari hindi imeelezwa na shirika la kimataifa la hidrografia kama ifuatayo kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba km kina cha wastani ni mita ilhali kina kikubwa kinafikia mita mjao wake ni kilomita za ujazo km inayolingana na asilimia ya mjao wa bahari zote duniani chini ya bahari hindi kuna mabamba ya gandunia mbalimbali yanayopakana hapa bamba la antaktiki bamba la afrika bamba la uarabuni bamba la uhindi na bamba la australia kama kawaida pale ambako mabamba yanaachana kuna nafasi inayoruhusu kupanda juu kwa joto na magma kutoka kiini cha dunia na kutokea kwa volkeno pamoja na safu za milima chini ya maji tetemeko la ardhi na tsunami ya iliyosababisha uharibifu na vifo katika sehemu za kaskazini za bahari hindi ilisababishwa na mwendo wa ghafla la bamba la australia juu ya bamba la uhindi bahari za pembeni ghuba na hori za bahari hindi ni pamoja na kwa jumla bahari hindi ina halijoto ya juu kulingana na bahari kubwa nyingine za dunia tofauti na atlantiki na pasifiki haina maeneo makubwa kwenye nusutufe ya kaskazini ya dunia hivyo haipokei baridi kutoka aktiki upande wa kazkazini wa ikweta kuna monsuni upepo kutoka kazkazini mashariki uko kuanzia oktoba hadi aprili kinyume chake upepo kutoka kusini unaendelea kuanzia mei hadi oktoba badiliko hili linafuata utaratibu wa kila mwaka na lilikuwa msingi kwa usafiri na biashara katika bahari hii maana iliwezekana kutumia upepo kwa jahazi tangu kale wakati wa badiliko la monsuni dhoruba kali zinaweza kutokeas hasa katika bahari ya uarabuni na hori ya bengali israel na jordani kupitia ghuba ya akaba na bahari ya shamu ufalme wa uarabuni wa saudia yemen omani falme za kiarabu qatar kuwait iraq iran pakistan india bangladesh myanmar uthai malaysia indonesia na timor ya mashariki afrika kusini msumbiji tanzania kenya somalia jibuti eritrea sudani na misri kupitia bahari ya shamu ndani ya bahari hindi kuna mataifa huru ambayo ni nchi za visiwani pamoja na bahrain ghuba ya uajemi komori madagaska maldivi morisi shelisheli na sri lanka indonesia na timor ya mashariki ni nchi za visiwani zinazopakana na bahari hindi agalega anjouan bahrain cargados carajos visiwa vya cocos keeling diego garcia kilwa kisiwani kirimba visiwa kisiwa cha mafia komori kisiwa cha krismasi lamu kisiwa morisi madagaska mahore mah maskarena mayotte moheli msumbiji kisiwa mwali ngazija pamanzi pate pemba kisiwa rodrigues kisiwa runion shelisheli sokotra unguja les parses nairobi ni mji mkuu wa jamhuri ya kenya na vilevile mojawapo ya kaunti za kenya kulingana na sensa ya mwaka nairobi ina wakaaji katika eneo la km sq mi pamoja na vitongoji vyake nairobi ni mji wa kwa ukubwa barani afrika jina nairobi limetokana na neno la kimaasai enkarenairobi linalomaanisha mahali penye maji baridi lugha zote za kenya huzungumzwa nairobi lakini hasa ni kiingereza na kiswahili pamoja na sheng nairobi yenyewe iko ndani ya eneo la jiji la nairobi kwa kiingereza greater nairobi metropolitan region lililoundwa na kaunti kati ya jumla ya za kenya eneo hili linazalisha asilimia za pato la taifa hali ya hewa haina joto kali halijoto ya wastani ni c mwezi wa machi na c mwezi wa julai wakati wa juni na julai usiku unaweza kuwa baridi halijoto ikishuka chini ya sentigredi mvua nyingi hunyesha mwezi machi mm kiangazi kina mm tu wakati wa julai ndani ya jiji la nairobi kuna mitaa mbalimbali kama vile dandora eastleigh embakasi highridge huruma jericho karen kariobangi kiambiu kibera langata lavington mathare parklands south c westlands kawangware karen umoja innercore nairobi ilianzishwa na waingereza mwaka kama kambi ya kujenga reli ya uganda njia ya reli ilikuwa imefika kutoka mombasa ikaonekana ya kwamba kuanzia hapa kasi ya ujenzi itachelewa kutokana na ugumo na eneo la bonde la ufa na mitelemko yake mikali mahali palikuwa karibu katikati ya mombasa na kampala palikuwa na maji pakaonekana panafaa kwa kituo njiani hasahasa ilionekana tabianchi ya nyanda za juu ilifaa kiafya kwa waingereza walioteswa na joto la pwani na kwenye nyanda za chini kitangulizi cha nairobi kilikuwa kituo kidogo kilichoanzishwa mwaka kando ya mto nairobi na wakala mwingereza wa reli kwa kusudi la kuajiri wafanyakazi wazalendo kwa ujenzi wa reli mwaka uliofuata wakaguzi walioandaa njia ya reli walipiga kambi karibu naye njia ya reli ilifika kwenye kambi tarehe mei hapo idadi ya wafanyakazi hasa wahindi iliongezeka sana na kambi lilikuwa kubwa ya mahema na ghala za vifaa vya ujenzi mwezi wa juni mizigo ya mabati ilifika kutoka mombasa tayari kwa reli na majengo ya kudumu yalianza kutengenezwa katika mazingira ya eneo la kituo cha reli cha leo mwezi wa agosti kamishna mwingereza wa jimbo la ukamba aliamuliwa kuhamisha makao makuu yake nairobi kutoka machakos akajenga boma lake kwenye eneo la moi avenue mbali na reli jinsi inavyoonekana hadi leo kwenye majengo ya polisi ya kihistoria yanayotazama bustani ya jivanji barabara kuu ya kwanza ilikuwa station road kandokando ya mtaa wa tom mboya wa leo iliyoitwa victoria street ikawa mahali pa maduka na hoteli za kwanza zilizoendeshwa na wazungu na baadaye pia na wahindi kadhaa soko la wahindi maskini likuwa kando kwenye sehemu kati ya mitaa ya haile selassie na harambee kulikuwa na makazi ya kwanza ya wafanyakazi mwaka uleule wa ofisi kuu ya reli ikapelekwa huko kutoka mombasa kwa shabaha ya kurahisisha mawasiliano pale mwanzoni kulikuwa na wasiwasi kuhusu chaguo la mahali baada ya mvua kali sehemu ya mahema na vibanda vilipatikana katikati ya ziwa la matope magonjwa yalisambaa na baada ya epidemia ya tauni soko la wahindi lilichomwa na kuhamishwa sehemu nyingine majaribio ya kukausha kinamasi yaliendelea kwa miaka kadhaa hadi kufaulu kutokana na usumbufu wa matope maafisa wa ngazi ya juu walijenga nyumba zao kwenye kilima cha karibu kilichojulikana kama nairobi hill mwaka waingereza walihamisha ofisi kuu ya serikali yao ya kikoloni kutoka mombasa kwenda nairobi ambayo ikawa hivyo makao makuu ya afrika ya mashariki ya kiingereza british east africa baadaye kenya colony uchumi wa mji ulitegemea pale mwanzoni hasahasa mahitaji ya utawala wa serikali na reli na utalii matajiri wengi kutoka pande zote za dunia walifika kwa kusudi la kuwinda wanyama wakubwa wakivutwa na wingi wa wanyama kwenye nyanda za juu na usafiri rahisi kwa reli baadaye ardhi katika mazingira ya mji ilitolewa kwa walowezi wazungu na kilimo cha biashara kilianza kuchangia kiasili nairobi ilikuwa imepangwa kwa ajili ya wazungu wa reli na serikali pamoja na wahindi waafrika hawakupewa makazi isipokuwa mabweni ya wanfanyakazi wa reli na vibanda vya wafanyakazi wasaidizi kandokando ya nyumba za mabwana wao lakini waingereza waliajiri askari kutoka sudan na somalia katika jeshi na polisi na hao walifuatwa na wafanyabiashara kutoka kwao wapagazi na askari kutoka sehemu mbalimbali za afrika ya mashariki walifika nairobi kikazi na wengine waliamua kubaki mitaa ya vibanda iliota haraka nje ya mji wenyewe mingine ilibomolewa haraka mingine iliweza kubaki mnamo kulikuwa na waafrika waliokaa katika mitaa ya waafrika iliyoitwa mombasa masikini kaburini kariokor kibera pumwani na pangani mwaka ikawa mji mkuu wa nchi huru ya kenya ikaendelea kukua haraka file the modern skyline of nairobi jpg thumb nairobi leo new central bank tower m teleposta towers m kenyatta international conference centre m nssf building m im bank tower m government office conference hall m nairobi imeibuka kuwa mojawapo kati ya miji mikubwa katika bara la afrika mashirika mengi makubwa duniani yamefungua ofisi zao zinazoshuhudia eneo la afrika ya mashariki na afrika ya kati mojawapo ya mashirika haya ni ofisi za tawi la umoja wa mataifa united nations unep kunazo pia ofisi za mabalozi wa nchi mbalimbali duniani nairobi kama miji mingi mikubwa ina matatizo mengi yanayotokea kwa sababu ya ukubwa wake watamaduni walioupanga mji wa nairobi hawakutegemea kuwa utatanuka hivyo wataalamu wengi wametoa maonyo mengi kuhusu ukubwa wa mji huu na uwezo wake wa kuwahudumia wakazi wote ambao wanazidi kuongezeka kila mwaka nairobi imewavutia wakazi wengi wote wakiwa na hamu ya kujitafutia riziki yao ijapokuwa wapo wanaofanikiwa wengi wao hujipata wameangulia patupu wakaachwa bila pesa au hali ya kujikimu jambo hili limepelekea kuwepo kwa wakazi wa maeneo yasiyotengwa wananchi maarufu kama slums kwa kimombo eneo kubwa zaidi jijini nairobi ni kibera eneo hili lina ukubwa wa kilomita kwa na wakazi takribani milioni moja eneo hili halina mipango yoyote ya kuruhusu binadamu kuishi lakini umaskini umewavutia wengi kuishi kule kunayo pia matatizo ya ujambazi wa kibinafsi ujambazi wa nyumba na utekaji nyara wa magari matatizo haya yamesababisha watu wengi kutoupendelea mji wa nairobi by christine stephanie nicholls timewell press via google books imetazamiwa aprili antaktiki ni bara lililopo kwenye ncha ya kusini ya dunia kati ya bahari za pasifiki atlantiki na bahari hindi jina antaktiki linatokana na lugha ya kigiriki likimaanisha kinyume cha aktiki ambapo aktiki ni eneo karibu na ncha ya kaskazini bara hili lina eneo la kilomita za mraba milioni na eneo hili limefunikwa karibu kabisa yaani kwa asilimia za eneo na theluji na barafu eneo lake ni kubwa kushinda ulaya lakini hakuna mti hata mmoja bara hili linajulikana kama jangwa baridi kwa sababu ya baridi kali katika bara hilo ni bara pekee ambako binadamu hawaishi kwa namna ya kudumu isipokuwa kuna watu hasa wanasayansi wanaokaa kwa muda katika vituo vyao bara la antaktiki halikujulikana hadi karne ya lakini wataalamu wa jiografia waliwahi kuhisi tangu zama za kale ya kwamba eneo kubwa la nchi kavu liko kwenye sehemu ya kusini ya dunia kuanzia aristoteli wataalamu waliamini ya kwamba dunia ilipaswa kuwa na uwiano fulani hivyo kuwepo kwa bara kubwa ingekuwa lazima kulingana na mabara ya nusutufe ya kaskazini nchi hii isiyojulikana kwa muda mrefu ikaitwa kwa jina la kilatini terra australis yaani nchi ya kusini na pia kuchorwa kwenye ramani za dunia zilizoanza kutengenezwa tangu safari za wavumbuzi wareno waliozunguka dunia nzima kwa mara ya kwanza ila tu ramani hizi za kwanza zilikuwa kama njozi tu kundi la kwanza la watu kufika kusini kwa kutosha na kuona kona ya barafu ya antaktiki lilikuwa mwaka msafara wa kisayansi wa nahodha fabian von bellingshausen mjerumani baltiki katika utumishi wa tsar wa urusi akifuatwa mwaka uleule na nahodha edward bransfield wa uingereza na tena mmarekani nathaniel palmer ila tu hakuna uhakika kama wavumbuzi hao walitambua tayari ya kwamba waliona bara jipya pamoja na taarifa za mabaharia wengine waliopita kwenye pwani bado haikueleweka kama huko karibu na ncha ya kusini kulikuwa na visiwa mbalimbali au nchi kavu kubwa zaidi ni misafara ya wafaransa na wamarekani mnamo mwaka iliyoweza kuthibitisha ya kwamba ncha ya kusini ilipatikana ndani ya bara jipya sasa shauku ya upelelezi ilififia kwa sababu haikueleweka kuna nini katika bara jipya tangu mwaka shirika la kifalme la jiografia royal geographic society nchini uingereza lilianza upya kusisitiza umuhimu wa utafiti wa antaktiki iliyokuwa sehemu ya mwisho wa dunia isiyochunguliwa bado kabisa hapo misafara mbalimbali kutoka nchi tofauti ilifuatana na kupeleleza antaktiki katika miaka iliyofuata idadi ya misafara iliongezeka tangu mwaka eropleni zilitumika pia katika upelelezi ni hasa mmarekani richard byrd aliyeongoza misafara kadhaa akitumia ndege akaweza kuweka msingi wa ramani kamili ya antaktiki bara la antaktiki lina takriban umbo la duara isiyo kamili ikizunguka ncha ya kusini pande zote inapakana na bahari ni mahali ambako maji ya kusini ya pasifiki atlantiki na bahari hindi yanakutana kwa namna nyingine inawezekana kusema inazungukwa na bahari ya kusini eneo lake ni zaidi ya kilomita za mraba milioni hivyo ni bara la tano duniani kwa ukubwa umbali kutoka pwani hadi pwani uko baina ya kilomita na pwani ina urefu wa kilomita safu ya milima ya kuvukia antaktiki kwa kiingereza transantarctic mountains inagawa bara katika sehemu mbili za antaktiki magharibi na antaktiki mashariki mpaka huu unalingana takriban na longitudo ya visiwa kadhaa vinahesabiwa kuwa sehemu za antaktiki baadhi ya visiwa hivyo viko ndani ya maji ya bahari vingine vinafunikwa na barafu ya kudumu na hivyo haionekani mara moja ya kwamba kuna kisiwa maana sehemu nyingi ngao nene ya barafu ya kudumu inaingia baharini nje ya pwani visiwa hivi ni pamoja na milima mingi ni sehemu ya safu ya milima ya kuvukia antaktiki au milima transaktiki ambayo ni safu ndefu yenye urefu wa kilomita na kufikia kimo cha mita na zaidi ncha za milima yake mirefu zinaonekana juu ya uso wa ngao ya barafu inayofunika bara lote mlima mrefu katika safu hii ni mlima kirkpatrick wenye urefu wa mita juu ya ub pale ambako rasi ya antaktiki inaanza kuna safu ya milima ya ellsworth na huko uko mlima mrefu kabisa wa bara ni mlima vinson wenye mita juu ya ub kuna pia volkeno kadhaa nyingine zimelala nyingine ziko hai volkeno hai ndefu inayotema moto barani ni mlima erebus wenye kimo cha mita iko kwenye kisiwa cha ross tabia ya pekee ya antaktiki ni ngao ya barafu inayofunika karibu uso wote wa nchi yake pamoja na sehemu za bahari ya karibu ngao ya barafu hii ni mkusanyiko mkubwa wa barafu duniani unene wake yaani kimo juu ya ardhi unafikia hadi mita ngao ya barafu inajumlisha ni asilimia za eneo lote la bara zisizofunikwa na barafu yaani km tu ngao hiyo ilianza kutokea miaka milioni kadhaa iliyopita uzito wake ni mkubwa na inaaminiwa ya kwamba bara lote lilishuka chini kiasi na kama siku moja ngao ya barafu itapotea litapanda tena juu mita kadhaa barafu hii inashika maji mengi kiasi kwamba kama barafu yote itayeyuka siku moja uwiano wa bahari duniani kote itapanda juu takriban mita tabia ya pekee ya antaktiki ni pia uhaba wa mito mito yote inayotokea ni ya maji ya barafu ya kuyeyuka wakati wa majira ya joto katika miezi ya februari na machi katika sehemu nyingine ya mwaka mito yote inaonekana kama kanda la barafu mto mkubwa ni ony unaofikia urefu wa kilomita ukiishia katika ziwa vanda mito haina samaki lakini katika ile mikubwa zaidi kuna mikrobi na algae kuna maziwa kadhaa chini ya ngao ya barafu hata kama jotoridi yake ni chini ya sentigredi baadhi yanaweza kuwa na maji ya kiowevu kwa sababu shinikizo kubwa ya ngao ya barafu linashusha halijoto ya kugandisha maji hasa kama maji ni ya chumvi barafu ya ngao haikai kimyakimya lakini yote ina mwendo ikifuata mtelemko wa uso wa nchi katika sehemu kadhaa barafu ina mwendo wa haraka zaidi na sehemu hizi zinaitwa mito ya barafu na ni aina ya barafuto mito ya barafu hii iko yenye urefu hadi kilomita mia kadhaa upana wa km na unene wa kilomita mwendo unafikia hadi mita kwa mwaka pale inafikia kwenye ufuko wa bahari inajenga ulimi wa barafu inayosukumwa katika maji antaktiki si nchi wala dola na hakuna wenyeji au wananchi lakini madola mbalimbali yalitangaza madai ya kutawala sehemu za eneo lake madai haya hayalingani na mara kadhaa kuna mataifa mbalimbali yanayodai sehemu ileile mataifa yanayodai kutawala sehemu za antaktiki ni pamoja na argentina australia chile ufaransa new zealand norwei na ufalme wa maungano tangu mwaka kuna mkataba wa kimataifa kuhusu antaktiki unaosimamisha madai yote ya utawala bila kuyafuta mataifa yote yana haki ya kuwa na vituo vya kisayansi mapatano ya kando yaliweka masharti makali kwa shughuli za kiuchumi na hadi sasa imewezekana kuzuia migodi na uchimbaji wa madini mtoto wa kwanza kuzaliwa barani huko alizaliwa mwaka kwa sasa kuna shule kadhaa na kanisa moja la waorthodoksi warusi ubaguzi wa rangi ni kitendo cha kuthamini au kutenga binadamu kwa misingi ya rangi za ngozi ubaguzi wa rangi ulikuwa maarufu sana katika nchi kama afrika kusini kwa jina la apartheid na marekani kwa jina la segregation ambapo huko waafrika walikandamizwa kutokana na rangi yao katika kupata huduma mbalimbali za kijamii na kimaendeleo wakati wa ukoloni rangi ilitumika kama msingi wa utoaji huduma muhimu mfano shule matibabu na haki nyingine za kibinadamu rangi nyeusi ilipewa hadhi ya chini zaidi siku hizi katika karibu nchi zote sheria zinapinga ubaguzi wa rangi lakini katika nchi nyingi bado kuna wabaguzi wachache ambao wanavunja sheria kwa kuendelea kubagua kwa mfano kuna wabaguzi wanaobagua watu weusi nchini marekani nchini china nchini india na katika nchi za ulaya utumwa ni mfumo unaotoa fursa kwa binadamu kummiliki binadamu mwenzake kama mali yake binadamu anayemilikiwa anakuwa na hadhi sawa na chombo au kifaa chochote kinachoweza kuuzwa mfumo huu ulianza kabla ya uandishi kubuniwa ukawa maarufu hasa kabla ya harakati za ukoloni duniani mathalani kuanzia karne ya ambapo watumwa walihitajika katika shughuli za kilimo na uchimbaji madini katika sehemu mbalimbali za ulimwengu hasa amerika ingawa katika sehemu nyingine hasa uarabuni walitafutwa hasa watumwa wanawake kwa ajili ya uasherati mfumo huu huunda matabaka ya mabwana ambao humiliki watumwa na watwana ambao ni watumwa wenyewe katika historia zilitokea aina mbalimbali za utumwa kulikuwa na utumwa wa muda yaani mtu huwa mtumwa kwa miaka kadhaa au kwa maisha yote kulikuwa na utaratibu ambao watoto wa mtumwa walikuwa watumwa tena hivyo kuzaliwa watumwa kulikuwa pia na utaratibu wa kwamba watoto wa watumwa walitazamiwa kama watu huru kulikuwa na jamii ambako watumwa hawakuwa na haki kabisa yaani mabwana waliweza kuwatendea jinsi walivyotaka hata kuwaua lakini kulikuwa pia na jamii zilizojua haki fulani za watumwa hapo watumwa waliweza kuwa na mali ya binafsi na kwa njia hii hata kununua uhuru wao kutoka kwa mabwana watumwa katika utumishi wa watawala waliweza kupata nafasi muhimu katika jamii mfano ni wamameluki wa misri waliokuwa watumwa wanajeshi wakatawala nchi hiyo kwa karne kadhaa chanzo cha utumwa kilikuwa mara nyingi ama vita ama madeni vitani waliotekwa wakauzwa kama watumwa wakihesabiwa kama sehemu ya uwindo wa washindi sababu kuu nyingine ilikuwa madeni ya watu waliokamatwa na kuuzwa ili madeni yalipwe kwa njia hii mahitaji ya kiuchumi ya kupata watumwa wengi yalisababisha biashara ya watumwa uchumi wa roma ya kale ulitegemea watumwa waliokamatwa na kusafirishwa kutoka pande zote za mazingira ya bahari mediteranea milki za makhalifa wa uislamu ziliendelea kutegemea watumwa waosmani walichukua watoto wa kikristo hasa kutoka nchi za balkani na kuwapeleka kama watumwa katika sehemu za kusini za milki yao kama misri walipofanya kazi kama wanajeshi biashara ya waarabu kuhusu watumwa ilidumu miaka na kupeleka mamilioni ya waafrika upande wa asia mahitaji ya uchumi wa kimataifa tangu karne ya yalisababisha kuongezeka kwa biashara ya watumwa hasa kutoka afrika mamilioni walikamatwa na watawala wa milki kwenye pwani za afrika au waarabu na kuuzwa kwa wafanyabiashara wazungu waliowapeleka amerika walipohitajika kwa kazi kwenye mashamba makubwa ya miwa na pamba biashara hii ilianza kupingwa zaidi tangu mwisho wa karne ya mkutano wa vienna ulikuwa mapatano ya kwanza ya kimataifa yaliyolenga kukataza biashara ya watumwa kutoka afrika hata hivyo iliendelea kwa miaka kadhaa hasa upande wa bahari hindi ambako wanafayabiashara waislamu kama tippu tip waliendelea kukamata watumwa na kuwapeleka pwani na zanzibar kulikokuwa na soko la watumwa kubwa kuliko yote ukoloni ulimaliza kwa kiasi kikubwa biashara hiyo afrika pia ingawa mauritania ilifanya utumwa kuwa kosa la jinai mwaka tu tangu karne ya utumwa na pia biashara ya watumwa zimepigwa marufuku katika mapatano ya kimataifa chini ya usimamizi wa umoja wa mataifa lakini miaka ya hivi karibuni imeona biashara mpya inayotumia nafasi za usairi wa kisasa hata kama duniani hakuna utumwa kisheria tena ni hasa wanawake na mabinti wanaouzwa kwa kazi haramu ya ukahaba kati ya nchi na nchi uislamu ulikubali utumwa hivyo katika nchi zinazofuata dini hiyo utumwa ulichelewa zaidi kufutwa lakini waislamu walifundishwa masharti fulani kama kuwatendea watumwa vizuri walifundishwa pia kwamba ni tendo jema mbele ya mungu allah kumwacha huru mtumwa katika historia ndefu za utumwa kulitokea juhudi za kukomboa waliotekwa hasa kwa kuwanunua ili kuwaacha huru kati ya wakatoliki yalianzishwa hata mashirika maalumu ya kitawa kwa lengo hilo kwa mfano watrinitari na wamersedari kwa muda mrefu utumwa ulikuwa utaratibu wa kijamii katika sehemu nyingi za dunia habari za kwanza za kimaandishi juu ya afrika mashariki karne ya k k zilisema wanaleta kutoka pwani ile ndovu dhahabu na watumwa kule ulaya kuna kundi la mataifa linaloitwa tangu zamani waslavi kama vile warusi wapolandi waserbia n k kumbe neno slavi kiasili linamaanisha watumwa watu wa mataifa yale walikamatwa zamani na kuuzwa kama watumwa katika sehemu nyingine za ulaya asia na pia afrika kaskazini hali hiyo ni mbaya sana hailingani kabisa na utu na heshima ya kibinadamu wala haipatani na ukristo unaokiri na kulenga udugu wa watu wote lakini watu walioishi zamani katika mazingira yenye utumwa walikuwa wamezoea hali hiyo habari za watumwa tunaweza kuzisoma hata katika biblia ilikuwa jambo la kawaida katika mazingira ya israeli ya kale mtu aliweza kukamatwa na kuuzwa utumwani ili kulipia madeni yake mara nyingi watumwa walikuwa watu waliokamatwa vitani kwa mfano wakazi wote wa yerusalemu walifanywa watumwa baada ya mji huo kutekwa na wanajeshi waroma mwaka b k wakati wa biblia asilimia hivi za wakazi wa dola la roma walikuwa watumwa lakini katika nchi ya israeli hali ilikuwa tofauti sheria ya musa ilimwacha mtumwa awe huru baada ya miaka kut kwa sababu hiyo hawakuwapo watumwa wengi katika israeli labda ndiyo sababu yesu hakufundisha juu ya utumwa kwani walikuwa wachache sana katika mazingira yake mtume paulo aliishi zaidi nje ya eneo la israeli katika miji mikubwa kama antiokia korintho efeso au roma watumwa walikuwa wengi paulo alifundisha ni wajibu wa mabwana wakristo kuwatendea watumwa wao vizuri kwa nini hakupinga utumwa wataalamu wengi hudhani kwamba paulo alitegemea kurudi kwake yesu na mwisho wa dunia kuwa karibu sana hivyo hakuona umuhimu wa kubadilisha taratibu za kijamii lakini alisititiza kwamba ndani ya kanisa ni marufuku kutofautisha kati ya watumwa na walio huru ukristo uliweza kuvuta watumwa wengi kwani uliwakubali kuwa binadamu wenye utu na heshima kamili wapinzani wa ukristo waliuita dini ya watumwa walau mtumwa mmoja alichaguliwa kuwa askofu wa roma kanisa katoliki linamkumbuka kama mtakatifu papa kalisti i baada ya uenezaji wa ukristo utumwa ulipungua sana ulaya vilevile walimu wengi wakristo walipinga utumwa wenyewe hatimaye mabadiliko ya uchumi yaliondoa faida ya kutumia watumwa hali hii ilibadilika baada ya kuanzishwa kwa ukoloni amerika wareno na wahispania walioteka nchi za huko walivutwa na tamaa ya dhahabu mataifa ya ulaya yalipeleka ng ambo mara kwa mara wafungwa wao kwa nia ya kusafisha jamii zao na kupunguza gharama za magereza watu waliona kule mbali hawawezi kusababisha hasara kumbe hawakujali hali ya wenyeji walioteswa na wale wakorofi walioona nafasi ya kujitajirisha hata maafisa wa serikali za kikoloni walishindwa kuwadhibiti vizuri kwani waliwategemea katika kuwatawala wenyeji ambao hawakunyamaza kwa hiari ndipo wamisionari walipojitahidi kupambana na ukorofi uliokuwepo lakini kiasi jinsi mapato kutoka makoloni yalivyokuwa muhimu kwa makisio ya serikali za ulaya haikuwa rahisi kupambana na unyonyaji katika makoloni ya mbali kanisa katoliki halikukubali rasmi biashara ya watumwa lakini mapapa waliona hawana nguvu ya kuizuia walijaribu zaidi kuweka masharti jinsi ya kuwatendea watumwa mataifa kadhaa yalifuata mafundisho ya kanisa k mf hispania na ufaransa zilikataa kuwa na soko la watumwa lakini zilifunga macho raia wao wakiendesha biashara hiyo nje ya mipaka yao wengine kama wareno hawakuona tatizo kufanya biashara hiyo watumwa wa kwanza kutoka afrika waliingia ureno wakati mfalme wa ureno alipokubali kupokea kutoka kwa waarabu wa moroko watumwa kadhaa kama malipo ya madeni wapelelezi wareno walioanza kuzunguka pwani za afrika walileta tena na tena wafungwa kama watumwa lakini mpaka wakati ule walikuwa wachache kwani ulaya soko lilikuwa dogo kumbe baada ya kuanzishwa kwa makoloni amerika watumwa walitafutwa sana kwa ajili ya kulima mashamba makubwa na kuchimba madini kule hivyo ukoloni amerika ulisababisha kukua kwa mahitaji ya watumwa hapo utaratibu wa kale wa utumwa ulipanuka kuwa mbaya sana kuliko awali milioni nyingi za waafrika waliuawa katika vita vya kukamata watumwa na nyingine nyingi wakapelekwa wamefungwa kule amerika katika hali ya kutisha vurugu iliyoharibu jamii nyingi za kiafrika ndiyo iliyosababisha vilevile uharibifu wa misheni za kikristo katika karne za uharibifu wa taratibu za kijamii ulikuwa mbaya zaidi katika maeneo ya pwani yaani kulekule walipoingia wamisionari si ajabu kwamba waafrika wengi walishindwa kutambua tofauti kati ya wamisionari wareno na wafanyabiashara ya watumwa kutoka taifa lilelile hali ilikuwa mbaya zaidi wamisionari wenyewe walipojiingiza katika mambo ya utumwa kama walivyofanya wengine kwa jumla ni aibu kubwa kwamba wakristo wengi walitumia muda mrefu mno kutambua kwamba ukristo na utumwa havipatani mwanzoni awamu mpya ya utumwa haikuonekana kwa watu wengi kule ulaya maana uliendeshwa hasa afrika na amerika lakini habari zake zilienea mara walijitokeza waliopinga utumwa au waliojaribu kupunguza nguvu yake lakini wakati ule katika nchi mbalimbali za ulaya hata wakulima wengi hawakuwa huru kweli ingawa si watumwa katika karne ya kule uingereza wakristo wa madhehebu ya marafiki waliitwa pia quakers waliamua kwamba utumwa haupatani na ukristo hivyo mwenye watumwa anajitenga nayo polepole wengine wakaunga mkono hoja hiyo hata likajitokeza tapo la kufuta utumwa wakristo wa tapo hilo walimshtaki mwingereza mlowezi katika visiwa vya karibi aliyetembelea uingereza akiwa na mtumwa mwaka hakimu aliamua si halali kuwa na watumwa katika nchi hiyo wapinzani wa utumwa wakaendelea kusukuma bunge la uingereza lakini matajiri wa liverpool waliofaidika na utumwa kama wenye meli au kwa sababu waliendesha biashara ya watumwa wenyewe walitetea vikali hali halisi katika karne ya polepole utumwa na biashara ya watumwa vilikomeshwa katika sehemu nyingi za dunia mtawanyiko ndani ya kanisa ulikuwa jambo wa kusikitisha sana kumbe hapa tumepata mfano jinsi mungu alivyotumia vikundi vidogovidogo kuelimisha wakristo wote maana madhehebu makubwa yalikosa nguvu ya kupinga vikali utumwa kwa kuwa karibu mno na serikali tena matajiri ni wakristo wa madhehebu madogo kama marafiki au wamethodisti waliotangulia na kusaidia wakatoliki waanglikana na wareformati kutambua ukweli hali nyingine iliyosaidia kukomesha utumwa ni mabadiliko ya uchumi umuhimu wa kazi ya watumwa ulipungua sana kutokana na njia mpya za kuzalisha mali si tena wafanyabiashara ya biashara kati ya amerika ulaya na afrika triangular trade waliokuwa na pesa nyingi hivyo na athari pia katika jamii ya uingereza waliopata uzito zaidi ni mabepari ambao waliendesha viwanda wakitumia wafanyakazi huru na si watumwa hivyo ubepari ulibadilisha mkazo ndani ya jamii mbalimbali ukoloni ni mfumo wa taifa moja kuvuka mipaka yake na kutawala maeneo ya mbali yanayokaliwa na watu wengine kwa nyanja za uchumi utamaduni na jamii maeneo hayo yanaweza kuitwa makoloni ya kawaida au maeneo lindwa tu neno koloni linatokana na kilatini colonia kupitia kiingereza colony ni kwamba roma ya kale ilipanua eneo lake kwa kuanzisha miji mipya ya nje kwa kuteua raia na kuwapa ardhi kwa ajili ya mashamba huko hiyo iliitwa koloni milki nyingine za kale zilitumia mtindo huohuo kama vile wagiriki wa kale na wafinisia neno hilo la kilatini lilitumiwa baadaye kwa ajili ya kutaja makazi mapya ya watu kutoka eneo moja katika eneo la mbali ilhali hatua hii ilimaanisha mara nyingi pia upanuzi wa utawala wa eneo mama neno likataja baadaye pia eneo linalotawaliwa na nchi ya mbali ukoloni ni hasa ule wa kipindi tangu karne ya ambako ureno na hispania zilianza kueneza himaya zao afrika na amerika ya kusini na kudumu pengine hadi baada ya vita kuu ya pili ya dunia lakini kulikuwa na vipindi vya ukoloni pia zamani katika historia kama vile ukoloni wa roma ya kale ukoloni wa waarabu na wengine ukoloni kwa maana hii unaweza kuwa tofauti na kuundwa kwa koloni katika vipindi mbalimbali vya historia ambapo maeneo bila wakazi au yenye wakazi wachache sana yaliingiliwa na watu kutoka sehemu nyingine ukoloni mamboleo ni aina ya nchi au kundi la nchi fulani kutawala nchi nyingine kinyemela kwa kuweka vikwazo na masharti yatakayowafanya watawaliwa waendelee kuwa na uchumi tegemezi ili watajirishe zaidi hao wanaowatawala kinyemela utawala wa kikoloni ni utawala ulioanzishwa hasa na wazungu kwa lengo la kunyonya na pengine kuwabagua waafrika na watu wengine wenyeji wa asia oseania na amerika utawala huo ulitegemea hali ya taifa husika pamoja na hali ya jamii zilizokuwa zinatawaliwa baada ya kuanzisha utawala huo wakoloni walibadilisha utawala wa jadi na kuufanya utawale kwa masilahi ya wakoloni pia utawala huo uliharibu hadhi ya utawala wa jadi na misingi ya jadi muundo wa utumishi katika utawala wa kikoloni ulikuwa wa kibaguzi na kinyonyaji a kazi katika ngazi za juu zilifanywa na wazungu hasa kazi zilizohitaji ujuzi b kazi katika ngazi za chini zilifanywa na wenyeji kama vile ukarani utarishi ufagizi na ukorokoroni c wakoloni walitoa elimu duni kwa wenyeji ili waendelee kuwaajiri katika ngazi za chini nchi za afrika ziliwekwa rasmi chini ya ukoloni wa nchi za ulaya mara baada ya mkutano wa berlin wa ulioitishwa na chansella wa ujerumani bismarck mwaka nchi zilizojenga ukoloni huo afrika zilikuwa uingereza ufaransa ureno ujerumani uhispania italia na ubelgiji uholanzi karne za nyuma ilikuwa na afrika kusini jamhuri ya burundi iliyojulikana zamani kama urundi ni nchi ndogo ambayo iko katika eneo la maziwa makubwa ya afrika burundi imepakana na rwanda upande wa kaskazini tanzania upande wa mashariki na jamhuri ya kidemokrasia ya kongo upande wa magharibi burundi ni mwanachama wa umoja wa afrika na wa jumuiya ya afrika mashariki jina lenyewe la nchi hii limetokana kwa msingi na kutanuka kwa lugha ya kirundi ambacho ni lugha ya kibantu kama vile kiswahili ambacho pia kinatumika sana burundi ni kati ya nchi ndogo zaidi zilizomo barani afrika eneo lote ni km pekee wakazi milioni ni wengi kulingana na eneo dogo la nchi msongamano wa watu ni wakazi kwenye kila kilomita ya mraba ingawa burundi haina bahari sehemu ya mpaka wake eneo la mashariki unaishia kwenye mwambao wa ziwa tanganyika eneo lote ni nyanda za juu zenye kimo cha mita juu ya ub kwa wastani sehemu ya juu zaidi ni kilele cha mlima heha chenye mita juu ya uwiano wa bahari uliopo katika safu ya milima inayopakana na bonde la ufa la afrika ya mashariki sehemu ya magharibi ya nchi ni sehemu ya bonde la ufa yenye kimo cha mita juu ya uwiano wa bahari sehemu ya kusini ya bonde la ufa katika burundi imejaa maji ya ziwa tanganyika upande wa mashariki wa safu ya milima inayopakana na bonde la ufa kuna chanzo cha mto ruvyironza pia luvironza unaoishia katika mto kagera na hivyo huhesabiwa kati ya vyanzo vya mto naili hali ya hewa ni ya kitropiki kuna vipindi viwili vya mvua joto linapungua kutokana na kimo cha nchi kuna mvua kwa wastani wa milimita kwa mwaka matumizi ya ardhi ni kwa ajili ya kilimo au mifugo msongamano wa watu umesababisha kuenea kwa ukataji wa misitu mmomonyoko wa ardhi na kupotea kwa ardhi yenye rutuba eneo la misitu lililobaki ni kilomita cha mraba pekee linalopungua kwa kasi ya asilimia kwa mwaka kuna hifadhi mbili za taifa ambazo ni hifadhi ya taifa ya kibira kwenye kaskazini magharibi inapakana na msitu wa nyungwe huko rwanda na hifadhi ya taifa ya ruvubu upande wa kaskazni mashariki karibu na mto rurubu pia ruvubu au ruvuvu hifadhi zote mbili zilianzishwa mwaka kwa shabaha ya kuhifadhi wanyamapori idadi ya watu ni takriban milioni na nusu asilimia kati yao hawajamaliza miaka umri wa wastani ni miaka hivi idadi ya watoto wanaoaga dunia mapema ni kati ya wanaozaliwa mwaka kwa umri wa kifo kwa wastani ni miaka tu takriban za wananchi wana ukimwi familia ni imara kuliko zile za nchi zote za afrika wanawake wanazaa kwa wastani watoto hii nafasi ya juu ya tano duniani kote jamii ya burundi ni jamii ya vijijini ni asilimia pekee wanaoishi katika miji vikundi kati ya wakazi ni hasa wahutu watutsi na watwaa mbilikimo chini ya wote wanatumia lugha ya kirundi pamoja na hayo kuna warundi wachache wanaojinasibu kuwa wao si watutsi wala wahutu bali ni waswahili hilo kabila lilikuwepo toka enzi za tawala za kifalme nchini humo na ndio wenyeji wa jiji la bujumbura waliomsaidia mwanamfalme louis rwagasore katika harakati za kutafuta uhuru wa burundi upande wa dini wakristo ni kati ya wakazi wote hasa wakatoliki halafu waprotestanti asilimia wanafuata dini za jadi na uislamu wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani na ya wabilikimo katika karne za bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi dola la kwanza katika eneo hili lilikuwa ufalme wa burundi katika mapokeo ya wenyeji ulianzishwa katika karne ya na mtu kwa jina la cambarantama aliyefika ama kutoka rwanda ama kutoka buha katika mkoa wa kigoma tanzania ya leo ufalme huo ulitawaliwa na kundi la watutsi waliokuwa wafugaji wa ng ombe na kutawala wenyeji waliokuwa wakulima wabantu watutsi walikuwa tabaka la kikabaila mfalme au mwami alikuwa mkuu wa makabaila hao ambao walitazamiwa kama mabwana wa ardhi iliyolimwa na watu wa kawaida hao wakulima waliruhusiwa kulima nchi wakipaswa kutoa huduma na sehemu ya mavuno kwa mabwana waliopaswa kuwatetea dhidi ya maadui ufalme huo ulienea katika karne zilizofuata mwami ntare iv rutaganzwa rugamba aliyetawala tangu mwaka hadi aliweza kupanua mipaka ya ufalme wake hadi kushika sehemu kubwa ya eneo la leo wazungu wa kwanza waliofika walikuwa wapelelezi waingereza richard burton na john hanning speke mnamo mwaka lakini habari za falme kwenye eneo kati ya maziwa makubwa hazikuenea sana wakati wa mkutano wa berlin wajerumani hawakujua ya kwamba falme za burundi na rwanda zilikuwepo ndani ya eneo waliotegemea kutwaa waliitambua baadaye tu mwaka mjerumani wa kwanza alipita burundi aliyekuwa oskar baumann wakati ule ujerumani uliwahi tayari kuanzisha koloni ya afrika ya mashariki ya kijerumani lakini wajerumani walichelewa kufika kaskazini magharibi mwa maeneo waliyotazama kuwa sehemu yao katika burundi kikosi cha kwanza cha kijerumani kilifika mnamo wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi resident katika mji mkuu gitega ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani wakati ule eneo lilijulikana kwa jina urundi hapa sawa na rwanda na bukoba wajerumani walitumia mbinu ya eneo lindwa ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia burundi pamoja na rwanda ilikabidhiwa kwa ubelgiji kwa niaba ya shirikisho la mataifa kama eneo la kudhaminiwa lililoitwa ruanda urundi kimsingi wabelgiji waliendelea na mfumo wa wajerumani uliomwachia mtemi mamlaka kubwa waliweka ruanda urundi chini ya serikali ya kongo ya kibelgiji lakini baadaye walianza kuingilia zaidi na ilhali wakati ule walipendelea watutsi karibu machifu wote walikuwa watutsi na wahutu walipotea katika nafasi za uongozi kimahali tangu mwaka shirikisho la mataifa lilikwisha na ubelgiji ilipokea wito wa kutawala ruanda urundi na umoja wa mataifa mwaka moja kabla ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi ya um na chama mshindi kilikuwa uprona kilichoongozwa na mwanamfalme mtutsi louis rwagasore aliyemwoa mwanamke wa kihutu na chama kiliunganisha pande zote mbili lakini miezi michache baadaye rwagasore aliuawa na chama chake kilitengana kufuatana na ukabila mwaka umoja wa mataifa uliamua kuipa ruanda urundi uhuru kamili lakini kila nchi pekee baada ya uchaguzi wa mapigano yalitokea kwa silaha na kikundi cha watutsi wakali kilichukua serikali mwaka mwami alipinduliwa na mwanasiasa michel micombero aliyejitangaza kuwa rais na nchi kuwa jamhuri kuanzia hapo wanasiasa na watumishi wakubwa walio wahutu walifukuzwa kukamatwa au kuuawa burundi ilundwa kama ufalme ulioongozwa na watutsi waliotawala wahutu lakini kabla ya ukoloni mipaka kati ya makundi hayo haikuwa imara mno wahutu matajiri katika utumishi wa mwami waliweza kupanda ngazi na kuwa watutsi na pia watutsi maskini waliweza kushuka ngazi na kuhesabiwa kati ya wahutu hasa baada ya kuoa au kuolewa na mtu wa upande mwingine uhusiano wa makundi hayo ulifanana zaidi na ule wa matabaka si wa makabila tofauti pia kwa sababu lugha ilikuwa moja kwa wote utawala wa kikoloni uliimarisha mipaka kati ya makundi hayo mawili maana kila mtu aliandikishwa na kupangwa katika moja kati ya makundi hayo pia wabelgiji walipendelea watutsi na kuangalia wapate nafasi zote za uchifu ambako walipaswa kutoa kibali kuhamia katika kundi lingine kulikwisha uhusiano kati ya makundi ulianza kufanana zaidi na ukabila mwishoni mwa ukoloni wabelgiji walibadilisha msimamo na kupendelea wahutu katika hali hiyo burundi ilikaribia uhuru vyama vya siasa viliundwa vilivyofuata ugawaji wa kimbari kati ya watutsi na wahutu mapigano ya kwanza kati ya wahutu na watutsi yalitokea mwaka kabla ya uhuru yakakomeshwa na wabelgiji baada ya uhuru katika burundi kinyume na rwanda utawala ulibaki upande wa watutsi kwa sababu jeshi lilikuwa mikononi mwao vipindi vya mashambulio kati ya vikundi vilifuata mwaka malaki ya wahutu waliuawa na jeshi la kitutsi waliolenga hasa wahutu wenye elimu mwaka uongozi wa kitutsi ulikubali tena uchaguzi huru ambako mhutu melchior ndadaye alichaguliwa kuwa rais alipouawa na wanajeshi watutsi malaki ya watutsi waliuawa na wahutu wakali kipindi kilichofuata kilikuwa cha vita ya wenyewe kwa wenyewe katika sehemu mbalimbali za nchi tangu mwaka umoja wa afrika na umoja wa mataifa zilijitahidi kujenga mapatano kati ya vikundi marais na wanasiasa walioshiriki katika jitihada hizo walikuwa pamoja na julius nyerere boutros boutros ghali nelson mandela thabo mbeki na rais wa marekani bill clinton mapatano yalifikiwa na kusainiwa mwaka na washiriki karibu wote huko arusha majadiliano yaliendelea hadi mwaka hatimaye vita ilisimamishwa mapatano yaliyofikiwa yanasema ya kwamba watutsi pamoja na watwa ambao ni asilimia za wananchi watakuwa na asilimia ya nafasi kwenye bunge na ya kwamba jeshini kila upande utashika asilimia za nafasi pia kwenye senati ya bunge kila upande utakuwa na asilimia rais atachaguliwa na wananchi wote lakini mapatano yalisema rais wa kwanza atachaguliwa na bunge mwaka uchaguzi wa kwanza wa bunge baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ulifanyika chama cha cndd fdd kilipata kura nyingi na kiongozi chake pierre nkurunziza alichaguliwa na bunge kuwa rais wa taifa vyama vya uprona na frodebu vilivyotangulia kuongoza serikali ya mpito vilipata kura chache kwa sababu vilishtakiwa kuwa na rushwa na upendeleo wa kindugu chama tawala kinajaribu kufuata siasa ya mapatano ya ndani lakini ina uvumilivu mdogo tu kwa upinzani na mawazo yanayopinga siasa yake mwezi aprili chama cha palipehutu fnl hatimaye kilisimamisha upinzani kwa silaha kikakubaliwa kama chama cha kisiasa cha fnl nkurunziza alichaguliwa tena kwa kura ya wananchi wote mwaka chama cha upinzani fnl kilikataa kukubali ushindi wa cndd fdd mwaka rais nkurunziza alipendekezwa kugombea tena urais katika uchaguzi akakubali hatua hiyo ilisababisha upinzani mkali wa wananchi walioandamana wakiona hii inavunja mapatano ya amani ya arusha tarehe mei jenerali godefroid niyombare alitangaza kufukuzwa kwa nkurunziza kutoka urais wakati huyo alikuwa safarini tanzania lakini uasi huu wa kijeshi ulikandamizwa nkurunziza alirudi na kutangaza ya kwamba kura inatakiwa kufanyika jinsi ilivyopangwa tarehe mei kwa bunge na tarehe juni kwa urais taasisi ya kimataifa na nchi jirani walitamka wasiwasi kuhusu mwelekeo wa hali ya kisiasa katika burundi nkosazana dlamini zuma mwenyekiti wa kamati tendaji ya umoja wa afrika aliomba kuahirishwa kwa kura nchini burundi hadi hali iwe imetulia tarehe julai tume ya uchaguzi ilimtangaza nkurunziza mshindi wa uchaguzi kwa za kura agathon rwasa alishika nafasi ya pili kwa ingawa alikuwa amehimiza wananchi wasipige kura kilichofuata kimesababisha wananchi wakimbie huko rais akikataza umoja wa afrika usitume askari kulinda amani na haki nchini wakati wanajeshi wanaendelea kuua na kunyanyasa watutsi wakielekea mauaji ya kimbari burundi imegawiwa katika mikoa kwa kifaransa province kwa kirundi iprovense inayoitwa kufuatana na miji yenye makao makuu ya utawala mikoa imegawiwa kwa wilaya inayoitwa communes na hii imegawiwa kwa collines vilima eritrea ni nchi ya afrika ya mashariki mashariki na kusini mashariki eritrea ina pwani ndefu katika bahari ya shamu upande wa magharibi imepakana na sudan upande wa kusini imepakana na ethiopia na kusini mashariki kuna nchi ya djibouti eneo hili lote hujulikana pia kama pembe ya afrika jina la nchi limetungwa mnamo mwaka na wakoloni wa italia kutokana na neno la kigiriki erythraa linalomaanisha bahari nyekundu kwa kiingereza red sea hii ni kwa sababu bahari ya shamu iliitwa sinus erythraeus na mabaharia wagiriki au mare erythraeum kwa kilatini na waroma wa kale maana yake ni bahari nyekundu eritrea iko katika eneo la pembe la afrika na ina bahari ya shamu upande wa kaskazini mashariki kwa mchanga wa pwani ulio eneo kame pahali pa kutega samaki ni funguvisiwa la dahlak eneo ambalo liko kwa milima kusini si kame vile lakini hali ya hewa ni poa mlima wa juu zaidi ni soira ambao uko kati ya nchi mita juu ya bahari mji mkuu wa eritrea ni asmara na miji mingine ni kama vile mji wa bandari assab kusini mashariki na pia miji kama massawa na keren eritrea imegawiwa katika maeneo hadi karne ya maeneo ya eritrea yalikuwa sehemu ya ethiopia pwani ilikaa karne nyingi chini ya utawala wa uturuki au baadaye misri kama nchi zenye nguvu kwenye bahari ya shamu historia ya eritrea kama eneo la pekee jinsi ilivyopata uhuru mwisho wa karne ya ilianza na ukoloni wa italia mnamo novemba kampuni ya biashara ya kiitalia ya rubattino ilinunua bandari ya assab kutoka kwa sultani wa afar ilikuwa inatafuta kituo kwa meli zake zilizoanza kupita katika bahari ya shamu baada ya kufunguliwa kwa mfereji wa suez mwaka uleule serikali ya misri ilipinga mapatano hayo kwa sababu ilidai eneo lilikuwa chini ya amri yake makubaliano hayakufikiwa hadi serikali ya italia ilipochukua moja kwa moja mali ya kampuni kama koloni lake la kwanza katika afrika tangu kuporomoka kwa utawala wa misri nchini sudan baada ya vita vya al mahdi misri ilijiondoa pia katika pwani ya kusini mwa bahari ya shamu italia ilitumia nafasi hiyo na tarehe februari ilipeleka wanajeshi mjini massawa na kuitangaza kuwa koloni lake waitalia waliendelea kuunganisha maeneo yao ya assab na massawa baadaye walijaribu kupanua utawala wao kutoka tambarare za pwani hadi nyanda za juu zilizokuwa chini ya dola la ethiopia negus yohanne iv hakufurahia kufika kwa italia kwa sababu aliamini ya kwamba massawa iliahidiwa kwake baada ya kuwasaidia wamisri kujiokoa mbele ya jeshi la al mahdi hivyo upanuzi wa italia katika nyanda za juu ulikutana na upinzani tarehe januari jeshi la waitalia walioelekea kaskazini lilishambuliwa karibu na massawa kwenye kijiji cha dogali na kushindwa na ras alula aliyekuwa mtemi chini ya negus ya ethiopia waitalia walipaswa kuongeza wanajeshi ili kuhakikisha utawala wao baada ya yohanne iv kufariki katika mapigano na jeshi la al mahdi waitalia walichukua nafasi hiyo ya kuziingia nyanda za juu za tigray na kujenga vituo vyao huko mfalme mpya menelik ii tarehe mei aliutia sahihi mkataba wa wuchale uliokubali utawala wa italia juu ya kanda ya pwani pamoja na maeneo kadhaa ya nyanda za juu za tigray waitalia walijaribu kumdanganya negus katika mkataba huo kwa kuingiza maneno katika nakala ya kiitalia yaliyosema ethiopia itakuwa chini ya ulinzi wa italia menelik baada ya kuelewa haya alikana mkataba italia ilijibu kwa kuvamia ethiopia kwa jeshi kubwa jeshi hilo lilishindwa na waethiopia katika mapigano ya adowa tarehe machi italia ilipaswa kukubali uhuru wa ethiopia katika mkataba wa amani tarehe oktoba ethiopia ilikubali mamlaka ya italia juu ya koloni lake katika kaskazini baada ya kumaliza mashindano na ethiopia italia tarehe januari iliunganisha maeneo yake yote katika koloni lililoitwa eritrea kufuatana na jina la kale bahari ya eritrea katika kipindi hiki cha utawala wa kikoloni eritrea ilitokea kama jamii na eneo la pekee koloni la eritrea liliunganisha maeneo matatu yenye tabia za pekee italia ilianzisha miradi ya kufanya eritrea chanzo cha malighafi kwa ajili ya uchumi wa italia kijiji cha asmara katika nyanda za juu kilikuwa mji mkuu wa koloni na kupanuliwa kuwa mji kwa ajili ya walowezi waitalia asmara ilipambwa na majengo mazuri ya kisasa katika miaka ya idadi ya motokaa zilizoendeshwa asmara ilishinda idadi ya magari ya binafsi mjini roma urithi huo wa majengo umekuwa sababu ya kuingiza asmara katika orodha ya urithi wa dunia ya unesco waitalia walipanga na kujenga miji mingine kama vitovu vya biashara mabandari vituo vya kijeshi au vya kiuchumi idadi ya wakazi wote ilikadiriwa kuwa takriban mwaka idadi hiyo iliongezeka haraka kufikia zaidi ya mnamo mabadiliko makubwa yalitokea hasa katika nyanda za juu ambako walowezi waitalia walianzisha mashamba yao na miji mikubwa zaidi ilijengwa idadi ya wasemaji wa kitigrinya iliongezeka kutoka asilimia mwaka kuwa asilimia mwaka mwisho wa vita kati ya vikundi mbalimbali na kupatikana kwa huduma za kiafya pamoja na kuongezeka kwa upatikanaji wa chakula vyote vilichangia katika kuongezeka kwa idadi ya watu kati ya mabadiliko makubwa ulikuwa ujenzi wa barabara na reli kati ya massawa asmara keren na agordat viwanda kadhaa vilianzishwa pia migodi ya kuchimba mawe au madini sehemu za waeritrea waliingia katika maisha ya ajira ya kibepari hivyo maarifa ya wakazi wa eritrea hasa katika nyanda za juu yalikuwa tofauti na wenzao katika ethiopia yenyewe walioendelea kuishi chini ya utaratibu wa kikabaila waeritrea walisukumwa katika maisha ya kisasa na uchumi wa fedha hadi mwaka eritrea ilikuwa tayari na tabaka la wafanyakazi wa viwandani na katika miji pia tabaka la wasomi wenye elimu ya kisasa baada ya mussolini kushika serikali siasa ya italia ilibadilika wafashisti walidharau waafrika na kuanzisha siasa ya ubaguzi wa rangi wenyeji walipewa tu shughuli duni kabisa katika utumishi wa serikali italia ya kifashisti ilifanya mipango ya kulipizia kisasi mapigano ya adowa ikiandaa vita dhidi ya ethiopia vita vilianza mwaka kutoka ardhi ya eritrea silaha mpya za italia zikiwemo za kikemikali zilishinda jeshi la negus hivyo ethiopia yote ikawa koloni la italia kwa miaka michache waitalia walishindwa katika vita vikuu vya pili ya dunia mwaka ambapo waingereza waliteka ethiopia pamoja na eritrea waingereza walitawala eritrea hadi mwaka huo umoja wa mataifa ulikabidhi eritrea kwa ethiopia kama eneo la pekee lenye serikali na bunge lake katika shirikisho mfalme wa ethiopia haile selassie hakupendezwa na utaratibu huo alilenga kuunganisha tena eritrea na ethiopia na kwa mbinu mbalimbali alipata kura ya bunge la eritrea ya kujivunja na kuwa jimbo la ethiopia baada ya tukio hilo vikundi vya wanamgambo walienda porini kupigania kwa silaha uhuru wa eritrea vita vya uhuru wa eritrea vilitambakaa mwaka baada ya ufalme kupinduliwa na umakisti kuingia na rundo la jeshi lililoitwa derg kuchukuwa mamlaka na baadaye kuvamia eritrea ukorofi wa serikali ya mengistu haile mariam ilifanya mengi kuongeza waliotumaini uhuru wa eritrea katika miaka ya ukombozi wa eritrea ulitegemea rundo la eritrean liberation front elf ambayo pia inaitwa jebha na eritrean people s liberation front eplf ambaye pia inaitwa shaabia elf ilikuwa na waislamu wengi wa pwani na wahifadhi wa tedo za wananchi na eplf wengi wakristo kutoka nyanda za juu za tigrayi waamini makisti ulenin elf ilisaidiwa na wafadhili waarabu na eplf kutoka nchi za kikomunisti zilizokuwa upande wa urusi lakini badaye nchi hizo zikapinduka na kusaidia derg ya mengistu haile mariam elf na eplf hazikuweza kufanya kazi pamoja na kwa hiyo eplf ikaimaliza elf na kuendelea kutafuta uhuru vita vya uhuru viliisha mwaka waeritrea na waasi waethiopia kutoka tigray walishinda jeshi la ethiopia na kuteka addis ababa serikali ya derg ikaanguka miaka miwili baadaye baada ya kura ya wakazi wa eritrea kukubali karibu kwa kauli moja uhuru wa nchi ulitangazwa tarehe mei na kukubaliwa kimataifa tangu hapo nchi inaendeshwa na chama kimoja bila uchaguzi awali uhusiano na serikali mpya ya ethiopia ulikuwa mzuri lakini baada ya miaka ya kwanza ulizorota mwaka kulitokea vita kati ya eritrea na ethiopia vilivyokwisha na ushindi wa ethiopia wanajeshi la kulinda amani la um wanajaribu kutunza hali ya kutopigana kiongozi wa eplf isaias afewerki akawa rais eritrea eplf or shaebia ikawa chama pekee kinachotawala eritrea kwa sheria na kubadilisha jina people s front for democracy and justice pfdj mwaka vita vya mpaka na ethiopia vilileta kifo kwa wanajeshi wengi kwa nchi zote mbili na eritrea uchumi wake ukafifia na wananchi wakahangaika sana umma wa nchi ukanza kuhama na uchumi kukosa maendeleo eritrea ni nchi moja ya afrika ambapo kuna shida ya mabomu ya ardhi serikali ya ethiopia iliwafukuza waeritrea ambao waiishi ethiopia ama watu waliokuwa na utamaduni wa eritrea baada ya vita na eritrea hii iliwaletea waeritrea shida na uhamaji hata baada ya kuonyesha maendeleo kidogo kwa uchumi na siasa serikali ya eritrea inanyanyasa magazeti na waandishi na pia watu kwa siasa serikali yenyewe hata haijaweza kuweka katiba mpya na kuleta kura ya kidemokrasia baadaye serikali ya eritrea imeweza kusisitiza desturi ya ukoloni wa waitalia ambayo inadai kanisa na dini kujiandikisha kwa serikali na kupewa ruhusa wa kuhubiri dini zilizopewa ruhusa na serikali ni kanisa la kiorthodoksi la eritrea kanisa katholiki kanisa la mekane yesus walutheri na uislamu nyingine zote hasa zenye itikadi kali zimebanwa kote nchini vita vya eritrea na ethiopia viliisha mwaka kwa mashauriano yanayojulikana kama mapatano ya algiers mojawapo ya makubaliano lilikuwa kuanzisha muungano wa kimataifa wa kuweka amani ambao unajulikana kama muungano wa kimataifa wa misheni ya eritrea na ethiopia unmee walinda amani wa um wamebaki kutoka mwezi agosti makubaliano mengine ya algiers yalikuwa kuanzisha usawazisho wa mwisho wa mpaka uliyobishaniwa kati ya eritrea na ethiopia komisheni iliyokuwa na madaraka kutoka kwa um iliyoitwa komisheni ya mpaka wa ethiopia na eritrea eebc baada ya mashauriano mrefu ilikata maamuzi ya mwisho mnamo aprili lakini maamuzi yao yakakataliwa na ethiopia kutoka oktoba bishano la mpaka bado limebaki kuwa swali hata kama umakini na mkomo wa vita unaangaliwa kwa kazo wanajeshi wa kulinda amani wa um wanajaribu kutunza hali ya kutopigana bunge la taifa la viti liliyotekezwa mwaka baada ya uhuru lilimchagua rais wa sasa isaias afewerki kura za nchi huwa zinapangwa na kupanguliwa shina za taarifa madaraka za kutangaza habari kwa siasa za nyumbani eritrea haziko na septemba serikali ilifunga vyombo vya habari vya binafsi na watu wanaopinga serikali hufungwa bila kushtakiwa hii yote ni kutoka taarifa ya washufu wa ulimwengu kama waangalizi wa haki za kibinadamu human rights watch na wakombozi wa kimataifa amnesty international mambo ya nje yanahusu vita na ethiopia sudan na jibuti baada ya wajumbe wa serikali ya eritrea wa idara ya mambo ya kigeni kuenda sudan ushirikiano umeanza kuwa wa kawaida bishano na ethiopia bado ni wazo kubwa la chuki ambalo limemfanya rais kuuambia umoja wa mataifa ichukue hatua uagizaji huu umeelezwa kwa barua kumi na moja za rais wakazi wa eritrea walikadiriwa kuwa mwaka makabila makubwa ni watigrinya na watigre ambao wote wawanazungumza lugha za kiafrika kiasia nchi haina lugha rasmi ili kuheshimu sawasawa lugha zote hata hivyo kitigrinya kiarabu na kiingereza vina nafasi za pekee serikali inatambua rasmi kanisa la kiorthodoksi la eritrea kanisa katoliki na kanisa la kiinjili la kilutheri pamoja na uislamu makadirio yanatofautiana wakristo kwa jumla ni waislamu mwaka idara ya taifa ya marekani u s state department iliamua kwamba eritrea ni nchi mahsusi ya kufuatiliwa country of particular concern au cpc kwa kufinya uhuru wa dini umoja wa mataifa um ni umoja wa nchi zote duniani isipokuwa zile zisizotambuliwa kuwa dola huru umoja huo ulianzishwa na nchi washindi wa vita kuu ya pili ya dunia kuchukua nafasi ya shirikisho la mataifa makubaliano yalifikiwa tarehe oktoba huko san francisco california mwanzoni nchi zilikuwa lakini kufikia mwaka kulikuwa na nchi wanachama mbali ya ukulu mtakatifu vatikani na palestina ambazo zinashiriki kama watazamaji wa kudumu zikiwa na haki karibu zote isipokuwa kupiga kura dhumuni la umoja huu ni kuratibu mahusiano ya kimataifa kupitia sheria na mikataba ya kimataifa kwenye maeneo kama usalama amani maendeleo ya jamii na ya uchumi haki za binadamu uhuru demokrasia n k toka mwanzo makao makuu ya umoja wa mataifa yako manhattan new york city new york nchini marekani na hayako chini ya mamlaka ya nchi hiyo ofisi nyingine ziko geneva uswisi nairobi kenya na vienna austria lugha rasmi za um ni sita kiarabu kichina kifaransa kihispania kiingereza na kirusi katibu mkuu wa um anachaguliwa kwa miaka mitano kwa sasa ni antnio guterres kutoka ureno aliyechaguliwa kuwa katibu mkuu mwaka akichukua nafasi ya ban ki moon um una vyombo vitano cha sita kilikuwa baraza la wafadhili la um trusteeship council ambacho kimesimamisha kazi yake baraza la usalama linaamua kutuma walinzi wa amani wa um penye maeneo ya ugomvi marijani rajabu machi machi alikuwa mwanamuziki maarufu katika miondoko ya muziki wa dansi kutoka nchini tanzania historia ya gwiji huyu ilianzia siku alipozaliw a tarehe machi mwaka katika eneo la kariakoo mama yake alikuwa mama wa nyumbani wakati baba yake alikuwa anafanya shughuli za uchapishaji maisha yake ya utoto yalikuwa ya kawaida ila alikuwa akipenda sana uimbaji wa tabu ley na mwimbaji mmoja wa guinea sorry kandia alisoma shule ya msingi ikiambatana na elimu ya madrasa mwaka akiwa bado shuleni utaona umri wake ulikuwa miaka tu alijiunga na stc jazz ikiwa chini ya mpiga gitaa maarufu wakati huo raphael sabuni kabla ya hapo bendi hii ilikuwa ikijulikana kama the jets katika bendi hii marijani aliweza kutoka nje ya tanzania kwa mara ya kwanza ambapo alikwenda nairobi na kurekodi nyimbo zilizotoka katika label ya phillips hili jambo la mwanafunzi kusafiri na bendi likaleta shida na kwa vile stc ilikuwa mali ya umma akaachishwa kazi na mwaka alijiunga na the trippers ya david mussa ambayo kwa wakati huo ilikuwa inapiga zaidi nyimbo za hoteli na za kukopi na muimbaji wao kiongozi wakati huo alikuwa ali rajabu hapa ndipo ubora wake ulifunguka haswa na kuweza kuinyanyua trippers ambayo sasa ilibadili jina na kuwa safari trippers kutokana na msimamo wa serikali wakati huo wa kutaka majina ya nyumbani yatumike bala ya yale ya kigeni na kuwa moja ya bendi maarufu za wakati huo waliweza kutoa vibao vilivyopendwa mfululizo na kuweza kuzunguka nchi nzima vibao kama rosa nenda shule georgina mkuki moyoni viliweza kuuza zaidi ya nakala za santuri na hivyo kuwezesha bendi kuwa na vyombo vyake vizuri bendi wakati huo ikiwa na wanahisa wanne ambao kwa bahati mbaya wakati bendi ndio iko juu wakakosa kuelewana na ukawa ndio mwisho wa bendi hiyo marijani alishiriki kutunga kuimba nyimbo karibu zote za trippers sanjari na kupiga gitaa kwa baadhi ya nyimbo mfano wimbo olila ambao alipiga rhythm na kuimba mwaka marijani na baadhi ya wanamuziki wa trippers waliamua kuihama bendi na kwenda baadaye kuasisi dar es salaam international chini ya umiliki wa mzee zakaria ndabemeye baadhi ya wanamuziki hao ni pamoja na abel baltazar kutoka msondo kassimu mponda kutoka trippers abdallah gama joseph mulenga haruna lwali na george kessy omojo waliokuwa wanapiga muziki magot pale said mohamed kutoka polisi jazz cosmas chidumule kutoka urafiki belesa kakere kutoka biashara jazz joseph bernard kutoka trippers ali rajabu kutoka trippers na king michael enock kutoka dar es salaam jazz akiwa dar inter alishiriki kutunga nyimbo mbili betty na sikitiko hata hivyo kama waswahili wanavyosema mafahari wawili hawakai zizi moja ndivyo ilivyotokea kati yake na abel balthazal kiasi cha hatimaye marijani kufukuzwa ndani ya bendi kutokana na ubishi kuhusu wimbo aliotunga marijani kuna maelezo kuwa wimbo ulionekana unafanana na wimbo fulani toka kongo na hivyo marijani akatakiwa aubadilishe na ndipo ugomvi ukaanza hata hivyo mwishoni mwa mwaka marijani alirejeshwa tena kundini kutokana na rundo la wanamuziki wa dar inter kuihama bendi kwa kishindo kikubwa na kwenda kuifungua bendi mpya kabisa ya orchestra mlimani park aliporejeshwa marijani alikuja na wanamuziki wengi wapya wakati huo kama akina christopher kasongo mohamed tungwa mafumu bilal hamis milambo athuman momba mzee ale kanyimbo na wengine na kuja na mtindo wa super bomboka katika kudhihirisha hasira zake kwa abel marijani alimtungia abel wimbo wa kumnanga ukiitwa kidudu mtu ambao hata hivyo rtd waliukataa kuurekodi jambo lililokuwa kawaida enzi hizo kwa redio kukataa wimbo sifa nyingine ambayo marijani alikuwa nayo ni kuibua wanamuziki chipukizi kama alivyofanya mwaka alipomuibua kutoka tanga kijana mkuu waziri kungugu kitanda milima almaaruf fresh jumbe ambaye kwa hakika kabisa marijani hakujutia kumchukua kijana huyo alimuamini kupita maelezo kiasi kwamba wakati mwingine alikuwa akimuachia bendi aongoze na yeye anapumzika nyumbani mbali na fresh wanamuziki wengine ni kama vile tino masinge mohamed mwinyikondo juma choka na wengine kibao baada ya kurekodi zuena na mwanameka na nyimbo nyingine katika album hiyo alichoambulia ni malipo ya nauli toka rtd ya sh tu kilichosikitisha zaidi ni kuwa nyimbo zao tisa ziliuzwa kwa kampuni ya polygram bila ridhaa yao hata hivyo safari ya dar international ilikoma mwaka kutokana na sababu za kawaida za kufa kwa bendi lakini kubwa ni uchakavu wa vyombo hata hivyo marijani aliendelea kufanya muziki na kwa kipindi kifupi amewahi kucheza na kurugenzi ya arusha na mwenge jazz ambayo alirekodi nayo wimbo mmoja wa ukimwi na hata kupitia bendi ya watafiti ambayo hatimaye ilikuja kuwa mwaka huohuo wa marijani na muhidin maalim gurumo waliliongoza kundi la wanamuziki zaidi ya kutunga nyimbo maalum hasa kwa maadhimisho ya miaka ya ccm na ya azimio la arusha kundi hilo lilijulikana kwa jina la tanzania all stars aidha mwaka aliwahi kurekodi zong zing na marehemu eddy sheggy bendi yake ya mwisho ilikuwa ni africulture ama mahepe ngoma ya wajanja iliyokuwa mali ya rogers malila alikokuwa na wanamuziki kadhaa kama akina hassan kunyata mgosi na wengine bado marijani ataendelea kukumbukwa na wapenda muziki kote nchini na hata afrika kwa ujumla kwa nyimbo zake zenye mafundisho na tamu huku akienzi utamaduni na ngoma za kwao kigoma kuhusu nyota angalia hapa mchoraji kundinyota uchoraji ni sanaa ya kuweka alama au picha kwa kutumia vifaa mbalimbali vya kuchorea kama vile kalamu ya wino au ya risasi burashi penseli za rangi ya nta crayoni makaa choko pastels aina mbalimbali za erasers markers styluses metali mbalimbali kama silverpoint na siku hizi hata elektroniki au kitu kingine cha kuandikia au kupaka rangi katika karatasi kitambaa ubao metali mwamba kadi plastiki ngozi canvas na bodi au penginepo michoro ya muda mfupi inaweza kufanywa katika ubao mweusi au mweupe tokeo la uchoraji huitwa mchoro au picha mara nyingine picha huchorwa kwa ustadi mkubwa sana upatikanaji mpana wa vyombo vya kuchora hufanya uchoraji kuwa moja ya shughuli za kawaida za kisanii ni sanaa wakilishi maana inaweza kutumika kuwasilisha ujumbe kwa jamii hivyo imekuwa njia maarufu na ya msingi ya kujieleza kwa umma katika historia ya binadamu ni njia rahisi na yenye ufanisi zaidi ya kuwasiliana mawazo ya kuona mbali na namna zake zaidi za kisanii kuchora mara nyingi hutumiwa katika biashara usanifu uhandisi na ufundi msanii anayeshughulikia au anafanya kazi katika kuchora kiufundi anaweza kuitwa pia mchoraji hata hivyo kuna aina tofauti za uchoraji hii inategemea mchoraji mwenyewe anapenda aina gani ya uchoraji wakati mwingine sanaa hii ya uchoraji si ya kuwakilisha ujumbe tu bali pia kumvutia mtazamaji kwa rangi za kupendeza bila kujali ujumbe uliobebwa na picha hiyo wakati mwingine inawezekana picha isiwe na ujumbe kabisa lakini ikawa imechorwa kwa ustadi mkubwa na kupakwa rangi za kuvutia sana mpaka mtazamaji kumvutia na kumfanya apende kuendelea kuitazama picha husika kuchora ni moja ya aina kuu za kujieleza ndani ya sanaa za kuona kwa ujumla ni wasiwasi na kuashiria mistari na maeneo ya toni kwenye karatasi vifaa vingine ambapo uwakilishi sahihi wa ulimwengu wa kuona unaonyeshwa juu ya uso wa ndege mchoro wa jadi ulikuwa monochrome au angalau alikuwa na rangi kidogo wakati michoro za kisasa za rangi za penseli zinaweza kufikia au kuvuka mipaka kati ya kuchora na uchoraji katika istilahi ya magharibi kuchora ni tofauti na uchoraji ingawa mara nyingi vyombo vya habari vinavyoajiriwa katika kazi zote mbili vyombo vya kavu vinavyohusishwa na kuchora kama vile choko vinaweza kutumika katika uchoraji wa pastel kuchora kunaweza kufanywa kwa kati ya kioevu hutumiwa na maburusi au kalamu msaada sawa pia unaweza kutumika uchoraji kwa ujumla unahusisha matumizi ya rangi ya kioevu kwenye tani iliyopangwa tayari au wakati mwingine lakini wakati mwingine kutengeneza chini hutolewa kwanza kwa msaada huo huo kuchora mara nyingi huchunguza kwa msisitizo mkubwa juu ya uchunguzi kutatua matatizo na utungaji kuchora pia hutumiwa mara kwa mara katika maandalizi kwa ajili ya uchoraji na kuendelea kuifanya tofauti yao michoro iliyoundwa kwa madhumuni haya inaitwa masomo kuna makundi kadhaa ya kuchora ikiwa ni pamoja na kuchora takwimu kuchora kuchora mkono wa bure na shading pia kuna mbinu nyingi za kuchora kama vile kuchora mstari kusonga shading njia ya surrealist ya entopic graphomania ambayo dots hufanywa kwenye maeneo ya uchafu katika karatasi tupu na mistari hufanyika kati ya dots na kufuatilia kuchora kwenye karatasi inayojitokeza kama vile kufuatilia karatasi karibu na muhtasari wa maumbo yaliyomo ambayo yanaonyesha kupitia karatasi picha za kale kabisa zinaonyesha uchoraji kwenye miamba katika mapango katika afrika ni wasan au watu waliokuwa karibu nao waliochora wanyama kwenye kuta za mipango walipopumzika picha zao zinapatikana kote katika afrika ya kusini hadi tanzania ambako kuna mifano mbalimbali karibu na kondoa mifano ya uchoraji wa aina hii imepatikana pia ulaya asia na australia hatujui mengi kuhusu namna nyingine za uchoraji wa kale kwa sababu vifaa vingine vilivyotumiwa havikudumu kutoka ustaarabu wa juu kama wa misri bonde la indus au china tunajua mifano mingine ya uchoraji inayoonyesha hali ya juu zaidi katika ustaarabu wa madola ya kwanza wachoraji walikuwa tayari watu waliokuwa na nafasi ya kufuata sanaa yao bila haja ya kuwinda au kulima wenyewe kwa sababu mtu mkubwa kama mfalme au kuhani aliwapatia riziki ya maisha katika makaburi ya nubia ufalme wa kush kuna picha zilizohifadhiwa ukutani makaburi ya wamisri yalijengwa mara nyingi kwenye jangwa kando ya bonde la naili ukavu wa mazingira pamoja na giza vilitunza rangi vema wamisri wa kale walichora watu bila kutofautisha mandharimbele au mandharinyuma wati muhimu waliochorwa wakubwa kuliko wale waliokuwa na cheo kidogo mwili ulionyeshwa mara nyingi kwa mbele lakini kichwa na uso kwa kando katika ugiriki wa kale uchoraji na wasanii wake waliheshimiwa sana philostrates aliandika mnamo mwaka kk ya kwamba uchoraji ulibuniwa na miungu kuna taarifa juu ya picha lakini ni machache tu yaliyohifadhiwa kwa sababu ya hali ya hewa na kwa sababu picha nyingi zilichorwa juu ya ubao au matofali waroma wa kale walituachia mifano mingi ya uchoraji wa ukutani nje ya makaburi ni hasa nyumba za miji ya pompei na herkulaneo zilizofunikwa na majivu ya volkeno vesuvio ambako picha nzuri zimehifadhiwa tangu mwaka bk wakati ule wasanii walitofautisha tayari kati ya mandharimbele na mandharinyuma uchoraji wa china uliendelea sana kufuatana na utamaduni wake mnamo mwaka kuna picha za mandhari zinazoonyesha nchi na milima msanii wa kwanza anayejulikana alitumia mbinu hii alikuwa zhan ziqian kamusi elezo pia ensaiklopedia kutoka kiingereza encyclopedia ni kitabu kinachokusudiwa kukusanya ujuzi wa binadamu kadiri iwezekanavyo kulingana na wingi wa kurasa zake siku hizi wikipedia ni kamusi elezo kubwa zaidi duniani lakini si kitabu cha karatasi ni mkusanyo wa habari kwa umbo dijitali katika intaneti zamani kabla ya kuja kwa wikipedia encyclopedia britannica ilikuwa kati ya kamusi elezo kubwa zaidi iliyokuwa ikitolewa kama vitabu vilivyochapishwa katika historia yalikuwepo majaribio mbalimbali ya kukusanya ujuzi wote wa dunia mfano bora wa kale ni kamusi ya yongle kutoka china iliyotungwa na wataalamu katika karne ya na kuandikwa kwa mkono katika vitabu lakini kamusi elezo au ensaiklopedia zimekuwa na athari kubwa sana tangu johannes gutenberg na kupatikana kwa uchapaji wa vitabu ulioshusha kabisa bei ya vitabu kwa watu wengi ensaiklopedia ya kwanza ya kisasa iliyokuwa na athira kubwa sana ilikuwa encyclopdie ou dictionnaire raisonn des sciences des arts et des mtiers iliyokusanywa na denis diderot pamoja na jean baptiste le rond d alembert pamoja na waandishi zaidi ya katika karne ya huko ufaransa kamusi elezo hii ikawa moja kati ya vyanzo vya harakati ya zama za mwangaza ellen johnson sirleaf alizaliwa oktoba nchini liberia amekuwa rais wa kwanza mwanamke barani afrika baada ya kushinda katika uchaguzi wa mwaka johnson sirleaf ameshika nyadhifa mbalimbali serikalini na katika mashirika ya kimataifa baada ya kumaliza masomo katika chuo kikuu cha harvard alifanya kazi katika serikali ya rais william tolbert mwaka wa akiwa ni waziri wa fedha johnson amekuwa rais wa kwanza mwanamke barani afrika hata hivyo yeye sio mwanamke wa kwanza kuongoza nchi barani afrika malikia zauditu wa ethiopia aliongoza nchi yake kwa miaka toka mwaka hadi ruth perry ni mwanamke wa kwanza afrika kuwa mkuu wa nchi pale alipokuwa mwenyekiti wa urais wa pamoja wa jamhuri ya liberia toka mwaka hadi johnson sirleaf alihukumiwa kifungo cha miaka kumi jela mwaka baada ya kushutumu utawala wa kijeshi nchini humo katika kampeni zake za kugombea ubunge alitumia kifungo hicho kwa muda mfupi kabla ya kuachiliwa na baadaye kukimbilia uhamishoni hadi aliporudi mwaka akiwa anafanyia kazi benki ya dunia na citibank johnson sirleaf alimuunga mkono charles taylor wakati wa mapinduzi yake dhidi ya jenerali samuel doe lakini baadaye alikuja kuwa mpinzani wake mkubwa na hata kugombea urais dhidi yake mwaka taylor alimwandana na hata kumpeleka mahakamani kwa madai ya kuhusika na hujuma za kihaini uchaguzi wa urais mwaka ulirudiwa baada wagombea urais kutopata kura za kutosha katika raundi ya kwanza johnson sirleaf alikuwa wa pili wa kwanza alikuwa ni mpinzani wake mkubwa george weah katika raundi ya pili ya uchaguzi johnson sirleaf alitangazwa kuwa mshindi hata hivyo george weah amepeleka mashtaka mahakama kuu akidai kuwa uchaguzi haukuwa wa haki ellen johnson sirleaf alizaliwa mjini monrovia mji mkuu wa liberia na elimu ya wazazi kabila lake ni nusu gola kutoka upande wa baba yake na robo kru na robo kijerumani kutoka upande wa mama yake babake sirleaf jahmale carney johnson alikuwa mzaliwa wa liberia wa kwanza kuweza kukaa katika mbunge la taifa sirleaf alisoma maswala ya uchumi na akaunti katika chuo afrika magharibi mjini monrovia aliolewa na james sirleaf akiwa na miaka tu na kuhamia marekani katika mwaka wa ambapo aliendelea na masomo yake katika chuo kikuu cha colorado na kuhitimu na shahada ya digri alisomea maswala ya uchumi na sera za umma katika chuo chuo cha maswala ya serikali ya john f kennedy mjini harvard katika miaka ya na na kupata shahada ya maswala ya serikali kisha alirudi liberia na kufanya kazi chini ya rais william tolbert alikuwa naibu waziri wa fedha kati ya mwaka wa na alikuwa waziri wa fedha toka mwaka wa hadi aprili aliweza kuwa naibu mwenyekiti wa benki ya citibank mjini nairobi kenya kutoka mwaka wa aliwahi kufungwa mafungo ya nyumbani na samule doe aliyepindua serikali kwa kutangaza nia ya kugombea urais baadaye alienda uhamishoni kati ya miaka ya alikuwa makamu wa rais na mwanachama wa bodi ya benki ya equator washington dc kati ya miaka ya alikuwa mbunge wa bodi ya wakurugenzi wa taasisi ya synergos aligombea urais kwa tiketi ya chama ya maungano unity party katika mwaka wa na kuwa ndiye rais wa sasa wa liberia alimshinda alikuwa mwanasoka mashuhuri george weah na zaidi ya asilimia ishirini katika uchaguzi wa mwaka wa uzinduzi ulifanyika tarehe januari na ulihudhuriwa na wageni mashuhuri wakiwemo aliyekuwa waziri ya maswala ya kigeni wa marekani condeleeza rice laura bush na mitchelle jean katika mwaka wa alianzisha tume ya ukweli na maridhiano ambayo ilitoa ripoti yake katika mwaka wa george weah alizaliwa monrovia oktoba ni rais wa liberia kuanzia mwaka kabla ya kuwa mwanasiasa aliwahi kuwa mwanakandanda mashuhuri duniani weah ni wa kabila la kru ambalo linatoka upande wa kusini mashariki mwa liberia kwenye kaunti ya grand kru ambayo ni moja ya maeneo maskini sana nchini humo wazazi wake walikuwa william t weah sr na anna quayeweah alilelewa zaidi na bibi yake upande wa baba emma klonjlaleh brown weah alikulia jijini monrovia katika kitongoji cha maskini cha clara alihudhuria shule ya msingi katika shule ya muslim congress and sekondari katika shule ya wells hairston high school weah amemuoa clar weah mwenye asili ya visiwa vya karibi wana watoto watatu george weah jr tita na timothy huyo baada ya majaribio na timu ya chelsea mwaka alijiunga na timu ya paris saint germain mwaka timothy anaichezea pia timu ya taifa ya marekani ya chini ya umri wa miaka binamu yake weah christopher wreh aliwahi pia kucheza soka la kulipwa kwenye timu ya arsenal weah aliwahi kubadili dini toka ukristo kwenda uislamu na baadaye akarudi tena kwenye ukristo hivi sasa ni muumini wa ukristo wa kiprotestanti kielimu weah ana shahada ya kwanza ya uendeshaji michezo toka chuo kikuu cha parkwood london uingereza hata hivyo baadhi ya watu wanatilia shaka shahada hii kwakuwa chuo hiki kinajulikana kwa kutoka shahada bila kusoma hapo baadaye alipata shahada ya usimamizi wa biashara toa chuo kikuu cha devry miami nchini marekani mwaka alipata shahada ya udakitari ya heshima toka chuo kikuu cha a m e zion nchini liberia kabla ya kujiunga na soka la kulipwa weah alikuwa akifanya kazi katika shirika la mawasiliano la liberia kama fundi simu mwaka weah alipewa na shirikisho la soka duniani fifa tuzo ya kuwa mwanasoka bora duniani yeye ni mwanasoka pekee toka afrika aliyewahi kupewa tuzo hiyo mwaka huohuo alichaguliwa pia kuwa mwanasoka bora ulaya na mwanasoka bora afrika miaka na alichaguliwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka afrika na mwaka alichaguliwa kuwa mwanasoka bora wa karne wa afrika mwaka pel alimchagua kwenye orodha ya fifa ya wachezaji bora ambao wako hai weah alianza safari yake ya soka katika timu incincible eleven ya liberia na tonnerre yaounde ya cameroon baada ya hapo alikwenda kucheza soka la kulipwa ulaya mwaka alijiunga na timu ya monaco ambayo ilikuwa ikifundishwa na arsne wenger ambapo aliiongoza kushinda kombe la ufaransa mwaka baadaye alijiunga na paris saint germain mwaka aliiongoza timu hii kuchukua kombe la ligi ya ufaransa mwaka akiwa hapo aliweza kuwa mfungaji bora wa ligi ya mabingwa wa ulaya uefa champions league mwaka mwaka alikuwa akiichezea timu ya ac milan ambayo ilishinda ligi ya italia mwaka na mwaka aliondoka ac milan na kujiunga na chelsea baada ya muda mfupi alijiunga na manchester city na baadaye marseille mwaka alimaliza soka la kulipwa akiwa na timu ya al jazira ya falme ya nchi za kiarabu kwa ujumla alicheza soka la kulipwa kwa miaka weah aliichezea pia timu ya taifa ya liberia na aliiwakilisha nchi yake katika kombe la mataifa ya afrika mara mbili weah amekuwa akitoa misaada kwa wananchi wa liberia mwaka alipewa tuzo ya ujasiri ya arthur ashe kwa juhudi zake za kusaidia kujenga nchi yake kwenye uchaguzi wa urais mwaka weah alishindwa kwenye raundi ya pili na rais wa kwanza mwanamke afrika ellen johnson sirleaf uchaguzi uliofuata mwa mwaka weah alipigania kiti cha umakamu wa rais kama mgombea mwenza wa winston tubman mwaka weah alishinda kiti cha useneti kupitia chama cha congress for democratic change kwenye kaunti ya montserrado mwaka alishinda uchaguzi wa urais wa liberia aliongoza kwa kura nyingi katika uchaguzi uliofanyika oktoba hata hivyo alishindwa kupata asilimia zaidi ya asilimia kwenye raundi ya pili ya uchaguzi hapo desemba alimshinda joseph boakai aliyekuwa makamu wa rais aliyetangulia ellen johnson sirleaf weah alipata asilimia za kura togwa ni kinywaji baridi kinachotengenezwa kwa nafaka au maji ya matunda namna ya kutengeneza ni sawa na pombe ya kawaida ila tu haikubadilika bado kuwa na alikoholi togwa ndiyo itakuwa pombe ikikaa kwa mfano togwa ya ulanzi ni utomvu kutoka mianzi baada ya masaa kadhaa na ulanzi wenye pombe ni utomvu uleule kutoka mianzi baada ya siku mbili hivi nafaka zinazotumika kutengenezea zaidi huwa ni mtama au mahindi kwanza chukua mtama mkavu uoshe na uuweke kwenye chombo kikavu alafu uufunike kwa muda wa siku ukifunua utakuta umeanza kuota kimea chukua mtama mwingine uloweke kwa siku moja alafu uusage unga wake pika uji wa saizi ya kati si mzito si mwepesi uache ule uji upowe ukisha poa chukua kile kimea mtama ulioanza kuota usage kidogo ili kubakia na chenga chenga alafu mimina zile chenga chenga za kimea kwenye ule uji tia sukari unaweza kunywa baada ya nusu saa na kuendelea liberia yaani nchi ya watu huru kwa kilatini ni nchi iliyoko afrika ya magharibi imepakana na nchi za ivory coast guinea na sierra leone ni mojawapo ya nchi za afrika ambazo hazikutawaliwa na wazungu liberia ni nchi iliyoundwa na makabila ya asili nchini humo na wahamiaji weusi toka marekani na karibi mbali na machotara wa aina mbalimbali wamarekani weusi hao walikuwa watumwa waliopata uhuru ambao kwa kushirikiana na chama cha american colonization society waliunda taifa hili na kutangaza uhuru wa nchi hiyo tarehe julai wamarekani weusi hao waliichukulia nchi hiyo kama nchi ya ahadi kutokana na asili yao kuwa afrika ambako ndiko mababu zao walikotokea kabla ya kupelekwa utumwani marekani hata hivyo wahamiaji hao waliendelea kujitambulisha kama wamarekani na hawakujenga mahusiano ya karibu na wenyeji alama za taifa hili bendera kauli mbiu na nembo na hata muundo wa serikali vilikuwa vikionyesha mahusiano ya karibu kati ya nchi hizo mbili liberia ilikuwa katika vita ya wenyewe kwa wenyewe kati ya miaka na hivi karibuni umefanywa kwa mara ya pili uchaguzi kwa amani na kuweza kumchagua george weah kushika nafasi ya mwanamke wa kwanza kuwa rais barani afrika ellen johnson sirleaf lugha rasmi ni kiingereza ambacho kinatumiwa na asilimia za wakazi lugha za taifa ni kiingereza cha kiliberia kikpelle kimeriko na krioli upande wa dini wakazi kwa asilimia ni wakristo hasa waprotestanti halafu wakatoliki waislamu ni wanaoendelea kufuata dini asilia za kiafrika ni tu mwai kibaki alikuwa rais wa tatu wa jamhuri ya kenya kuanzia hadi akiwa ametanguliwa na rais wa kwanza wa kenya mzee jomo kenyatta na daniel arap moi jina lake la kubatizwa ni emilio stanley kibaki alisoma uchumi historia na sayansi ya siasa katika chuo kikuu cha makerere kampala uganda akiwa mwanafunzi makerere kibaki alikuwa ni mwenyekiti wa chama cha wanafunzi toka kenya kenya students association alipomaliza masomo yake mwaka alipewa tuzo kutokana na kufanya vyema katika mitihani tuzo hiyo ilimwezesha kwenda kusoma katika chuo cha london school of economics alipomaliza masomo alikwenda kufundisha katika chuo kikuu cha makerere baadaye aliacha kazi ya kufundisha na kuwa mtendaji mkuu wa chama cha kenya african national union kibaki licha ya kuwa mbunge amewahi kuwa naibu waziri wa fedha mwenyekiti wa tume ya mipango waziri wa biashara na viwanda na waziri wa fedha moi alipoingia madarakani baada ya kifo cha jomo kenyatta kibaki aliteuliwa kuwa makamu wa rais mwaka kibaki alianza kuwa na mgongano na rais moi mwaka huo alivuliwa umakamu wa rais na kupelekwa wizara ya afya mwaka kibaki aliondoka chama cha kanu na kuanzisha chama cha democratic party katika uchaguzi wa urais wa mwaka kibaki alikuwa wa tatu na mwaka alikuwa wa pili katika uchaguzi wa kibaki alishinda na kutangazwa kuwa rais wa kenya alikuwa mgombea wa maungano wa vikundi vingi vya upinzani vilivyoshirikiana kwa jina la narc kibaki ameweka historia mwezi novemba baada ya kuwa rais wa kwanza nchini kenya kuondoa baraza lote la mawaziri kufuatia kura ya maoni ambayo ilikuwa inahusu katiba mpya ya kenya kibaki alikuwa upande wa kundi lililokuwa likiunga mkono katiba hiyo kambi ya ndizi kundi lililokuwa likiipinga katiba hiyo kambi ya machungwa lilipata ushindi uchaguzi wa desemba ulimrudisha kibaki kwa kipindi cha pili kama rais uchaguzi huu ulipingwa na chama cha upinzani odm na watazamaji wa kimataifa kuwa matokeo hayo hayakuwakilisha matakwa ya wakenya mpinzani wake mkuu raila odinga alikuwa mbele katika hesabu za kura hadi kamati ya uchaguzi iliposimamisha kuhesabu baada ya kuendelea na matanganzo kibaki alionekana kuwa mbele kulikuwa na hofu ya kwamba matokeo ya majimbo ya uchaguzi kadhaa yalibadilishwa yakiegemea upande wake kwa kumwongezea kura hisia hizi zilisababisha ghasia kuibuka nairobi kisumu eldoret kericho mombasa na sehemu zinginezo nchini kibaki aliapishwa upya kuwa rais wa kenya masaa machache tu baada ya kutangazwa kuwa mshindi hafla ilifanywa katika bustani ya ikulu ya nairobi mbele ya waalikwa wachache walioruhusiwa kushuhudia kamati iliyobuniwa tutathmini ukweli wa mambo katika uchaguzi huo wa urais iliyoongozwa na jaji mstaafu kutoka afrika kusini johann kriegler iliripoti kwamba mshindi katika uchaguzi huo wa urais wa hangeweza kujulikana hii ni kwa sababu wizi wa kura ulifanyika katika sehemu nyingi nchini na ulitekelezwa kule mashinani na wafuasi wa wapinzani wote katika kinyang anyiro cha urais kriegler pia alielekeza lawama kwa tume ya uchaguzi ya kenya kwa kutowajibika katika utendakazi na ripoti hiyo ya krieger ilipendekeza tume hiyo ivunjwe na ibadilishwe na ingine iliyo huru kinyume cha uchaguzi wa rais uchaguzi wa bunge la kenya uliendelea bila matatizo makubwa baada ya kutangazwa kuwa rais mpya kibaki aliteua mawaziri kama awamu ya kwanza ya serikali akiacha nafasi nyingine serikalini kando kwa muda kura ya maoni juu ya katiba mpya ya kenya ilipigwa tarehe novemba asilimia ya wakenya waliopiga kura waliikataa rais wa kenya na baadhi ya mawaziri walipiga kampeni kutaka wakenya waiunge mkono katiba hiyo kundi lililokuwa likiiunga mkono katiba mpya lilikuwa likiwakilishwa na alama ya ndizi na kundi lililokuwa likiipinga lilitumia alama ya machungwa ingawa watu wanane walikufa katika fujo zilizohusiana na kura hiyo kwa ujumla zoezi hili lilifanyika kwa amani suala ambalo lilikuwa likijadiliwa sana ni kiasi cha madaraka ambacho rais anapaswa kupewa katiba mpya ilikuwa impe madakaraka makubwa sana rais wa kenya wakati ambapo wanaoipinga katiba hiyo walitaka kuwe na waziri mkuu ambaye atagawana madaraka na rais suala la umiliki wa ardhi nalo lilipewa kipaumbele kwenye mjadala wa kufaa au kutofaa kwa katiba hiyo katiba mpya ilikuwa ikiweka vikwazo kwa watu wasio wakenya kumiliki ardhi ilikuwa iruhusu wanawake kumiliki ardhi kwa kurithi na ilitaka iundwe tume ya ardhi ambayo ingekuwa na wajibu wa kugawa ardhi na kuondoa uwezekano wa viongozi wa serikali kupeana ardhi tume hii pia ingekuwa ndio msikilizaji mkuu wa kesi za ardhi na ingekuwa na jukumu la kurudisha ardhi kwa makundi na watu binafsi ambao waliipoteza miaka iliyopita demokrasia ya moja kwa moja ni aina ya demokrasia ambayo wananchi wote wanaweza kushiriki katika kuamua masuala ya kisiasa kijamii kisheria na kiuchumi bila kutumia chombo cha uwakilishi kama vile bunge uwezo huu wa wananchi kutoa maamuzi unaweza kuwapa wananchi hata uwezo wa kimahakama ingawa mara nyingi wananchi hupewa uwezo wa kutunga au kupitisha sheria tu muundo wa demokrasia ya asili uwezo huu wa kutunga au kupitisha sheria na kupitisha maamuzi ulikuwa uko mikononi mwa wananchi wenyewe na sio wawakilishi wao kutegemeana na mfumo wenyewe wa demokrasia ya moja kwa moja wananchi huwa wana uwezo wa kutunga sheria kupitisha sera kuwaweka madarakani na pia kuwaondoa madarakani viongozi demokrasia ya moja kwa moja ni tofauti na demokrasia inayofuatwa katika nchi nyingi duniani hivi sasa ambapo wananchi huchagua wawakilishi wao katika uchaguzi bunge ni chombo cha kutunga sheria na pia ni mmoja wa mihimili mitatu inayounda mfumo wa utawala kulingana na mgawanyo wa madaraka katika dola mihimili mingine ni mahakama na serikali bunge ni chombo kinachotokana na mfumo wa utawala wa westminster ambao umerithiwa na nchi nyingi duniani kutoka uingereza kutokana na mfumo huo kuenea mara nyingi bunge la uingereza huitwa mama wa bunge duniani bunge la kwanza nchini uingereza liliundwa wakati wa utawala wa mfalme henri iii katika karne ya bunge hilo lina sehemu mbili bunge la makabwela na bunge la mabwanyeye katika nchi nyingi zinazofuata mfumo wa westminster waziri mkuu huwa ndio kiongozi mkuu wa serikali bungeni shughuli za bunge husimamiwa na mbunge aliyechaguliwa kama mwenyekiti rais au spika wa bunge kuna aina mbili za bunge mahakama ni mfumo wa wataalamu na kamati maalumu ambao unatafsiri na kutumia sheria katika jina la wananchi la jamhuri au la mfalme mahakama pia inatoa mfumo wa kutatua migogoro chini ya mfumo wa mgawanyo wa madaraka mahakama kwa ujumla haitungi wala haiundi sheria ambayo ni kazi ya bunge wala kutekeleza sheria ambayo ni wajibu wa serikali bali inatafsiri sheria na kutumia na kutekeleza katika ukweli wa kila kesi mahakama ina kazi ya kuhakikisha usawa mbele ya sheria kwa watu wote kwa kawaida kuna mahakama za ngazi mbalimbali mahakama za juu zinapokea rufaa dhidi ya kesi za ngazi za chini hadi mahakama ya rufaa ya mwisho inayoitwa mahakama kuu au mahakama ya katiba tawi hili la mahakama lina uwezo wa kubatilisha sheria zisizolingana na katiba ya nchi neno mahakama pia hutumika kumaanisha kwa pamoja maafisa ndani yake kama vile majaji mahakimu na makarani wengine kimsingi mahakama ina kazi ya kutumia sheria zilizopo na kuamua juu ya matumizi yao hali halisi sheria haziwezi kutaja kila kitu kinachoweza kutokea hivyo ni mahakama zinazoamua kwa njia ya kulinganisha kesi sheria na maazimio ya mahakama yaliyotangulia kwa hiyo mahakama zinashiriki kiasi katika kazi ya kutunga haki hasa pale ambako sheria za bunge zinaacha pengo kidesturi muundo wa haki na sheria katika uingereza na marekani unaziachia mahakama nafasi kubwa zaidi kuendeleza tratibu za kisheria upungufu wa kinga mwilini kwa kifupi ukimwi kifupisho cha kiingereza aids ni ugonjwa unaotokana na virusi ambavyo kwa kiswahili vinaitwa kifupi vvu virusi vya ukimwi kwa kiingereza hiv yaani human immunodeficiency virus na vinashambulia mwili kwa kuondoa nguvu zake za kupambana na maambukizi nyemelezi yanayosababisha maradhi ukimwi ni ugonjwa hatari sana katika maisha ya binadamu kwa kuwa husababisha vifo yaani kupotea kwa uhai wa watu hao kwa mujibu wa shirika la afya duniani kufikia mwaka ugonjwa huu umeua watu milioni hasa kati ya wanaoishi barani afrika upande wa kusini kwa sahara kwa mwaka pekee wamefariki watu milioni na kati yao watoto wengi ukimwi umekuwa na madhara makubwa katika jamii kama ugonjwa wa mwili na kama chanzo cha ubaguzi kuna sintofahamu kuhusu ukimwi kama vile kwamba eti unaweza kusambazwa kwa kugusana tu bila ngono ugonjwa huu pia unasababisha madhara ya kiuchumi ambayo ni makubwa hasa kwa nchi maskini ukimwi hadi hivi sasa haina chanjo wala tiba lakini tunaweza kuuepuka ugonjwa huu kwa kuachana na ngono ambayo huweza kusababisha ugonjwa huo pia tunaweza kujikinga nao kwa kuepuka kuchangia vifaa au vitu vyenye ncha kali kimsingi zaidi ni kwamba ugonjwa huo umetokana na kuenezwa hasa na maadili mabovu dhidi yake watu wanahitaji kuelewa tangu utotoni na ujanani maana ya jinsia na maisha kwa jumla kwamba vinadai upendo nidhamu na uwajibikaji si kufuata tamaa tofautitofauti daima tarehe desemba kila mwaka ni siku ya ukimwi duniani ukimwi ni kifupisho cha upungufu wa kinga mwilini jina la kiingereza ni aids acquired immuno deficiency syndrome kila mtu huwa na mfumo wa kingamwili ndani yake seli za ulinzi zinazunguka mwilini na kutafuta vidubini vya nje vinavyoweza kuleta mvurugo na zinaviharibu kati ya seli hizi za ulinzi ni seli nyeupe za damu lukosaiti ambazo ni muhimu sana ukimwi unasababishwa na vvu kama virusi vyote vvu vinaingia katika mwili kwa kusudi la kuzaa virusi haviwezi kuzaa peke yake vinahitaji seli vinapoweza kuingia ndani yake na kutumia mfumo wa seli kwa kunakili dna yake kwa kawaida virusi vinashambuliwa na mfumo wa kingamwili na kuharibika lakini vvu vina tabia mbili za pekee ambazo zinavifanya vvya hatari hasa maana yake vvu vinashambulia moja kwa moja seli ambazo ni sehemu ya kingamwili na zinazohusika kukinga mwili kuenea kwa vvu mwilini kunapunguza idadi ya seli za ulinzi na hivyo kupunguza kiwango cha kingamwili baada ya kupungua kwa kingamwili vidubini vingine vinaendelea kufika mwilini lakini sasa vinaenea zaidi kwa sababu seli za ulinzi zimekuwa chache kila ambukizo linaendelea kwa muda mrefu zaidi na hivyo mwili kwa jumla unateswa kwa muda mrefu zaidi kadiri ukimwi unavyoendelea vipindi vya magonjwa vinakuwa virefu zaidi na nguvu za mwili zinapunguapungua katika ngazi za mwisho idadi ya maambukizo inazidi uwezo wa mwili wa kupambana nayo na hapo mtu unakaribia kifo ukimwi ni ugonjwa wa mfumo wa kingamwili wa binadamu unaosababishwa na virusi vya ukosefu wa kinga mwilini mwanzoni baada ya kuambukizwa mtu anaweza kukumbwa na kipindi kifupi cha maradhi ya aina ya mafua kwa kawaida hali hii hufuatwa na kipindi kirefu kisicho na dalili ugonjwa huu huendelea kutatiza kingamwili jinsi unavyozidi hivyo kumfanya mtu kuwa katika hatari zaidi ya kupata maambukizi ikiwa ni pamoja na maambukizi nyemelezi na kansa ambayo kwa kawaida hayawaathiri watu walio na kingamwili njema kuna awamu tatu kuu za maambukizi ya vvu maambukizi makali awamu fiche na ukimwi kipindi cha kwanza kufuatia maambukizi ya vvu huitwa vvu vikali vvu vya kimsingi au dalili kali za kudhibiti virusi watu wengi hupata maradhi ya mfano wa mafua au maambukizi ya mfano wa mononukleosi wiki baada ya kuambukizwa ilhali wengine hawana dalili zozote kuu dalili hutokea katika asilimia ya visa vyote na mara nyingi hujumuisha homa tezi kubwa na chungu za limfu inflamesheni ya koo upele maumivu ya kichwa na au vidonda vya kinywa na sehemu za uzazi upele huu unaotokea katika asilimia ya visa hutokea katika kiwiliwili na kwa kawaida huwa wa makiulopapula baadhi ya watu pia hupata maambukizi nyemelezi katika awamu hii dalili za tumboni na utumboni kama vile kichefuchefu kutapika au kuharisha zinaweza kutokea sawa na dalili za kinuroni za niuropathia ya pembeni au sindromu ya guillain barre muda ya dalili hutofautiana ingawa kwa kawaida huwa wiki kufuatia sifa zake za kutokuwa dalili maalum hizi mara nyingi haziwezi kutambulika kama dalili za maambukizi ya vvu hata visa vinavyotambuliwa na daktari wa familia au katika hospitali mara nyingi hutambulika vibaya kama baadhi ya visababishi vingi vya magonjwa ambukizi yaliyo na dalili zinazoingiliana kwa hivyo inapendekezwa kuchunguza vvu katika watu wanaoonyesha homa isiyoelezeka ambao wanaweza kuwa na vipengele hatari vya kuambukizwa dalili za kwanza hufuatwa na awamu fiche vvu visivyo na dalili au vvu vya muda mrefu bila ya matibabu awamu hii ya pili ya historia asilia ya maambukizi ya vvu inaweza kudumu kutoka miaka hadi zaidi ya miaka wastani wa miaka ingawa kwa kawaida mwanzoni kuna dalili chache au hata zisiwemo karibu mwishoni mwa awamu hii watu wengi hupatwa na homa kukonda matatizo ya tumbo na utumbo na maumivu ya misuli kati ya asilimia na ya wagonjwa pia hupata limfadenopathia ya mwili wote inayorejea ambayo hudhihirika kwa uvimbe usio na kisababishi na usio chungu wa zaidi ya kikundi kimoja cha tezi za limfu ila katika sehemu za uzazi kwa zaidi ya miezi hadi ingawa watu wengi walioambukizwa vvu wana kiwango cha virusi kinachoweza kutambulika na ambacho bila matibabu kitaendelea na kuwa ukimwi idadi ndogo huwa na kiwango kikubwa cha seli za cd seli saidizi za t bila matibabu ya kudhibiti virusi kwa zaidi ya miaka watu hao huainishwa kama wadhibiti wa vvu au watu wasioendeleza kwa muda mrefu ilhali wale ambao pia hudumisha kiwango cha chini au kisichotambulika cha virusi bila matibabu hujulikana kama wadhibiti hodari au wagandamizaji hodari ukosefu wa kinga mwilini ukimwi hufasiliwa kwa msingi wa kiwango cha seli za cd cha chini ya seli kwa kila l au kutokea kwa magonjwa maalumu yanayohusiana na maambukizi ya vvu bila matibabu maalum takriban nusu ya watu walioambukizwa vvu hupata ukimwi katika muda wa miaka hali zinazotokea mara nyingi zaidi kudhihirisha uwepo wa ukimwi ni numonia ya numosistisi kakeksi kwa muundo wa dalili dhoofishi za vvu na kandidiasi ya umio dalili nyingine ni pamoja na maambukizi ya njia ya pumzi maambukizi nyemelezi yanaweza kusababishwa na bakteria virusi kuvu na vimelea ambavyo kwa kawaida hudhibitiwa na mfumo wa kingamwili maambukizi yanayotokea hutegemea kwa upande mmoja aina ya viumbehai vinavyopatikana kwa wingi katika mazingira ya mtu maambukizi hayo yanaweza kudhuru karibu kila mfumo wa viungo watu walio na ukimwi wako katika hatari kuu zaidi ya kupata saratani nyingi zinazosababishwa na virusi kama vile sakoma ya kaposi limfoma ya burkitt limfoma ya mfumo mkuu wa neva na saratani ya seviksi sakoma ya kaposi ndiyo saratani inayotokea mara nyingi yaani katika asilimia hadi ya watu wenye vvu saratani inayoifuata ni limfoma ambayo imesababisha vifo vya karibu ya watu wanaoishi na ukimwi na ndiyo dalili ya kwanza ya ukimwi katika asilimia ya watu saratani hizi mbili huhusishwa na virusi vya hepesi ya binadamu aina ya saratani ya seviksi hutokea mara nyingi zaidi katika watu walio na ukimwi kwa sababu ya jinsi inavyohusiana na virusi vya papiloma ya binadamu isitoshe watu hao mara nyingi huwa na dalili za kimfumo kama vile homa ya muda mrefu jasho hasa usiku tezi za limfu zilizofura ubaridi udhaifu na kupoteza uzito kuharisha ni dalili nyingine inayotokea katika takriban ya watu wenye ukimwi ukimwi huchukuliwa kama janga yaani mlipuko wa ugonjwa katika eneo kubwa na ambao ungali unaenea ukimwi ulitambuliwa mara ya kwanza na vituo vya kuzuia na kudhibiti magonjwa huko marekani mwaka ilhali kisababishi chake vvu kilitambuliwa mwanzoni mwa muongo huo nchini huko matukio ya kwanza yalikuwa katika kikundi kidogo cha waraibu wa dawa za kudungia na wanaume shoga wasiokuwa na visababishi bayana vya udhaifu wa kingamwili na walioonyesha dalili za numonia ya pneumocystis carinii maambukizi nyemelezi yanayotokea kwa nadra na maarufu katika watu wenye kingamwili dhaifu sana punde baadaye idadi isiyotarajiwa ya mashoga wakapata sakoma ya kaposi sk saratani ya ngozi iliyokuwa nadra sana hapo awali visa vingine vingi vya npc na sk vilitokea huku vikitahadharisha vituo vya kudhibiti na kuzuia magonjwa nchini marekani hivyo kikosi cha kiutendaji kikaundwa ili kuudhibiti mzuko huu katika siku za kwanza kituo hicho hakikuwa na jina rasmi la ugonjwa huu mara nyingi wakitumia majina ya magonjwa mengine yaliyohusishwa nao kwa mfano limfadenopathi jina ambalo baadaye wavumbuzi wa vvu waliviita virusi hivi wavumbuzi pia walitumia sakoma ya kaposi na maambukizi nyemelezi jina lililokuwa la kikosi cha kiutendaji kilichoanzishwa mwaka wa wakati mmoja kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa kiliunda msemo ugonjwa wa h kwani sindromu hii ilionekana kuwaathiri watu wa haiti mashoga homoseuals wenye hemofilia na watumiaji wa heroini katika vyombo vikuu vya habari liliundwa neno grid lililosimamia gay related immune deficiency yaani ukosefu wa kinga uliohusishwa na mashoga hata hivyo baada ya kutambua kuwa vvu havikuwaathiri jamii ya mashoga pekee ilibainika kuwa neno grid lilikuwa likipotosha hivyo neno ukimwi likaanzishwa kwenye mkutano mnamo julai kufikia septemba kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa kilianza kuuita ukimwi mnamo vikundi viwili tofauti vya watafiti vilivyoongozwa na robert gallo na luc montagnier bila kutegemeana vilitangaza kuwa retrovirusi mpya ilikuwa ikiwaambukiza wagonjwa wa ukimwi hivyo wakachapisha matokeo yao katika jarida la science gallo alidai kuwa virusi vilivyokuwa vimetambuliwa kwa mara ya kwanza na kikundi chake kilikuwa sawa katika umbo na virusi vya binadamu vya limfotrophia t kikundi cha gallo kiliviita virusi hivi htlv iii wakati huohuo kikundi cha montagnier kilitambua virusi kutoka kwa mgonjwa aliyekuwa na uvimbe wa tezi za limfu kwenye shingo na udhaifu wa mwili ambazo ni dalili mbili bainifu za ukimwi huku wakikanusha ripoti ya kikundi cha gallo montagnier na wenzake walionyesha kuwa viini vya protini vya virusi hivyo vilikuwa tofauti na htlv i kiukingamwili kikundi cha montagnier kiliviita virusi walivyovitambua virusi vinavyohusishwa na limfadenopathi virusi hivi vilibainika kuwa sawa mwaka wa na kubadilishwa na kuitwa vvu leo wanasayansi wengi wanaamini vvu na vvu vimetokana na jamii ya sokwe huko afrika magharibi na ya kati mwishoni mwa karne ya au mwanzoni mwa karne ya wakati virusi vya siv kutoka kwa nyani au sokwe vilikwenda kwa binadamu vvu vinaaminika kutoka kusini mwa cameroon kupitia kugeuka kwa vsvu cpz virusi vya sokwe vinavyosababisha ukosefu wa kinga mwilini vinavyoambukiza sokwe wa mwituni vvu hutokana na mzuko wa magonjwa ya vsvucpz katika nususpishi ya sokwe iitwayo pan troglodytes troglodytes virusi vinavyohusiana kwa karibu na vvu ni vsvu smm ambavyo ni virusi vya mangabi mwenye masizi cercocebus atys atys tumbili wa kale anayeishi afrika magharibi kutoka kusini mwa senegali hadi magharibi mwa cte d ivoire tumbili wa kisasa kama vile tumbili bundi wana ukinzani wa maambukizi ya vvu kwa sababu ya uunganishaji wa jeni mbili zinazokinzana na virusi vvu inadhaniwa kuruka kizuizi cha spishi katika angalau matukio matatu tofauti hivyo kupelekea vikundi vitatu vya virusi hivi ambavyo ni m n na o kuna ushahidi kuwa wanadamu wanaoshughulikia nyama za mwituni kwa kuwinda au kuziuza kwa kawaida hupata vsvu hata hivyo virusi hivyo ni dhaifu na hukandamizwa na mfumo wa kingamwili baada ya wiki kadhaa za kuambukizwa inadhaniwa kuwa maambukizi kadhaa ya virusi hivyo kutoka kwa mtu hadi mwingine katika mfululizo wa haraka huhitajika ili vipate wakati unaotosha kubadilika na kuwa vvu zaidi ya hayo kwa sababu ya kiwango chake kidogo cha kuambukiza kutoka kwa mtu hadi mwingine virusi hivyo vinaweza tu kuenea katika wingi wa watu iwapo kuna njia moja au mbili za hatari ya kuambukizana ya kiwango cha juu njia hizi zinadhaniwa kutokuwepo barani afrika kabla ya karne ya njia maalumu za hatari kubwa ya maambukizi zinazoruhusu virusi hivi kubadilika ili kuweza kuishi katika wanadamu na kuenea katika jamii yote hutegemea wakati uliopendekezwa wa kuvuka kutoka kwa mnyama hadi mwanadamu tafiti za kijeni za virusi hivi zinadokeza kuwa chanzo cha hivi karibuni zaidi cha vvu ya kikundi m kilitokea mnamo wanaotaja kipindi hicho maalumu huhusisha mzuko wa janga la vvu na kuibuka kwa ukoloni na ukuaji wa miji mikubwa ya kikoloni ya afrika huku ukisababisha mabadiliko ya jamii pamoja na kiwango kikubwa cha uasherati uenezi wa ukahaba na matukio mengi ya vidonda vya viungo vya uzazi kama vile kaswende katika miji iliyochipuka ingawa viwango vya uambukizaji wakati wa ngono ya kupitia uke viko chini katika hali ya kawaida kuna ongezeko kubwa iwapo mmoja wa wapenzi hao ana ugonjwa wa zinaa unaosababisha vidonda vya viungo vya uzazi miji ya kikoloni ya miaka ya kwanza ya ilijulikana kwa maambukizi ya viwango vya juu kutokana na ukahaba na vidonda vya viungo vya uzazi hivi kwamba kufikia mwaka ya wanawake wakazi wa mashariki mwa kinshasa walidhaniwa kuwa makahaba kufikia mwaka takriban ya wakazi wote wa mji huo walikuwa wameambukizwa aina mojawapo ya kaswende maoni mengine yanadokeza kuwa hatua zisizo salama za uuguzi barani afrika katika miaka ya baada ya vita vya pili vya dunia kama vile kutumia tena na tena sindano zisizosafishwa kuchanja umati antibayotiki na kampeni dhidi ya malaria ndizo njia za kwanza zilizoruhusu virusi hivyo kujibadilisha vikiwa ndani ya wanadamu kisha kuenea visa vilivyonakiliwa vyema vya vvu katika mwanadamu ni vya mwaka katika eneo la nchi ya kongo kuna uwezekano kuwa virusi hivyo vilikuwemo huko marekani mwaka lakini maambukizi mengi yanayotokea nje ya kusini kwa sahara yanaweza kufuatiliwa hadi kwa mtu mmoja aliyeambukizwa na vvu katika nchi ya haiti na kisha kuyapeleka maambukizi hayo nchini marekani takriban mwaka janga hili kisha lilienea kwa haraka katika vikundi vilivyo katika hatari kubwa ya kuambukizwa mwanzoni ilikuwa ni wanaume waliofanya ngono na wanaume kufikia mwaka maambukizi ya vvu katika mashoga wenyeji wa new york na san francisco yalikadiriwa kuwa kuonyesha kuwa maelfu ya watu nchini marekani tayari walikuwa wameambukizwa vvu husambaa hasa kupitia njia tatu kuu ngono ikiwa ni pamoja na ulawiti na hata ngono ya mdomoni kuingiliana na viowevu vya mwili vilivyoambukizwa hasa kuongezewa damu au kudungwa sindano na kutoka kwa mama hadi mtoto wakati wa ujauzito kuzaa au kunyonyeshabaadhi ya viowevu vya mwili kama vile mate na machozi havisambazi vvu kufanya ngono zembe kumepelekea visa vingi zaidi vya maambukizi ya vvu kote ulimwenguni huku mwingiliano baina ya watu wa jinsia tofauti ukichangia visa zaidi ya mwingiliano wa mashoga kote ulimwenguni kwa sababu mashoga ni wachache zaidi hata hivyo mtindo wa usambazaji hutofautiana pakubwa baina ya mataifa mbalimbali nchini marekani visa vingi zaidi vya usambazaji wa kingono vilitokea katika wanaume wanaofanya ngono na wanaume kwa sababu huko ushoga umeenea zaidi huku idadi hii ikichangia ya visa vyote vipya kuhusu ngono zembe baina ya watu wa jinsia tofauti makadirio ya hatari ya kusambazwa kwa vvu kwa kila kitendo cha ngono yanaonekana kuwa zaidi kwa mara katika mataifa yasiyostawi kuliko mataifa yaliyostawi katika mataifa yasiyostawi hatari ya usambazaji wa mwanamke hadi mwanamume imekadiriwa kuwa kwa kila kitendo huku usambazaji wa mwanamume hadi mwanamke ukiwa makadirio mbadala katika mataifa yaliyostawi ni kwa kila kitendo katika usambazaji wa mwanamke hadi mwanamume na kwa kila kitendo katika maambukizi ya mwanamume hadi mwanamke hatari ya kuambukizwa kutokana na ngono ya kinyeo ulawiti iko juu sana ikikadiriwa kuwa kwa kila kitendo katika ngono ya watu wa jinsia moja na tofauti pia ingawa hatari ya kuambukizwa kupitia ngono ya mdomoni iko chini bado ipo hatari ya kila kitendo imekadiriwa kuwa kwa ngono pokezi ya mdomoni kwa kuwa visa vichache vimeripotiwa katika miktadha inayohusisha ukahaba kote ulimwenguni hatari ya maambukizi ya mwanamke hadi mwanamume imekadiriwa kuwa kwa kila kitendo huku maambukizi ya mwanamume kwa mwanamke yakiwa kwa kila kitendo hatari ya kuambukizwa huongezeka katika wingi wa magonjwa ya zinaa na vidonda vya uzazi vidonda vya sehemu za uzazi vimekisiwa kuongeza hatari hadi mara tano maambukizi mengine ya zinaa kama vile kisonono klamidia trikomoniasi vaginosi ya kibakteria huhusishwa na aghalabu ongezeko dogo la hatari ya kuambukizwa wingi wa virusi kwa mtu aliyeambukizwa ni suala kuu la hatari katika usambazaji wa kingono na pia wa kutoka kwa mama hadi mtoto katika miezi ya kwanza baada ya kuambukizwa vvu uwezo wa mtu kuambukiza ni mara zaidi kwa sababu ya wingi wa virusi iwapo mtu yuko katika awamu za mwisho za vvu viwango vya kuambukizana ni takriban mara zaidi ngono shari inaweza kuwa suala linalochangia ongezeko la hatari ya kuambukizwa ubakaji pia unaaminika kuongezeka hatari ya kusambaza vvu kwa sababu ni nadra kondomu kutumika huwa na uwezekano wa kujeruhiwa ukeni au kinyeo na pia kuna uwezekano wa magonjwa ya zinaa yanayoambatana na vvu njia ya pili maarufu zaidi ya usambazaji wa vvu ni kupitia kwa damu na mazao yake usambazaji wa kupitia damu unaweza kuwa kupitia sindano inayotumiwa na watu wengi wanapoongezwa viowevu mwilini majeraha ya sindano kuongezwa damu chafu au mazao ya damu au kudungwa kwa vifaa visivyotakaswa hatari inayotokana na kutumia sindano baina ya watu wengi wakati wa kudungwa dawa ni kati ya kwa kila kitendo wastani wake ukiwa hatari ya kuambukizwa vvu kwa sindano iliyotumiwa na mtu aliyeambukizwa vvu hukadiriwa kuwa takriban mara kwa kwa kila kitendo ilhali hatari inayofuatia tando za ute kuingiliana na damu iliyoambukizwa ni takriban kwa kwa kila kitendo nchini marekani watu wanaodungwa dawa ndani ya misuli walichangia ya visa vyote vipya vya vvu mwaka wa huku ya watu katika sehemu fulani wanaodungwa dawa wakiwa wameambukizwa vvu kuongezewa damu iliyoambukizwa huchangia maambukizi kwa takriban ya visa vyote katika mataifa yaliyostawi hatari ya kuambukizwa vvu kutokana na kuongezewa damu iko chini sana chini ya kwa ambapo viwango vya juu vya kuchagua mtu atakayetoa damu na pia upimaji vvu hufanywa kule uingereza hatari iliyoripotiwa ni kwa milioni hata hivyo katika mataifa yenye mapato ya chini nusu tu ya damu inayoongezwa huwa imepimwa vyema kufikia mwaka wa inakadiriwa kuwa hadi ya maambukizi ya vvu katika maeneo hayo hutokana na kuongeza damu au mazao ya damu yaliyoambukizwa hii ikiwa ni asilimia ya maambukizi ya ulimwengu mzima sindano za tiba zisizo salama huchangia pakubwa katika kueneza ukimwi katika eneo la kusini kwa sahara mnamo kati ya na ya maambukizi katika eneo hilo yalichangiwa na matumizi ya sindano hizo shirika la afya duniani linakadiria hatari ya kuambukizwa kupitia sindano hizo barani afrika kuwa hatari kuu huhusishwa na taratibu vamizi kusaidiwa kuzaa na utunzaji wa meno katika sehemu hii ya dunia watu wanaochanja au kuchanjwa chale chale za mwili na kutia kovu hudhaniwa kuwa katika hatari ya kuambukizwa ingawa hakuna visa vilivyothibitishwa ambavyo vimenakiliwa haiwezekani mbu au wadudu wengine kusambaza vvu mtu anaweza pia kupata vvu kwa kuchanga sindano na wenzake hii ina maana ya kutumia sindano ambayo haijawahi kusafishwa baada ya mtu mwingine kuitumia baadhi ya watu ambao kinyume cha sheria huchukua madawa ya kulevya kama heroin na cocaine huchukua dawa hizo kwa sindano baadhi yao wanachanga sindano moja kama mmojawao ana virusi ya ukimwi na anashirikisha sindano yake anaweza kuambukiza hiv kwa watu wengine vvu vinaweza kusambazwa kutoka kwa mama hadi mtoto wakati wa ujauzito kuzaa au kunyonyesha njia hii ni ya tatu kwa umaarufu wa kusambaza vvu kote duniani bila matibabu hatari ya kusambazwa wakati wa au baada ya kuzaliwa ni takriban na kwa watoto wanaonyonya kufikia mwaka wa usambazaji wima ulichangia takriban ya visa vya vvu katika watoto hatari ya kusambazwa kutoka kwa mama hadi mtoto inaweza kupunguzwa hadi kwa kutumia matibabu mwafaka matibabu ya kukinga hujumuisha mama kutumia dawa za kudhibiti virusi wakati wa ujauzito na kuzaa kuchagua kuzaa kwa kupasuliwa kutonyonyesha na kumpa mtoto dawa za kudhibiti vvu hata hivyo idadi kubwa ya mbinu hizi hazipatikani katika mataifa yanayostawi iwapo damu itachafua chakula wakati wa mtoto kutafuna itaongeza hatari ya kuambukiza vvu ndivyo kisababishi cha mkusanyiko wa magonjwa yanayojulikana kijumla kama vvu ukimwi vvu ni retrovirusi ambavyo hasa huambukiza vipengele vya mfumo wa kingamwili ya binadamu kama vile seli za cd t makrofaji na seli za dendraiti virusi hivi huharibu seli za cd t moja kwa moja au vinginevyo vvu ni mshirika wa jenasi ya lentivirus sehemu ya familia ya retroviridae virusi vyote vya lenti huwa na sifa sawa za kimofolojia na biolojia spishi nyingi za mamalia huambukizwa na virusi vya lenti ambavyo haswa huwa ndivyo visababishi vya maradhi ya muda mrefu yaliyo na kipindi cha kupevuka kirefu virusi vya lenti husambazwa kama virusi vya rna chanya za uzi mmoja hisia zilizo ndani ya kigamba inapoingia ndani ya seli iliyolengwa jenomu ya rna ya virusi hugeuzwa hubadilishwa kinakala na kuwa dna ya nyuzi mbili ambayo husafirishwa pamoja na jenomu ya virusi katika chembe ya virusi vile dna ya virusi inayoundika huingia katika kiini cha seli ambapo huchangamana na seli ya dna kwa kutumia integresi iliyofasiliwa kama virusi na pia vipengele husika vya kiini kikuu vinapochangamana na dna ya seli virusi hivi vinaweza kuingia katika awamu fiche hivyo kuwezesha virusi hivi pamoja na seli inayovipokea kuepuka kutambuliwa na mfumo wa kingamwili siku ya ukimwi duniani inaadhimishwa kila tarehe desemba kama siku maalumu ya kupanua ufahamu kuhusu maafa yanayoletwa na ugonjwa wa ukimwi desemba mosi ilichaguliwa kuwa siku ya ukimwi kutokana na tarehe hiyo kuwa ndiyo siku ambayo virusi cha ukimwi kilitambulika rasmi mwaka toka mwaka hadi watu zaidi ya milioni wameshafariki kutokana na ukimwi mwaka peke yake walifariki milioni kati yao watoto siku hiyo ilichaguliwa rasmi mwaka wakati wa mkutano wa dunia wa mawaziri wa afya kuhusu mpango wa kuzuia ukimwi kuanzia hapo siku hiyo imekuwa ikikumbukwa rasmi na serikali mashirika yasiyo ya kiserikali na wanaharakati toka mwaka hadi siku ya ukimwi duniani ilikuwa ikiratibiwa na shirika la umoja wa mataifa la masuala ya ukimwi unaids mwaka unaids ililipa shirika lisilo la kiserikali la kampeni ya ukimwi duniani the world aids campaign wajibu wa kuratibu siku hiyo kila mwaka siku hiyo hufanyika kwa ujumbe maalumu ujumbe wa mwaka hadi mwaka ulikuwa zuia ukimwi timiza ahadi mimea kwa kiingereza plants ni moja kati ya makundi ya viumbe hai duniani likijumuisha miti maua mitishamba na kadhalika kuna zaidi ya aina ya mimea sayansi inayochunguza mimea huitwa botania ambayo ni kitengo cha biolojia kwenye uainishaji wa kisayansi mimea hujumlishwa katika himaya ya plantae kwenye milki ya eukaryota viumbehai vyenye kiini cha seli na utando wa seli kwa hiyo mimea huwa na utando wa seli wenye selulosi mmea unapata sehemu kubwa ya nishati kutoka nuru ya jua kwa njia ya usanisinuru yaani hujilisha kwa msaada wa nuru ndani ya majani ya mimea kuna klorofili dutu ya rangi ya kijani inayofanya kazi ya kupokea nuru na kupitisha nishati yake kwa sehemu nyingine ya mmea ambamo inatumiwa kujenga molekuli zinazotunza nishati kwa njia ya kikemia na kutumiwa katika metaboli ya mwili mimea kadhaa imepoteza uwezo wa kutengeneza klorofili ya kutosha hivyo inajipatia nishati kama vimelea kutoka kwa mimea au viumbehai wengine mimea mingi inazaa kwa njia ya jinsia yaani kwa kuunganisha seli za kiume na kike mara nyingi viungo vya kiume na vya kike vinapatikana ndani ya mmea mmoja kuna pia mimea inayozaa kwa njia isiyo ya kijinsia kwa mfano kwa kuotesha mzizi wa hewani ambao unaingia ardhini na kuendelea kama mmea wa pekee mimea ni msingi muhimu kwa viumbehai wengine duniani kwa sababu sehemu kubwa ya oksijeni katika angahewa ya dunia inatengenezwa na mimea mimea inatoa chakula kwa binadamu kama vile nafaka matunda na mboga za majani pia lishe kwa wanyama wa kufugwa blogu za mkononi ni aina ya blogu zinazotumia zana zinazoshikika mkononi kama vile simu za mkononi kwahiyo habari maoni au visa vinatolewa katika mtandao wa kompyuta kwa kutumia zana hizi teknolojia hii ilianza huko japan ambapo simu za mkono zenye kamera zilianza kupatikana kwa urahisi inasemekana utumaji wa habari kwenye mtandao wa kompyuta toka katika zana za mkononi ulifanywa na steven mann hapo mwaka alipotumia kompyuta inayovalika mwaka ndipo utumaji wa habari katika mtandao wa kompyuta toka katika simu ya mkono ulifanywa na tom paamand nchini udeni adam greenfield ndiye aliyeanzisha matumizi ya neno blogu za mkononi aliandaa mkutano wa kwanza wa kimataifa wa blogu za mkononi jijini tokyo japani mwaka shaaban robert januari juni alikuwa mshairi na mwandishi wa riwaya mchango wake katika lugha ya kiswahili ni mkubwa kwani kazi zake zinaheshimika katika fasihi ya kiswahili na pia zinatumika shuleni shaaban robert alizaliwa tarehe januari katika kijiji cha vibambani jirani na machui kilomita kusini mwa mji wa tanga wazazi wake wote wawili walikuwa wa ukoo wa mganga wa kabila la wayao lakini hakujiita myao kabisa bali alikuwa mmojawapo wa wachache ambao daima walijiita waswahili kabla ya baba yake kuitwa roberto mwanzo alifahamika kwa jina la ufukwe na jina hili lilitokana na mzee robert kuzaliwa karibu na ufukwe jina la roberto lilitokana na tajiri mmoja aliyekuwa amemuajiri baba yake babu yake shaabani robert baada tu ya shaaban robert kuingia katika shule za wazungu alibadili jina kutoka roberto na kuwa robert alipata elimu yake katika shule ya msimbazi jijini dar es salaam kati ya miaka na akawa mtu wa pili katika wanafunzi kumi na mmoja waliofaulu mitihani yao na kupewa shahada ya kutoka chuoni yaani school leaving certificate akaajiriwa na serikali ya kikoloni akawa karani katika idara ya forodha huko pangani miaka bila shaka kukaa kwake miaka mingi hivi katika mji wa kihistoria uliokuwa mahali pa utamaduni wa waswahili tena mahali patulivu kulisaidia maendeleo yake shaaban kama mwandishi wa kiswahili tangu mwaka hata alihamia ofisi nyingine ya hifadhi ya wanyama baadaye ofisi ya mkuu wa mkoa wa tanga tokea mwaka hata alipandishwa cheo kuwa grade iii higher division mwaka na katika mwaka wa akapandishwa tena kuwa grade ii local service kwa ujumla shaaban robert aliandika vitabu ishirini na mbili baadhi ya vitabu hivi ni adili na nduguze kusadikika kufikirika wasifu wa siti binti saad maisha yangu baada ya miaka hamsini utubora mkulima vitabu vyake vimetafsiriwa katika lugha za kichina kiingereza na kirusi mbali na maandiko yake alikuwa na athari kubwa katika maendeleo ya lugha ya kiswahili akiwa mjumbe wa kamati za east africa swahili committee east africa literature bureau na tanganyika languages board alikuwa pia mwanachama wa tanga township authority alifariki dunia huko tanga tarehe juni akazikwa machui aliacha wake watatu na watoto watano ingawa aliwazaa kumi mke wa kwanza alikuwa mdigo pia aliacha dada yake wa baba mmoja mwana saumu na mama yake alitunza kwa zawadi ya waandishi inayoitwa margaret wrong memorial prize pia alikuwa ametunzwa nishani ya m b e mkoa wa mbeya ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba ukipakana na zambia na malawi halafu na mikoa ya rukwa tabora singida na iringa mbali na mkoa mpya wa songwe uliomegwa kutoka ule wa mbeya upande wa magharibi mwaka kabla ya kugawiwa kulikuwa na wilaya zifuatazo mbeya mjini mbeya vijijini rungwe kyela ileje mbozi chunya momba na mbarali tangu mkoa umekuwa na wilaya za busekelo chunya kyela mbarali mbeya mjini mbeya vijijini na rungwe mbeya ni kati ya maeneo yanayopendeza kabisa ndani ya tanzania ikiwa na sehemu za ziwa la nyasa ziwa rukwa mlima ya mbeya mlima ya rungwe uwanda wa juu wa uporoto uwanda wa usangu ingawa haukufikiwa bado na utalii wilaya ya rungwe ni eneo lenye mvua nyingi katika tanzania mkoa wa ujumla ni mojawapo kati ya mikoa yenye kilimo kizuri inayotoa mazao ya kulisha taifa lakini maeneo makubwa ya wilaya ya chunya ni makavu wilaya ya chunya ina madini mbalimbali hasa dhahabu wenyeji wa wilaya ya chunya ni wabungu na waishio huko zaidi ni wanyiha mbeya na mbozi kahawa hupandwa rungwe pana chai nyingi pamoja na rungwe na chimala hulimwa mpunga nyanda za juu kuna nafaka na viazi kijiolojia mkoa wa mbeya ni eneo la kukutana kwa mikono miwili ya bonde la ufa la afrika ya mashariki inayoendelaea hapa katika ziwa nyasa mkoa wa mbeya inapakana na maziwa mawili makubwa ndiyo ziwa nyasa na ziwa rukwa hasa milima yenye asili ya volkeno ya wilaya ya rungwe inyajaa maziwa ya kasoko mito mikubwa ni songwe na kiwira chanzo cha mto ruvuma kiko pia mbeya katika tambarare ya usangu wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo mkoa wa arusha ni mmojawapo kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba umepakana na kenya upande wa kaskazini mikoa ya jirani kufuatana na mwendo wa saa ni kilimanjaro manyara shinyanga na mara wilaya zake ni monduli longido meru arusha vijijini arusha mjini ngorongoro na karatu makao makuu yapo arusha mjini kati ya milima yake oldoinyo lengai m ni volkeno hai bado na mlima meru ni volkeno iliyolala tangu mwaka mvua hunyesha kati ya milimita kwa mwaka mlimani arusha hadi mm kwa mwaka katika maeneo makavu mkoa wa arusha ndio kitovu cha utalii tanzania bara kuna mbuga za taifa na hifadhi za wanyamapori ngorongoro serengeti olduvai arusha na ziwa manyara hifadhi ya mlima kilimanjaro na hifadhi ya tarangire ziko karibu barabara ya lami dar es salaam nairobi inavuka eneo lake uwanja wa kimataifa wa ndege wa kilimanjaro wahudumia miji ya arusha na moshi arusha hulimwa kahawa nafaka pareto katani pamba alizeti fosfati inachimbuliwa minjingu mkoani arusha na takribani tani kwa mwaka hutumiwa katika uzalishaji wa mbolea kati ya wakazi asili wa mkoa ndio waarusha wameru wairaqw na wamasai wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo kitabu cha alfu lela u lela au usiku elfu na moja kwa kiarabu au kwa kiajemi ni mkusanyiko wa fasihi katika muundo wa visa kutoka mashariki ya kati visa hivi vinatokana na kitabu cha zamani cha kiajemi kiitwacho hazr afsna visa vya ngano elfu moja inaaminika kuwa mtu aliyekusanya visa hivi na kutafsiri kwa kiarabu ni mtambaji hadithi maarufu abu abd allah muhammed el gahshigar katika karne ya tafsiri ya kwanza ya kiarabu ya kisasa ilichapwa cairo misri mwaka inasadikika kuwa visa hivi vilianza kukusanywa wakati baghdad ilipokuwa kitovu cha biashara na siasa mashariki ya kati wafanyabiashara toka uajemi persia china india afrika na ulaya walikuwa wakitembelea baghdad kwa ajili ya biashara mwanzo wa visa hivi ni kuudhiwa kwa mfalme shahryar wa kisiwa kilichoko kati ya india na china na kitendo cha mke wake kuwa na mahusiano ya kimapenzi nje ya ndoa shahryar aliamua kumuua mke wake kwa kuamini kuwa wanawake wote wako kama mke wake aliyemuua yaani sio waaminifu anamwamuru mtumishi wake awe anampatia mke kila usiku baada ya kulala na mke wake mpya usiku kunapokucha anaamuru mke huyo auawe hali hii inaendelea hadi pale binti wa huyo mtumishi wake anapounda mbinu maalum na kuamua kujitolea kuwa mke wa mfalme binti huyo jina lake ni shahrazad scheherazade au shahrastini katika vitabu vya kiingereza kila usiku baada ya ndoa yao binti huyo anatumia masaa na masaa kumsimulia mfalme visa vitamu na vya kusisimua ambapo utamu wake unakuwa umekolea inapofika alfajiri ule wakati wa kuuawa kwa mke wa mfalme kwa nia ya kujua mwisho wa kisa mfalme alikuwa akiahirisha mauaji ya shahrazad aliendelea kuahirisha kuuawa kwa mke wake hadi akapata naye watoto watatu ulipofika wakati huo aliamini kuwa mke wake huyo ni mwaminifu hivyo akabadili uamuzi wa kuua wake zake visa vyenyewe ni mchanganyiko wa mapenzi misiba ucheshi mashairi na visa vya dini ya kiislamu visa hivi vinajumuisha pia wanamazingaombwe na majini visa maarufu ni pamoja na taa ya alladin baharia sindbad ali baba na wezi arobaini kati ya majina mengi inayotajwa kuna pia majina ya khalifa harun ar rashid na mshairi abu nuwas inaaminika kuwa visa vya alladin na ali baba viliingizwa katika mkusanyiko huo karne ya na antoine galland ambaye alisikia visa hivyo toka kwa mtambaji hadithi wa kimaroni tokea nchini syria karne ni miaka mia moja karne ni milenia moja inawezekana kugawa karne kwa miongo neno hili limetokana na kiarabu linamaanisha kipindi cha miaka mia moja kwa kawaida karne si miaka yoyote inayofuatana lakini kipindi kati ya miaka kama vile au karne inakwisha katika mwaka yenye mwishoni yaani sababu yake ni ya kwamba hakuna mwaka ya kuanzisha hesabu hivyo karne ya kwanza ya hesabu ilianza kwa mwaka hali hii huleta kila karne majadiliano kwa sababu watu wengi husikia karne mpya inaanza wakati namba ya mbele waliyozoea muda mrefu inabadilika hivyo watu wengi walisheherekea karne mpya mwanzoni wa mwaka iliyokuwa mwaka wa mwisho wa karne ya si mwaka wa kwanza wa karne ya ingawa maoni ya wataalamu hayakueleweka au hayakupokelewa watu wengine walisema haidhuru ubuntu ni falsafa ya kiafrika inayosisitiza mahusiano na ushirikiano wa jamii kama msingi wa maisha bora na amani katika jamii falsafa hii inaonesha nafasi ya mtu katika jamii iliyomzunguka ushirikiano ni njia bora ya kuishi kama jamii kuliko ubinafsi neno ubuntu limetoka kwenye lugha za kizulu na kihosa za afrika kusini neno la kihaya obuntu au kwa kiswahili utu linabeba kwa kiasi fulani maana ya neno ubuntu falsafa ya ubuntu imetokana na mila na utamaduni wa kiafrika ambao umejengwa juu ya maslahi ya jamii zaidi ya maslahi ya mtu binafsi msingi wa falsafa hii ni mtu si mtu bila watu kwa kizulu umuntu ngumuntu ngabantu kwa kihaya omuntu ti muntu ka ataliho bantu baadhi ya watu wanaiona falsafa ya ubuntu kuwa na maana nzito ya kiroho na ya kidini kwa kuwa imejengwa juu ya upendo wa watu wengine kama unavyojipenda wewe na hata mazingira new black panther party for self defense ni kundi la wanaharakati weusi wenye siasa kali na mwamko wa kimapinduzi nchini marekani kundi hili lilianzishwa mwaka na mtangazaji wa redio aaron michaels huko dallas teas mwanzoni kundi hili lilichukua jina la black panther party ambalo lilikuwa ni jina la kundi jingine lililokuwa na itikadi za kimapinduzi nchini marekani wanachama wa kundi la mwanzo la black panther walipinga matumizi ya jina hilo yanayofanya na kundi jipya la aaron michaels michaels na wenzake walidai kuwa black panther haikuwa mali ya mtu binafsi bali jamii nzima ya watu weusi hivyo hakuna ubaya jina hilo likatumika hata hivyo waliamua kuongeza neno new katika jina hilo kundi hili linakua huku likifungua matawi sehemu mbalimbali nchini marekani wafuasi wengi waliojitenga na kundi jingine la nation of islam walijiunga na kundi hili wakimfuata aliyekuwa kiongozi wa new black panther party marehemu khalid abdul muhammad khalid abdul muhammad alikuwa ni mhubiri wa nation of islam kabla hajajiunga na new black panther party falsafa za kundi hili ni mchanganyiko wa mahubiri ya malcolm marcus garvey itikadi za uzalendo wa kiafrika na uanaharakati wa kimapinduzi bendera ya tanzania ni ya mstatili unaokatwa pembe kwa pembe na kanda nyeusi yenye milia za njano kandokando pembetatu ya juu ina rangi ya majani pembetatu ya chini ni ya buluu matumizi ya bendera inahifadhiwa chini ya sheria ya the national flag and coat of arms act bendera hii imepatikana tangu juni kutokana na muungano wa tanganyika na zanzibar bendera ya tanganyika ilikuwa na rangi ya kijani ikiwa na kanda nyeusi katikati yenye milia za njano kando buluu imepatikana kutokana na bendera ya zanzibar ya mwaka ikimaanisha bahari hata hivyo toka mwaka serikali ya mapinduzi ya zanzibar ilianza kutumia rasmi bendera ya zanzibar hii ni mara ya kwanza toka kuungana kwa tanganyika na zanzibar kwa funguvisiwa la zanzibar kuwa na bendera yake lenyewe rangi zinasemekana kuwa na maana zifuatazo jakaya mrisho kikwete alikuwa rais wa nne wa jamhuri ya muungano wa tanzania tangu tarehe desemba hadi tarehe novemba amezaliwa oktoba katika kijiji cha msoga kata ya lugoba tarafa ya msoga jimbo la uchaguzi la chalinze wilaya ya bagamoyo mkoa wa pwani lugha ya mama ilikuwa kikwere alizaliwa katika familia ya wanasiasa babu yake mzee mrisho kikwete alikuwa chifu wa wakwere baba yake alikuwa mkuu wa wilaya pangani same na tanga jakaya kikwete amesimulia hadithi ya kifamilia ya kuwa wakati mama yake alipokuwa mja mzito naye babu alitamka kuwa ikiwa mtoto atakuwa wa kiume atampatia urithi wa cheo chake miaka akasoma shule ya msingi msoga halafu shule ya kati middle school lusonga halafu shule ya sekondari kibaha akiongeza a level huko shule ya sekondari tanga kuanzia mwaka alisoma uchumi katika chuo kikuu cha dar es salaam akimaliza kwa kupata digrii yake mwaka akajiunga na jeshi la wananchi wa tanzania jwtz jakaya aliposoma shule ya sekondari ya kibaha alikuwa mwenyekiti wa wanafunzi na pia wa vijana wa tanu katika shule ya sekondari tanga alikuwa kiranja mkuu na pia kiongozi wa timu ya mpira katika uds alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa halmashauri ya wanafunzi mwaka alijaribu kuchaguliwa kuwa mgombea wa urais upande wa ccm inasemekana ya kwamba mwalimu julius nyerere alimwomba wakati ule kumwachia nafasi benjamin mkapa aliyeteuliwa na halmashauri kuu ya ccm kikwete akawa waziri wa mambo ya nje katika serikali zote mbili za mkapa mwaka alifaulu kuteuliwa mgombea wa ccm kwa nafasi ya rais akashinda uchaguzi wa desemba akizoa za kura zote katika uchaguzi mkuu wa mwaka alitangazwa tena mshindi ingawa kwa asilimia ndogo zaidi na kwa wasiwasi kuhusu uwezekano wa matokeo kuchakachuliwa na tume ya taifa ya uchaguzi aliyoiteua mwenyewe katiba ya nchi hairuhusu kukata rufaa dhidi ya tangazo la tume hiyo katika miaka mitano iliyofuata rais aliendelea kusafiri sana nje ya nchi kiasi kwamba alikaa ughaibuni siku nyingi kuliko zile alizokaa nchini tanzania hali ya mwisho ya nchi ilifananishwa na mwandamizi wake john magufuli kuwa kama shamba la bibi ambamo kila mtu anaweza kuchuma anavyotaka pia rais mpya alilalamika kwa kukuta hazina haina fedha mbali na madeni ya kimataifa kufikia kiasi cha karibu shilingi za tanzania milioni kwa kila mwananchi bwana jens fink jensen alizaliwa tarehe desemba katika mji wa copenhagen nchini denmark yeye ni mwandishi katika lugha ya kidenishi katika nyanja mbali mbali kama vile semi za kawaida na mashairi vile vile yeye ni mpiga picha na mwandishi wa vitabu hasa vya muziki na nyimbo alianza maisha yake kama mwandishi wa vitabu vya hadidhi juni wakati alipoandika hadithi fupi ijulikanayo kama juni kitabu hicho kilichapishwa kwenye gazeti la kila siku kwa lugha ya kidenish lijulikanalo kama nipashe habari hatimaye kwenye mwezi wa mei katika mwaka wa elfu moja na mia tisa na sabini na sita akawa mwandishi wa mashairi kwanza kwa kuandika tunzi nne za mashairi zilizo chapishwa kwenye jarida nambari sabini na sita mkwaju moja na ambalo hujulikana kama mbegu ya ngano hvedekorn tunzi zake za mwanzo kwenye nyanja ya mashairi zilichapishwa kwa mara ya kwanza kunako mwaka wa elfu moja mia nane na dhemaanini na moja na zikajulikana kwa kupewa kicwa cha maneno dunia kwenye jicho alianza kukusanya mashairi yalio kua yameandikwa na washairi wengine na kuyaweka katika hali ya vitabu kwenye mwaka wa elfu moja mia tisa na dhemanini na sita vitabu vyenyewe vilichapishwa vikiwa katika hali ya mkusanyiko wa hadidhi fupi fupi na vikatambulika kwa jina la wanyama mwitu hatimae kunako mwaka wa elfu moja mia tisa na tisini na nne akaanza kuandika vitabu kwa watoto baadhi yavyo kikiwa ni kile kiitwacho jonas na konokono alihitimu masomo yake kwenye shule ya upili kidato cha sita na kupita vizuri katika masomo ya lugha mbali mbale akiwa katika shule ya bweni ya herlufsholm kunako mwaka wa elfu moja mia tisa na sabini na sita baadae alifanya mafunzo ya kijeshi na kuhitimu kwa kutunukiwa cheo cha kamanda kwenye kikosi kiitwacho walinzi hai wa kifalme royal life guards hatimae kwenye mwaka wa elfu moja na mia tisa na dhemaanini na sita akajiunga na chuo kitoacho masomo kwenye fani ya ujenzi kilichoko mjini conpenhagen amboko alitunukiwa shahada ya mastas katika uchoraji na ujenzi katika mwaka wa elfu moja mia tisa na tisini na saba akiwa bado angali kwenye chuo hicho hicho aliyaendeleza masomo yake kwa kushiriki kwenye masomo ya ukusanyaji na utoaji wa habari katika misingi inayo husisha matumizu ya mbinu mbali mbali na akiwa kama mojawapo wa waandishi wakongwe walio vuma katika miaka ya dhemaanini na ambao walipenda kua na uhusiano wa karibu sana na bwana poul borum mhariri wa hvedekorn yeye pamoja na wenzake wengine kama vile michael strunge walichangia katika kubuni onyesho la kusisimua ambalo lilijulikana kama kizazi kipya na ambalo liliandaliwa katika ukumbi wa huset ulioko mjini copenhagen hii ilikua ni kwenye mwaka wa elfu moja mia tisa na dhemaanini vile vile alijishirikisha kwenye maonyesho ya tunzi mbali mbali na alishikilia nafasi maalum ya kusoma mashairi yenye kuelezea hali ya furaha na huzuni huku akionyesha picha zinazo onyeshwa kwenye kuta kwa kutumia miale ya mwangaza mengine alio jihusisha nayo yalikua ni kuleta hali ya uuwiyano katika tunzi mbali mbali zilizo tungwa na shule mbali mbali za upili na kwenye sherehe zingine mbali mbali zilizo wahi kufanyika wakati huo hii ikiwa ni baadhi ya matukio mengine alio jihusisha nayo wengine walio shiriki nae ni mwana mziki fredrik mellqvist ambae ana uhodari wa kucheza chombo kiitwacho keyboard wengine alio shiriki nao ni pamoja na yule mchezaji wa chombo kiitwacho saksafoni aitwae jens severin mwana sanaa huyu jens fink jensen amewahi vile vile kuandaa maonyesho ya picha kwamfano yale yaliyo julikana kama meli za kusini pamoja na uso wa beijing mengine yalikua ni pamoja na maonyesho yalio julikana kama picha za neno ambazo ziliandamana na picha ambazo huonyeshwa kwa kutumia miyale ya mwangaza na ambazo hushirikisha sauti mfano ukiwa ni ile ijulikanayo kama jicho limulikalo ulimwengu likiwa ni onyesho lililokua linasimulia kuhusu malighafi inayo tumika ndani ya vitabu krismasi pia noeli ni sikukuu ambayo wakristo wengi husheherekea kuzaliwa kwake yesu kristo zaidi ya miaka iliyopita kwa kawaida husheherekewa tarehe desemba katika ukristo wa magharibi na tarehe januari katika ule wa mashariki kuna majina mawili yaliyo kawaida kwa kiswahili kwa ajili ya sikukuu hii hakuna uhakika ni lini krismasi ilianza kusheherekewa ni sikukuu ya kale katika ukristo lakini haikuwepo tangu mwanzoni tarehe halisi ya kuzaliwa kwake yesu haijulikani kwa sababu utamaduni wa wayahudi wa wakati ule haukuwa na sherehe au kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa lakini baadaye ukristo ulienea katika dola la roma kati ya mataifa yaliyokuwa na kawaida ya kuzingatia siku ya kuzaliwa hivyo ilijitokeza hamu ya kusheherekea pia sikukuu ya kuzaliwa kwake kristo ndiyo asili ya sikukuu ya krismasi tangu mwanzo wa karne ya bk kuna kumbukumbu ya waandishi mbalimbali waliojadili tarehe ya kuzaliwa kwake yesu kristo habari za kwanza kabisa za makadirio ya tarehe ya kuzaliwa kwake yesu zinapatikana kutoka misri mnamo mwaka bk mwandishi mkristo klemens wa aleandria alilalamikia udadisi wa wataalamu kadhaa wa misri waliodai kwamba wamekadiria tarehe hiyo katika mwezi mei wengine katika aprili alisema pia kuwa kikundi cha kikristo cha wafuasi wa basilides huko misri walisheherekea epifania pamoja na kuzaliwa kwake yesu tarehe januari lakini kadirio la tarehe desemba lina asili katika misri pia kuanzia mwaka kwa mara ya kwanza katika maandishi ya situs julius africanus wataalamu nchini misri waliona tarehe nisan ya kalenda ya kiyahudi ambayo ni sawa na machi ilikuwa tarehe ya kufa kwake kristo na pia siku ya utungaji mimba wake kwa kuongeza miezi tisa ya mimba inajitokeza desemba kama tarehe ya kuzaliwa inaonekana tarehe desemba ilijitokeza wakati huo kuna taarifa ya mwaka kutoka ipolito wa roma kwamba tarehe desemba ilikuwa sikukuu ya kuzaliwa kwake yesu kristo mjini roma wakati wa karne ya tarehe ya krismasi katika desemba ilitokea pamoja na sikukuu ya kipagani iliyoitwa siku ya sol invictus hii ilikuwa sherehe ya jua kama mungu sol invictus yaani jua lisiloshindika hii ilikuwa ibada iliyoingia roma kutoka uajemi ambako mungu mithra aliabudiwa kama mungu wa nuru waumini wa dini ya jua waliona wakati wa desemba kama kipindi cha pekee kutokana na solistasi ya mwezi huo katika nusutufe ya kaskazini ya dunia urefu wa mchana unapungua na usiku unakuwa mrefu tangu sikusare ya septemba hadi tarehe desemba kuanzia siku za desemba mchana huwa mrefu na nuru inaongezeka mwendo huo ulitazamwa kama ushindi wa nuru jua juu ya giza pale roma kaisari eliogabalus aliyezaliwa syria alitawala roma hadi alianzisha sherehe ya sikukuu ya kuzaliwa jua huko roma baadaye kaisari aurelianus akaithibitisha rasmi mwaka wakati wa kaisari licinius sikukuu hiyo ilikuwa ikiadhimishwa bado tarehe desemba hatimaye ikahamishiwa tarehe desemba wataalamu mbalimbali walidai kwamba kanisa lilipachika sikukuu ya kristo kwenye tarehe hiyo kwa nia ya kufanya ichukue nafasi ya sikukuu ya jua kama mungu sol invictus yaani jua lisiloshindika kwa namna yoyote hata katika ukristo jua linatazamwa kama ishara ya kristo katika sehemu mbalimbali za biblia kristo alifananishwa tayari na jua na maneno haya yaliandikwa muda mrefu kabla ya kutokea kwa siku ya sol invictus mifano ni injili ya luka ufunuo malaki hivyo katika mashindano na dini ya kuabudu jua wakristo walitumia lugha ya biblia kwa kudokeza kristo ndiye jua la kweli kutoka roma uliokuwa mji mkuu wa dola la roma sherehe ya desemba ilienea kote katika ukristo wakristo wengi husheherekea tarehe desemba wakatoliki na sehemu ya waprotestanti na waorthodoksi kati ya waorthodoksi kuna tarehe nyingine hasa januari kutokana na tofauti katika kalenda habari za krismasi kama sherehe hazipatikani katika biblia kwa sababu zilizotajwa hapa juu na kwa sababu mwanzoni mwa kanisa mkazo ulikuwa juu ya kifo na ufufuko wa yesu tunavyoona hasa katika barua za mtume paulo baadaye tu wakristo walichunguza zaidi asili ya huyo aliyesadikiwa nao kuwa alikufa na kufufuka hasa vitabu viwili vya agano jipya vina habari za kuzaliwa kwake yesu yaani injili za mathayo na luka mathayo anasimulia habari hizo katika mlango wa kwanza kuanzia aya na katika mlango wa pili bikira maria mama wa yesu alipata mimba wakati alipokuwa mchumba wa yosefu yosefu alitaka kumwacha lakini aliambiwa na malaika aanze kuishi naye na kumkubali mtoto kama wake kwa kumpa jina yesu mamajusi kutoka mashariki waliwatembelea kijijini bethlehemu na kuwaletea zawadi kwa sababu waliona nyota ya pekee iliyokuwa kwao alama ya kuzaliwa kwa mfalme mpya katika uyahudi ikawaongoza hadi mjini yerusalemu lakini walipompitia mfalme herode mkuu huyo alikasirika akimwogopa mfalme mpya hata hivyo aliwaelekeza bethlehemu kadiri ya utabiri wa nabii mika yosefu alipata tena ujumbe kutoka kwa malaika akaondoka na mtoto na maria kukimbilia misri kabla ya askari wa herode hawajaweza kumuua yesu baada ya kifo cha herode walirudi kutoka misri lakini hawakuenda tena bethlehemu bali walihamia nazareti katika mkoa wa galilaya katika taarifa ya luka mlango wa na maria alipokea huko nazareti ujumbe wa malaika mkuu gabrieli kwamba atapata mimba halafu mtoto wa pekee yosefu na maria walikwenda bethlehemu kwa sababu ya sensa iliyowataka kwenda katika mji asili wa ukoo wa yosefu mjukuu wa mfalme daudi hapo yesu alizaliwa katika hori la kulishia wanyama wachungaji mabondeni walitangaziwa na malaika habari hiyo wakaja kumwona mtoto baada ya kuzaliwa wazazi walimpeleka yesu yerusalemu katika hekalu kufuatana na sheria ya agano la kale kitabu cha kutoka halafu wakarudi kwao nazareti korani pia ina habari za kuzaliwa kwake yesu nabii isa sura ya tatu al imran ina habari za tangazo la malaika kwa bikira mariamu zinazofanana na luka sura ya mariamu inarudia tangazo la malaika kwa mariamu na inasimulia kuzaliwa kwake yesu chini ya mti wa mtende halafu majadiliano kati ya mariamu na ndugu zake mtoto mchanga yesu akaanza kusema wakati wa kuzaliwa akimtetea mama yake dhidi ya ndugu zake kama kawaida imani na liturujia ya kikristo zinaitikia haja za binadamu mojawapo ni kukutana na watu wa kupendeza kwa wema wao kipindi cha noeli kinatimiza haja hiyo kwa kuwa kinaadhimisha kuzaliwa kwa mtu mpya kabisa ambaye anatuvutia kwa wema wake na ambaye tukimuona tumemuona mungu tena tukimpokea tunazaliwa upya kama wana wa mungu liturujia inashangilia hivi lo mabadilishano ya ajabu mwana wa mungu anakuwa mtu kusudi mtu awe mwana wa mungu tena si binadamu tu bali viumbe vyote vinapata heshima mpya kwa neno wa milele kujifanya kiumbe sherehe ya krismasi imekuwa sikukuu muhimu sana katika tamaduni za mataifa yaliyoathiriwa na ukristo kuna desturi nyingi zilizojitokeza katika karne zote za kusheherekea krismasi sehemu ya desturi hizi zimeenea pia nje ya nchi za asili na hata kutumiwa na watu wasiofuata imani ya kikristo mto kagera kwa kinyarwanda akagera ni kati ya mito inayounda mto nile pia ni mto mkubwa kabisa wa kuingia ziwa la viktoria nyanza unaanzia burundi inapounganika mito ya nyawarongo na ruvuvu ikiendela km hadi kuingia ziwa viktoria mto kagera ukielekea kaskazini ni mpaka kati ya tanzania na rwanda pale unapogeuka kuelekea mashariki karibu na mji wa kikagati ni mpaka kati ya tanzania na uganda sehemu ya mwisho ya njia yake inaingia kabisa ndani ya eneo la tanzania hadi kufika viktoria nyanza km kama kaskazini kwa bukoba jina la mto wa kagera umekuwa pia jina la mbuga ya wanyama ya akagera national park huko rwanda na pia la mkoa wa kagera katika tanzania mkoa wa kagera kati ya mikoa ya tanzania ndio mkoa wa kaskazini magharibi kabisa wenye postikodi namba jina lake linatokana na mto kagera mkoa wa kagera umepakana na burundi rwanda na uganda upande wa magharibi na kaskazini upande wa kusini umepakana na mikoa mingine ya tanzania ya kigoma shinyanga na geita eneo lake ni km za nchi kavu na km za maji ya ndani hasa ya viktoria nyanza jumla km mkoa wa kagera uko mnamo mita juu ya uwiano wa bahari makao makuu ya mkoa ni mji wa bukoba kiutawala eneo la mkoa limegawiwa kwa wilaya saba bukoba misenyi muleba karagwe ngara biharamulo na kyerwa pamaoja na eneo la manisipaa ya bukoba misenyi ni wilaya mpya iliyoanzishwa mwaka na kyerwa ikafuata mwaka sensa ya mwaka imeonyesha idadi ya wakazi kuwa inayoendelea kuongezeka asilimia kwa mwaka mkoa huu una makabila makubwa mawili ambayo ni wanyambo na wahaya wanyambo huishi kwa wingi wilaya ya kyerwa na karagwe na wahaya huishi kwa wingi wilaya ya bukoba vijijini na bukoba mjini makabila hayo hupenda kula ndizi kwa wingi asilimia kubwa ya wanakagera wanafuata mila na desturi za mababu mnyambo mhaya walikuwa hawawezi kuoana na hiyo bado ipo kwa kiasi kidogo pia mkoa huu una wakimbizi wengi kwa asilimia kubwa wanatokea nchini rwanda na burundi wakipitia wilaya ya ngara mkoa huu unapatikana ukanda wa ziwa viktoria katika mkoa huu kuna mambo mengi ambayo yalitetemesha nchi ya tanzania mambo hayo ni pamoja na vita ya uganda na tanzania vita ambavyo vilihusishwa na mkoa huu ilikuwa mwaka ndipo idd amin dada aliyekuwa rais wa uganda alipoliamru jeshi lake kuvamia mkoa wa kagera walianza kuvamia wilaya ya missenyi hapo julius k nyerere aliyekuwa rais wa tanzania aliamuru jeshi lake kufukuza wavamizi hadi kuvamia nchi ya uganda agizo hilo lilikuwa zuri lakini vijana wa mkoa wa kagera walipata shida kwa sababu walilazimishwa kufuzwa uanamgambo mara moja na kupelekwa vitani walipoanza tu vita hivyo raia wa uganda walishirikiana na jeshi la tanzania kufichua maficho ya jeshi la uganda jeshi la tanzania liliwapiga na kuwapora mali zao vifaa vya kivita na kuwateka wanajeshi wao mwanzoni mwa mwaka wa idd amin dada alikimbia na tanzania kushinda vita hivyo mara baada ya vita hivyo watanzania walichukua mali za uganda hasa mifugo na walipofika nchini tanzania walifurahia na kusherekea ushindi huo mwaka meli ya mv bukoba ilizama ikisafirisha abiria kutoka mkoa wa kagera kwenda mwanza watu wengi walikufa na lilikuwa pigo kwa serikali kwa ndugu na majonzi makubwa kwa watanzania kwa ujumla meli hiyo ilikuwa ina mkoani mwanza katika ziwa la victoria katika mkoa huohuo mwaka lilitokea tetemeko la ardhi lililoleta maafa makubwa watu walikufa wengine walipoteza mali zao hususani majumba yao uongozi wa mkoa wa kagera uliomba kila mtanzania kuchangia angalau shilingi na kuwasaidia hali ya hewa ni nzuri kwa kuishi kilimo uvuvi mkoa huo ni maarufu kwa ulimaji wa kahawa ndizi miwa na chai pia una mbuga za wanyama na umezungukwa na mto kagera katika mkoa huu elimu bado haijaenea kwa watu wote walioko vijijini elimu inakua kwa kasi ndogo na watu wengi wa mkoa huu hawajasoma wengi wanafanya kazi ya kulima hali hiyo hufanya taifa kurudi nyuma kimaendeleo maana taifa kama taifa huongozwa na wasomi ili kukua kiuchumi wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo yesu kwa kiebrania yeshua kifupisho cha yeoshua yaani mungu anaokoa alikuwa myahudi mwanamume aliyeishi miaka hivi iliyopita labda kk bk alizaliwa na bikira maria kwa uwezo wa roho mtakatifu huko bethlehemu ya uyahudi maisha yake yalikuwa ya pekee kwa kuwa alifahamu vitu vingi kwa mfano sheria hata kuwazidi walimu wa sheria japokuwa hakusomea sheria alifanya pia maajabu mengi ndiyo maana leo hii zaidi ya nusu ya wanadamu wote wanamuamini kuwa mwana wa mungu ndio wanaoitwa wakristo au walau nabii hasa waislamu kutokana na umuhimu wake katika historia ya binadamu kwa kawaida miaka yote inahesabiwa kuanzia ujio wake ulivyokadiriwa na denis mdogo kimakosa katika karne ya yesu hakuacha maandiko yoyote habari zake zinapatikana hasa katika biblia kwa namna ya pekee katika injili na vitabu vingine vya agano jipya nje ya ukristo kuna habari fupi kuhusu yesu katika maandiko ya waandishi wa roma wagiriki na wayahudi habari hizo zinaangaliwa sana kwa sababu zimetungwa na watu wasiomwamini yesu kidini kwa ujumla zinathibitisha ya kwamba yesu alikuwepo na kwamba wakati hao walipoandika alikuwa na wafuasi huko roma na ya kwamba awali waroma hawakuelewa tofauti kati ya wafuasi wake na wayahudi kati ya waandishi hao muhimu ni hasa nchi ambayo yesu alizaliwa akafundisha ni nchi ileile ambayo mungu aliwaahidia waisraeli tangu zamani za abrahamu ni nchi ileile waliyoiteka chini ya yoshua ni nchi ileile waliyoirudia kutoka utumwani babeli lakini wakati wote wa agano jipya yaani tangu yesu alipozaliwa hadi mwisho wa maisha ya mitume wake nchi hiyo haikuwa huru bali chini ya himaya ya warumi ingawa pengine hao waliwakabidhi vibaraka yaani watawala wenyeji waliowekwa na wakoloni vibaraka hao ni herode mkuu kk kk na wazawa wake ambao tena hawakuwa waisraeli halisi bali waedomu ingawa kabila lao lililazimishwa kuingia dini ya uyahudi karne iliyotangulia ukoo huo unajulikana kwa ukatili uchu wa madaraka na uzinifu wake vilevile maliwali wa kirumi waliowekwa pengine kutawala nchi au sehemu fulani walionyesha mara nyingi ukatili na dharau kwa waisraeli na dini yao hata kusababisha chuki na mapigano kati ya jeshi na wananchi mfano mmojawapo ni ponsyo pilato aliyesimamia uyahudi kuanzia mwaka hadi bk mbali na hayo utawala wa dola la roma ulioenea ulaya magharibi na kusini afrika kaskazini na nchi za mashariki ya kati kupakana na iraq ya leo kwa jumla ulihakikisha hali ya amani kwa muda wote wa agano jipya na karne za kwanza za kanisa hali hiyo pamoja na umoja wa dola hilo lote na urahisi wa mawasiliano kwa njia ya barabara zilizotengenezwa na warumi na uenezi wa lugha ya kimataifa kiyunani yaani kigiriki cha zamani ilichangia kasi ya uenezaji wa habari njema injili lugha hiyo ndiyo iliyotumiwa na waandishi wote wa agano jipya ili vitabu vyao viwafaidishe watu wengi zaidi ingawa baadhi yao hawakuijua vizuri lugha mama ya yesu na ya mitume ilikuwa kiaramu ambacho ni jamii ya kiyahudi na ambacho polepole kilishika nafasi yake kati ya wayahudi kuanzia karne ya kk hao wote walitokea mkoa wa galilaya uliokuwa na mchanganyiko wa watu waisraeli na mataifa kiasi kwamba huko wayahudi wenyewe walifuata kwa urahisi desturi za kiyunani hata wakadharauliwa na wenzao wa kusini yerusalemu na mkoa wa yudea kati ya mikoa hiyo miwili ulienea mkoa wa samaria ambao wakazi wake walijenga uadui mkubwa na wayahudi baada ya uhamisho wa babeli walipokataliwa kuchangia ujenzi wa hekalu la pili la yerusalemu dionisi mdogo mmonaki aliyeanzisha mwaka hivi mtindo wa kuhesabu miaka tangu kuzaliwa yesu kurudi nyuma k k au kwenda mbele b k alikosea hesabu zake leo tunakisia yesu alizaliwa mwaka hivi k k kwa sababu alizaliwa bethlehemu chini ya herode mkuu aliyefariki tayari mwaka k k huyo alipojaribu kumuua mtoto yesu familia takatifu ilikimbilia misri mpaka baada ya kufa kwa herode hapo ikarudi galilaya hata yesu akajulikana kwa jina la kijiji cha nazareti kilichodharauliwa na wagalilaya pia ndipo alipokulia na kuishi akifanya kazi ya ufundi hivyo yesu alitumia sehemu kubwa ya maisha yake kijijini akiwatii wazee wake maria na yosefu na kufanya kazi za mikono alishuka pamoja nao mpaka nazareti naye alikuwa akiwatii lk kwa namna hiyo ametuachia kielelezo cha utakatifu katika maisha ya familia na ya kazi ambayo ndiyo njia ya kawaida ya kukomaa kiutu na kumtumikia mungu mnyenyekeane katika kicho cha kristo ef mwaka hivi bk ndugu yake yohane mbatizaji aliacha maisha ya jangwani alikokulia na kuanza kuhubiri toba kandokando ya mto yordani kwa kuwa waisraeli walikosa manabii kwa muda mrefu na walitamani sana ukombozi walimuendea kwa wingi hata wakamtia hofu herode antipa ingawa huyo akamfunga mapema akamuua kazi ya yohane ilikuwa imetimia kwa sababu aliweza kuwaandaa waisraeli wengi hasa watu wadogo na wakosefu wampokee yesu aliyebatizwa naye katika nafasi hiyo yohane alimtambulisha kama mwanakondoo wa mungu aondoaye dhambi ya ulimwengu ndipo yesu naye alipoanza kuhubiri lakini pia kutenda miujiza ya kila aina akapata haraka wafuasi wengi kati yao akachagua mitume wake kama msingi mpya wa taifa la mungu badala ya israeli ya kale alifanya kazi hizo kuanzia galilaya akitangaza ujio wa ufalme wa mungu kwa maana ya kwamba ufalme uliotazamiwa na wayahudi umewajia kwa njia yake ingawa hakupitia shule yoyote ya biblia yesu alionekana anafundisha vizuri kuliko walimu wa sheria wa kawaida kama mtu mwenye mamlaka juu ya torati mafundisho yake yalilingana na yale ya mafarisayo kuliko na yale ya masadukayo lakini alishindana pia na hao wa kwanza kijicho na upinzani vikazidi hasa yerusalemu walipoanza kufanya njama za kumuua ingawa yesu alijua hayo alijikaza kwenda katika huo mji mtakatifu autangazie habari njema na kufia huko baada ya kupokewa kwa shangwe kabla ya sherehe ya pasaka ya mwaka au akakamatwa na baraza la israeli kwa tuhuma ya kufuru ya kujilinganisha na mungu halafu akakabidhiwa kwa liwali wa kirumi aliyekuwa na mamlaka ya kutoa adhabu ya kifo baada ya kikao ambapo wayahudi walitafuta kisingizio cha kisiasa ponsyo pilato akalazimika kuagiza yesu asulubiwe na kisha kufa kwake kaburi lilindwe na askari hata hivyo siku ya tatu kaburi likaonekana tupu na yesu akaanza kuwatokea wanafunzi wake wa kike na wa kiume kwa muda wa siku arubaini halafu akapaa mbinguni mbele ya macho yao habari hizo zikatangazwa kwa sauti tu kwa miaka kadhaa halafu zikaanza kuandikwa kanisa linaheshimu kwa namna ya pekee kama ushuhuda mkuu juu ya maisha na mafundisho ya yesu na kama moyo wa maandiko matakatifu yote injili nne zilizoandikwa na marko mathayo mwinjili luka na yohane kati ya mwaka na hivi ni muhimu kujua maisha ya yesu kwa sababu matendo na maneno yake pamoja na kimya na sala yake na hasa kifo na ufufuko wake yote yanatufunulia baba na matakwa yake kwetu mambo ya yesu wa nazareti aliyekuwa mtu nabii mwenye uwezo katika kutenda na kunena mbele za mungu na watu wote lk baada ya kujua maisha ya yesu tunapaswa kujilinganisha naye hadi aundwe na kuishi ndani mwetu akitushirikisha uhai kifo na ufufuko wake nimesulibiwa pamoja na kristo lakini ni hai wala si mimi tena bali kristo yu hai ndani yangu na uhai nilio nao sasa katika mwili ninao katika imani ya mwana wa mungu ambaye alinipenda akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu vitoto vyangu ambao kwamba nawaonea utungu tena mpaka kristo aumbike ndani yenu gal math nakushukuru baba bwana wa mbingu na nchi kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili ukawafunulia watoto wachanga naam baba kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako yoh baba nakushukuru kwa kuwa umenisikia nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma yoh baba saa imekwisha kufika mtukuze mwanao ili mwana wako naye akutukuze wewe kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe mungu wa pekee wa kweli na yesu kristo uliyemtuma mimi nimekutukuza duniani hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye na sasa baba unitukuze mimi pamoja nawe kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu walikuwa wako ukanipa mimi na neno lako wamelishika sasa wamejua ya kuwa yote uliyonipa yatoka kwako kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao nao wakayapokea wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako wakasadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma mimi nawaombea hao siuombei ulimwengu bali hao ulionipa kwa kuwa hao ni wako na wote walio wangu ni wako na walio wako ni wangu nami nimetukuzwa ndani yao wala mimi simo tena ulimwenguni lakini hawa wamo ulimwenguni nami naja kwako baba mtakatifu kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa ili wawe na umoja kama sisi tulivyo nilipokuwapo pamoja nao mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa nikawatunza wala hapana mmojawapo wao aliyepotea ila yule mwana wa upotevu ili andiko litimie na sasa naja kwako na maneno haya nayasema ulimwenguni ili wawe na furaha yangu imetimizwa ndani yao mimi nimewapa neno lako na ulimwengu umewachukia kwa kuwa wao si wa ulimwengu kama mimi nisivyo wa ulimwengu mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu bali uwalinde na yule mwovu wao si wa ulimwengu kama mimi nisivyo wa ulimwengu uwatakase kwa ile kweli neno lako ndiyo kweli kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni nami vivyo hivyo naliwatuma hao ulimwenguni na kwa ajili yao najiweka wakfu mwenyewe ili na hao watakaswe katika kweli wala si hao tu ninaowaombea lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao wote wawe na umoja kama wewe baba ulivyo ndani yangu nami ndani yako hao nao wawe ndani yetu ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja mimi ndani yao nawe ndani yangu ili wawe wamekamilika katika umoja ili ulimwengu ujue ya kuwa ndiwe uliyenituma ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi baba hao ulionipa nataka wawe pamoja nami popote nilipo wapate na kuutazama utukufu wangu ulionipa kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi ulimwengu baba mwenye haki ulimwengu haukukujua lakini mimi nalikujua na hao wamejua ya kuwa ndiwe uliyenituma nami naliwajulisha jina lako tena nitawajulisha hilo ili pendo lile ulilonipenda mimi liwe ndani yao nami niwe ndani yao mk aba baba yote yawezekana kwako uniondolee kikombe hiki walakini si kama nitakavyo mimi bali utakavyo wewe mk eloi eloi lama sabakthani maana yake mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha lk ee baba mikononi mwako naiweka roho yangu waumini wake wanaunda kanisa la kikristo ambalo linapatikana leo katika madhehebu mengi karibu wote wanamwamini kuwa mungu aliyechukua umbile la mwanadamu au kwa lugha nyingine kuwa mwana wa mungu kwa imani hiyo yesu ni mungu na mtu kwa pamoja ndiyo sababu ni mshenga pekee kati ya mungu na watu kwa sababu mungu ni mmoja na mpatanishi kati ya mungu na wanadamu ni mmoja mwanadamu kristo yesu tim katika yeye unakaa utimilifu wote wa mungu kwa jinsi ya kimwili kol hivyo ni mungu kweli na mtu kweli umungu na utu wa yesu vimeunganika katika nafsi moja visichanganyikane kwa kuwa ndani yake hali hizo mbili zinatenda kila moja ya kwake basi yule akida aliyesimama hapo akimwelekea alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii akasema hakika mtu huyu alikuwa mwana wa mungu mk mwana wa mungu tangu atwae mwili ni mtu kamili mwenye akili na utashi wa kibinadamu katika umoja wa nafsi yake vipawa hivyo vinatenda kulingana na umungu anaouchanga na baba na roho mtakatifu milele hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu lakini baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake yoh hapa duniani yesu alizaliwa na bikira maria kama malaika alivyomuambia roho mtakatifu atakujilia juu yako na nguvu zake aliye juu zitakufunika kama kivuli kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu mwana wa mungu lk hata hivyo wakristo wachache wanaamini kuwa yeye ni mtume wa pekee wa mungu ila si mungu katika dini ya uislamu yesu anajulikana kama nabii isa waislamu wanaamini kuwa yeye alikuwa nabii wa mungu ila hakuwa mwana wa mungu wala mungu maisha yake yamekuwa msingi wa sikukuu mbalimbali zinazosheherekewa katika nchi nyingi duniani kama vile noeli au krismasi kuzaliwa kwake epifania kuonekana kwake na kubatizwa kwake majilio kuandaliwa kwa ujio wake wa kwanza na kutarajia ujio wa pili kwaresima mafungo na mateso yake ijumaa kuu kifo chake muhimu kuliko zote ni pasaka kufufuka kwake azania ni jina la kihistoria kwa ajili ya sehemu mbalimbali za pwani ya afrika ya mashariki asili yake ni zamani za waroma na wagiriki wa kale kwa eneo lililokuwa la watu wa lugha za kikushi mara ya kwanza jina hili limepatikana katika mwandishi mroma plinio mzee gaius plinius secundus aliyeishi wakati wa karne ya b k kufuatana na maelezo yake azania ni sehemu zile zilizoanza katika eneo la adulis leo eritrea na kuelekea kusini kitabu cha mwongozo kwa ajili ya mabaharia periplus ya bahari ya eritrea karne ya bk kinatoa maelezo zaidi zinazoonyesha ya kwamba jina la azania labda lilimaanisha pwani ya afrika ya mashariki kutoka eritrea hadi tanzania ya leo mwandishi cosmas indicopleustes wa karne ya b k aliandika azania ni nchi chini ya utawala wa ufalme wa aksum basi hapo isingeenea sana kusini kwa pembe la afrika katika karne zilizofuata umbo la azania halikutumika tena inawezekana ya kwamba sababu yake ilikuwa waarabu waislamu walichukua nafasi ya wagiriki na waroma wakitawala biashara ya nje ya pwani ya afrika ya mashariki kuna uwezekano ya kuwa waarabu walitumia umbo tofauti la neno kuwa zanj kwa ajili ya eneo lilelile zanj imekuwa asili ya neno zanzibar katika karne ya jina la azania limefufuka tena nchi huru za tanganyika na zanzibar ziliungana tarehe aprili kuwa jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar jina jipya lilitafutwa hapo jina lile la kihistoria azania lilikumbukwa tena kwa kuunganisha maneno ya tanganyika zanzibar na azania jina la nchi tanzania limepatikana kwa namna tofauti jina la azania lilitumika pia afrika kusini wakati wa siasa ya ubaguzi wa rangi sehemu ya wapinzani wa siasa hii hawakutaka kutumia jina rasmi la south africa zuid afrika tena walitafuta jina katika historia iliyotangulia kufika kwa makaburu wakichukua jina la azania ni hasa vyama vya pac na azanian people s organization waliotaka kubadilisha jina la afrika kusini kuwa azania lakini chama kikubwa cha anc haikukubali hivyo mipango ilishindikana jumuiya ya madola jina la kiingereza ni commonwealth of nations inaunganisha nchi mbalimbali hasa uingereza na nchi zilizokuwa koloni zake umoja huu umeanzishwa mw kama jumuiya ya kibritania british commonwealth na kupewa jina lake la sasa tangu inafuatana na dola la kibritania au dola la kiingereza ambayo ilikuwa dola kubwa kabisa katika historia ya dunia lakini maeneo yake yalianza kuachana baada ya vita kuu ya pili ya dunia kutokana na kudhoofishwa kwa uingereza vitani na miendo ya kupigania uhuru katika nchi mbalimbali hasa uhindi leo zipatao asilimia ya watu wote duniani watu huishi katika nchi wanachama za jumuiya ya madola nchi za jumuiya hii wenye wakazi wengi ni hasa uhindi pakistan bangladesh na nigeria kuna pia nchi ndogo sana kama tuvalu yenye wakazi pekee nchi kadhaa zilisimamishwa uanachama au kuondoka kwa hiari zao mfano tanganyika na zanzibar ziliungana kwa hiyo hazipo tena lakini mpya ya tanzania imekuwa nchi mwanachama vilevile newfoundland iliondoka katika jumuiya baada ya kujiunga na kanada kama jimbo pakistan ilisimamishwa uanachama mara kadhaa kwa sababu serikali yake ilipinduliwa na wanajeshi walioanzisha serikali ya kijeshi imerudishwa tena zimbabwe ilisimamishwa uanachama baada ya uchaguzi bandia ikaamua kujiondoa kabisa mwaka jamhuri ya ueire iliamua mwaka kuacha viungo vyote na uingereza ikajitangaza kuwa jamhuri isiyokubali athira ya nje kama hali ya malkia wa uingereza kuwa mkuuw a dola hivyo ikaondoka katika jumuiya afrika kusini ilijiondoa kwa sababu ya upinzani wa jumuiya dhidi ya sheria za apartheid baada mwisho wa ubaguzi wa rangi nchi ilirudi katika jumuiya fiji imesimamishwa mara kadhaa baada ya uasi wa kijeshi uliopindua serikali periplus ya bahari ya eritrea ni kitabu cha mwongozo kwa ajili ya mabaharia kilichoandikwa mnamo mwaka bk kitabu hicho kimeandikwa na mwenyeji wa aleksandria misri uliokuwa mji mkubwa wakati ule na kitovu cha biashara ya kimataifa kati ya dola la roma afrika ya mashariki na bara hindi kitabu cha periplus kinaeleza mabandari kuanzia misri hadi afrika ya mashariki kwa upande moja na hadi bara hindi kwa upande mwingine kinataja majina ya mabandari bidhaa zilizopelekwa huko na bidhaa zilizopatikana kila mahali pia kuna habari za kando juu ya watu watawala na mila zao maelezo ni mengi kuhusu pwani ya eritrea na somalia hadi pembe la afrika kuelekea kusini majina ya mabandari ni machache mwisho wa eneo lililojulikana ni mji wa rhapta katika nchi za azania lakini hadi leo wataalamu hawakuelewana hii rhapta na azania ilikuwa wapi bahari ya eritrea kigiriki erythr thlassa ni jina la kale la bahari ya shamu na bahari hindi neno erythra katika lugha ya kigiriki inamaanisha rangi nyekundu thalassa bahari hivyo bahari ile iliitwa kwa jina kama bahari nyekundu linganisha kiing red sea inasemekana ya kwamba jina hili limetokana na aina ya mwani unaoonyesha rangi hiyo wakati mwingine inaonekana ya kwamba waandishi wa kale hawakutofautisha kati ya bahari ya shamu na bahari hindi merikebu za zamani zile zilitembea muda wote karibu na pwani kwa sababu dira haikulikana bado nje ya uchina hivyo haikuwa rahisi kuvuka bahari moja kwa moja na kupata picha kamili ya umbo la bahari nahodha wa merikebu hizi walitumia maandiko kama periplus ya bahari ya eritrea wakipanga safari zao bahari ya shamu kiingereza red sea kiarabu bar al amar al baru l amar kiebrania yam suf kitigrigna qeyh bahri ni ghuba kubwa ya bahari ya hindi jina la kihistoria katika lugha ya kigiriki ilikuwa bahari ya eritrea erythr thlassa kaskazini ni rasi ya sinai pamoja ghuba ndogo za aqaba na suez halafu imeunganika na mediteranea kwa njia ya mfereji wa suez kusini bahari ya shamu imeunganika na bahari hindi kwa njia ya mlango wa bahari wa bab el mandeb ghuba yote ina urefu wa takriban km upana wake ni kati ya km na km tu kwenye bab el mandeb eneo lake ni km vilindi vyake vinaelekea hadi m chini ya uwiano wa bahari vilindi hivi ni sehemu ya bonde la ufa halijoto ya maji ni kati ya c nchi zinazopakana na bahari ya shamu ni jamhuri ya watu wa zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa tanzania ingawa inajitawala katika mambo ya ndani hadi mapinduzi ya zanzibar ya mwaka nchi hiyo ilijulikana kama usultani wa zanzibar eneo lake ni sawa na funguvisiwa la zanzibar lililopo mbele ya mwambao wa afrika ya mashariki karibu na tanganyika tanzania bara linajumuisha visiwa vikubwa vya unguja na pemba pamoja na visiwa vidogo vidogo lakini si kile cha mafia kilichopo kusini zaidi kiutawala zanzibar imegawanyika katika mikoa mitano kisiwani unguja na kisiwani pemba historia inaonyesha kwamba kwa kiasi cha miaka kumekuwepo makazi ya binadamu katika visiwa vya zanzibar visiwa hivyo ni sehemu ya kumbukumbu ya kihistoria ya ulimwengu wakati waajemi wafanyabiashara walivigundua na kuvifanya makao makuu kwa safari kati ya mashariki ya kati india na afrika katika kipindi cha karne ya na ya wabantu walianza biashara na waarabu waliofika afrika ya mashariki katika karne ya waarabu walifika zanzibar kibiashara pamoja na kusambaza dini ya uislamu waarabu ndio walioipa jina zanzibar kutokana na maneno ya kiajemi zinji bar yaani sehemu ya watu weusi lugha ya kiswahili ilianza kutumika kiasi cha karne ya ikitokana na mchanganyiko wa lugha ya kiarabu na lugha za kiafrika katika karne ya wareno walifika zanzibar lakini utawala wao ulifuatiwa na kutokuwepo utulivu lakini biashara ya utumwa iliwaweka watu pamoja waarabu kutoka oman walichukua utawala zanzibar katika karne ya na zanzibar ilikuwa makao makuu ya utawala wa waomani miaka zanzibar ilifaidi matunda mazuri ya kiuchumi na maendeleo yaliyosababishwa na utawala wa masultani na hivyo kupelekea kuenea kwa dini ya kiislamu zanzibar pamoja na kuwa na mwakilishi nchini marekani katika karne ya zanzibar ilikuwa chini ya utawala wa oman mwaka zanzibar ilikuwa inaongoza kwa kilimo cha karafuu na hiyo kupelekea haja ya watumwa kuongezeka kutumika katika kilimo hatimaye watumwa walikuwa za wakazi wote mwaka kamisheni kutoka uingereza na ujerumani iliamua kuigawa zanzibar kutoka katika utawala wa kisultani na ndio ulikuwa mwisho wa utawala wa kujitegemea kwa zanzibar mnamo mwaka sultani alikubali maridhiano hayo mwaka zanzibar ilikuwa chini ya uangalizi wa waingereza rasmi lakini uchaguzi wa mwanzo ulifanyika mwaka na miaka iliyofuata kukawepo fujo na machafuko kutoka kwa waafrika wanaodai uhuru dhidi ya utawala wa kiarabu mwezi desemba mwaka waingereza waliipa uhuru zanzibar chini ya jumuiya ya madola na tarehe januari zanzibar ilifanya mapinduzi kujikomboa kutoka katika utawala wa sultani muda mchache baadaye iliungana na tanganyika kuunda jamhuri ya muungano wa tanzania kwa jumla mikoa mitano ya tanzania imo ndani ya zanzibar ikiwa mitatu iko unguja na miwili pemba zanzibar inatawaliwa na serikali ya mapinduzi ya zanzibar smz zanzibar ina bunge lake linaloitwa baraza la wawakilishi wa zanzibar lenye wabunge wanaochaguliwa kwa muda wa miaka mitano mji mkuu na makao makuu ya serikali ni jiji la zanzibar ambalo liko kisiwa cha unguja mji mkuu wa kisiwa cha pemba ni chake chake jamhuri ya watu wa zanzibar ilianzishwa baada ya mapinduzi ya yaliyomaliza usultani wa zanzibar rais wa kwanza alikuwa abeid amani karume hadi mwaka alifuatwa na aboud jumbe rais wa tatu aliyemfuata alikuwa ali hassan mwinyi aliyeendelea kuwa rais wa tanzania tangu rais amani abeid karume ambaye ni mwana wa rais wa kwanza na alikuwa mgombea wa ccm alichaguliwa mara ya pili na wananchi wote tarehe oktoba katika kura iliyopingwa na chama cha upinzani cuf rais aliyefuata ni ali mohamed shein katika uchaguzi wa tarehe oktoba alionekana kushindwa na mpinzani wake lakini matokeo rasmi ya mwisho hayakutangazwa ingawa nchi nyingi duniani zilishinikiza ifanywe hivyo watu wa zanzibar ni wa asili mbalimbali hasa watu wa asili ya afrika bantu yakiwemo makabila ya wahamidu na watumbatu halafu waasia awali kutoka india na nchi za kiarabu idadi ya wakazi wa zanzibar ilikuwa mwaka tarehe ya sensa ya mwisho iliyoonyesha ongezeko la kwa mwaka karibu theluthi mbili ya watu wanaishi katika kisiwa cha zanzibar unguja mkoa wa mjini magharibi ndio wenye idadi kubwa ya wakazi kiasi cha watu pemba ina jumla ya makazi sawa mji mkubwa ni chake chake ukiwa na idadi ya mengine ni wete na mkoani dini ya uislamu ina kiasi cha za wananchi wote waliobaki ni hasa wakristo wa kwanza walikuja wakati wa utawala wa kireno halafu wakati wa masultani kuwepo zanzibar na wa ukoloni wa uingereza kulikuwa na wahindu pia lakini wengi wao walikimbia nchi au kuuawa wakati wa mapinduzi ya mwaka kuna misikiti ambayo waadhini wake hugongana wakati wa maombi pamoja na mahekalu ya uhindu sita na makanisa kadhaa yakiwemo kanisa kuu katoliki na kanisa kuu la anglikana katika mji wa zanzibar stonetown hasa hilo la mwisho ni maarufu kwa sababu lilijengwa mahali pa soko la watumwa lililofungwa altari ikiwa imejengwa juu ya nafasi ya mti wa kuwafunga watumwa walioadhibiwa kwa viboko na batizio kuwa mahali walipotupwa watoto watumwa ambao hawakuuzwa pamoja na mama zao hata hivyo makanisa kadhaa yalichomwa moto katika miaka upande wa huduma ya afya vifo vya watoto wachanga bado ni kati ya wazaliwa na inakadiriwa kuwa utapiamlo huathiri mmoja katika watu watatu wa visiwa matarajio ya maisha wakati wa kuzaliwa ni miaka wakati maambukizi ya vvu ukimwi ni madogo sana kwa zanzibar kuliko tanzania kwa ujumla ya idadi ya watu dhidi ya wastani wa kitaifa wa uchumi wa zanzibar unategemea kilimo na utalii mazao yanayouzwa nje ni hasa karafuu basibasi mdalasini na pilipili uchumi wa zanzibar ni uchumi duni kabisa ambao mwananchi wa kawaida anaishi kwa kiasi cha chini ya dola moja kwa siku au hana uhakika wa kupata chochote wastani wa mapato ya kila mwaka ya us na ukweli kwamba karibu nusu ya wakazi wanaishi chini ya mstari wa umaskini lakini kuna tofauti kubwa katika kiwango cha maisha kati ya wakazi wa pemba na unguja tena kati ya wakazi wa mijini na vijijini hilo linatokana na viongozi kutoonesha mori katika kutatua matatizo au kuweka mbinu za kuleta maendeleo badala yake ni kujadili siasa kwa muda mwingi zanzibar ni nchi yenye matumaini katika uchumi lakini kutokana na migogoro ya kisiasa imekuwa katika hali duni kabisa na mabalozi wa marekani na nchi nyingine walisisitiza mara nyingi umuhimu wa kuwepo ushirikiano katika siasa ili kuiwezesha zanzibar kuinuka katika hali ya uchumi tsunami ni wimbi kubwa sana katika bahari linalosababishwa na tetemeko la ardhi mlipuko wa volkano au matokeo mengine yanayoleta mshtuko wa ghafla chini ya maji mshtuko huo unasababisha kutokea kwa wimbi kali linaloanza kupaa juu likifika katika maji kame na kwenye ufuko wa bahari neno tsunami linatokana na lugha ya kijapani likimaanisha wimbi la bandarini tsunami huweza kutokea na kusababisha vifo vya maelfu ya watu wakati mwingine inaweza kutokea bila kuleta madhara yoyote tsunami ya krismasi ilikuwa mojawapo kati ya maafa makubwa yaliyotokea katika historia ya dunia yetu iliyoua malakhi ya watu huko asia kusini na kuleta madhara hadi pwani ya afrika ya mashariki tarehe desemba lilitokea tetemeko la ardhi chini ya bahari hindi karibu na pembe ya kaskazini ya sumatra kwenye mstari ambako bamba la uhindi linajisukuma chini ya bamba dogo la burma siku ile km za pembizo la bamba la uhindi zilisogea mbele katika muda wa dakika chache kwa urefu wa takriban mita chini ya bamba la burma bamba la juu lilisukumwa na kupaa juu hadi mita mshtuko huo ulianzisha wimbi kubwa chini ya bahari lililotoka juu kwa umbo la tsunami iliyoua takriban watu katika maji marefu ya bahari wimbi halikuwa na hasara likaonekana kuwa na cm pekee lakini ilifika mwambaoni kwenye maji kama likaanza kupaa juu kufikia hadi m kutoka kitovu cha tetemeko la ardhi mawimbi ya tsunami yalienea kotekote yalipiga vikali sana pwani za indonesia sri lanka thailand na india mawimbi yalifikia hadi pwani ya afrika na kusababisha vifo somalia kenya tanzania na afrika kusini athari za mkasa hudumu kwa muda mrefu mahitaji makuu ya kifedha huwa miezi ya mkasa yakiwemo ili kuzuia magonjwa yanayotokana na chakula nawa mikono yako kwa maji safi na sabuni kabla na baada ya kula au kutayarisha chakula na baada ya kutumia choo au bafu iwapo huna maji safi tumia visafisha mikono visivyo na maji hadi maji safi yatakapopatikana usile chakula chochote ambacho hakijahifadhiwa kwenye vyombo visivyoingiza maji vyombo vya mikebe au vya plastiki vilivyofungwa na kile ambacho huenda kimetangamana na maji yasiyotibiwa kama vile maji ya bahari mafuriko mto au dimbwi tupa chakula chochote kilicho katika mikebe isiyofungwa au inayoingiza maji ambacho kimetangamana na maji yasiyotibiwa vyakula vya mikebe ambavyo havijaharibika vinaweza kuokolewa ondoa vitambulisho kwenye mikebe safisha sehemu ya nje ya mikebe hiyo kwa maji ya sabuni na uue viini kikamilifu kwenye mikebe hiyo kwa mchanganyiko wa kikombe aunsi takribani lita cha klorini asilimia katika galoni takribani lita za maji safi yaliyotibiwa tumia kalamu kuandika yaliyomo na tarehe ya kuharibika kwenye mikebe hiyo iwapo mikebe ya chakula iliyofunguliwa ina vifuniko vyenye hesi meno vilivyokunjwa vifuniko vya chupa za soda vilivyopinda au vya kubingirika au ikiwa imetengenezwa nyumbani itupe ikiwa imetangamana na maji ambayo hayajatibiwa haiwezi kutiwa kiua viini ikiwa hunyonyeshi katika kulisha watoto wachanga tumia chakula cha mtoto kilichotengenezwa na kuhifadhiwa mikebeni kisichohitaji kuongezwa maji ikiwa barafu kavu itapatikana inaweza kutumiwa kudumisha ubaridi wa chakula pauni takribani kilogramu za barafu kavu zitadumisha friza ya futi lita chini ya kiwango cha kuganda kwa siku hadi kuwa makini unaposhughulikia barafu kavu kwa sababu hugandisha kila inachogusa vaa glavu kavu na nzito ili kuepuka majeraha barafu kavu inapoyeyuka hubadilika kutoka hali ngumu na kuwa gesi pitisha hewa safi ondoa hewa kwenye magari au vyumba unaposafirisha kuhifadhi au kutumia barafu kavu bila kupita kwa hewa safi gesi inayotoka kwenye barafu inayoyeyuka inaweza kuongezeka polepole na kusababisha madhara yakiwemo kupoteza fahamu na kifo tsunami inaweza kutengeneza mbingiriko wa maji ya bahari ambayo inaweza kutapakaa sehemu kubwa ya kijiografia maji ya bahari yakiendelea kusongea ufuoni maji ya kunywa ya visima yanaweza kuzamishwa na kuweza kuchafuliwa na vidubini bakteria virusi parasiti na kemikali ambazo zinaweza kuathiri afya ya binadamu chumvi ya baharini inayohusishwa na maji ya chumvi inayofurika maji ya kunywa ya pwani si tishio la haraka kwa afya kwa sababu ya ladha mbaya ya maji ya chumvi watu wengi hawawezi kumeza kunywa maji mengi hiyo itasababisha shida za afya mara moja hata hivyo ugonjwa unaosababisha vidubini husambaa kupitia mafuriko kwa kawaida huwa haitoi ladha nzito ikiwa maji yaliyona ugonjwa yanayosababisha vidubini yatanyiwa hata kwa kiwango kidogo inaweza kusababisha shida za afya kwa maisha kama vile uharishaji ulio sugu kipindupindu na maambukizi hatari matumizi ya maji chafu kusafisha vidonda yanaweza kuleta maambukizi hatari zaidi ya hayo uchafu wa kemikali unaopatikana katika mafuriko ya maji unaweza kuchafua visima kwa urahisi uchafu wa kemikali unaweza kujumuisha bidhaa za fueli kutoka kwa tangi za fueli zilizoanguka au dawa za kuua wadudu ambazo zimehifadhiwa katika meneo ya mafuriko ukinywa maji yaliyo na aina hii ya uchafu wa kemikali inaweza kuwa hatari kwa afya na maisha baada ya visima kusafishwa vizuri na kuanza kujaza maji kutoka kwa mpenyo wa mwamba kiwango kikubwa cha chumvi kuwa na chumvi nyingi unapaswa kupungua visiwa vifupi vinaweza kuathiriwa zaidi kuliko visima vyenye kina ndefu kwa sababu ya kuwepo kwa maji ya chumvi katika eneo la juu ya udongo ingawa kuanza upya kwa visima vinaweza kuwa pole pole kuliko ile ya visima vyenye kina ndefu kuwepo kwa chumvi kwa visima vinapaswa kuwa kidogo kwa muda baada ya tsunami watu katika sehemu zilizoathirika wanapaswa kusikiza matangazo ya umma kuhusu usalama wa kupeana maji visima vya kibinafsi vilivyofurika vinapaswa kuchunguzwa na kusafishwa baada ya maji ya mafuriko kupungua ikiwa harufu mbaya ladha na rangi isiyo kuwa ya kawaida au matokeo ya awali ya uchunguzi wa maji yatafanya watu washuku kuwa visima vya eneo hilo vimechafuliwa na fueli dawa ya kuua wadudu au hata kemikali zingine uchunguzi wa kemikali ya maji ya kunywa unahitaji sana maswali kuhusu uchunguzi yanapaswa kutolewa kwa viongozi wa eneo hilo maji mazuri ya kunywa kupikia na usafi wa kibinafsi inajumuisha maji yaliyowekwa kwa chupa chemshwa au kutibiwa baada ya tsunami asili ya maji yanaweza kuchafuliwa na maji ya chumvi ukitumia maji ya chumvi mchanganyiko wa maji ya chumvi na maji isiyotiwa chumvi kwa kunywa na kupika kwa muda mrefu yanaweza kusababisha shida za afya kutoka kwa viwango vya juu ya chumvi yanayoweza kunyiwa viongozi wa eneo lako wanaweza kupanga mapendekezo maalum kwa uchemshaji na uwekaji wa kemikali maji katika eneo lako ukipata maji kutoka kwa tangi la maji au kisima tafadhali rejelea ujumbe wa kusafisha matangi ya maji au visima usipopata maji kutoka kwa tangi la maji au kisima fuata sheria hizi kuhusiana na maji ya kunywa kupikia na usafi wa kibanfsi tumia mmumunyo wa dawa ya klorini kukamua vyombo vya maji kabla ya kuvitumia tena tahadhari unapotumia tangi za kuhifadhi maji na aina zingine za vyombo kwa mfano tangi za maji za zimamoto na makopo au chupa zilizotumika awali huenda zimechafuliwa na mikrobu au kemikali usitegemee matumizi ya vyombo ambavyo havijajaribiwa vya kusafisha maji kuua viini vya maradhi kwenye matangi ya maji na mifumo mingine ya kunasa maji ya mvua baada ya mafuriko katika maeneo mengi ulimwenguni watu hupata maji ya kunywa kwenye mifumo ya kunasa kukusanya maji ya mvua na kuyahifadhi hata inapotengenezwa na kutumika inavyofaa mifumo hii huchafuliwa kwa urahisi na viinitete vinavyoweza kusababisha magonjwa baadhi ya mifumo ya kusambaza maji hutumia sehemu kama vile paa ili kukusanya maji na kuyaelekeza kwenye tangi la maji tangi la kuhifadhi ikiwa hupati maji yako kutoka kwa tangi au kisima rejelea maji ya kunywa kupika na usafi wa kibinafsi kwa habari kuhusu kuua viini kwenye maji yako maji ya matangi ya maji na mifumo sawa yanapotangamana na maji ya mafuriko watu wanapaswa kuchukulia kuwa maji yao ya kunywa yamechafuliwa ikiwa unasikitika kuhusu kuchafuliwa kwa chanzo cha maji yako ya kunywa tafadhali rejelea maji ya kunywa kupika na usafi wa kibinafsi kuhusu uchafuzi wa maji chumvi uchafuzi wa kemikali na athari za kiafya moja ya mbinu zifuatazo inaweza kutumika kuua viini kwenye matangi ya maji na mifumo mingine ya kunasa maji ya mvua katika hali za mikasa kwa kuzingatia iwapo chanzo cha maji ya kunywa kinapatikana tangi la maji au mfumo wa kunasa maji unasafishwa mbinu ya au iwapo tangi la maji au mfumo wa kunasa maji unahitaji kutumika kwa haraka zaidi kama chanzo cha maji ya kunywa mbinu ya iwapo bidhaa za fueli au vichafuzi vingine vya kemikali vimetangamana na tangi la maji au mfumo wa kunasa maji ya mvua au iwapo kuna harufu ya fueli au kemikali zingine katika mazingira karibu na mfumo huo tumia tu mbinu ya kwa uuaji viini mbinu ya tumia mbinu hii ikiwa maji safi ya kunywa yanapatikana kutoka kwenye chanzo kingine tangi la maji au mfumo wa kunasa maji unaposafihshwa mbinu hii ni bora lakini huchukua muda mrefu zaidi kwani tangi la maji mfumo ni lazima utolewe maji yote na kujazwa tena mara mbili kipimo kwa mita katika vipimo vya mita zidisha urefu mita upana mita kina mita kiasi katika lita kwa matangi ya mviringo zidisha kina matokeo ya kuzidisha nusu kipenyo cha tangi kwa chenyewe mita kiasi katika lita mbinu ya tumia mbinu hii ikiwa maji safi ya kunywa yanapatikana kutoka kwa asili nyingine wakati tangi mfumo unaambukuliwa mbinu hii si bora kama ilivyo mbinu ya lakini huchukua muda mfupi kwani tangi mfumo unahitaji kutolewa maji na kujazwa tena mara moja tu baada ya tsunami huenda visima katika maeneo yaliyoathiriwa vikawa vimechafuliwa tafadhali rejelea maji ya kunywa kupika na ya usafi wa kibinafsi kuhusu uchafuzi wa maji chumvi uchafuzi wa kemikali na athari za afya iwapo unashuku kuwa kisima chako kimechafuliwa wasiliana na mamlaka za eneo lako kwa ushauri mahususi zaidi iwapo haupati maji yako kutoka kwa tangi au kisima rejelea maji ya kunywa kupika na ya usafi wa kibinafsi kwa habari kuhusu kuua viini kwenye maji yako yafuatayo ni baadhi ya maagizo ya jumla ya kuua viini kwenye visima kuua viini kwenye visima vilivyotobolewa au vilivyochimbwa mfumo wa mita katika mfumo wa mita kisima chenye kipenyo cha takribani mita huhitaji takribani lita za dawa ya klorini kwa kila mita ya maji iwapo kisima ni takribani mita kwenda chini zidisha lita na mita ili kubainisha idadi kamili ya lita za dawa klorini itakayohitajika lita futi moja ya urefu wa maji mita kipimo cha mita katika kipimo cha mita tambua kiasi cha maji kwenye kisima kwa kuzidisha lita kwa kila mita kwa kina cha kisima kwa mita kwa mfano kisima chenye kipenyo cha sentimita kina lita za maji kwa kila mita ikiwa kina cha kisima hiki ni mita zidisha lita kwa mita ili kutambua idadi jumla ya lita za maji katika kisima lita ni muhimu kukumbuka kutekeleza usafi wa kimsingi katika kipindi cha dharura osha mikono kila mara yako kwa sabuni na maji yaliyochemshwa au yaliyotiwa kiua viini maji yaliyochemshwa ndiyo bora zaidi mifano ya nyakati za kuosha mikono yako ni maji safi yasipopatikana unaweza kutumia bidhaa zenye spiriti zilizotengenezwa kwa ajili ya kuosha mikono maji ya mafuriko yanaweza kuwa na kinyesi kutoka kwa mifumo ya maji taka yanayoenea kwenye ardhi na mapato ya ziada ya kilimo na viwanda ingawa mgusano wa ngozi na maji ya mafuriko kwa wenyewe hauleti hatari kubwa ya afya kuna hatari ya magonjwa kutokana na kula au kunywa chochote kilichochafuliwa na maji ya mafuriko ikiwa una vidonda wazi ambavyo vitatangamana na maji ya mafuriko hakikisha umevisafisha vyema iwezekanavyo kwa kuviosha kwa sabuni ili kudhibiti maambukizi kidonda kikianza kuwa chekundu kuvimba au kuwa na mtiririko tafuta usaidizi wa kimatibabu mara moja isitoshe wazazi wanahitaji kuwasaidia watoto kuepuka maradhi yanayoenezwa na maji usiwaruhusu watoto kucheza katika maeneo yenye maji ya mafuriko osha mikono ya watoto mara nyingi kila mara kabla ya kula na usiwaruhusu kuchezea vinyago vilivyochafuliwa na maji ya mafuriko ambavyo havijatiwa kiua viini unaweza kutumia mmumunyo wa kikombe kimoja cha klorini katika galoni za maji kwa kuua viini kwenye vinyago vinyago vingine kama vile wanyama waliojazwa nguo na vinyago vya watoto haviwezi kutiwa kiua viini vinapaswa kutupwa tanganyika african national union tanu kilikuwa chama kilichotawala tanganyika na tanzania hadi muungano wa chama hiki na chama cha afro shirazi cha zanzibar ulipounda chama cha mapinduzi ccm mwaka tanu ilianzishwa julai kutokana na tanganyika african association taa taa ilikuwa na mwelekeo wa kitamaduni zaidi ya siasa mwenyekiti wa kwanza wa tanu alikuwa julius kambarage nyerere tanu ilishinda kila uchaguzi chini ya utawala wa kikoloni ikawa chama cha kuongoza tanganyika hadi ilipopata uhuru wake mwaka katiba ya taifa ya mwaka ilifanya tanu kuwa chama cha pekee nchini ikifuata mfano wa nchi za kijamaa zenye muundo wa siasa ya chama kimoja mtiririko wa kupigania uhuru wa tanganyika na mchango wa mwalimu katika kupigania uhuru mikutano hiyo ama ilikuwa ikifanyika nyumbani kwa dossa azizi mtaa wa congo au mtaa wa stanley nyumbani kwa abdulwahid alikuwa ni dossa azizi ambaye mara nyingi alikuwa akimrudisha mwalimu nyerere kwa gari lake pugu st francis college baada ya mkutano sheikh hassan bin amir sheikh suleiman takadir mzee mohammed jumbe tambaza mshume kiyate na mwinjuma mwinyikambi wengine walikuwa rajab diwani makisi mbwana sheikh haidar mwinyimvua na idd faiz mafongo aidha walikuwepo idd tosiri sheikh mohamed ramia na mashado ramadhani plantan oktoba mwalimu nyerere abdulwahid sykes ally sykes dossa aziz na john rupia walikutana kujadili namna ya kuibadili taa kuwa chama kamili cha siasa mkutano wa kuizindua rasmi tanu ulihudhuriwa na wajumbe wafuatao julius nyerere abdulwahid sykes ally sykes dossa aziz john rupia na mshume kiyate wengine walikuwa makisi mbwana jumbe tambaza juma waziri clement mtamila rajab diwani schneider plantan na marsha bilali walikuwepo pia rashid ally meli frederick njiliwa idd faiz mafongo idd tulio denis phombeah na wengine julius nyerere alipewa kadi ya tanu na kadi na ikaenda kwa ally sykes na abdulwahid akachukua kadi ya tanu na dossa azizi alichukua kadi na kadi na ikaenda kwa phombeah dome okochi alipata kadi na john rupia na bibi titi mohamed kadi na na idd tosiri kadi na benjamini william mkapa novemba julai alikuwa rais wa awamu ya tatu wa jamhuri ya muungano wa tanzania na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ccm mkapa alizaliwa lupaso karibu na masasi katika kusini mashariki ya tanganyika kuanzia hadi alsoma shule za msingi pale lupaso na ndanda alisoma shule ya seminari ya kigonsera akaendelea kwenye shule ya sekondari ya watawa wabenedikto pale ndanda hadi kumaliza o level alimaliza a levels pale st farncis dar es salaam leo hii pugu secondary alipokelewa kwenye chuo kikuu cha makerere alipohitimu katika mwaka wa mkapa alichaguliwa rais msingi wake ukiwa kampeni maarufu ya kupambana na ufisadi na kuuungwa mkono kwa nguvu na rais wa zamani julius nyerere juhudi za mkapa za kupambana na ufisadi ni pamoja na kuumba jukwaa la wazi lililoitwa tume ya rais juu ya ufisadi tume ya warioba na kuongeza msaada kwa afisi ya kuzuia ufisadi muhula wa pili wa miaka wa mkapa kama rais uliisha desemba katika wakati wake ofisini mkapa alibinafsisha kampuni zilizomilikiwa na serikali akaweka sera za soko huria wafuasi wake walimtetea kuwa kuvutia uwekezaji wa kigeni ungesaidia kukuza uchumi sera zake zilipata msaada wa benki ya dunia na imf na kupelekea baadhi ya madeni ya nje ya tanzania kufutiliwa mbali amekashifiwa kwa upungufu wa baadhi ya jitihada zake za kupambana na ufisadi vilevile matumizi mabaya ya fedha za umma utawala wake ulikuwa na matumizi sana na maposho bila kikomo alitumia milioni kununua ndege ya binafsi ya kirais vilevile karibu milioni kwa vifaa vya angani vya kijeshi ambavyo wataalamu waliona yalizidi mahitaji machache ya majeshi ya nchi ilikuwa juu ya ununuzi huo wa mwisho ndipo katibu wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza wa wakati huo clare short alielezea hasira ya umma na kusababisha yeye kujulikana kama mama radar katika vyombo vya habari vya tanzania baada ya kutoka ofisini kwa kukamilisha mihula miwili inayoruhusiwa mkapa alikumbwa na shutuma nyingi za ufisadi kati yao kujipa mwenyewe na waziri wake wa zamani wa nishati na madini daniel yona mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira yenye faida kubwa katika nyanda za juu za kusini mwa tanzania bila taratibu zifuatazo kwa kujibinafsishia mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira alivunja katiba ya tanzania ambayo haimruhusu rais kufanya biashara yoyote katika ikulu aliteuliwa katika bodi ya wadhamini ya chuo cha aga khan mwezi novemba mnamo desemba alitunukiwa nishani ya heshima ikiwa ni kuthamini mchango wake katika kuanzisha vyuo vikuu binafsi hivyo kukifanya chuo kikuu cha iringa kuwa chuo kikuu cha kwanza binafsi nchini tanzania wakati wa utawala wake makala hii yaeleza habari za njia ya reli ya kihistoria kati ya mombasa na uganda kwa habari za shirika ya reli ya uganda ya kisasa tazama uganda railways corporation reli ya kenya uganda ni jina kwa reli kati ya mombasa na kampala iliyojengwa na waingereza kuanzia mwaka mwanzoni ilijulikana kwa jina la reliya uganda tu reli hii ilisababisha uingereza kutafuta utawala juu ya eneo ambako njia ya reli ilipita eneo hili lilikuwa baadaye koloni na nchi ya kenya hali halisi njia ya reli hii ilijengwa katika kenya pekee hadi ziwa viktoria nyanza ambako usafiri uliendelea kwa njia ya meli hadi uganda tangu kulikuwa na nyongeza ya njia ya reli hadi uganda yenyewe reli ilijengwa kwa sababu kampuni ya kifalme ya uingereza kwa afrika ya mashariki ibea imperial british east africa company ilitaka kuboresha usafiri wa kwenda uganda baada ya uganda ilitangazwa nchi lindwa na uingereza na kampuni ilitaka kuchukua nafasi hii ya kuanzisha mashamba ya kibiashara huko yasiyokuwa na faida bila usafiri wa kupeleka mazao kwenye masoko ya dunia mwenye kampuni ya ibea william mackinnon alianzisha biashara kati ya mombasa na uganda lakini safari hizi kwa magari ya maksai zilikuwa ngumu na ghali sana mackinnon alianza kushawishi serikali ya uingereza na kudai reli ijengwe awali serikali ya uingereza ilisitasita kwa sababu faida ya kiuchumi haikuonekana pia uingereza wakati ule haikupenda kuongeza idadi ya koloni zake ikipendelea kuwaachia watu binafsi na makampuni yao shughuli za kufungua masoko mapya katika nchi kama uganda maeneo ambayo ni kenya ya leo yalifikiriwa wakati ule kukosa thamani ya kiuchumi kabisa mipango hii ya kujenga biashara ya kampuni ilikuwa hatarini kutokana na uenezaji wa ujerumani katika afrika ya mashariki mwaka mwakilishi wa kampuni kikoloni ya kijerumani karl peters alifaulu kusaini mapatano na kabaka wakati uleule wajerumani walionekana kupanusha eneo la witu kwenye pwani la kenya na somalia hapo serikali za nchi zote mbili ziliamua kumaliza mashindano kati ya makampuni haya kwa kuelewana juu ya mipaka ya maeneo katika afrika kwa mapatano kati ya uingereza na ujerumani ya mkataba huu ulifanya shughuli za afrika ya mashariki kuwa rasmi chini ya serikali ya uingereza kutokana na azimio hili uingereza iliamua kuitangaza uganda kuwa chini ya ulinzi wake na pia kujenga reli kama njia ya kuhakikisha utawala wake na kuweka msingi wa uzalishaji mali huko uganda kwa ajili ya soko la dunia baada ya azimio la kujenga reli uingereza iliona haja ya kulinda njia ya reli yenyewe hivyo ikatangaza eneo lote kati ya mombasa na uganda kuwa chini ya ulinzi wake kuanzia tar kwa njia hii mipango ya kujenga reli ilikuwa mwanzo wa koloni ya afrika ya mashariki ya kiingereza iliyokuwa kenya baadaye mwezi wa mei ujenzi ulianzishwa mombasa chini ya uongozi wa mhandisi george whitehouse alikuwa na bajeti ya bp kazi ilionekana ngumu sana kwa sababu ya maeneo magumu kama vile jangwa kinamasi milima bonde la ufa na mtelemko wake kwa ujumla zaidi ya km waingereza waliamua kuchukua wafanyakazi kutoka bara hindi kwa sababu katika majaribio ya kwanza waingereza hawakuelewana na wenyeji wa pwani ambao waliajiria awali kwa ujumla zaidi ya wahindi walichukuliwa kufanya kazi ya reli kwa jumla walitoka hasa katika mikoa ya gujarat na panjab na lugha hizi zinatumika hadileo katika afrika ya mashariki wengi walikuwa wafanyakazi wa mkono lakini wengine pia mafundi na makarani wengi walikufa kwa sababu ya ugumu wa kazi magonjwa ajali na wanyama witu kama vile simba walioitwa wala watu wa tsavo walioua wafanyakazi mwaka reli ilifika eneo la nairobi ya leo whitehouse aliamua kujenga hapa kambi kubwa kwa sababu mahali palikuwa na maji tena takriban katikati ya mombasa na kampala halafu kabla ya njia kupanda juu kwa milima inayoongozana na bonde la ufa kambi hii ilidumu ikawa mji wa nairobi tar reli imefika port florence leo kisumu ufukoni wa ziwa la viktoria nyanza kutoka hapa bidhaa zilipelekwa kwa meli hadi port bell kampala njia ya reli yenyewe ilifika kampala mw kutoka nakuru ni sawa kabisa kusema ya kwamba reli hii ilikuwa mwanzo na mbegu wa kenya biashara ya uganda haikuleta kabisa faida ya kiuchumi za kurudisha gharama za ujenzi lakini reli ilifungua sehemu kubwa za kenya kwa ajili ya biashara ikawezesha kilimo ya kibiashara hivyo reli ilikuwa msingi kwa ajili ya mipango ya baadaye ya white highlands ya kuunda koloni ya walowezi kama afrika ya kusini wahindi wengi walibaki wakawa mwanzo wa jumuiya ya wakenya na wauganda wenye asili ya kiasia gharama zilikuwa kubwa bajeti ya kifedha haikutosha kabisa iliongezeka mara mbili gharama za maisha zilikuwa nzito zaidi wafanyakazi wahindi walikuwa wa kwanza kulipa bei hiyo magonjwa yaliyokuja nao yalisababisha vifo vingi kati ya wenyeji hasa wakikuyu makabila kama wanandi waliopinga ujenzi wa reli yalikandamizwa vikali na waingereza chad pia chadi ni nchi huru iliyoko afrika ya kati imepakana na libya sudan jamhuri ya afrika ya kati kamerun nigeria na niger mji mkuu ni ndjamena tangu mwaka mgogoro wa darfur nchini sudan umevuka mpaka na kuvuruga chad pia ikiwa kati ya nchi zinazoongoza duniani kwa ufukara na ufisadi ilipata shida kupokea wakimbizi kwa mamia elfu ingawa kuna vyama vingi vya siasa mamlaka imo imara mikononi mwa rais dby na chama chake patriotic salvation movement chad inaendelea kusumbuliwa na mapigano ya kisiasa na majaribio ya mapinduzi tangu mwaka petroli imekuwa inaongoza kati ya bidhaa zinazopelekwa nje ya nchi badala ya pamba sehemu kubwa ya eneo lake ni jangwa na nchi yabisi kusini kuna kanda lenye hali ya hewa ya kitropiki lakini ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilimo ni asilimia tu za eneo lake lote kaskazini kuna milima ya tibesti katikati liko beseni la ziwa chad lililokuwa kati ya maziwa makubwa kabisa duniani lakini limepungua sana hasa mwishoni mwa karne ya katika milenia ya kk kulikuwa na watu wengi sana katika beseni hiyo katika historia kabla ya ukoloni watu wa kaskazini waliwafanyia vita watu wa kusini na kuteka wafungwa kama watumwa hivyo hadi leo uhusiano kati ya kusini na kaskazini ya nchi ni mgumu wakazi walikuwa mwaka jinsi ilivyo katika nchi mbalimbali za kanda la sahel kuna aina mbili za wakazi ndani yake kwa jumla leo kuna makabila zaidi ya nchini ambayo hutimia lugha na lahaja zaidi ya angalia orodha ya lugha hizo asili yao ni afrika mashariki afrika ya kati afrika magharibi na afrika kaskazini vilevile lugha rasmi ni kiarabu na kifaransa athi ni jina la mto katika kaunti ya kitui kenya afrika mashariki sehemu za mto hujulikana pia kwa majina ya galana na sabaki kwa hiyo mto wote huitwa pia athi galana sabaki ina urefu wa kilomita na beseni lenye eneo la km mto wa athi umeupatia jina lake mji wa athi river karibu na nairobi pia kwa kampuni ya athi river mining athi inaanza karibu na nairobi ikielekea bahari hindi inapita mbuga ya kitaifa ya tsavo mashariki pia tambarare ya juu ya yatta ilipotafuta njia yake kuvukia eneo kubwa la mawe ya kivolkeno baada ya maporomoko ya maji ya lugard inapokea mto tsavo ikibadilika jina lake mto unaitwa kuanzia hapa kwa jina la galana kabla ya kufika katika bara hindi karibu na malindi upande wa kaskazini jina linabadilika tena kuwa sabaki johann ludwig krapf januari novemba alikuwa mmisionari wa kwanza wa uprotestanti nchini kenya katika karne ya akatunga kamusi ya kwanza ya lugha ya kiswahili krapf alizaliwa tarehe januari katika kijiji cha derendingen karibu na tbingen eneo la wrttemberg ujerumani wa kusini magharibi katika familia ya wakulima wadogo walutheri alisoma shule ya msingi kijijini kwake halafu shule ya sekondari tbingen akiwa mwanafunzi alipenda sana masomo yote yaliyohusu jiografia na lugha pamoja na kilatini na kigiriki alisoma pia kifaransa na kiitalia alipokuwa na umri wa miaka alitembelea mara ya kwanza nyumba ya misioni ya basel uswisi alijiunga na kozi ya kuandaa wamisionari huko basel lakini hakupendezwa na maisha ya pamoja akishikwa na wasiwasi kuhusu wito wake akarudi nyumbani na kuingia masomo ya teolojia katika chuo kikuu cha tbingen krapf alimaliza masomo yake mwaka vituo vya huduma kama mchungaji msaidizi na mwalimu vilifuata wakati ule alikutana na mmisionari aliyempa moyo kurudi basel mwaka alikutana na mwakilishi wa church missionary society cms aliyemkaribisha kufanya kazi na cms misioni ya basel ilimpa ruhsa akapokea wito wa kwenda ethiopia krapf alianza mara moja kujiandaa akisoma ge ez lugha ya kale ya ethiopia na kiamhari lugha ya kisasa ya wakristo katika nyanda za juu ethiopia lakini krapf hakuelewa vema ukristo wa kiorthodoksi wa waamhari alishindwa kuelewa maana ya liturgia mila na desturi nyingi hakuelewa hasa kwa nini wakristo waorthodoksi walisoma biblia katika lugha ya kale ya ge ez hata wasipoelewa lugha hiyo badala ya kutumia tafsiri ya kiamahari aliyokuwa amefanya hivyo krapf alijisikia amevutwa zaidi na wagalla hili ni jina la zamani za watu wanaojulikana leo kama waoromo au borana wagalla kwa jumla walikuwa wakifuata dini zao za kiasili athira za kiislamu zikianza kuonekana krapf alijifunza lugha yao alianza kutafsiri sehemu za agano jipya katika kigalla kioromo mwaka krapf alipaswa kuondoka ethiopia pamoja na wamisionari wengine wa kiprotestanti akiwa na ndoto ya kurudi na kufanya kazi kati ya wagalla alikaa muda kidogo kairo misri akafunga ndoa bibiarusi alikuwa amemfuata kutoka ujerumani wakati ule kwake nyumbani tbingen chuo kikuu kilikuwa kimefuata taarifa zake na kikampa cheo cha udaktari phd kwa ajili ya utafiti wake katika lugha na historia ya ethiopia ethiopia ilikuwa imefunga milango yake hivyo krapf aliwaza njia nyingine alikuwa amesikia ya kuwa wagalla waliwahi kufika hadi pwani za afrika ya mashariki hivyo akasafiri hadi zanzibar kwa lengo la kuwafikia wagalla kupitia eneo la kenya ya leo sultani seyyed said alimpa ruhusa ya kuanzisha kituo cha misheni huko mombasa mwaka krapf alifika mombasa akianza mara moja kujifunza kiswahili pamoja na lugha ya wazalendo wa eneo la mijikenda huko mke na mtoto waliugua malaria wakafa krapf alihamia rabai iliyoko katika vilima juu ya mombasa penye joto kidogo akaanzisha kituo cha rabai mpya mwaka mmisionari mwingine johannes rebmann alikuja kufanya kazi pamoja naye huko rabai mpya krapf alitunga kamusi na sarufi ya kwanza ya kiswahili krapf na rebmann walikuwa wazungu wa kwanza walioona milima yenye theluji afrika rebmann aliona kilimanjaro krapf aliona mlima wa kenya taarifa zao zilipofika ulaya zilichekwa na wataalamu waliodai milima yenye theluji haiwezekani afrika krapf aliendelea kuwa na matatizo ya afya akarudi ujerumani mwaka hadi kifo chake aliendelea kuboresha vitabu vyake kuhusu utamaduni na lugha za mataifa mbalimbali ya afrika kwa jumla aliandika kamusi au kutafsiri sehemu za biblia katika lugha zifuatazo ge ez kiamhari kioromo kiswahili ki mijikenda kikamba kimasai ludwig krapf alitoa mchango mkubwa sana katika kukuza na kueneza lugha ya kiswahili kwani aliweza kutafsiri injili ya luka na ya mathayo pia aliweza kuandika sarufi ya kiswahili inayohusu jamii ya wasambaa nyumba yake huko new rabai imekuwa makumbusho chini ya museums of kenya jengo la ubalozi wa kijerumani huko nairobi limepewa jina lake krapf alikuwa mlutheri lakini kanisa anglikana linamkumbuka kama mwanzilishi wa madhehebu yake nchini kenya komori kwa kiswahili pia visiwa vya ngazija kwa kikomori komori kwa kifaransa comores ni nchi huru kwenye funguvisiwa katika bahari hindi upande wa mashariki wa afrika iko katika kanali ya msumbiji kaskazini kwa madagaska na mashariki kwa msumbiji jina limetokana na lugha ya kiarabu ambapo juzur al qamar linamaanisha visiwa vya mwezi katika afrika iko kati ya nchi tatu ndogo kabisa komori ina visiwa vitatu vikubwa grande comore ngazidja anjouan nzwani na moheli mwali kisiwa cha mayotte ni sehemu ya funguvisiwa kijiografia lakini kisiasa ni sehemu ya ufaransa kwa sababu wakati wa kupata uhuru watu wa mayotte walitamka kwa kura nyingi ya kwamba wanataka kukaa na ufaransa lakini komori inadai ni sehemu ya eneo lake komori ni sehemu ya bara la afrika ina pia visiwa mbalimbali vidogo hali ya hewa ni ya kitropiki kuna mvua miezi yote kitovu cha kisiwa kikubwa zaidi grande comore ni mlima wa volkano hai karthala wenye mita juu ya ub safari iliyopita karthala ililipuka mwaka ikaharibu kijiji kimoja miji mikubwa ni wakazi mwaka moroni mutsamudu fomboni domoni na tsmbehou visiwa vya komori vimekaliwa na watu mbalimbali kutoka afrika na asia kusini katika historia ndefu wanaakiolojia walitambua mabaki ya makazi ya watu kutoka karne ya kwenye kisiwa cha nzwani lakini haijulikani kama watu walitangulia kufika mapema bila kuacha mabaki ya kutambulika waswahili wa kwanza walifika kama sehemu ya uenezi wa wabantu tangu karne ya bk kipindi cha kwanza huitwa kipindi cha dembeni karne ya ambako waswahili walianzisha kijiji kimoja katika kila kisiwa wakati wa karne ya hadi ya biashara iliongezeka na madagaska pia na wafanyabiashara kutoka uarabuni vijiji vidogo vikaongezeka na vijiji vya awali vikakua vikawa miji kumbukumbu ya wenyeji hutaja mara nyingi majina ya waarabu kutoka yemen na saba kama mababu wa koo asilia lakini hakuna uhakika kama kumbukumbu hizo zinalingana na historia halisi athira ya kiarabu na ya kiislamu ikaongezeka kutokana na biashara ya watumwa dhahabu na pembe za ndovu kati ya afrika ya mashariki na nchi za kiislamu waarabu na waajemi walijenga vituo kwa ajili ya biashara yao pamoja na misikiti na kueneza dini ya uislamu kwenye visiwa hata kama komori si karibu sana na pwani hata hivyo kutokana na mwendo wa upepo ni kituo muhimu cha jahazi kwenye safari kati ya kilwa na msumbiji iliyokuwa bandari kuu ya dhahabu ya zimbabwe kufuatana na katiba ya uhuru ya mwaka komori ilitangazwa kuwa jamhuri ya kiislamu serikali zilipinduliwa mara kwa mara na wanajeshi au na mamluki katiba mpya ya mwaka imeondoa tabia ya kidini ya dola na iliunda utaratibu wa urais kuzunguka kati ya visiwa vitatu vikubwa katika muundo huo rais wa jamhuri atateuliwa kila baada ya miaka minne kutoka kisiwa tofauti katika uchaguzi ya mwaka rais azali assoumani alichaguliwa kutoka kisiwa cha ngazidja komori kuu katika uchaguzi wa rais amechaguliwa kati ya wagombea kutoka kisiwa cha anjouan wananchi wa anjouan walipiga kura ya kwanza wagombea watatu wenye kura nyingi wameteuliwa na kusimamishwa mbele ya wapiga kura wa visiwa vyote watakaomchagua rais wa jamhuri rais wa mwaka alitoka katika kisiwa cha moheli baadaye tena rais kutoka ngazidja n k katika uchaguzi wa ndiye ikililou dhoinine aliyepata kura nyingi watu wa komori ni mchanganyiko wa waarabu wamadagaska waafrika wa bara ambao mababu walikuwa watumwa wahindi na wazungu kadhaa kutokana na uhaba wa ajira wakomori wengi wamehamia nje hasa madagaska wakazi wengi ni waislamu hasa wasunni wakifuatwa na wakristo karibu nusu ya wananchi wote hawajui kusoma ina lugha rasmi tatu ambazo ni kifaransa shikomor inayofanana na kiswahili na kiarabu nje ya kifaransa kiarabu na kimalagasy sanifu kuna lugha tatu za asili ambazo huzungumzwa na wakomori yaani kimwali kindzwani na kingazidja ambazo ziko karibu na kiswahili komori ni kati ya nchi maskini zaidi duniani kilimo uvuvi uwindaji na misitu ni misingi ya uchumi wote barabara na mawasiliano ya meli au ndege ni haba idadi ya watu inakua haraka elimu ni duni haya yote yanasababisha kudumu kwa uchumi wa kijungujiko na uhaba wa ajira ya wafanyakazi wote wanashughulika kilimo jomo kenyatta alikuwa rais wa kwanza wa kenya jina lake halisi lilikuwa johnstone kamau wa ngengi alipewa jina la utani ambalo ni mkuki wa moto burning spear jina la kenyatta lilitokana na mkanda aliopenda kuuvaa ambao ulitengenezwa kwa shanga wagky wanauita kenyaata alisoma katika shule ya kanisa la wamisionari wa kiskoti baada ya kuhitimu aliajiriwa kama karani na msoma mita wa manispaa ya nairobi alioa mke wake wa kwanza ambaye ni grace wahu kabila lake lilikuwa ni mgky azma yake ya kutaka kuikomboa ardhi ya wagky ilimfanya aweze kuwaunganisha naye akawa katibu wao mwaka mwaka alizuru marekani na uingereza ambako aliishi miaka kumi na mitano na hata kuoa mwalimu wa kiingereza ambaye aliitwa edna kenyatta alirudi kenya mwaka na alichaguliwa kuwa rais wa chama cha siasa cha kenya african union kanu alihamasisha kukomeshwa ubaguzi wa rangi kuwa na mwamko kisiasa pamoja na mambo mengine yanayompa mwafrika heshima na utu aliandika kitabu kiitwacho facing mount kenya kilichohusu ukombozi na historia ya wagky alikuwa pia mwanzilishi na mhariri wa gazeti la kwanza kwa lugha ya gky ambalo liliitwa migithania kutokana na kuhusishwa na harakati za vita vya msituni vya kundi la mau mau alihukumiwa miaka saba jela mwaka huwezi kuzungumza historia ya kenyatta bila ya kuitaja maumau baadaye alioa mke wa tatu aliyeitwa mama ngina kenyatta ambaye alikuja kuwa mke wa rais wa kwanza na ambaye ndiye mama yake uhuru kenyatta rais wa sasa licha ya waingereza kuwa na matumaini ya kuwapa wapinzani waafrika mamlaka ya wastani zaidi ilikuwa kenya african national union kanu ya jomo kenyatta mfungwa wa zamani ambayo iliunda serikali muda mfupi kabla ya kenya kupata uhuru tarehe desemba tarehe juni kenya ilipata madaraka na jomo kenyatta alitawazwa kuwa waziri mkuu wa kwanza wa kenya mwaka mmoja baadaye kenyatta akawa rais wa kwanza wa kenya juu ya uanzishwaji wa jamhuri chama kidogo cha kenya african democratic union kadu kilichowakilisha muungano wa makabila madogo ambayo yaliogopa utawala wa makabila makubwa kilijitoa na kujivunja mwaka wa na wanachama wake wakajiunga na kanu chama kidogo cha upinzani kenya people s union kpu kilianzishwa mwaka kiongozi wake akiwa jaramogi oginga odinga aliyewahi kuwa makamu wa rais kenyatta kpu ilipigwa marufuku na kiongozi kuwekwa kizuizini baada ya chachari za kisiasa zilizohusishwa na ziara za kenyatta katika mkoa wa nyanza hakuna vyama vingine vya upinzani vilivyoanzishwa baada ya kupelekea kenya kuwa mfumo wa chama kimoja chini ya kanu kenyatta alifariki mjini mombasa tarehe agosti na kuzikwa jijini nairobi kwenye jengo la bunge kwanzaa ni sikukuu inayosherehekewa kati ya wamarekani weusi nchini marekani kwa muda wa siku saba toka tarehe mwezi wa disemba hadi tarehe mwezi wa januari sikukuu hii ilianzishwa kalifornia na maulana ron karenga tarehe diesemba mwaka karenga alitunga neno jipya kwanzaa kutokana na neno la kiswahili kwanza inayochukuliwa kumaanisha matunda ya kwanza herufi a iliongezwa katika neno hilo ili kulifanya neno hilo kuwa na herufi saba sawa na idadi ya siku za kusherehekea sikukuu hii baadhi ya waamerika weusi huchukulia sikukuu hii kuwa na umuhimu sana kwao kama vile ilivyo hanuka kwa wayahudi au krisimasi kwa wakristo karenga aliagiza kutumia maneno kadhaa ya kiswahili katika sikukuu hizi kwa kuonyesha uhusiano na utamaduni wa afrika sherehe hii imejengwa juu ya maadili ya kitamaduni ya kiafrika na huchukuliwa kuwa ni kama aina za sherehe za makabila mbalimbali afrika wakati wa mavuno maadili haya ya kiafrika yamegawanywa katika dhana iitwayo nguzo saba kwa siku saba kila siku huwa na nguzo yake ya kukumbuka na kuenzi nguzo hizo ambazo zinafahamika kwa kiswahili ni umoja kujichagulia ujima ujamaa nia kuumba na imani nguzo saba hizi hutumiwa kama moja ya njia ya kuimarisha umoja wa kifamilia miongoni mwa jamii za wamarekani weusi na pia njia ya kuwakumbusha historia na utamaduni wao sikukuu hii inatumia alama kadhaa ambazo nazo zinatambulika kwa lugha ya kiswahili alama hizo ni kati ya shughuli zinazofanywa wakati wa sikukuu hii ni kuwasha mishumaa saba mshumaa mmoja kila siku na kutoa tambiko la kuenzi mababu na mabibi waliotangulia mishumaa hii huwa ina rangi za kijani nyekundu na nyeusi mshumaa mweusi huwekwa katikati na ndio huwa wa kwanza kuwashwa huwashwa siku ya kwanza rangi nyeusi huwakilisha watu weusi rangi nyekundu hukumbusha mapambano na masahibu yaliyowakumba walitangulia na rangi ya kijani humaanisha utajiri wa bara la afrika na pia matumaini mema ya watu weusi guinea pia gine gini ni nchi katika afrika ya magharibi pengine inatajwa kama guinea conakry ili kuitofautisha na nchi za guinea bissau na guinea ya ikweta imepakana na guinea bisau senegal na mali upande wa kaskazini cte d ivoire liberia na sierra leone kusini halafu bahari atlantiki upande wa magharibi eneo lake ni chanzo ya mito mikubwa ya niger senegal na gambia jina la guinea liliwahi kutaja sehemu kubwa ya afrika ya magharibi kati ya jangwa la sahara na ghuba ya guinea ya atlantiki likimaanisha nchi ya watu weusi kwa lugha ya kiberberi makabila yaliyopo nchini ni kubwa zaidi ni lile la wafulani lugha rasmi ni kifaransa lakini wakazi wanatumia zaidi lugha asilia kadiri ya makabila hasa kipular kimaninka kisusu kikisi kikpelle na kiloma upande wa dini ni waislamu hasa wasuni ni wakristo hasa wakatoliki na ni wafuasi wa dini asilia za kiafrika abu nuwas kwa kiarabu ni jina la mshairi mwarabu aliyeishi katika utamaduni wa kiswahili ni jina la mtendaji katika hadithi za hekaya za abunuwasi mshairi abu nuwas alizaliwa ahwaz irak mama yake alikuwa mwajemi na baba alikuwa mwanajeshi mwarabu ambaye hakupata kumjua jina lake halisi lilikuwa hasan ibn hani al hakami abu nuwas ni jina la kutania kutokana na nywele zake ndefu akiwa kijana alipelekwa basra iraq akisaidia katika duka la moja al yashira hapa basra alihamia nyumba ya mshairi walibah ibn al hubab aliyemfundisha elimu ya sarufi na pia elimu ya dini abu nuwas aliendelea kujifunza mengi hata alikaa mwaka mmoja kati ya waarabu bedu jangwani ili aboreshe ujuzi wake wa lugha ya kiarabu sanifu akahamia baghdad mji mkuu wa dola la kiislamu lililotawala wakati ule maeneo makubwa kuanzia afrika ya mashariki hadi afghanistan na asia ya kati alipendwa sana na watu wa mjini kwa sababu alianzisha aina mpya ya ushairi akiimba juu ya furaha za divai na mapenzi hasa na wavulana kuliko wasichana au wanawake abu nuwas akawa mshairi maarufu wa kiarabu wa siku zile hadi ameitwa kutoa mashairi yake mbele ya khalifa harun ar rashid hata kama mashairi yake yalisababisha hasira ya wahubiri wa kiislamu abu nuwasi alilindwa na familia ya barmaki waliokuwa mawaziri wa khalifa wakati abu nuwas alipotupwa jela mara kadhaa waliweza kumwondoa gerezani tena mwaka khalifa harun ar rashid aliwaondoa barmaki madarakani na kuwafunga jela abu nuwasi alikimbilia misri baada ya kifo cha harun mwaka alirudi baghdad akikuta kuwa khalifa mpya ni muhammad ibn harun al amin aliyewahi kuwa mwanafunzi wake miaka michache ya utawala wa al amin ilikuwa miaka ambako abu nuwasi alitunga mashairi mengi baada ya al amin kupinduliwa na kaka yake al ma amun aliyekuwa mwislamu mkali abu nuwas alianza kutunga mashairi yaliyolingana na mafundisho ya kidini lakini alishindwa kumbembeleza khalifa mpya mnamo mwaka alikufa ama kwa sababu aliuawa au wakati alipofungwa gerezani abu nuwas anahesabiwa kati ya washairi wakuu wa lugha ya kiarabu alikuwa na athira kubwa kwa washairi wa baadaye kama omar khayym na hafiz pia jina lake limetajwa mara kadhaa katika hadithi za alfu lela u lela hadi leo wengine wanampenda sana lakini wengine wanamchukia kama mshairi bila maadili waswahili wamejua zaidi umbo la jina kuwa abunuwasi na wamecheka wakisoma riwaya za abunuwasi lakini huyu abunuwasi wa riwaya hana uhusiano na abu nuwas mshairi wa kihistoria zaidi ya kumpatia jina lake hadithi zote za riwaya zinasimuliwa katika nchi nyingine kwa majina tofauti waturuki humwita nasreddin hodja wauzbeki hodja pekee watu wa algeria ben sikran waarabu wengine juba guba waitalia wa kusini giufa huko iraq kumbukumbu ya abu nuwas mshairi imechanganywa na hadithi za huyu mjinga mcheshi mwenye hekima anayejulikana katika nchi zote za mediteraneo na mashariki ya kati hadithi katika riwaya za abunuwasi zinatumia mapokeo ya urithi huo lakini kuna angalau hadithi moja ya abu nuwas mwenyewe inayolingana na abunuwasi wa riwaya inasaidia kuelewa jinsi gani jina lake limeunganishwa na urithi wa guba nasreddin hivyo ar rashid akamwendea abu nuwas alijeficha chupa nyuma yake akikishika kwa mkono wa kuume unionyeshe mkono wako khalifa alisema abu nuwas alishika chupa kwa mkono wa kulia nyuma yake akionyesha mkono wa kiume unionyeshe mkono mwingine alidai ar rashid tena mshairi alishika chupa kwa mkono wa kushoto akimwonyesha khalifa mkono wa kulia akasema ar rashid sasa unionyeshe mikono yote miwili abu nuwas akakanyaga hatua moja nyuma hadi ukuta wa nyumba akashika chupa kwa matako yake ukutani akimwonyesha khalifa mikono yote mawili huyu alidai akanyage hatua moja mbele khalifa na askari wote walicheka sana abu nuwas alitegemea kupokea viboko lakini khalifa alitangaza mwenye akili kama huyu hawezi kuwa mlevi wala siwezi kumwadhibu kwa tendo la kushika chupa tu basi aende bi kidude jina halisi fatuma binti baraka amefariki bububu zanzibar aprili akikisiwa kuwa na umri wa miaka alikuwa gwiji wa muziki katika bara la afrika bi kidude alikuwa msanii mkongwe na mahiri sana katika fani ya muziki wa mwambao ambao hujulikana kwa jina la taarabu muziki huo ambao ni mchanganyiko wa muziki toka nchi za kiarabu na vionjo vya muziki wa kiafrika umekita sana katika mwambao wa afrika mashariki yaani zanzibar mombasa lamu na kwingineko fatuma binti baraka au bi kidude alizaliwa katika kijiji cha mfagimarigo zanzibar katika familia ya watoto saba baba yake mzee baraka alikuwa ni mfanyabiashara wa nazi zao ambalo ni la kutumainiwa sana zanzibar bi kidude anasema hafahamu tarehe halisi aliyozaliwa isipokuwa anachojua ni kwamba alizaliwa wakati rupia ikitumika kama fedha na vilevile ana hakika ni kabla ya vita kuu ya kwanza ya ulaya wataalamu wa mahesabu baada ya kupata taarifa hizo wakampigia mahesabu na kumkabidhi miaka yake kwamba ni zaidi ya miaka bi kidude anasema uimbaji aliuanza tangu alipokuwa na umri wa miaka kumi na alijifunza kutoka kwa msanii mkongwe na aliyetamba sana enzi hizo sitti binti saad anasema wageni wengi kutoka sehemu mbalimbali walikuwa wakifika zanzibar kuja kumwona sitti na kwa vile bi kidude na sitti walikuwa wako karibu basi yeye alikuwa akiwapeleka wageni wale nyumbani kwa bi sitti wakifika huko wageni walikuwa wakiingia ndani na yeye kubakia nje kule ndani bi sitti alikuwa akiwaimbia wale wageni na yeye huku nje alikuwa akimsikiliza kwa makini na kumfuatiza jinsi alivyokuwa akiimba aliendelea hivyo hadi akawa mahiri sana katika uimbaji alipokuwa na miaka kwa mara ya kwanza alitoroka nyumbani kwao zanzibar na kukimbilia tanzania bara baada ya kulazimishwa kuolewa lakini alipokuwa kigoli wa kutosha kuolewa aliolewa ingawa ndoa hiyo nayo haikudumu kutokana na manyanyaso aliyokuwa akiyapata hivyo aliamua kukimbilia kaskazini mwa misri ikiwa ni katika miaka ya huko aling ara sana katika fani yake ya uimbaji na uchezaji ngoma lakini ilipofika miaka ya aliamua kurudi nyumbani zanzibar ambako aliendelea na shughuli zake uimbaji bi kidude hategemei kazi moja tu ya kuimba kwani pia ni mfanyabiashara ya wanja na hina ambavyo anavitengeneza yeye mwenyewe pia ni mtaalamu wa matibabu kwa dawa za mitishamba na zaidi ya hayo ni mwalimu mzuri sana wa unyago na ameanzisha chuo chake mwenyewe na anasema katika wanafunzi wake wote hakuna aliyepata talaka kutoka kwa mumewe watu wanasema utu uzima dawa bi kidude ana upeo mkubwa sana wa akili kwani pamoja na kukulia katika mazingira yaliyogubikwa na tamaduni za kiarabu ambapo mwanamke anatakiwa wakati wote akiwa hadharani ajifunike bi kidude aliliona hili katika upeo mwingine kwamba ni sheria tu ya kitamaduni toka uarabuni hivyo aliamua kuvunja sheria hiyo na kuondoa hijabu mwilini mwake na sasa hivi anavaa kama mtanzania na si kama mwarabu lakini hakubakia hapo alivunja na miiko mingine zaidi ya kutokunywa na kuvuta kwani bi kidude anakunywa pombe na kuvuta sigara jambo ambalo si kawaida kwa wanawake zanzibar bi kidude amekwisha tembelea nchi nyingi sana ikiwa ni pamoja na oman ufaransa hispania ufini ujerumani na uingereza amekwisha pata tuzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na ile ya tamasha la filamu la nchi za jahazi ziff mwaka tuzo ni ya maisha pia mwaka jana tuzo ya woma ilienda kwake nyimbo alizowahi kuimba ni pamoja na muhogo wa jang ombe na aliimba kwa kiswahili na kiarabu hakuwahi kupata elimu nyingine zaidi ya kurani binyavanga wainaina januari mei alikuwa mwandishi kutoka nchini kenya alizaliwa nakuru nchini kenya alihudhuria masomo ya msingi na sekondari nchini kenya kabla ya kujiunga na chuo kikuu cha transkei afrika kusini baada ya kumaliza masomo yake alihamia katika jiji la cape town ambapo alifanya kazi kama mwandishi wa kujitegemea wa masuala ya chakula na utalii mwezi julai binyavanga alishinda tuzo ya caine kwa uandishi wa kiafrika yeye ndiye mwanzilishi wa jarida la fasihi la kwani ambalo linachukuliwa kuwa ndio gazeti kuu la masuala ya fasihi toka afrika mashariki aliaandika riwaya yake ya kwanza iitwayo the fallen world of appearances mwaka alipata tuzo toka chama cha wachapishaji wa kenya kenya publishers association kutokana na juhudi zake za kuendeleza fasihi ya kenya alisomea shahada ya pili ya uandishi wa ubunifu katika chuo kikuu cha east anglia kazi zake zimetoka katika magazeti na majarida mbalimbali kama vile national geographic the east african the sunday times ya afrika kusini the guardian ya uingereza baadhi ya kazi alizoandika ni tarehe disemba katika siku ya ukimwi duniani wainaina alitangaza kupitia akaunti yake ya twitter kwamba amethibitika kuwa na ukimwi wainaina amefariki dunia baada ya kupata ugonjwa majira ya saa nne usiku ya tarehe mei katika hospitali ya aga khan jijini nairobi hiyo ni kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa wanandugu podikasiti ni neno lililoanza kutumiwa mwaka pale matumizi ya programu ya rss ilipoanza kutumiwa kusambaza matangazo kwa ajili ya kusikiliza kupitia tarakilishi au zana nyingine za mkononi kama vile aipodi podikasiti ni mafaili ya video au sauti ambayo yako kwenye mtandao wa tarakilishi kwa ajili ya yeyote yule anayetaka kutazama au kusikiliza wana podikasiti wanasambaza kazi zao kwenye tovuti au blogu zao kwa taratibu mbalimbali wako wanaoweka mafaili ambayo mtu yeyote anaweza kuyapakua bure au kwa kulipia lakini kitu kinachofanya podikasiti kuwa tofauti na mafaili kwa mfano ya muziki ambayo unaweza kuyapakua na kusikiliza ni kwamba podikasiti inatumia teknolojia ambayo matangazo mapya yanaletwa kwako bila kukuhitahi wewe kwenda kwenye tovuti au blogu ya mwana podikasiti redio nyingi kama vile bbc npr marekani hivi sasa zinatuma matangazo yao kwa wasikilizaji kwa kwa kutumia teknolojia ya podikasiti mkoa wa singida ni kati ya mikoa ya tanzania mkoa huu upo kanda ya kati ukipakana na mikoa ya manyara upande wa kaskazini dodoma mashariki iringa mbeya kusini tabora upande wa magharibi na shinyanga msimbo wa posta ni wakazi wa wilaya za singida mjini na kijijini ni hasa wanyaturu walio wengi iramba ndio wanyiramba na wakiwa wagogo wengi huko manyoni pia kati ya wenyeji kuna wanyisanzu na makabila mengine madogo makabila hayo wanaishi kwa amani na upendo lugha kuu ni kiswahili lakini pia kila kabila wanaongea yao singida ni kati ya maeneo maskini zaidi ya tanzania uchumi wake ni hasa ufugaji idadi ya ng ombe hukadiriwa kuwa takribani milioni mbali na punda kondoo kuku masoko hayako karibu na barabara si nzuri kilimo si kizuri kwa sababu ya hali ya mvua ukame huleta njaa singida ni kati ya mikoa inayotegemea misaada ya chakula kati ya mazao yapo ya chakula na ya biashara mazao yanayolimwa mkoani hapo ni mtama alzeti vitunguu uweli viazi mahindi karanga maharage n k pamoja na kuwa mkoa wa singida umekuwa ukikumbwa na njaa kwa sababu ya ukame na hata pale mvua inaponyesha ni duni sana una shughuli mbalimbali ambazo zinaingiza kipato kwa watu wa mkoa huo ikiwa kuanzia miaka ya na kuendelea mpaka sasa imekuwa madini ya dhahabu yakigunduliwa katika sehemu mbalimbali mkoani singida japo kumekuwa aidha hakufanyiwi uchunguzi wa kina kuhakiki kiwango cha hifadhi ya madini iliyopo katika eneo husika au huwa kiwako kilichopo ni kidogo hivyo kutokuvutia wawekezaji wakubwa katika maeneo hayo kati ya madini ambayo yamewahi kugunduliwa katika mkoa wa singida ni dhahabu ambayo imewahi kugunduliwa huko londoni na iruma wilayani manyoni mkoani singida kuna mapori mengi ya akiba ambayo yamejaa wanyama wa aina nyingi ambao kama mapori hayo yatafanywa kuwa hifadhi kamili za taifa yangesaidia sana kuvutia utalii na kuufanya mkoa wa singida uongeze pato lake na kupunguza umaskini miongoni mwa wanajamii kwani utatoa ajira kwa jamii inayozunguka hifadhi hizo wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo lugha za kigermanik ni kikundi cha lugha zenye asili ya ulaya ya kaskazini lugha za kigermanik zenye wasemaji wengi ni kiingereza milioni na kijerumani milioni lugha nyingine za kigermanik ni lugha za skandinavia halafu kiholanzi na kiafrikaans wa afrika kusini mwanzo wa lugha hizi uko gizani wataalamu wamejaribu kutambua sifa za lugha asilia kwa kulinganisha lugha mbalimbalimbali zilizo karibukaribu ikiwa habari zao zimejulikana kutokana na makisio hayo kigermanik kilianza ulaya ya kaskazini labda sweden ya kusini katika miaka elfu ya kwanza k k wasemaji wa kigermanik walianza kuhamahama wakati wa dola la roma na ndipo habari za kwanza za kihistoria zimepatikana matembezi ya wagermanik yalifika hadi urusi wa kusini na afrika ya kaskazini lugha za kigermanik hugawanywa katika aina tatu a kigermanik ya kaskazini kiswidi kidenmark kinorwei kiiceland na kifaroe b kigermanik ya magharibi kiingereza kijerumani kidachi kiholanzi kiafrikaans kijerumani ya kaskazini kifrisia kiyiddish kiyahudi cha ulaya c kigermanik ya mashariki lugha hizi kama kivandali au kigoti zimekufa zote zinajulikana kama lugha za kihistoria tu uganda ni nchi ya afrika ya mashariki imepakana na kenya upande wa mashariki sudan kusini upande wa kaskazini jamhuri ya kidemokrasia ya kongo upande wa magharibi rwanda na tanzania upande wa kusini uganda inamiliki sehemu ya ziwa la viktoria nyanza ikipakana huko na kenya na tanzania uganda ni nchi mwanachama wa jumuiya ya afrika ya mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa jina uganda lina asili yake katika ufalme wa buganda ulioko kusini mwa nchi pamoja na mji mkuu kampala tazama pia orodha ya milima ya uganda orodha ya maziwa ya uganda orodha ya visiwa vya uganda wilaya za uganda uso wa nchi umepata tabia yake kutokana na maziwa makubwa mito milima ya juu na tambarare upande wa kusini nchi imepakana na ziwa nyanza viktoria ambalo kwa eneo ndilo ziwa kubwa kuliko yote ya afrika maziwa makubwa mengine upande wa magharibi ni ziwa albert na ziwa edward mto mkubwa ni nile inayopita nchi yote kati ya ziwa viktoria hadi ziwa albert na kuendelea hadi mpaka wa sudani ikiitwa mwanzoni nile ya viktoria na baadaye nile ya albert milima ya ruwenzori ni kati ya milima mikubwa kabisa ya afrika baada ya kilimanjaro na mlima kenya kusini kuna ardhi yenye rutuba na kilimo kinastawi vizuri eneo la uganda limeona uhamiaji wa vikundi vingi waliowazidi wenyeji asili walioishi huko tangu miaka kama si kk kusini liliingiliwa hasa na wakulima wabantu kaskazini iliona kufika kwa waniloti kwa mfano waluo na baadaye karimojong tangu karne ya himaya mbalimbali zilianza kujengwa na kati ya hizo ni hasa falme za buganda ankole bunyoro toro zilizoendelea kuwa muhimu hadi kuja kwa ukoloni na kwa kiasi fulani kama urithi wa kiutamaduni hata katika uganda ya kisasa karne ya iliona kufika kwanza kwa waarabu na baadaye kwa wazungu kila mmoja alileta dini yake yaani uislamu na ukristo wa kikatoliki na wa kianglikana katika mashindano juu ya afrika ya kati waingereza walifaulu katika kushindana na waarabu wafaransa na wajerumani walienea kwa mapatano na buganda wakisaidiana kukomesha upinzani kutoka falme za jirani baadaye waingereza walikuwa na nguvu ya kutosha kuamua hata mambo ya ndani ya buganda wakatangaza uganda wote kuwa nchi lindwa tangu mwaka uganda ilipata uhuru wake tarehe oktoba kwa katiba ya jamhuri yenye serikali ya kibunge rais wa kwanza alikuwa kabaka sir edward mutesa ii na waziri mkuu milton obote mwaka obote alibadilisha katiba akamfukuza kabaka nchini serikali ya obote ilipinduliwa na mkuu wa jeshi idi amini mwaka utawala wake ulikuwa kipindi cha udikteta ulioharibu uchumi wa nchi na misingi ya dola takriban watu waliuawa chini ya amin ama wapinzani wa siasa yake ama watu wa makabila yaliyotazamwa kuwa maadui wa serikali raia wenye asili ya asia walifukuzwa katika nchi na mali yao yote kutwaliwa na serikali mwaka vikosi vya jeshi la uganda viliingia tanzania na kuvamia maeneo ya mpakani kaskazini kwa mto kagera mwaka tanzania ilijibu kwa njia ya vita na jeshi lake pamoja na wapinzani wa uganda walishinda jeshi la amin na kumfukuza dikteta nchini rais wa baadaye yoweri museveni alikuwako kati ya wanamigambo waliosaidiana na watanzania uchaguzi wa mwaka ulimrudisha madarakani milton obote aliyeanzisha upya udikteta na kuua watu ovyo wapinzani wake wakiongozwa na museveni walirudi porini wakashika silaha katika vita vya wenyewe kwa wenyewe kundi la museveni likashinda na kutwaa serikali tangu mwaka museveni alichaguliwa rais katika kura bila vyama vya upinzani za na mwaka ulikuwa na uchaguzi wa vyama vingi wa kwanza museveni alipata kibali cha bunge kwa badiliko la katiba lililomruhusu kugombea urais tena mwaka akachaguliwa mara ya tatu wakazi wa uganda wameongezeka kutoka hadi hivyo wengi wao ni vijana kuliko nchi zote duniani umri wa wastani ni miaka tu makabila makubwa ni waganda wanyankole wanyoro wasoga walangi wakiga wateso waacholi wagisu walugbara wengineo ni nchini kuna lugha asilia hivi ambazo zinagawanyika katika makundi makubwa mawili lugha za kibantu upande wa kusini na lugha za kinilo sahara upande wa kaskazini pia kuna lugha za kisudani na lugha za kikuliak hata hivyo lugha rasmi ni kiingereza na kiswahili upande wa dini kadiri ya sensa ya mwaka za wakazi wanafuata ukristo hasa katika madhehebu ya kikatoliki na ya kianglikana halafu wapentekoste na mengineyo waislamu ni wengi wao wakiwa wasuni wanaoendelea kufuata dini asilia za kiafrika ni tu mkoa wa iringa ni mojawapo kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba upo katikati ya nchi kidogo upande wa kusini umepakana na mikoa ya jirani ya morogoro njombe mbeya singida na dodoma makao makuu yako katika manisipaa ya iringa mkoa wa iringa uko katika nyanda za juu za kusini mwa tanzania na kupakana na ukanda mkavu wa kati wa tanzania upande wa kaskazini hadi mwaka mkoa wa iringa ulikuwa na eneo lenye ukubwa wa jumla ya km wastani wa asilimia ya eneo hili linafaa kwa shughuli za kilimo ambalo ni sawa na km eneo linalobakia la km ni eneo la maji hifadhi ya mbuga za wanyama milima na misitu tangu mwaka wilaya tatu za kusini zimetengwa na iringa na kuwa mkoa mpya mkoa wa njombe kwa hiyo eneo la iringa limepungua kilomita za mraba mwaka kulikuwa na wakazi katika wilaya zifuatazo iringa vijijini wakazi mufindi wakazi kilolo wakazi iringa mjini wakazi na mafinga mjini wakazi wenyeji wa mkoa ni hasa wahehe wengine wanatokea makabila ya jirani kama wabena wakinga wapangwa wasangu wawanji wagogo n k wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo dar es salaam ni kati ya mikoa ya tanzania umepakana na mkoa wa pwani pande zote barani na bahari ya hindi upande wa mashariki eneo la mkoa ni jiji la dar es salaam ambalo ndilo kitovu cha shughuli za biashara na za utawala kwa kiasi fulani nchini tanzania na ni kati ya majiji yanayokua haraka zaidi duniani ni km pamoja na visiwa vidogo na eneo la bahari kati ya pwani na visiwa hivi eneo la nchi kavu pekee ni km kuna wilaya tano kinondoni wakazi ilala wakazi na temeke wakazi ambazo zimeongezewa kigamboni na ubungo kila moja inaangaliwa kama mji takwimu hizi ni za mwaka kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa wakazi asili wa eneo la mkoa walikuwa wazaramo pamoja na makabila madogo kama vile wandengereko na wakwere kutokana na kukua na kupanuka kwa jiji kuna makabila yote wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo mkoa wa dodoma ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba uko katikati ya nchi na umepakana na mikoa ya manyara morogoro iringa na singida eneo lote la mkoa lina km sehemu kubwa ni nyanda za juu kati ya mita hadi juu ya ub katika sensa ya mwaka idadi ya wakazi wa mkoa wa dodoma ilihesabiwa kuwa kuna wilaya saba zifuatazo wilaya ya bahi wilaya ya chamwino wilaya ya chemba wilaya ya dodoma mjini wilaya ya kondoa wilaya ya kongwa wilaya ya mpwapwa wilaya ya awali ya dodoma vijijini imegawiwa kwa wilaya mpya za chamwino na bahi mnamo machi ilianzishwa wilaya mpya ya chemba mawasiliano ni mazuri kwa barabara ya lami kuanzia mji wa dodoma kwenda morogoro daressalaam barabara zingine ni za udongo to pamoja na njia kuu kuelekea tanzania ya magharibi rwanda kongo pia hali ya barabara ya kale ya cape cairo inayovuka dodoma kutoka kazkazini arusha kondoa kwenda kusini ni nzuri kwa kiwango cha lami kuna pia njia ya reli ya kati kutoka daressalaam kwenda kigoma yenye matatizo ya mara kwa mara dodoma mjini kuna uwanja wa kitaifa wa ndege kwa jumla dodoma haina mvua nyingi isipokuwa sehemu za wilaya za mpwapwa na kondoa hivyo hasa mazao yasiyotegemea sana mvua hulimwa kama vile mtama wimbi muhogo kilimo cha mahindi hupatikana mara kwa mara na matatizo ya kukosa mvua mazao ya sokoni ni karanga alizeti na simsim dodoma ni pia mwanzo wa ustawishaji wa mizabibu na uzalishaji wa divai katika tanzania kutokana na hali ya hewa mifugo ni mingi ng ombe mbuzi kondoo nguruwe kuku takriban idadi ya mifugo imeongeza tatizo la mmomonyoko wa ardhi katika sehemu za mkoa idadi kubwa ya wakazi asilia ni wagogo kongwa kuna wakaguru wagogo na wamasai na mpwapwa kuna wahehe wagogo na wakaguru kondoa kuna warangi na pia wasandawe wanaotumia lugha ya aina ya khoikhoi babu zao wamewahi kukaa eneo la tanzania kabla ya kuingia kwa wabantu kondoa kuna pia sehemu penye michoro ya kale juu ya uso ya miamba ya aina ya khoikhoi inayofanana na sanaa ya kale huko zimbabwe au afrika kusini wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo kiyunani ni jina la kiswahili cha zamani kwa kigiriki ambayo ni lugha ya nchi ya ugiriki uyunani au kwa tabia za wagiriki wayunani neno la kiswahili cha zamani limetokana na lugha ya kiarabu ambapo yunan linataja kiasili wagiriki wa eneo la ionia au wa kabila la waioni walioishi kwenye pwani ya mashariki ya bahari ya aegeis leo hii si la kawaida sana lakini linapatikana bado hasa katika matoleo mbalimbali ya biblia kwa kuwa kitabu hicho kina miaka hivi ni wazi kwamba kinasimulia mambo ya zamani hivyo pengine neno kiyunani linatafsiriwa kuwa kigiriki cha zamani na uyunani kuwa ugiriki ya kale ni kwamba miaka ya nyuma neno kigiriki limezidi kusambaa zaidi kati ya wanaoongea kiswahili kutokana na athira ya kiingereza kinachotumia maneno greece greek kutoka kilatini graeci ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za kiulaya wanaotajwa wenyewe hujiita helleni na lugha yao helleniki roma pia rumi ni jina linalotumika kwa mji wa roma mji mkuu wa italia ama kwa dola la roma lililokuwa kwa karne kadhaa kabla na baada ya kristo dola kubwa kuliko zote duniani tena kwa kanisa la roma ambalo ni kiini cha kanisa katoliki lote lilikuwa pia jina la mungu wa kike katika dini ya roma ya kale roma ni umbo asili la jina katika kilatini na kiitalia limekuwa pia la kawaida katika kiswahili cha kisasa kumbe rumi ilikuwa kawaida katika kiswahili cha zamani kutokana na kawaida ya lugha ya kiarabu ar rm matoleo ya biblia ya union version iliyochapishwa tangu hutumia rumi warumi kumbe tafsiri ya biblia ya kiswahili cha kisasa hutumia roma waroma kilatini ni lugha ya kihistoria ambayo siku hizi haina tena wasemaji kama lugha ya kwanza lakini bado hufundishwa katika shule vyuo na hata kutumiwa kama lugha ya pili ilikuwa pia lugha ya kimataifa ya elimu na hata leo istilahi nyingi za kisayansi zimetoka katika kilatini kilatini kilikuwa lugha hai takriban kati ya miaka kk na bk na baadaye lahaja zake mbalimbali ziliendelea na kukomaa kuwa lugha za pekee zinazojulikana kama lugha za kirumi kama kiitalia kifaransa kihispania kireno kiromania n k kilatini ni pia jina la mwandiko au aina ya herufi alfabeti ya kilatini inayotumika kwa lugha nyingi duniani hata kiswahili huandikwa siku hizi kwa herufi za kilatini kama kwa mfano ukurasa huu wa wikipedia hadi leo kilatini ina athira kubwa katika lugha ya sayansi na elimu hadi leo hufundishwa mashuleni hasa ulaya tena ni kiswahili kimerithi maneno yenye asili ya kilatini hasa kupitia kiingereza kilichopokea karibu asilimia hamsini ya maneno yake yote kutoka kilatini kupitia hasa kifaransa maneno mengine ya kilatini yameingia kiswahili kupitia kireno kifaransa n k kilatini kilikuwa na upanuzi mkubwa kuanzia karne ya misingi ya sayansi ya kisasa ilijadiliwa katika ulaya kwa kilatini kilichokuwa lugha ya vyuo vikuu kote ulaya katika karne ya na mataifa mengi yaliimarisha lugha zao na kuzitumia kwa ngazi zote za elimu lakini wataalamu wa ulaya na marekani waliendelea kutumia majina ya kilatini kwa kutaja habari za kisayansi na kubuni majina mapya kufuatana na kanuni za kilatini kwa kutaja vitu na viumbe vilivyotambuliwa na kuelezwa kisayansi kazi hii iliendelea hata wakati matumizi ya kilatini kama lugha ya kujadiliana yalishafikia mwisho wake katika karne ya kulikuwa na harakati ya wapenzi wa lugha kuunda misamiati ya kilatini cha kisasa yenye maneno kwa ajili ya mitambo ya kisasa mtandao n k wikipedia ya kilatini ilifikia makala zaidi ya kwenye mwaka jamhuri ya zambia ni nchi ya kusini mwa afrika isiyo na mwambao baharini imepakana na jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na tanzania upande wa kaskazini malawi upande wa mashariki msumbiji zimbabwe na botswana upande wa kusini namibia na angola upande wa magharibi mji mkuu ni lusaka wenye wakazi jina limetokana na mto zambezi jina la zamani za ukoloni hadi lilikuwa northern rhodesia nchi kwa sehemu kubwa ni nyanda za juu kuanzia mita hadi juu ya ub milima ya muchinga imepanda hadi mita kilele cha juu kabisa kiko kwenye mita huko milima ya mafinga hills wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani katika karne za kwanza za milenia ya bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi baada ya wapelelezi wazungu kufika katika karne ya zambia ikawa nchi lindwa ya uingereza kwa jina la northern rhodesia mwishoni mwa karne ya tarehe oktoba zambia ikawa huru na waziri mkuu kenneth kaunda akawa rais wa kwanza chama chake cha kijamaa united national independence party unip kilitawala kuanzia mwaka hadi kikiwa chama pekee halali kuanzia mwaka baada ya kaunda kuanguka frederick chiluba wa movement for multi party democracy alitawala tangu mwaka akafuatwa na levy mwanawasa aliyefuata tena ni rais rupiah banda halafu michael sata wa patriotic front party baada ya kifo chake guy scott alikaimu hadi uchaguzi wa tarehe januari ambapo edgar lungu alipata kuwa rais wa sita wakazi wa zambia ni wasemaji wa lugha za kibantu katika makabila makubwa ndio wabemba watonga walozi watumbuka walunda waluvale wakaonde wankoya na wanyanja wachewa hata hivyo lugha rasmi ni kiingereza idadi kubwa ni wakulima wa kujitegemea ingawa wanaishi mijini upande wa dini karibu wote ni wafuasi wa ukristo ambayo ndio dini rasmi kwa mujibu wa katiba ya nchi ni waprotestanti ni wakatoliki na ni wakristo wa aina nyingine tabora ni jina la mji wilaya na mkoa wa tanzania ya kati mkoa wa tabora ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba makao makuu yako tabora mjini eneo la mkoa ni km mnamo km ni hifadhi ya misitu km ni hifadhi ya wanyama wenyeji wa tabora ni hasa wanyamwezi jumla ya wakazi ilikuwa watu walio wengi ni wakulima na wafugaji kulikuwa na wilaya idadi ya wakazi kwa mabano tabora mjini nzega igunga uyui urambo sikonge jina la urambo humkumbuka mtemi mirambo aliyekuwa mtawala muhimu wa wanyamwezi kabla ya kuingia kwa ukoloni mnamo machi ilianzishwa pia wilaya ya kaliua mkoa wa tabora una barabara za lami ipo inayoanzia tabora mjini hadi nzega kuelekea mwanza pia lami kutoka nzega kuelekea igunga mpaka singida barabara nyingine ya lami ipo inayoanzia tabora mjini mpaka urambo yenye urefu wa km pia lami nyingine inaanzia tabora mjini mapaka nyahua yenye urefu wa km ukiwa unaelekea manyoni kupitia itigi kuna njia ya reli ya kati kutoka dar es salaam kwenda kigoma kwa upande moja na kwenda mwanza kwa upande mwingine wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo morogoro ni jina la mto mji wilaya na mkoa wa tanzania mkoa wa morogoro ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba umepakana na mikoa ya tanga pwani lindi ruvuma iringa dodoma na arusha eneo lake ni km ambapo kuna wakazi mwaka hivyo morogoro ni kati ya mikoa mikubwa zaidi ya tanzania mkoa ulikuwa na wilaya sita ambazo ndizo idadi ya wakazi katika mabano kilosa kilombero morogoro vijijini morogoro mjini mvomero ulanga mwaka imeongezwa wilaya mpya ya gairo na wilaya ya malinyi wakazi walio wengi hukalia wilaya za kaskazini robo yao huishi katika miji ya mkoa eneo la mkoa wa morogoro liko katikati ya mikoa ya pwani ya bahari hindi na nyanda za juu za kusini tanzania kuna tambarare za chini kama vile ifakara kilombero pia milima ya juu kama uluguru yenye mlima wa kimhandu wenye m juu ya ub mito mikubwa ni wami na ruvu inayoanza kwenye milima ya uluguru ruvu ndiyo mto wa kutoa maji kwa wakazi wa dar es salaam karibu nusu ya eneo la mkoa wa morogoro ni hifadhi za wanyama za mikumi na udzungwa na sehemu ya eneo la kuwinda wanyama la selous kabila kubwa ni la waluguru waliotoa jina kwa mji wa morogoro pamoja na milima ya uluguru makabila mengine makubwa zaidi ni wangulu wakagulu wasagala wapogolo wandamba wabena wambungu wakutu na wavidunda upande wa dini karibu nusu ni waislamu na nusu ni wakristo ardhi ya morogoro ina takribani rutuba ya kufaa kwa mazao mengi lakini kilimo kinategemea hali ya mvua karibu nusu ya eneo la mashamba yote hulimwa mahindi mazao ya sokoni hulimwa milimani mkoa wa morogoro ni eneo lililojaliwa na mungu kwa uzalishaji wa sukari kwa wingi hasa wilaya ya kilombero ina mashamba makubwa ya miwa inabidi zitunzwe hifadhi mbalimbali zinazopatikana katika mkoa wa morogoro kwa sababu kutunzwa kwa hifadhi hizo kunaweza kukaleta faida mbalimbali kama vile pesa za kigeni na pia maendeleo katika lugha mbalimbali wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo michael joseph jackson agosti juni alikuwa mwimbaji dansa na mburudishaji kutoka nchini marekani hufahamika zaidi kwa jina la kiheshima utani kama mfalme wa pop hutambulika kama mburudishaji aliyepata mafanikio zaidi kwa muda wote na moja kati ya waburudishaji wenye mvuto na athira kubwa katika medani ya muziki michango yake katika muziki dansi na fasheni na hasa suala la kuanika hadharani maisha yake binafsi imemfanya awe kioo cha ulimwengu katika tamaduni maarufu kwa ziaidi ya miongo minne akiwa pamoja na ndugu zake jackson amefanya uongozi wa uimbaji kwa mara ya kwanza akiwa kama mwanachama mdogo kabisa katika kundi la the jackson mnamo mwaka wa ameanza kazi ya usanii wa kujitegemea kunako mwaka wa albamu yake ya mwaka wa thriller imebaki kuwa albamu yenye mauzo bora kwa muda wote mchango waka katika utengenezaji wa muziki wa video umeinua kutoka katika hali ya kawaida hadi katika hali ya kisanii zaidi video zake kama vile billie jean beat it na thriller inamfanya kuwa msanii mmarekani mweusi wa kwanza kupata kupigiwa nyimbo yake sana kwenye mtv jackson ameipa umaarufu baadhi ya maunja ya kudansi kama vile robot na moonwalk staili ya muziki wake staili ya sauti yake na zile koregrafia zilitambulika vizazi kwa vizazi kirangi na hata katika mipaka ya kitamaduni jackson ni mmoja kati ya wasanii wachache waliowekwa mara mbili kwenye rock and roll hall of fame mafanikio mengine yanajumlisha guinness world records ikiwa ni pamoja mburudishaji mwenye mafanikio kwa muda wote tuzo za grammy ikiwa ni pamoja na ile ya living legend award na ile ya lifetime achievement award american music awards akiwa kama msanii pekee ya kujitegemea ikiwa ni pamoja na moja kwa ajili ya msanii wa karne zaidi ya msanii mwingine yeyote single zake zimeshika nafasi ya kwanza huko nchini marekani ikiwa ni pamoja na nne akiwa kama mwanachama wa kina jackson na inakadiriwa kafanya mauzo ya rekodi zaidi ya milioni dunia nzima inafanya kuwa miongoni mwa wasanii waliouza rekodi zao vilivyo kwa muda wote na haijawahi kutokea maisha binafsi ya jackson yamezua utata kwa miaka kadhaa kujibadilisha kwa mwonekano wake ilianza kutambulika tangu mwishoni mwa miaka ya na kuendelea kwa kubadilisha pua yake na rangi ya ngozi yake imesababisha makisio kadha wa kadha katika vyombo vya habari mnamo mwaka wa alishtakiwa kwa kosa la udhalilishaji wa kijinsia kwa mtoto ingawa hakuna mashtaka yoyote yaliyotolewa dhidi yake mnamo mwaka wa amejaribu kuachana na mashtaka kama yale ya awali ameoa mara mbili kwanza alioa mnamo na akaja kuoa tena mnamo amepata watoto watatu mmoja alizaliwa kwa mama mwenye kuchukua mimba kwa ajili ya familia fulani jackson amekufa mnamo tar juni kwa kuzidisha kiasi cha dawa wakati anajiandaa na ziara ya tamasha lake la this is it ambalo lilitakiwa lianze katikati mwa mwaka wa ameripotiwa kwamba alitumia dawa aina ya propofol na lorazepam afisa uchunguzi wa vifo wa wilaya ya los angeles ameelezwa kuwa kifo chake ni uuaji wa binadamu na mashtaka yanakwenda kwa daktari wake binafsi kwa kosa la kuua bila kukusudia kifo cha jackson kimeamsha mihemko ya huzuni ulimwenguni na huduma ya ukumbusho wake uliofanywa hadharani ulitangazwa duniani ulitazamwa na maelfu ya watu moja kwa moja michael jackson alianza kuonekana jukwaani akiwa na miaka mitano tu pamoja na kaka na dada zake alitokea familia ya wanamuziki ya jackson five kuhusu miaka yake ya awali alisimulia mara kadhaa ya kwamba baba alimlazimisha kufanya mazoezi mno ya kucheza na uimbaji hivyo michael alikosa utoto watazamaji wengi wamehisi ya kwamba matatizo ya kisaikolojia ya msanii yalikuwa na chanzo katika kipindi hiki michael aliandika nyimbo nyingine maarufu ambazo ni bad na black or white huyu pia huitwa mfalme wa pop duniani maisha binafsi ya michael jackson yalikuwa yakifahamika sana pia alishawahi kutiwa shaurini kwa unyanyasaji wa mtoto lakini hakukutanika na kosa alifanya upasuaji maalumu ili abadilishe mwonekano wake michael aliyezaliwa kwa maumbile ya mwamerika mweusi mwishoni alikuwa na ngozi nyeupe usoni na baada ya upasuaji kadhaa pua yake likawa nyembamba si pana tena mwenyewe alidai ya kwamba badiliko la rangi lilisababishwa na ugonjwa watu waliomtazama hawakupatana kama mabadiliko ya kimaumbile yalikuwa ama tokeo la kuona aibu kuonekana kama mwafrika au jaribio kuwa na uso linalorahisisha mawasiliano yake na watu wa bara zote michael alimwoa bi lisa marie presley binti wa elvis presley jackson pia alikuwa akimiliki eneo kubwa lenye makazi lililoitwa neverland ambalo baadaye liliuzwa kwa kampuni na nusu bado inamilikiwa na mwenyewe michael jackson amefariki mnamo tar juni baada ya kuwaisha katika hospitali ya ucla medical center ilifikiriwa kwamba alipata mshtuko wa moyo ikiwa na maana kwamba moyo wake ulisimama na imeonekana ya kwamba sababu yake ilikuwa matumizi mabaya ya madawa mengi mno at pm local time the los angeles coroner confirmed jackson s death wakati wa umauti wake jackson alikuwa na umri wa miaka tetesi za habari za kifo cha jackson kimevunja rekodi ya mtandao na kusababisha msongamano mtandaoni john fitzgerald kennedy mei novemba alikuwa rais wa marekani kuanzia mwaka hadi alipouawa alikuwa mtoto wa pili katika familia ya watoto baba yake alikuwa mfanyabiashara maarufu wa ukoo wenye asili ya eire vita kuu ya pili ilipoanza alijiunga na jeshi la wanamaji mwaka alijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na ndege za kivita za japani mwaka wa kennedy alituzwa tuzo ya pulitzer ya wasifu kwa ajili ya wasifu ya wabunge wanane wa senati ya marekani kitabu kiliitwa profiles in courage mwaka alianza kujiingiza katika siasa na mwaka alichaguliwa kuwa rais wa marekani ni rais pekee muumini wa kanisa katoliki katika historia ya nchi hiyo aliuawa kwa kupigwa risasi tarehe novemba akiacha mke na watoto wawili atakumbukwa kwa kutetea haki za watu wote bila kujali rangi yao kati ya mengine alisema wamarekani wasiulize marekani imewatendea nini bali wajiulize kwanza wao wenyewe wameitendea nini nchi yao karl friedrich benz alizaliwa tar novemba akiitwa karl friedrich michael vaillant huko mhlburg karlsruhe ujerumani wa kusini magharibi baada ya kumzaa mamake josephine vaillant akaolewa na babake johann georg benz hivyo akaitwa karl friedrich michael benz lakini baadaye akajiita carl friedrich benz alikuwa mhandisi mjerumani mwenye sifa ya kuwa alitengeza motokaa ya kwanza au gari la kwanza lililotumia nguvu ya nishati ya petroli mwaka alichukua digri ya uhandisi mw alianzisha kampuni yake ya kwanza hapo alitengeneza injini ya petroli ya mapigo mawili mwaka aliyoendeleza kuwa injini ya mapigo manne benz hakuwa mhandisi wa kwanza kutengeneza injini za aina hii mjerumani mwenzake nikolaus agosti otto aliwahi kuchukua hataza ya injini ya mapigo manne mwa injini za aina hii zilifanya kazi viwandani vikiendesha mashine mbalimbali benz aliendelea kutengeneza gari lenye magurudumu manne kwa jina la velo lilikuwa motokaa ya kwanza iliyotengenezwa kwa wingi duniani benz aliona kupanuka kwa biashara yake watoto wake wakiendelea kuendesha makampuni yake mwaka kampuni ya benz iliunganishwa na kampuni ya gottlieb daimler kwa jina la daimler benz karl benz aliaga dunia tar aprili isaac newton desemba machi alikuwa mwanahisabati mwanafizikia na mwanateolojia kutoka nchi ya uingereza anakumbukwa duniani kote kutokana na michango yake mbalimbali katika sayansi ndiye aliyegundua tawi la kalkulasi sambamba na leibniz sheria za mwendo na ya uvutano graviti mchango mwingine wa isaac newton upo katika nadharia ya mwanga akitumia prisma kuonyesha jinsi rangi zinazounda mwanga kama zinavyoonekana kwenye upinde wa mvua zinavyotokea alichangia pia astronomia kwa kuboresha darubini ya kuakisia darubini akisi iliyoleta matokeo mazuri alitambua ya kwamba kanuni za mvutano zinatawala pia mwendo wa sayari alitunga ramani ya nyota kufuatana na tafiti za flamsteed newton alipata shahada yake ya kwanza mwaka na ile ya uzamili mwaka kwa kuwa alizaliwa katika familia ya kianglikana alitumia muda mwingi kufanya utafiti wa biblia na theolojia pia alilenga kupatanisha elimu ya sayansi na imani yake aliandika graviti inaeleza miendo ya sayari lakini haiwezi kueleza ni nani aliyeanzisha miendo yao mungu anatawala mambo yote na yaliyopo na yanayoweza kuwepo tarehe desemba alimuandikia richard bentley siamini ulimwengu unaweza kuelezwa na sababu za maumbile tu bali nalazimika kuuona kama tunda la hekima na ubunifu vya mmoja mwenye akili hata hivyo yeye binafsi hakukubali mafundisho juu ya utatu wa mungu mtakatifu marko kwa kilatini mrcus kwa kigiriki aliishi katika karne ya bk alikuwa myahudi wa yerusalemu aliyeongokea mapema ukristo pamoja na maria mama yake kanisa la kwanza lilikuwa linakusanyika nyumbani mwao alifanya kazi na mitume paulo na barnaba katika kuhubiri injili huko kupro na uturuki wa leo baadaye alikuwa na mtume petro na paulo katika mji wa roma hadi walipouawa na serikali ya kaisari nero dhuluma ya miaka ndipo alipoamua kuandika injili ya kwanza iliyotumiwa na kufuatwa na mtume mathayo na mwinjili luka ingawa katika orodha za biblia inashika nafasi ya pili kadiri ya mapokeo alifariki wakati akifanya kazi hiyo huko aleandria nchini misri tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mengi ya ukristo kama mtakatifu sikukuu yake huadhimishwa tarehe aprili mtume paulo hivi ni mmisionari mkuu wa yesu kristo katika historia ya kanisa alitangaza kifo na ufufuko wake katika nchi karibu zote zilizopo kaskazini kwa bahari ya kati alimaliza ushuhuda wake kwa yesu kwa kufia dini yake mjini roma wakati wa dhuluma iliyoanzishwa na kaisari nero tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu sherehe yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe juni pamoja na ya mtume petro lakini pia uongofu wake una sikukuu maalumu tarehe januari mtakatifu paulo alizaliwa kati ya miaka bk katika familia ya kiyahudi ya kabila la benyamini israeli na madhehebu ya mafarisayo iliyoishi katika mji wa tarsus kwa sasa mji huo uko sehemu ya kusini mashariki ya nchi ya uturuki jina lake la kwanza la kiebrania lilikuwa sauli lakini kadiri ya desturi ya wakati ule alikuwa pia na jina la kigiriki paulos kutoka kilatini paulus mdogo mwenyewe alikuwa na uraia wa roma kama wananchi wote wa tarsus angali kijana alisomea ualimu wa sheria yaani wa torati huko yerusalemu chini ya mwalimu maarufu gamalieli wa madhehebu ya mafarisayo akishika dini yake kwa msimamo mkali akawa anapinga ukristo kwa kukamata kutesa na hata kuua wakristo kama vile stefano mfiadini alifanya hivyo mpaka alipotokewa na yesu kristo mfufuka akiwa njiani kwenda damaski syria kwa umuhimu wake katika historia ya wokovu habari hii inasimuliwa mara tatu katika kitabu cha matendo ya mitume na jibu lake kwa yesu lilikuwa mdo nifanye nini bwana miaka baadaye huko yerusalemu paulo alijitetea hivi baada ya kufanya utume katika mazingira ya kiarabu tarsus na antiokia alianza safari za kitume akienda mbali zaidi na zaidi akilenga kumhubiri yesu mahali ambapo bado hajafahamika hata hispania ilikuwa kawaida yake kuanzisha makanisa katika miji mikubwa ili toka huko ujumbe ufike hadi vijijini muda wote wa utume wake paulo alipambana na dhuluma kutoka kwa wayahudi wenzake na matatizo mengine kutoka wakristo wenye msimamo tofauti na wa kwake hasa wakristo wa kiyahudi juu ya haja ya kufuata masharti ya agano la kale ili kupata wokovu hatimaye alikamatwa na wapinzani wake wayahudi mjini yerusalemu lakini askari wakoloni walizuia asiuawe baada ya hapo alilazimika kukaa gerezani akisubiri hukumu ya dola la roma kwanza kaisaria baharini miaka miwili halafu akakata rufaa kwa kaisari akapelekwa roma alipofika mwaka akakaa miaka miwili tena kifungo cha nje katika nyumba ya kupanga kisha kufunguliwa labda kwa sababu washtaki wake hawakuwasili alisafiri tena ingawa hakuna hakika alielekea wapi aliuawa nje ya kuta za roma kwa kukatwa kichwa wakati wa dhuluma za nero kati ya mwaka na b k juu ya kaburi lake lilijengwa kanisa kubwa ambalo liliteketea kwa moto katika karne ya likajengwa upya na hadi leo linapokea hija za wakristo wengi hasa katika jubilei ya mtume paulo iliyotangazwa na wakatoliki na waorthodoksi kwa mwaka kati ya barua nyingi alizoandika kwa makanisa ya thesalonike korintho galatia roma filipi kolosai efeso kwa viongozi wakristo kama timotheo na tito tena kwa filemoni katika agano jipya zinatunzwa ukubwa na ubora wa mchango wa paulo unaeleweka tukizingatia kwamba alifanya kazi na kuandika kabla ya vitabu vya agano jipya kupatikana ndiye aliyeanza kuliandika akipanua mawazo aliyoyapokea katika kanisa kwa kuzingatia agano la kale na mafunuo na mang amuzi yake mwenyewe hapo alifafanua vizuri ajabu maisha ya kikristo kama neema ya kumshiriki yesu kwa imani sakramenti na juhudi za kushinda umimi hadi kugeuka sadaka hai takatifu na ya kumpendeza mungu wokovu huo utakaokamilika katika ufufuko wa mwili unapatikana katika kanisa ambalo paulo alilitambulisha kama bibiarusi wa kristo na mwili wake baada ya kuzaliwa kwake yesu kristo kifupi bk ni namna ya kutaja miaka ambayo imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi duniani kila mwaka huhesabiwa kuanzia ule uliodhaniwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwake yesu kristo miaka iliyotangulia kuzaliwa kwake yesu huitwa kabla ya kuzaliwa kwake yesu kristo au kifupi kk hesabu hii ilianzishwa mwaka bk na mmonaki dionysius eiguus alipokuwa roma wakati ule mahesabu mbalimbali ya miaka yalikuwa kawaida mwaka uleule uliweza kuitwa kutokana na muda wa utawala wa mfalme au kaisari kwa mfano mwaka wa wa kaisari iustiniano na pia kuanzia tarehe ya kuundwa kwa mji wa roma kwa mfano mwaka ab urbe condita tangu kuanzishwa kwa mji mahesabu mengine yaliyokuwa kawaida wakati ule ni makadirio mbalimbali tangu kuumbwa kwa dunia na mengineyo dionysio baada ya kufanya utafiti alidhani yesu alizaliwa mwaka tangu kuanzishwa kwa roma hesabu yake haijui mwaka tarehe ya kuzaliwa kwake yesu huchukuliwa kama mwanzo wa mwaka kwa hiyo moja kwa moja inaingia katika mwaka na mwaka kabla yake ni mwaka kabla ya kristo kk hii ndiyo sababu ya kwamba dunia karibu yote ilikosa kusheherekea mwaka kuwa mwanzo wa milenia mpya mwaka ulikuwa mwaka wa mwisho wa karne iliyoanza mwaka karne na milenia mpya zilianza mwaka hesabu ya dionysio ilikosea miaka kadhaa ni kwa sababu wakati wake dola la roma lilikuwa limeshakwisha katika italia kaisari alikaa bizanti au roma ya mashariki kumbukumbu za roma yenyewe hazikutunzwa tangu miaka mingi leo hii wataalamu wengi hukubaliana ya kwamba kasoro ya dionysio ni takriban miaka yaani mwaka halisi wa kuzaliwa kwake yesu ulikuwa kama miaka nne hadi nane kabla ya mwaka ambao tumezoea kuhesabu kama kwa kuwa mwaka k k ndipo alipokufa mfalme herode mkuu aliyejaribu kumuua akiwa mtoto mchanga wengi walijaribu kusahihisha kosa hilo lakini habari kamili kabisa haziwezi kupatikana tena ni vigumu kubadilisha mahesabu yote vitabu n k mwanzoni hesabu ya dionysio ilikuwa pendekezo la mtaalamu fulani tu watu wakiendelea kutumia mahesabu yao mbalimbali miaka baada ya dionysio papa bonifas iv akiwa mkuu wa kanisa katoliki alitumia tarehe zote mbili za baada ya kristo na tangu kuanzishwa kwa mji wataalamu walianza kutumia zaidi hesabu hiyo mpya mnamo mwaka mtaalamu beda mheshimiwa alitunga kitabu kuhusu ugawaji wa wakati kwa kilatini de temporum ratione alikotumia mfumo ulioundwa na dionysio akaendelea kuutumia pia katika kitabu kuhusu historia ya kanisa kwa kuwa vitabu vya beda vilikuja kutumiwa kote katika ulaya ya magharibi vilichangia sana uenezi wa hesabu hiyo mpya wakati wa karolo mkuu mfalme halafu kaisari aliyetawala ufaransa pamoja na ujerumani italia ya kaskazini na maeneo ya uholanzi na ubelgiji hesabu tangu kristo ilikuwa rasmi kwa serikali lakini bado zilihitajika karne kadhaa hadi hesabu hii iwe imekuwa kawaida katika ulaya kutokana na uenezaji wa uchumi biashara na utawala wa wazungu hesabu baada ya kristo ilienea kote duniani siku hizi ni hesabu pekee katika nchi nyingi katika nchi mbalimbali inatumika sambamba na mahesabu mengine nchi mbalimbali za kiislamu hutumia miaka tangu hijra ya muhammad mwaka bk lakini mara nyingi pamoja na miaka ya hesabu ya kikristo kwa ajili ya mambo ya biashara na mawasiliano ya kimataifa nchi ya israeli inatumia kalenda rasmi tangu kuumbwa kwa dunia isipokuwa kando ya kalenda ya bk kwa sababu zilizotajwa hapo juu kwa ajili ya nchi za kiislamu japan inatumia hesabu ya miaka ya kaisari yake vilevile kando ya kalenda ya bk dionysio hakutumia msamiati baada ya kristo alisema anno domini mwaka wa bwana akimaanisha dominus bwana ndiye yesu hivyo kifupi katika lugha ya kilatini ni ad kilichoingia pia katika kiingereza na lugha nyingine kadhaa hata miaka kabla ya kristo kwa kiingereza huitwa kwa kifupi cha kilatini a chr ante christum natum kabla ya kuzaliwa kwake kristo wengine hutumia bc before christ kaizari ni cheo cha mfalme mkuu neno la kiswahili limetokana na lugha ya kijerumani kaiser lakini asili yake ni kilatini caesar asili ya cheo ni julius caesar aliyekuwa kiongozi wa dola la roma hadi kuuawa kwake na wapinzani mwaka kk watawala waliomfuata walianza kutumia jina la caesar kwa heshima yake hadi jina likawa cheo cheo cha kaizari kiliendelea kutumika katika eneo la dola la roma ya mashariki bizanti hadi mwaka katika ulaya yenyewe mfalme wa wafaranki karolo mkuu alipokea cheo cha caesar au kaizari baadaye wafalme wajerumani waliomfuata karolo mkuu katika sehemu ya mashariki ya ufalme wake waliendelea kutumia cheo hiki cha caesar au kaizari neno la kaizari liliingia katika lugha ya kiswahili wakati wa ukoloni wa kijerumani huko tanzania kwa kuwa austria na ujerumani zilitawaliwa hadi mwisho wa vita kuu ya kwanza ya dunia na wafalme wenye cheo cha kaizari vilevile mfalme wa urusi alikuwa na cheo kilekile kilichoitwa tsar kwa kirusi ilhali neno hili limeundwa pia kutoka caesar lugha za kiingereza na kifaransa zilitumia cheo tofauti cha macaesar wa kiroma ndicho imperator mwenye amri mwenye mamlaka jemadari kilichokuwa emperor kwa kiingereza au empereur kwa kifaransa kaizari ni cheo cha mfalme aliye juu ya wafalme wengine kutokana na uzoefu huu hata shah wa uajemi tenno wa japani huangdi wa china na negus negesti wa ethiopia hutajwa kwa cheo cha kaizari malkia viktoria wa uingereza alitumia cheo cha kaizari empress kama mtawala wa uhindi tangu mwaka wakati wa ukoloni mtawala mkuu wa afrika ya mashariki ya kijerumani alikuwa kaizari wilhelm ii wa ujerumani kwenye sarafu ya rupia alionyeshwa pamoja cheo kwa lugha ya kilatini imperator rais jean bedel bokassa alijitangaza kuwa kaizari empereur wa afrika ya kati mwaka akiiga mfano wa napoleon bonaparte aliyejiwekea taji la kaizari ya ufaransa mwaka bokassa alipinduliwa mwaka na nchi kuwa jamhuri tena duma ni mnyama mbuai aliyemo katika jamii ya paka felinae chakula chake ni wanyama jamii ya swala hupatikana afrika na kidogo sehemu za asia kichwa chake ni kidogo zaidi ukilinganisha na wanyama wengine wa jamii yake kama chui duma anatofautiana na chui pia kwa sehemu ya mgongo na sehemu ya machoni mgongo wa duma huwa kama alama ya s tofauti na mgongo wa chui macho ya duma yana weusi mkali ukilinganisha na chui ngozi yake ina rangi ya manjano inayoelekea kwenye rangi ya udongo iliyopambwa na madoa meusi rangi ya duma inashabihiana na mazingira yake ya mawindo hutegemea zaidi mbio na kuona ukilinganisha na wanyama wengine wawindaji ambao hutegemea kunusa na kuvizia katika mawindo yao ndiye mnyama anayeaminika kuwa na mwendo kasi zaidi kuliko wanyama wengine watembeao kwa miguu hukimbia kilometa kwa saa wanapokua madume hutembea peke yao katika makundi ya duma watatu au wawili wanajamiana na majike wanapokuwa kwenye joto tu na si vinginevyo hijra ni neno la kiarabu linalomaanisha tendo la mtume muhammad la kutoka makka na kuhamia madina mwaka bk mwaka ule umekuwa tarehe ya kuanzisha kalenda ya kiislamu ambayo miaka yake huhesabu miaka baada ya hijra maana ya kiasili ya neno lenyewe ni kuachana au kutengana kutokana na historia ya muhammad limechukua pia maana ya kukimbilia au kuhamia muhammad alianza kuhubiri habari za qurani na za uislamu katika mji wa makka alipozaliwa na kuishi lakini hakupata wafuasi wengi kinyume chake kabila lake yeye mwenyewe la waquraishi walimchukia na kumtesa kwani viongozi waliogopa ataharibu biashara kubwa iliyoletwa na kaaba iliyokuwa kama hekalu ya kidini mjini hivyo muhammad aliondoka makka pamoja na babake mkubwa abu bakr wafuasi wake kama waliwahi kuondoka makka siku zilizotangulia wote walipokelewa na watu wa madina mji wa jirani hapo madina muhammad akawa kiongozi aliyekubaliwa na watu wengi katika miaka iliyofuata aliunganisha waarabu katika uislamu mwishowe akarudi makka ambako waquraishi walipaswa kumkubali yeye na dini ya usilamu katika kumbukumbu ya waislamu wa kwanza tendo la hijra lilikuwa jambo muhimu sana sura za qurani zilipokusanywa kila moja imeandikwa kama imepatikana kabla au baada ya hijra kila sura inaonyesha chini ya kichwa chake maneno ama imeteremka makka au imeteremka madina pia hesabu ya miaka ilianzishwa wakati wa khalifa wa pili umar ikihesabu kuanzia tarehe ile ya kuhamia kwake muhammad madina adolf hitler braunau austria aprili berlin ujerumani aprili alikuwa dikteta wa ujerumani kuanzia mwaka hadi kifo chake alihutubia dharau na chuki ya kimbari dhidi ya watu wote wasio wagermanik na hasa dhidi ya wayahudi alisababisha vita kuu ya pili ya dunia na mateso ya watu milioni kadhaa akitangaza shabaha ya ujerumani mkubwa alisababisha kushindwa na kugawiwa kwa taifa lake pamoja na kupotewa na maeneo makubwa hasa upande wa mashariki alizaliwa nchini austria mwaka wazazi wake walikuwa mtumishi wa forodha ya austria alois hitler na mama yake klara aliyekuwa mke wa tatu wa alois adolf alikuwa na ndugu watano lakini kati yao ni dada yake paula pekee aliyeishi kufikia umri wa mtu mzima wengine wote walikufa mapema alikuwa pia na ndugu wawili kutoka ndoa ya mke wa pili wa baba na hao waliitwa alois mdogo na angela waliokaa katika familia ya alois mzee baada ya kifo cha mama kutokana na kuhamishwa kwa baba mara kwa mara adolf alisoma kwenye shule za msingi tofauti kati ya hadi kuanzia mwaka alisoma kwenye shule ya sekondari mjini linz lakini hakufaulu alipaswa kurudia madarasa mawili hakupenda somo la dini lakini alivutiwa na historia na jiografia baba alimpiga mara nyingi katika kipindi kile akikasirika juu ya kutofaulu shuleni baada ya kifo cha baba alois mwaka mamake alimhamisha kwenda shule nyingine mjini lakini alishindwa hapa pia akarudi nyumbani kwa mama bila ya kumaliza masomo yake alipokaa linz adolf alifahamika na mafundisho ya kiongozi wa chama cha alldeutsch na hapa alianza kusikia habari za chuki dhidi ya wayahudi na dharau dhidi ya mataifa ya waslavi ya ulaya tangu hitler alijisikia kuwa msanii alipeleleza nafasi za kusoma uchoraji mwaka aliomba kupokewa katika chuo cha sanaa mjini vienna lakini alishindwa akarudi nyumbani baada ya kusikia mamake alikuwa mgonjwa wa kansa aliangalia nyumba hadi kifo cha mama kwenye desemba mama alitibiwa na daktari eduard bloch aliyekuwa myahudi adolf alimshukuru sana kwa juhudi zake na baadaye alimlinda bloch dhidi ya mateso yaliyoandaliwa kwa wayahudi katika miaka ya baada ya hitler kuwa mtawala wa ujerumani na tangu wa austria pia tangu januari alitumia urithi wa mama pamoja na pensheni ya mjane kwa kuhamia vienna alipokaa hadi alijaribu tena kupata nafasi kwenye chuo cha sanaa cha vienna akashindwa tena mtu aliyeishi pamoja naye katika chumba kimoja alisema wakati ule hitler alivutiwa zaidi na opera za richard wagner kuliko siasa tangu mwisho wa alihama mara kwa mara sehemu alipokaa akitafuta kupanga vyumba kwa bei nafuu zaidi inaonekana matatizo ya pesa yaliongezeka miaka alipaswa kuishi katika bweni la wanaume wasio na nyumba tangu hitler alikuwa na mapato madogo kwa njia ya kunakili picha alizouza kupitia watu walioishi pamoja naye katika bweni wengine waliouza picha kwa niaba yake walikuwa wayahudi lakini tofauti na daktari wa mamake hakuwapa usaidizi wowote baadaye waliteswa kama wayahudi wote baada ya kuvamiwa kwa austria hitler alisoma mengi wakati ule na hasa maandiko yaliyotangaza ubora wa mbari ya kigermanik na chuki dhidi ya wayahudi mwaka alihamia munich katika jimbo la bavaria ujerumani alikuwa amepokea hela kidogo kutoka urithi wa babake pia alitaka kujiondoa katika wajibu wa kufanya huduma ya lazima ya kijeshi katika austria hungaria aliendelea kunakili picha na kuziuza kwenye maduka ya sanaa mnamo februari alikamatwa na polisi ya bavaria na kupelekwa austria lakini huko iliamuliwa hafai kwa huduma ya kijeshi akarudi munich wakati wa kukaa munich alisoma maandiko ya houston stewart chamberlain kuhusu ubaguzi wa kimbari kuhamia kwake munich kulifuatwa na vita mwaka mnamo agosti wakati wa mwanzo wa vita kuu ya kwanza ya dunia alijitolea kwa jeshi la bavaria ambapo kutokana na bidii na ukakamavu wake alipanda cheo na kuwa praiveti mwisho wa vita mwaka alikuwa na cheo cha koplo hakupewa shughuli za kupigania maadui moja kwa moja bali sehemu kubwa ya vita alihudumia kama tarishi aliyebeba habari na barua kati ya maafisa wa ngazi ya juu na hivyo mbali kiasi na eneo la mapigano alijeruhiwa mwaka alipopigwa na kibanzi cha kombora na tena kwenye oktoba alipoathiriwa na gesi ya sumu iliyosababisha kipindi cha upofu alikuwa hospitalini bado aliposikia habari za mapinduzi katika ujerumani na azimio la kusimamisha vita tarehe novemba mwezi novemba hitler alirudi munich alipoendelea kuwa mwanajeshi hadi mwaka munich iliona kipindi cha vuguvugu ya mapinduzi kwa muda alishiriki katika kamati zilizochaguliwa na wanajeshi na kuwawakilisha mbele ya serikali na maafisa munich iliona kipindi kifupi cha mapinduzi makali ambako viongozi wake walijaribu kuiga mfano wa urusi kipindi hiki kilikwisha baada ya mashambulio ya sehemu za jeshi zilizofuata amri za serikali kuu ya berlin sasa maafisa wa jeshi walioshika tena amri walipambana na mielekeo ya kikomunisti na kisoshalisti kati ya askari na wafanyakazi wa viwanda hapa hitler aliteuliwa na wakuu wake kwa propaganda dhidi ya wanamapinduzi wasoshalisti alipelekwa kwa mafundisho ya kiitikadi akapewa mazoezi ya kuhutubia watu inaonekana ya kwamba ilikuwa katika kipindi hiki hitler alipopokea mafundisho yaliyoimarisha itikadi ya chuki dhidi ya wayahudi walioshtakiwa na wafuasi wa ufalme kuwa sababu ya kushindwa vitani pamoja na kuchochea mapinduzi hitler alitumwa pia na wakuu wake kama mpelelezi kuhudhuria mikutano ya kisiasa mjini hapa ilitokea ya kwamba kwenye septemba alihudhuria mkutano wa chama kidogo na kichanga kilichojiita chama cha wafanyakazi wajerumani deutsche arbeiterpartei dap hitler alishiriki katika majadiliano akakaribishwa kujiunga na chama hicho aliomba kibali cha mkuu wake jeshini kwa hatua hii akawa mwanachama wa wa chama hiki aliteuliwa kuwa katibu mwenezi wa dap na chama kilianza kupokea zawadi kutoka matajiri waliomwona hiler kama mhubiri mwenye kipaji kikubwa aliyepinga usoshalisti na ukomunisti mwezi februari dap ilibadilisha jina lake kuwa nationalsozialistische deutsche arbeiterpartei chama cha kizalendo kisoshialisti cha wafanyakazi wajerumani kifupi nsdap kwenye aprili hitler alitoka katika jeshi akipata riziki yake kwa njia ya kuhutubia mikutano alipolipwa sifa zake kama mhubiri zilijulikana kote munich na alianza kuwasiliana pia na wanasiasa waliokuwa na mielekeo ya kufanana huko berlin mwaka hatimaye aliweza kushinda viongozi wa awali katika chama na kuwa kiongozi mkuu wa nsdap ambao hadi wakati ule bado ilikuwa moja ya vyama vingi vidogo vilivyotangaza siasa ya kizalendo dhidi ya ukomunisti na pia dhidi ya demokrasia hitler alivutiwa sana na mfano wa benito mussolini kiongozi wa kifashisti wa italia aliyefaulu mwaka kupindua serikali ya italia kwa maandamano makubwa ya wafuasi wake kuelekea roma hitler akiwa kijana aliwahi kusoma vitabu vya mwingereza neville chamberlain aliyedai kwamba kuna mbari mbalimbali za watu zenye tabia na thamani tofauti sana akiwa gerezani aliandika kitabu kilichoitwa mein kampf mapambano yangu alimojaribu kueleza imani na siasa zake humo alieleza pia chuki dhidi ya wayahudi na itikadi yake ya ubaguzi wa kimbari katika itikadi hiyo mbari ya juu ni watu wa ulaya ya kaskazini aliowaita waaria na wale ambao ni duni zaidi ni watu weusi vikundi vingine vimo katikati lakini watu wabaya kabisa katika itikadi hiyo ni wayahudi ambao ni wajanja wakuu upande mmoja lakini hawana uwezo wa kuunda kitu kwa upande mwingine hivyo wanajaribu kwa ujanja wao kutawala dunia kwa kuiba fikra na mafanikio ya waaria baada ya kutoka gerezani alirudi katika siasa aliahidi za kwamba atafuata sheria hivyo chama cha nsdap kiliruhusiwa tena hitler alisafiri kote ujerumani akiunda matawi ya chama ndani ya chama alianzisha vikosi viwili vilivyovaa sare vikifanya mazoezi kama wanamgambo na kuwa tayari kupigana na maadui wa kisiasa wakati wa maandamano kikundi cha sa sturmabteilung kikosi cha kushambulia kilikuwa na watu wengi sana kikavuta hasa wanaume wasio na kazi waliovaa sare ya kahawia kikosi cha pili kilikuwa na watu wachache kikaitwa ss schutzstaffel kikosi cha ulinzi waliovaa sare nyeusi na kuwa na wajibu hasa kumlinda hitler chama chake hakikufaulu hadi wakati uchumi wa dunia pamoja na wa ujerumani ulipoporomoka vibaya katika mdodoro mkuu mamilioni ya watu waliachishwa kazi na kuona njaa katika hali hiyo watu walianza kupigia kura vyama vyenye itikadi kali katika uchaguzi wa mwaka kura za nsdap ziliongezeka kutoka hadi serikali za ujerumani zilikuwa za vyama vingi na dhaifu mwaka chama cha nsdap kilipata za kura na kuwa chama chenye kura nyingi zaidi nchini na chama kikubwa katika bunge la reichstag katika hali hiyo viongozi wa dola la ujerumani waliamua kumwingiza hitler katika serikali mwaka tarehe januari hitler akawa chansela wa ujerumani mara moja alichukua nafasi kuwakandamiza wapinzani wake na baada ya mwaka mmoja hata wale waliomwingiza madarakani baada ya mwaka mmoja utawala wake ulisimama imara kabisa ilhali wapinzani wengi walikamatwa na kupelekwa katika makambi ya kz hitler alifuata siasa ya kujenga uchumi na kurudisha watu kazini akibahatika kwamba uchumi wa dunia ukapaa tena hitler alifuta mapatano yote ya ujerumani yaliyoweka mipaka kwa ukubwa wa jeshi lake kuwa watu tu akajenga jeshi kubwa zaidi akaanzisha utawala wa kidikteta wa dola la tatu akipiga marufuku vyama vya upinzani alitesa wapinzani wote na watu wa mbari alizochukia hasa wayahudi chuki dhidi ya wajerumani waliokuwa wayahudi aliionyesha kwa sheria mbalimbali zilizokuwa kali zaidi na zaidi idadi ya wayahudi katika ujerumani ilikuwa ndogo takriban nusu milioni kati ya wakazi milioni kila mjerumani akitaka kuajiriwa na serikali au kupata nafasi ya masomo alitakiwa kuorodhesha wazazi na mababu hadi kizazi cha pili kwa njia hiyo hitler alipanga wajerumani wote katika vikundi vya waaria ambao hawana wayahudi katika familia wayahudi watu wenye asili ya kiyahudi hata kama wameshakuwa wakristo tangu vizazi kadhaa au hawakufuata dini wayahudi nusu kama mzazi mmoja alikuwa myahudi wayahudi robo kama mmoja kati ya mababu na mabibi wanne alikuwa myahudi wayahudi na wayahudi nusu walifukuzwa katika ajira ya serikali na walikataliwa kufanya kazi mbalimbali sheria kuhusu aibu wa mbari ilikataza ndoa kati ya waaria na wayahudi wayahudi waliondolewa uraia kamili tokeo moja la siasa hiyo lilikuwa kuondoka kwa wayahudi wengi kidogo katika ujerumani baada ya mashambulizi makali na mauaji mwaka mwelekeo huo uliongezeka hasa wanasayansi na wasanii wengi walihamia nchi huru siasa yake katika mwaka ilisababisha vita kuu ya pili ya dunia hitler alifuata mwanzoni siasa ya kukusanya wajerumani wote wa ulaya katika dola la ujerumani mwaka alifaulu kuteka austria na maeneo ya wajerumani katika ucheki bila upingamizi wa kimataifa lakini aliposhambulia poland tarehe septemba tendo hili lilikuwa mwanzo wa vita kuu ya pili ya dunia kwa sababu uingereza na ufaransa walisimama imara kwa mikataba ya kusaidiana na poland wakati wa vita hitler alichukua mwenyewe uongozi mkuu wa jeshi mwanzoni alifaulu hata dhidi ya ushauri ya majenerali wake hasa wakati wa vita dhidi ya poland na ufaransa lakini maazimio yake ya ya kushambulia urusi na kutangaza hali ya vita dhidi ya marekani yalikuwa mwanzo wa mwisho wake nguvu ya kiuchumi wa ujerumani haikutosha kushindana na dunia yote wakati wa vita aliamuru uuaji wa wayahudi wote wa ulaya na inakadiriwa alifaulu kuwaua takriban milioni sita ya wayahudi wote wa ulaya pamoja na watu vya mbari mbalimbali kama wasinti kati ya na hasa alipoona ya kwamba vita dhidi ya urusi haikufaulu haraka jinsi alivyotegemea aliamua kumaliza jambo lililosababisha chuki yake hasa azimio la usuluhisho wa mwisho wa suala la kiyahudi lilichukuliwa mwisho wa mwaka na kutangazwa mbele ya viongozi wachache mnamo januari katika mkutano wa wannsee baadaye siasa ya kuwatenda wayahudi vibaya na kuwaua katika maeneo fulani ilibadilishwa kulenga wayahudi wote katika nchi zote zilizokuwa chini ya athira ya ujerumani au kutekwa na jeshi lake hadi mwisho wa vita wayahudi walikusanywa kutoka kote ulaya na kupelekwa kwa reli hadi makambi ya mauti maafisa wachache wa jeshi ya ujerumani walipanga mara kadhaa kumwua hitler tarehe julai kanali stauffenberg alilipusha bomu katika ikulu ya hitler pale prussia ya mashariki hitler alijeruhiwa lakini hakufa tangu januari hitler alihamia tena berlin kutokana na uvamizi wa jeshi la kirusi katika ujerumani mashariki hapa alikaa katika boma imara chini ya ardhi hakutoka mjini tena tarehe aprili alishehereka mara ya mwisho sikukuu yake na kupokea wageni wachache siku iliyofuata vikosi vya kwanza vya jeshi la urusi vilianz kuingia katika maeneo ya jiji la berlin tarehe aprili berlin yote ilizungukwa kama kisiwa na jeshi la wasovyeti na tangu aprili waliingia katika kitovu cha berlin hitler bado alikuwa na tumaini kwamba vikosi vya jeshi la kijerumani kutoka magharibi vitafika berlin lakini majaribio yote yalishindikana habari zilipokelewa berlin ya kwamba makamu zake hitler kama himmler na goering walijaribu kutafuta mapatano na marekani au uingereza hitler aliwatangaza ni wasaliti akaamuru kuwakamata lakini amri hizi hazikutekelezwa tena maana hawakuwa karibu naye katika hali hii hitler alielewa ya kwamba hakuna njia ya kushinda na wataalamu hukubaliana ya kwamba hapo aliamua kujiua usiku wa aprili alimwoa mpenzi wake wa miaka mingi eva braun aliendelea kutunga wosia wake ambamo alimtaja mkuu wa jeshi la maji karl doenitz kuchukua madaraka yake kama mkuu wa dola na wa jeshi kwenye aprili jioni alipokea habari ya kwamba benito mussolini ameuawa huko italia tarehe aprili aligawa sumu kwa wote waliokuwa pamoja naye katika boma chini ya ardhi akawaruhusu kuondoka aliagiza sumu ijaribishwe kwa mbwa wake mpendwa blondi mnamo saa eva brau alijiua kwa kumeza sumu na hitler alipigia risasi kichwani wasaidizi wa mwisho walibeba maiti hadi bustani ya ikulu na kuziweka katika shimo kutokana na mlipuko wa bomu hapa wakazichoma kwa petroli warusi waliingia saa chache baada ya vifo hivi walikuta maiti tarehe mei bila kutambua ni hitler na eva braun tarehe mei msaidizi wa daktari wa meno wa hitler aliweza kutambua maiti kutokana na meno mabaki yalizikwa baadaye karibu na makao makuu ya jeshi la kirusi katika ujerumani ya mashariki yalihamishwa mara kadhaa kila wakati makao makuu yalipohamishwa mwishoni mabaki ya maiti yalichomwa na warusi tarehe aprili majivu yalisagwa na yote kutupwa katika mto mdogo karibu na mji wa magdeburg taarifa hizi zilitunzwa kama siri kwa miaka mingi hadi mwisho wa ukomunisti katika urusi na hivi kulikuwa na uvumi wa kwamba hitler hajafa na labda alikimbia hadi amerika kusini jinsi idadi ya wasaidizi wake waliofaulu kutoroka miaka baada ya hijra ni hesabu ya miaka katika kalenda ya kiislamu hesabu hii ilianzishwa miaka baada ya tukio lenyewe bk kufuatana na azimio la khalifa umar ibn al khattab waarabu waliwahi kuwa na kalenda iliyotumia mwendo wa mwezi lakini hawakuhesabu miaka kila mwaka ulitajwa kutokana na tukio fulani mwaka wa kuzaliwa kwake mtume muhammad hujulikana mwaka wa tembo kwa sababu mwaka ule makka ilishambuliwa na jeshi la waethiopia lililokuwa na tembo wa kijeshi hata baada ya muhammad desturi hii iliendelea mwaka wa hijra wenyewe uliitwa mwaka wa kukubaliwa kwa safari mwaka uliofuata mwaka vita ilipoamriwa n k wakati wa khalifa umar ilionekana haja ya kuwa na hesabu inayoeleweka zaidi hivyo hesabu ya hijra ikachaguliwa waarabu waislamu waliendelea kuhesabu miaka ya mwezi ya siku au kufuatana na kuonekana halisi kwa mwezi hivyo miaka ya kiislamu ina jumla ya siku takriban mwaka huo wa kiislamu una siku pungufu kuliko siku zile za mwaka wa jua katika kalenda ya kikristo mwaka bk ni bh baada ya hijra uajemi hutumia hesabu ya miaka ya hijra pamoja na mwaka wa jua hivyo mwanzo wa bk huko uajemi ni mwaka bh baada ya hijra kalenda ya kiislamu ni mtindo wa kuratibu wakati unaopatikana katika nchi mbalimbali za kiislamu tofauti na kalenda ya kawaida inayofuata jua hii ni kalenda ya mwezi inayofuata kuandama kwa mwezi pia waislamu wanaoishi katika mazingira yasiyo ya kiislamu hutumia kalenda hii kwa ajili ya kupanga maisha yao ya kidini hasa sikukuu na saumu kalenda hii ilianza kutumika rasmi kutokana na tukio la mtume muhammad kuhama makka kwenda madina tukio ambalo linajulikana kama hijra mahali pengi kalenda ya kiislamu hutumika pamoja na kalenda zinazofuata mwendo wa jua hasa kalenda ya gregori ambayo ndiyo iliyoenea zaidi duniani kalenda ya kiislamu imepokea kawaida ya mwaka wa waarabu wa kale wenye miezi hesabu ya vipindi hivi hufuata muonekano wa mwezi angani ambayo ni tofauti na miezi katika kalenda ya kimataifa ambayo hayana uhusiano na kuonekana kwa mwezi kwenye anga waislamu wanaofuata mfano wa kisaudi hukubali kwamba mwezi mpya umeanza kama umeonekana kwa macho kwa sababu desturi hii imeleta matatizo ya kutokubaliana pia ni rahisi kukadiria mwendo wa mwezi nchi mbalimbali za kiislamu hutumia makadirio ya kitaalamu kupanga tarehe za miezi idadi ya siku katika mwaka wa kiislamu ni kwa hiyo ni mfupi kuliko mwaka wa jua wenye siku kwa sababu hiyo sherehe zote za mwaka wa kiislamu husogea polepole katika majira ya mwaka wa kalenda ya kiraia inayofuata jua taz makala miaka baada ya hijra hesabu ya miaka katika kalenda ya kiislamu hufuta utaratibu wa miaka baada ya hijra yaani tangu kuhamia kwake mtume muhammad kutoka makka kwenda madina hijra ilitokea mwaka bk au katika mwaka wa hesabu yenyewe njia inayofuata inasaidia kujua takriban tarehe gani ya kiislamu inalingana na tarehe ipi katika kalenda ya kawaida k mwaka baada ya kristo katika kalenda ya kikristo h mwaka baada ya hijra katika kalenda ya kiislamu huko uajemi iran na afghanistan kuna mfumo tofauti wa kupanga wakati huko wanatumia kalenda ya jua wakihesabu muda wa mwaka ni siku jinsi ilivyo katika kalenda ya gregori kila mwaka unaanza kwenye sikusare ya machipuo yaani usawa wa muda wa usiku na mchana kwenye nusutufe ya kaskazini ya dunia ni kalenda ya kiislamu kwa sababu inaanza kuhesabu miaka tangu hijra kalenda hii huitwa shamsi kutoka neno la kiarabu kifarsi shams jua kwa mfano mwaka shamsi ya iran inalingana na mwaka wa kalenda ya kawaida ya kiislamu huko wanaita kalenda ya kidini kalenda qamari yaani ya mwezi na mara nyingi kuchapisha namba ya mwaka qamari kando ya mwaka shamsi katika kupanga sikukuu za kidini hufuata kalenda qamari lakini sikukuu za serikali hufuata kalenda shamsi mwaka mpya katika kalenda hii inaanza kikamilifu wakati wa sikusare machipuo yaani tarehe au machi ambayo ni maarufu kama sikuu ya nowruz miezi yenye sikukuu muhimu ni hasa mwezi wa muharram ni muhimu sana kati ya washia wanaokumbuka mateso na kifo cha imam husain wakati wa mapigano ya karbala majina na mfuatano wa miezi ni hivi kalenda ya kiislamu hutumia juma au wiki ya siku saba jinsi ilivyo kawaida kwa wayahudi na wakristo siku muhimu zaidi ni ijumaa ambako waislamu hukusanyika kwa ajili ya sala ya pamoja kwa kiarabu majina ya siku za juma hufuata hesabu ya kiyahudi jinsi inavyoonekana katika biblia jumapili inaitwa siku ya kwanza jumatatu siku ya pili hadi siku ya tano alhamisi siku ya sita pekee imepewa jina jipya la kiislamu kutokana na mkutano wa sala ya pamoja siku ya saba tena imebaki na jina lake la kibiblia sabato au siku ya saba hii ni kwa sababu utamaduni wa kiarabu kabla ya uislamu uliwahi kupokea athira nyingi kutoka kwa wayahudi na wakristo pia walikuwepo waarabu ambao upande wa dini walikuwa wakristo na wayahudi majina ya siku katika lugha ya kiswahili yanaonyesha ya kwamba lugha ilianza katika mazingira ya kiislamu kabisa bila athira za moja kwa moja kutoka uyahudi au ukristo majina ya siku yamepangwa kufuatana na ijumaa ambayo ni siku muhimu hasa katika maisha ya kiislamu maana ya jumamosi jumapili n k ni siku ya kwanza pili tatu baada ya ijumaa alhamisi imebaki na jina la kiarabu lindi ni jina la mji wilaya na mkoa ulioko kusini mashariki mwa tanzania mkoa wa lindi ni kati ya mikoa iliyopo nchini tanzania yenye postikodi namba umepakana na mikoa ya pwani mtwara ruvuma na morogoro upande wa mashariki hupakana na bahari hindi mkoa huu umeanzishwa mwaka na una eneo la km karibu robo ya eneo lake au km ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya selous mkoa una wilaya sita za lindi mjini mtama hadi lindi vijijini kilwa nachingwea liwale na ruangwa mito mikubwa ndiyo lukuledi matandu na mavuji yote yaelekea bahari hindi mwinuko huanza mwambaoni ukipanda hadi mita hakuna milima mirefu mwaka idadi ya wakazi ilikuwa karibu asilimia kati hao ni wakulima makabila makubwa zaidi ni wamwera ambao wanapatikana hasa wilaya ya nachingwea na lindi vijijini katika kata za rondo halafu wamachinga wamalaba ambao wako zaidi lindi mjini wamatumbi na wangindo huko kilwa wakazi kwa wilaya ni idadi katika mabano kilwa lindi mjini lindi vijijini liwale nachingwea ruangwa hali ya hewa ya lindi ni ya joto mwaka wote ikiwa na wastani kati ya sentigredi na mkoa hupokea kati ya mm na za mvua kwa mwaka hasa kati ya miezi ya novemba na mei kuna barabara chache katika hali nzuri ndizo km za barabara ya lami na km za barabara ya mavumbi mara nyingi katika hali mbaya wakati wa mvua mara kwa mara njia ya kwenda daressalaam imefungwa kuna matumaini ya kuboreka kwa mawasiliano na jiji la daresalaam tangu kumalizika kwa daraja la rufiji kwa sasa barabara ya kutoka mingoyo mpaka dar es salaam imekamilika kwa kiwango cha lami kimebaki kipande cha kilometa tu kuanzia muhoro wilaya ya kilwa mpaka kukaribia daraja la mkapa juu ya mto rufiji ambacho kinamaliziwa kwa kiwango cha lami kuna kiwanja cha ndege lindi nachingwea na kilwa masoko lindi na kilwa masoko kuna pia bandari huduma za simu zimepata maendeleo kiasi tangu kuanzishwa kwa simu za mkononi utalii haujafikia umuhimu sana kutokana na matatizo ya mawasiliano magumu ingawa lindi ina sehemu mbalimbali zenye uwezo wa kuwavuta watalii kilwa kisiwani ndio mji wa kihistoria wa pwani ya afrika ya mashariki pamoja na magofu ya miji mingine ya waswahili selous ni hifadhi kubwa kabisa katika afrika ufuko wa mchanga ni wa kuvutia sana nafasi za zamia majini ni tele gesi iliyopatikana baharini karibu na kisiwa cha songosongo imeleta matumaini ya maendeleo mkoa wa lindi wakazi wake wengi ni wakulima hasa maeneo ya vijijini wengi wanalima mazao mchanganyiko yaani ya biashara na chakula mazao ya biashara hasa ni korosho ambazo zinapatikana kwa wingi katika wilaya ya ruangwa lindi vijijini na nachingwea pia kuna zao la ufuta na ndizi kama zao la biashara na chakula pia mazao ya chakula kuna mahindi mpunga muhogo nyanya vitunguu hizi pia hulimwa sana wakati wa masika kutegemea na mvua za vuli biashara wakazi wengi wa mkoa wa lindi wanafanya biashara hasa biashara ndogondogo zijulikanazo kama machinga trade wanauza mazao wakati wa mavuno na huchukua bidhaa nyingi kutoka dar es salaam na kupeleka vijijini hasa kwenye kata mkoa wa lindi huko nyuma kielimu kwani shule za sekondari mpaka sasa si nyingi sana na shule hizo hazina walimu wa kutosha kutokana na miundombinu ya barabara na shule zenye kidato cha tano na cha sita mpaka sasa ni lindi sekondari lindi mahiwa na namupa seminari lindi vijijini pia kuna chuo cha ualimu nachingwea katika wilaya ya nachingwea wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo keremkerem ni ndege wa familia ya meropidae wana mwili mwembamba wa rangi maridadi mdomo wao ni mrefu na mwembamba na mkia wa aina nyingi za keremkerem una mileli mirefu katikati ndege hao wanaishi uwandani kwa kanda ya tropiki na nusu tropiki ya afrika ulaya na asia hula wadudu nyuki manyigu na mabunzi hasa ambao wanakamatwa hewani kabla ya kula ndege anatoa mshale wa mdudu akimgongea tawi la mti au kitu kigumu kingine keremkerem hupenda kuwa pamoja kwa makundi huchimba mashimo ndani ya kando za mchanga kwa kutaga mayai yao meupe familia ya meropidae imegawika katika nusufamilia mbili nyctyornithinae keremkerem wenye ndevu na meropinae keremkerem wa kawaida kwa matumizi mengine ya jina hili angalia hapa pangani mto pangani ni kati ya mito mikubwa ya tanzania unabeba maji ya milima ya meru kilimanjaro pare na usambara kwenda bahari ya hindi mdomo wake uko mjini pangani mto unapita katika maeneo ya jumuiya zenye lugha tofautitofauti hivyo kuna majina mbalimbali katika karne ya kabla ya ukoloni mwendo hadi maporomoko karibu na hale mnyuzi ulijulikana zaidi kama ruvu na sehemu ya mwisho kuanzia maporomoko hadi bahari kwa jina pangani kutokana na mji ulipofikia baharini kwenye ramani za zamani za ukoloni majina yote mawili yalitumika kandokando ruvu na pangani ramani za zamani za uhuru wa tanzania mara nyingi huwa na maandishi pangani or ruvu river siku hizi imekuwa kawaida kutumia jina pangani kuanzia bwawa la nyumba ya mungu beseni la pangani ni eneo la km karibu yote imo tanzania isipokuwa kuna km huko kenya katika mazingira ya taveta jumla ya wakazi katika beseni la pangani ni milioni chanzo cha mto pangani ni maungano ya matawimto kikuletwa na ruvu inayokutana leo katika lambo la nyumba ya mungu kusini kwa moshi mto kikuletwa hupokea maji kutoka mlima meru na mitelemko ya kilimanjaro upande wa kusini ruvu hupokea maji kutoka mitelemko ya kilimanjaro upande wa mashariki pamoja na ziwa la jipe mto pangani unaendelea km hadi pangani mjini unapoingia katika bahari hindi kwenye sehemu ya kwanza baada ya nyumba ya mungu mto unaitwa wakati mwingine bado ruvu kuna mahali pawili ambako malambo yametengenezwa kutumia umememaji ya mto pangani vituo vya umeme vimeathiriwa vibaya na kupungukiwa kwa maji mtoni mto pangani unategemea misitu panapokusanywa maji yake misitu hii imepungua sana kutokana na uenezaji wa mashamba kukatwa kwa miti kwa ajili ya makaa na matumizi ya ubao vilevile machafuko yamekuwa hatari kwa ajili ya afya ya mto na watu wanaotegemea maji yake asili ya machafuko ni hasa kilimo mvua hupeleka mbolea mtoni na kusababisha kukua kwa wingi wa majani yasiyotakika uvuvi umezidi vilevile hadi kuhatarisha samaki rhapta ni jina la soko na mji wa kale katika pwani la afrika ya mashariki habari zake zilipatikana tangu karne ya kwanza katika mwongozo wa kigiriki kwa ajili ya mabaharia jina la rhapta lilitajwa tena katika vitabu vingine hadi karne ya bk lakini baadaye lilipotea au kubadilishwa wataalamu walio wengi hukubaliana ilikuwepo ufukoni wa tanzania lakini hakuna uhakika kuhusu mahali pake kamili kuna kisio la kuwa rhapta ni jina la kale la pangani lakini hiyo ni kisio tu kutokana na bandari nzuri ya kiasili inayopatikana pale pangani wengine wanaona tanga au mdomo wa mto rufiji ilikuwa mahali pa rhapta kitabu cha periplus ya bahari ya eritrea kilichoandikwa mnamo mwaka bk kinataja rhapta kuwa soko kuu la azania barani pia kituo cha mwisho kati ya miji na vituo vilivyofanya biashara na dunia ya kiroma mnamo mwaka mwandishi mmisri claudius ptolemaius anataja rhapta kuwa mji mkuu wa barbaria afrika ya mashariki barani rhapta ilikuwa mdomoni wa mto mwenye jina la rhapta pia ambao uliaminika kuwa na asili yake katika milima ya mwezi mdomo wa mto ulikuwa karibu na kisiwa cha menouthis hakuna uhakika kama kisiwa hiki ni pemba au mafia sarafu za kiroma za karne za kwanza bk zimepatikana mahali mbalimbali za pwani zinathebitisha kuwepo kwa biashara kati ya dunia ya kiroma na azania wakati ule kufuatana na periplus biashara ilikuwa ya pembe ya ndovu na gamba la kobe pangani ni mji wa tanzania uliopo ufukoni mwa bahari hindi kati ya dar es salaam na tanga ukielekea pande zote mbili za mdomo wa mto pangani leo hii ni mji mdogo mwenye wakazi karibu na makao makuu ya wilaya ya pangani lakini ina historia ndefu hasa kwa sababu kuna bandari nzuri ya kiasili mdomoni wa mto wa pangani inayofaa jahazi ndogo majengo mbalimbali ya kale ni ishara ya historia ndefu ya mji huu pamoja na boma lililojengwa na waarabu wa unguja na kutumiwa na wakoloni wa kijerumani na wa kiingereza kuna nyumba za waswahili eneo la mji limegawiwa kwa kata mbili ambazo ni pangani mashariki pamoja na mji wa kihistoria na pangani magharibi mji wa pangani uliundwa kando la hori ya bahari hindi mahali ambako mto pangani unakwisha hori ina upana wa kilomita ikiingia barani kilomita mdomo wa mto pagani una upana wa mita kwa kilomita kadhaa ndani ya nchi kavu na hivyo ni bandari salama kwa jahazi ndogo mji wa pangani ulianzishwa upande wa kaskazini wa mdomo huo uko kwenye pwani katikati ya visiwa vya unguja na pemba bandari ya pangani inafikiwa na jahazi ndogo jinsi zilivyokuwa kawaida kwenye pwani la bahari hindi ndani ya mdomo wa mto merikebu zilikuwa salama hata wakati wa dhoruba baharini uzuri wa bandari hii ulikuwa msingi kwa kustawi kwa mji kama kituo cha safari kwenye pwani na mahali pa biashara kati ya bara na visiswa vya karibu vya unguja km na pemba km sehemu hii ya pwani ilifaa kama chanzo cha njia ya misafara kufuata bonde la mto pangani kuelekea kilimanjaro km na ndani zaidi mazingira ya pangani inapokea milimita kwa mwaka inayotosha kwa kilimo kwenye kanda la pwani kwenye mpangilio wa tabianchi wa koeppen hii inatazamiwa kama aw yaani tabianchi ya kitropiki ya savana pangani ni moja ya miji ya kale ya waswahili kwenye pwani la bahari hindi wataalamu kadhaa waliochungulia habari za kale walipendekeza ya kwamba mji wa rhapta ulikuwa sawa na au karibu na pangani ya leo mji huu wa rhapta unajulikana kutokana na kitabu cha periplus ya bahari ya eritrea kilichoandikwa mnamo mwaka b k lakini pangani ni mahali pamoja kati ya patano palipotajwa kuwa mahali pa rhapta ya kale hakuna uhakika pangani ilikuwa mji muhimu katika utamaduni wa waswahili katika karne ya bk biashara ya misafara kati ya eneo la maziwa makubwa na zanzibar ilipita mara nyingi hapa bidhaa kutoka zanzibar zilipelekwa pangani na kugawiwa kwa wapagazi wa misafara makundi ya watumwa waliobeba ndovu wakati wa kurudi walihamishwa hapa kwenye boti ziizowapeleka hadi soko la watumwa zanzibar tangu uhamisho wa ikulu wa waarabu wa omani kuja zanzibar pangani iliona maendeleo ya kiuchumi makabaila walijipatia mashamba makubwa wakalima miwa wakitumia kazi ya watumwa hata kwa wapelelzi wazungu waliofika zanzibar kwa meli kubwa pangani ilikuwa mara nyingi mlango wa kungia afrika bara pangani ilikuwa sehemu ya kanda ya pwani iliyokabidhiwa na sultan bargash kwa kampuni ya kampuni ya kijerumani kwa afrika ya mashariki ya karl peters mwaka pangani ilikuwa mahali palipoanzia vita vya bushiri dhidi ya utawala wa wajerumani mwakilishi wa kampuni ya kijerumani kwa afrika ya mashariki emil von zelewski alimtendea liwali wa sultani kwa ukali uliosababisha ghasia ya watu wa pangani na kuanzisha vita ya abushiri baada ya kukomeshwa kwa vita hii umuhimu wa pangani ulipungua sana kwa sababu meli kubwa kutoka ulaya hazikuweza kuinghia katika mdomo wa mto pangani mizigo na abiria walipaswa kuhamishwa kwa boti ndogo kutoka meli hadi mjini hivyo wajerumani walikazia maendeleo ya tanga penye bandari ya kina kirefu polepole pangani imerudi nyuma uhaba wa mawasiliano na barabara uliongeza mwendo huu hadi leo hakuna barabara ya lami kabisa katika wilaya yake miaka ya nyumba mahoteli mbalimbali katika mazingira ya pangani yameanza kutumia nafasi nzuri kwa utalii mwambaoni william tyndale alikuwa mwanatheolojia mwingereza kasisi ya kanisa na mtaalamu aliyetafsiri biblia mara ya kwanza katika kiingereza cha kisasa alizaliwa huko gloucestershire mnamo mwaka aliuawa vilvoorde brabant ubelgiji ya leo tarehe tafsiri yake ya biblia ilikuwa toleo la kwanza lililochapishwa kwa kutumia mitambo mapya ya uchapaji vitabu mawazo yake yalipingwa kwa nguvu zote na watawala na watu wa dini yalionekana kama upinzani wa kidini hivyo aliamua kukimbilia ujerumani kwa usalama wake huko alitafuta mchapishaji aliyetoa nakala ya kwanza ya agano jipya kwa lugha ya kingereza nakufuatiwa baadaye na agano la kale askofu kardinali wolsey alimtangaza kuwa mzushi lakini ilikuwa tendo la kupinga ndoa na talaka za mfalme wa uingereza henry viii ilikuwa sababu ya kifo chake henry viii alikasirika juu ya tyndale akamwomba kaisari karl v wa ujerumani kumkamata tyndale alishikwa huko brussels mji chini ya kaisari wakati ule akasoimamishwa mbele ya mahakama iliyotoa hukumu ya mauti wka sababu ya uzushi dhidi ya kanisa katoliki katika mji wa vilvoorde penye gereza lake alifungwa mtini akachongwa na mwili wake kuchomwa motoni pel jina lake halisi ni edison arantes do nascimento amezaliwa oktoba alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu kutoka brazili anahesabiwa na wengi kama waandishi wa habari na mashabiki kuwa mchezaji mzuri zaidi wa wakati wote alicheza kama mshambuliaji wa kati aliisaidia brazili kutwaa kombe la dunia na baadaye tena mwaka aliweka rekodi mwaka ya kuwa mchezaji mdogo kuliko wote duniani kucheza katika fainali ya kombe la dunia alipocheza akiwa na umri wa miaka alivuma sana katika miaka ya duniani kote mwaka alichaguliwa na shirikisho la mpira wa miguu duniani kuwa mchezaji bora wa karne kwa mujibu wa shirikisho la mpira wa miguu alikuwa mfungaji bora wa muda wote kwa kufunga magoli kati ya mechi ana wastani wa goli moja kwa kila mechi katika uchezaji wake wote katika kipindi cha uchezaji wake alikuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi duniani pel alianza kuichezea santos akiwa na umri wa miaka na timu ya taifa ya brazil akiwa na miaka katika ngazi za kimataifa alishinda kombe la dunia mara tatu na akiwa ni mchezaji wa pekee kufanya hivyo ni mchezaji wa kibrazili anayeongoza kwa magoli mengi zaidi kwa kufunga magoli kwenye mechi kwenye ngazi ya klabu ni mfungaji bora wa muda wote katika klabu ya santos na aliisaidia kubeba taji la copa libertadores kwa miaka ya na kwa mchezo wake wa haraka chenga zake na magoli yake ya ajabu yalimpa umaarufu duniani kote tangu alipostaafu mwaka pel amekuwa balozi wa mpira wa miguu duniani pel alikuwa na uwezo wa kuupiga mpira kwa mguu wowote ili kuwazidi ujanja wapinzani wake uwanjani akiwa bila mpira kwa muda mrefu hurudi nyuma na kufanya kazi ya kukabana kusambaza mipira na kutumia uwezo wake wa kupiga pasi kwa kutoa pasi za zinazozaa mabao na kutumia uwezo wake wa kukokota mpira kuwapita wapinzani brazil wanamuheshimu kama shujaa wa taifa kwa mchango wake wa kisoka na sera zilizosaidia katika kupunguza umaskini katika nchi hiyo katika uchezaji wake na mpaka kustaafu amepokea tuzo nyingi za timu na za binafsi kwa uwezo wake anapokuwa uwanjani na uvunjaji rekodi wake pel alizaliwa mjini trs coraes minas gerais brazil na ni mtoto wa mchezaji wa zamani wa fluminense dondinho mtoto wa joo ramos do nascimento na celeste arantes ni mkubwa kati ya watoto wawili alipewa jina la shujaa wa kimarekani thomas edison wazazi wake waliamua kuitoa herufi i na kumuita edson lakini kulikuwa na makosa kwenye cheti chake cha kuzaliwa kusababisha litumike jina la edison badala ya edson f amilia yake walimpa jina la dico alipewa jina la pel alipokuwa shule inaposemekana kuwa alishindwa kutamka jina la golikipa wa timu ya vasco da gama anayeitwa bil alivyozidi kulitamka ndivyo alivyozidi kuchapia pel aliwahi kusema hakujua maana ya jina hilo wala marafiki zake waliompa jina hilo lakini jina hilo lilitokana na jina la bil lakini kwa kiebrania maana yake ni maajabu lakini jina halina maana yoyote kwa kireno pel alikulia katika hali ya umaskini huko bauru kwenye mji wa paulo alijikusanyia fedha kidogo alipofanya kazi kwenye duka la chai alfundishwa kucheza mpira wa miguu na baba yake lakini hakuweza mara acheze na soksi iliyojazwa na magazeti au magada ya mapera huku akifunga na kamba amechezea klabu nyingi za vijana kama sete de setembro canto do rio so paulinho na amriquinha pel aliisaidia bauru athletic club klabu ya vijana ikifundishwa na waldemar de brito kushinda mataji mawili ya mashindano ya klabu za vijana za so paulo pel alishindana mashindano ya mpira wa miguu ya ndani ya chumba ambapo aliisaidia timu yake ya bauru pel aliwahi kukiri kuwa mashindiano hayo yana changamoto kubwa alisema kuwa kuwa mchezo huo ulikuwa wa haraka kidogo kuliko mpira wa miguu wa kwenye nyasi na kwamba mchezo huo ulihitaji uwezo mkubwa wa kufikiri haraka kwa kuwa kila watu wanakuwa karibukaribu ndani ya uwanja pel anauheshimu sana mchezo huo kwa kuwa ulimpa uwezo mkubwa wa kufikiri papo kwa papo anapokuwa uwanjani licha ya hivyo mchezo huo ulimpa uwezo wa kuchezaccredits indoor football for helpin na wakubwa zaidi rika lake alipokuwa na umri wa miaka katika kila mashindano aliyowahi kucheza alikuwa akichukuliwa kama mdogo asingeweza kucheza lakini kila mashindano yanapoisha yeye ndiye anayekuwa mfungaji bora akiwa na magoli kumi na nne au kumi na tano hicho kilinipa kujiamini zaidi pel alisemahapo nilijua kuwa nisiwe mwoga kwa chochote kile mwaka de brito alimpeleka pel santos mji wa viwanda na bandari karibu na so paulo alienda kwa majaribio kwenye klabu ya santos fc akiwaambia mabosi kuwa kijana wa miaka atakuwa mchezaji mkubwa duniani pel alimshangaza kocha lula wakati majaribio kwenye uwanja wa estdio vila belmiro na akasaini mkataba na klabu hiyo juni pel alitangazwa sana kwenye vyombo vya habari kuwa nyota wa baadae alianza vizuri septemba akiwa na umri wa miaka kwenye ushindi wa dhidi ya corinthians santo andre akishinda goli la kwanza wakati msimu wa ulipoanza pel alipewa nafasi katika kikosi cha kwanza akiwa na umri wa miaka akawa mfungaji bora wa ligi miezi kumi baadaye aliitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya brazil baada ya kombe la dunia la na klabu tajiri za ulaya kama real madrid juventus and manchester united walijaribu kutaka kumsajili mwaka iner milan walimsajili lakini angelo moratti ilimbidi akatishe mkataba huo baada ya mwenyekiti wa klabu ya santos kushambuliwa na shabiki wa kibrazili lakini mwaka serikali ya brazil chini ya rais jnio quadros ilisema kuwa pel ni mchezaji kivutio kwa nchi hivyo haruhusiwi kuhamishwa kwenda nje ya nchi pel alishinda taji kubwa kwa mara ya kwanza akiwa na santos mwaka ambapo timu ailishinda taji la campeonato paulista pel alimaliza mashindano akiwa mfungaji bora wa magoli rekodi inayoshikiliwa hadi sasa mwaka mmoja baaadaye aliisaidia nchi yake kushinda mabao dhidi ya vasco da gama kwenye michuano ya torneio rio so paulo santos hawakuwa na uwezo wa kushindana kwenye michuano hiyo mwaka pel alifunga magoli akiisaidia timu yake kurudi tena kwenye michuano ya campeonato paulista na kubeba taji hilo lakini walifungwa kwenye michuano ya rio so paulo baada ya kumaliza wakiwa nafasi ya nane kwenye msimu wa pel alifunga magoli na kuisaidia santos kubeba taji la campeonato paulista walisonga mbele na kubeba taji la taa brasil mwaka huohuo kwa kuwafunga bahia kwenye fainali kwenye fainali pel aliibuka mfungaji bora akiwa na magoli mwaka pele aliitwa mpira wa miguu bora katika amerika ya kusini mechi ya kwanza ya pel kimataifa ilikuwa dhidi ya argentina waliposhinda julai uwanja wa maracan kwenye mechi hiyo alifunga goli lake la kwanza akiwa na timu yake ya taifa akiwa na miaka na miezi tisa na anabaki kuwa mchezaji mdogo wa brazili kuwahi kufinga goli kwenye timu yake ya taifa pel alienda nchini sweden akiwa na jeraha la goti lakini wenzake walimtetea ili aitwe kwenye kikosi mechi yake ya kwanza ilikuwa dhidi ya ussr kwenye mechi ya tatu kwenye mzunguko wa kwanza wa kombe la dunia la mwaka ambapo alimpa pasi vav iliyozaa goli la pili alikuwa mchezaji mdogo kuliko wote kwenye michuano na mchezaji mdogo kuwahi kucheza kombe la dunia dhidi ya ufaransa kwenye nusu fainali brazili walikuwa wakiongoza mkoa wa tanga ni kati ya mikoa ya tanzania na uko kaskazini mashariki mwa nchi ukipakana na kenya upande wa kaskazini bahari hindi upande wa mashariki na mikoa ya morogoro manyara na kilimanjaro wenye postikodi namba mpaka upande wa kusini unafuata mto mligaji kuutenganisha na mkoa wa pwani makao makuu yako tanga mjini tanga ni kati ya mikoa midogo ya tanzania ikiwa na msongamano mkubwa wa wakazi ndani ya eneo lake msongamano ni mkubwa hasa wilaya ya lushoto kwenye ardhi yenye rutuba nzuri mkoa una eneo la km ambalo linaunganisha sehemu za pwani pamoja na milima ya ndani kama usambara eneo linalofaa kwa kilimo ni km kuna wilaya ambazo ni handeni vijijini handeni mjini kilindi korogwe vijijini korogwe mjini lushoto mkinga muheza pangani na tanga mjini kwa jumla hali ya hewa ni joto lenye unyevu handeni kuna joto kavu zaidi milima ya usambara hakuna joto sana miezi ya desemba machi halijoto huko tanga inafikia sentigredi mchana na usiku wakati wa mei hadi oktoba halijota inapoa ni sentigredi mchana na usiku unyevu iko juu kati ya asilimia na asilimia maeneo mengi ya mkoa hupokea angalau milimita za mvua kwa mwaka au zaidi pwani ni zaidi takriban milimita hadi ikipungua sehemu za ndani isipokuwa milima ya usambara ambako mvua inaweza kuzidi milimita kwa mwaka mwaka wakazi waliohesabiwa katika sensa walikuwa makabila makubwa mkoani tanga ni wasambaa wazigua wabondei na wadigo mengine ni wapare wataita wambugu wasegeju na wanago pia kuna waarabu wengiwengi wenye asili ya oman wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milima ya usambara muheza korogwe na lushoto kwa jumla ndio asilimia ya wakazi wote wa mkoa wazigua ni kabila kubwa huko handeni na sehemu za korogwe na pangani wabondei wako hasa muheza na sehemu za pangani wadigo ndio wengi tanga yenyewe na sehemu za pwani katika mkoa huu elimu inahitaji kuboreshwa zaidi hasa maeneo ya vijijini maana watu wengi wa mkoa huu hufanya shughuli zao za kimila hali hiyo huwafanya kushindwa kuendelea na shughuli za kimaendeleo katika taifa la tanzania wilaya ya handeni kuna machimbo ya madini ila kuhusu elimu ipo nyuma sana kwani mpaka sasa hakuna shule ya sekondari inayotoa huduma ya kidato cha tano na sita kama haitoshi shule za watu binafsi hakuna hata moja wakazi wengi hutegemea kilimo cha riziki pamoja na ufugaji na uvuvi mazao ya chakula hasa ni mahindi muhogo ndizi maharagwe na mpunga tanga ilikuwa na viwanda vingi kiasi katika miaka ya na lakini karibu vyote vimekwama kutokana na siasa ya ujamaa na uchumi wake ulioiga mfumo wa nchi za kisoshalisti viwanda vichache vilivyobaki havizalishi mali kulingana na uwezo wao kilichobaki hasa ni kiwanda cha saruji tanga utalii umeanza kupanuka kidogo hasa katika eneo la pangani mapango ya amboni na kituo cha makumbusho urithi tanga wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo afrika ya mashariki ya kijerumani au ya kidachi kwa kijerumani deutsch ostafrika doa kwa kiingereza german east africa ilikuwa jina la koloni la ujerumani huko afrika ya mashariki kati ya miaka na eneo lake lilijumlisha nchi za kisasa za tanzania bara yaani bila zanzibar burundi na rwanda ilikuwa koloni kubwa kabisa la dola la ujerumani eneo la koloni lilikuwa na kilomita za mraba pamoja na sehemu za maziwa makubwa kama ziwa tanganyika na ziwa viktoria eneo hili lilikuwa karibu mara mbili kuliko eneo la ujerumani wenyewe kabla ya mwaka mipaka iliamuliwa katika mapatano na uingereza ubelgiji na ureno zilizotawala makoloni ya jirani ya afrika ya mashariki ya kiingereza leo kenya na uganda kongo ya kibelgiji leo jamhuri ya kidemokrasia ya kongo rhodesia leo zambia na zimbabwe nyasaland leo malawi na msumbiji mipaka hii ni pia mipaka ya tanzania rwanda na burundi hadi leo hii katika mkataba wa kuhusu mipaka katika afrika uingereza iliahidi kumshawishi sultani wa zanzibar kuuza maeneo yake kwenye pwani la bara pamoja na kisiwa cha mafia upande wa kenya mstari ulichorwa kuanzia bahari hindi kwa mdomo wa mto umba hadi ziwa jipe halafu kufuata mitelemko ya kaskazini ya mlima kilimanjaro na kutoka hapa hadi ziwa viktoria mipaka na uganda ilifuata latitudo ya kwanza ya kusini ya ikweta hadi mpaka na kongo upande wa kongo mpaka ulifuata sehemu za chini za bonde la ufa na katikati ya maziwa kama kivu na tanganyika upande wa kusini ulifuata mstari kati ya ncha ya kusini ya ziwa tanganyika hadi mdomo wa mto songwe katika ziwa nyasa eneo lote la ziwa lenyewe lilibaki upande wa nyasaland ya kiingereza halafu mstari kutoka ziwa nyasa kwa kufuata mto ruvuma hadi rasi ya delgado kwenye bahari hindi jinsi ilivyo na mipaka ya kikoloni mistari hii ilikata mara nyingi maeneo ya makabila ya wenyeji mwaka takwimu ya wajerumani ilihesabu wakazi waafrika waasia wahindi na waarabu na wazungu kati yao wajerumani nusu ya wakazi wote waliishi katika eneo la maziwa makubwa ambako serikali ya kikoloni iliacha maeneo ya rwanda wakazi burundi na bukoba kama maeneo lindwa chini ya watawala wa kienyeji waliosimamiwa na afisa mkazi mjerumani koloni hilo halikuanzishwa kwa azimio la kisiasa upande wa serikali ya ujerumani bali lilianzishwa kama mradi wa watu binafsi waliotafuta makoloni katika afrika historia ya koloni ilikuwa na awamu tatu katika mapatano baada ya vita koloni liligawiwa kati ya uingereza iliyopata tanganyika na ubelgiji iliyopata rwanda na burundi kwa historia ya baadaye ilikuwa na maana ya kwamba walikabidhiwa maeneo ya koloni la kijerumani la awali si kama mali kamili lakini kama maeneo ya kudhaminiwa kwa niaba ya shirikisho la mataifa mtangulizi wa umoja wa mataifa un hadi mnamo mwaka serikali ya ujerumani chini ya chansella otto von bismarck ilikataa kuanzisha makoloni sehemu ya wafanyabiashara wajerumani walidai koloni walisikitika kuona faida za wenzao waingereza waliopata mara nyingi msaada kutoka kwa wanajeshi na serikali za koloni za uingereza hasa asia waliona pia faida ya viwanda vya uingereza vilivyokuwa na soko la kulindwa katika nchi kama uhindi kwa sababu serikali ya kikoloni ilidai kodi kali kwa bidhaa zisizotoka uingereza bismarck hakuamini ya kwamba koloni lingeleta faida kwa taifa kulingana na gharama kubwa kwa serikali lakini wapigania koloni walikuwa na wabunge muhimu kwa serikali na polepole bismarck alianza kukubali hatua za kwanza mwenyewe aliamini mwanzoni ya kwamba itatosha kuwapa wafanyabiashara ulinzi kwa shughuli zao kwa kuwaruhusu matumizi ya bendera ya ujerumani na kuwa na askari wao wa ulinzi kama wamepatana na viongozi wazalendo katika eneo fulani kuanzisha shughuli huko kwa njia hii alifungua mlango kwa harakati iliyoendelea kuwa mchango wa ujerumani katika mbio wa kugawa dunia hasa afrika koloni hili lilianzishwa na kijana mjerumani karl peters mwaka kwa niaba ya kampuni ya kijerumani kwa afrika ya mashariki peters aliyewahi kusoma chuo uingereza aliona wivu juu ya ukoloni wa uingereza akiamini ya kwamba ujerumani ungestahili nafasi hiyo pia hivyo alianza kudai koloni katika mikutano akaanzisha shirika kwa ukoloni wa kijerumani mwaka iliyokuwa kitangulizi cha kampuni shirika hii ilimtuma pamoja na wenzake wawili kwenda afrika na kutafuta nafasi ya kuanzisha koloni kiasili walilenga maeneo mpakani mwa msumbiji na zimbabwe ya leo lakini hatimaye waliamua kwenda afrika ya mashariki peters alifika zanzibar alipoambiwa na konsuli ya ujerumani ya kwamba hawezi kuendelea serikali ya nyumbani iliogopa ugomvi na uingereza ilikataa mipango yake aliamua kuvuka barani hata hivyo akafika saadani tarehe novemba na kufuata njia kando ya mto wami ili apite kanda la kizanzibari kwenye pwani na kutembelea machifu na masultani ndani ya bara hapo alifaulu kushawishi watawala wa maeneo yaliyojulikana kama usagara nguru useguha na ukami kutia sahihi kwenye mikataba iliyoandikwa kwa kijerumani ambayo hawakuielewa mikataba hii ilisema ya kwamba mtawala alikabidhi kwa kampuni nchi yake pamoja na haki juu ya ardhi na mali yote mwaka peters alirudi berlin na kuonyesha mikataba yake kwa magazeti na serikali chansela bismarck alikataa akacheka mikataba kama karatasi bila maana peters alitumia mbinu akatisha kupeleka mikataba yake kwa mfalme leopold ii wa ubelgiji aliyekuwa kununua haki zake hapa bismarck aliogopa kilio cha wapenda koloni akakubali kumpa peters hati ya ulinzi ya tarehe februari kwa maeneo yaliyokuwa ya kampuni kufuatana na mikataba peters na wawakilishi wake walirudi wakaendelea kutafuta machifu waliokuwa tayari kutia saini mikataba yake sultani wa zanzibar alipinga juhudi hizi zanzibar ilisimamia pwani ya afrika ya mashariki na tangu karne watu wa miji ya pwani walikuwa na mawali wa sultani zanzibar ilidai pia utawala ya bara hadi ziwa tanganyika na kongo ingawa hali halisi athira yake haikwenda mbali na njia za misafara ambako ndovu na watumwa walipelekwa pwani tarehe aprili serikali ya zanzibar ilituma barua berlin kupinga kazi na madai ya kampuni na kutangaza maeneo ya tanzania ya leo kama milki yake iliongeza pia wanajeshi wake barani zilizokuwa chini ya amri ya mwanajeshi mstaafu mwingereza matthews hapo serikali ya berlin ilituma kikosi cha manowari kwenda bahari hindi mwezi agosti manowari za kijerumani chini ya amri ya admirali eduard von knorr zilifika mbele ya unguja zikalenga mizinga yao kwa ikulu ya sultani akishauriwa na balozi wa uingereza sultani bargash alipaswa kutoa tamko kuwa kutokana na madai tunayopelekewa kwa matishio na kaisari wa ujerumani tunatambua ulinzi wa ujerumani juu ya nchi za usagara nguru useguha ukami na juu ya wilaya ya witu mipaka yake itaelezwa baadaye na sisi tunatambua ulinzi wa kaisari juu ya mahali palipotajwa sultani alipaswa pia kutia sahihi mkataba wa biashara na ujerumani alipokubali haki nyingi kwa wajerumani katika milki yake mwaka uingereza na ujerumani walipatana juu ya maeneo ya masilahi yao katika afrika ya mashariki hapa walielewana kuhusu mstari kati ya mdomo wa mto umba kati ya tanga na mombasa hadi nukta ambako latitudo ya kusini inakata mwambao wa ziwa viktoria nyanza sultani alipaswa kukubali tena katika mapatano hayo sultani alibaki na visiwa vya unguja pemba mafia na funguvisiwa ya lamu pamoja na kanda la pwani barani lenye upana wa maili kati ya mto ruvuma upande wa kusini na mto tana upande wa kaskazini halafu miji ya kismayu barawa merka na mogadishu upande wa kaskazini zaidi mapatano ya yaliwapa wajerumani nafasi ya kuendeleza upanuzi barani nyuma ya kanda la pwani la kizanzibari na mstari wa mpaka ulichorwa kuanzia mdomo wa mto umba kupitia mlima kilimanjaro hadi ziwa viktoria lakini kwa ajili ya matumizi ya kibiashara suala la mabandari bado lilibaki wazi hapo peters na kampuni yake walianza kujadiliana na sultani seyyed bargash alitawala hadi kuhusu utawala wa pwani katika sehemu ya tanganyika mnamo mwaka bargash alikuwa amechoka alitafuta pesa tu kwa ajili yake binafsi alikuwa tayari kukodisha utawala wa kanda la pwani ya tanganyika kwa wajerumani wajerumani walidai kuongezeka haki na bargash alikufa bila kumaliza mapatano lakini mwandamizi wake sultani seyyed khalifa aliwapa wajerumani walichotaka tarehe agosti wawakilishi wa kampuni ya kijerumani walifika kwenye mabandari yote wakatangaza utawala wao kwa niaba ya sultani tazama vita ya abushiri badiliko hili lilisababisha upinzani na hatimaye ghasia ya wenyeji vipengele vya mkataba vilisema mali isiyokuwa na hati za kimaandishi haiwezi kutambuliwa wenye mali kama mashamba walitakiwa kununua hati kutoka kwa watawala wapya hapo waswahili wa pwani walijisikia wamesalitiwa na sultani asiyekuwa na haki ya kuchukua mali zao na kuzipa kwa wageni mara baada ya kufika kwa wajerumani kwenye miji ya pwani ghasia ilianza mjini pangani na kuenea haraka kote pwani kati ya tanga na lindi kampuni ilikuwa na wajerumani wachache tu walioshindwa kujitetea walipaswa kukimbia au wakauawa bagamoyo pekee palikuwa na kikosi cha askari kutoka manowari ikatetewa serikali ya ujerumani iliona lazima kuingia kati na kutuma manowari pamoja na askari waliokandamiza ghasia bismarck alitumia mbinu wa kupata kura za bunge alizohitaji kwa ajili ya gharama ya vita hiyo alipeleka sheria bungeni kuwa ujerumani unatoa mark milioni kwa kupambana na biashara ya watumwa na ulinzi wa manufaa ya kijerumani sasa alimtuma afisa wa jeshi mwenye maarifa ya afrika hermann von wissmann aliyeajiri maafisa na wanajeshi wajerumani kwa jumla watu wakaelekea afrika ya mashariki njiani walipopita misri waliajiri askari waliostaafishwa wasudani waliongeza baadaye askari wazulu kutoka msumbiji na kuwaunganisha kuwa kikosi cha wissmann kilichofaulu kushinda upinzani wote kwa msaada wa silaha za kisasa na manowari za ujerumani baada ya upinzani wa wenyeji wa pwani mwaka wakiongozwa na abushiri na bwana heri serikali ya ujerumani iliamua kutwaa mamlaka kutoka kwa kampuni na kufanya eneo lote kuwa koloni la dola la ujerumani badala ya shirika maeneo ya kampuni yalikuwa rasmi koloni la serikali tarehe januari koloni lilisimamiwa na gavana magavana wa kijerumani walikuwa wafuatao utawala wa kijerumani ulikwisha katika vita kuu ya dunia ya kwanza kutokana na uvamizi wa uingereza na ubelgiji katika mkataba wa versailles mwaka eneo la koloni la kijerumani liligawiwa sehemu ya tanganyika ilikabidhiwa kwa uingereza na maeneo ya rwanda na burundi yaliwekwa chini ya ubelgiji eneo lote la koloni liligawiwa katika mikoa na maeneo matatu yaliyokuwa bado chini ya watawala wenyeji kwa mfumo wa maeneo lindwa hadi mikoa ilikuwa chini ya utawala wa kiraia yaani chini ya maafisa wa serikali ya kikoloni mikoa miwili ya iringa na mahenge ilikuwa bado chini ya utawala wa kijeshi yaani hapo walikuwa maafisa wa schutztruppe waliotekeleza majukumu yote ya serikali mikoa chini ya usamimizi wa maafisa wajerumani wa kiraia ilikuwa mikoa ya kijeshi jer militrbezirke chini ya usimamizi wa maafisa wa kijerumani wa kijeshi maeneo lindwa jer residentur chini ya watawala wenyeji waliopaswa kufuata ushauri wa afisa mkazi mjerumani jer resident bukoba pamoja na vituo vya kijeshi usuwi na kifumbiro kwa ajili ya watawala wa wahaya rwanda mji mkuu kigali kituo cha kijeshi mruhengeri burundi mji mkuu gitega pamoja na ofisi ndogo usumbura bujumbura infobo collage for wwii png vita kuu ya pili ya dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka hadi kati ya ujerumani italia japani na mataifa yaliyoshikamana nazo romania hungaria na bulgaria dhidi ya nchi nyingi za dunia ziliitwa mataifa ya ushirikiano kati yake hasa uingereza uchina urusi na marekani jina limetokana na vita ya miaka iliyoona mapambano kati ya ujerumani na wenzake dhidi ya nchi nyingi vita ya iliitwa vita kuu ya dunia kwa sababu mapigano yalienea pande nyingi za dunia tofauti na vita zilizotangulia kwa namna fulani vita iliyoanza ilikuwa marudio ya vita iliyotangulia hivyo imekuwa kawaida kuzitaja vita hizi kama vita kuu ya kwanza na ya pili ya dunia vita hii ilianza huko ulaya tarehe septemba kwa mashambulizi ya wajerumani dhidi ya poland wengine huhesabu mashambulizi ya japani dhidi ya uchina tarehe julai kuwa mwanzo wa vita mwisho wake ulikuwa huko ulaya tarehe mei halafu huko asia tarehe septemba mashambulizi ya wajerumani dhidi poland yalisababisha hali ya vita kati ya ujerumani kwa upande moja na ufaransa na uingereza kwa upande mwingine waliokuwa na mkataba wa kulindana na poland serikali za australia new zealand nepal afrika kusini na kanada zilishikamana na uingereza kwa kutangaza vita dhidi ya ujerumani urusi uliokuwa na mkataba wa siri na ujerumani ulichukua nafasi ya kuteka sehemu kubwa za poland ya mashariki mwezi wa aprili waingereza walianza kupeleka wanajeshi norway wakiwa na shabaha ya kuzuia kupelekwa kwa madini ya chuma kutoka sweden kwenda ujerumani kupitia bandari za norway wajerumani walichukua nafasi hii kuteka denmark na norway na kufukuza waingereza mnamo mei wajerumani walishambulia ufaransa pamoja na nchi za uholanzi ubelgiji na luemburg vita hii ilikwisha haraka wajerumani walishinda na kupiga pia kikosi cha waingereza huko ufaransa baadaye walisitasita kushambulia uingereza yenyewe mipango yao ilihitaji mbinu za kuvuka bahari wakajaribu kuvuruga nguvu ya kijeshi ya waingereza kwa mashambulizi ya ndege lakini hawakuwa na uwezo wa kutosha katika shambulizi dhidi ya ufaransa waitalia walishiriki upande wa wajerumani mwisho wa mwaka waitalia walianza kuwashambulia ugiriki na jeshi la waingereza huko misri na malta lakini mahali pote walirudishwa nyuma hadi dikteta mjerumani adolf hitler aliamua kuwasaidia waitalia na kupeleka wanajeshi wajerumani kwenda afrika ya kaskazini pamoja na ugiriki mwaka hii ilisababisha pia wajerumani kuteka yugoslavia wakiwa njiani kwenda ugiriki mwaka wa uliona vita kubadilika kutoka vita ya kiulaya kuwa vita ya kidunia wajerumani walishambulia urusi wakifika hadi kando ya mji mkuu moscow lakini walishindwa kuiteka walikamata eneo lote la kusini mwa urusi hadi milima ya kaukazi na hadi mto volga wajapani walishambulia marekani pamoja na makoloni ya waingereza na waholanzi huko asia hitler alitangaza pia vita dhidi ya marekani akitaka kuwasaidia wajapani ingawa japan haikushambulia urusi katika miaka iliyofuata nguvu ya ujerumani na japani ilipungua hasa uwezo wa kiuchumi wa marekani ulizalisha mitambo na silaha kwa mkasi usiopatikana kwa wajerumani na wajapan ukali wa utetezi wa warusi ulichosha nguvu za wajerumani kuanzia mwaka mataifa ya ushirikiano yalianza kusogea mbele pande zote warusi walisukuma wajerumani polepole warudi nyuma waamerika na waingereza walipeleka wanajeshi italia ya kusini italia ilifanya mapinduzi dikteta mwitalia mussolini aliondolewa madarakani na serikali mpya ilijiunga na mataifa ya ushirikiano mwaka askari wa mataifa ya ushirikiano waliingia ufaransa wakielekea ujerumani wakati huohuo warusi walisogea mbele zaidi wakikaribia mipaka ya ujerumani huko asia japan ilipoteza sehemu kubwa sana ya meli zake za kivita na jeshi la marekani lilikaribia visiwa vya japani tayari mwaka iliona mwisho wa vita mataifa mengi yaliyokuwa mbali kama argentina peru au mongolia yalitangaza pia hali ya vita dhidi ya ujerumani na japani pia nchi zilizowahi kushikamana na wajerumani waligeukia mataifa ya ushirikiano ujerumani yenyewe ilivamiwa kutoka magharibi na mashariki warusi walifika mji mkuu wa berlin na adolf hitler alijiua tarehe aprili wanajeshi wake walitia sahihi mkataba wa kusalimu amri tarehe mei huko asia japani iliendelea kupigana na waamerika walioweza kufikisha ndege zao zilizobeba mabomu hadi japani yenyewe mnamo agosti waamerika walitumia silaha mbili za kinyuklia walizokuwa nazo wakati ule na kuua watu wengi sana huko hiroshima tarehe agosti na nagasaki tarehe agosti siku zilezile warusi walianza kuwashambulia wanajeshi wajapani huko uchina haya yote yalisababisha serikali ya japani kukubali wameshindwa wakatia sahihi mkataba wa kusalimu amri tarehe septemba kwa jumla takriban watu milioni walikufa kutokana na vita hivi makadirio hutaja wanajeshi milioni na raia milioni taifa lililopoteza watu wengi ni urusi walipokufa kati ya milioni idadi kubwa wakiwa raia takriban watu milioni waliuawa na wajerumani au walikufa kutokana na kutendewa vibaya nje ya mapigano kama vile milioni za wayahudi wengine wapoland warusi wasinti walemavu n k tokeo mojawapo la vita kuu ya pili ni kuanzishwa kwa umoja wa mataifa uliundwa mwaka kama chombo cha kuzuia vita zijazo kutokana na historia hiyo mataifa yenye nafasi za kudumu na kura ya veto katika baraza la usalama ndiyo mataifa washindi wa vita kuu ya pili marekani uchina ufaransa ufalme wa muungano na urusi kutokana na kura ya veto hawawezi kuondolewa bila kukubali wenyewe hata kama siku hizi ufaransa na ufalme wa muungano si tena nchi muhimu sana duniani mtwara ni jina la mji na mkoa wa tanzania wenye postikodi namba wanawake wanazidi wakiwa asilimia ya wakazi wote kwa sababu wanaume wengi hutoka nje kutafuta kazi kati ya makabila ya mtwara ndio wamakonde wanaojulikana zaidi kutokana na sanaa yao ya uchongaji wa ubao hasa mpingo kuna wilaya mtwara mjini pia huitwa mikindani mtwara vijijini masasi nanyumbu newala na tandahimba ndani yake kuna tarafa kata na vijiji mtwara iko kati ya mikoa iliyobaki nyuma miaka mingi kutokana na ugumu wa mawasiliano na barabara isiyopitika kwa sehemu kubwa ya kila mwaka historia ya mtwara inakuja sambamba na kumbukumbu la jaribio la waingereza la kuanzisha mradi mkubwa wa maendeleo katika eneo hili ulioshindikana kabisa kuanzia mwaka serikali ya kikoloni ilijenga bandari ya mtwara pamoja na reli vilevile mtwara mjini ilipangwa vizuri na kubwa sababu yake ilikuwa mpango wa kuanzisha kilimo cha mashamba makubwa kwa ajili ya karanga hasa zilizohitajika kwa ajili ya mahitaji ya waingereza ya mafuta ya kupikia mradi huo ulishindikana kabisa pesa nyingi zilipotea hadi mradi ulifutwa kabla ya tanzania kupata uhuru reli iliondolewa tena mwaka bandari imebaki ambayo haijaona kazi nyingi lakini bado ina faida ya kuwa na nafasi nzuri sana ya kupokea meli kubwa wakati wa mapambano dhidi ya serikali ya ubaguzi wa rangi katika afrika kusini mipango mbalimbali ilitungwa kutengeneza njia ya kupeleka bidhaa kutoka bandari ya mtwara kwenda songea na kutoka huko malawi kwa kuvuka ziwa nyasa baada ya kujengwa kwa daraja juu ya mto rufiji mwaka kuna matumaini mpya ya kuwa na barabara inayotumika kati ya mtwara na dar es salaam eneo la mnazi bay ina gesi inayoweza kutumika kwa mahitaji ya nishati ya eneo lote tegemeo kubwa la uchumi kwa mkoa wa mtwara ni kilimo hasa ikitegemea zao la korosho kwa wakulima wa wilaya zote za mkoa kwa miaka ya karibuni wilaya ya tandahimba na masasi ndizo zimekuwa wazalishaji wa kiwango cha juu wa korosho pia mfumo wa stakabadhi ghalani umesaidia kwa kiasi fulani kwa miaka ya awali ya uanzishwaji mfumo huo msimu wa kwa miaka iliyofuata vyama vya msingi vimeonekana kuelemewa na mfumo huo na kusababisha sintofahamu inayoweza kurekebishwa kwa kuwahusisha wadau wote wa zao la korosho wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo kwa matumizi mengine ya jina hili tazama kilwa kilwa kisiwani ni jina la kijiji kikubwa kwenye kisiwa cha kilwa karibu na mji wa kilwa masoko katika mkoa wa lindi tanzania ndipo mahali pa mji wa kilwa ya kihistoria iliyokuwa mji mkubwa kabisa kati ya miji ya waswahili katika pwani ya afrika ya mashariki wakati wa karne ya hadi karne ya bk kuanzia karne ya kilwa ilikuwa kituo muhimu cha biashara kuanzia karne ya na kilwa ikawa muhimu kuliko mombasa biashara yake ilikuwa dhahabu kutoka dola la mwene mtapa zimbabwe pembe za ndovu chuma nazi pamoja na kununua bidhaa kutoka bara hindi na uchina sarafu ya dhahabu kutoka kilwa imepatikana huko zimbabwe kuu majengo makubwa yalijengwa yakiwa magofu yao yamesimama hadi leo kama vile msikiti mkuu nyumba ya kifalme ya husuni kubwa na mengine mengi kuja kwa wareno katika karne ya ilivuruga biashara ya waswahili kilwa ikarudi nyuma katika karne ya na ya ikapata upya nguvu ya kiuchumi kutokana na biashara ya watumwa mwisho wa biashara hiyo ulimaliza utajiri wa kilwa leo hii kilwa kisiwani ipo katika eneo la tanzania lisilotembelewa kwa urahisi hata hivyo kisiwa ni kati ya hifadhi za kiutamaduni muhimu sana za tanzania hata imeandikishwa katika orodha ya unesco ya urithi wa dunia world heritage katika wilaya hiyo kuna mahali pengine pa urithi wa dunia selous jamhuri ya kongo ni nchi ya afrika ya kati imejulikana pia kama kongo brazzaville kutokana na mji mkuu kwa kusudi la kutoichanganywa na nchi jirani ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo jamhuri ya kongo imepakana na gabon kamerun jamhuri ya afrika ya kati jamhuri ya kidemokrasia ya kongo angola na bahari ya atlantiki nchi ilikuwa koloni la ufaransa hadi tarehe agosti wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani na ya wabilikimo katika karne za bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi waliotawala eneo lote na kuendesha biashara katika beseni ya mto kongo baadaye eneo hilo lilikuwa sehemu ya koloni la afrika ya kiikweta ya kifaransa baada ya uhuru tarehe agosti nchi ilitawaliwa na wakomunisti tangu mwaka hadi kuanzia mwaka zilifanyika chaguzi kwa mfumo wa vyama vingi lakini mwaka vilitokea vita vya wenyewe kwa wenyewe rais denis sassou nguesso ametawala miaka kati ya ya mwisho sehemu kubwa ya nchi ni misitu hivyo wakazi wengi wanaishi mijini upande wa kusini magharibi wa nchi kati yao ni wa kabila la wakongo wasangha wateke wam bochi ni wabilikimo nchi ina lugha tofauti zikiwemo lugha za taifa kingala na kikongo kituba hata hivyo lugha rasmi ni kifaransa wakazi wengi ni wakristo wakiwemo waprotestanti na wakatoliki ingawa asilimia zinazotajwa hazilingani waislamu ni wafuasi wa dini asilia za kiafrika ni na wa baha i ugali ni chakula kinacholiwa na jamii za kiafrika chakula hiki chenye virutubisho vya wanga hutokana na unga wa nafaka kama mahindi mtama uwele au muhogo ugali hutayarishwa kwa njia ifuatayo kwanza unachemsha maji kwenye sufuria baada ya kuchemka unachanganya unga kidogo na maji ya baridi pembeni kisha tia mchanganyiko huo kwenye maji ya moto yaliyo jikoni huku ukikoroga utatokea mchanganyiko wa unga na maji ambao unaitwa uji acha uji huo uchemke kwa muda kisha tia unga kiasi kulingana na uji wako huku ukisonga kwa kutumia mwiko endelea kusonga mpaka mchanganyiko ushikamane mchanganyiko huu ndio hutoa ugali kimaeneo kuna aina mbalimbali za ugali kutegemeana na aina za mazao yanayopatikana ugali huweza kuliwa na mboga ya aina yoyote kama vile mboga majani sukumawiki samaki na nyama kawaida ugali huliwa kwa mikono mitupu tonge la ugali hufinyangwa kwa mkono kisha kuchovya kwenye maziwa au mchuzi wa maharage samaki au nyama ya ng ombe ugali mapishi yake na jinsi unavyoliwa hufanana kwa kiasi fulani na foufou toka afrika magharibi na polenta toka italia ugali hujulikana kama nshima nchini zambia au nsima nchini malawi mji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora mfano nchini tanzania mji mkubwa ni dar es salaam ingawa makao makuu ni dodoma kuna nchi ambako mji mmoja umeteuliwa kuwa mji mkuu katika katiba au kwa sheria fulani kumbe kuna nchi nyingine ambako hakuna sheria yoyote lakini makao makuu yanaeleweka yapo mji fulani nchi kadhaa zimeteua mji fulani kuwa mji mkuu kwa shabaha ya kubadilisha mwendo wa nchi au kama jaribio la kusahihisha historia yake nchi mbalimbali zilizowahi kuwa koloni zimeamua kuanzisha mji mkuu mpya kwa sababu mji mkuu wa kikoloni uliteuliwa kutokana na mahitaji ya nchi tawala ya zamani si kutokana na mahitaji ya nchi huru yenyewe wakati wa ukoloni mara nyingi mji kwenye pwani penye bandari uliteuliwa kuwa mji mkuu sababu yake ni ya kwamba kwa ajili ya maafisa wa kikoloni mawasiliano na nyumbani kwao yalikuwa muhimi sana kushinda mawasiliano na sehemu zote za nchi ya koloni yenyewe wakati wa ukoloni usafiri ulikuwa kwa meli hivyo kipaumbele cha mabandari katika fikra za kisiasa na za kiuchumi sababu muhimu ya kuwa na koloni ilikuwa nafasi ya nchi tawala kujipatia malighafi katika koloni na kuuza bidhaa zake yote yalitegemea mabandari hasara ya chaguo lile ilikuwa ya kwamba mara nyingi mabandari ni kando kabisa katika nchi zao watu wengi wako mbali na mji mkuu brazil hapo wabrazil wamehamisha mji mkuu kutoka rio de janeiro uliyoko pwani na kandokando la eneo la brazil kwenda mji mpya wa braslia kuanzia mwaka brasilia ilijengwa mahali pasipo na mji katika miaka bk kwa nia hiyohiyo tanzania iliamua kuhamisha mji mkuu kutoka dar es salaam uliyoko pwani la bahari hindi kwenda dodoma iliyoko katikati ya tanzania uhamisho huu umepangwa tangu na kutangazwa rasmi mwaka kuanzia mwaka serikali ya rais magufuli ilihamisha atimaye ofisi kuu za wizara zote kwenda dodoma hata hivyo kuna bado ofisi nyingi zilizobaki dar es salaam uturuki iliamua kuhamisha mji mkuu kutoka istanbul kwenda ankara istanbul iliwahi kuwa kwa karne nyingi mji wa masultani tena mji wa kimataifa mapinduzi ya yalimaliza utawala wa sultani na kutangaza uturuki kuwa jamhuri pia istanbul imekuwa kandokando ya eneo la uturuki baada ya vita kuu ya kwanza kwa sababu sehemu za magharibi zilikuwa zimepotea na kuchukuliwa na wagiriki na wabulgaria hivyo ankara iliteuliwa iliyoko katikati ya uturuki mpya baada ya vita urusi ilihamisha mji mkuu mara mbili mwaka tsar mfalme mrusi peter aliamua kujenga mji mpya katika pembe la magharibi kabisa ya nchi akahamisha mji mkuu kutoka moscow kwenda st peterburg mpya tsar peter aliona nchi yake ilikuwa imebaki nyuma akitaja kuleta maendeleo kwa kuiga mfano wa ulaya ya kati na ya magharibi mji mpya ya st peterburg ilipangwa kuwa dirisha la urusi la kutazama magharibi baada ya mapinduzi ya wakomunisti waliamua kufanya moscow iwe mji mkuu kuanzia mwaka sababu yake ni nafasi ya moscow iliyoko ndani zaidi ya eneo la urusi yenyewe nchi kadhaa zinazofuata muundo wa serikali ya shirikisho zimeamua kujenga mji ulioko katika wilaya au mkoa wa shirikisho ili mji mkuu usiwepo katika eneo la mkoa au dola la shirikisho fulani marekani iliteua eneo la mkoa wa colombia kuwa mahali pa mji mpya wa shirikisho ulioitwa baadaye kwa jina la raisi wa kwanza washington mkoa wa colombia si sehemu ya dola lolote la shirikisho la marekani mji wa washington d c na mkoa wa colombia ni eneo lilelile australia ilijenga mji mkuu mpya kwa sababu miji mikubwa ya sydney na melbourne yote yalitaka kuwa mji mkuu wa kitaifa wa shirikisho la australia mwaka eneo la canberra lililokuwa mashambani wakati ule liliteuliwa ujenzi wa mji mpya ulianza mwaka na serikali pamoja na bunge ilihamia canberra mwaka dola la shirikisho la new south wales lilikabidhi eneo la mji mkuu wa shirikisho lililokuwa eneo la pekee chini ya bunge la australia moja kwa moja nigeria iliamua mwaka kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi eneo la mji mkuu wa shirikisho limeteuliwa mji mpya wa abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa nigeria mwaka afrika kusini ina miji mikuu mitatu kikatiba pretoria ndipo makao makuu ya serikali cape town ndipo makao makuu ya bunge bloemfontein ndipo makao makuu ya mahakama kuu bolivia ina mji mkuu rasmi katika jiji la sucre lakini ofisi nyingi za serikali ya kitaifa zimehamia mji mkubwa wa nchi la paz cte d ivoire imetangaza yamoussoukro kuwa mji mkuu wa taifa lakini hadi leo ofisi za serikali zimebaki abidjan jamhuri ya kidemokrasia ya kongo au kongo kinshasa ni nchi iliyoko afrika ya kati kwa ukubwa wa eneo ni ya pili barani afrika ni tofauti na nchi jirani ya jamhuri ya kongo nchi imepakana na jamhuri ya kongo jamhuri ya afrika ya kati sudan kusini uganda rwanda burundi tanzania zambia na angola ina sehemu ndogo ya pwani kwenye bahari ya atlantiki sehemu hiyo inatenganisha eneo la cabinda kutoka maeneo mengine ya jamhuri ya angola eneo lote ni la kilometa mraba na linafanya kongo iwe nchi ya duniani kwa ukubwa wa eneo wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani na ya wabilikimo katika karne za bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi jina la kongo lahusiana na mto kongo unaopitia nchi yote mnamo karne ya wakati wapelelezi wa kwanza wareno walipofika kwenye pwani za afrika milki kubwa katika nchi ya kongo ya magharibi pamoja na angola ya kaskazini ilikuwa ufalme wa kongo wakati wa uenezaji mkuu ufalme huu ulianza kwenye mwambao wa atlantiki na kuendelea hadi mto kwango kwenye mashariki halafu maeneo kutoka pointe noire leo jamhuri ya kongo upande wa kaskazini ya cabinda upande wa kaskazini hadi mto loje leo mji wa ambriz katika kusini mtawala alikuwa na cheo cha manikongo na ufalme uligawiwa kwa majimbo sita baada ya kufika kwa wareno wafalme na matabaka ya juu walikuwa wakristo ufalme uliporomoka kutokana na vita vilivyosababishwa na biashara ya watumwa na kuingilia kwa wafanyabiashara ya watumwa katika siasa ya ndani hata hivyo nasaba za watawala waliotumia cheo cha awenekongo waliendelea kukaa katika mji mkuu wa kale m banza kongo iliyobadilishwa jina kuitwa san salvador hadi mwaka ambako wareno walifuta mabaki ya uhuru na kufanya eneo lililobaki sehemu kamili ya koloni lao la angola upande wa kusini kuanzia karne ya kulikuwa na ufalme ulioitwa dola la kazembe nchi jinsi ilivyo ilianzishwa kama dola huru la kongo likiwa mali binafsi ya mfalme leopold ii wa ubelgiji historia yake ni ya aibu na ya ukatili kupindukia utawala wa mfalme ulionekana kuwa wa kinyama na upinzani dhidi yake ulikua katika nchi nyingi za dunia hatimaye alipaswa kukabidhi koloni lake binafsi mikononi mwa serikali ya ubelgiji iliyomlipa fidia kwa mali aliyoacha kati ya mwaka hadi ilikuwa koloni la ubelgiji kwa jina la kongo ya kibelgiji baada ya kuhamishiwa mikononi mwa serikali ya ubelgiji katika miaka hadi maeneo ya rwanda na burundi yalitawaliwa kama sehemu za kongo ya kibelgiji wabelgiji walijitahidi kuboresha hali ya maisha ya wenyeji baada ya miaka mibaya ya leopold ii nia ilichelewa kuonekana hali halisi kwa sababu utaratibu wa kulazimisha waafrika kufanyia kazi kampuni na shirika kubwa iliendelea hata bila idhini ya serikali mpya ukadai vifo vingi kwenye uwanja wa elimu matibabu na mawasiliano jitihada za siasa mpya zilionekana zaidi kongo ilikuwa kati ya nchi chache ambako lugha za kienyeji zilifundishwa shuleni kwa sababu shule nyingi ziliendshwa na wamisionari kwa upande mwingine ubaguzi wa rangi uliwaruhusu waafrika wachache sana kufikia ngazi za juu za elimu makampuni makubwa ya migodi kama vile socit gnrale na union minire du haut katanga yalichimba madini hasa katika jimbo la katanga makampuni haya yalikuwa na athira kubwa katanga ilikuwa maarufu kwa shaba iliyochimbwa huko halafu pia kwa uranium iliyotumiwa kwa mabomu ya kwanza ya kinyuklia ya marekani mwaka baada ya unyama wa miaka ya leopold ii upinzani dhidi ya utawala wa kikoloni ulikuwa hafifu kuanzia miaka ya wakongo wengi walionyesha upinzani huo katika mahudhurio katika madhehebu mapya ya wafuasi wa simon kimbangu yaliyopigwa marufuku na wabelgiji kuanzia mwaka tangu mwaka upinzani uliongezeka na kuonyesha pia uso wa kisiasa wabelgiji ambao hawakujiandaa kwa madai hayo yalipaswa kukubali uchaguzi wa halmashauri za vijiji na miji mwaka mwaka vyama vya kisiasa vilikubaliwa harakati mbili muhimu kati ya hivi zilikuwa abako alliance de bakongo chini ya joseph kasavubu na mnc mouvement national congolais chini ya patrice lumumba mwaka mkutano wa wanasiasa wakongo ulidai uhuru wa nchi wabelgiji walijaribu kuchelewesha harakati hizo lakini baada ya kutambua matatizo serikali ya ubelgiji ilitangaza mnamo januari kuwa uchaguzi utaendeshwa haraka na baada ya miezi sita wabelgiji watakabidhi nchi kwa wenyeji chama cha patrice lumumba kilishinda kwa kura nyingi naye akawa kiongozi wa kwanza wa nchi huru kama waziri mkuu koloni la kongo ya kibelgiji lilipata uhuru tarehe juni kati ya oktoba na mei chini ya utawala wa dikteta mobutu nchi ilijulikana kwa jina la zaire leo hii ni jamhuri ya kidemokrasia ya kongo nchi imegawiwa katika mikoa kadiri ya katiba mpya na utekelezaji wake wa mwaka mwaka wakazi walikuwa idadi hiyo ni ya kati ya nchi zote za afrika baada ya nigeria ethiopia na misri wakazi asilia ni wabilikimo ambao kwa sasa ni kumbe walio wengi ni wabantu kifaransa ni lugha rasmi ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo ilikuwa lugha ya utawala ya koloni ikaendelea kutumiwa kama lugha isiyoelekea upande wowote kati ya makabila lugha na tamaduni za nchi hii lugha ya kiholanzi iliyotumiwa na wabelgiji pamoja na kifaransa katika utawala haitumiki tena kwa jumla kuna takriban lugha hasa lugha za kibantu zinazozungumzwa nchini angalia orodha ya lugha kati yake lugha zinatambuliwa kama lugha za kitaifa nazo ni kikongo kituba kingala kongo kiluba tshiluba na kiswahili wakati wa ukoloni lugha hizo nne za kitaifa ziliwahi kutumiwa kieneo katika shule za msingi kingala kilikuwa lugha rasmi ya jeshi la kikoloni liloitwa force publique chini ya utawala wa ubelgiji likaendelea kuwa lugha ya jeshi la jamhuri baada ya uhuru tangu mapinduzi ya sehemu za jeshi hasa mashariki hutumia pia kiswahili takriban wanatumia kifaransa kama lugha ya kwanza au lugha ya pili wananchi wengi zaidi ya wanajihesabu wakristo wa madhehebu mbalimbali kati yao asilimia ni wakatoliki waislamu ni asilimia wafuasi wa dini asilia za kiafrika ni mkoa wa mara ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba zaidi ya wa sensa ya kuna wilaya zifuatazo katika mkoa wa mara bunda serengeti tarime rorya butiama musoma mjini na musoma vijijini sehemu kubwa ya hifadhi ya wanyama ya serengeti iko ndani ya mkoa wa mara makabila ya mara ni mengi kuliko mikoa yote ya tanzania kama vile waluo wajita waruri wazanaki wakuria wakabwa wakiroba wasimbiti wangoreme wakwaya waikoma wanata waisenye waikizu wasizaki wasukuma wataturu na makabila madogo kama wanandi wakisii au wamaragori kuna jumla ya makabila yanayodai kujitegemea ethnic groups claiming to be independent jamii zinazosahaulika huunganishwa katika kundi la suba wategi ambao pia huitwa abhathegi maarufu kama abhagirango waugu ugu warieri wakine wasweta na waganjo wagire wakiseru wakamageta na waturi baadhi ya jamii hizi zilimezwa na mila lugha na desturi za waluo zikaitwa suba luo katika kipindi cha utawala wa dc engram aliyekuwa wilaya ya mara kaskazini north mara baadhi ya jamii kwa upande wa kenya iliyotawaliwa na waingereza katika wilaya za kuria na south nyanza huitwa suna wagwasi ungoe kajulu na kadem hata hivyo habari hizi bado zinafanyiwa utafiti kuangalia muingiliano wa lugha na tofauti za kilahaja kati ya jamii moja na nyingine hasa zilizopo tanzania itakumbukwa jamii nyingi ziliingia upande ulioitwa south nyanza kabla ya nchi za afrika mashariki kupata uhuru zipo tafiti nyingi siku hizi ambazo zinajaribu kubainisha makundi ya jamii hizo lakini muingiliano bado haujapata ufafanuzi makini kimsingi mkoa wa mara una jamii hizo zipatazo lakini lugha kuu ni saba tu na nyingine ni lahaja kutokana na makundi ya lugha hizi luo kuria sukuma suba shashi zanaki na taturu yapo makundi ya wanata waisenye na wataturu wazanaki kundi lake kabwa kirobha wasimbiti wairienyi waikizu wangoreme luo wakowak wakamoti wakuria nyebhasi nyamongo wanchari wasweta wakenye warenchoka watimbaru waregi hadi sukuma nyantuzu na shashi wajita wakwaya waruri wakerewe wakara jamii zote humezwa katika makundi saba ya lugha kuu lakini kila jamii inajitofautisha kwa lahaja yake ni jamii za kibantu peke yake zinazoweza kuwasiliana na kuelewana kukiwa na tofauti kidogo katika matamshi ya maneno ukichunguza zaidi wakazi wa asili wa mkoa wa mara ni makabila makuu mawili yenye uhusiano wa karibu sana yaani wakurya na vikabila kadhaa wakurya ni jina linalobeba mengi ya yale yanaoyoitwa makabila mkoani mara ambayo tafsiri yake halisi ni vikabila na wajita hawa nao wana vikabila kadhaa pia wakurya waghusii si bantu halisi bali ni mchanganyiko kati ya wabantu na waniloti katika makabila ya kibantu yaliyoathiri damu ya wakurya ni pamoja na pia kama makabila wakurya waghusii wakikuyu na wameru wa kenya wana uhusiano wa karibu na asili moja makabila mengine yanayohusiana nao ni wagisu uganda na waluya kenya kuna wakati ambapo makundi hayo yote yalikuwa kabila moja lakini wakatengana kwa kuhamia sehemu za mbali wakawa makabila tofauti tunayoyajua leo waniloti waliochanganya damu na wakurya ni pamoja na kwa hiyo dhana ambayo imejengeka sana vichwani mwa watu kwamba mara kuna makabila mengi kwa kiasi kikubwa ni potofu ukiangalia kwa undani hata lugha na mila zilizopo utaona kwamba hata hao kina yego mbani wajita wakwaya wakara waruri wakerewe n k ni vikabila tu vya kabila kubwa la wajita ukiachia wajaluo au jakowiny luo mkoani mara pia kuna wataturu na wanandi wanandi ni moja kati ya vikibila vya wakalenjin hata hivyo idadi ya watu wa makabila haya ni ndogo ukilinganisha na ile ya wakurya waghusii na wajita ikiwa na maana ya kabila kubwa linalojumuisha pia wajita wakwaya na waruri pia mara wakurya hawaishi tu tarime bali huishi wilaya zote za mkoa wa mara tarime rorya hao ni wakurya wa north mara musoma vijjini musoma mjini bunda na serengati hao ndio wakurya wa south mara abhaghusii wanaoishi jimbo la nyanza kenya ni sehemu ya wakurya wa north mara kwa hiyo wanahistoria wanatakiwa kuliweka hili sawa wazungu walichorekodi ni majina ya vikabila au koo kubwa kwani hata leo ukienda mara ukauliza swali lako kizembe si ajabu usikute mtu atayekujibu kwamba anaitwa mkurya wote watakuambia mimi mzanaki mkiroba mtimbaru n k wengine watasema mimi mmjita mkwaya mruri nk kwa wakereketwa wa historia wakiroba kikabila cha wakurya wakisii na wakwaya kikabila cha wajita ndiyo makabila ya asili ya inayoitwa leo hii musoma mjini makundi haya mawili pamoja na kuwa makibali tofauti yana uhusiano wa muda mrefu wa karibu sana hupendana sana na hata vita walipigana kwa kushirikiana pia wakurya na wajita uhusiano wao wa karibu na hata kushabihiana kwa lugha zao kwa makabila haya makubwa mawili ya mkoa wa mara hakuna anayeweza akamsengenya mwenzie na asijue anasema nini si jambo lililoanza juzi mababu wanatuambia hawa watu wote wamehamia mara wakitokea maeneo ambayo kwa sasa yako katika nchi zinazojulikana kama misri na libya hata wajaluo nao walikujua toka huko wakati wa msafara waligawanyika makundi matatu hakuna historia ya vita kati ya wakurya na wajita bali wameishi kwa kuelewana na kusaidiana hata hivyo koo za kikurya hupenda sana kupigana na haya tunayaona hadi leo hii pia tukumbuke wabantu ni familia moja na waafrika ni kabila moja kubwa na binadamu wote bila kujali rangi zetu tumetoka kwa muumba mmoja na tuna asili moja ni watoto wa adamu na eva waarabu humwita hawa kwa wale wanaoamini dini au ni watoto wa mwafrika kwa wale wanaoamini sayansi wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo roma pia rumi ndio mji mkuu roma capitale wa jamhuri ya italia uko katika makutano ya mito ya tiber na aniene karibu na bahari ya mediteranea roma una wakazi milioni katika eneo la km ndani ya mji wa roma lipo eneo la mji wa vatikano ambao ni nchi ya kujitawala chini ya papa wa kanisa katoliki sehemu ya mji imo katika orodha ya urithi wa dunia wa unesco roma uko katikati ya italia ikiwa mita juu ya ub ndani ya tambarare ya bonde la mto tiber linalopakana na milima ya abruzzi milima ya sabini na milima ya albani wilaya za jirani ni viterbo rieti l aquila frosinone na latina mwanzo wa roma ulikuwa kwenye vilima saba vilivyo katikati ya mji wa leo vinavyoitwa palatino aventino campidoglio quirinale viminale esquilino na celio hali ya hewa hutawaliwa na bahari iliyo karibu wastani wa halijoto kwa mwaka ni sentigredi mvua hunyesha wastani wa mm kwa mwaka miezi yenye joto ni juni hadi agosti ikiwa na wastani wa sentigredi hadi ni miezi ya mvua kidogo mwezi baridi zaidi ni januari ikiwa na wastani wa sentigredi historia ya mji inasemekana imeanza rasmi tarehe aprili kk lakini majengo ya kwanza ni ya karne ya kk katika karne za kk ulikuwa mji mkuu wa ufalme wa roma halafu wa jamhuri ya roma hatimaye wa dola la roma katika miaka kk bk hivi ulikuwa na wakazi wengi kuliko miji yote duniani uenezi wa ukristo kuanzia mwaka na hasa ujio wa mtume petro na mtume paulo waliofia dini yao huko viliathiri mji huo moja kwa moja kuanzia karne ya bk ukawa mji mkuu wa dola la papa halafu wa ufalme wa italia na sasa wa jamhuri ya italia huitwa mara nyingi mji wa milele roma ilianza kama muungano wa vijiji vidogo vyenye wakazi mia kadhaa katika karne ya bk ilikuwa tayari na wakazi milioni moja tangu kuondoka kwa makao makuu ya kaisari na kupungua kwa nguvu ya dola la roma magharibi idadi ya wakazi ilipungua hadi kuwa na takriban mnamo mwaka katika karne zilizofuata italia pamoja na ulaya iliona vita na mashambulio ya makabila yasiyostaarabika mnamo mwaka roma ilikuwa mji mdogo wenye wakazi pekee walioishi ndani ya maghofu ya mji mkubwa wa kale tangu kuimarika kwa utawala wa mapapa mji ulianza kukua tena mnamo mwaka ukawa na wakazi katika karne ya mji ulipanuka sana hadi kufikia idadi ya wakazi wa zamani hata kuipita siku hizi asilimia ni wageni orodha inayofuata inaonyesha makadirio hadi baadaye ni namba za sensa roma ndiyo kitovu kimojawapo cha sekta ya viwanda na sekta ya huduma ya italia utalii ni pia muhimu sana kiuchumi kutokana na watalii wanaoutembelea kila mwaka za jumla ya pato la taifa zinapatikana ndani ya roma ambazo ni kushinda miji mingine yote ya italia roma ina makao makuu ya f a o food and agriculture organisation shirika la chakula na kilimo ya umoja wa mataifa pamoja na ofisi zote za serikali ya italia mto nile pia naili kwa kiarabu an nl ni mto mkubwa upande wa mashariki ya bara la afrika mara nyingi hutajwa kuwa pia ni mto mrefu kabisa duniani kushinda mto amazonas kutoka ziwa la viktoria nyanza hadi mdomo wake kwenye bahari ya mediteranea nile inavuka nchi za uganda sudan kusini sudan na misri kwa urefu wa km beseni la nile hukusanya maji ya eneo linalojumlisha za eneo la afrika yote au km takriban watu milioni hukalia beseni hilo wamisri wa kale waliita mto huu kwa jina p au iteru linalomaanisha mto mkubwa wakopti walikuwa na jina la piaro lakini tangu utawala wa kiroma jina la kigiriki lilizidi kutumika na waarabu waliendelea na jina la kigiriki pia hivyo leo hii wananchi wanasema an nil nile ina vyanzo viwili yaani majina hayo ya nyeupe na buluu yana asili yake katika mji wa khartoum ambako mito yote miwili inaunganika ilhali kila mmoja una rangi tofauti kutokana na udongo tofauti uliotia rangi yake kwenye maji hayo vyanzo vya nile ni mito yote inayopeleka maji kwenda ziwa viktoria nyanza katika nchi za tanzania burundi rwanda jamhuri ya kidemokrasia ya kongo uganda na kenya chanzo cha mbali kabisa ni mto wa luvironza huko burundi unaoingia katika mto kagera na kufika ziwa viktoria nyanza mkono mwingine wa nile unaanza ethiopia ukiitwa abbai au nile ya buluu unatoka katika ziwa tana hakuna mapatano kabisa nile inaanzia wapi kawaida ya waandishi waingereza ni kuhesabu kuanzia ziwa viktoria waandishi wa mataifa mengine huwa wanaweza wakaita tayari mto kagera kwa jina nile ya kagera majina ya sehemu ya mto kuanzia ziwa viktoria hadi khartoum ni kama yafuatayo tangu milenia kadhaa maji ya nile yamekuwa msingi wa maisha yote nchini misri na pia kwa sehemu kubwa ya nchi ya sudan katika miaka ya uingereza kama mtawala mkoloni wa sudan na misri ulikuwa na majadiliano juu ya ugawaji wa maji ya mto na kufikia mapatano juu ya matumizi ya maji ya mto nile ya hadi leo misri inadai ya kwamba mapatanao yale yanakataa ujenzi wa malambo na kuanzishwa kwa miradi ya umwagiliaji inayotumia maji ya nile bila kibali cha serikali yake hapa misri inadai ya kwamba nchi zote zilizokuwa makoloni ya uingereza wakati ule zinafungwa na mapatano ya mwaka na hizi ni pamoja na sudan uganda kenya tanzania halafu pia ethiopia iliyopatana na uingereza wakati ule nchi nyingine hazikubali madai hayo ila majadiliano juu ya mapatano mapya ya ushirikiano katika beseni la nile yanaendelea bahari ya mediteranea pia bahari ya kati ni bahari ya pembeni ya atlantiki kati ya mabara ya afrika ulaya na asia ya magharibi eneo lake ni takriban milioni km kina chake kirefu ni m ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama neno mediteranea limetokana na lugha ya kilatini likiunganisha maneno ya medium inamaanisha kati ya katikati na terra inamaanisha bara kwa hiyo neno lenyewe linamaanisha bahari katikati ya bara katika lugha ya biblia kiebrania iliitwa bahari ya magharibi au bahari kuu waroma wa kale waliotwala nchi zote zinazopakana na bahari ya mediteranea waliita mare nostrum yaani bahari yetu waarabu na waturuki wanaiita bahari nyeupe kwa kituruki akdeniz kwa kiarabu al bahr al abyad bahari ya mediteranea ni bahari si ziwa kwa sababu imeunganishwa na atlantiki kwa njia ya mlango wa bahari wa gibraltar ina bahari za pembeni zake ambazo ni pamoja na bahari nyeusi bahari ya aegean bahari ya tyrrheni na mengine bahari nyeusi inaunganishwa kwa njia ya mlangobahari wa dardaneli bahari ya marmara na mlangobahari wa bosporus tangu mwaka kuna pia njia ya maji kati ya mediteranea na bahari ya shamu ambayo ni mfereji wa suez kuna visiwa vingi sana hasa kati ya ugiriki na uturuki visiwa vikubwa ni korsika sardinia sisilia kreta rhodos na kibros leo hii kuna nchi au madola zinazopakana na bahari ya mediteraneo jibuti kwa kifaransa djibouti kwa kiarabu ni nchi ndogo ya afrika ya mashariki kwenye pembe la afrika imepakana na eritrea ethiopia na somalia upande wa bara kuna pwani ya bahari ya shamu na ghuba ya aden ng ambo ya bahari iko nchi ya yemen katika umbali wa km pekee jina la nchi linatokana na lile la mji mkuu jibuti nchi ilikuwa koloni la ufaransa kwa jina la somalia ya kifaransa halafu eneo la kifaransa la waafar na la waisa kutokana na majina ya makabila mawili makubwa zaidi ya eneo hilo sababu ya kuanzishwa kwa koloni ilikuwa nia ya ufaransa ya kuwa na bandari ya mji wa jibuti karibu na bab el mandeb inayotawala mawasiliano kati ya bahari hindi na bahari ya shamu kuelekea mfereji wa suez nchi ilipata uhuru tarehe juni hadi leo umuhimu na uchumi wake unategemea bandari ambapo zinapitia asilimia za bidhaa zinazoingizwa ethiopia nchi hiyo imeunganishwa na jibuti kwa reli moja ya zamani na nyingine mpya iliyokamilika mwaka siku hizi wakazi wengi ni wasomali hasa wa kabila la waisa halafu waafar asilimia zilizobaki ni waarabu waethiopia na wazungu hasa wafaransa na waitalia lugha rasmi ni kifaransa na kiarabu kisomali ni kiafar ni lugha za taifa upande wa dini uislamu unafuatwa na za wakazi na ndio dini rasmi pekee asilimia wanafuata ukristo katika madhehebu mbalimbali hasa waorthodoksi wa mashariki kutoka ethiopia halafu wakatoliki na waprotestanti chini ya mbuni ni ndege wakubwa wa familia struthionidae kuna spishi mbili katika jenasi moja lakini wataalamu wengine wanafikiri ni spishi moja tu ndege hawa ni wakubwa kuliko wengine wote wana miguu mirefu na shingo ndefu na wanaweza kukimbia sana hata kwa mwendo wa km kwa saa lakini hawawezi kuruka angani rangi za manyoya ya dume ni nyeusi na nyeupe na rangi ya ngozi yake shingo na miguu ni nyekundu pinki au buluu kufuata na nususpishi manyoya ya jike ni kahawiakijivu na rangi ya ngozi ni sawa na dume mbuni wanaishi savana nyika na majangwa ya afrika lakini wanafugwa ulimwengu wote jina la sayansi la spishi kuu struthio camelus linatoka lugha ya kiyunani jurawa na ngamia dume la mbuni ana harimi ya majike lakini moja tu anatawala dume hupanda majike yote ya harimi yake na majike huyataga mayai yao yote katika tago moja ambalo dume amelitengeneza jike anayetawala hutaga kwanza na baadaye hutupa mayai ya majike wasio na nguvu sana kwa kawaida hubakisha mnamo mayai majike huyaatamia mayai mchana na dume huifanya usiku kwa sababu rangi ya jike inafanana na mchanga na rangi ya nyeusi ya dume haionekani usiku mbuni ni ndege wakubwa huku asili yao ikiwa ni afrika hawa ni ndege wasio na uwezo wa kuruka wanapatikana kwenye oda ya struthioniformes pamoja na ndugu aitwaye kiwi mbuni ni wa pekee sana sababu ya muonekane wake wa shingo na miguu mirefu pamoja na uwezo wake mkubwa wa kukimbia karibu ya maili kwa saa huu ni mwendokasi mkubwa zaidi kwa ndege yeyote ardhini mbuni ndiyo ndege mkubwa kuliko wote wanaoishi duniani wakiwa pia ndio watagaji wa mayai makubwa kuliko wote pia mlo wa mbuni kwa kiasi kikubwa huwa ni mimea ingawa pia hula wadudu mbuni huishi katika makundi ya kutansatanga kati ya ndege watano mpaka hamsini wanapotishwa mbuni hujificha kwa kulala ardhini au kukimbia mbali kama wakizingirwa hushambulia adui zao kwa miguu yao yenye nguvu tabia kujamiiana hutofautiana kutoka maeneo moja mpaka vingine ambapo mbuni dume hupigaia mbani jike hupigania nafasi ya kuwapata mbuni jike kwa nguvu mbuni hufugwa dunia nzima hasa kutokana na manyoya yake ambayo hunitia na kutumika kuondolea vumbi ngozi yake hutumika kutangenezea mtu mbali mbali huku nyama yake ikilizwa kibiashara mbuni huwa na uzito wa kilogramu luku mbuni dume wakifika mpaka uzito wa kg manyoya ya mbuni dumu wakubwa huwa kwa kiasi kikubwa meusi huku mkia ukiwa wakubwa huwa na rangi ya kahawia na nyeupe vichwa vya mbuni wote huwa havina manyoya ngozi za mbuni jike huwa na rangi ya pinki kijini huku dume wakiwa na ngozi ya bluu au kijini kutegemeana na nususpishi shingo zao ndefu hukiweka kichwa chao mita mpaka juu ya ardhi na macho yao husemwa kuwa ndiyo makubwa kuliko wanyama wote wa ardhini yakiwa na sm hivyo huweza kuwaona adui zao hata wakiwa mbali sana macho yao yanakingwa na mwanga mkali wa jua kutoka juu miguu ya mbuni kama ilivyo kwa ndege wengine haina manyoya isipokuwa magamba ndege hawa wawili huwa na vidole vikubwa viwili huku wengi wakiwa na vine huku kucha moja ikiwa kubwa ikifanana na kwato mbawa hutanuka kwa upana wa mita hivyi na hutumika sana kwenye tabia za kujamiiana na kujikinga na jua wana manyoya hivi ya mkiani midomo yao huwa mipana na ncha ya duara kidogo tofauti na ndege wengine mbuni hutoa mkoja tofauti na kinyesi hivyo kuwa na kibofu pia tofauti na ndege wengine tena huwa na ogani ya kutolea manii inayoweza kutoka nje ya mwili kwa urefu wa inchi mbuni hukomaa na kuwa na uwezo wa kuzaa wakiwa na miaka miwili minne watoto wa mbuni hukua kwa kiasi ya sm kwa mwezi wakiwa na umri wa mwaka mmoja tu mbuni huwa na uzito wa kg mbuni jike huweza kuyatambua mayai yake hata kwenye kiota cha jumuiya kujamiiana huwa na misimu tofauti kutokana na maeneo mbuni dume hupigania nafasi ya kujamiiana na jike wengine na akishinda basi huwa na uwezo wa kujamiiana na jike wote wa kundi lake lote japo atakuwa na jike wake atakayedumu naye kwa wakati husika mbuni dume humvutia mbuni jike kwa kumchezeachezea na kumpigia mbawa zake ambaye humfuata na wao huenda faragha kwa ajili ya kujamiiana wakifika huko huwafukuza wanyama mbuni wengine kama wapo na kisha dume kuweza tena mbuni jike hukaa chini na kuwa tayari kwa kujamiiana mbuni jike hutaga mayai yaliyorutubishwa kwenye kiota cha jumuiya ambacho huwa ni shimo lenye upana wa mita tatu na kina cha sentimeta mbuni dume ndiyo huchimba kiota hiki mayai ya mbuni ndiyo mayai makubwa kuliko yote na huwa na uzito wa kg zaidi ya mara ya yai la kuku huwa na rangi ya maziwa na wakati mwingine pamoja na madoa madogo mayai hutumiwa na mbuni jike wakati wa mchana na kutamiwa na mbuni dume wakati wa usiku mayai huanguliwa baada ya siku na kisha hapo mbuni jike na dume wote hushirikiana kuwakuza watoto wao mbuni weusi huwindwa wakati huu na mara nyingi mbuni mtoto mmoja tu ndiyo hufanikiwa kukua huku wengine wakigeuzwa kitoweo na wanyama wengine wala nyama mbuni wanaokuzwa na binadamu huhamisha sana upendo wao na kuanza kuwapenda sana binadamu wanaowatunza mfumo wa jua ni mpangilio wa jua letu sayari na sayari kibete zinazolizunguka pamoja na miezi yao asteroidi meteoridi kometi na vumbi la angani vyote vikishikwa na graviti ya jua utaalamu kuhusu mfumo wa jua hujadiliwa katika fani ya astronomia karibu masi yote ni ya jua lenyewe likiwa na asilimia za masi ya mfumo wake kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia tu ya masi ya mfumo kwa jumla umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni umbali huu unaitwa kizio astronomia au sayari ya mbali zaidi ni neptuni ambayo ipo katika umbali wa vizio astronomia kutoka jua yaani ipo mara mbali zaidi kutoka jua kuliko dunia magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia au zaidi pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda zenye umbo la mwiringo ambazo ni ukanda wa asteroidi ukanda wa kuiper na wingu la oort sayari hupatikana katika vikundi viwili mara nyingi zinaitwa sayari za ndani na sayari za nje sayari nne za ndani ni utaridi zuhura dunia na mirihi ambazo ni ndogo na ni sayari za mwamba kama dunia baada ya obiti ya mirihi kuna pengo lenye upana wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi mshtarii katika pengo hili upo ukanda wa asteroidi wenye violwa laki kadhaa pamoja na sayari kibete ya ceres nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani sehemu kubwa ya masi yao si mwamba bali ni elementi na kampaundi zinazopatikana duniani kama gesi hasa hidrojeni h heliamu he amonia nh na methani ch gesi hizi zimeganda na kuwa imara kutokana na shinikizo kubwa na baridi kali kuna magimba yanayozunguka jua letu yanayoitwa sayari sayari za kwanza kuanzia utaridi ing mercury hadi zohali ing saturn zinaonekana kwa macho tangu zamani zilipewa majina na watu sayari za mbali zaidi ziligunduliwa tu baada ya kupatikana kwa darubini sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo namba zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinarejelea kipimo kulingana na tabia za dunia yetu ambayo ni kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu kama huna jina mbadala au umbo tofauti limewekwa katika mabano kama jina hadi mwaka pluto iliyopo nje ya mzingo wa neptuni ilihesabiwa kuwa sayari lakini baada ya azimio la umoja wa kimataifa wa astronomia pluto inaitwa sasa sayari kibete si sayari kamili tena kwa sasa kuna magimba yanayotambuliwa kama sayari kibete katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni mkubwa kuliko wataalamu wa kale walivyofikiri tangu kutambuliwa wa ukanda wa kuiper ambamo pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisi nuru kidogo sana kutoka kwenye jua kuhusu magimba ya angani yaliyo mbali zaidi kuliko ukanda wa kuiper hakuna uhakika bado lakini tangu mwaka vipimo vipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tete kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambayo haikutazamiwa bado mwaka kilitokea kiolwa cha anga kutoka nje ya mfumo wa jua letu kiolwa hiki kilichoitwa oumuamua kilifika kwa njia isiyolingana na bapa la sayari za mfumo wa jua tena kwa kasi kubwa mno hivyo kilionekana si sehemu ya mfumo wetu mfumo wa jua ulianza kutokea zamani sana na wataalamu wanaendelea kujadili nadharia zinazoeleza tabia zake kulingana na kanuni za fizikia nadharia zinazokubaliwa na wataalamu wengi ni hivi zuhura pia ng andu kwa kiingereza venus ni sayari ya pili katika mfumo wa jua na sayari zake kati ya sayari zote za jua ndiyo inayofanana zaidi na dunia yetu sayari hii ina majina mawili kwa kiswahili zuhura kwa matamshi mengine pia zuhra ni jina leye asili ya kiarabu zuhara lenye maana asilia ya mwenye kung aa ng andu ni jina lenye asili ya kibantu kwenye anga la usiku inang aa kushinda nyota zote isipokuwa mwezi kutokana na nguvu ya mwanga wake inaonekana mapema kati ya nyota za kwanza zinazoonekana jioni vilevile huwa inaonekana kama nyota ya mwisho wakati wa pambazuko zuhura ina umbali wa kati ya kilomita milioni kutoka jua umbali kutoka dunia yetu hutegemea na mahali pa dunia na zuhura kwenye mizingo yao ya kuzunguka jua uko kati ya kilomita milioni ukubwa wake na pia kemia yake zinafanana sana na dunia ikiwa kipenyo chake ni km kwenye ikweta haina mwezi wowote mwaka wa zuhura ambao ni muda wa kutimiza obiti moja wa kuzunguka dunia una siku za kidunia siku ya zuhura ambayo ni muda wa dura moja ya sayari yenyewe ina siku za kidunia zuhura ni sayari yenye mzunguko kufuatana na mwendo wa saa hali ya hewa ni ya joto sana kwa wastani sentigredi hewa yake ni hasa ya kabonidaioksaidi inayosababisha mawingu mengi yanayozuia sura yake isionekane kwa darubini kutokana na halijoto kali hakuna maji warusi na wamarekani walifaulu kupeleka vipimaanga mbalimbali hadi zuhura vingine vilipita na kupima hewa vingine vilifika kwenye sura ya sayari na kutuma picha za mazingira hadi kuharibika kutokana na joto kali uso wa sayari umefanyiwa utafiti kwa msaada wa rada kutoka vipimaanga magellan na pioneer venus kutokana na matokeo yake ramani ya kwanza ilitokea sehemu kubwa ya sayari ni tambarare yenye vilima na mabonde yasiyo marefu kutokana na joto kubwa mnamo c hakuna maji wala bahari kuna sehemu mbili ambako nyanda za juu zinapanda juu ya uwiano wa kawaida na hizi zilifananishwa na kontinenti za dunia karibu na ikweta ya zuhura iko sehemu inayoitwa aphrodite terra yenye ukubwa kama amerika kusini kwenye upande wa mashariki kuna safu za milima na mabonde makubwa pamoja na volkeno sehemu ya pili huitwa ishtar terra yenye ukubwa sawa na australia kwenye dunia hapa kuna milima ya mawell yenye urefu wa mita juu ya uwiano wa wastani nasa ni kifupi cha kiingereza cha national aeronautics and space administration mamlaka ya marekani ya usafiri wa anga mamlaka hii ilianzishwa wajibu wake ni kusimamia miradi ya serikali ya marekani ya kuendesha utafiti na uchunguzi wa anga nasa inasimamia utengenezaji wa roketi za kurusha vyombo vya angani na utengenezaji wa vyombo vya angani vyenyewe miradi ya nasa ilianzishwa kutokana na mshtuko wa sputnik yaani baada ya warusi kushtusha dunia kwa kupeleka vyombo vya angani vya kwanza katika mradi wao wa sputnik uliofuatiwa na mradi wa vostok ambao tarehe aprili ulimfikisha yuri gagarin angani akiwa mtu wa kwanza kwenda angani mradi wa kwanza wa nasa ulikuwa mradi wa mercury uliotakiwa kuonyesha ya kwamba wanaanga wanaweza kukaa angani kwa muda fulani alan b shepard jr alikuwa mmarekani wa kwanza angani kwa muda wa dakika john glenn alikuwa mmarekani wa kwanza wa kuzunguka dunia tarehe februari kwa chombo cha angani friendship mradi huo ulifuatiwa na mradi wa gemini kuanzia mwaka ulionyesha ya kwamba watu wanaweza kukaa angani kwa muda wa siku kadhaa hata kutekeleza shughuli fulani gemini iliandaa mradi wa apollo uliopeleka watu wa kwanza mwezini chombo cha angani apollo kilifikisha wanaanga neil armstrong na buzz aldrin kwenye uso wa mwezi tarehe julai na kuwarudisha dunia tena tangu mwanzo ule kuna miradi mingi iliyofuata leo duniani kuna watu wengi sana wanaojinasibisha na waarabu wakiwa wanaishi bara arabu au mashariki ya kati au kwengineko ulimwenguni watu hawa ambao wanatafautiana baina yao kirangi na kimaumbile na kisura wote wanadai kuwa ni waarabu au asli zao ni za kiarabu walakini ni nani hasa hawa waarabu na nini asli yao waarabu wote ulimwenguni wanatokana na jadi moja ambaye ni mtoto wa nabii nuh aitwaye sam lakini baadaye waligawanyika katika makundi matatu nao ni waarabu ambao leo hawako tena ulimwenguni kwa sababu ni kaumu zilizoangamizwa na mwenyezi mungu baada ya kukataa kufuata maamrisho yake na kwenda kinyume na mitume yao nao ni kaumu ya hud ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la a ad na kaumu ya saleh ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la thamud kaumu mbili hizi ziliangamizwa na mwenyezi mungu kwa kumuasi na kutofuata amri na maelekezo ya mitume yao na waliobakia katika makundi haya mawili ndio waliokuja kufanya makundi ya waarabu wanaojulikana kwa jina la waarabu al a ariba nao ni waarabu waliotokana na mtoto wa nabii hud as ajulikanaye kwa jina la qahttaan na kutokana na kizazi chake ndio hawa waarabu wanaoitwa al a ariba wakaenea kila upande waarabu hawa ambao makabila yao makubwa wakati huo yalikuwa ni himyar na kahlaan walikuwa wakiishi yemen na kuwa na ufalme na ustaarabu mkubwa mpaka yalipotokea mafuriko makubwa hapo yemen yakawatawanya na kuwasukuma kwenda sehemu nyengine mbali mbali za bara arabu na shamu na iraqi na misri na afrika mashariki nao ni waarabu waliotokana na nabii ismail as ambaye aliletwa na babake nabii ibrahim as na kuwekwa katika bonde la makka pamoja na mamake hajar na kuachwa hapo kwa amri ya mwenyezi mungu nabii ismail hakuwa mwarabu lakini baada ya kukaa hapo makka na kutifuka chemchemu ya zamzamu walikuja waarabu wa kiyemeni wa kabila la jurhum na walipoona maji hapo waliomba kubakia hapo na ndipo nabii ismail akakulia kwenye kabila hilo na kujifunza kiarabu na kuoa katika kabila hilo kwa hivyo kizazi chake kiliinukia kuwa waarabu kwa kuchanganyika na kabila la waarabu na wakawa wanajulikana kama waarabu al mustaariba waarabu kama tulivyoeleza hapo nyuma mwanzo walikuwa wakiishi yemen lakini baadaye wakaanza kutawanyika kwenye sehemu nyenginezo za bara arabu na kwa kuwa wengi wao walikuwa wakiishi maisha ya kibedui ya kusafiri kutoka mahali pamoja kwenda kwengine kutafuta chakula na maji kwa nafsi zao na wanyama wao waliweza kuenea sehemu zote za bara arabu na kufika shamu na iraqi na misri na afrika ya mashariki na afrika ya kaskazini kutawanyika huku kulizidi kuwa na kasi baada ya kuvunjika bwawa lao kubwa lililokuwa maarib huko yemen lililokuwa likilimbika maji mengi kwa ajili ya ukulima na mabustani yao na malisho ya wanyama wao na mtawanyo mkubwa wa pili ni baada ya kuja uislamu na kuhitajia kupeleka watu sehemu mbali mbali ulimwenguni kueneza dini hii hapo ndipo waarabu walipotawanyika kila mahali ulimwenguni kueneza neno la mwenyezi mungu na kufikisha ujumbe wake na ndiyo maana leo tunaona waarabu katika kila bara la mabara ya ulimwengu waarabu leo wako kila mahali ulimwenguni lakini kila ukikaribia kwenye kitovu cha dunia ambacho kiko bara arabu uarabu unazidi kudhihirika zaidi na lugha yao inazidi kuwa fasihi zaidi na hapa ndipo ada na mila zao zinazidi kuhifadhiwa na kutiliwa mkazo aidha waarabu wanaishi kwenye nchi zaidi ya ishirini za mashariki ya kati ikiwemo bara arabu na shamu na iraqi na nchi za ghuba ya uajemi uarabu na afrika ya kaskazini na mashariki kuna ushirikiano katika jumuiya ya nchi za kiarabu waarabu ulimwenguni wanahesabiwa kuwa idadi yao imefikia mia tatu milioni ijapokuwa kuna idadi kubwa vile vile ya watu wa makabila mengine ambao wanaishi kwenye nchi za kiarabu kama mairani na wahindi na maarmani na mayahudi na mabarbari na waafrika na mabulushi na makurdi na waturuki na wengineo kwa upande mwengine kuna waarabu wengi sana ambao wametawanyika katika nchi mbali mbali za dunia kwenye mabara yote ya ulimwengu leo ulimwenguni kuna watu wanaojinasibisha na waarabu kwa sababu hizi zifuatazo watu wengi sana ulimwenguni wanafikiria na kuchukulia kuwa dini ya waarabu ni uislamu lakini ukweli ni kwamba kuna waarabu wengi ambao ni wakristo na hii ni kwa sababu kabla ya kuja uislamu waarabu walikuwa wakifuata dini mbali mbali za kiyahudi na kikristo na kimajusi na wengineo walikuwa hawana dini kabisa au dini za kienyeji na juu ya kuwa wengi waliingia kwenye dini ya uislamu baada ya kuja mtume muhammad saw lakini wale walioamua kubakia kwenye dini zao hawakulazimishwa kuingia kwenye uislamu na ndio maana leo tunaona kuna waarabu wakristo sehemu za syria na lubnani na iraqi na misri na kwengineko lugha ya kiarabu ilienea baada ya kuja uislamu na kufika sehemu nyingi duniani kwa sababu ya watu kutaka kujua dini yao na kuweza kusoma qurani tukufu na kujua maneno ya mtume wao muhammad saw na kwa kuwa imetawanyika sehemu nyingi za mashariki ya kati kumezuka lahaja mbali mbali ambazo mara nyengine ni taabu kufahamika baina ya watu wa sehemu fulani na wengineo wa nchi nyenginezo juu ya hivyo kuna lahaja zilizo karibu kama lahaja za shamu na lahaja za ghuba na za bara arabu na lahaja za afrika ya kaskazini na lahaja ya misri na sudani mkoa wa ruvuma ni kati ya mikoa ya tanzania umepewa jina kutokana na mto ruvuma ambao ni mpaka wake wa kusini na msumbiji umepakana na ziwa nyasa na mkoa wa morogoro upande wa magharibi mikoa ya iringa na lindi upande wa kaskazini na mkoa wa mtwara upande wa mashariki makao makuu ya mkoa yako songea mjini ndani ya mkoa huu kuna wilaya sita ambazo ni idadi ya wakazi katika mabano jumla ya wakazi wote katika mkoa wa ruvuma ni sensa ya mwaka makabila makubwa katika ruvuma ni wayao wangoni wamatengo wandendeule wabena na wandengereko karibu na songea iko monasteri kubwa ya peramiho ya watawa wabenedikto na nyingine iko hanga elimu bado inahitajika hasa kwa maeneo ya vijijini maana watu wengi katika mkoa huu hawajaelimika hivyo huleta changamoto katika maendeleo maana taifa huhitaji watu ambao ni wasomi sehemu ya mashariki ya mkoa kuna barabara ya lami kutoka dar es salaam kupitia makambako na njombe hadi songea barabara kuu kwenda lindi ni kiwango cha lami kuanzia songea mjini kupitia wilaya za namtumbo tunduru nanyumbu masasi mnazimmoja lindi hadi dar es salaam wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo siku ya wapendanao kwa kiingereza valentine s day ni sikukuu ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe februari ya kila mwaka historia yake imeanzia karne ya huko roma au terni ambapo alikuwapo padri au askofu valentinus ambaye akaja kuheshimiwa kama mtakatifu hasa tarehe hiyo inasemekana kwamba kaisari wakati huo alikuwa claudius ii yeye aliona kuwa askari mkakamavu na bora zaidi ni yule asiyeoa wala kuwa na familia kapera hivyo alipiga marufuku ndoa kwa askari valentinus alipinga jambo hili na hivyo kuendelea kufungisha ndoa kwa siri mfalme claudius alipopata habari hizi aliamuru valentinus akamatwe na kuuawa kuna hadithi nyingine ya kuwa akiwa gerezani valentinus aliandika barua ambayo ilikuwa na salamu za kwanza za valentine kwa binti aliyekuja kumsalimia gerezani mwisho wa barua alihitimisha kwa maneno haya kutoka kwa valentinus wako mbali ya hadithi askofu huyo alijulikana kwa miujiza yake huko terni mnamo ilipatikana mifupa ya sabino e serapia mmoja alikuwa mpagani akida wa jeshi la roma mwingine msichana mkristo motomoto kwa ajili yake sabino aliongokea ukristo lakini baada ya muda mfupi aligundua kwamba serapia ni mgonjwa wa kifua kikuu ili asitengane naye sabino alimuomba valentinus naye alibariki ndoa yao na kuomba mapendo yao yadumu milele baadaye walifariki pamoja wamekumbatiana na ndivyo mifupa yao inavyopatikana hadi leo toka hapo valentine anakumbukwa kama mtetezi wa wapendanao na sikukuu yake kuadhimishwa kote duniani vita kuu ya kwanza ya dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka hadi mataifa wapiganaji yalikuwa ujerumani austria hungaria bulgaria na uturuki ziliitwa mataifa ya kati ing central powers kwa upande mmoja dhidi ya ufaransa urusi uingereza italia marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo zilitwa mataifa ya ushirikiano ing allied powers vita hii ilianza katika ulaya ikapanuka haraka hadi mashariki ya kati afrika na asia ya mashariki ikasababisha kifo cha takriban watu milioni tisa sababu yake ilikuwa mashindano makali kati ya mataifa ya ulaya kuhusu kushika nafasi ya kipaumbele barani ulaya na duniani kote matokeo yake yalikuwa mwisho wa kipaumbele cha ulaya duniani na kupanda ngazi kwa marekani mapinduzi katika nchi mbalimbali mwisho wa falme za ujerumani austria na urusi pamoja na mwanzo wa utawala wa kikomunisti katika urusi mwisho wa dola la austria hungaria na wa dola la uturuki la kiosmani pamoja na mwisho wa ukoloni wa kijerumani duniani katika ulaya nchi mpya zilijitokeza kama vile chekoslovakia ufini latvia estonia na yugoslavia pamoja na nchi za zamani zilizotokea tena katika uwanja wa kimataifa ndizo austria hungaria lithuania na poland sehemu kubwa ya ulaya iliwahi kuwa na kipindi kirefu cha amani tangu vita kati ya ufaransa na ujerumani mnamo mataifa ya ulaya yalikuwa na mfumo wa mikataba na mapatano kati yao yaliyolenga kuhakikisha uwiano wa mataifa mataifa makubwa ya ulaya yalikuwa uingereza ufaransa ujerumani urusi na italia pamoja na milki ya austria hungaria hali ilikuwa tofauti katika kusini mashariki mwa bara hilo hadi nusu ya pili ya karne ya sehemu kubwa ya balkani ilitawaliwa na milki ya osmani iliyokuwa milki ya kiislamu ya kutawala wakristo wengi milki hii iliendelea kudhoofika wakati wa karne ya nchi mbalimbali zilijitenga na kupata uhuru kama vile ugiriki serbia bulgaria na romania nchi hizi mpya zilipigana kivita kati yao na milki ya osmani hadi mwaka vita kuu ilianza kutokana na ugomvi kati ya austria hungaria na serbia kutokana na muundo wa mikataba ya kusaidiana kati ya nchi za ulaya mwanzo huo ulisababisha mfululizo wa hali ya vita kati ya mataifa na mengine ya balkani yalitafuta uhuru wao tarehe juni katika mji wa sarayevo bosnia mwana wa kaisari wa austria aliyekuwa mfalme mteule aliuawa pamoja na mke wake na mgaidi mserbia mwanachama wa kundi la mkono mweusi lililopinga utawala wa austria hungaria katika bosnia austria iliamuru serbia ifuate masharti makali katika uchunguzi wa tendo lile serbia ilipokataa sehemu ya mwisho ya masharti austria ilitangaza hali ya vita dhidi ya serbia tarehe julai agosti ya iliona kupanuka kwa vita hii warusi walikuwa na mkataba wa usaidizi na serbia wakatangaza hali ya vita dhidi ya austria hungaria hapo wakaingia wajerumani waliokuwa na mapatano ya usaidizi na austria hungaria wakitangaza hali ya vita dhidi ya urusi urusi kwa upande wake ulikuwa na mkataba wa kusaidiana na ufaransa kwa hivyo hali ya vita ikajitokeza pia kati ya ufaransa na ujerumani uingereza ilijiunga na vita baada ya wajerumani kuvamia eneo la ubelgiji kwa shabaha ya kupita eneo lake haraka kwa uvamizi wa ufaransa kaskazini japan iliyokuwa na mkataba wa kusaidana na uingreza tangu mwaka iliona nafasi ya kukamata koloni za ujerumani katika pasifiki ikaingia upande wa maadui wa ujerumani kuanzia oktoba milki ya osmani uturuki ilijiunga na vita kufuatana na mkataba wake wa siri na ujerumani mwaka italia ilijiunga na wafaransa na waingereza kwa kushambulia austria hungaria iliyotawala bado maeneo katika kaskazini ya rasi ya italia ingawa awali ilikuwa na mkataba na dola hilo vita ilipigwa kwa ukali miaka ya wajerumani waliingia ndani ya ufaransa lakini walikwama kabla ya kufikia jiji kuu la paris kwa muda mrefu mstari wa mapambano ulibaki palepale katika mashariki wajerumani walifaulu kurudisha mashambulio ya kirusi na kuteka sehemu za urusi katika kusini mwa ulaya waustria walifaulu kwa shida kubwa kuteka serbia na montenegro pamoja na albania waturuki walishindwa kwa ujumla katika mashambulio yao dhidi ya warusi katika eneo la kaukazi na dhidi ya waingereza katika misri lakini walifaulu kuzuia waingereza wasifike uturuki penyewe waingereza walipeleka jeshi katika irak ya kusini wakafaulu kuwarudisha waturuki hadi kaskazini ya nchi hii tazama makala kuu vita kuu ya kwanza katika afrika ya mashariki vita ilienea haraka baharini na katika makoloni ya ujerumani yaliyovamiwa na waingereza wafaransa afrika kusini na japani makoloni yalikuwepo afrika na kwenye visiwa vya pasifiki pamoja na china ujerumani ilikuwa na vikosi vya kijeshi katika makoloni ya afrika na pia huko qingdao nchini china kwa ujumla makoloni yote yasiyokuwa na jeshi yalitekwa na mataifa ya ushirikiano bila mapigano wakati mataifa ya ulaya yalionyesha dalili za uchovu katika hali hiyo mabadiliko mawili makubwa yalitokea marekani ilijiunga na vita dhidi ya wajerumani na urusi iliona mapinduzi yaliyolazimisha serikali mpya kutia sahihi mapatano ya kumaliza mapigano dhidi ya wajerumani walioteka maeneo makubwa ya urusi nguvu ya marekani ilionekana haraka na bahati ya ujerumani ilipungua sana austria hungaria ilidhoofishwa vilevile mwaka iliona mwisho wa vita jeshi la uturuki lilishindwa hadi serikali ya milki kuomba kusimamishwa kwa vita mataifa ya ushirikiano yalikaribia mipaka ya ujerumani na hapo mgomo wa wanamaji ilifuatwa na migomo ya wafanyakazi katika viwanda vikubwa iliyosababisha mapinduzi yaliyoangusha serikali ya kaisari wilhelm ii migomo ya wanajeshi ililazimisha austria hungaria kuomba kusimamisha vita milki za austria na uturuki zilikwisha zikagawiwa na sehemu zao zilikuwa nchi mpya au nchi zilizoundwa upya mwaka mataifa washindi walikutana paris ufaransa wakikubaliana masharti ya kumaliza hali ya vita dhidi ya mataifa ya kati mikataba mbalimbali iliandaliwa kati ya washindi na kuwekwa mbele ya nchi zilizoshindwa mikataba hii ilikuwa mkutano wa paris ulitoa masharti makali dhidi ya ujerumani katika mkataba wa versailles ujerumani uliondolowa makoloni yote yaliyokabidhiwa kwa niaba ya shirikisho la mataifa kama maeneo ya kukabidhiwa kwa uingereza ufaransa ubelgiji japani afrika kusini na australia mkutano wa paris ulikuwa jaribio la kuunda utaratibu mpya duniani uliotakiwa kulindwa na shirikisho la mataifa lakini ukosefu wa nguvu kwa upande wa shirikisho la mataifa pamoja na kuanza na kupanuka kwa mwendo mpya wa kifashisti iliyochukua utawala katika italia na ujerumani vilishinda nia hiyo wataalamu wasio wachache wanasema mwisho wa vita kuu ya kwanza ulipanda tayari mbegu za vita kuu ya pili ya dunia ni kwamba wajerumani na wakazi wa nchi nyingine zilizoshindwa walijiona wamekosewa haki lakini pia waitalia walioshinda kwa gharama kubwa ya damu walijiona wamedanganywa kwa kutotimiziwa ahadi walizopewa ili wasaliti ujerumani na austria hungaria na kuingia vitani upande wa pili hivyo vyama vya mrengo wa kulia viliweza kupata nguvu na hatimaye kupanga kisasi vita hii ilitwa vita ya dunia kwa sababu mapigano yalisambaa kote duniani sehemu kubwa ya mapigano yalitokea ulaya na asia ya magharibi lakini pia katika makoloni ya afrika asia na pasifiki nchi za amerika hazikuona mapigano kwenye nchi kavu lakini manowari za ujerumani zilipigana na mataifa ya ushirikiano mbele ya pwani za marekani na amerika kusini ilikuwa pia vita ya kwanza iliyopigwa kote duniani ilhali habari zake ziliweza kufika katika muda wa masaa au siku chache kwa mataifa yote kutokana na upatikanaji wa vyombo vya mawasiliano hasa simu za kimataifa na redio lakini kwa kweli haikuwa vita ya kwanza ya dunia maana vita ya miaka saba ilipigwa pia kwenye mabara yote ya dunia baina ya nchi zenye makoloni hasa uingereza ufaransa na hispania runion kwa kifaransa la runion ni kisiwa cha afrika na mkoa wa ng ambo wa ufaransa kwa kifaransa dpartement d outre mer au dom katika bahari hindi kisheria hali yake ni sawa na mikoa mingine ya ufaransa hivyo ni pia sehemu ya umoja wa ulaya reunion iko km upande wa mashariki wa madagaska pamoja na visiwa vya mauritius na rodrigues inaunda funguvisiwa la maskareni kisiwa kina eneo la km kikiwa na kipenyo cha km hadi milima mikubwa ni ya kivolkeno upande wa mashariki wa kisiwa ndipo mlima wa piton de la fournaise wenye urefu wa mita uliolipuka zaidi ya mara tangu kumbukumbu ya kimaandishi ilipoanzishwa mwaka mlipuko wa mwisho hadi leo ulitokea tarehe oktoba mlima wa piton des neiges ndio mkubwa kisiwani ikiwa na m juu ya ub hali ya hewa ni ya joto mwaka wote majira ya mvua ndiyo kati ya desemba hadi machi taarifa za kwanza za kimaandishi hudokeza kwamba kisiwa kilikuwa bila ya wakazi waarabu waliita dina margabin yaani kisiwa cha magharibi baharia mreno diego dias alifika tarehe februari ambayo ni sikukuu ya mt apolonia katika mapokeo ya kanisa katoliki na kukiita kisiwa kwa jina la mtakatifu huyu santa apolonia jinsi inavyoonekana katika ramani za kwanza baadaye wareno walitumia jina la nahodha maarufu pedro de mascarenhas na kujumlisha visiwa vya reunion mauritius na rodrigues kwa jina la visiwa vya maskareni visiwa hivyo vilikuwa na umuhimu fulani kama vituo vya kupumzika katika safari kati ya ulaya na bara hindi mabaharia wakitafuta maji ya kunywa nafasi ya kutengeneza jahazi zao na kuongeza chakula lakini hapakuwa na makao ya kudumu kisiwani mwaka wafaransa walivamia kisiwa na kukitangaza kuwa mali ya ufaransa walikiita le bourbon kutokana na jina la familia ya wafalme wa ufaransa mwaka walowezi wa kwanza wafaransa walianza kujenga nyumba zao ufalme ulipoondolewa wakati wa mapinduzi ya ufaransa kisiwa kimepewa jina jipya la reunion tarehe machi wakati wa vita vya napoleoni waingereza walivamia kisiwa mwaka lakini wakakirudisha kwa wafaransa baada ya vita walowezi wazungu walianzisha mashamba kwa ajili ya mahitaji ya jahazi zilizopita kuanzia mwaka mazao ya biashara yalilimwa kwanza kahawa baadaye pia vanilla na hasa sukari kwa kusudi hilo watumwa walipelekwa reunion kutoka afrika bara bara hindi na madagaska mwaka kisiwa kilikuwa na wakazi huru hasa wafaransa na watumwa ufaransa ulitia sahihi maazimio ya mkutano wa vienna mwaka pamoja na kumaliza biashara ya watumwa lakini biashara hii iliendelea kwa siri na kupanuka hasa kwa wafungwa kutoka afrika idadi ya watumwa iliendela kuongezeka hadi kuondolewa hali ya utumwa tarehe desemba baada ya mwisho wa utumwa walowezi walitafuta wafanyakazi huko bara hindi wakachukua wahindi wasiofika kama watu huru kwa miaka na haki kidogo baadaye hata wafanyakazi wachina walichukuliwa mwaka reunion ilipewa cheo cha mkoa wa ufaransa na tangu imekuwa sehemu ya umoja wa ulaya mkoa wa reunion ina wilaya kifaransa arrondissements nne wakazi wanaonyesha historia hii katika mchanganyiko wao wa aina za watu na tamaduni kutoka pande mbalimbali wa dunia sehemu kubwa ya wakazi ni wajukuu wa watumwa au wafanyakazi wasio huru wa zamani wakionyesha tabia za wahindi waafrika na wachina takriban robo ya wakazi ni wa asili ya ulaya kuna lugha tatu tu ambazo huzungumzwa na wakazi wa runion yaani kifaransa lugha rasmi kitamil na krioli inayotokana na kifaransa pia kuna wahamiaji kutoka visiwa vya jirani ambao huzungumza lugha za kichina na za komori kama vile kimaore kimwali kindzwani na kingazidja vikundi hivi havikai mbali kuna mchanganyiko wa kila aina wakazi wengi hufuata ukristo wa kikatoliki wengine uislamu na uhindu kuna pia waprotestanti agostino wa hippo thagaste leo souk ahras nchini algeria novemba hippo leo annaba algeria agosti alikuwa mtawa mwanateolojia padri na hatimaye askofu mkuu wa hippo ndiye kiongozi mkuu wa kanisa katoliki katika afrika kaskazini mwanzoni mwa karne ya kutokana na maisha mafundisho na maandiko yake bora tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu na babu wa kanisa mwaka papa bonifasi viii alimuongezea sifa ya mwalimu wa kanisa katika sehemu za magharibi za afrika ya kaskazini wenyeji walikuwa waberberi kama mama yake lakini watu wa mjini kama baba yake na wenye mashamba makubwa walikuwa wa asili ya ulaya wakitumia hasa lugha ya kilatini kwa jumla sehemu hii ya afrika ilikuwa karibu na utamaduni wa ulaya ya magharibi mama yake monika anayeheshimiwa kama mtakatifu alikuwa mkristo kumbe baba patrisi alifuata dini ya jadi ya kuabudu miungu mingi kabla hajabatizwa mwishoni mwa maisha yake agostino alizaliwa tarehe novemba mjini thagaste katika mkoa wa numidia jina lake la kuzaliwa lilikuwa aurelius augustinus wakati ule ukristo ulikuwa tayari dini iliyokubaliwa katika dola la roma dhuluma dhidi ya wakristo zilikuwa zimekwisha rasmi mwaka kwa hati ya milano iliyotolewa na konstantino mkuu ili kuruhusu uhuru wa dini alikuwa na wadogo wawili mmoja mwanamume naviji na mwingine wa kike ambaye hatujui jina lake ila kwamba baada ya kufiwa mume wake akawa mmonaki na abesi monika alimuathiri sana augustino na kumlea katika imani ya kikristo mwanae aliweza kuandika kwamba alipokuwa ananyonya maziwa ya mama alifyonza pia upendo kwa jina la yesu akiwa mtoto alipokea chumvi kama ishara ya kuingia ukatekumeni akabaki daima anavutiwa na yesu hata alipozidi kusogea mbali na kanisa lake wakati wote wa ujana wake alifuata anasa na uzushi bila kujali machozi ya mama yake alipata elimu yake nzuri ya lugha na ya ufasaha wa kuhubiri huko thagaste madaura na hata katika chuo kikuu cha karthago karibu na tunis ingawa hakuwa daima mwanafunzi mzuri mbali ya kuwa na akili ya pekee alimudu kikamilifu kilatini lakini si sana kigiriki akiwa huko karthago mwaka alisoma kitabu cha maadili cha sisero ambacho kilibadilisha hisia zake hivi kwamba matumaini yote ya bure yakawa hayana maana kwangu nikatamani hekima isiyokufa kwa ari isiyosemeka moyoni mwangu lakini kwa kuamini ukweli haupatikani pasipo yesu ambaye hatajwi katika kitabu hicho alianza kusoma biblia ila hakupenda tafsiri ya kilatini wala yaliyomo akiyaona tofauti na mtindo wa falsafa inayotafuta ukweli hivyo alisogea mbali na dini iliyoonekana kutotia maanani hoja za akili ambayo pamoja na imani ndizo nguvu mbili zinazotuongoza kwenye ujuzi ndivyo alivyoandika baadaye akitoa pia kauli mbili za msingi kuhusu kulenga ukweli usadiki ili uelewe halafu uelewe ili usadiki hapo kusudi asiishi bila mungu alijitafutia dini ya kuridhisha hamu yake ya kujua ukweli na ya kuwa karibu na yesu akajiunga kwa karibu miaka na umani dini hiyo ilidai kufuata akili na kufafanua sababu ya mabaya kuwepo duniani kutokana na chanzo cha pili cha ulimwengu kilicho kinyume cha mungu ikikataa agano la kale ili kufuata ukristo wa kiroho augustino alipenda pia maadili ya dini hiyo kwa sababu yalikuwa yanawadai sana baadhi ya waumini tu yakiwaacha wengine wote wasijali zaidi hatimaye wamani walikuwa wanasaidiana kupanda chati katika jamii lakini alipokutana na askofu wao fausto alikosa imani nao kwa kuona alivyoshindwa kujibu maswali yake baada ya kuhitimu masomo alifundisha kilatini huko thagaste halafu namna ya kuhubiri huko kartago akaendelea kufanya hivyo nchini italia kwanza roma halafu milano makao makuu ya dola alipopata kazi ya heshima sana wakati huo wote aliendelea kuishi bila ndoa na mwanamke aliyemzalia mtoto wa kiume mwenye akili sana adeodatus akiwa milano alikutana na watu hasa ambrosi askofu wa milano waliomvuta awe mkristo mkatoliki mahubiri bora ya ambrosi aliyokwenda kuyasikiliza kwanza ili kuzidi kupata mbinu za kutoa hotuba yalizidi kumgusa moyoni na kumfanya asadiki mamlaka ya biblia nzima inavyosomwa rasmi na kanisa aliona uzuri na udhati wa masimulizi ya agano la kale yakifafanuliwa kiroho kama mifano ya mambo ya agano jipya inayomuelekea kristo kiini cha yote katika barua za mtume paulo augustino alimtambua kristo kama mwokozi si mwalimu tu hasa aliguswa na maneno ya rom aliyoyasoma kwa kufungua tu kitabu kisha kumsikia mtoto wa jirani akiimba kwa kukariri chukua usome chukua usome alitambua ameambiwa mwenyewe na mungu maneno hayo yakimdai aachane na matendo ya mwili akamvae kristo kisha kuongoka hivyo tarehe agosti akiwa na umri wa miaka aliacha kufundisha na hata kuishi na mama mtoto akatawa kwa muda cassiciaco karibu na ziwa la como akiwa na monika adeodatus na marafiki wachache akarudi milano alipobatizwa na ambrosi pamoja na mwanae na rafiki yake alipio usiku wa pasaka ya mwaka baada ya kubatizwa na kunuia akaishi kitawa thagaste alirudi afrika njiani huko ostia bandari ya roma alifiwa mamaye ndoto yake ilikuwa kujitosa katika maisha ya sala na masomo pamoja na marafiki wake lakini hiyo ilidumu miaka mitatu tu mwaka bila kutarajia alipewa daraja ya upadri huko hippo alipoanzisha monasteri akigawa muda wake kati ya sala masomo na mahubiri halafu mwaka akachaguliwa kuwa askofu msaidizi wa mji huo na mwaka akawa askofu wa jimbo hilo ilimbidi akubali matakwa ya mungu kwake kwamba ajitoe kwa wengine na kuwashirikisha ujuzi wake ili kuishi kweli kwa ajili ya kristo kuhubiri mfululizo kujadili kusisitiza kujenga kuwa tayari kwa yeyote ni jukumu kubwa sana ni mzigo mzito ni juhudi ya ajabu ilikuwa kama wongofu wake wa pili hapo alitegemeza maskini na mayatima alisimamia malezi ya wakleri akiwadai waishi pamoja akaeneza monasteri za kiume na za kike alifanya adhimisho la ekaristi kuwa kiini cha maisha ya jumuia zake mahubiri yake mengi yanaonyesha alivyojua kujadiliana na umati akitumia maneno rahisi na ya kawaida na hata ucheshi katika kulinganisha neno la mungu na mazingira yao kwa tabia yake karimu na pendevu hisia zake uvumilivu na utayari wa kusamehe alifanya hata maadui kadhaa kuwa marafiki maisha yake ya kiroho yaliyoongoza uandishi wa kanuni yake kwa watawa yamefuatwa na mashirika mengi ya kiume na ya kike hadi leo kwa miaka mpaka kifo chake mbali na kutimiza majukumu yake mengi aliendelea kueleza na kutetea imani sahihi ya kikristo kwa mahubiri maandishi na vitabu vingi sana hata vya mitindo mipya dhidi ya aina zote za uzushi za wakati ule wamani wadonati wapelaji na waario hivyo tangu alipokuwa hai hakuongoza kanisa la afrika kaskazini tu bali alitegemeza imani kila mahali kwa njia hiyo amekuwa mwalimu muhimu sana katika ukristo hasa wa magharibi yaani kanisa katoliki na katika uprotestanti uliotokea katika kanisa hilo kwa mfano martin luther alimtaja kuwa baba yake wa kiroho pamoja na mtume paulo augustino alijilisha tunu za kikristo na kutokeza utajiri wake wa dhati akibuni mawazo na mifumo ya kulisha vizazi vijavyo hata nakala za vitabu vyake ni nyingi sana zikithibitisha vilivyopendwa na kuenea hivyo aliathiri sana ustaarabu wa magharibi unaozidi kuenea leo duniani kote mawazo yote yaliyomtangulia yanakutana katika maandishi yake na kuwa chemchemi ya mafundisho kwa nyakati zilizofuata tarehe septemba alikusanya waamini ili kuwatambulisha padri eraklio aliyemchagua kama mwandamizi wake naye aweze kutumia miaka yake ya mwisho katika kusoma kwa dhati zaidi maandiko matakatifu watu walimkubalia kwa shangwe miaka minne iliyofuata augustino alifanya kazi kubwa kwa kumaliza vitabu mbalimbali na kuanza kuandika vingine kati ya vile vya wakati huo kuna retractationes yaani kupitia upya vile vilivyotangulia ambamo tunaona unyofu wake kwa kuwa tayari kurekebisha baadhi ya mafundisho aliyowahi kuyatoa hivyo mpaka mwisho alionyesha alivyolenga ukweli kuliko yote pia miaka hiyo alijadiliana na wazushi hadharani na kurudisha amani iliyohatarishwa na makabila ya kusini yakifaidika na matatizo kati ya kaisari na jemadari wake bonifasi alimuandikia mpatanishi ni utukufu mkubwa zaidi kuzuia vita vyenyewe kwa neno moja kuliko kuangamiza watu kwa upanga na vilevile kusababisha au kudumisha amani kwa amani kuliko kwa vita kwa sababu wanaopigana ikiwa ni watu wema bila shaka wanalenga amani ila kupitia damu kumbe kazi yako ni kuzuia umwagaji damu hata hivyo tumaini lilitoweka bonifasi alipoalika kwa hasira washenzi wa kijerumani walioitwa wavandali kutoka hispania wavamie afrika agostino aliaga dunia akiwa hippo tarehe agosti wakati wavandali walipokaribia kuteka mji wake baada ya kuuzingira miezi mitatu huku wakibomoa makanisa na nyumba za vijijini na kuua au kukimbiza wakazi wakiwemo watawa baadhi waliteswa na kuchinjwa wengine walibakwa au kufanywa watumwa mbele ya maovu hayo yaliyokomesha ustaarabu wa kirumi augustino alizidi kutafakari fumbo la maongozi ya mungu ili kujifariji na kuwatuliza wengine kama alivyofanya miaka ya nyuma roma ilipotekwa kwa mara ya kwanza na wagoti aliona ustaarabu huo ulikuwa umechakaa kumbe kristo tu hazeeki kamwe na ni wa kutegemewa hapo awali alidhani mtu akiongoka na kubatizwa atafikia kwa urahisi ukamilifu unaoelekezwa na hotuba ya mlimani miaka ya mwisho alikiri kwamba yesu tu alitekeleza sawasawa hotuba yake hiyo waamini wanahitaji daima kuongoka na kutakaswa naye ili kufanywa wapya nimeelewa kwamba mmoja tu ni mkamilifu kweli kumbe kanisa lote sisi sote tukiwa pamoja na mitume tunapaswa kusali kila siku utusamehe dhambi zetu kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea ndio wongofu wake wa tatu uliomfanya amalizie maisha yake kwa unyenyekevu wa hali ya juu katika ugonjwa wa mwisho aliomba zaburi za toba ziandikwe kwa herufi kubwa na kubandikwa ukutani aweze kuzisoma kutoka kitandani huku akijiaminisha kwa mungu kwa machozi mengi usiku na mchana ili kujiandaa zaidi kufa siku za mwisho hakuruhusu mtu kumtembelea ila waliomletea chakula na dawa katika historia yote augustino ni kati ya watu wenye akili kubwa zaidi iliyopenya masuala yoyote pamoja na ubunifu wa ajabu na moyo mpana aliunda upya teolojia ya mapokeo akiitia chapa yake mwenyewe kati ya mababu wa kanisa ndiye aliyetuachia maandishi mengi zaidi kuanzia yale maarufu sana yanayoitwa maungamo kwa kuwa humo miaka aliungama sifa za mungu na ukosefu wake mwenyewe kwa kusimulia alivyoishi hadi miaka ya kwanza baada ya kuongoka kila wakati ulifurahia zaidi kitu fulani katika augustino siku hizi anapendwa hasa kwa unyofu wake katika kujichunguza na kutoa siri zake akikiri makosa yake na kuyageuza yawe sifa kwa mungu uzingatifu wake wa fumbo la nafsi yake ambamo fumbo la mungu limefichama ni mzuri ajabu kiasi cha kubaki hata leo kilele cha kujitafiti kiroho aliandika usiende nje rudi ndani mwako ukweli unakaa katika utu wa ndani na ukiona umbile lako ni geugeu panda juu yako lakini kumbuka unapopanda juu yako unapanda juu ya roho inayofikiri basi ufikie pale mwanga wa akili unapowaka tena naona ni lazima wanadamu warudishiwe tumaini la kupata ukweli posidi mtu wa kwanza kuandika habari za maisha ya augustino kwa kilatini vita augustini alisema waamini wanamkuta daima hai katika vitabu vyake kweli havionyeshi imepita miaka tangu viandikwe humo anaonekana kama rafiki yetu wa wakati huu anayesema nasi kwa imani isiyozeeka augustino mwenyewe aliviorodhesha ambavyo si vyote kazi yake kubwa haikuwa kuandika maelezo juu ya vitabu na maneno ya biblia yenyewe alivyofanya origene bali kuingiza biblia katika mazingira ya kiroho ya kijamii na ya kisiasa ya wakati wake hapo akitegemea mamlaka ya imani inayodhihirishwa na biblia maandiko ya kimungu yasiyoweza kukosea yakisomwa katika mapokeo ya kanisa lililoorodhesha vitabu vinavyoiunda aliuliza maswali na kutoa majibu yaliyo muhimu mpaka leo akilinganisha imani na akili augustino alichunguza hasa fumbo la mungu ukweli mkuu na upendo wa milele unaohitajiwa na roho ili kupata amani na la binadamu ambaye ni sura na mfano wa mungu huyo katika roho yake isiyokufa bado ana uwezo wa kuinuka hadi kwa mungu ingawa uwezo huo umeharibiwa na dhambi na unahitaji kabisa kurekebishwa na neema teolojia yake kuhusu utatu inaendeleza ile ya mapokeo na kuathiri kanisa lote la magharibi augustino anaweka wazi kuwa nafsi tatu ni sawa lakini hazichanganyikani tena anajaribu kuufafanua utatu kwa kutumia saikolojia mfano wa kumbukumbu akili na utashi kitabu muhimu zaidi kuhusu utatu kwa kilatini kinaitwa de trinitate alikiandika miaka kilichukua muda mrefu kwa kuwa alisimamisha uandishi wake miaka minane kwa sababu ni kigumu mno na nadhani wachache tu wanaweza kukielewa basi kuna haraka zaidi ya kuwa na vitabu vingine tunavyotumaini vitafaidisha wengi hivyo alielekeza nguvu zake kutunga vitabu vya katekesi kwa wasio na elimu hasa de catechizandis rudibus akijibu hoja za wadonati ambao walitaka kanisa la kiafrika na kuchukia mambo ya kilatini alikubali kurahisisha lugha hata kufanya makosa ya kisarufi kusudi wamuelewe zaidi akifafanua umoja wa kanisa ulivyo muhimu kwa mahusiano na mungu na kwa amani duniani hasa hotuba zake zilizoandikwa na wengine wakati alipokuwa anazitoa kwa watu akiongea nao kirahisi zimechangia kueneza ujumbe wake tunazo bado karibu lakini zilikuwa zaidi ya pia alifafanua upya imani kuhusu umwilisho wa mwana wa mungu akiwahi kutumia misamiati iliyokuja kupitishwa na mtaguso wa kalsedonia uwepo wa hali mbili ya kimungu na ya kibinadamu katika nafsi moja lengo la umwilisho lilikuwa wokovu wa watu hivyo hakuna anayeweza kuokoka bila kristo aliyejitoa sadaka kwa baba akitakasa akifuta na kutangua makosa yote ya binadamu akiwakomboa kutoka mamlaka ya shetani katika suala la neema na dhambi ni agostino aliyefundisha kwamba ubinadamu umerithi dhambi ya asili kutoka kwa adamu uhuru wa asili umepotezwa na dhambi hiyo na hali hii imerithiwa na watu wote baadaye lakini kwa neema yake mungu hufunua upendo wake kwao alisisitiza kwamba si binadamu anayemtafuta mungu bali mungu ndiye anayemhurumia mwanadamu mwenye dhambi utakaso unaopatikana kwa imani unasababisha ondoleo kamili la dhambi zote kabisa halafu mwamini anazidi kufanywa mpya kwa mchakato utakaokamilishwa na ufufuko wa siku ya mwisho mchakato huo wote ni kazi ya neema ya mungu bila hiyo binadamu hawezi kuongoka kukwepa dhambi na kufikia utimilifu wa wokovu hayo yote ni zawadi tu ya mungu kama vilivyo pia udumifu na stahili za mtu sisitizo hilo la kwamba neema ni dezo lilimuongoza augustino kufundisha juu ya uteule neema ambayo hakuna anayeweza kuikataa na ambayo inafikisha kwa hakika mbinguni kwa nini mungu hawapi wote neema hiyo ni fumbo ambalo tuliinamie tu kwa sababu hatuwezi kabisa kulielewa kwa vyovyote haiwezekani kumlaumu mungu kwa ajili hiyo eti si haki mawazo hayo yalikuja kukaziwa zaidi tena na watu kama martin luther yohane kalvini na janseni namna iliyokataliwa na kanisa katoliki juu ya uhusiano kati ya serikali na kanisa augustino katika miaka aliandika kitabu de civitate dei maana yake kwa kilatini ni mji wa mungu badala ya mji tungeweza kutafsiri pia eneo au kikundi cha watu au utawala alieleza kwamba iko miji miwili mji wa mungu yaani yerusalemu wa mbinguni au kanisa na mji wa dunia hii yaani taratibu za kisiasa katika mji wa dunia hii hali hubadilika hakuna taratibu za kudumu agostino alifahamu taratibu za waroma wapagani waliotazama makaisari wao kuwa miungu na vilevile habari za demokrasia ya kigiriki ya kale akafahamu habari za mji mkubwa wa roma ulioitwa mji wa milele lakini ulichomwa moto na maadui katika siku zake jinsi ilivyoanguka zamani miji ya babeli na yerusalemu pamoja na mji huo alisema upo mji wa pili ndio mji wa mungu ambao ni mji wa upendo na undugu wenye neema yake miji yote miwili iko pamoja ingawa zina taratibu tofauti mkristo ni raia wa miji yote miwili huitwa kuwa mwaminifu pande zote mbili lakini ajue kwamba mji wa dunia hii hauna shabaha ya kudumu umeingiliwa na dhambi kumbe mji wa mungu utadumu umepewa lengo la kudumu unashiriki enzi ya mungu ndiyo sababu inafaa serikali isikie mawazo ya kanisa kwani ni kwa njia ya kanisa kwamba mungu ameamua kufunua mapenzi yake mkristo anaweza kushiriki katika taratibu za kisiasa akijua ya kwamba mawazo na mipango yote ya siasa havidumu utakaodumu ni utaratibu wa mungu tu ni kutokana na mafundisho hayo pia kwamba kanisa la magharibi lilijifunza umuhimu wa kuwa na msimamo imara mbele ya serikali mbalimbali kama ulivyojitokeza katika historia ndefu ya kanisa ingawa agostino alijua jinsi kaisari theodosi alivyotubu kanisani baada ya askofu ambrosi wa milano kumtenga kwa sababu aliwatuza wanajeshi wa serikali yake walioua watu wengi ovyo walipotuliza fujo lililotokea katika mji wa thesalonike watu wengi pamoja na askofu walisikitikia tendo hilo baadaye theodosi alipotaka kuingia katika ibada askofu huyo alimtangaza ametengwa kwa sababu ya kumwaga damu ya wathesalonike hivyo hawezi kushiriki meza ya bwana kaisari akakubali kosa mbele ya umati hata baadaye viongozi wa kanisa la magharibi wakafuata mara nyingi mfano wa ambrosio na mafundisho ya agostino mafundisho hayo yaliathiri mawazo na fikra za wakristo kwa karne nyingi za baadaye tunaweza kuona aina mbili za matokeo ya urithi huo kwa upande mmoja kanisa lilijaribu kutawala jamii na serikali katika nchi za ulaya lilidai sheria zote za serikali zifuate taratibu za kanisa viongozi wa serikali walitakiwa kusimikwa na wale wa kanisa hoja hiyo huitwa uklerikali clericalism nguvu ya kisiasa ya kanisa ilifikia kilele chake mwanzoni mwa karne ya wakati wa papa inosenti iii halafu ilizidi kupungua hadi kupingwa kabisa na mapinduzi mbalimbali ya ulaya na amerika kuanzia mapinduzi ya ufaransa siku hizi wazo hili halipo tena lakini zamani lilileta matatizo mengi kama vile ugandamizaji wa madhehebu tofauti na ya mtawala na hata vita vya kidini agostino aliingiza pia hoja ya vita halali katika ukristo uliowahi kukataa ukatili na vita kama dhambi dhidi ya mungu agostino alieleza kwamba wakati mwingine vita ni halali na kama ni halali ni wajibu wa mkristo pia maelezo hayo yalitumiwa baadaye na watawala na wanasiasa wakristo kwa kutetea vita vya kila aina lakini sehemu nyingine ya urithi huo imebaki kazi ya kanisa ya kuzitetea haki za binadamu hata dhidi ya serikali inayoweza kuzigandamiza kwa mfano makanisa ndiyo yaliyopinga sana siasa ya ubaguzi wa rangi marekani na afrika ya kusini hata dhidi ya serikali zilizoutetea vilevile ni makanisa yanayotetea haki za wakimbizi katika nchi nyingi hata kama serikali zimeshachoka mzigo wa kupokea wageni maskini kutoka nchi jirani mwishoni tusifiche sehemu ya urithi wa agostino iliyokuwa ngumu zaidi mpaka leo katika mikoa ya afrika kaskazini walikuwepo wakristo wengi waliojitenga na kanisa kubwa na kuanzisha madhehebu ya wadonato agostino alijadiliana nao miaka mingi akijaribu kuwavuta warudi tena mwaka b k serikali ya kiroma ilitafuta shauri la agostino katika suala la wadonato kule karthago na numidia tunisia na algeria serikali ilitaka kuwe na umoja wa kidini kati ya wananchi pia wapinzani wa utawala wa roma huko afrika kaskazini walijiunga na kanisa la wadonato basi agostino aliona kwamba wadonato wameshika mafundisho ya uongo akaogopa wataongoza waumini wao jehanamu akaona kanisa lisiache wafundishe uongo alivyoelewa mwenyewe akaona vema kutumia nguvu ya serikali walazimishwe kurudi katika kanisa kubwa mwenyewe hakukubali adhabu ya kifo kwa wazushi hao lakini serikali ilichukua kibali chake cha kuingilia kati kama msingi wa kuwatesa vikali na kuwaua wengi wadonato walipoteswa hivi na serikali agostino akanyamaza hakupinga mateso hayo ya wakristo wadonato chini ya serikali ya kikristo mbele ya macho ya kanisa katoliki yaliendelea muda mrefu yakawa mwanzo wa mwisho wa ukristo afrika kaskazini miaka mia mbili baadaye wanajeshi wa waarabu waislamu wakaingia huko wakakuta ukristo uliodhoofishwa pia kutokana na dhuluma za wavandali waario dhidi ya wakatoliki baada ya muda mfupi wenyeji wengi sana wa sehemu hizo wakaacha ukristo wakajiunga na uislamu tukiangalia hali ya misri tunaona tofauti huko wakristo wakashika imani yao katika karne zote ingawa kwa matatizo makubwa chini ya serikali ya kiislamu lakini katika sehemu ya afrika kaskazini magharibi nguvu za ndani za ukristo zilivunjika wakati wa mateso hayo makali ya wadonato halafu ya wakatoliki kwa mikono ya wakristo wenzao tatizo halikuishia afrika kaskazini agostino katika kitabu chake kimojawapo alitetea siasa ya ugandamizaji wa wazushi bila kuruhusu wauawe katika karne zilizofuata maandiko hayo yaliongoza sera ya kanisa la magharibi dhidi ya wazushi kote ulaya kanisa lilikubali wazo la kwamba wazushi wanapaswa kugandamizwa basi kwa karne nyingi kanisa la magharibi likaendelea kuwagandamiza na kuwatesa wakristo wasiokubali mafundisho yake au uongozi wake watu wakateswa kuchomwa moto na kufungwa gerezani yote hayo kwa idhini ya kanisa hata madhehebu ya uprotestanti kama walutheri waanglikana na wareformati yalitenda hivihivi baada ya kuwa dini rasmi ya serikali katika maeneo yao walifuata mfano uliowekwa wakati wa mgongano kati ya kanisa kubwa na wadonato huko afrika kaskazini katika karne ya bila shaka agostino hakutegemea matokeo hayo lakini hata habari hizi za kuhuzunisha ni sehemu ya urithi wa mtu huyo ambaye kwa mengine tunamkumbuka kama mwalimu mkubwa wa ukristo mzima wewe bwana ni mkuu na unastahili kabisa sifa uweza wake ni mkuu na hekima yako haina mipaka mtu anataka kukusifu yeye aliye sehemu ndogo ya viumbe vyako vyote yeye anayetembea akielekea kifo ushahidi wa dhambi yake wa kwamba wewe unapinga wenye kiburi hata hivyo mtu sehemu ndogo ya viumbe vyako vyote anataka kukusifu wewe unamchochea aonje furaha ya kukusifu kwa kuwa umetuumba kwa ajili yako na moyo wetu hautulii mpaka ustarehe ndani mwako ee upendo wenye kuwaka daima usiweze kuzimika kamwe mungu wangu uniwashe moto unijalie mimi mimi pia bwana wangu mpenzi nikujue nikupende na kukufurahia nisipoweza kufanya hayo kikamilifu katika maisha haya unijalie walau kusonga mbele kila siku hata niweze kufikia kuyafanya kwa ukamilifu acha nikufahamu zaidi na zaidi hata ukamilifu acha nikupende kila siku zaidi na zaidi hata ukamilifu furaha yangu iwe kubwa kwa yenyewe na kamili ndani yako wewe ni nini kwangu uniwie huruma niweze kusema mimi ni nini kwako hata uniagize nikupende halafu nisipokutii unanikasirikia na kunitishia maafa makubwa je kutokupenda si balaa kubwa tayari lo kwa huruma yako bwana mungu wangu uniambie wewe ni nini kwangu sema hivyo nami nitasikiliza tazama moyo wangu unakusikiliza bwana uuweke tayari ukaniambie nitafuata sauti ya neno lako hilo hata nikufikie usinifiche uso wako nife nisije kufa bali niuone uso wako unijalie nifanye unachoagiza halafu uniagize unachotaka nimechelewa kukupenda uzuri wa kale na mpya daima nimechelewa kukupenda tazama wewe ulikuwa ndani mwangu nami nilikuwa nje na kukutafuta huko mimi mbaya nilikuwa ninaparamia vitu vizuri ulivyoviumba wewe ulikuwa nami lakini mimi sikuwa nawe vilikuwa vikinishika mbali nawe viumbe vile ambavyo kama visingekuwa ndani yako hata kuwepo visingekuwepo uliniita ukanipigia kelele ukashinda uziwi wangu uliniangaza ukanimulikia kama umeme angani hatimaye ukaponya upofu wangu ulinipulizia harufu yako nami nikainusa na sasa nakuonea shauku nimekuonja na sasa nakuonea njaa na kiu umenigusa nami sasa nawaka tamaa ya kupata amani yako sasa nakupenda wewe tu nakufuata wewe tu nakutafuta wewe tu niko tayari kukutumikia wewe tu kwa kuwa wewe tu unatawala kwa haki natamani kuwa chini ya uwezo wako naomba kitu hiki tu kutokana na hisani yako kuu kwamba unigeuzie kabisa kwako usiruhusu chochote kunizuia nisielekee kwako wavandali walikuwa kabila kubwa la kigermanik la mashariki ambao katika karne tano za kwanza bk walihama kutoka sehemu za poland ya leo hadi afrika ya kaskazini wakiunda ufalme wao katika maeneo ya algeria na tunisia ya leo pamoja na kutawala visiwa vya mediteraneo magharibi inaonekana ya kwamba walianza kuondoka kwao ulaya ya mashariki kutokana na uvamizi wa wahunni mwaka bk walivuka mto wa rhine wakaingia gallia leo ufaransa mwaka wakavamia hispania kutoka hispania ya kusini walivuka bahari ya mediteraneo mwaka na kuingia afrika ya kaskazini iliyokuwa jimbo la dola la roma kuna taarifa ya jemadari mroma wa wakati ule ya kwamba walikuwa jumla ya wanaume wenye silaha kati ya hadi kwa hiyo pamoja na familia zao takriban watu wavandali waliteka afrika ya kaskazini yote iliyokuwa jimbo tajiri sana katika dola la roma likilimwa sehemu kubwa ya ngano kwa ajili ya mahitaji ya italia mwaka waliteka mji wa hippo maarufu kutokana na askofu wake agostino ambao ukawa makao makuu ya mfalme wao genseriki mwaka waliteka pia mji wa karthago na mfalme akaufanya mji wake mkuu uvamizi wa karthago uliwapatia wavandali pia jahazi nyingi za kijeshi za waroma hali hiyo iliwawezesha kushambulia hata mji wenyewe wa roma mwaka lakini hawakukaa ila baada ya kuuvamia na kuuharibu walirudi afrika ufalme wa wavandali ulidumu karibu karne moja wakati wa madhehebu ya waario walitesa vikali wakristo wenzao wakatoliki katika karne ya kaisari justiniani i wa bizanti roma ya mashariki alimaliza utawala wao akivamia afrika ya kaskazini na kuirudisha katika dola la roma tangu mwaka tunisia kirefu jamhuri ya tunisia kwa kiarabu al jumhrya at tnisya ni nchi ya afrika ya kaskazini inayopakana na bahari ya mediteranea libya na algeria mji mkuu ni tunis wakazi ulioko mahali pa karthago ya kale tunisia iliwahi kutawaliwa na wafinikia walioanzisha huko mji wa karthago baada ya hao kushindwa na roma ya kale ilikuwa jimbo la africa katika dola la roma kisha eneo lake likatawaliwa na wavandali waarabu wahispania waturuki na wafaransa tarehe machi ilipata uhuru wakazi karibu wote wanajiita waarabu na hutumia lugha ya kiarabu ambacho ndicho lugha rasmi hata hivyo damu yao ni mchanganyiko hasa wa ile ya waberber waarabu na waturuki takriban watu hasa kusini wanaendelea kuzungumza kiberber ambacho ni lugha asili ya wenyeji lakini waberber wengi wamezoea kutumia kiarabu katika elimu na biashara kifaransa kinatumika pia sana upande wa dini uislamu unafuatwa na asilimia za wakazi nao ndio dini rasmi waliobaki ni wakristo hasa wakatoliki na wayahudi historia ya kiswahili imeanza takriban miaka iliyopita kwenye pwani ya afrika ya mashariki neno swahili lina asili ya kiarabu sahil ina maana ya pwani sawahil as sawhil ni wingi wake kwa kumaanisha yote yanayohusiana na pwani watu au utamaduni wa eneo la pwani kiswahili kilianza kama lugha ya miji na mabandari ya biashara ya kimataifa kwenye pwani ya afrika ya mashariki tuna historia jinsi gani miji kama vile kilwa lamu na mingine kadhaa ilianzishwa na wafanyabiashara waarabu au wajemi waliooa wenyeji idadi ya wahamiaji kutoka uarabuni haikuwa kubwa sana hivyo lugha ya wenyeji ilitumika kila mahali ila tu maneno mengi yameingia kutoka kiarabu kwa ujumla kiswahili kina maneno yenye asili ya kiarabu kati ya hali inayokaribia kiasi cha maneno yenye asili ya kilatini au kifaransa katika lugha ya kiingereza utamaduni mpya ulijitokeza uliokuwa wa kiafrika na wa kiislamu ukajielewa kuwa sehemu ya dunia ya uislamu hivyo kiswahili kilizaliwa kuwa lugha ya kibantu kilichopokea maneno mengi ya asili ya nje lugha iliandikwa kwa herufi za kiarabu tangu karne ya bk kwa bahati mbaya leo hatuna tena maandiko ya kale sana kutokana na hali ya hewa kwenye pwani isiyosaidia kutunza karatasi na kurasa zenyewe zinaweza kuoza kutokana na unyevu hewani pamoja na wadudu wengi walioko katika mazingira ya pwani lakini maandiko ya kale yanayopatikana kutoka karne ya huonyesha ya kwamba tenzi na mashairi vinafuata muundo uliotangulia maandiko yenyewe kwa karne kadhaa sehemu kubwa ya maandiko ya kale ni tenzi yaani mashairi yenye aya maelfu tenzi ndefu kabisa inahusu kifo cha mtume muhamad ikiwa na aya kiswahili kimepokelewa kirahisi na wenyeji kwa sababu walikosa lugha ya pamoja kati yao lugha za kibantu ziko karibu sana na athira ya kiarabu ilikuwa kilekile kote pwani haya yote yalisaidia kujenga umoja wa kiswahili katika eneo kubwa la pwani ya afrika ya mashariki kiajemi pia kilichangia maneno mbalimbali kama vile bibi na cherehani kufika kwa wareno huko afrika ya mashariki kuanzia mwaka kulileta athira mpya ikiwa maneno kadhaa ya kireno yameingia katika kiswahili kama vile bendera gereza na meza kuwepo kwa wafanyabiashara wahindi katika miji mikubwa ya pwani kuliingiza pia maneno ya asili ya kihindi katika lugha kama vile lakhi gunia n k athira ya lugha za kihindi iliongezeka kiasi baada ya waingereza kutumia wahindi wengi kujenga reli ya uganda kiswahili kilitumika kama lugha ya biashara baina ya watu wa pwani na bara katika kanda ndefu sana kutoka somalia hadi msumbiji wa kaskazini wafanyabiashara waswahili waliendeleza biashara ya misafara hadi kongo kiswahili kiliendelea kuenea kwenye njia za misafara hii kila msafara ulihitaji watu mamia hadi maelfu wa kubeba mizigo ya biashara kutoka pwani hadi pale msafara ulipolenga hata ziwa tanganyika watu hawa wote walisambaza matumizi ya kiswahili katika sehemu za ndani lakini katika maeneo fulani biashara hii ilijenga pia kizuizi watu kama waganda waliona kiswahili ni lugha ya waislamu tena lugha ya biashara ya watumwa hivyo hadi leo ni wagumu kukubali kiswahili karne ya ilileta utawala wa kikoloni wakoloni walitangulia kufika katika mabandari ya pwani wakatumia mara nyingi makarani askari na watumishi kutoka eneo la pwani wakijenga vituo vyao barani watu hao walipeleka kiswahili pande za bara wajerumani waliamua kutumia kiswahili kama lugha ya utawala katika afrika ya mashariki ya kijerumani hapo waliweza kutumia kazi ya wamisionari wakristo wa awali hasa ludwig krapf waliowahi kufanya utafiti wa lugha na kutunga kamusi na sarufi za kwanza pamoja na kuunda mfumo wa kuandika kiswahili kwa herufi za kilatini utawala wa kikoloni ulirahisisha mawasiliano kati ya wenyeji reli zilijengwa na wafanyakazi kutoka makabila mbalimbali walishirikiana waafrika walilazimishwa kulipa kodi kwa wakoloni hivyo walitafuta kazi ya ajira hasa katika mashamba makubwa yaliyolima mazao ya biashara pia katika migodi ya kongo watu wa makabila mengi walichanganyikana wakitumia hasa kiswahili kati yao kwa namna hiyo lugha ilienea zaidi waingereza baada ya kuchukua tanganyika kutoka kwa wajerumani waliendela kutumia kiswahili kama lugha ya utawala kuanzia mwaka waliunda kamati yenye shabaha ya kuunganisha lahaja mbalimbali na kuunda kiswahili cha pamoja kwa ajili ya afrika ya mashariki inter territorial language swahili committee for the east african dependencies mwenyekiti alikuwa frederick johnson makatibu r k watts p mzaba na seyyid majid khalid barghash kamati hiyo iliamua kutumia lahaja ya kiunguja kuwa msingi wa kiswahili cha pamoja kilichoendela kufundishwa shuleni leo hii ni kiswahili rasmi kinachofunzwa na wanafunzi na kuandikwa magazetini na vitabuni miaka ya ukoloni ilisababisha pia kupokelewa kwa maneno mapya katika kiswahili kijerumani kiliacha maneno machache kama shule kijerumani schule na hela heller lakini maneno mengi sana ya asili ya kiingereza yalipokelewa kiswahili kimeonyesha uwezo mkubwa wa kupokea maneno kutoka lugha tofauti sana kikitumia maneno haya kufuatana na sarufi ya kibantu ya kiswahili katika tanzania kiswahili kimekuwa lugha rasmi ya serikali na taifa shule za msingi hutumia kiswahili lakini shule za sekondari na vyuo bado zinaendelea kufundisha kwa kiingereza tarehe februari rais jakaya kikwete alitangaza mpango wa kubadilisha lugha ya elimu nchini kwa kutumia kiswahili kwenye ngazi zote hadi shule za sekondari na chuo kikuu kenya imetangaza kiswahili kuwa lugha ya taifa lakini inaendelea kutumia kiingereza katika shughuli za serikali watu wa matabaka ya juu mara nyingi hupendelea kutumia kiingereza wakiona ni lugha bora lakini tangu wanafunzi wote wanatakiwa kujifunza kiswahili katika shule za sekondari tatizo mojawapo ni kuwepo wa makabila makubwa kama wakikuyu au waluo wenye wasemaji wengi sana katika eneo moja hali isiyosaidia kujifunza lugha tofauti pia kaskazini na magharibi mwa kenya wenyeji wengi si wasemaji wa lugha za kibantu nao hawaoni kiswahili ni lugha rahisi uganda inatumia kiswahili kama lugha ya polisi na jeshi hali ambayo haikuongeza upendo wa waganda kwa lugha kutokana na historia ya uganda ya kuwa na vita na serikali za kijeshi lakini kinasikika pia kama lugha ya biashara masokoni pamoja na kwamba waganda walikichukulia kiswahili kama lugha ya kitumwa lakini pia lugha hii ilionekana kuwa na ustaarabu wa kiarabu zaidi yaani uislamu lugha ya kiswahili ilitumika katika kueneza dini hiyo mashariki mwa kongo kiswahili kimeenea sana ni moja kati ya lugha nne za kitaifa katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kwenye visiwa vya ngazija comoros kuna lahaja mbalimbali za kiswahili zinazotumika na wananchi kidachi ni neno la kiswahili cha zamani linalosikika hadi leo katika sehemu za tanzania kwa ajili ya lugha ya kijerumani au tabia za wajerumani neno limetokana na deutsch tamka doitsh ambalo ni jinsi wajerumani wenyewe wanavyojiita kidachi mdachi wadachi na udachi yalikuwa maneno ya kiswahili cha kawaida kutokana na utawala wa kijerumani katika afrika ya mashariki ya kijerumani tangu mwisho wa ukoloni wa wajerumani mwaka na kuja kwa waingereza wasemaji wa kiswahili wamezoea zaidi kuwataja wadachi kwa kutumia jina lenye asili ya kiingereza yaani kijerumani mjerumani wajerumani na ujerumani mara nyingi maneno yenye dachi huchanganywa na neno la kiingereza dutch linalomaanisha waholanzi kidachi kimeathiri kwa kiasi fulani lugha ya kiswahili cha tanzania bara kama vile kukikopesha maneno mbalimbali kwa mfano shule hela n k mkoa wa rukwa ni mmojawapo kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba unapakana na mikoa ya kigoma tabora na katavi upande wa kaskazini mkoa wa mbeya upande wa mashariki zambia kusini na upande wa magharibi ziwa tanganyika lililo mpaka na kongo pia makao makuu ya mkoa ni sumbawanga kabla ya kumegwa mwaka eneo la mkoa lilikuwa takriban km kusini mwa mkoa liko ziwa rukwa ambalo ni kati ya maziwa makubwa ya afrika ya mashariki wilaya nne zilikuwa idadi ya wakazi katika mabano wilaya ya mpanda ilikuwa sehemu ya rukwa ikaendelea kuwa kiini cha mkoa mpya wa katavi kuanzia mwaka kulikuwa na wakazi sensa kwa asilimia kubwa waumini wa kanisa katoliki kabila kubwa zaidi mkoani ndio wafipa walioko hasa katika wilaya za sumbawanga na nkansi kati ya makabila mengine kuna wamambwe lungu wawanda na wanyamwanga katika wilaya ya sumbawanga kuna pia wasukuma wanyamwezi na wamasai wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo idhaa ya kiswahili sauti ya jamhuri ya kiislamu ya iran ni huduma ya matangazo ya islamic republic of iran broadcasting irib ambayo ni redio ya kitaifa ya iran uajemi kwa lugha ya kiswahili irib inarusha matangazo kwa lugha mbalimbali pamoja na kirusi kiarabu kiingereza kifaransa kichina na mengine kwa lugha ya kiswahili ilianza kurusha matangazo yake kwa mara ya kwanza siku ya ijumaa usiku ya tarehe desemba mwaka kwa wakati huo matangazo ya radio tehran yaliyokuwa yakirushwa kwa ajili ya nchi za mashariki na katikati mwa afrika yalianza yakiwa na wafanyakazi wachache kama vile sayyid muhammad ridha shushtari sayyid hashim shushtari ambaye kwa sasa ni marehemu muhammad baraza leyla kimani amir ibrahim abdul fatah mussa na ahmed rashid watangazaji wengine wa idhaa hii ni asmahan ghanima mohammad salum bendera mubarak henia sudi ja afar shaban na hussein hassan kamau lengo la kuasisiwa idhaa ya kiswahili sauti ya jamhuri ya kiislamu ya iran ni kufikisha sauti ya mapinduzi ya kiislamu ya iran kwa wananchi waliodhulumiwa wa bara la afrika kuelimisha na kufichua njama za ubeberu wa kimataifa dhidi ya bara hilo kuanzia tarehe aprili mwaka radio tehran ilianza kutangaza kwa muda wa saa moja kuanzia saa mbili na nusu usiku kwa saa za afrika mashariki na matangazo hayo kurejewa siku ya pili yake kuanzia saa asubuhi kwa majira ya afrika mashariki sawa na saa asubuhi kwa majira ya afrika ya kati mnamo tarehe mfunguo tatu dhulhijja hijria iliyosadifiana na tarehe aprili milaadia matangazo ya radio tehran yalianza kurushwa hewani kwa muda wa masaa matatu katika nyakati za usiku asubuhi na machana saa moja ilikuwa ni marudio ya matangazo ya asubuhi ambayo yalikuwa yakisikika kuanzia saa saba kamili hadi saa nane kamili mchana kila siku kwa majira ya afrika mashariki kwa hivi sasa idhaa imeongeza wafanyakazi wake ambapo matangazo ya mchana nayo sasa yanasikika kwa njia ya moja kwa moja kuanzia saa hadi mchana kwa saa za afrika mashariki inarusha matangazo yake kwa ajili ya nchi za tanzania kenya uganda rwanda burundi congo mashariki mwa zambia kaskazini mwa malawi na msumbiji pamoja na afrika kusini inarusha pia matangazo yake kwa ajili ya nchi za mashariki ya kati hususan za ghuba ya uajemi na ina waandishi wake katika maeneo ya afrika mashariki na kati kama vile kenya tanzania uganda burundi na kongo matangazo ya irib yanalenga kusambaza habari juu ya iran na utamaduni wake yanalenga kusambaza mitazamo ya kiislamu na mafundisho ya ahlul baiti as inayolingana na siasa ya iran matangazo ya irib pia yananawabaishia walimwengu ubeberu wa marekani na madola ya kimagharibi dhidi ya mataifa mengine na ukandamizaji wa utawala haramu wa israel dhidi ya wananchi madhulumu wa palestina mkoa wa pwani ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia ambayo yanajumuisha bagamoyo chalinze kibaha kibaha vijijini kibiti kisarawe mafia mkuranga na rufiji mkoa huu wenyeji wake ni watu wa makabila ya wakwere wazaramo wandengereko na wanyagatwa wilaya ya rufiji imegawanyika sehemu mbili visiwani na bara wenyeji wa visiwani ni wa kabila la wanyagatwa na walio bara ndio wandengereko wenyeji wa visiwani wanajishughulisha sana na uvuvi kilimo cha mnazi na kupika chumvi wandengereko wanajishughulisha sana na mazao ya vyakula kama vile mpunga mahindi n k mkoa huu ni maarufu sana kwa shughuli za kiutalii hususani katika mji wa bagamoyo wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo mkoa wa manyara ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba umepakana na mikoa ya arusha na kilimanjaro upande wa kaskazini mkoa wa tanga upande wa mashariki mkoa wa dodoma upande wa kusini na mikoa ya singida na shinyanga upande wa magharibi mkoa wa manyara umetengwa na mkoa wa arusha mwaka kwa azimio la rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania ukiwa na eneo la km babati ndiyo makao makuu ya mkoa jumla ya wakazi mkoani ilikuwa katika idadi hiyo imepatikana katika wilaya zifuatazo idadi ya wakazi katika mabano mwaka babati hanang mbulu simanjiro na kiteto sensa zinaonyesha kwamba ni kati ya mikoa ya tanzania yenye ongezeko kubwa la wakazi pia ni kati ya mikoa yenye maambukizi machache zaidi ya ukimwi wenyeji wa mkoa huu ni pamoja na wairaqw wamasai wambugwe wafyomi na wabarbaig wakijihusisha na shughuli za kilimo na ufugaji kama njia ya kuingiza kipato chao cha kila siku kuna wilaya zifuatazo mbulu babati babati mjini hanang simanjiro and kiteto wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo mkoa wa mwanza ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba umepakana na geita upande wa magharibi shinyanga na simiu upande wa kusini na mara upande wa mashariki ziwa la viktoria nyanza liko kaskazini makao makuu ya mkoa yapo mwanza mjini kabla ya kumegwa na kuzaa mkoa mpya wa geita mkoa wa mwanza ulikuwa na wakazi sensa ya mwaka katika wilaya ukiwa na eneo la km wilaya ndizo ukerewe magu sengerema geita misungwi kwimba nyamaganga na ilemela jiji la mwanza lina ndani yake wilaya za nyamagana na ilemela makabila makubwa ya mwanza ndio wasukuma upande wa bara halafu wakerewe na wakara visiwani wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo mkoa wa kilimanjaro ni kati ya mikoa ya tanzania wenye postikodi namba mlima kilimanjaro mlima mrefu kupita yote barani afrika umo ndani ya mkoa wa kilimanjaro jina la mlima huu ndilo limeupatia mkoa jina lake mkoa wa kilimanjaro umepakana na kenya upande wa kaskazini mkoa wa tanga upande wa kusini na mikoa ya manyara na arusha upande wa magharibi mkoani kilimanjaro kuna wakazi wapatao sensa ya mwaka makabila makubwa mkoani humo ni wachagga wagweno na wapare ambapo pia kuna makabila mengine madogomadogo kama wamasai na wakamba makao makuu ya mkoa huu ni moshi katika sekta ya elimu wakazi wameendelea kidogo kwa maeneo ya mjini lakini katika sehemu za vijijini elimu bado inatetereka kwa kiasi kikubwa maana teknolojia ya utandawazi katika eneo kubwa haijashamiri mkoa wa kilimanjaro una wilaya ambazo ni hai mwanga moshi mjini moshi vijijini rombo na same na ile mpya ya siha wakati wa uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo etimolojia ya jina zanzibar inaonyesha ya kuwa ni jina la kale sana hakuna uhakika kabisa kuhusu asili ya neno etimolojia ni elimu ya asili ya maneno na uhusiano yao na maneno mengine zanzibar ina uhusiano na maneno mawili ya kiarabu neno la kwanza ni zanj lililomaanisha watu weusi au ardhi yenye rutuba neno la pili ni baar linalomaanisha wema vile vile yawezekana ikawa neno zanzibar linatokana na neno la kiajemi zangi likimaanisha kengele au mtu mweusi na likimaanisha mshikaji menye kushika hiyo kengele waarabu na wajemi wote walikuwa muhimu katika historia ya bahari hindi pia mwambao wa afrika ya mashariki richard f burton mwingereza wa karne ya bk ailidai ya kwamba jina la zanzibar ni ya asili ya kiajemi neno la kiarabu zinj zanj limetokana na kiajemi zangi linalomaanisha mtu mweusi sehemu ya pili ni bar nchi kufuatana na burton neno la kiajemi zanzibar city island and coast vol i chaps v kufuatana na maelezo ya burton sauti g ya kiajemi ilibadilishwa na waarabu kuwa j hivyo zangi kuwa zanji burton aliendela kudai ya kuwa neno la kiajemi zangi liliingia hata mapema katika neno azania la zamani za kiroma kigiriki na hiyo ni dokezo ya kwamba wajemi walikuwa tayari mabaharia muhimu katika bahari hindi kabla ya uislamu inaonekana ya kwamba burton alikosa kwa upande wa bar neno hili linapatikana kwa kiarabu na kiajemi lugha zote mbili zinatofautiana sana kwa sababu kiarabu ni kati ya lugha za kishemi kisemiti lakini kiajemi ni kati ya lugha za kihindi kiulaya lugha zote mbili zimepeana maneno mengi tangu uajemi kuvamiwa na waarabu na kuwa nchi ya kiislamu isipokuwa bar ni neno la asili ya kishemi linapatikana kwa maana ileile pia katika lugha ya kiebrania kama br vilevile katika lugha ya kisiryani swali ni kama burton alikosa pia kuhusu etimolojia ya zanj zangi tatizo ni ya kwamba hakuna sababu kuwaza badiliko la g ya kiajemi kuwa sauti ya z katika kigiriki kutokana na utaratibu wa lugha ya kigiriki kuna uhusiano wa neno letu na jina la kale zingis claudius ptolemaios i iv and zingium cosmas indicopleustes kwa ajili ya pwani la afrika ya mashariki kwa mahitaji yetu inatosha kusema ya kwamba kuna jina la kale kwa ajili ya mwambao wa afrika ya mashariki lililowahi kutajwa kwa umbo tofauti katika karne za kale kama vile zingis zingium azania au nchi bar ya zanj kiarabu au ya zangi kiajemi wajemi na waarabu wote walitaja pia watu weusi kwa neno hili zangibar au zanjbar ni nchi ya watu weusi wareno waliandika jina hili kama zanguebar kwa matamshi ya kiajemi hivyo ndivyo inavyoonekana katika ramani za kiulaya kuanzia karne ya hadi bk wareno walianza baadaye kutofautisha kati ya bara na kisiwa wakiandika jina la kisiwa mbele ya pwani la zanguebar kama zanzibar yaani kwa namna inayolingana zaidi na matamshi ya kiarabu lakini waliendelea kusema zanguebar wakimaanisha bara pemba ni kisiwa kilichopo takriban km kaskazini ya unguja katika bahari hindi visiwa vyote viwili ni sehemu za jamhuri ya watu wa zanzibar katika tanzania umbali na tanganyika au tanzania bara ni km pemba pamoja na visiwa vidogo karibu nayo ina wakazi katika eneo la km miji muhimu ya pemba ndiyo chake chake mkoani na wete pemba kuna miwili ya mikoa za tanzania ambayo ni uchumi wa pemba ni hasa kilimo pamoja na uvuvi mazao ya sokoni hulimwa hasa karafuu katika utamaduni wa pemba kuna desturi ya kipekee katika afrika ndiyo mchezo wa ng ombe iliyorithiwa na wareno walipokuwa na athari kisiwani karne zilizopita mchezo wa ng ombe ni desturi inayojulikana hasa katika nchi za hispania na ureno pia katika maeneo ya jirani ya ufaransa kusini na katika koloni za zamani za hispania huko amerika ya kilatini kama meksiko imekuwa pia mila ya pekee kwenye kisiwa cha pemba tanzania kila mahali ni mashindano kati ya wanadamu na fahali wa ng ombe lakini kuna taratibu tofautitofauti katika mchezo wa hispania fahali anauawa uwanjani mchezo unafanywa katika uwanja wa pekee unaoitwa plaza de toros wale wanoshindana na ng ombe dume wanaitwa torero mkuu wao atakayemwua kwa pigo la upanga wake ni matador matador anatangulia kucheza na fahali kwa kumkasirisha kwa kitambaa chekundu na kutoroka akishambuliwa wasaidizi wake wanapita kwa farasi na kumdunga fahali kwa mikuki midogo kwa kusudi la kumdhoofisha mwishoni ng ombe anauawa na matador kwa upanga muda wa mchezo ni kama dakika kwa kila mnyama ilhali wahispania wanaua ng ombe wa dume aareno wanawachezea tu hadi kuwaangusha chini bila kuwaua historia ya desturi hii inarudi nyuma hadi zamani za dola la roma watu walipopenda kuwa na maonyesho ya mapambano ya wanyama pori ama ya wenyewe kwa wenyewe au zaidi ya watu dhidi ya wanyama hawa maonyesho haya yalifanyika katika uwanja wa mji kwa mfano uwanja wa koloseo huko roma desturi hii imepotea kila sehemu ya eneo la kale la dola la roma kwa sababu ilipingwa na kanisa la kikristo isipokuwa hispania na ureno pemba ndipo mahali pa pekee katika afrika penye desturi hii ya mchezo wa ng ombe hii ni kutokana na athira ya ureno kwenye mwambao wa afrika ya mashariki miaka iliyopita mara wareno walikuwa na kituo huko chake chake mara walikuwa na mapatano ya usaidizi na pemba mara waliuachia utawala sultani wa mombasa haijulikani jinsi walivyoacha desturi hii pemba kuhusu mchezo huu amesema abdullah amur suleiman taasisi ya taaluma za kiswahili tataki ni idara ya chuo kikuu cha dar es salaam tanzania taasisi hii ni miongoni mwa taasisi kongwe za lugha nchini tanzania madhumuni yake yakiwa ni kusimamia usanifishaji na maendeleo ya lugha ya kiswahili hadi mnamo mwaka taasisi hii ilijulikana zaidi kwa jina la tuki au taasisi ya uchunguzi wa kiswahili ilianzishwa mnamo mwaka kama inter territorial language swahili committee ya nchi za afrika ya mashariki baadaye ikaitwa kamati ya kiswahili ya afrika mashariki mnamo mwaka kamati ilifanywa kuwa sehemu ya chuo kikuu cha dar es salaamu baadaye ikaitwa chuo cha uchunguzi wa lugha ya kiswahili tangu kimepewa jina la taasisi ya uchunguzi wa lugha ya kiswahili mwaka tuki iliungana na iliyokuwa idara ya kiswahili ya chuo kikuu cha dar es salaam na kuunda taasisi kubwa zaidi inayoitwa taasisi ya taaluma za kiswahili tataki mwanzoni taasisi ya uchunguzi wa kiswahili ni taasisi ya utafiti ilipewa jukumu la kutafiti nyanja zote za lugha ya kiswahili fasihi na utamaduni na kuchapisha matokeo ya utafiti huo hivyo pamoja na bakita baraza la kiswahili tanzania tuki ndiye mlinzi wa usanifu wa lugha ya kiswahili katika tanzania baada ya kuungana na idara ya kiswahili sasa tataki inafundisha isimu fasihi na historia ya lugha ya kiswahili katika shahada za awali mahiri na uzamivu kutafiti na kuchapisha matokeo ya utafiti katika nyanja mbalimbali za lugha isimu na fasihi ya kiswahili tataki inasimamia tafsiri na ukalimani inafundisha kiswahili kama lugha ya pili hasa kwa wageni kutoka nje ya ulimwengu wa waswahili na kuendeleza utungaji wa kamusi mbalimbali zinazohusiana na kiswahili kati ya kamusi hizi ni tuki imehariri toleo la kiswahili la historia kuu ya afrika iliyotungwa na kamati ya wataalamu ya unesco joseph hill januari ndash agosti alikuwa mtunzi na mwimbaji wa reggae toka nchini jamaika alianza muziki katika kundi lijulikanalo kama the soul defender lililokuwa na makazi yake kitongoji cha st catherine baadaye akaanzisha kundi la culture akiwa na telford nelson na albert walker mwaka walitoa wimbo uliovuma sana uitwao two sevens clash ambao ulizungumzia herufi mbili za katika mwaka hadi sasa joseph hill na wenzake wametoa album falsafa ya nyimbo za joseph hill ni ya kimapinduzi na kiroho inayopinga utumwa na ukosefu wa maadili na ucha mungu joseph hill ni muumini wa imani na utamaduni wa kirastafari katika wimbo wake wa wa pay day anauliza ni lini watu walioumizwa na utumwa watalipwa pia amepinga aina zote za ukoloni na kumzumgumzia chistopher columbas kama muongo kwa kusema kwamba amegundua visiwa vya jamaika ambavyo vilikuwapo tayari na watu joseph hill pia anaenzi kitabu bibilia anachoamini kuwa ni kitakatifu na amekuwa akitumia mistari na manabii toka kwenye biblia kwenye nyimbo zake kwa mfano wimbo wake kuhusu nabii eliya kaskazini mashariki ni moja kati ya mikoa ya kenya eneo lake ni km kuna wakazi sensa ya wakati wa ukoloni eneo hili liliitwa northern frontier district eneo la mpakani wa kaskazini likitawaliwa pekee na sehemu kubwa ya kenya wakazi walio wengi ni wasomalia kilugha na kiutamaduni kuwepo kwao ndani ya kenya badala ya somalia ni urithi wa mipaka ya kikoloni wengine ni waborana warendille na waturkana kuna pia makambi makubwa ya wakimbizi wasomalia hasa karibu na daadab eneo hili ni kavu sana mbali na bonde la mto wa tana na maeneo mengine madogo mkoa haufai kwa kilimo wakazi walio wengi hujipatia riziki kutokana na ufugaji mkoa wa kaskazini mashariki una wilaya nne ali farka tour ni mmoja wa wanamuziki mahiri barani afrika alizaliwa jijini bamako nchini mali mwaka jina lake hasa ni ali ibrahim tour muziki wa ali farka tour ni mchanganyiko wa muziki wa asili wa mali na muziki wa amerika ya kaskazini hasa blues tour alizaliwa katika kijiji cha kanau katika ukingo wa mto niger kaskazini magharibi mwa nchi ya mali mama yake alikuwa na watoto kumi ambapo ndugu zake wote walifariki wakiwa wachanga jina la farka ni jina la utani ambalo alipewa na wazazi wake likimaanisha mnyama punda kutokana na kuwa na msimamo mkali na kiburi muziki wa tour una nguvu kama za miujiza wapenzi wake dunia nzima wamelogwa na upigaji wake wa gitaa mara nyingi nyimbo zake amekuwa akiimba kwa lugha za kisonghai kifula na kitamasheck albamu yake iitwayo talking timbukuta ambayo aliitoa kwa kushirikiana na mwanamuziki ry cooder iliuzwa na kumpatia umaarufu mkubwa hasa katika soko la muziki la nchi za magharibi mwaka alitoa albamu ya in the heart of the moon akishirikiana na mwanamuziki toumani diabat albamu hii ilimpatia tuzo ya grammy pamoja na muziki ali farka tour alikuwa akijihusisha na masuala ya kisiasa mwaka alichaguliwa kuwa meya wa mji wa niafunk ali farka tour alifariki dunia machi baada ya kuugua ugonjwa wa kansa rupia ni jina la pesa inayotumika leo huko india na katika nchi mbalimbali za asia ni pia jina la pesa iliyowahi kutumika afrika ya mashariki na nchi mbalimbali neno rupia limetokana na lugha ya kihindi cha kale rp au rp linalomaanisha fedha katika lugha ya sanskrit rupyakam inamaanisha sarafu ya fedha hii ni asili ya rpaya iliyotumika katika india kama sarafu yenye gramu za fedha tangu mwaka rupia moja ilikuwa na anna paisa au pai leo hii nchi zifuatazo zinatumia jina la rupia rupiah rupee kwa pesa zao rupia ilikuwa pesa ya nchi na maeneo yafuatayo afrika ya mashariki ya kiingereza kwa kiingereza british east africa protectorate lilikuwa jina la eneo la kenya lililowekwa chini ya utawala wa ulinzi wa uingereza kuanzia mwaka hadi bk kama mtangulizi wa koloni la kiingereza la kenya wakati wa mashindano ya kugawa afrika kati ya madola ya ulaya kampuni ya kifalme ya kiingereza kwa afrika ya mashariki ilianza shughuli zake katika eneo hili kwa kibali cha sultani wa zanzibar kuanzia mwaka kampuni hiyo ilitakiwa kuwa na mamlaka juu ya eneo hili kwa kusudi la kufanya biashara lakini uwezo wake haukutosha kutimiza shughuli hasa maandalizi ya kujenga reli ya uganda kati ya mombasa na kampala baada ya kuazimia kujenga reli uingereza iliona haja ya kulinda eneo la reli hiyo ndipo ikatangaza eneo lote kati ya mombasa na uganda kuwa chini ya ulinzi wake kuanzia tarehe julai huo ndio mwanzo wa afrika ya mashariki ya kiingereza ambaye baadaye iliitwa kenya eneo hilo baadaye lilipanuliwa zaidi hadi kukutana na maeneo yaliyokuwa chini ya utawala wa italia somalia na ethiopia upande wa kaskazini utawala wa ushirikiano wa misri na uingereza sudan upande wa kusini mpaka ulifuata mapatano na afrika ya mashariki ya kijerumani mpaka na eneo chini ya utawala wa ulinzi wa uganda ulisahihishwa mwaka hadi wakati ule sehemu kubwa ya eneo la kenya ya magharibi ya leo ilihesabiwa kuwa upande wa uganda baada ya vita kuu ya kwanza hali ya eneo ilibadilishwa kuwa koloni la kenya kuanzia siti binti saad alizaliwa fumba zanzibari akapewa jina la mtumwa kwa vile alizaliwa kipindi cha utumwa wa kiarabu jina la siti alipewa na kabaila mmoja wa kiarabu baba yake bwana saadi alikuwa ni mnyamwezi kutoka tabora na mama yake alikuwa ni mzigua toka tanga lakini wote wawili walizaliwa zanzibari hali ya maisha ya familia yao ilikuwa ni duni sana na walijishughulisha zaidi katika shughuli za kilimo na ufinyanzi kazi ambazo siti alijifunza na kuzimudu vizuri pia kama waswahili wasemavyo kuzaliwa masikini si kufa masikini siti alibarikiwa kuwa na kipaji cha pekee cha uimbaji kipaji hiki kilimsaidia sana tangu siku za awali za maisha yake kwani alitumia uimbaji wake kuuza vyungu vya mama yake alivyokuwa akimsaidia kuvitembeza siti alipoimba sauti yake iliweza kupaa na kusafiri kwa umbali wa maili nyingi na hii ndio ilikuwa ishara ya watu kujua kwamba vyungu vya kina mtumwa vinapita leo alifananishwa kuwa na mapafu yenye nguvu kama ya simba kutokana na alivyoweza kupaza sauti yake mbali na bila kuachia pumzi kutokana na wakati huo elimu kwa watoto wa kike kutotiliwa mkazo siti hakuwahi kwenda shule wala kuhudhuria mafunzo ya kurani hivyo mnamo mwaka aliona ni bora ahamie mjini ili kubooresha maisha yake zaidi ujio wake wa mjini ulikuwa wa neema kwani alikutana na bwana mmoja wa kundi la muziki wa taarabu la nadi ikhwani safaa aliyeitwa muhsin ali katika kipindi hicho hilo ndilo lilikuwa kundi pekee la muziki wa taarabu lililoanzishwa na sultani mpenda starehe na anasa bwana seyyid barghash said kundi hili lilikuwa ni la wanaume peke yake wanawake hawakuruhusiwa kujiunga na vikundi vya muziki kwa vile ilikuwa ikichukuliwa kama ni uhuni bwana muhsin alikiona kipaji cha pekee cha siti na hivyo akajitolea kumfundisha kuimba kwa kufuata vyombo vya muziki na lugha ya kiarabu baada ya hapo alikwenda kumtambulisha kwa wanamuziki wenzie wa nadi ikhwani safaa ambao bila kusita wakaanza kufanya naye maonyesho mbalimbali katika jamii walipata mialiko mingi hasa kutoka kwa sultani na matajiri wengine wa kiarabu pia katika maharusi na sherehe zingine mbalimbali inasemekana ulifika wakati ambapo sherehe ilishindwa kufana kama siti binti saadi hakuwepo kutumbuiza siti alikuwa ni moto wa kuotea mbali na jina lake lilivuma kwa haraka sana hadi nje ya mipaka ya nchi na bara la afrika na punde siti alianza kufananishwa na umm kulthum mwimbaji mahiri wa kike aliyetamba wakati huo kutoka misri kama nilivyosema moto wa siti ulikuwa si wa kuusogelea karibu mwaka kampuni ya kurekodi muziki ya columbia and his master s voice yenye makazi yake mumbai india ilisikia umaarufu wa siti binti saadi na hivyo ikamwalika yeye pamoja na kundi lake kwenda kurekodi kwa lugha ya kiswahili ili kujaribu kama muziki wake utauzika kampuni ile haikuweza kuamini jinsi muziki ule ulivyouzika kwa kasi kubwa kwani wastani wa santuri ziliweza kuuzika katika kipindi cha miaka miwili ya mwanzo na hadi kufikia santuri zilikuwa zimeuzwa kutokana na kusambaa kwa santuri hizi umaarufu wa siti ulizidi mara dufu watu kutoka sehemu mbalimbali za dunia walikuwa wakija zanzibari kuja kumwona mambo yalizidi kuwa mazuri kwa siti hadi ikafikia hatua kampuni ya kurekodi ya columbia kuamua kujenga studio ya kurekodi muziki palepale zanzibar maalumu kwa ajili ya siti binti saadi hatua hiyo ya hadi kujengewa studio iliwaumiza wengi wenye wivu hivyo wakaanza kumtungia nyimbo za kumkejeli ili kumshusha na hasa walitumia kigezo kwamba hana uzuri wa sura nyimbo nyingi ziliimbwa lakini huu ndio uliovuma sana na yeye kwa kujua hila za wabaya wake akaona isiwe taabu akajibu shambulio namna hii kwa kujibu shambulio hilo kwa namna yake aliwafunga midomo wale wote waliokuwa wakifumatafuata siti pia alikuwa ni mwanamke wa kwanza mwanaharakati katika kipindi chake alitetea wanawake na wanyonge kwa ujumla kwani katika kipindi chake watu matajiri walikuwa wakiwaonea masikini na walipofikishwa mbele ya haki waliweza kutoa hongo na kuachiwa huru halafu wewe uliyeshitaki ndiye unayefungwa utunzi wake wa wimbo wa kijiti ulimpatia sifa kubwa kwani ulikuwa ukielezea kisa cha kweli kilichomkuta mwanamke mmoja mgeni kutoka bara mwanamke huyu alipofika alikutana na tajiri mmoja ambaye alijifanya amempenda hivyo akamchukua na kulala naye halafu baadaye akamuua tajiri yule alishitakiwa na bahati nzuri walikuwepo mashahidi wawili walioshuhudia tukio lile lakini kwa vile ni tajiri alitoa pesa na kesi ikawageukia wale mashahidi na kufungwa siti akatoa wimbo huu siti aliendelea kumwambia katika nyimbo zake kwamba asijethubutu kwenda dar er salaam kwa maana watu wenye hasira wanamsubiri na wameapa kwa ajili yake siti aliendelea na shughuli yake ya muziki hadi uzeeni muda mfupi kabla ya kifo chake alikutana na mwandishi maarufu na mwanamashairi shaaban robert ambaye alimhoji na kuweza kuandika wasifu wake katika kitabu alichokiita wasifu wa siti binti saadi wasifu huu unaonekana kuwa ndio bora zaidi uliowahi kuandikwa katika fasihi ya tanzania kitabu hiki kinatumika kufundishia shule za sekondari za tanzania tarehe julai siti binti saadi alifariki dunia na kuacha pengo kubwa katika fani ya taarabu ingawa pengo hilo haliwezi kuzibika lakini kuna watu wengi walioweza kuibuka na umaarufu wa kuimba taarabu kupitia kwake mfano hai ni bi kidude hata baada ya kifo chake jina lake bado linatumika sana kama kielelezo cha ushujaa wake chama cha waandishi wa habari wanawake tanzania tamwa kimetumia jina lake kulipa jina gazeti la chama chao sauti ya siti hadi leo hii siti hutumika kama kipimo cha kufundishia uimbaji wa taarabu na anakumbukwa katika historia yake ya kuwa mwanamke wa kwanza afrika mashariki kurekodi muziki katika santuri kwa maana nyingine za jina hili angalia ruanda rwanda zamani pia ruanda ni nchi ya afrika ya mashariki isiyo na pwani kwenye bahari yoyote imepakana na uganda jamhuri ya kidemokrasia ya kongo burundi na tanzania rwanda ni mwanachama wa umoja wa mataifa na wa umoja wa afrika rwanda huitwa nchi ya vilima elfu kwa kinyarwanda igihugu cy imisozi igihumbi kwa kifaransa pays de mille collines ndivyo sehemu kubwa ya eneo lake inavyoonekana hasa magharibi ni nyanda za juu na milima sehemu kubwa ni mita juu ya ub milima kaskazini mwa nchi inapanda hadi mita juu ya ub kutokana na urefu huo hali ya hewa haina joto kali mpaka na kongo ni hasa ziwa kivu ambalo ni mojawapo kati ya maziwa ya bonde la ufa la afrika ya mashariki mpakani kwa kongo na uganda ndiyo milima ya kivolkeno ya virunga huko kuna mazingira ya pekee duniani yenye sokwe wa milimani wako hatarini kuangamizwa kutokana na uwindaji na upanuzi wa mashamba unaopunguza mazingira wanamoishi miji mikubwa zaidi ndiyo kigali wakazi butare wakazi gitarama wakazi ruhengeri wakazi na gisenyi wakazi namba za januari kigali ni mji mkuu wenye kiwanja cha ndege cha kimataifa na mahoteli makubwa gisenyi ni mji kwenye ncha ya kaskazini ya ziwa la kivu mpakani kwa kongo ukiwa jirani na mji wa goma kuna usafiri wa mashua kwenda kibuye na cyangugu kibuye ni mji mdogo ufukoni mwa ziwa la kivu una wavuvi wengi kituo cha watalii na nyumba za kihistoria za wamisionari hadi mwaka watutsi waliishi katika wilaya ya kibuye lakini tangu uangamizaji wa watutsi katika vita vya wenyewe kwa wenyewe wamebaki pekee butare ni kitovu cha utamaduni kusini mwa nchi chenye chuo kikuu wakazi wa rwanda ni zaidi ya milioni banyarwanda milioni wako uganda na wengi zaidi jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kwa kawaida vikundi vitatu hutajwa kuwa wakazi wa rwanda ndio wahutu watutsi watwa lakini kuna tofauti kali kati ya mawazo kama vikundi hivyo ni makabila mataifa ya pekee au matabaka ya kijamii hali halisi wanatumia lugha ileile ya kinyarwanda na wanafuata utamaduni uleule wanahistoria wengi wanasema ya kuwa watwa walikuwa wakazi wa kwanza wakiwa wawindaji wahutu ndio wakulima wa kibantu waliopatikana kwa uenezi wa wabantu katika afrika ya kati na mababu wa watutsi waliingia kama wafugaji kutoka kaskazini watutsi walikuwa tabaka la kikabaila pia mfalme alikuwa mtutsi lakini wengine wanaamini ya kwamba vikundi vyote vitatu vilijitokeza nchini si kama tokeo la uhamiaji mbalimbali lakini zaidi kama matabaka yaliyotofautiana kikazi wakulima wavindaji na wafugaji waliokuwa pia askari wa mfalme wakati wa ukoloni wabelgiji walihesabu mwaka wakazi wa nchi kama ifuatavyo wahutu watutsi na watwa kabla ya uhuru vilitokea kwa mara ya kwanza vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya makabila mawili makubwa viliyosababisha kupungua kwa watutsi kutokana na mauaji na zaidi kwa watutsi kukimbilia nchi jirani mnamo asilimia ya watutsi ilikadiriwa kuwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya miaka ya vilileta uangamizaji mkubwa wa watutsi kati ya asilimia hadi za wakazi watutsi waliuawa katika wiki chache za mwaka baada ya mwisho wa vita watutsi wengi ambao wenyewe au wazazi wao walikuwa wamekimbilia uganda na tanzania walirudi tena rwanda kwa wastani kuna wakazi kwa kilomita ya mraba ambayo ni msongamano mkubwa kabisa katika afrika karibu nusu ya wakazi ni watoto hadi umri wa miaka wastani wa muda wa maisha ni miaka pekee vita vimesababisha idadi kubwa ya wagonjwa wa ukimwi lugha ya taifa lugha rasmi na lugha ya mama kwa wanyarwanda wote ni kinyarwanda ambayo ni lugha ya kibantu mojawapo ya niger kongo mijini na sokoni kiswahili kinatumika pia lakini si lugha asilia ya rwanda lugha rasmi tangu enzi za ukoloni ni kifaransa tangu mwaka serikali mpya iliyoongozwa na watutsi walioishi miaka mingi uganda imetumia pia kiingereza kama lugha rasmi ya tatu tazama makala uislamu nchini rwanda kadiri ya sensa ya mwaka wakazi wengi ni wakristo hasa waprotestanti na wakatoliki waislamu ni kwa sasa serikali inazidi kufungia maabadi miezi saba ya kwanza ya mwaka imefungia tayari makanisa tazama makala historia ya rwanda rwanda ilikuwa ufalme tangu karne ya kwa jina la rwanda rugali mwanzo wa karne ya ilikuwa sehemu ya afrika ya mashariki ya kijerumani na sababu ya mzozo kati ya ujerumani na ubelgiji baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia rwanda ikawa chini ya ubelgiji kama eneo lindwa uhuru katika mwaka ulifika pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya wahutu na watutsi uhusiano kati ya vikundi hivi viwili uliendelea kuwa vigumu kuuawa kwa rais juvenal habariyama mwaka kulisababisha mauaji ya watu karibu milioni moja walau kati ya watutsi watwa pamoja na wahutu wasio na msimamo mkali kikundi cha rpf chini ya paul kagame kiliingia kati na kuchukua madaraka tangu ushindi wake wa kijeshi mwaka rpf ilianzisha serikali ya umoja wa kitaifa mwaka palitokea uchaguzi wa kwanza rwanda pamoja na burundi zilijiunga na kenya uganda na tanzania kama wanashirika wa jumuia ya afrika mashariki kwa maendeleo muhimu katika elimu afya uchumi na mambo mbalimbali mwaka bunge la rwanda liliamua kufanya kiswahili kuwa moja ya lugha rasmi nchini vita vya kongo vilivyokuwa na majeshi ya mataifa mbalimbali kivu conflict vilimalizika mwaka rais na mkuu wa dola ndiye jenerali paul kagame rpf waziri mkuu ni anastase murekezi kuanzia mwaka kuna mikoa mitano inayogawanyika katika wilaya kadhaa taarifa za jumla makala hii inahusu nchi ya malawi kwa maana mbalimbali za neno taz malawi maana malawi zamani unyasa au nyasaland ni nchi ya afrika ya kusini mashariki ikipakana na tanzania msumbiji na zambia jina la nchi limeteuliwa kutokana na ufalme wa maravi wakati wa ukoloni iliitwa unyasa sehemu kubwa ya eneo lake ni ziwa linaloitwa na majirani ziwa nyasa au niassa lakini ziwa malawi hapa nchini kati ya malawi na tanzania kuna mzozo kuhusu eneo la ziwa ambao unazidi kufanyiwa kazi wakazi wa kwanza wa malawi walikuwa wawindaji wakusanyaji wasan katika karne ya bk walifika wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi wengi walizidi kuelekea kusini lakini wengine walihamia nchini hakuna habari za kimaandishi kabla ya kufika kwa wazungu tangu karne ya ufalme wa wamaravi ulikuwepo upande wa kusini wa ziwa wamaravi walipanua utawala wao lakini katika karne ya walishambuliwa sana na wayao walioendesha biashara ya watumwa wakiwakamata katika eneo la ziwa na kuwapeleka hadi pwani ya bahari hindi kama vile kilwa mwaka mwingereza david livingstone alifika ziwani wamisionari walimfuata hasa wapresbiteri kutoka uskoti waliotafuta wafuasi wa ukristo na kumpambana na wafanyabiashara ya utumwa mwaka serikali ya uingereza iliweka nchi upande wa magharibi na kusini kwa ziwa chini ya ulinzi wake ikawa nyassaland protectorate halafu tangu koloni la unyasa wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia waingereza waliogopa kushambuliwa kutoka afrika ya mashariki ya kijerumani wakachukua hatua za kudai huduma za nyongeza kutoka kwa wananchi hii ilisababisha ghasia ya john chilembwe dhidi ya wakoloni baada ya vita kuu ya pili ya dunia waingereza waliunganisha unyasa na rhodesia leo zambia na zimbabwe kuwa shirikisho la afrika ya kati mwaka shirikisho hilo halikudumu hadi mwisho wa ukoloni kutokana mielekeo tofautitofauti katika sehemu tatu za shirikisho katika unyasa daktari hastings kamuzu banda alijitokeza kuwa mwanasiasa aliyependelewa na wananchi wengi akawa waziri mkuu wakati wa unyasa kupata madaraka ya kujitawala katika mambo ya ndani na baadaye rais wa kwanza wa taifa mwaka unyasa nyassaland ilikuwa nchi huru kabisa lakini bado sehemu ya jumuiya ya madola chini ya malkia wa uingereza kwa miaka miwili ya kwanza mwaka banda alitangaza kura ya katiba mpya iliyopokewa na wananchi nchi ilipata jina la malawi na chama cha malawi congress party kikawa chama pekee banda aliendelea kutawala akatangazwa kuwa rais kwa muda wote wa maisha yake mwaka mabadiliko ya kimataifa baada ya kuporomoka kwa ukomunisti na ukuta wa berlin miaka yalileta shinikizo kote afrika dhidi ya serikali zilizofuata mtindo wa chama kimoja shinikizo hilo lilimkuta banda mzee na mgonjwa ilhali watu wa familia yake wakitawala kupitia yeye hali ya uchumi ilikuwa duni rushwa na magendo juu mwaka serikali yake ililazimishwa kukubali kura ya wananchi wote walioamua kumaliza mfumo wa chama kimoja na kuanzisha kipindi kipya uchaguzi huru wa mwaka ulimaliza utawala wa mcp ukamfanya bakili muluzi wa united democratic front udf ndiye rais aliyechaguliwa mara ya pili katika uchaguzi wa mwaka alishinda tena mgombea wa udf ndiye bingu mutharika aliyeapishwa kuwa rais wa malawi tarehe mei huko blantyre malawi ilikuwa na siasa ya chama kimoja chini ya rais wa kwanza hastings kamuzu banda tangu kupata uhuru mwaka na masahihisho ya katiba tangu kura ya wananchi mwaka malawi imeanzisha mfumo wa vyama vingi vya kisiasa kutokana na katiba ya rais wa taifa anayechaguliwa na wananchi ndiye mkuu wa dola pia mkuu wa serikali makamu wa rais anachaguliwa pamoja naye lakini rais ana haki ya kumteua makamu wa pili asiyetoka katika chama chake mawaziri huteuliwa ama kati ya wabunge au nje ya bunge wabunge wanachaguliwa moja kwa moja na wananchi kwa muda wa miaka mitano mahakama zinafuata mtindo wa uingereza majaji huteuliwa kwa muda wa maisha wanatakiwa kuwa huru na kutoathiriwa na siasa utawala hutekelezwa katika mikoa mitatu ya nchi zinazogawiwa katika wilaya wakuu wa mikoa na wilaya huteuliwa na serikali kuu mnamo novemba palitokea uchaguzi wa kwanza wa ngazi ya chini mjini na vijijini serikali za mitaa zimeundwa na wilaya katika maeneo matatu kaskazini kati na kusini yanayotawaliwa na watawala wa maeneo na wakuu wa wilaya ambao wanachaguliwa na serikali kuu chini ya ngazi ya wilaya kuna tarafa na vijiji vinavyoitwa maeneo madogo ya machifu uchaguzi wa kwanza wa serikali za mitaa katika historia ya mfumo wa vyama vingi ulifanyika mnamo novemba udf ilishinda asilimia ya viti hivi katika uchaguzi huu wilaya ni hizi zifuatazo wakazi wengi ni wa makabila ya wabantu na wanatumia lugha za kibantu hasa kichewa zaidi ya lakini lugha rasmi ni kiingereza upande wa dini kadiri ya sensa ya mwaka wakazi wengi ni wakristo kati yao wakatoliki wakifuatwa na waislamu msumbiji pia mozambik kwa kireno moambique ni nchi ya afrika ya kusini mashariki msumbiji iko ufukoni mwa bahari hindi ikipakana na tanzania malawi zambia zimbabwe afrika kusini na uswazi upande wa mashariki kuna kisiwa cha madagaska ng ambo ya mlango bahari wa msumbiji jina la nchi limetokana na kisiwa cha msumbiji kwa kireno ilha de moambique kilichokuwa boma na makao makuu ya ureno kwenye pwani ya afrika ya mashariki sikukuu ya taifa ni tarehe juni ulipopatikana na uhuru mwaka tambarare ya pwani ni sehemu kubwa ya kusini mwa nchi lakini kwenda kaskazini upana wake unapungua nyuma ya tambarare nchi inapanda hadi kufika uwiano wa tambarare ya juu ya afrika ya kusini milima mirefu zaidi inajulikana kama inyanga yenye mita juu ya ub iko katika jimbo la tete inayopakana na zimbabwe zambia na malawi mito iko mingi mkubwa zaidi ukiwa ndio zambezi halafu ruvuma mpakani kwa tanzania save na limpopo ziwa la nyassa ni sehemu ya mpaka na malawi umbo la eneo la nchi ni refu sana ni kilomita kutoka mpaka wa tanzania upande wa kaskazini hadi maputo iliyoko karibu na uswazi na afrika kusini pwani ya bahari hindi ina urefu wa km miji mikubwa zaidi ni maputo wakazi matola wakazi na beira wakazi wakazi wa kwanza wa msumbiji huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani katika karne za kwanza bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi ambao walimeza wakazi wa kwanza inavyothibitishwa na dna haijulikani ni lini ya kwamba wafanyabiashara waarabu walianza kufika ufukoni na kujenga vituo na miji yao lakini utamaduni wa waswahili ulifika hadi sehemu za mwambao wa msumbiji hadi leo aina ya kiswahili inazungumzwa kwenye visiwa vya kirimba mto wa zambezi ilitumika kama njia ya mawasiliano na biashara kati ya ufalme wa mwene mtapa zimbabwe na wafanyabiashara wa pwani taarifa za kimaandishi zinaanza na kufika kwa wareno mwaka vasco da gama alifika akiwa njiani kuelekea bara hindi baadaye msumbiji ikawa koloni la wareno hadi mwaka vita vya ukombozi vya miaka vilipomalizika kwa ushindi hata hivyo vilifuata vita vya wenyewe kwa wenyewe miaka watu nchini msumbiji kuna makabila mengi sana kama vile wamakua wanyungwe wayao wamakonde na watsonga kila kabila lina lugha yake lakini lugha rasmi ni kireno ambacho kinaweza kuzungumzwa na za wakazi ingawa ni lugha ya nyumbani kwa tu upande wa dini sensa ya mwaka ilikuta ni wakristo hasa waprotestanti na wakatoliki ambao ni na ni waislamu wanafuata dini asilia za kiafrika au nyingine kumbe hawana dini yoyote kufuatana na kampeni ya ukomunisti ya miaka kanisa hilo linaamini teolojia ya mungu mmoja wa kweli mwenyekiti wa sasa wa tjc international assembly aliyechaguliwa ni mhubiri yong ji lin kwa sasa kuna wanachama takriban milioni katika nchi hamsini na tatu na mabara sita idadi kubwa wako ndani ya uchina ambako si rahisi kuhakikisha idadi kamili kwa sababu tsc ni kati ya makanisa na vikundi vya kikristo vilivyopigwa marufuku na serikali ya nchi hiyo tovuti za tjc katika nchi mbalimbali zinataja wakristo hadi katika nchi huru wengi wao wakiwa na asili ya kichina kanisa lilianzishwa wakati wa kustawishwa kwa harakati za kipentekoste nchini uchina mwanzo wa karne ya harakati hizi zilianzia marekani wakati wa mkutano wa kwanza wa kipentekoste katika azusa street revival huko los angeles iliyoongozwa na william j seymour miaka toka huko tapo hilo lilienea hadi uchina kulikuwepo moja ya nyumba tatu za kichina zilizotengenezwa kabla ya chama cha kikomunisti cha uchina kuchukua mamlaka mwaka kanisa lina lengo la kuhubiri injili kwa kila nchi kabla ya kurejea kwa yesu kristo tangu mwaka lilianza kuwasiliana na kikundi cha kikristo huko jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kilichojiunga nalo mnamo mwaka kati ya imani nyingine za pekee ni hizi zifuatazo mafundisho mengine yanafanana na yale ya wapentekoste kama vile kusema kwa lugha za roho au kubatizwa kwa jina la yesu kwa kuzamishwa chini ya maji tena maji ya kutiririka ingefaa ueleweke ukweli wa msimamo wa tjc kulingana na biblia wanapodai kwa miaka mia kadhaa duniani halikuwepo tena kanisa la kweli mbona yesu aliahidi nipo pamoja nanyi siku zote hata ukamilifu wa dahari mathayo tena wewe ndiwe petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu wala milango ya kuzimu haitalishinda mathayo umoja wa afrika ua kwa kiingereza african union au kifaransa union africaine ua kihispania unin africana ua kireno unio africana ua ni muungano wa nchi za afrika ulioanzishwa mnamo julai umoja huu unaendeleza kazi za umoja wa muungano wa afrika kwa kiingereza organisation of african union oau uliokuwepo hadi nia ya umoja huu ni kujenga muundo na mfumo wa kisiasa wa kiuchumi na wa kijamii ili kufikia wakati ambapo bara la afrika litakuwa na bunge moja benki moja jeshi moja rais mmoja sarafu moja n k dhumuni kubwa la umoja huu ni kuunganisha nguvu za mataifa ya afrika ili kuweza kutatua matatizo yanayokabili bara hili kama vile vita njaa ukimwi n k umoja wa afrika ina nchi wanachama yaani nchi zote za bara la afrika baada ya kurudi kwa moroko iliyokuwa imejiondoa mwaka kwa sababu ua ilitambua sahara ya magharibi kuwa nchi huru wakati moroko inadai ni eneo la majimbo yake ya kusini mkutano wa kwanza wa bunge la umoja wa afrika ulifanyika mwaka huko afrika kusini mwenyekiti wa kamati kuu ya ua ni n dlamini zuma spika wa bunge la umoja wa afrika ni roger nkodo dang shelisheli ni funguvisiwa na jamhuri katika bahari hindi mashariki kwa mwambao wa afrika mashariki na kaskazini kwa madagaska shelisheli ina visiwa kati ya hivyo ni visiwa vikubwa kidogo vyenye milima vingine ni vidogo na huitwa visiwa vya nje kisiwa kikubwa zaidi ni mah na mji mkuu victoria uko huko wakazi wengi huishi mahe pamoja na visiwa vya karibu hasa praslin na la digue visiwa hivyo vina milima inayofikia hadi mita juu ya ub mkubwa ni morne seychellois wenye mita juu ya ub hali ya hewa ni ya kitropiki ikiwa halijoto iko kati ya c na c kiasi cha mvua ni kati ya mm huko victoria na mm mlimani hakuna hakika kuhusu wakazi wa kwanza inaaminika ya kwamba ndio mabaharia na wafanyabiashara waarabu taarifa ya kwanza imepatikana kutoka kwa wareno waliozunguka hapa kuanzia mwaka kwa karne moja na nusu meli au jahazi zilipitia shelisheli tu kwa kusudi la kuchota maji ya kunywa au kukusanya matunda bila ya kuanzisha makao ya kudumu majambazi wa baharini walipenda kujificha shelisheli ndio ufaransa uliojenga vituo vya kwanza vya kudumu mwaka wafaransa waliita visiva seychelles kwa heshima ya waziri wao wa siku zile jean moreau de sechelles walowezi wao walianzisha mashamba makubwa ya mazao ya biashara wakitumia watumwa kutoka madagaska na afrika bara kwa ajili ya kazi yenyewe tangu mwaka visiwa vilikuwa chini ya uingereza waingereza walivumilia walowezi na utamaduni wa kifaransa visiwani kwanza shelisheli zilikuwa zikitawaliwa pamoja na mauritius lakini mwaka visiwa vilipewa cheo cha koloni mbali na mauritius mwaka shelisheli walipata uhuru katiba ya kwanza ilifuata mfano wa uingerezeza lakini mwaka katiba mpya ilileta mfumo wa chama kimoja tangu katiba ilisahihishwa tena ikiruhusu vyama vingi vya kisiasa chama kilichopata kura nyingi ndicho sppf seychelles people s progressive front wakazi kwa jumla ni machotara wenye mchanganyiko wa damu ya afrika bara ulaya na asia licha ya hao kuna vikundi vidogo vya wahindi wazungu na wachina halisi lugha rasmi ni tatu kiingereza kifaransa na kiseselwa aina ya krioli ambayo imetokana na kifaransa na ndiyo lugha ya kawaida upande wa dini wakazi wengi ni wakristo hasa wakatoliki halafu waprotestanti wengine wachache ni wahindu waislamu n k biashara ya shelisheli inategemea hasa utalii unaoingiza ya pato la taifa asilimia hivi za wafanyakazi wote wamo katika utalii pamoja na utalii uvuvi na kilimo ni muhimu pia haile selassie kwa kige ez qdamawi hayl sllas hal sl lase julai agosti alikuwa kaisari au negus negeste wa ethiopia kabla ya kuwa mfalme aliitwa ras tafari makonnen jina lake la kifalme lina maana ya utukufu wa utatu mtakatifu pia anafahamika kwa jina la simba wa yuda mfalme wa wafalme alikuwa mkristo tena shemasi wa madhehebu ya kanisa la kiorthodoksi la ethiopia alizaliwa katika kijiji kiitwacho ejersa baba yake alikuwa kabaila mwethiopia aliyeitwa ras makonnen akawa gavana wa harar familia yake ikiwa na watoto ras tafari makonnen alikuwa bado kijana alipopewa cheo cha gavana wa sidamo mwaka mwaka akarithi nafasi ya gavana wa harar wakati wa ugomvi kuhusu negus mwislamu lij iyasu alisimama awali upande wa mfalme lakini alifaidika zaidi na uasi uliompindua negus makabaila waliomwondoa iyasu mwaka walimteua shangazi yake zauditu aliyekuwa binti wa negus negesti marehemu menelik ii kuwa malkia wakaamua pia ras tafari awe mwangalizi wake kwa njia hiyo ras tafari akawa kiongozi muhimu zaidi nchini mwaka zauditu akampa cheo cha negus chini yake mwenyewe baada ya kifo cha zauditu ras tafari akapokea taji na cheo cha negus negeste au mfalme wa wafalme wa ethiopia akajiita haile selassie baada ya kupokea taji akafanya ziara ulaya habari zake zikaenea kote duniani zikasababisha kutokea kwa dini mpya ya rastafari iliyopokea jina kutoka kwake ingawa mwenyewe alibaki mwamini wa kanisa la orthodoksi akiwa na daraja ya ushemasi watu weusi kisiwani jamaika waliokuwa wajukuu wa watumwa wenye asili ya afrika walisikia kwa mara ya kwanza ya kwamba mwafrika anaheshimiwa na wafalme wa ulaya wakaona yeye ni mwokozi wa mungu aliyerudi duniani kwa ajili ya watu weusi haile selassie alifukuzwa katika ethiopia mwaka italia ilipovamia ethiopia akarudi kwa msaada wa uingereza iliyoondoa waiitalia nchini katika vita kuu ya pili ya dunia utawala wa haile selassie uliingiza ethiopia katika chama cha mataifa ikiwa nchi ya kwanza ya afrika kujiunga nacho baadaye ulimpa nafasi kubwa katika harakati ya uhuru wa afrika na makao makuu ya umoja wa afrika yalijengwa addis ababa mji mkuu wa ethiopia katika siasa ya ndani alishindwa kuendeleza nchi yake alikosa nguvu na nia ya kumaliza utawala wa kikabaila nchini uliosababisha umaskini mkali kati ya wakulima waliopaswa kuwaachia wakabaila sehemu ya mazao hivyo kimataifa haile selassie aliheshimiwa sana lakini ndani ya nchi maendeleo yalikwama wanafunzi na wasomi wakikasirikia na wakulima maskini wakifa njaa mara kwa mara njaa kubwa ya miaka katika majimbo ya wollo na tigray ikafuatwa na mapinduzi ya kijeshi ya mwaka kamati ya kijeshi ya derg ikamkamata tarehe septemba kifo chake kikatangazwa tarehe agosti na haieleweki kama aliuawa au alikufa kutokana na ugonjwa baada ya kuondolewa kwa derg mabaki ya maiti ya kaisari yalipatikana mwaka chini ya sakafu ya choo cha jumba la kifalme alikokamatwa tarehe novemba mabaki hayo yalipewa mazishi ya kifalme katika kanisa kuu la kiorthodoksi la addis ababa kampala ni mji mkuu wa uganda pia mojawapo ya wilaya za nchi iko karibu na ziwa kubwa la nyanza viktoria mita kama juu ya ub kampala ni mji mkubwa wa uganda ikiwa na wakazi undio unep benki ya uchumi na east africa development bank eadb zina ofisi hapa jina la kampala limetokana na msemo wa kiganda kasozi k empala wenye maana ya kilima cha swala kwa sababu wafalme wa buganda walipenda kuwinda katika eneo hili kampala ni mji ulioanza kukua sehemu za vilima mbalimbali upande wa kaskazini wa entebbe kitovu cha kwanza kilikuwa nyumba ya kifalme kwenye kilima cha kasubi iliyojengwa na kabaka mutesa i wa buganda mnamo mwaka baada ya kifo chake mutesa ikawa kaburi la kifalme ikulu mpya ya kabaka mwanga ii ikajengwa karibu kwenye kilima cha mengo mwaka mwakilishi wa kampuni ya kifalme ya uingereza kwa afrika ya mashariki ibea kifupi kwa imperial british east africa company frederick lugard aliingilia vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya waganda waprotestanti wakatoliki na waislamu akajenga boma juu ya kilima kilichoitwa kampala kikawa kitovu cha makao ya wazungu katika mji mpya wamisionari wakapewa na kabaka nafasi ya kujenga makanisa na nyumba zao kwenye vilima mbalimbali namirembe ikawa kilima cha waanglikana rubaga kilima cha wakatoliki waislamu walikuwa na eneo lao hasa kwenye kilima cha kibuli maeneo hayo yote yaliunganika pamoja kuwa mji wa kampala kati ya hadi kampala ikawa makao makuu ya utawala wa kikoloni wa uingereza uliohamishwa baadaye kwenda entebbe baada ya uhuru ikawa mji mkuu wa kitaifa wa uganda utawala wa idi amin na vita vya kumpindua uliharibu mengi kwanza tabaka la wafanyabiashara wahindi pamoja na nguvu ya kiuchumi baadaye pia majengo tangu kufufuka kutoka nyakati mbaya za udikteta na vita kampala imeanza kukua tena kampala ina chuo kikuu katika mtaa wa makerere kilichokuwa chuo kikuu cha kwanza katika afrika ya mashariki na mahali pa mafunzo kwa viongozi wengi wa kiafrika upande wa siasa utamaduni na uchumi kampala fifa clubs caf champions league appearances caf champions league appearances jamhuri ya italia kwa kiitalia repubblica italiana ni nchi ya ulaya kusini inayoenea katika sehemu kubwa ya rasi ya italia na baadhi ya visiwa vya jirani kwenye bahari ya kati eneo lake ni km ambalo lina wakazi ni nchi ya duniani kwa wingi wa watu lakini ya au kwa uchumi imepakana na ufaransa uswisi austria na slovenia nchi huru mbili ndogo zinazozungukwa na eneo la italia pande zote ni san marino na vatikano makao makuu ni jiji la roma lenye umuhimu mkubwa katika historia ya dunia nzima umbo la jamhuri kama lile la rasi yake linafanana na mguu linalozungukwa na maji ya mediteraneo pande tatu milima ya appennini inaunda uti wa mgongo wake wakati ile ya alpi ambayo ni mirefu zaidi inaunda kwa kiasi kikubwa mpaka kati ya italia na nchi nyingine za ulaya mlima mrefu zaidi ukiwa na mita juu ya usawa wa bahari unaitwa monte bianco mlima mweupe na uko mpakani kwa ufaransa visiwa viwili vikubwa vya sisilia na sardinia ni sehemu za italia pamoja na visiwa vingi vidogovidogo vile vya pelagie vikiwa upande wa afrika italia ina volkeno ambazo kati yake ziko hai ile ndefu zaidi kuliko zote za ulaya mita inaitwa etna na iko mashariki mwa sisilia italia inaongoza ulaya kwa wingi wa matetemeko ya ardhi mto mrefu zaidi unaitwa po na una urefu wa kilomita mito mingine ni tiber arno n k maziwa makubwa zaidi ni garda km ziwa maggiore likiingia uswisi ziwa la como trasimeno na ziwa la bolsena kutokana na urefu mkubwa wa italia toka kaskazini hadi kusini hali ya hewa ni tofauti sana kuanzia baridi kali sana hadi joto kali sana akiolojia imethibitisha uwepo wa homo neanderthaliensis miaka hivi iliyopita homo sapiens sapiens alifika miaka hivi iliyopita kufikia milenia ya kk wakazi wengi walikuwa wa jamii ya kizungu na kutumia lugha za kihindi kiulaya peninsula ya italia iliunganishwa mara ya kwanza na jamhuri ya roma kk lakini hiyo ilipoenea ulaya kusini na magharibi afrika ya kaskazini na asia ya magharibi ikawa na sura ya kimataifa kama dola la roma umoja ulipotea kuanzia uvamizi wa jiji la roma uliofanywa na wagermanik bk na hasa baada ya ufalme wa karolo mkuu aliyetawala sehemu ya kaskazini tu juhudi za kuurudisha umoja zilifanywa hasa katika karne ya ambapo ufalme wa sardinia uliteka sehemu kubwa ya italia hasa miaka na na kubadilika kuwa ufalme wa italia wenye makao makuu roma baada ya vita vikuu vya pili iligeuka jamhuri yenye katiba inayotia mamlaka kuu mikononi mwa bunge ni kati ya nchi sita zilizoanzisha umoja wa ulaya mwaka ikaendelea kuunga mkono ustawi wake hadi uanzishaji wa pesa ya pamoja euro italia ni kati ya nchi zilizoendelea ikiwa na nafasi ya nane kwa nguvu ya uchumi duniani hivyo ni mwanachama wa g g na g italia ndiyo nchi inayongoza duniani kwa kuwa na mahali pengi pa kimaumbile na pa kihistoria palipoingizwa katika orodha ya unesco ya urithi wa dunia kwa sababu hiyo pia inashika nafasi ya kati ya nchi zote zilizo lengo la utalii wananchi wana sifa za pekee kati ya wazungu wote hata upande wa dna kutokana na jiografia na historia ya rasi ni kati ya nchi ambamo watu wanatarajiwa kuishi miaka mingi zaidi lakini pia ni kati ya nchi ambapo uzazi ni mdogo zaidi wanaokufa ni wengi kuliko wanaozaliwa kutokana na umati wa waitalia waliohama nchi hiyo karne za nyuma sasa zaidi ya watu milioni nje ya italia wana asili ya nchi hiyo mbali na raia zaidi ya milioni wanaoishi nje lugha rasmi ni kiitalia inayotegemea zaidi lahaja za italia ya kati lakini siku hizi inatumiwa na wananchi walio wengi hata katika mikoa mingine ambayo kwa jumla ni upande wa dini wengi wao ni wakristo wa kanisa katoliki wakifuatwa na waorthodoksi wengi wao wakiwa wahamiaji hasa kutoka romania na waprotestanti wengi wao wakiwa wapentekoste uhamiaji mwingi wa miaka ya mwisho wa karne ya umeleta pia uislamu na dini nyingine dini zote zinaachiwa uhuru na tofauti na nchi nyingi za ulaya waumini wake wanajitahidi kiasi kufuata ibada kila wiki gideon byamugisha ni kasisi mwanglikana wa uganda na mchungaji wa kwanza mwafrika aliyetangaza wazi ya kwamba ameambukizwa ukimwi alizaliwa buranga ndorwa wilaya ya kabale uganda wa magharibi tarehe agosti akasomea ualimu kwenye chuo kikuu cha makerere akamaliza kwa digrii mwaka akaendelea kusoma digrii ya theolojia huko nairobi akapokelewa katika utumishi wa kanisa la kianglikana uganda mwaka mwaka uleule mke wake alikufa kutokana na ukimwi tangazo hili lilipokelewa kwa mshangao kwani katika utamaduni wa kiafrika na zaidi katika utamaduni wa kidini wa afrika haikuwahi kutokea ya kwamba kiongozi wa kidini anasema waziwazi kuwa ameambukizwa ukimwi kinyume chake mara nyingi wahubiri walitumia mfano wa ukimwi kuonyesha ya kuwa ni adhabu kutoka mungu na dalili ya dhambi gideoni byamugisha aliitwa na kanisa lake kuanzia mwaka kusaidia katika mradi wa ukimwi wa kanisa aliongoza idara wa hiv ukimwi ya dayosisi ya kianglikana ya namirembe mwaka alifunga ndoa mara ya pili akimwoa pamela aliyekuwa mjane wakati ule kutokana na ukimwi akipatikana mwenyewe na viini vya hiv wanalea watoto wao kutoka ndoa zote mbili za awali pia wakamzaa mtoto wa pamoja asiye na hiv kutokana na tibu la madawa ya arv siku hizi byamugisha anafanya kazi na shirika la word vision international pia pamoja na kasisi jape heath kutoka afrika kusini ameunda umoja wa viongozi wa kidini wa afrika wanaoishi na ukimwi anerela african network of religious leaders living with hiv aids chuo kikuu cha makerere ni chuo kikuu cha kwanza cha afrika ya mashariki na chuo kikuu kikubwa cha uganda kimeanzishwa wakati wa ukoloni mwaka kama shule ya ufundi kwa wanafunzi kozi za kwanza zilikuwa pamoja na useremala ujenzi na umekanika shule ikawa chuo na kozi zikaongezeka kwa masomo ya utabibu kilimo maradhi ya wanyama na ualimu kuanzia mwaka chuo kilianza kozi za stashahada mbalimbali mwaka makerere ikawa chuo kishiriki cha chuo kikuu cha london kikitoa shahada ya kwanza ya ngazi ya chuo kikuu mwaka ikawa sehemu ya chuo kikuu cha afrika ya mashariki pamoja na kampasi za dar es salaam na nairobi chuo kikuu cha afrika ya mashariki kimegawiwa mwaka kutokana na kufifia kwa jumuiya ya afrika ya mashariki makerere ikawa chuo kikuu cha kitaifa cha uganda makerere ilikuwa chuo waliposoma viongozi wengi wa afrika wakiwa pamoja na marais wa zamani milton obote uganda julius nyerere na benjamin mkapa tanzania na mwai kibaki kenya baada ya uhuru makerere ilikuwa pia mahali pa majadiliano na mafunzo ya utamaduni wa kiafrika waandishi na walimu muhimu wa kiafrika walianzisha mafunzo yao au walifundisha kwa muda fulani makerere kama vile nuruddin farrah ali mazrui david rubadiri okello oculi ngugi wa thiongo john ruganda paul therou na peter nazareth makerere ina idara zinazohudumia wanafunzi hivi wakiwemo wa kozi za shahada za ngazi ya juu ngg wa thiong o amezaliwa januari ni mwandishi mkenya aliyeandika kwa kiingereza lakini siku hizi anatumia lugha ya gikuyu maandishi yake ni pamoja na riwaya tamthilia hekaya insha na uhakiki ameanzisha gazeti la lugha ya gikuyu mtiiri tangu mwaka ameishi nje ya kenya akifundisha kwenye vyuo vikuu mbalimbali kama yale new york na irvine california ngugi amezaliwa kenya katika kijiji cha kamiriithu karibu na limuru wilaya ya kiambu katika jamii ya wagikuyu akabatizwa james ngugi alikuwa mtoto wa tano wa mke wa tatu wa baba yake thiong o wa nducu baba alikuwa mkulima aliyepotea shamba lake kutokana na waingereza kuteka na kutwaa nyanda za juu za kenya james alisoma shule za wamisionari za kamaandura limuru karinga mangu na alliance high school kikuyu katika miaka ile akawa mkristo wakati alikisoma shule familia yake iliathiriwa na vita ya maumau ikawa kaka yake aliuawa na mama yake aliteswa baada ya kumaliza alliance high akasoma makerere akahitimu kupata digrii ya kiingereza mwaka akafunga ndoa na nyambura mwaka akazaa naye watoto sita katika miaka iliyofuata mwaka aliandika tamthilia yake ya kwanza the black hermit baada ya digrii alirudi nairobi alipofanya kazi ya uandishi wa gazeti aliendelea kwa the river between akichora picha ya kijiji kilichopasuliwa kati ya wakristo na wafuasi wa dini ya asili mwaka uleule baada ya kuchukua digrii ya pili alirudi kenya akifundisha chuo kikuu cha nairobi aliondoka kwa sababu alipinga kuingia kwa siasa ya serikali katika mambo ya chuo baada ya mwaka moja huko makerere alipata nafasi ya kufundisha marekani kwenye chuo kikuu cha evanston mwaka akatunukiwa shahada ya heshima ya uzamivu na chuo kikuu cha dar es salaam udsm nchini tanzania katika miaka hii huko nairobi ngugi aliamua hawezi kuwa tena mkristo mwaka akabadilisha jina lake kutoka james ngugi kuwa ngugi wa thiong o kazi yake ya kifasihi ilimpeleka katika mzozo na serikali kuanzia mwaka ngugi alishirikiana na wanakijiji wagikuyu karibu na limuru kuanzisha maagizo ya tamthilia katika lugha yao riwaya yake ya petals of blood ilichora picha ya watawala wapya waafrika jinsi walivyochukua nafasi ya wakoloni wa awali wakidharau na kukandamiza wananchi mwaka uleule aliandika tamthilia ya ngaahika ndeenda nitaolewa nitakapopenda wakubwa katika serikali walikuwa na wasiwasi wakiogopa mwelekeo wa kimarist wa ngugi hasa alipotoka katika chuo kikuu na kuingia kati ya wananchi wa kawaida kwa njia ya maigizo yake katika lugha ya gikuyu makamu wa rais wa kenya moi aliamua kumkamata ngugi kwa misingi ya sheria ya usalama wa kitaifa wakati rais jomo kenyatta mwenyewe tayari alikuwa amedhoofika kutokana na uzee na ugonjwa ngugi alikaa mwaka mmoja katika gereza la kamiti akaandika riwaya ya kwanza kwa gikuyu caitaani mtharaba in shetani msalabani akitumia karatasi ya choo baada ya kuachichwa huru hakuruhusiwa kurudi kazini kwenye chuo kikuu mwaka aliondoka kenya kwenda london ngugi ameendelea kutumia gikuyu pekee kwa ajili ya riwaya lakini amefundisha na kutunga insha kwa kiingereza kati ya maandiko yaliyofuata ni detained daiari ya gerezani decolonizing the mind the politics of language in african literature kuondoa ukoloni rohoni siasa ya lugha katika fasihi ya afrika alimodai waandishi waafrika watumie lugha zao za kienyeji badala la lugha za kiulaya matigari alimotumia hadithi ya kiutamaduni wa gikuyu mwaka ngugi alirudi mara ya kwanza kenya lakini alipata maarifa mabaya akishambuliwa na wahuni na kuibiwa mali mke wake akibakiwa shabaha muhmu wa ziara yake ilikuwa kutangaza riwaya yake mpya kwa gikuyu muroogi wa kigogo kiini cha imani ya ngugi ni ya kwamba kwa kutumia lugha za kienyeji pekee waandishi waafrika watafikia wanachi wa kawaida na kushinda ukoloni mamboleo rohoni tatizo alilo nalo hapo ni ya kwamba lugha za kienyeji zinarudi nyuma haraka katika mazingira ya kisasa hata zikiendelea kuzungumzwa na kusikilizwa kwa redio si lazima zinasomwa pia kwa matumizi mengine ya jina hili tazama kilwa kilwa kivinje ni mji mdogo katika wilaya ya kilwa ufukoni wa bahari hindi kiutawala ni sehemu ya kata ya kivinje singino wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa mji ulilikuwa na wakazi wapatao msimbo wa posta ni wakati wa utawala wa zanzibar ilikuwa makao ya liwali ya sultani kwa ajili ya pwani la kusini la tanganyika ikichukua nafasi ya kilwa kisiwani kama bandari muhimu katika sehemu hii ya pwani la kusini kivinje ilikuwa lengo la misafara ya watumwa katika kusini ya tanzania the mainland port of kilwa kivinje supplanted kisiwani as the terminus of the southern slave caravan bandari yake ya mchanga ilifaa kwa maboti madogo ya ubao waliobeba watumwa zanzibar kuna makadirio ya kwamba watumwa walipita kivinje kila mwaka mnamo mwaka kivinje ilikuwa mji wa wakazi pamoja na wanfanyabiashara wenye asili ya uhindini baada ya sultani wa zanzibar kupiga biashara ya watumwa marufuku kivinje ilijulikana kwa kuendelea na biashara hii kwa siri zanzibar ilimkamata sulatani wa mwisho wa kivinje na kumtuma nje ya mji ilikuwa makao makuu ya wilaya tangu zamani ya ukoloni wa kijerumani wakati wa vita ya abushiri iliona mapigano dhidi ya wajerumani na wawakilishi wa kampuni ya kijerumani kwa afrika ya mashariki waliuawa tar septemba mei wajerumani walirudi chini ya meja hermann von wissmann wakateka mji bila upinzani wakati wa afrika ya mashariki ya kijerumani kilwa kivinje ilikuwa makao makuu ya mkoa wa nane iliyoenea kati ya rufiji na lindi utawala wa kijerumani kilikwisha tar septemba siku ambako wajerumani waliobaki mjini walijisalimisha mbele ya kikosi cha wanamaji waingereza mji uliendelea kuwa makao makuu ya wilaya chini ya waingereza tangu kuondoka kwa makao makuu ya wilaya mji umerudi nyuma nyumba za ghorofa za wafanyabiashara hazitumiki tena zimeanza kuporomoka boma la kale la wajerumani bado inatumika hospitali ya wilaya imebaki kilwa kivinje tarafa ina wakazi bandari ndogo inafaa jahazi tu kwa matumizi mengine ya jina hili tazama kilwa wilaya ya kilwa iko katika mkoa wa lindi takriban kilometa kusini mwa dar es salaam kilwa imepakana na mkoa wa pwani upande wa kaskazini bahari ya hindi upande wa mashariki wilaya ya lindi vijijini upande wa kusini na wilaya ya liwale upande wa magharibi wakati wa sensa ya nwaka wilaya hii ilikuwa na wakazi mwaka waliohesbiwa makao makuu ya wilaya ni kilwa masoko wilaya hii ina sehemu za kihistoria ambazo ni hasa wakazi wengi hutegemea kilimo na uvuwi mazao yanayolimwa hasa ni pamoja na muhogo mahindi mtama na mpunga hata hivyo uzalishaji wa chakula hautoshelezi mahitaji ya wakazi sababu za upungufu ni kuongezeka kwa watu pamoja mitindo ya kilimo cha kimila ambako mashamba ni madogo kwa wastani ekari yakilimwa kwa mkono tu sehemu kubwa za wilaya kuna ardhi isiyo na rutba kubwa ambayo haushiki maji vizuri penye udongo mweusi mzuri karibu na makangaga liwiti matandu na mbwemkuru inawezekana kulima mpunga kuna maeneo katika milima ya matumbi ambako miti ya matunda kutunzwa hasa minazi na michungwa karibu na likawage nanjirinji nainokwe njinjo na singino hill watu wanavuna pia korosho upatikanaji wa inzi za tsetse ni kizuizi kwa ufugaji kuna pia majaribio ya kupana vchaka vya jatropha curcas kama zao la nishati gesi asilia huzalishwa kwenye kisiwa cha songosongo gesi hii inapelekwa hasa dar es salaam kwa uzalishaji wa umeme lakini kuna pia kituo cha umeme kinachoendedhwa na gesi ya songosongo kilichopo kwenye kata ya somanga kikihudumia wilaya hii wilaya hii ina kata zifuatazo idadi ya wakazi katika mabano kata za namayuni na somanga zilianzishwa baada ya sensa ya kwa hiyo hakuna namba za kulingana wilaya ya pangani ni kati ya wilaya za mkoa wa tanga katika tanzania yenye postikodi namba imepakana na wilaya ya muheza upande wa kaskazini wilaya ya handeni upande wa magharibi wilaya ya bagamoyo mkoa wa pwani upande wa kusini na bahari hindi upande wa mashariki makao makuu ya wilaya yako pangani mjini wilaya ina wakazi katika tarafa kata na vijiji ina shule za msingi shule za sekondari na zahanati eneo la wilaya ni kama kanda linalofuata ufuko wa bahari hindi mji wa pangani upo mdomoni mwa mto pangani unaoingia ndani ya nchi kavu kwa umbo la mlango mpana maeneo yaliyo karibu zaidi na bahari yenye ardhi ya rutuba kuna kilimo cha korosho nazi mihogo mahindi viazi vitamu na ndizi maeneo ya ndani zaidi pasipo rutuba sana kuna mashamba ya katani na mahindi kihistoria mazingira ya pangani ni kati ya maeneo ya utamaduni wa uswahilini kabla ya ukoloni kulikuwa na mashamba ya waarabu waliotumia watumwa na tangu kufika kwa ukoloni wa kijerumani mashamba makubwa ya katani yalianzishwa wilaya hii ilikuwa pia nyumbani ya abushiri ibn salim al harthi na chanzo cha vita ya abushiri dhidi ya utawala wa kampuni ya kijerumani kwa afrika ya mashariki historia ya rwanda inahusu eneo la afrika mashariki ambalo wakazi wake leo wanaunda jamhuri ya rwanda wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani katika karne za kwanza bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi rwanda ilikuwa eneo penye utawala wa kifalme tangu karne nyingi kabla ya kufika kwa ukoloni mwanzo wake ni katika eneo la ziwa la muhazi watawala wenye cheo cha mwami kutoka kikundi cha wafugaji watutsi walisambaza eneo lao tangu miaka ya karne ya bk hadi kufika eneo la leo wafugaji wa ng ombe watutsi walikalia nchi pamoja na wakulima wa kihutu na wavindaji watwaa ukoloni ulichelewa kufika rwanda mwaka ujerumani na uingereza walipatana ya kuwa rwanda na burundi ni sehemu ya afrika ya mashariki ya kijerumani lakini ilikuwa mwaka tu ya kwamba wajerumani walimtuma afisa wa kudumu aliyekaa rwanda kama mwakilishi wa serikali ya ujerumani mwaka ubelgiji na uingereza walivamia rwanda katika vita kuu ya kwanza ya dunia baadaye ikawa chini ya ubelgiji pamoja na burundi kama rwanda urundi katika hali ya eneo la kudhaminiwa kutokana na azimio la shirikisho la mataifa utawala wa wabelgiji ilikuwa ya moja kwa moja na kali zaidi kuliko wajerumani wabelgiji walijaribu kutoa faida ya kiuchumi wakilazimisha wenyeji kupanda mikahawa na kutekeleza kazi za serikali ya kikoloni katika utawala wao wabelgiji walitumia zaidi watutsi wakiwapa nafasi za elimu na kuwatumia katika shughuli za serikali wataalamu wengine huamini ya kwamba siasa hii ilisababisha kukua kwa chuki dhidi ya watutsi kwa upande wa wakulima wahutu iliyoleta kumwaga kwa damu baadaye katika miaka ya ilionekana ya kwamba ukoloni unaelekea mwisho wake uhusiano kati ya wahutu na watutsi ukawa vigumu kwa sababu wabelgiji walibadilisha siasa yao yakupendelea watutsi wakidai haki zaidi kwa ajili ya wahutu wliokuwa wengi ni hasa wamisionari wa katoliki mapadre weupe waliosimama upande wa wahutu wakiona ndio wagandamizwa mwami mutara rudahigwa aliyejiita pia charles alijaribu kuleta upatanishi kati ya vikundi katika nchi mwaka aligawa nchi ya kifalme kati ya wahutu na watutsi lakini alikuwa na wapinzani watutsi waliomwua mwaka mtoto wake mwami kigeri v aliwekwa kwenye kiti chake tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali mwezi wa novemba mwami kigeri v alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia uganda watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa mouvement democratique republicain mdr chama kikubwa cha wahutu wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua watutsi wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali nchini katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha parmehutu kilichopata kura nyingi viongozi wa parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka uchaguzi wa bunge ulileta kura ya kwa ajili ya chama cha parmehutu kilichomchagua kiongozi wake grgoire kayibanda kuwa rais tarehe julai rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa wakati huu zaidi ya watutsi wameshakuwa wakikimbilia nchi jirani mwaka uliofuata vikundi vya watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa watutsi zaidi ya waliuawa na wahutu hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya watutsi yaliendelea wanasiasa wahutu walizoea kuwaita watusi ndio wadudu kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la watutsi waliokuwa raia bila haki idadi kubwa ya watutsi walikimbilia burundi uganda na tanzania mwaka generali habariyama alimpindua rais kayibanda na kuanzisha serikali ya kijeshi akijaribu kupatanisha vikundi ndani ya taifa lakini hata mwaka uliofuata mauaji ya watutsi yalitokea tena mnamo ilikuwa wazi ya kwamba rwanda ilikuwa na hali ngumu kwa upande moja nchi za nje zilisukuma serikali za afrika kuruhusu kura huru za kisiasa katika rwanda ongezeko la wakazi lilileta msongamano mkubwa na uhaba wa ardhi ya kilimo uchumi ilikuwa duni wakati huohuo wapinzani wahutu walikusanyika nje ya nchi ny kudai demokrasia na kati ya watoto wa watutsi waliokuwa walitoka nchini sauti zikasikika zilizodai warudi tena habyarimana alijaribu kutafuta suluhisho akanza kujadiliana na watutsi wa nje lakini alikuta pia upinzani kwa upande wa wahutu wakali waliochukia uelewano wa watutsi mnamo oktoba watutsi waliokaa uganda walianzisha chama cha rpf rwanda patriotic front wakiwa na wafuasi wahutu wachache wakavamia rwanda kwa silaha kiongozi wao alikuwa paul kagame aliyeondoka rwanda akiwa mtoto wa miaka minne alikuwa amejiunga na jeshi la yoweri museveni na kupanda ngazi katika jeshi la uganda hadi kuwa mkuu wa huduma ya usalama ya kijeshi ya uganda walitaka kulazimisha serikali ibadilishe hali ya watutsi kuwa raia bila haki lakini uvamizi huu ulisababisha kuongezeka kwa ukali dhidi ya watutsi ndani ya rwanda na siasa kali kwa upande wa viongozi wahutu kikundi cha kihutu cha interahamwe na kupewa silaha maelfu ya watutsi warwanda waliuawa vita kati ya wapinzani kutoka uganda na jeshi la serikali iliendelea mpakani hadi pande zote mbili zilikutana huko arusha na kupatana koma kwa vita chini ya uangalizi wa umoja wa mataifa na umoja wa afrika sehemu ya viongozi warwanda walijiandaa kutafuta utaratibu mpya lakini wengine walifanya mipango ya kumaliza swali la watutsi kabisa wakipanga kuua watutsi wote nchini tarehe aprili rais habariyama alirudi nchini kutoka safari ya tanzania ndege yake ilipigwa risasi kabla ya kutelemka ikaanguka chini akafa haipingiki kwamba watutsi wakali rpf ndio waliomwua tendo hili lilikuwa mwanzo wa mauaji ambayo hayakuwahi kutokea afrika viongozi wa interahamwe wa jeshi la kitaifa na vikundi vikali vya kihutu walitekeleza mipango ya kukusanya watutsi kila mahali na kuwaua haiwezekani kuwa na idadi kamili lakini makadirio ya chini yanataja watutsi na wahutu wasio wakali zaidi ya waliuawa na interahamwe na wanajeshi wa serikali ya kihutu watu walikimbilia na kutafuta hifadhi makanisani lakini hata huko walichinjwa bila huruma wahutu waliokataa kushiriki katika mauaji waliuawa pia rpf chini ya uongozi wa paul kagame iliamua kutumia nguvu zote kwa kulipiza kisasi kwa kuwaua wahutu wenye msimamo mkali na wengine wengi kufungwa maisha katika jela zenye hali mbaya sana akilenga kulipiza kisasi cha mauaji kwa miezi miwili mauaji na vita vilikwenda sambamba hadi rpf iliposhinda mnamo julai na kuchukua madaraka ya serikali jeshi waparmehutu na serikali ya kihutu walikimbilia jamhuri ya kidemokrasia ya kongo wakiwalazimisha wakazi wengi kuongozana nao hali iliyosababisha kutokea kwa makambi ya wakimbizi makubwa sana katika kongo ya mashariki yaliyokuwa na idadi ya wahutu milioni mbili walio wengi wamerudi baada ya kuimarika kwa serikali mpya tangu ushindi wa kijeshi mwaka rpf walianzisha serikali ya umoja wa kitaifa rais alikuwa pasteur bizimungu mwanasiasa mhutu aliyeshikamana na rpf kagame akiwa makamu wake baada ya kupinduliwa kwa bizimungu mwaka kagame akawa rais mwaka palitokea uchaguzi wa kwanza jeshi la rwanda limeendelea kuwa na vita ndani ya kongo ikipigana na mabaki ya interahamwe walioshambulia rwanda mara kwa mara kutoka kongo ndani ya rwanda mahakama za vijijini zinazoitwa gachacha zimejaribu kutoa hukumu juu ya wauaji wa mwaka rais d gasangwa wa eacu alisisitiza kwamba ilikuwa ethnic cleansing si holocaust kama ilivyoandikwa na wazungu wa magazeti ya ulaya watu karibu waliuawa rwanda na mkoa wa kivu jamhuri ya kidemokrasia ya kongo utengamano wa siasa mpya lazima utatupa nafasi ya kujenga nchi mpya ceuta tamka the uta kwa kiarabu sabta ni mji wa kihispania kwenye pwani ya mediteranea ambao upande wa bara unazungukwa na eneo la moroko ceuta iko karibu na mji wa tetouan upande wa moroko umbali na hispania ni km kuvuka mlango wa bahari wa gibraltar pamoja na mji wa melilla ni sehemu ya hispania na umoja wa ulaya kisiasa lakini kijiografia ni sehemu ya afrika moroko inadai ni sehemu ya eneo lake la kitaifa ceuta ina wakazi katika eneo la km karibu nusu ni wazungu wakristo na nusu ya pili ni waberber waarabu waislamu ceuta inaaminika iliundwa na karthago katika karne ya kk jina la kigiriki la mji imekuwa hepta adelpho ndugu saba tangu waroma walipochukua utawala wa afrika ya kaskazini mji ulijulikana kwa jina la septem fratres ndugu saba jina hili limeendelea hadi leo mji ukiitwa sabta kwa kiarabu au kwa matamshi ya kihispania ceuta kuanzia karne ya bk mji ulitawaliwa na wavandali mwaka waarabu waislamu walifika wakipita ceuta kuvamia hispania hadi karne ya mji ulikuwa chini ya watawala waislamu ama waarabu au waberberi kati ya wakristo waliofia dini yao huko wanakumbukwa watakatifu danieli mfiadini na wenzake mwaka wareno waliteka ceuta wakaitawala hadi mwaka baada ya vita kati ya ureno na hispania mji ulikabidhiwa kwa mfalme wa hispania tangu mwaka ceuta imekuwa sehemu ya hispania ndani ya hispania imekuwa mji wa kujitawala kwa kihispania ciudad autnoma tangu ella fitzgerald aprili ndash juni alifahamika kama muimbaji wa kike wa muziki wa jazz lady of songs ella fitzgerald au mama ella sauti yake ilikuwa ni muhimu sana kwenye muziki wa jazz na hata mitindo mingine ya muziki katika karne ya ishirini ella fitzgerald alizaliwa aprili mjini newport news va marekani ella ameshirikiana na wanamuziki wengi mojawapo ni louis armstrong satchimo huyu alikuwa ni mpiga tarumpeta mashuhuri mama ella alizama zaidi katika mtindo wa swing jazz kati ya nyimbo alizowahi kuimba ni that old black magic can t we be friends love is the thing so they say it s a blue wold dedicated to you if you ever should live na sugar blues alifariki mwaka simba wanyika ilikuwa bendi nchini kenya iliyoundwa mwaka wa na wana ndugu kutoka tanzania wilson kinyonga na george kinyonga bendi hii ilivunjika mwaka wa simba wanyika na bendi zingine mbili zilizotoka kwayo les wanyika na super wanyika stars zilikuwa bendi mashuhuri sana nchini kenya muziki wao uliotokana na sauti ya gitaa ikiongozwa na mpiga gitaa wa soukous dr nico ikichanganywa na maneno matamu ya muziki wa rumba na kuimbwa kwa kiswahili simba wa nyika tafsiri yake kwa kiingereza ni lions of the savannah wilson kinyonga na george kinyonga walianza muziki katika mji wao wa nyumbani wa tanga nchini tanzania walipojiunga na jamhuri jazz band mwaka wa walihamia arusha mwaka wa na kuunda bendi ya arusha jazz na ndugu yao mwingine william kinyonga katika kipindi hiki wanamuziki walikuwa wakisafiri watakavyo kati ya kenya na tanzania na muziki wa kenya ukashawishika sana na muziki wa rumba wa tanzania mwaka wa ndugu hawa walihamia nchini kenya na kuanzisha simba wanyika bendi ilitumbuiza katika vilabu vya usiku na baa mbalimbali katika jiji la nairobi nakupata wafuasi wengi mno na katikati ya miaka ya walikuwa wanajulikana kote kenya kwa ajili ya nyimbo kama mwongele na wana wanyika kutekelezwa kwa vikwazo baina ya mpaka wa kenya tanzania ilisababisha watu kukua kwa muziki na kuelekea katika mtindo wa uliokuwa unajitokeza wa benga nchini kenya simba wanyika waliendelea kucheza rumba na walikuwa bado maarufu wakati bendi ilipogawanyika katika miaka ya wakati mpiga gitaa omar shabini alichukua baadhi ya wanamuziki wake na kutengeneza les wanyika mwaka wa george kinyonga pia alijiondoa katika simba wanyika akachukua wanamuziki zaidi na kuunda bendi ya orchestra jobiso lakini baadaye alirudi simba wanyika huku bado akifanya miradi za upande na jobiso simba wanyika baadaye walibadilisha jina lao hadi simba wanyika original ili kuzuia mkanganyiko na les wanyika na kundi lilojigawa kutoka kwao la super wanyika stars simba wanyika ilirudia umaarufu wake katika katikati ya miaka ya wakitoa nyimbo zilizoptata umaarufu na baadaye kuzuru ulaya mwaka wa bendi ilivunjika mwaka wa lakini bendi kadhaa zilizotokana nayo bado ziko hai ziwa nyasa katika malawi lake malawi katika msumbiji niassa ni kati ya maziwa makubwa ya afrika ya mashariki likiwa na nafasi ya tatu baada ya viktoria nyanza na ziwa tanganyika lina urefu wa km na upana wa km vilindi vyake vinaelekea hadi mita chini ya uwiano wa maji yake ziwa nyasa linapatikana kati ya nchi za malawi msumbiji na tanzania katika ziwa hilo kuna mito mbalimbali inayoingiza maji yake humo kama vile mto lufilyo mto mbaka mto kiwila mto songwe n k kusini mwa ziwa unatoka mto shire unaopeleka maji kwenye mto zambezi na hatimaye bahari hindi kijiolojia ziwa ni sehemu ya bonde la ufa la afrika ya mashariki ziwa nyasa linajulikana kuwa na aina nyingi za samaki zaidi ya aina chache tu zinavuliwa kama chakula lakini aina mbalimbali zinakamatwa na kuuzwa nje ya afrika kwa wapenzi wa samaki wa rangi eneo la ziwa ni km sehemu kubwa ni eneo la malawi ila robo ya kusini mashariki ni eneo la msumbiji na robo ya kaskazini mashariki ni eneo la tanzania kuna ugomvi kati ya malawi na tanzania kuhusu mipaka malawi imedai ya kwamba maji yote hadi ufukoni upande wa tanzania ni sehemu ya eneo lake la kitaifa tanzania imedai ya kwamba mpaka uwe katikati kufuatana na desturi za kimataifa sababu ya mzozo ni utaratibu wa kikoloni wakati wa kuundwa kwa afrika ya mashariki ya kijerumani serikali za uingereza na ujerumani zilipatana kuhusu mipaka ya eneo chini ya athira ya ujerumani german sphere of influence kwa kutaja mpaka ulifuata ufuko wa ziwa nyasa leo inajadiliwa baina ya wanasharia wa kimataifa kama maneno haya yalitaja mipaka halisi ya kiutawala au kama yalikuwa tu mapatano ya awali kuhusu maeneo chini ya athira ya nchi husika baada ya mwaka uingereza ilitawala tanganyika pamoja na malawi nyassaland hivyo hakukuwa na shida kabla ya uhuru wakati wawakilishi wa tanu walichaguliwa tayari kuwa wabunge katika bunge la kikoloni legislative council na julius nyerere alikuwa waziri mkuu wa tanganyika tangu mbunge chifu mhaiki alitaka serikali iangalie upya haki za tanganyika kwa maji ya ziwa tarehe oktoba waziri mkuu nyerere alijibu hakuna shaka lolote kuhusu mpaka huu tunajua kwamba hakuna tone la maji kwenye ziwa nyasa ni mali ya tanganyika kufuatana na mapatano haya hali halisi tungedai serikali jirani ibadilishe mipaka kwa manufaa ya tanganyika chifu mhaiki alirudia swali lake alipokuwa mbunge katika bunge la kitaifa baada ya uhuru wa tanganyika mwaka na safari hii waziri mkuu rashidi kawawa alijibu tena kwamba hakuna sehemu ya ziwa nyasa iliyokuwa ndani ya afrika ya mashariki ya kijerumani kwamba uingereza haikubadilisha mipaka hii na kwamba hata kama kuna hasara kwa tanganyika serikali haiwezi kuanza majadiliano juu ya swali hili na uingereza au serikali ya nyasaland kabla ya uhuru wa nchi hii jirani tarehe januari serikali ya tanzania iliandika mara ya kwanza kwa serikali ya malawi na kuifahamisha kwamba iliona mpaka baina ya nhci hizi ilifuata mstari wa kati wa ziwa nyasa malawi ilithibitisha kupokelewa kwa barua hii bila kuijibu rasmi hata hivyo rais banda wa malawi alikataa madai ya tanzania mbele ya bunge lake polisi ya malawi ilijaribu kutawala wavuvi na feri za tanzania ziwani mzozo huu ulisababisha risasi kufyatuliwa hadi kutulia mwaka hadi leo hakuna mapatano rasmi lakini nchi zote mbili zinaendelea bila kutumia nguvu hali halisi malawi imeheshimu dai la tanzania haijasumbua tena wavuvi wala feri za jirani ndani ya robo ya kaskazini mashariki ya ziwa mzozo ulifufuka tena tangu mwaka baada ya malawi kutoa vibali vya upelelezi wa gesi na mafuta chini ya ziwa tendo linalopingwa na tanzania mafia ni funguvisiwa la tanzania pamoja na jina la kisiwa kikubwa ndani yake linalotazama mwambao wa afrika ya mashariki km kusini kwa dar es salaam karibu na mdomo wa mto rufiji umbali wake na bara ni km kisiwa kikuu kina urefu wa km na upana wa km eneo lake ni takriban km inajulikana pia kwa jina chole shamba kutokana na mji wa kale wa chole uliokuwepo kwenye kisiwa kidogo cha chole kilichopo karibu na kisiwa kikuu kwa umbali wa mita wilaya ya mafia ni kati ya wilaya za mkoa wa pwani ikiwa na wakazi mji mkubwa na makao makuu ya wilaya ni kilindoni ina tarafa mbili ambazo ni kata za wilaya ya mafia ni kama zifuatazo ina jumla ya vijiji wakazi walio wengi ni wavuvi wanaolima pia mashamba madogo bidhaa za sokoni ni pamoja na nazi chokaa na samaki kuna utalii unaosifiwa sana lakini idadi ya wageni bado ni ndogo hasa waitalia wamependa kutembelea mafia pia kwa sababu ya jina la kisiwa ambalo kwa kiitalia linamaanisha shirika la kigaidi lenye historia ndefu katika italia ya kusini hadi siku ya leo mafia ilikuwa mahali pa miji ya kale ya utamaduni wa waswahili kama vile miji ya chole na kua baada ya kuondoka kwa wareno ilikuwa chini ya sultani wa omani baadaye wa zanzibar mwaka wajerumani walinunua mafia kutoka kwa sultani wa zanzibar ikawa sehemu ya afrika ya mashariki ya kijerumani mwaka wakati wa vita kuu ya kwanza waingereza waliteka kisiwa wakishambulia kutoka hapa manowari ya kijerumani ya sms knigsberg mdomoni mwa mto rufiji kutoka mafia mnamo baada ya mwisho wa vita kuu ya kwanza ya dunia mafia imekuwa sehemu ya tanganyika si tena zanzibar mafia ni moja kati ya wilaya za mkoa wa pwani katika tanzania yenye postikodi namba walioishi humo kata za wilaya ya mafia ni kama zifuatazo baleni kanga na kirongwe kwa pamoja ni tarafa ya kaskazini shehia nyingine ni tarafa za kusini wilaya hii inajumuisha funguvisiwa pamoja na kisiwa cha mafia ndani yake inayotazama mwambao wa afrika ya mashariki km kusini ya daressalaam karibu na mdomo wa mto rufiji umbali wake na bara ni km mafia kisiwa kikuu ina urefu wa km na upana wa km eneo lake ni takriban km inajulikana pia kwa jina chole shamba kutokana na mji wa kale wa chole iliyokuwepo kwenye kisiwa kidogo cha chole mjini karibu na kisiwa kikuu ziwa tanganyika ni moja ya maziwa makubwa ya afrika ya kati likienea mpakani mwa tanzania jamhuri ya kidemokrasia ya kongo burundi na zambia ni ziwa kubwa la pili duniani kwa wingi wa maji matamu baada ya ziwa baikal siberia kwa kuzingatia kiasi cha maji ndani yake na kina hadi mita kwa kulinganisha eneo lake km ni la pili tu baada ya viktoria nyanza katika afrika maji yake hutoka kuelekea mto kongo ha hatimaye katika bahari atlantiki jina la ziwa limepokewa na wazungu wapelelezi wa kwanza kutoka kwa wenyeji wa ujiji henry morton stanley aliyetembelea ziwa mnamo mwaka aliandika ya kwamba watu wa ujiji hawakuwa na uhakika kuhusu maana ya jina ila tu ilimaanisha ziwa kubwa maana waliita maziwa madogo kitanga na waliita pia ziwa la usukuma yaani viktoria nyanza kwa jina hili tanganika wajiji walimwambia stanley ya kwamba labda neno nika ilitoka kwa aina ya samaki walioitwa vile baadaye stanley alikumbuka neno nika katika lugha nyingine za kiafrika kwa maana ya tambarare eneo kubwa bapa akahisi ya kwamba waliita ziwa kama tambarare kubwa iliyotanda stanley alishika pia majina ya ziwa kwa makabila mengine watu wa marungu walisema kimana wale wa urungu iemba na wakawendi nsaga kwa maana ziwa lenye dhoruba alichoshika na watu wa urungu yaani iemba inalingana na taarifa ya david livingstone aliyekuta jina liemba kuwa jina la sehemu ya kusini ya ziwa na jina hili linaendelea kutumiwa kwa meli ya mv liemba inayosafirisha watu na bidhaa ziwani tangu mwaka jina la ziwa limekuwa pia jina la eneo lililokabidhiwa kwa uingereza kama tanganyika baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia tangu maji ya ziwa tanganyika yanajaza ufa kubwa kwenye ganda la dunia ambalo ni sehemu ya bonde la ufa la afrika ya mashariki ni ziwa lenye kina kikubwa katika afrika kina cha wastani ni m ni kubwa zaidi katika sehemu ya kaskazini ambako vilindi vyake hufikia kina cha mita kutokana na kina kikubwa kinashika kiwango kikubwa cha maji matamu kati ya maziwa yote ya afrika km na asilimia ya maji matamu yote duniani halijoto ya maji usoni mwa ziwa ni sentigredi na uchungu wake ni ph hivi urefu wa ziwa ni kilomita kutoka kaskazini hadi kusini na upana wake ni km kwa wastani uso wa maji huwa na eneo la km na urefu wa pwani yake ni km kina kikubwa cha ziwa kimesababisha kuwepo kwa safu za maji zisizochanganya maana maji ya chini hayakorogwi kwa upepo au mikondo na maji ya juu hivyo maji ya chini hayapokei oksijeni na kuwa na uhai kidogo samaki na viumbehai wengi hawawezi kuishi katika maji bila oksijeni ziwa linapokea maji yake kutoka mito ya mazingira inayoishia humo beseni lake huwa na eneo la km sq mi mito miwili mikubwa na mito mingi midogo inaishia ziwani mto lukuga hutoka ziwani na kupeleka maji yake kwenda beseni la kongo mto mkubwa zaidi unaoingia ni ruzizi unaofika upande wa kaskazini kutoka ziwa kivu malagarasi ambao ni mto mrefu wa pili nchini tanzania inaingia upande wa mashariki kutokana na mahali pake katika tropiki kwenye jua kali ziwa tanganyika linapotewa na maji mengi kwa njia ya uvukizaji kwa hiyo kiasi cha maji ndani yake inategemeana na kiasi cha maji yanayoingia kwa sasa chanzo kikubwa ni maji ya ziwa kivu imegunduliwa ya kwamba uwiano wa ziwa ulibadilika sana katika historia mnamo miaka iliyopita uso wa ziwa ulikuwa mita chini ya uwiano wa leo wakati wa vipindi vya tabianchi yenye mvua nyingi zaidi uwiano ulipanda juu na kupungua tena kwenye vipindi vya ukame vipindi hivi vya mabadiliko vilidumu mara kwa mara miaka elfu kadhaa hali ya sasa imepatikana tangu miaka wakati ule volkeno za virunga vililipuka na kuziba mto uliowahi kubeba maji ya ziwa kivu kuelekea mto naili na baada ya kufikia uwiano wa leo maji ya kivu yalianza kutoka upande wa tanganyika kupitia njia ya ruzizi mabadiliko ya uwiano wa maji kwenye ziwa yalitazamwa pia katika historia ya miaka iliyopita kwa kulinganisha kumbukumbu ya wakazi na taarifa za wapelelezi wazungu walioandika taarifa juu ya safari zao baada ya mwaka maji yalikuwa chini sana kabla ya yalikuwa juu sana tangu yalishuka tena katika miaka ya ziwa lilijaa tena likabaki hivi hadi sasa mabadiliko haya yanalingana na mabadiliko katika kiasi cha mvua inayopokewa katika beseni ya ziwa miji mikubwa ziwani ni bandari za kigoma kwa upande wa tanzania na kalemie kwa upande wa kongo kila bandari ni pamoja na mwanzo wa njia ya reli mji mkubwa kabisa ni bujumbura mji mkuu wa burundi eneo lote la ziwa limegawiwa baina ya nchi jirani yaani tanzania jamhuri ya kidemokrasia ya kongo burundi na zambia sehemu kubwa iko chini ya tanzania na kongo kuna visiwa mbalimbali ndani ya ziwa tanganyika vikubwa zaidi ni pamoja na kuna spishi nyingi za samaki aina ya cichlidae zinazokadiriwa kuwa na angalau spishi za samaki wengine spishi nyingi wanaishi karibu na mwambao na hadi kina cha mita chini yake kiwango cha oksijeni kinapungua mno lakini kiasi kikubwa cha samaki kinapatikana katikati ya ziwa ila ni spishi chache tu hasa spishi mbili za kapenta inayoitwa pia dagaa na spishi nne za sangala cichlidae karibu spishi zote ni wenyeji wa ziwa yaani wametokea hapa pia sangala ni wenyeji wa tanganyika kwa hiyo hakuna matatizo kama huko viktoria nyanza ambako spishi ya sangala iliingizwa miaka iliyopita na kuvuruga ekolojia ya ziwa kutokana na mazingira ya pekee ziwa tanganyika ni mahali pa kutazama matokeo ya mageuko ya spishi cichlidae wa ziwa tanganyika wanapendwa kama samaki wa mapambo wakinunuliwa na kufugwa na wenye tangisamaki kote duniani ziwani kuna pia spishi nyingi za pekee za konokono na kaa pamoja na crustacea nyingine tasnia muhimu katika eneo la ziwa ni uvuvi inakadiriwa ya kwamba baina ya za protini katika chakula cha milioni ya watu wanaoishi kule ni kutoka samaki wa ziwani mwaka kulikuwa na watu hivi waliofanya kazi kuhusiana na uvuvi samaki wa ziwani wanauzwa kote afrika ya mashariki katika miaka ya uvuvi wa kibiashara ulianzishwa ziwani ukasabisha kupotea kwa samaki kufikia mwaka mavuno ya samaki yalipungua hadi tani kampuni nyingi za uvuvi zilizostawi katika miaka ya ziliporomoka usafiri ni mgumu kufikia ziwa tanganyika kutoka miji mikuu ya nchi zao kuna njia za reli zinazoishia huduma iliyopo hadi sasa ni ngumu na hali za njia za reli si nzuri upande wa tanzania treni zilichelewa mno masaa hata siku lakini hali ilianza kuwa afadhali kuanzia julai muhimu kwa ajili ya watu ziwani ni huduma ya feri kuna meli zinazobeba abiria na mizigo ambazo ni mv liemba baina ya kigoma na mpulungu halafu mv mwongozo baina ya kigoma na bujumbura ethiopia kwa kiamhara ityopp ya kwa kiswahili pia uhabeshi ni nchi ya afrika ya mashariki iliyoko kwenye pembe ya afrika nchi zinazopakana na ethiopia ni sudan na sudan kusini upande wa magharibi eritrea na jibuti kaskazini somalia mashariki na kenya upande wa kusini ni nchi ambayo ina historia ya pekee afrika na hata duniani kwa ujumla ethiopia ni moja ya nchi mbili za afrika ambazo hazikutawaliwa na wakoloni wakati walipong ang ania afrika nchi nyingine ni liberia kabla ya vita kuu ya pili ya dunia ethiopia ilivamiwa na waitalia lakini ilipata uhuru wake tena baada ya miaka michache asili ya jina ethiopia haijulikani kuna maelezo mbalimbali lakini yote yanakosa uhakika hilo ni sawa pia kwa jina la pili la kihistoria ambalo ni habasha ilikuwa uhabeshi ethiopia mara nyingi linaelezwa kuwa neno la kigiriki cha kale aithiopia lililotokana na aithiops maana yake uso kuwaka w hivyo labda uso uliochomwa ama sura nyeusi lakini jina hili halikumaanisha hasa nchi ya ethiopia ya leo lakini nchi zote zenye watu wenye rangi nyeusinyeusi kwa muda mrefu watu wa ulaya waliita afrika yote kwa jina ethiopia pia si wazi kama neno la kiafrika lenye maana tofauti limechukuliwa na wagiriki kwa maana ya neno lao la aithiops nchi yenyewe ilijulikana kwa muda mrefu wa historia yake kwa jina la habasha habasha ilikuwa jina la kiarabu kwa ajili ya nchi ikaingia kama uhabeshi katika kiswahili au abisinia katika lugha za ulaya asili ya jina hilo haliko wazi wengine husema ni katika lugha ya kale ya nchi yenyewe kumaanisha nchi kwenye nyanda za juu tena wengine wanadai kwamba jina limetoka uarabuni wa kusini lilipokuwa jina la kabila moja lililohamia na watu walioleta lugha za kisemiti ethiopia tazama pia orodha ya mito ya ethiopia ethiopia ina eneo la kilometa mraba maili mraba nchi yenyewe ni mojawapo ya nchi za pembe ya afrika upande wa mashariki nchini ethiopia kuna milima mirefu sehemu kubwa ya nchi inaundwa na nyanda za juu za ethiopia zilizotenganishwa na bonde la ufa la afrika mashariki ambalo limepasua kutoka kusini magharibi kwenda kaskazini mashariki na kuzungukwa na mbuga maeneo yaliyo chini mabonde na milima hasa nchini ethiopia yanaathiri hali ya hewa udongo mimea na makazi ya watu ukweo wa milima na eneo la kijiografia vinasababisha aina mbili za hali ya hewa eneo lililopoa liko zaidi ya ukweo wa mita futi ambapo vipimo vya joto ni kati ya kuganda na c f vipimo vya joto kwa ukweo wa mita na futi joto ni c hadi c f joto zaidi liko chini ya mita futi ni hali ya hewa ya tropiki na hali ya hewa ya ukame na joto saa za mchana ni c mpaka c f mvua ya kawaida ni kuanzia kati ya juni mpaka kati ya septemba lakini eneo la milima ya kusini mvua hunyesha zaidi ikianzia na mvua kidogo ya februari ama machi ethiopia ni nchi ambayo ina ikolojia tambakazi ziwa tana ambalo liko kaskazini mwa nchi ndilo chanzo cha mto naili ya buluu kwa kiarabu bahr al zraq eneo la mto huo lina aina za wanyama za pekee kama gelada nyani walia ibeka na pia mbwa mwitu historia ya binadamu katika ethiopia ilianza mapema kabisa mifupa ya kale kabisa ya viumbe jamii ya watu imepatikana katika nchi hii kwa sababu zilihifadhiwa katika mazingira yabisi ya nchi wataalamu wengi huamini ya kwamba ethiopia pamoja na kenya na tanzania inaweza kuwa mahali ambako watu wa aina ya homo sapiens walianza kupatikana duniani kuna mabaki mbalimbali ya kiutamaduni yanayochunguzwa na akiolojia lakini sehemu kubwa ya nchi haijaangaliwa bado kitaalamu inaonekana kwamba katika karne za k k kulikuwa na uhusiano wa karibu na uarabuni kwa sababu lugha za kiethiopia ni karibu na lugha za upande mwingine wa bahari ya shamu inaaminiwa kwamba watu kutoka uarabuni kusini walihamia ethiopia na kuleta lugha yao huko biblia ina taarifa juu ya ziara ya malkia wa sheba aliyemtembelea mfalme suleimani wa yerusalemu milki ya sheba imedaiwa kuwepo ama ethiopia au yemen na wengine huamini ya kwamba ilikuwa dola la pande zote mbili za mlangobahari wa bab el mandeb unaotenganisha eritrea ya leo na uarabuni kusini milki ya kwanza ya ethiopia inayoweza kutajwa kutokana na mabaki ya majengo na maandishi ilikuwa milki ya d mt pia da amot katika ethiopia ya kaskazini pamoja na eritrea ya leo kuna mabaki ya hekalu la yeha pamoja na makaburi ambako majina ya wafalme kadhaa yamehifadhiwa kwa maandishi kwenye mawe lugha ilikuwa karibu sana na lugha za kale za uarabuni ilikuwa na athira juu ya sehemu za kaskazini ya ethiopia kwa kipindi kikubwa cha milenia ya kk ilifuata milki kubwa ya aksum iliyoanzishwa wakati wa kuzaliwa yesu ufalme wa aksum ulikuwa milki ya kwanza kutawala maeneo makubwa ya ethiopia nabii mwajemi mani aliuweka ufalme wa aksum kwa utukufu sawa na roma uajemi na uchina kama nchi zilizokuwa na nguvu duniani karne ya bk wakati yeye alipoishi ilikuwa karne ya bk ambapo mtu msiro mgiriki alikuwa amepotelea baharini kutokana na kuzama kwa jahazi frumentius alishikwa na wahabeshi na kupelekwa kortini na baadaye kumuongoa mfalme ezana kuingia ukristo kwa hiyo wahabeshi wakampa jina abba selama mara nyingi karne ya aksum ilitawala eneo la yemeni ng ambo ya bahari ya shamu aksum ilistawi hasa kutokana na biashara kati ya mediteranea na bara hindi iliyopita kwenye mlangobahari wa bab el mandeb ikatumia bandari ya adulis karibu na massawa ya leo nchini eritrea uenezaji wa uislamu ulivuruga biashara hiyo na aksum ilipoteza utawala juu ya pwani kuporomoka kwa uwezo wa kibiashara kunaonekana katika kusimamishwa kwa uchapaji pesa ya wafalme wa aksum katika karne ya nchi ilishambuliwa pia kutoka milki za barani mabaki ya ufalme wa aksum yaliharibiwa mnamo mwaka wakati na malkia gudit au judith aliyekuwa ama myahudi au kiongozi wa makabila ya kipagani kutoka nyanda za juu kiongozi wa kabila la agaw alimwoa binti wa mfalme wa mwisho wa aksum akaanzisha nasaba ya zagwe na kuunda upya ufalme wa kikristo katika nyanda za juu kitovu cha ufalme huu kilipelekwa zaidi mbali na pwani nasaba hii ilipinduliwa mnamo na yekuno amlak aliyetumia jina la kifalme tasfa iyasus alianzisha nasaba iliyojiita wa suleimani kwa kudai ilikuwa ukoo wa mwana wa mfalme suleimani na malkia wa sheba tasfa iyasus alitumia cheo cha negus negesti mfalme wa wafalme enzi ya mfalme lebna dengel ethiopia iliweza kuwasiliana na nchi za ulaya na kudumisha ubalozi na nchi kama ureno lakini mfalme susenyos alipojiunga na kanisa katoliki mwaka chakari na misukosuko ilifuata wamisionari wajesuiti walichukiwa na waamini wa kanisa la ethiopia na katika hiyo karne ya susenyos mwana wa mfalme basil aliwafukuza wanamisheni hao baadaye waoromo wakaanza kuasi amri ya kanisa la ethiopia na kutafuta njia za dini yao eneo hili la uhebeshi mambo hayo yote yalifanya ethiopia itengwe miaka ya wafalme wakawa kama wakurugenzi ambao waliamriwa na masharifu kama ras mikael sehul wa tigrinya ethiopia ilitoka kutoka utengo kwa kufuatia misheni ya uingereza kufika ethiopia na kukamilisha muungano kati ya nchi hizi mbili lakini hadi milki ya tewodros ii ndipo ethiopia ilipoanza tena shauri za duni miaka ya ilikuwa miaka ya ulaya kung ang ania ukoloni afrika ambapo waitalia na waingereza walitafuta kutawala eneo la assab bandari iliyoko karibu na mdomo wa bahari ya shamu bedari ya kusini karibu na kiingilio cha bahari ya shamu ilinunuliwa na waitalia kutoka sultani mwenyeji machi ambayo mwaka ilizaa koloni la eritrea haya yalizua magombano kati ya waethiopia na waitalia na vita vya adowa mwaka ambapo waethiopia walishtua dunia kwa kupiga nguvu za wakoloni na kulinda madaraka yao kwa uongozi wa menelik ii italia na ethiopia zilisaini mkataba wa amani tarehe oktoba karne ya miaka ya kwanzakwanza ilimilikiwa na mfalme haile selassie aliyechukua nafasi ya kuendeleza ethiopia mpaka uongozi wake ulipokatizwa kwa vita vya pili vya uhabeshi na waitalia waingereza na wazalendo wa jeshi la ethiopia wakakomboa nchi mwaka na waingereza kukiri madaraka ya ethiopia kwa mkataba wa uingereza na ethiopia mnamo desemba milki ya haile selassie ilikoma mwaka ambapo wakomunisti wa derg walimpindua na kuanzisha serikali ya kikomunisti mapinduzi hayo yalifuatwa na msukosuko wa vita na migogoro pamoja na ukame na shida za wakimbizi mwaka somalia ilivamia eneo la ogaden vita vya ogaden lakini ethiopia iliweza kuwafukuza wasomali kwa msaada wa vifaa vya kijeshi vya urusi na majeshi ya kuba ujerumani wa mashariki na yemeni usaidizi mwingi kutoka nchi za kikomunisti uliwezesha ethiopia kudumisha mojawapo ya majeshi kubwa afrika lakini hii haikuzuia ukereketwa wa jimbo la eritrea na tigray ambapo ukame wa mwaka na mapinduzi ya siasa hasa kwa kambi za ujamaa zilileta uongozi wa derg kukoma chama cha kukomboa eritrea eplf na chama cha mapinduzi cha kidemokrasi ethiopia eprdf ziliungana kukomboa ethiopia wengi wa wanamgambo wakiwa wanaharakati wa eritrea mwaka jimbo la eritrea likawa huru kutoka ethiopia kufuatia kura ya maoni iliyofanywa ili kumaliza vita hivyo vilivyodumu miaka mmojawapo kati ya migogoro ya muda mrefu zaidi afrika mwaka ethiopia kaiweka katiba mpya ambayo ilileta uchaguzi wa kidemokrasia mwaka magombano ya mipaka na eritrea yalileta vita vya eritrea na ethiopia ambayo vilidumu hadi juni vita hivyo vilileta uvivu wa uchumi na nguvu ya muungano unaongoza nchi uchaguzi wa ethiopia ulipitisha wanabaraza bungeni baraza hilo la bunge lilijumuika juni na kupitisha katiba mpya ya jimbo la demokrasia ya jamhuri ya ethiopia mnamo desemba uchaguzi huu ulikuwa wa kwanza kuchagua wanabaraza wa kitaifa kwa sifa bungeni na wanabaraza wa majimbo mnamo mei na juni vyama vingi vya upinzani viligoma kushiriki uchaguzi ushindi ulichukuliwa na chama cha mapinduzi cha kidemokrasi cha watu wa ethiopia eprdf umoja wa mataifa ukasema vyama vya upinzani vingeweza kushiriki uchaguzi kama zingetaka serikali ya majimbo ya demokrasia ya jamhuri ya ethiopia ilichukua mamlaka mnamo agosti rais wa kwanza negasso gidada eprdf ikaongoza serikali na waziri mkuu meles zenawi ambaye aliunga mkono majimbo ya kikabila na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila ethiopia sasa ina majimbo ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru hata hivyo uhuru wa habari na kisiasa bado umefinywa serikali ya zenawi ilichaguliwa tena mwaka kwa uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia rais akiwa girma wolde giorgis kutoka ethiopia imetafuta urafiki zaidi na marekani na umoja wa ulaya ili kuweza kukopa fedha za kusaidia uchumi wake na pia kutoka benki ya dunia mwaka serikali ilianza kuhamisha watu kutoka maeneo ya ukame wakisema hii itazuia njaa uchaguzi mwingine wa ethiopia ulikuwa tarehe mei ambao ulivutia wapigakura kiasi cha juu zaidi asilimia ya wananchi waliojiandikisha watazamaji wa umoja wa ulaya walidai uchaguzi haujafikia kiwango cha kimataifa lakini umoja wa afrika ulitoa ripoti tarehe septemba kwamba waethiopia walionyesha kujitokeza na kuheshimu demokrasia halafu tarehe septemba carter center ikasema matokeo ya uchaguzi yaaminika na kuonyesha ushindani wa kisiasa uangalizi na ushuhuda wote ulimalizia kuranki uchaguzi wa ethiopia na kesi nyingine waipa asilimia ya matokeo mazuri na vizuri zaidi kulingana na kesi nyingine katika uchaguzi wa ethiopia eprdf ilitokea iking ang ania uongozi tarehe za kwanza za juni na tena novemba polisi kwa amri ya eprdf wakafyatua risasi na kuua watu kwa maandamano yaliyokuwa yakipinga matokeo ya kura ni kwamba vyama vya upinzani vililalamika kwamba eprdf iliiba kura na kuwazisha wananchi na kusema baraza wapata hitilafu ya wizi wa kura hayo yote yalichunguzwa na watazamaji wa uchaguzi wa kimataifa na pia kamisheni ya uchaguzi ethiopia matokeo ya uchunguzi huo kama haijatokea mnamo juni wanafunzi wa chuo kikuu walianza maandamano wakisaidiwa na wanamgambo wa muungano wa vyama vya upinzani lakini serikali kwa kutoa amri ya kukomesha maaandamano mnamo juni watu waliuliwa mjini addis ababa kwa msukosuko wa maandamano na wengine wengi kushikwa mnamo septemba kamisheni ya uchaguzi ethiopia ilitoa matokeo na kusema kwamba eprdf kashinda uchaguzi na kwa hiyo iongoze serikali lakini vyama vya upinzani viliongezea viti bungeni kutoka mpaka muungano wa umoja na demokrasia ulishinda viti vyote vya addis ababa kwa bunge la taifa na baraza la mtaala maandamano yalizuka tena mitaani novemba ambapo vyama vya upinzani viliitisha mgomo kwa jumla na pia kwa bunge mpya wakatae matokeo ya uchaguzi polisi tena walijaribu kuzuia maandamano hayo na watu wakafa kwa misukosuko mjini addis ababa polisi saba pia wakafa na mwingine pia kafa kutokana na majeruhi ya mlipuko wa bomu tope la watu walishikwa na kufungwa jela februari watu elfu sita bado walikuwa jela wakingoja hukumu machi mnamo novemba bunge la ethiopia lilipitisha mkataba kuimarisha kamisheni huru na kuchunguza visa vya juni na tarehe na tarehe novemba februari waziri mkuu wa uingereza tony blair alitamka kwamba eprdf kashinda kura lakini angetaka kuona ethipia ikitatua shida zake yenyewe na iendelee katika njia ya demokrasia ethiopia imegawiwa katika majimbo ya mamlaka ya kikabila kililoch umoja kilil na maeneo zaidi ya hayo kuna maeneo ya miji miwili astedader akababiwoch umoja astedader akababi addis ababa na dire dawa idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa ambao wanaongezeka kwa asilimia kwa mwaka ethiopia ina makabila zaidi ya yenye utamaduni tofautitofauti watu wengi huongea lugha za kisemiti na lugha za kikushi waoromo waamhara wasomali na watigrinya ni zaidi ya ya wananchi wote kumbe kuna makabila mengine yenye watu wachache kiasi kama ethiopia ina lugha za kienyeji angalia orodha ya lugha za ethiopia mifano fulani ni kama ifuatavyo kiingereza ndiyo lugha ya kigeni inayoongelewa zaidi na kufunzwa katika shule ya upili kiamhara ilikuwa lugha ya ufundishaji katika shule ya msingi lakini sehemu nyingi nafasi yake imeshikwa na kioromo na kitigrinya wakristo ambao ndio wengi kati yao waorthodoksi wa mashariki wanaishi hasa kwenye milima na waislamu na wapagani wengi wanaishi kwenye mabonde ufalme wa aksum ulikuwa milki na nchi ya kwanza kukubali ukristo ambapo askofu frumentius wa taya aliyetumwa na atanasi wa aleksandria kuiinjilisha nchi alimuongoa ezana wa aksum katika karne ya labda frumentius alifika tayari na wamonaki kama wamisionari lakini umonaki hasa ulianza mnamo mwaka walipofika wamonaki tisa wenye asili ya siria waliotokea misri katika monasteri za pakomi hivyo mpaka leo mtindo huo ndio unaotawala kati ya umati wa wamonaki wa ethiopia wakati wakaapweke ni wachache ingawa hawajawahi kukosekana athari za siria na misri zinajitokeza katika mambo mengi wamonaki wanaishi katika vibanda vya binafsi wakikutana kwa sala tu wamonaki wanawake kawaida ni wajane wanaishi jirani na monasteri ya kiume wakiitegemea kiroho na kiuchumi uislamu nchini ethiopia unapatikana kutoka mwanzo wa dini hiyo ambapo nabii muhammad aliwaambia waislamu waepuke kuuliwa maka kwa kukimbilia uhabeshi ambayo ilitawaliwa na mfalme mkristu hata utamaduni wa kiislamu wasema bilal mfuasi wa nabii muhammad alikuwa ametokea ethiopia wayahudi ambao waitwa beta israeli falasha walioishi ethiopia tangu karne nyingi wengi wao wamehamia israeli hasa katika karne ya mbali na dini hizo za kimataifa kuna wafuasi wa dini za jadi za kiafrika mnamo aprili mnara wa aksum mojawapo ya dafina za kidini ethiopia ulirudishwa na waitalia mashirika ya msaada yoweri kaguta museveni ntungamo wilaya ya ntungamo uganda ni rais wa uganda tangu januari alichukua madaraka baada ya kushinda vita vya msituni chini ya kundi la national resistance movement na kushinda katika chaguzi za urais za mwaka na kwa muda mrefu kabla ya kuwa rais wa uganda museveni aliongoza vita vya msituni dhidi ya serikali za idd amin aliyetawala toka mwaka na serikali ya milton obote aliyekuwa madarakani mwaka kutokana na mafanikio ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa ukimwi na kukubali kwake kufuata sera za benki ya dunia na shirika la fedha duniani museveni alipata sifa kubwa toka kwa viongozi wa mataifa ya magharibi mwishoni mwa miaka ya museveni alikuwa akielezewa kuwa ni mfano bora wa kizazi kipya cha viongozi wa afrika hata hivyo uongozi wake umetiwa dosari na mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na ushiriki wake katika vita vya wenyewe kwa wenyewe katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na rwanda mambo mengine ni pamoja na ukiukwaji wa haki za kisiasa unaofanywa na serikali yake dhidi ya wapinzani kama vile kizza besigye na kitendo cha kubadili katiba ya nchi hiyo ili aweze kugombea urais mwaka alichagua pico taro mwanamuziki wa kijapani kama balozi wa utalii wa uganda mnamo oktoba jeshi ni jumla ya watu wanaopewa mamlaka ya kutumia nguvu ya silaha kutetea nchi kwa niaba ya dola au kutekeleza maagizo ya serikali dhidi ya maadui wa nje neno linatumika hasa kwa kutaja jeshi la ardhi jeshi la wanamaji na jeshi la anga kazi ya jeshi ni kusudi hilo dhidi ya hatari ya nje ndiyo tofauti kuu na kazi ya polisi ambayo ni mkono mwingine wa serikali ya taifa wenye silaha hata hivyo kuna nchi ambako tofauti kati ya jeshi na polisi si wazi vile hasa kuna nchi nyingi ambako jeshi limepewa wajibu wa ndani ya taifa au ambako wanajeshi walichukua mamlaka mikononi mwao kwa nguvu ya silaha katika nchi mbalimbali kuna vikosi vinavyotekeleza shughuli ndani ya taifa lakini vina silaha sawa na sehemu za jeshi na wakati mwingine vinahesabiwa kama sehemu ya jeshi kwa mfano vikosi vinavyolingana na ffu ya tanzania vinaitwa gendarmerie huko ufaransa na nchi nyingi za afrika magharibi au carabinieri huko italia na kule vinahesabiwa kama mkono wa jeshi ingawa kazi yao ni ya ndani ya nchi hali ya jeshi vitani husimamiwa na sheria ya kimataifa ya vita jinsi ilivyoundwa katika mikataba mbalimbali ya kimataifa sheria hiyo inalenga kulinda raia wakati wa vita na pia haki za wanajeshi wakikamatwa na adui sheria inadai ya kwamba wanajeshi wote wanahitaji wanajeshi wanafuata utaratibu huo wanalindwa na sheria inayokataza pia raia kubeba na kutumia silaha na kushiriki katika mapigano katika vita nyingi sheria ilipuuzwa lakini kuna mifano kadhaa katika karne ya ambapo jinai za vitani zilifuatiliwa kwa mfano kwenye kesi za nuremberg kuhusu jinai za vitani upande wa ujerumani na kesi zilizofikishwa mbele ya mahakama ya kimataifa ya jinai tangu mwaka jeshi la ardhi lina kituo ama kambi ambayo kambi hii yaweza kulinda makundi ya jeshi divisheni ama umma wa jeshi kukitokea vita jeshi huwa wakipeleka divisheni na makundi ya kijeshi kwa vipimo kulingana na vita na mbinu za kusukuma ama kushinda adui kwa vita na pia ratili ya vita ikiwapendukia jeshi hupeleka wanajeshi pulikiza ili kusukuma adui kabisa ama kumshinda jeshi la taifa ni chombo kilichoanzishwa kisheria chenye silaha na askari wenye mafunzo ya kivita amabao kazi yao ni kupambana kivita kulinda ardhi ya nchi husika dhidi ya uvamizi kutoka nje nchi huwa na jeshi moja la kulinda mipaka yake dhidi ya uchokozi kutoka nje lakini pia huwa na majeshi usu kadhaaa kwaajili ya kulinda usalaama wa ndani kwa mfano majeshi ya nchi ni kama jeshi la uganda updf jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania tpdf majeshi usu ni kama polisi magereza uhamiaji zimamoto na tanapa shughuli nyingi za majeshi hutofautiana kulingana na kitengo husika cha jeshi kwa mfano jeshi la nchi kavu jeshi la anga na jeshi la majini haya ndiyo matawi makuu matatu ya jeshi kwa historia jeshi la anga lilikuwa pamoja na jeshi la ardhini hasa kwa historia ya uchina ama jeshi la ukombozi wa umma wa uchina ilichanganya jeshi la ardhi jeshi la majini jeshi la anga divisheni za makombora na usayari kwa tawi moja majeshi ya kisasa yaitwa pia huduma ama askari watawala hii inaweza kuhusu pia matawi ya vita jeshi la nchi kavu vifaru makombora na mhandisi wa jeshi na pia wasafirishaji wa matawi kama mawasiliano watambuzi daktari wapeleka vifaa na jeshi la ndege tofauti na jeshi la anga jeshi laweza kuwa kubwa kama chama chama cha jeshi shurutisho ambalo lina makundi mengi zaidi ya askari jeshi tofauti hujigawa kulingana na utamaduni wao mdash hasa marekani jeshi la kwanza la marekani kwa jeshi la uingereza jeshi kwa shurutisho ni jeshi la kwanza na marekani ni divisheni ya kwanza jeshi kikundi ama jeshi kinara ni shurutisho kubwa zaidi kulingana na umma utatuzi na ushirikana jeshi la urusi wakati wa muungano wa sovieti lilikuwa limegawanywa kwa kundi za askari ambazo zilikuwa chini ya jeshi shurutisho vitani lakini wakati wa amani kundi hizi zilikuwa chini ya tarafa ya jeshi astronomia kutoka maneno ya kigiriki astron nyota na nomos sheria ni elimu juu ya magimba ya ulimwengu kama vile nyota sayari miezi vimondo nyotamkia galaksi kuhusu nyendo zao nafasi umbali ukubwa na sheria zinazotawala tabia zake astronomia ni tofauti na unajimu ambayo si sayansi bali jaribio la kuona uhusiano kati ya nyota na tabia za wanadamu na pia kutabiri mambo yajayo hata hivyo vyanzo vya fani zote mbili zilikuwa karibu sana katika historia ya binadamu hadi kutokea kwa astronomia ya kisayansi tangu zamani watu waliangalia nyota wakajifunza kuzitofautisha mabaharia na wasafiri wakati wa usiku waliweza kutumia nyota kama vielekezi safarini walitazama pia mabadiliko ya kurudia kati ya nyota zinazoonekana angani wakati wa usiku wakaona mabadiliko haya ya jinsi nyota zinavyoonekana yaweza kuwa uhusiano na nyakati za mvua baridi na joto mavuno na ustawi wa mimea katika mwendo wa mwaka kutazama nyota vile kulikuwa msaada wa kupanga vipindi vya mwaka na kuunda kalenda watazamaji wa nyota walianza kutambua pia tofauti kati ya nyota mbalimbali kwa mfano nyota zenye mahali palepale kila wakati na nyota chache za pekee zilizobadilisha mahali angani kwa utaratibu wa kurudia na hizi ziliitwa sayari tena nyota nyingine zilizoonekana kwa muda tu zikibadilisha mahali pake angani zikaitwa vimondo kwa karne nyingi wataalamu katika sehemu mbalimbali za dunia walihisi ya kwamba nyota hizo zilikuwa miungu iliyoonekana kwa mbali sana katika vitabu vya dini vya kale kuna majadiliano juu ya tabia zao wakati mitholojia ya mataifa mengi iliona nyota kuwa miungu biblia ilifundisha ni taa zilizowekwa angani na mungu pekee aliye mwumbaji wa ulimwengu wataalamu wa kale katika nchi kama uhindi au ugiriki ya kale walianza kutambua mwendo wa sayari na kuunda nadharia yuu ya uhusiano wa dunia jua na sayari nyingine ndiyo chanzo cha imani ya kwamba nyota zinaweza kuwa na tabia fulani na athari juu ya maisha duniani na hasa kama mtu alizaliwa wakati nyota fulani ilionekana basi tabia zilizoaminiwa kuwa za nyota ziliweza pia kuathiri maisha ya mtu huyo hapa kuna asili ya kupiga falaki na unajimu wa kisasa wakati uleule wataalamu hao walitazama nyota jinsi zilivyo kuziorodhesha na kupiga hesabu za kalenda orodha ya kale iliyoendelea kutumiwa kwa zaidi ya miaka ilikuwa ya klaudio ptolemaio kutoka misri kwa macho matupu mtu mwenye afya ya macho anaweza kuona takriban nyota leo hii kuna zaidi za nyota zilizoorodheshwa katika orodha za kimataifa katika karne ya darubini za kwanza zilibuniwa ulaya hivyo utazamaji wa nyota uliboreshwa na magimba ya angani mengi yalianza kuonekana galileo galilei aliweza kuona miezi ya mshtarii mwaka iliyokuwa haijajulikana hadi siku ile katika karne ya kifaa cha kamera kilileta tena upanuzi wa elimu upigaji picha uliwezesha uchunguzi wa picha za nyota wakati wowote kamera iliwezesha pia kuona nyota zisizoonekana kwa macho tu kuingiza mwanga kwenye kamera kwa masaa kunakusanya nuru hafifu na hivyo kuonyesha lakhi za nyota zisizoonekana kwa macho sehemu kubwa ya kazi ya wanaastronomia ilihama kutoka kwenye darubini kwenda deski ya mtafiti siku hizi mbele ya kompyuta yenye data maendeleo ya tekinolojia yalileta mitambo mipya inayowezesha kupima mawimbi yasiyoonekana kwa macho kama vile magimba ya anga yanatoa kila aina ya mnururisho kwenye spektra vipimo hivi vilipanusha tena elimu tuliyo nayo kuhusu muundo wa ulimwengu mnururisho wa mandharinyuma ing cosmic background radiation ulitambuliwa uliothibitisha nadharia kuhusu umri wa ulimwengu tangu mlipuko mkuu tangu mwanzo wa usafiri wa anga nje wanaastronomia walipata nafasi ya kuangalia na kupima nyota nje ya athira ya angahewa ya dunia inayopunguza kiasi cha nuru inayoonekana na nje ya ugasumaku wake tangu miaka ya satelaiti mbalimbali zilirishwa zinazobeba darubini za anga nje utafiti wa nyota umepanuka hadi kupima miale ya eksirei na ya gamma inayozuiliwa na ugasumaku na angahewa maendeleo yamekuwa makubwa isipokuwa gharama zimekuwa pia kubwa za kuunda vifaa kuvipeleka kwenye anga nje halafu kuvitunza hadi gharama za kupeleka watu huko juu kwa matengenezo kati ya darubini za anga nje zilizokuwa mdhhuri sana ni darubini ya hubble pamoja na uwezo wa kompyuta wa kushughulikia idadi kubwa za data darubini za anga nje zmeleta vipimo na data za nyota mamilioni itaendelea sayari kwa kiingereza planet ni kiolwa kikubwa cha angani linalozunguka jua au nyota nyingine na kung aa kutokana na nuru ya jua iliyoakisiwa tofauti na nyota na jua zinazong aa peke yake kwa macho inaonekana kama nyota lakini baada ya kuitazama kwa muda wa mwaka inaonekana inabadilisha mahali pake angani tofauti na nyota kwa jumla jina la kiswahili sayari lina asili yake katika neno la kiarabu kaukab sayar nyota inayotembea neno hili la kiarabu linalingana au ni tafsiri ya neno la kigiriki planetes lenye maana ya yenye kutembea ambalo ni asili ya jina planet kwa kiingereza na lugha nyingine za ulaya tangu zamani watazamaji wa anga katika tamaduni mbalimbali walitambua ya kwamba nyota kwa kawaida hukaa mahali pamoja lakini nyota chache zinabadilisha polepole mahali pao kati ya nyota nyingine zikifuata njia zinazorudia kila mwaka nyota hizo ziliitwa nyota zinazotembea zamani kulikuwa na sayari tu zilizoonekana angani kwa macho matupu kama nyota zinazobadilisha mahali tangu kupatikana kwa mitambo kama darubini miaka iliyopita idadi ya violwa angani vyenye miendo ya pekee imeongezeka sana lakini imeonekana pia kuna tofauti kubwa sana kati ya violwa hivi hivyo wataalamu wa umoja wa kimataifa wa astronomia iau walikubaliana mwaka kuhusu ufafanuzi wa sayari kiolwa cha angani kinahesabiwa kuwa sayari kama kinatimiza masharti matatu ufafanuzi huo uliamuliwa kwa kura hata kama wanaastronomia wengine hawakukubali azimio hili liliondoa hadhi ya sayari kwa pluto iliyowahi kutazamwa kuwa sayari katika miaka iliyopita wakati mwingine kuna violwa vingine ambavyo vinavyoitwa pia sayari ingawa havitoshelezi masharti yote matatu kwa kiswahili kuna tofauti kuhusu majina ya sayari kati ya vikundi viwili jua letu lina sayari nane ambazo ni utaridi mercurius zuhura pia ng andu venus dunia yetu earth mirihi mars mshtarii jupiter zohali saturnus uranus na neptun toka mwaka hadi agosti pluto ilikuwa ikitambulika kama sayari hivyo kufanya idadi ya sayari zinazojulikana kuwa tisa hata hivyo chama chenye mamlaka juu ya masuala ya sayari na nyota international astronomical union kimetangaza rasmi kuwa pluto si sayari na kuiita sayari kibete vitabu vya shule vilibatilishwa ili kukidhi mabadiliko haya japo bado kuna vitabu katika shule vya toleo la zamani ambazo bado zaonyesha pluto kuwa sayari kweli sayari tano za utaridi zuhura mirihi mshtarii na zohari menginevyo kuhusu mchangayiko wa majina ya sayari angalia ukurasa wa majadiliano huonekana kwa macho kama nyota angani lakini tangu zamani zilitambuliwa kuwa tofauti kwa sababu hazikai mahali palepale kama nyota ya kawaida bali huhamahama angani kutokana na tabia hii zimetazamwa mara nyingi kuwa na nguvu za pekee au hata kuwa miungu unajimu umetumia mwendo wa sayari zinazoonekana kwa macho kama msingi muhimu wa makadirio yao sayari nyingine katika mfumo wa jua zimetambuliwa tangu kutokea kwa astronomia ya kisayansi kwa darubini hizi ni uranus na neptun katika lugha ya kiswahili sayari zinazoonekana kwa macho huwa na majina ya asili ya kiarabu isipokuwa zuhura ina jina la kibantu la ng andu pamoja na jina la asili ya kiarabu majina mengine ni ya asili ya kilatini jumla ya jua sayari zote pamoja na miezi yao sayari kibete vimondo nyotamkia na asteroidi inaitwa mfumo wa jua sayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo mshtarii jupiter ni sayari kubwa na masi yake ni mara masi ya dunia yetu sayari ndogo ni utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia kutokana na umbali tunatofautisha sayari za ndani kuanzia utaridi mercurius hadi ukanda wa asteroidi halafu sayari za nje kuanzia mshtarii jupiter hadi uranus muundo wa sayari ni tofauti kuna vikundi kulingana na mata inayojenga sayari wataalamu wa astronomia wamegundua sayari nje ing eoplanets yaani sayari zilizoko nje ya mfumo wa jua letu zinazozunguka nyota mbalimbali kutokana na umbali mkubwa na matatizo ya utazamaji kwa muda mrefu hakukuwa na uhakika kama nyota kuwa na sayari ni jambo la kawaida angani au kama sayari ni chache tu tangu kuwepo kwa sayari nje kuliweza kukadiriwa kutokana na mabadiliko ya mwendo wa nyota kadhaa yaliyoweza kuelezwa tu kutokana na masi ya karibu inayobadilisha mwendo wa kawaida baada ya kuboreshwa kwa vifaa vipimo vya mabadiliko ya mng aro vimeonyesha mipito ya sayari maana wakati wa kupita kwa sayari kati ya nyota fulani na mtazamaji duniani sayari inafunika sehemu ya nyota yake hivyo mng aro wake unapungua kiasi cha mabadiliko ya mng aro kinaruhusu kukadiria umbali wa sayari na nyota yake na ukubwa wake sayari nje nyingi zimetambuliwa kwa kutumia mbinu huu kutokana na maendeleo ya darubini imewezekana tangu mwaka kutambua sayari nje kadhaa moja kwa moja lakini idadi yao hadi sasa ni ndogo wa sababu ugunduzi ni vigumu hadi aprili kuwepo kwa sayari nje kumethibitishwa na kati ya hizi mifumo ya sayari imetambuliwa ambako kuna zaidi ya sayari moja nyingi kati ya hizo zilikuwa na ukubwa kufanana na mshtarii au kubwa zaidi lakini sayari ndogo zaidi zimetambuliwa pia nyota kwa mang amuzi na lugha ya kawaida ni nuru ndogo zinazoonekana angani wakati wa usiku kwa kutumia darubini na vifaa vya kisayansi imegunduliwa ya kwamba ni magimba makubwa sana katika anga nje yanayong aa kwa sababu yanatoa mwanga joto na aina mbalimbali za mnururisho kutokana na myeyungano wa kinyukilia ndani yake lakini ziko mbali sana na kwa hiyo tunaziona kama nukta ndogo za nuru kwa jumla nyota zinaonekana kwenye anga kwa mpangilio usiobadilika na kila nyota huwa na mahali pake pasipobadilika kati ya nyota nyingine hata kama nyota kwa jumla zinazunguka angani juu yetu kila siku leo tunajua ya kwamba nyota zote huwa na mwendo kwenye anga lakini mabadiliko haya hutokea polepole hayaonekani katika muda wa maisha ya binadamu lakini tunajua kutokana na habari za kihistoria ya kwamba mabadiliko yapo habari za nyota zinakusanywa na kufanyiwa utafiti na sayansi ya astronomia wanaastronomia wanatumia vifaa kama darubini kutazama nyota na kupima nuru yake kwa kutumia mbinu za sayansi ya fizikia inawezekana kutambua tabia nyingi za nyota ingawa ziko mbali sana tofauti na elimu ya unajimu ambao unatumia mbinu nyingi za kale lakini haufuati utaratibu wa kisayansi bali unajaribu kutabiri mambo yajayo kutokana na nyendo za nyota nyota zinazoonekana kwa macho wakati wa usiku ni kama lakini idadi yake hali halisi ni kubwa mara nyingi zaidi hakuna aliyeweza kuhesabu nyota zote kuna makadirio ya kuwa idadi inaweza kufika nyota hupatikana angani katika makundi kama mawingu makubwa sana kundi la namna hiyo huitwa galaksi galaksi yetu ikiwemo mfumo wa jua letu imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya tunaona sehemu za nyota zake angani zikionekana kama kanda ya kung aa linalojulikana kwa jina njia nyeupe kando ya galaksi kuna makundi madogo zaidi yenye nyota mia hadi lakhi kadhaa yanayoitwa fungunyota kutokana na umbali mkubwa kati ya nyota na nyota umbali huo hautajwi kwa mita au kilomita jinsi ilivyo duniani wanaastronomia hutumia hapa vizio vya nyota jirani kabisa na jua letu inaitwa alpha centauri umbali wake ni mwakanuru maana yake nuru yake inahitaji zaidi ya miaka minne hadi ifike kwetu kwa maana nyingine tunaiona nyota hii jinsi ilivyokuwa miaka minne iliyopita galaksi ya jirani inayoitwa andromeda ina umbali wa mwakanuru milioni maana yake mwanga wake unahitaji miaka milioni mbili na nusu mpaka kuonekana kwetu au kwa lugha nyingine tunaona galaksi ya andromeda jinsi ilivyokuwa miaka hiyo milioni mbili na nusu iliyopita umbali wa parsek ni sawa na mwakanuru au karibu kilomita trilioni au mita fizikia na astronomia zimegundua ya kwamba nyota hazidumu milele bali zina mwanzo na pia mwisho kutokana na tabia hii wataalamu mara nyingi huongea juu ya maisha kuzaliwa na kufa kwa nyota ingawa si viumbehai nyota zinaanza katika nebula au katika mawingu makubwa ya gesi kwenye anga ya ulimwengu kama wingu ambalo sehemu kubwa yake ni hidrojeni ni kubwa sana inaanza kujikaza kutokana na graviti yake katika muda wa miaka milioni mkusanyiko huu unazidi kuvuta mata kwake na kuongeza graviti yake tena na kujikaza katika kitovu cha masi hii shinikizo na jotoridi zinapanda kadiri gesi inavyojikaza nguvu ya graviti ndani yake inaongezeka na atomi zake zinaanza kugusana halijoto inazidi hadi kufikia kiwango ambacho mmenyuko mfululizo wa kinyuklia nuclear chain reaction unaanza kutokea hadi kufikia myeyungano wa kinyuklia nuclear fusion ambapo hidrojeni inabadilika kuwa heliamu kipindi cha mmeyungano nyuklia wa hidrojeni kinaendelea kwa miaka bilioni kadhaa hadi sehemu kubwa ya hidrojeni itakapokwisha hapo sehemu za nje za nyota hupoa na kupanuka hali hii huitwa jitu jekundu red giant kwa sababu ya ukubwa na rangi yake majitu mekundu kadhaa huonekana kwa macho angani yaking aa kwa nuru nyekundu kama masi ya nyota bado ni kubwa mmeyungano nyuklia unaendelea kuzaa elementi nzito zaidi kwa sababu sehemu ya heliamu inaendelea kujibadilisha kuwa elementi za juu zaidi inaaminiwa ya kwamba elementi zote ulimwenguni zilianzishwa ndani ya nyota mwishoni kama masi haitoshi tena kuendeleza mmeyungano mnururisho unapungua na masi inaweza kujikaza kutegemeana na ukubwa wa masi nyota inaweza kuingia upya katika mchakato wa myeyungano nyuklia kwa ghafla na kupasuka mabaki ya mlipuko huu yanakaa angani tu na mara nyingi huingia tena katika mwendo wa kuzaa nyota mpya sehemu ndogo za masi hii huwa sayari kama masi imejikaza sana shimo jeusi kwa kiingereza black hole hutokea katika hali hii nguvu ya graviti ni kubwa mno inashika hata nuru yenyewe ambayo haiwezi kutoka nje tena daniel toroitich arap moi septemba februari alikuwa rais wa kenya kutoka mwaka mpaka moi alizaliwa sacho wilaya ya baringo mkoa wa bonde la ufa na alilelewa na mama yake kimoi chebii kufuatia kuaga dunia mapema kwa baba yake baada ya kumaliza masomo ya chuo cha upili cha tambach aliweza kujiunga na chuo cha ualimu mjini kapsabet alifanya kazi kama mwalimu kutoka mwaka hadi mwaka wa moi aliingia siasa akachaguliwa kwa kiti cha wanabaraza wa mkoa wa bonde la ufa mwaka wa moi na ronald ngala waliunda chama cha kadu ambayo kwa kiswahili ni muungano wa demokrasia ya waafrika wa kenya kilichoshindana na kanu iliyoongozwa na jomo kenyatta lengo la kadu lilikuwa kuhifadhi maslahi ya makabila madogo kama wakalenjin dhidi ya makabila makubwa kama waluo na wakikuyu makabila ambayo yalikuwa zaidi upande wa chama cha kanu kenyatta mwenyewe akiwa mkikuyu kadu ilipendelea katiba ya majimbo ambapo mamlaka nyingi zingebaki kwenye ngazi za chini na kanu ilipendelea mfumo wa serikali ya umoja ambapo mamlaka zingeunganishwa mikononi mwa serikali ya kitaifa kanu ilipata kura nyingi katika uchaguzi kabla ya uhuru hivyo serikali ya kikoloni ya waingereza iliachana na katiba ya majimbo mwaka wa moi alichaguliwa kwa baraza la bonde la ufa tena na mwaka wa kwa baraza la bunge kwa kiti cha baringo ya kaskazini baadaye akawa waziri wa elimu mwaka wa bado kabla ya uhuru wa kenya baada ya kenya kupata uhuru mnamo desemba kenyatta alimsihi moi ya kwamba kadu na kanu ziungane pamoja kumaliza ukoloni kwa hiyo kenya ikawa nchi ya chama kimoja ikiimarishwa na muungano wa wengi wakky waluo moi aliweza kupanda cheo na kuwa waziri wa mambo ya ndani mwaka hasa kwa umuhimu wake kuleta faraja za watu wa bonde la ufa na jumla kadu kwa serikali ya umoja wa taifa baadaye aliweza kupanda cheo zaidi akawa makamu wa rais mnamo kama kiongozi kutoka kabila dogo alituliza makabila haya makubwa nchini kenya lakini moi alipingwa na wanasiasa wa makabila makubwakubwa hasa wakikuyu na waluo walijaribu kubadilisha katiba na kufuta kanuni iliyomfanya makamu wa rais kuchukua nafasi yake wakati rais anaaga dunia hata kwa uzee na afya yake kenyatta kudhoofika alipinga mipango hii katiba ilibaki jinsi ilivyokuwa mzee jomo kenyatta alipoaga dunia tarehe agosti moi alichukua kiapo na kuwa rais wa kenya alikuwa na sifa nchini kona zote alisafiri sehemu na maeneo yote kenya na basi wananchi wakampa faraja na hongera alipochukua kiapo kuwa rais wa kenya alinena kwamba atafuata nyayo za mzee kenyatta kwa maana ataendelea na sera za kenyatta na umoja wa harambee ijapokua wapinzani wake wa kisiasa hasa kutoka makabila makubwa walimwona moi kama rais wa mpito tu asiyeweza kukaa muda mrefu kwa sababu ametoka katika kabila dogo mnamo agosti kundi la askari wa jeshi la anga la kenya wakiongozwa na hezekiah ochuka lilijaribu kumpindua moi lakini walikuta upinzani wa mikono mingine ya jeshi na polisi waliosimama upande wa rais na kushinda uasi ona uasi wa wanahewa wa kenya moi alichukua fursa hiyo kuwafukuza wapinzani wa kisiasa na kuimarisha nguvu yake alipunguza ushawishi wa wafuasi wa kenyatta kwenye baraza la mawaziri kupitia uchunguzi wa muda mrefu uchunguzi huo ulionyesha kwamba wanasiasa kadhaa walikuwa wakishiriki katika uasi moi aliwasamehe lakini alifaulu kuwaonyesha kama wasaliti mbele ya jamii ya kenya viongozi wa uasi huo pamoja na ochuka walihukumiwa kufa na hii ilikuwa mara ya mwisho hukumu za mauti zilitekelezwa kenya moi alipandisha ngazi wafuasi wake waaminifu akabadilisha katiba kuifanya kanu iwe chama cha kisiasa pekee kinachoruhusiwa kisheria nchini wasomi wengi hawakukubali mabadiliko hayo walimoona mwelekeo wa kidikteta vyuo vikuu vilikuwa chanzo cha harakati ambazo zilitaka kuanzisha mageuzi ya kidemokrasia walakini polisi jasusi iliingilia vikundi hivyo na wanaharakati wengi wa demokrasia walikwenda uhamishoni serikali ilipiga marufuku kufundishwa kwa umar katika vyuo vikuu vya kenya harakati za siri zilizaliwa kama vile mwakenya na pambana moi alijulikana ng ambo kama kiongozi anayeunga mkono ulaya ya magharibi kwa vita baridi kati ya ukomunisti na ukapitalisti kenya ilikuwa kwa muandamano wa kutojiunga lakini serikali za ulaya ya magharibi ziliona kenya kama nchi inayopinga ukomunisti na hivyo kambi ya nguvu kwao kushinda ukomunisti kwa hiyo kenya ilipokea misaada kutoka nchi za kibepari zaidi ili kuzuia ujamaa uliotambakaa ethiopia somalia tanzania na pia vita za uganda kwa hiyo siasa za uhuru na haki za kibinadamu hazikuwazisha ulaya ya magharibi hata kidogo lakini vita baridi vilipokwisha kwa kuanguka kwa umoja wa kisovyeti mambo hayo mapya yakatokea mwandamano wa watu na wanasiasa kuitisha demokrasia ya vyama nyingi wakiongozwa na matiba na oginga odinga moi alianza kuonekana kama mdhalimu kwa sababu alianza kuwafunga jela wanamgambo wa kidemokrasia na pia jela nyingine za kisiri ambazo watu waliteswa kwa kunanuliwa na swali ulaya ya magharibi ikaacha kuipa kenya usaidizi wa kigeni na kwa kazo pande zote ndani ya kenya na ng ambo moi kakubali kuruhusu demokrasia ya vyama nyingi ambapo moi mwenyewe kaunga uchaguzi na kukampaini kwa nguvu zaidi kwa kupinga upinzani kasarani mnamo desemba moi alishinda uchaguzi wa miaka na ambapo ulizidi kwa vita vya ukabila mkoa wa bonde la ufa moi aliweza kuwagawa watu wa upinzani kwa kukema ukabila na vyama vya upinzani kupasuka kwa kambi za faraja za kabila pia inasemekana wizi wa kura hasa mkoa wa bonde la ufa na ukambani mwaka wa intidhamu zisizohusika na serikali kama amnesty na uchunguzi wa umoja wa mataifa zilichapishwa kuonyesha haki za kibinadamu kwa wapizani wa siasa hazikutetewa kenya moi akiwa rais jina la moi katajwa kwa ufisadi wa migodi na uzuiaji wa ufisadi huo ambapo serikali kwa sahihi za watu wachache ilisemekana imetoa pesa ya kununua na kuuza migodi ng ambo kwa jina la kampuni bandia goldenbarg ambapo kamlesh pattni mfanyabiashara wa kenya alisemekana kuwa fisadi halisi kwa oparesheni za goldenbarg na wanasiasa waliohusika ilisemekana kwamba moi aliiona goldenberg kama njia ya kupata pesa za kigeni nchini kenya ambapo uchumi utalii na usaidizi wa kigeni ulipokoma mwaka wa hivyo goldenberg ilinunua na kuuza migodi iliyochomolewa jamhuri ya demokrasia ya kongo aibu hii ya goldenbarg ni gharama ya asilimia ya utolezi wa uchumi mwaka mmoja pesa zilizolipwa goldenbarg zilikuwa zitolee kenya pesa za kigeni lakini kwa sababu ni mambo fisadi basi waliopewa pesa hizo wakurudisha na basi serikali ya mwai kibaki ilijaribu kuchunguza kesi yenyewe zaidi rais moi kazuiwa na katiba kwa uchaguzi wa mwaka wengi kwa faraja za moi walisema katiba itekelezwe ili achaguliwe mara ya tatu lakini moi mwenyewe kawapinga na kutawa na kumchagua uhuru kenyatta mwana wa rais wa kwanza kama mwenyekiti kwa chama cha kanu raila amollo odinga kwa bidii alikampainia mwai kibaki ambaye alishinda urais kwa muungano wa narc na kukiriwa desemba moi aliishi kwa utawa mjini kapsabet ambapo huduma zake za amani na usaidizi azifanyia kwa chuo cha moi afrika wakenya wengi wamtambua moi kwa hoja na vigelegele mahali popote aliposimama moi aliunga nchi ya umoja ambayo inaunganisha makabila yote juzi siku ya uchaguzi wa maono wa katiba mpya moi kaipinga katiba ambayo itagawa watu katiba mpya ilipokataliwa na watu kibaki kwa hadhara yasemekana na magazeti kwamba kapanga mkutano na moi kujadili njia ya kusonga mbele kasi ya nuru pia kasi ya mwanga kwa kiingereza speed of light ni kasi yake iliyopimwa hata imekubaliwa kuwa nuru inakwenda karibu kilomita laki tatu kwa sekunde moja katika ombwe kama nuru inapitia katika hewa kasi yake inapungua katika nadharia ya uhusianifu ya albert einstein kasi ya nuru inadhaniwa kuwa ileile wakati wowote pia katika hali yoyote yaani kasi inabaki ileile hata kama nuru inatoka katika chombo chenye kasi yenyewe au kama mtazamaji ana mwendo wake mwenyewe katika nadharia hiyo hakuna mwendo wenye kasi kushinda nuru kasi ya nuru imekuwa kipimo cha msingi katika sayansi za fizikia na unajimu kasi hiyo haihusu nuru pekee inayoonekana na macho ya binadamu lakini pia kwa aina mbalimbali ya mnururisho kama mawimbi ya redio n k tangu safari ya kwanza ya watu kufika juu ya mwezi chini ya mradi wa apollo wa nasa tabia ya nuru kuwa na kasi ilionekana kwa watazamaji wote kila safari kituo cha nasa katika mji wa houston iliwaita wanaanga kwa redio jibu lilichukua sekunde kadhaa hadi kufika kutokana na umbali wa kilomita lakhi tatu kati ya dunia na mwezi hivyo mazungumzo yaliendelea kwa vituo vya kusubiri hadi sauti ilipofika na kurudi kama siku moja wanaanga watasafiri mbali zaidi hadi mirihi au zohali muda huu utaongezeka kutokana na umbali na kasi ya nuru inayobaki ileile galaksi ing galay ni kundi la nyota nyingi zinazoshikamana pamoja katika anga ya ulimwengu kutokana na graviti yao nyota hupatikana angani katika makundi kama mawingu makubwa sana kuna galaksi nyingi sana ulimwenguni kwa wastani kila galaksi imekadiriwa kuwa na nyota kama bilioni lakini kuna galaksi kubwa na ndogo galaksi yetu ikiwemo mfumo wetu wa jua imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya bilioni sehemu ya nyota hizi zinaonekana kama kanda la kung aa kwenye anga la usiku linalojulikana kwa rangi yake kama njia nyeupe au njia ya maziwa umbo lake linafanana na kisahani kikiwa na kipenyo cha miakanuru na kikiwa na unene wa miakanuru kwenye kitovu cha galaksi graviti ni kubwa sana kiasa cha kwamba galaksi nyingi huaminiwa kuwa na shimo jeusi kituvoni galaksi zilizo karibu angani zinaitwa mawingu ya magellan ambayo ni galaksi mbili ndogo zilizopo kwenye umbali wa miakanuru na galaksi kubwa ya jirani ni andromeda na ina umbali wa miakanuru milioni idadi kamili ya galaksi zote angani haijulikani kuna makadirio ya kwamba idadi ya galaksi zinazoweza kuangaliwa kwa vyombo vinavyopatikana ni mabilioni hadi sasa sehemu ndogo tu imehesabiwa lakini mara kwa mara galaksi mpya zinatambuliwa kwa njia ya darubini au vyombo vya angani galaksi zinazojulikana zimepewa namba katika orodha ya kimataifa na wanasayansi wa astronomia galaksi kati yao hujumuika pia zikiathiriana kwa njia ya graviti yao na kuzunguka kitovu cha graviti cha pamoja galaksi hadi zinazoshikamana katika kipenyo cha miakanuru milioni huitwa kundi la galaksi ing galay group kuna pia galaksi mamia hadi maelfu kadhaa zinazoshikamana na hii huitwa fundo la galaksi ing galay cluster linaweza kuwa na kipenyo cha miakanuru milioni image moshi william jpg thumb p mwanamuziki moshi william wakati wa uhai wake picha kwa hisani ya t moshi william jina halisi shaban ally mhoja kishiwa alikuwa mmoja wa wanamuziki mahiri wa muziki wa dansi nchini tanzania aliyeweza kurekodi albamu alizaliwa tanga mwaka na kufariki dunia machi na kuacha mke mmoja na watoto wanne kwa miaka mitatu mfululizo moshi william alitunukiwa tuzo ya kitaifa ya utunzi bora moshi william alijiunga na bendi kongwe nchini tanzania juwata jazz band mwaka akitokea bendi ya polisi jazz mwanamuziki huyo alijipatia umarufu mkubwa kwa kutunga nyimbo zilizokuwa na mafunzo katika jamii mfano wa nyimbo kama ashibae mwaka wa watoto msafiri kakiri asha mwanaseifu kaza moyo ajuza ndoa ndoano mwanamkiwa ajali nyongo mkaa na ini isihaka kibene harusi ya kibene piga ua talaka utatoa na nyimbo nyingine nyingi ukipita mitaa ya keko machungwa jijini dar es salaam sehemu alikokuwa anaishi mwanamuziki huyu lazima utasikia moja ya nyimbo zake zikipigwa katika klabu mbalimbali au kwenye majumba ya wenyeji pia katika miji mbalimbali ya afrika mashariki na kati mwanamuziki huyu alifananishwa sana na mwanamuziki madilu system wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kutokana na staili yake ya uimbaji katika bendi ya msondo ngoma na mtoto wake hassan moshi william kifo cha mwanamuziki moshi william kiliacha pengo kubwa sana katika bendi ya msondo ngoma nyotamkia kometi pia nyota msafiri shihabu ing comet ni gimba dogo la angani linalozunguka jua kwa njia ya duaradufu yenye sehemu kubwa mbali na jua na sehemu ndogo karibu na jua pale inapokaribia jua inaotesha mkia unaoipa jina lake la nyota yenye mkia mkia huu ni hasa mvuke unaong aa kutokana na nuru inayoakisiwa mwili wa nyotamkia ni mchanganyiko wa mawe vumbi na barafu nyotamkia hutokea katika sehemu za mbali za mfumo wa jua ng ambo ya obiti ya uranus ukubwa hauzidi kipenyo cha kilomita kadhaa zikiwa na maumbo tofauti tofauti muda mwingi nyotamkia iko mbali na jua pengine haionekani kwa darubini ikifuata njia ya mzunguko na kukaribia jua kiasi cha kutosha inaanza kuonekana kama nyota ikiakisi nuru ya jua ikikaribia jua zaidi sehemu ya barafu yake inaanza kuyeyuka kuwa mvuke na mvuke huu ni kama angahewa ya muda sehemu nyingine ya mvuke huachana na nyotamkia yenyewe na kuonekana kama mkia mkia huu unaelekea kila wakati upande usio wa jua kwa sababu upepo wa jua unasukuma mvuke upande ule kati ya nyotamkia ni chache tu zinazokaribia kiasi cha kutosha hadi zinaonekana kuwa na mkia kwa macho tu kwa muda wa wiki hadi miezi kadhaa zamani ziliaminiwa kuwa ishara kutoka mbinguni au kutoka kwa mungu zikisababisha wasiwasi na hofu kataka tamaduni nyingi za dunia nyotamkia zilitazamiwa kama tukio nje ya utaratibu wa kawaida na hivyo kama ishara ya balaa fulani inayokaribia tangu karne ya nyotamkia zimetambuliwa kuwa magimba yanayorudi baada ya muda fulani mara ya kwanza nyotamkia ya halley ilitambuliwa na mwingereza edmond halley mwaka ya kuwa inarudi halley alitambua ya kwamba nyotamkia aliyoiona mwaka ilikuwa ileile iliyowahi kuonekana mwaka alitabiri ya kwamba nyotamkia hii itaonekana tena mwaka ikawa hivyo nyotamkia hii iliyopewa jina la halley imeendelea kurudi kila baada ya miaka wanahistoria waliweza kuthibitisha ya kwamba taarifa mbalimbali katika historia kuhusu nyotamkia tangu mwaka bk ziliihusu halley ilipoonekana mwaka nuru yake ilikuwa imepungua kulingana na ziara za awali kutokana na kupungua kwa maada yake iliyopotea katika mkia leo kuna nyotamkia takriban zilizothibitishwa ya kuwa zimerudi kuna pia nyotamkia chache zilizoonekana kwa darubini jinsi zilivyopasuka na kuisha wakati wa kupita karibu na jua kutokana na habari hizo zote wataalamu hufikiri ya kwamba kuna nyotamkia nyingi katika mfumo wa jua letu lakini idadi inaendelea kupungua polepole zikikwisha kutokana na kupungua kwa maada au kukaribia mno jua au hata kugongana na magimba mengine haiwezekani kujua idadi kwa sababu muda wa kuzunguka jua ambao ni sawa na muda wa kuonekana tena unaweza kuwa miaka mamia hivyo nyingine hazikuonekana bado tangu mwanzo wa astronomia ya kisayansi tarehe novemba kifaa cha kutua lander ya chomboanga rosetta ilitua juu ya nyotamkia churyumov gerasimenko baada ya safari ya miaka zaidi ya kilometa bilioni ndiyo mara ya kwanza ya chombo kilichotengenezwa na binadamu kutua juu ya nyotamkia yoyote hatua hiyo itawezesha kuelewa zaidi hulka na historia ya ulimwengu dedan kimathi alizaliwa kijiji cha thenge huko tarafa ya tetu wilaya ya nyeri oktoba ndash alinyongwa na waingereza tarehe februari alikuwa mkenya aliyeongoza harakati za kundi la mau mau za kutwaa ardhi iliyokuwa iko mikononi mwa wakoloni toka uingereza kimathi alihukumiwa na kunyongwa kutokana na harakati zake za kuikomboa nchi ya kenya waingereza serikali ya wakoloni ilimchukua kimathi kama gaidi lakini wananchi wengi wa kabila la gikuyu walimchukua kimathi kama mpigania uhuru alipofika miaka kumi na mitano kimathi alijiunga na shule ya msingi karuna ini ambapo aliweza kujifunza kiingereza halisi hii baadaye ilimsaidia kuandika kwa kiingereza kabla ya mnyanyuko na wakati wa mnyanyuko wa mau mau akiwa shuleni alijiunga kwa chama cha ushauri alikua muumini wa dini na alibeba bibilia kila wakati alifanyia kazi idara ya misitu kuokota begu za miti ili aweze kujilipia gharama ya shule baadaye akajiunga na shule ya upili ya tumutumu csm lakini akaacha shule kwa sababu ya kutolipa gharama ya shule kimathi alifanya kazi kadhaa lakini hakupata msimamo mojawapo ya kazi hizo alijiunga na jeshi na kutumwa kwa vita kuu ya pili ya dunia mwaka wa lakini mwaka wa alifukuzwa jeshi kwa sababu ya makosa kadhaa mnamo alijiandikisha kwa chama cha muungano wa waafrika wakenya mnamo alianza kufunza shule alikosomea lakini wakamfukuza kazi kwa sababu ya kulaumiwa amefanya ubakaji kimathi aliweza kuvutia watu kwa kuonyesha bidii kwa kazi aina zote alizoweza kufanya kimathi alianza siasa za upinduzi mwaka wa alianza kuwa mfuasi wa mau mau na baadaye kupanda cheo na kuweza kuwapa wajiunga wapya kiapo cha mau mau na kwa hivyo akawa gaidi kulingana na waingereza alijiunga tena na kikundi ya arubaini wakombozi wa chama cha kati cha wakikuyu mwaka wa alichaguliwa kama karani kwa chama cha kau eneo la ol kalou na eneo la thomson falls mwaka wa alishikwa kwa mmda mwaka huo lakini akatoroka kwa usaidizi wa polisi wa kijiji hii ilileta mwanzo wa vita vya ukereketwa halisi kimathi aliunda baraza la ulinzi wa kenya ambayo ilitoa amri kwa wapiganaji wote msituni mwaka wa mwaka wa alishikwa pamoja na bibi yake mmoja wambui hadithi nyingi za kimathi zaeleza vile alivyopigwa risasi alihukumiwa kifo na mahakama na jaji wa sheria chifu kenneth o connor akiwa bado kitandani katika hospitali kuu ya nyeri asubuhi na mapema mnamo februari alinyogwa na serikali ya wakoloni waingereza kimathi alizikwa kwenye kaburi la umma mahali pasipojulikana katika gereza la kamiti serikali ya uingereza mpaka sasa inapinga maiti ya kimathi ifukuliwe ili azikwe tena kirasmi kwasababu wanasema alikuwa gaidi lakini wakenya wengi wamchukulia kuwa shujaa wa taifa jina la kimathi linakumbukwa nchini kenya hasa kutokana na mitaa ya miji majengo mengi na pia barabara ambazo zimeitwa kwa jina lake mchezo wa kuigiza wa mzalendo kimathi ama kwa kiingereza the trial of dedan kimathi umeandikwa na ngugi wa thiong o ndugu wa shujaa wa mau mau akishirikiana na micere mugo na mchezo huo unaeleza kisa cha kimathi fasihi simulizi ni kazi ya sanaa inayotumia mdomo tofauti na maandishi kama kwenye fasihi andishi kama njia kuu maalum ya kufikisha ujumbe ni sehemu ya msingi ya utamaduni na vipengele vyake vingi vinafanya kazi kama katika fasihi kwa jumla katika jamii isiyo na uandishi ni wazi kuwa hakuna fasihi andishi hata hivyo kila jamii ina hazina ya mapokeo yapokelewayo mdomo kwa mdomomdash kwa mfano utenzi ngano au nyimbo za jadimdash hivyo vyote ni sehemu za fasihi simulizi hata jamii ijuayo kusoma na kuandika inaendelea kuwa na fasihi simulizi hasa nyumbani k m katika kuwasimulia watoto hadithi lakini mara nyingi fasihi simulizi ya jamii ijuayo kusoma na kuandika ni tofauti sana na fasihi simulizi ya jamii isiyo na uandishi kwa vile imeathiriwa na ujuzi wa kusoma na kuandika na mitindo ya masimulizi yake haiendi sambamba na mitindo ya masimulizi yasiyoathiriwa na uandishi fasihi simulizi ina sifa za pekee ambazo huipambanua na fasihi andishi sifa hizo ndizo huipa uhai fasihi hii miongoni mwa sifa hizo ni pamoja na masimulizi ni fasihi yenye kusimulia habari fulani ni masimulizi ambayo yanatumia lugha ya mjazo au nathari na mtiririko wake huwa mwepesi au sahili urefu wa hadithi hutofautiana kutoka kitanzu kipera kimoja hadi kingine kwa jumla zipo hadithi ambazo ni za kubuni na zingine za kihistoria baadhi ya vipera vya utanzu huu ni hizi ni hadithi za kimapokeo zitumiazo wahusika kama wanyama miti na watu katika kuelezea au kuonya kuhusu maisha vijipera vya kipera hiki ni ni hadithi ndogo ndogo zinazohusisha utani na ucheshi kwa kiasi fulani hizi ni hadithi ambazo hutambwa katika mtiririko wa matukio ambao huzua kicheko soga hudhamiria kuchekesha na pia kukejeli masimulizi ya kimapokeo juu ya wahenga au mashujaa wa kabila au taifa yenye kuchanganya chuku na historia kwa mfano hadithi za liyongo maelezo ya historia bila kutia mambo ya kubuni hizi ni hadithi ambazo husimulia au zimejengwa kwenye matukio ya kihistoria inawezekana matukio yanayosimuliwa yakawa ya kweli yaani yalipata kutokea kihistoria hadithi hizi hutokea zaidi katika maandishi ni utanzu unaofungamana na imani za dini na mizungu ya jamii hizi ni hadithi za kale zenye kuwakilisha imani na mtazamo wa jamii inayohusika kuhusu asili ya ulimwengu na mwenendo wake kuhusu asili yao wenyewe na maana na shabaha ya maisha yao mara nyingi hadithi hizi huaminiwa kuwa ni kweli tupu na hutumika kuelezea au kuhalalisha baadhi ya mila na madhehebu ya jamii inayohusika huu ni utanzu wa fasihi simulizi unaowasilishwa kwa hadhira kwa njia ya uimbaji au ughani badala ya usemaji wa kawaida katika utanzu huu kuna vipera viwili ambavyo ni nyimbo na maghani nyimbo ni kila kinachoimbwa kipera hiki kimegawanyika katika vijipera vifuatavyo ambavyo ni tumbuizo bembea kongozi nyimbo za dini wawe tenzi tendi mbolezi kimai nyiso nyimbo za vita nyimbo za uwindaji nyimbo za taifa maghani ni istilahi inayotumiwa kuelezea aina ya ushairi ambao hutolewa kwa kalima au maneno badala ya kuimbwa kipera hiki kina vijipera vitatu ambavyo ni maghani ya kawaida sifo na maghani masimulizi hilo ni kundi ambalo tunaweza kuingiza fani mbalimbali za ushahiri simulizi kama vile ushairi wa mapenzi siasa maombolezo kazi dini ilimradi unaghanwa katika namna ya uwasilishwaji wake hizi ni tungo za kusifu ambazo husifu watu wanyama na mimea baadhi ya sifo huwa zinakashifu au kukejeli sifo huwa na tanzu muhimu kama vile vivugo majigambo pembezi na tondozi semi ni tungo au kauli fupifupi za kisanaa zitumiazo picha na tamathali kuelezea maudhui yanayobeba maana au mafunzo muhimu kwa jamii kundi hili lina vipera au tanzu sita ambazo ni methali ni semi fupi fupi zenye mpangilio maalumu wa maneno ambazo huelezea kwa muhtasari mafunzo mafumbo na mawazo mazito yaliyotokana na uzoefu wa kijamii mara nyingi mawazo hayo huelezwa kwa kutumia tamathali hasa sitiari na mafumbo methali nyingi huundwa na vipande viwili vya maneno vyenye fikra yurani kipande cha kwanza huashiria tendo au sharti na kipande cha pili huashiria matokeo ya tendo au sharti hilo au sehemu ya kwanza huanzisha wazo fulani na sehemu ya pili hulikanusha au kulikamilisha wazo hilo kwa mfano mwenda pole hajikwai aliye juu mngoje chini maana ya methali hutegemea muktadha au wakati maalumu katika jamii methali zina kazi nyingi katika jamii yoyote ile kama vile ni semi zilizofumbwa ambazo hutolewa kwa hadhira ili izifumbue fumbo hilo kwa kawaida huwa linafahamika katika jamii hiyo na mara nyingi lina mafunzo muhimu kwa washiriki mbali na kuwachemsha bongo zao vitendawili ni sanaa inayotegemea uwezo wa mtu kutambua kuhusisha na kulinganisha vitu vya aina mbalimbali vilivyomo katika maumbile ni semi za muda na mahali maalum ambazo huzuka na kutoweka kutegemea mazingira maalum msimu ukipata mashiko ya kutosha katika jamii huweza hatimaye kuingia katika kundi la methali za jamii hiyo ni semi za maonyo au mawaidha ambazo maana zake za ndani zimefichika fumbo hubuniwa na msemaji kwa shabaha na hadhira maalum hivyo ni tofauti na methali au vitendawili ambavyo ni semi za kimapokeo haya ni majina ya kupanga ambayo baadhi ya watu hupewa au hujipatia kutokana na sifa zao za kimwili kinasaba kitabia au kimatendo majina haya huwa ni maneno au mafungu ya maneno yenye maana iliyofumbwa mara nyingi majina haya huwa ni sitiari baadhi ya majina haya humsifia mhusika lakini mengine humkosoa au hata kumdhalilisha mifano simba wa yuda hali selassie baba wa taifa mwl nyerere ni maonesho au maigizo ambayo hutumia watendaji na mazingira maalumu kwa kuiga tabia na matendo ya watu au viumbe wengine ili kuburudisha na kutoa ujumbe fulani kwa hadhira bujumbura ni mji mkuu wa burundi unaokadiriwa kuwa na idadi ya wakazi mji upo kaskazini mashariki mwa ziwa tanganyika na ni mji mkubwa zaidi burundi kitovu cha mawasiliano na uchumi nchini humo bujumbura ni mji pekee burundi ambao una bandari ya kupakia mali na bidhaa mbalimbali za kuuza nje kama vile kahawa pamba ngozi na madini ya stani bujumbura ilipanuka toka ilipokuwa kijiji kidogo kilichokuwa kambi ya jeshi ya wajerumani eneo hili lilikuwa sehemu ya afrika ya mashariki ya kijerumani mwaka wa lakini baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia bujumbura ilichukuliwa na ubeljiji ambapo shirikisho la mataifa ilisimamia ruanda urundi jina la mji likabadilishwa kutoka usumbura hadi bujumbura burundi ilipopata uhuru mwaka wa bujumbura ni mji ambao umeshuhudia vita vya ukabila kati ya wahutu na watutsi kwa kung ang ania uongozi wa burundi katika mji huo kuna majengo ni yale ya kikoloni na pia kuna soko uwanja wa taifa msikiti mkubwa na kanisa kuu pia kuna jumba la makumbusho ambalo linaitwa jumba la makumbusho ya maisha na jumba la makumbusho ya jiologia mambo mengine ya kuchangamsha ni kama hifadhi ya rusizi na kiamba hapo mugere ambapo panasemekana kwamba david livingstone na henry stanley walikutana lakini watu wengi wasema walikutana ujiji kigoma nchini tanzania ambapo panasemekana ni mwanzo wa mto unaosemekana kuwa ndio mwanzo wa mto nile maumau lilikuwa kundi la wapiganaji wa kenya waliokuwa wakipinga utawala wa kikoloni wa waingereza toka mwaka hadi kundi lilianzishwa mwaka wa na viongozi wa hao mashujaa walikuwa jomo kenyatta jaramogi oginga odinga paul ngei ronald ngala harry thuku na wengineo walifanya kazi nzuri sana kwanza juu ya kuonyesha vile watu wanavyoweza kufika mbali wakiwa kitu kimoja kama haingekuwa kwa maungano hawangeweza kufanya chochote ingawa vuguvugu la maumau halikuwa na mafanikio makubwa kijeshi upinzani wao ulichangia sana katika kuharakisha upatikanaji wa uhuru wa kenya mwaka chanzo cha jina la kundi hili maumau hakieleweki vyema kuna hali ya kutokukubaliana juu ya chanzo na maana ya jina lenyewe baadhi wanadai kuwa ni jina la vilima fulani huko kenya wengine wanaamini kuwa jina hilo lilitoka kwa walowezi wa kiingereza lililokuwa na nia ya kudhalilisha kundi hilo wako pia wanaosema kuwa jina hilo ni kifupi cha mzungu aende ulaya mwafrika apate uhuru sehemu kubwa ya kundi la maumau iliundwa na watu wa kabila la gikuyu huku kukiwa na baadhi ya wanachama toka embu na meru wagikuyu wenyewe hawakuwa wakiliita kundi hili maumau bali muingi vuguvugu muigwithania anayeunganisha muma wa uiguano kiapo cha umoja au kca kenya central association chama kilichotangulia kupigania haki za wakikuyu vita kuu ya dunia ni jina kwa ajili ya vita inayohusu nchi nyingi katika sehemu mbalimbali za dunia badala ya eneo la nchi kadhaa pekee kwa kawaida vita mbili za karne ya huitwa vita kuu ya kwanza ya dunia na vita kuu ya pili ya dunia jina hili limepatikana tangu mwanzo wa karne ya katika miaka kabla ya vita kuu ya kwanza ilipoonekana ya kwamba vita ikianzishwa ingehusu sehemu kubwa ya dunia kutokana na mapatano kati ya mataifa makubwa ya ulaya yaliyotawala nchi nyingi duniani chini ya mfumo wa ukoloni wanahistoria wengine hudai ya kwamba hali halisi vita kuu ya kwanza ilizohusu dunia yote ilikuwa vita ya miaka saba kati ya uingereza na madola ya kijerumani ya uprusi na hannover dhidi ya ufaransa urusi austria sweden saksonia na hispania mapigano yalitokea ulaya amerika ya kaskazini visiwa vya karibi india asia ya mashariki afrika na baharini kote duniani kwa jeologia aulakogenia ni mkono uliogoma wa mikutano mitatu ya ufa za boma za tektonika miungano mitatu chini ya boma za bara uanzisha mpasuko mara tatu ya boma hizi za bara boma za bara zinapopasuka moja wapo ya migongo hii mitatu hukoma kutapakaa ama kuacha kupasuka na hivyo basi ufa ulioacha kupasuka waitwa aulakogenia na baadaye huwa grabenia iliojazwa na udongo kwa bara eneo kama hii nimoja wapo ya eneo zinazo leta udhoofu wa mizizi ya mijengo ugubaji wa mississippi unaohusika na eneo za mtetemeko wa arthi ambao inaitwa eneo za seismik za madrid mpya nimoja wapo ya mfano wa aulakogenia ambao unatokana na upasukaji wa bara ya karne ya kale ilioitwa rodinia kwa kusini magharibi ukingo wa europa kwa ufuo wa ureno kuna ufa beseni inayoitwa beseni ya lusitania ambao ilitokana pamoja na eneo ya canada ya grand banks ambapo viwanja za mafuta za hibernia ziko beseni za ufa zilizo achwa na kusonga wima na kutoa ufuo kama beseni ya lusitanian nimoja wapo ya mifano ya beseni zilizo chini ya bahari za ufa za kale kemia labda jina limetokana na neno la kiarabu al kemia ni sayansi ya mata kwa kiwango cha atomi kemia yahusu tabia ya elementi na viungo vya atomi ni somo la kujua mabadiliko ya mata na uhusiano wa mata na mata ndogo tofauti na pia huhusika wa nishati kimsingi kemia ni somo la atomi na mkusanyo wa atomi kwa molekyuli bilauri ama madini ambavyo vinajenga mata za kawaida kulingana na kemia ya kisasa ni ujenzi wa mata kwa kiwango cha atomi kemia wakati mwingine yasemekana kuwa somo la sayansi la kati kwa sababu inaunganisha sayansi nyingine kama vile fizikia biolojia na jiologia kemia ina matawi mengi yaliyo maalumu kwa masomo na watalaamu wa matawi hayo mahususi wa kemia kwa mfano waruhusu utengenezaji wa vitu vipya uoteshaji au uendelezaji wa madawa ili kutibu magonjwa na kutambua umekanika wa harakati za maisha moja ya majawabu kwa kemia ni ati radhi imehusika kwa kemia radhi yaweza kuhusika na radhi nyingine ama ihusike radhi na harakati za nishati uhusiano ambao unajulikana zaidi ni uhusiano wa kiini ama viini na viini vingine kwa jawabu ya kemikali ambapo kiini kimoja au viini za penduliwa kwa ainanyingine hii yahusu mnururishi wa samaku kama kwa nuru ya kemia ambapo jawabu ya kemikali ya tokea kwa sababu ya papo ya nuru jawabu za kemikali ni masomo mengine ya tawi ya kemia mbapo ya stadi radhi kwa mifano mingine kemikali ya kispektroskopi kwa mfano wa stadi uhusiano wa nuru na radhi bila jawabu lolote kutokea wanasayansi ambao wanadumisha sayansi hii wanaitwa wanakemia kulingana nao radhi zote zina viungo vya atomi ama radhi ndogo zaidi zinazounda atomi atomi zaweza kuungana na kutoa radhi kubwa kama ioni molekyuli ama bilauri mjengo wa dunia ambao tumeuzoea na mitambo ya radhi tumezoea zahakikishwa na jawabu ya viini vya kemikali na uhusiano wa jawabu hizi chuma cha pua ni chuma ngumu kwa sababu atomi zake zimeshikana pamoja kwa mshono wa bilauri mbao huchomeka kwa sababu ya jawabu pesi ya oksijeni kwa jawabu za kemikali kwa kiwango fulani cha joto maji ni kiowevu kwa joto inayodumisha maisha kwa sababu molekyuli za maji zasonga zaidi kuliko mango ya barafu lakini kidogo kwa mvuke binadamu au mnyama yeyote aweza kuona kwa sababu ya uhusiano wa nuru na molekyuli za unyama nyuma ya macho kwa hili eneo kubwa la masomo ni vigumu sana kuhekima kila stadi kwa kemia na kuhtasari stadi yote kwa jumla hata kwa wataalamu zaidi wa kemia wengi ujuzi wao umetia maanani kwa stadi kadhaa walizotia maanani zaidi kwa masomo yao kemia ina matawi mengi sana yanayoitwa tawi za kemia ambazo wanakemia watia makini kemia ambao hufunzwa kwa shule ya upili na miaka ya kwanza ya chuo kikuu yenyewe huitwa kemia ya msingi ambayo huwapa wanafunzi masomo ya kemia kwa msingi ili kuimarisha masomo pana ya kemia kulingana na tawi lolote la kemia mwanafunzi atakayofuata kwa kemia ya msingi stadi yenyewe haimalizii kwa utaalamu lakini wataalam wengi hutumia masomo haya ya msingi wa kemia kueleza kazi yao kwa sababu jibu lenyewe ni ngumu zaidi kueleza kwa ujuzi ama jibu lenyewe ni laghai sayansi ya kemia ni maendeleo ya kisasa kulingana na historia lakini mizizi yake ni kutokana na alkemia ambayo ilikuwa desturi kwa milenia katika dunia nzima jina la kemia ni kutoka alkemia lakini etimologia ya alkemia haijavumbuka zaidi ona alkemia jina al kemia yatoka katika kiarabu al kmiya au al khmiya or kilichotanguliza al kwa neno la kigiriki khemeia ambalo linamaanisha kuunganisha pamoja kumwaga pamoja kuchomelea aloi ya chuma na kadhalika msingi wa kemia waweza kutokana na kuchoma moto ulikuwa nguvu ambayo iligeuza vitu kutoka ain amoja hadi nyingine na hiyo ndiyo iliyoleta shauku ya binadamu ni moto ulioleta ufumbuzi wa chuma na glass baada ya migodi kugunduliwa na kuwa madini ya mali watu wengi walitamani kugundua njia ya kupindua madini mengine kuwa migodi hii ilileta sayansi ya kujaribu ambayo iliitwa alkemia wanaalkemia waligundua taratibu aina nyingi za kemikali ambazo zilileta maendeleo ya kemia ya kisasa kemia kama vile twaijua leo iligunduliwa na antoine lavoisier ambaye alile sheria ya kuhifadhi uzito mwaka wa ugunduzi wa radhi za kemikali ina historia ndefu ya uedelezaji wa jedwali iliopagwa kwa ufumbuzi wa dmitri mendeleev tuzo ya nobel ya kemia ilioanzwa mwaka wa ina historia jema kuhusu uvumbuzi wa kemia miaka iliopita utabiri wa kemikali ni utabiri unaoweza kuelezwa na kemia na unahusu viungo na nishati utabiri wa kemikali unahusika na mapenduzi ya tabia ya viini panapotokea majawabu ya kemikali moto ni mojawapo ya utabiri uliowahi kushangaza zaidi wanakemia wao hujaribu kutabiri mambo yote kuhusu tabiri za kemikali zinazojulikana na kugundua tabiri ambazo hazijajulikana na kuziweka kwa kundi ya jedwali kulingana na tabia ya viini vya kemikali mfano viini ambavyo zaitikia jawabu ya oksijeni ilikutoa majibu kwa aina ya viini vingine husemekana kwamba zime oksijeniwa hata hivyo kundi ya kemikali za kali ama alkali za weza jawabu na kutuliza athari utabiri ambao wajulikana kama utulizaji wa athari za kemikali viini vinaweza kua pia dhoofu ama ziendelee kujiunda kutoka viini vingine kwa njia ya jawabu aina nyingi jawabu za kemikali zinahusika na mapenduzi au uhifadhi wa bidii utabiri huu wasomwa kwa stadi ya kemia inayoitwa kemikali ya siyarajoto kemia ya athari joto na pia viini vingine hutoa nuru bila kuashwa moto utabiri huu waitwa fosfati nuru kemia imegawiwa katika matawi makuu kadhaa kuna pia matawi mengine ya kitaalamu ambayo yanahusika na kemia elimu nyingine za kemia ni kama kemia ya sayari kemia ya anga uhandisi wa kemikali kemia ya maarifa kemia ya umeme kemia ya mazingira jeo kemia kemia ya kijani kibichi historia ya kemia sayansi ya vifaa kemia ya dawa biolojia ya molekyuli molekyuli za jenetika technologia ya nukta kemia ya mahulukulu madini petrokemia famakolojia photochemistry kemia ya bidii za nuru na kemikali kemia ya polima kemia ya molekyuli jitu kemia ya wajihi na kemia ya athari joto mifumo ya kemia ni taratibu zinazo husika kwa eneo hii kupea majina ya viungo vya kemikali kuna mifumo fumbuzi zaidi ya kupa majina kemikali zilizogudulika viungo mahuluku zapewa majina kulingana na mifumo ya mahuluku viungo si mahuluku za pewa majina kulingana na mifumo ya si mahuluku atomi ni muungano wa radhi ambazo zimepata sitima ya kuunga kwa kiini kwa nuklia ya atomi ambayo ina protoni na niutroni napia elektroni kadhaa ili kupima nguvu viini vilivyo na stima ya kuunga kiini ni atomi ambazo zina kiwango cha nambari za protoni na nuklia sawa hii nambari yaitwa namba ya atomi ya kiini kwa mfano atomi zote zina protoni kwa nuklia ni atomi za kiini cha kemikali caboni na atomika zote zina protoni kwa nuklia ni atomi za kiini cha urani maonyesho mazuri ya nambari za viini za kemikali ni jedwali ambayo huweka viini vya kemikali ambazo zina tabia sawa ya kemikali pamoja orodha ya viini kwa jina kwa ishara na kwa nambari ya atomi na pia kwa kuongezea kuna orodha ya aisotope kiungo ni kifaa kilicho na hakiba tosha ya viini vya kemikaliambazo za zaleta viungo an mpango wa kujiunganisha ambao unaleta tabia fulani ya kemikali mfano maji ni kiungo ambacho kina viini vya hidrojeni na oksijeni kwa uwiano wa mbili kwa moja na oksijeni kati ya hidrojeni na kwa pembe ya kati viungo vi na tengenezwa na kubomolewa kwa jawabu ya kemikali molekyuli ni kiungo asili kidogo zaidi kwa viungo au kiini ambacho hakiwezi kugauika mara nyingi na kia tabia za kemikali molekyuli hasa yaweza kuwa na atomi mbili ama zaidi zinazo kujiunga kikaza pamoja ioni ni kifaa kilicho na stima ama atomi ama molekyuli ambayo imepoteza au kuongeza elektroni iliyoongeza yaitwa kationi kama natiri kationi na na iliyopoteza elektroni yaitwa anioni kama klorini cl ambazo zaweza kutulizana kama chumvi kwa kemikali ni natiri ya kloroni nacl mfano wa ioni za poliatomi ambazo hazigawani wakati wa jawabu za kali alkali ni kama haidroksaidi oh ama fosfeti po kifaa cha kemikali yaweza kuwa ni kiini kiungo ama mchanganyiko wa kiungo viini ama viungo na viini radhi nyingi twaziona kilasiku kwa maisha yetu na mchanganyiko mwingine nikama anga aloi na radhi za biolojia na zaidi ya vitu vingine nyingi hugh masekela amezaliwa aprili ni mpulizaji mashuhuri wa tarumbeta wa muziki ya jazz alizaliwa mji wa wilbank afrika kusini hugh masekela anafahamika ulimwenguni kote kwa aina ya kupiga jazz la mtindo wa afri jazz na hasa upulizaji wake wa tarumbeta uongozi wa bendi ya muziki tena kama mtunzi na mwandishi mahiri wa mashairi ya muziki masekela alijifunza kupuliza tarumbeta akiwa shuleni na mwalimu wake ni padri trevor huddleston padri trevor alikuwa ni mkuu wa shule yao huddleston masekela alifanya ziara new york marekani ambako alikutana na msanii maarufu wa kimarekani louis armstrong na aliporudi afrika kusini alibeba tarumbeta alizopewa na armstrong ambazo zilimzindua masekela na kuanza kufahamika akiwa na umri wa miaka ishirini masekela alikuwa akitumbuiza muziki ya aina tofauti hasa ya jazz bebop funk na afrobeat wakati huo alikuwa na kundi la jazz epistles kundi hilo lilikuwa na wasanii maarufu kama mpiga kinanda mahiri abdillah ibrahim mwaka masekela alikwenda london uingereza ambako alijiunga na shule ya muziki ya guildhall school of music na baadaye alikwenda new york marekani ambako alisoma katika mji wa manhattan mwaka alitoa albamu yake ya kwanza iitwayo trumpet africa miaka miwili baadaye alitoa nyingine iitwayo the americanisation of ooga booga ambayo ilitamba mpaka kushika chati hasa baada ya kupigwa na kituo kimoja cha radio cha mjini california mpaka kufikia agosti alikuwa ameuza nakala milioni na kumfanya apate tuzo ya platinum hugh ameshirikiana na wasanii kama miriam makeba wa afrika kusini na paul simon wa marekani kwenye albamu ya graceland tarumbeta lake limesikika zaidi kwenye wimbo wa gumboots na diamonds on the soles of her shoes pasaka ni sikukuu muhimu katika dini za uyahudi na ukristo jina la pasaka limetokana na neno la kiebrania tamka pasakh taarifa za agano jipya zinatoa habari ya kuwa kufa na kufufuka kwa yesu yametokea wakati wa sikukuu ya pasaka ya kiyahudi kwa hiyo jina la sikukuu hiyo limeendelea kutumika kwa ajili ya sherehe ya kikristo pasaka ni sikukuu inayobadilika tarehe yake katika kalenda ya kawaida kila mwaka pasaka ya kiyahudi inafuata kalenda ya kiyahudi ni tarehe nisan ambayo ni siku baada ya mwezi mpevu wa kwanza baada ya sikusare ya machipuko mnamo machi kwa kawaida pasaka ya kikristo tangu karne ya au karne ya inaunganisha siku ya jumapili ni jumapili kila mwaka kwa sababu ndiyo siku ya ufufuko katika mapokeo ya kikristo pamoja na kumbukumbu ya pasaka ya kiyahudi tangu mtaguso wa kwanza wa nikea wakristo walipatana kusheherekea pasaka kwenye jumapili ya kwanza baada ya mwezi mpevu unaotokea baada ya sikusare ya tarehe machi kwa hiyo pasaka inaweza kutokea kati ya machi hadi aprili tangu masahihisho ya kalenda ya juliasi na kuanzishwa kwa kalenda ya gregori mara nyingi kuna tofauti kati ya pasaka ya ukristo wa magharibi sehemu kubwa ya kanisa katoliki na makanisa ya uprotestanti na pasaka ya ukristo wa mashariki kwa sababu waorthodoksi wanaendelea kutumia kalenda ya juliasi kwa ajili ya kukadiria sikukuu zao katika lugha nyingi asili hii bado inaonekana ingawa mara nyingi umbo la neno ni tofauti kidogo jina la sikukuu ya kiyahudi linapatikana kwa maumbo mbalimbali siku hizi mara nyingi umbo la neno la kiebrania limetumika lakini desturi katika lugha hizo inaonyesha pia umbo linalofanana zaidi na neno kwa ajili ya sherehe ya kikristo kwa matumizi tofauti ya jina hili angalia pasaka pia pasaka ya kiyahudi na kipindi cha pasaka pasaka ya kikristo ni sikukuu ambayo wakristo karibu wote hufanya kila mwaka ukumbusho wa kufufuka kwake yesu kristo siku ya tatu baada ya kusulubiwa kufa na kuzikwa kwake inahesabiwa kuwa sikukuu muhimu kabisa katika madhehebu mengi ya ukristo kwa sababu ufufuko huo ndio msingi wa imani ya kikristo mtume paulo aliandika kwamba kristo asingefufuka imani hiyo ingekuwa haina maana kwa kuwa asingeondolea dhambi za watu pamoja na kifo cha yesu ndio kiini cha kanuni ya imani ya wakristo wa kwanza kama alivyoipokea paulo mwenyewe alipoongoka miaka sita baada ya matukio hayo katika waraka wa kwanza kwa wakorintho aliandika jina la pasaka limetokana na sherehe ya pasaka ya kiyahudi linaloitwa tamka pasakh kwa lugha ya kiebrania kinyume cha kiingereza ambacho kina maneno mawili passover na easter katika kiswahili na lugha nyingine nyingi majina ya sherehe za kikristo na kiyahudi hazitofautiani asili yake ni kwamba kusulibiwa na kufufuka kwa yesu kristo kumetokea wakati wa sikukuu ya pasaka ya kiyahudi mnamo aprili ya mwaka bk wakristo wa kwanza ambao wote walikuwa wayahudi walisheherekea sikukuu ya kiyahudi pamoja na kumbukumbu ya ufufuko wa yesu baadaye sherehe na pia tarehe zikawa tofauti ingawa bila kwenda mbali sana badiliko kubwa zaidi lilikuwa lile la wakristo kuadhimisha daima pasaka siku ya jumapili kwa kuwa ndiyo siku ya ufufuko wakati wayahudi wanadhimisha pasaka kwa kuangalia tarehe bila kujali ni siku ipi ya juma tarehe ya pasaka inafuata kuonekana kwa mwezi angani kwa hiyo sikukuu hiyo haina tarehe imara katika kalenda ya kawaida inapatikana katika machi au aprili pasaka haifuati mwezi pekee lakini tarehe yake imefungwa pia kwa sikusare au ekwinoksi kwa hiyo haiendelei kuzunguka mwaka wote kama tarehe za kalenda ya kiislamu mtaguso wa kwanza wa nisea mwaka uliamua ya kwamba pasaka itasheherekewa jumapili ya kwanza baada ya mwezi mpevu wa kwanza baada ya machi tarehe ya sikusare machipuo ambayo ni siku ya usawa wa mchana na usiku hivyo mwanzo wa majira ya kuchipua kaskazini mwa dunia kwa kuwa mwezi mpevu baada ya machi inaweza kutokea kati ya machi na aprili tarehe ya pasaka ambayo ni jumapili inayofuata hutokea kati ya machi na aprili katika ukristo kuna kalenda mbili zinazotumika hivyo pia tarehe mbili za pasaka kanisa la magharibi yaani wakatoliki wengi na waprotestanti hufuata kalenda ya gregori ambayo imekuwa kalenda ya kawaida ya kimataifa lakini waorthodoksi wanaendelea kutumia kalenda iliyotangulia yaani kalenda ya juliasi ndiyo maana mara nyingi pasaka inaendelea kuadhimishwa katika jumapili tofauti kati ya pande hizo mbili hata hivyo kuna majadiliano yenye lengo la kufikia makubaliano ili kuadhimisha pasaka pamoja kwa sasa tofauti ya kalenda inaleta kanisa la mashariki kusheherekea pasaka wakati mwingine hata katika mwezi wa mei wa kalenda ya gregori ingawa kwao bado ni aprili kufuatana na kalenda ya juliasi pasaka ya kiyahudi ni kati ya sikukuu muhimu zaidi za dini ya uyahudi sikukuu hiyo inakumbuka wanaisraeli walivyotoka katika utumwa walimokuwemo huko misri pasaka ya kiyahudi imekuwa na athira kubwa juu ya sherehe ya pasaka ya kikristo kuhusu tarehe liturujia na desturi mbalimbali jina la pasaka limetokana na neno la kiebrania tamka pasakh lenye maana ya kupita juu kukaa juu ya kama mlinzi katika kitabu cha biblia cha kutoka humo imeandikwa ya kwamba mungu atapita juu ya milango ya nyumba za wanaisraeli huko misri katika usiku kabla ya kutoka kwao na kuzuia maovu ambayo wamisri waliathiriwa nayo pasaka ina tarehe kamili katika kalenda ya kiyahudi inaanza nisan na kusheherekewa kwa siku saba hadi nisan siku ya kwanza na ya mwisho ni sikukuu hasa katika nchi ya israel siku hizi mbili ni siku za kupumzika kazi wayahudi wengine hasa nje ya israel husheherekea siku kwa sababu kalenda ya kiyahudi ni kalenda ya mwezi tarehe zake hubadilika katika hesabu ya kalenda ya gregori yaani kalenda ya kawaida ya kimataifa kwa jumla pasaka ya kiyahudi inasheherekewa wakati wa miezi machi au aprili kwa sababu nisan ni mwezi wa kwanza wa majira ya kuchipua katika biblia kitabu cha kutoka sura ya kuna taarifa juu ya kutoka kwa wayahudi katika misri wakati wa musa mnamo mwaka kk taarifa ni kwamba musa alitumwa na mungu kuwaondoa wanaisraeli katika hali ya utumwa huko misri na kuwaongoza kwenda nchi ya ahadi lakini mfalme wa misri mwenye cheo cha farao alikataa hivyo mungu alituma mapigo dhidi ya misri ili farao alazimishwe kukubali pigo la mwisho tena kali mno lilikuwa kifo cha kila aliyezaliwa kama mtoto wa kiume wa kwanza katika misri hapo wanaisraeli waliambiwa kuchinja mwanakondoo na kupaka damu yake milangoni kwao ili malaika akipita kuua watoto wa kwanza asiguse watoto wa wanaisraeli baada ya pigo hilo farao alikubali wanaisraeli watoke tendo hilo la kuwaweka mababu yao huru linakumbukwa na wayahudi kote duniani katika siku zinazoanza nisan sherehe ya pasaka inaanza masaa ya jioni kabla ya siku yenyewe kwa sababu katika kalenda ya kiyahudi mwanzo wa siku si usiku kati wala macheo bali wakati wa machweo jioni inayotangulia maandalizi ya sikukuu ni pamoja na kufanya usafi mkubwa kabisa katika nyumba hakuna kitu kilichochachuka kinachobaki katika nyumba kufuatana na kutoka yaani kitu chochote chenye nafaka au unga wake ulioguswa na maji hata punje yake kama vile mkate keki au spagetti tendo hili ni la kukumbuka jinsi wanaisraeli walipaswa kukimbia misri haraka bila muda wa kutengeneza mikate ya kawaida yaliyochachuka kwa hiyo wanawake wao walioka mikate yasiyochachuka ambayo yamekuwa chakula cha pasaka hadi leo mikate hii huitwa matze familia na marafiki hukutana kwa chakula cha pekee wakizunguka meza ya seder seder utaratibu yenye vyakula vya pekee kati ya vyakula hivyo mboga chungu inakumbusha uchungu wa utumwa matunda ya kupondwa yenye rangi ya kahawia nyekundu yanakumbusha udongo wa matofali ambayo wanaisraeli walipaswa kutengeneza maji ya chumvi yanakumbusha machozi huko misri mayai ni ishara ya matumaini na vingine vyote huliwa katika utaratibu seder maalumu pamoja na masomo na sala kutoka vitabu vya haggada vinavyoshikwa na wote mezani kalenda ya juliasi ni kalenda iliyoanzishwa katika dola la roma kwa amri ya julius caesar mnamo mwaka kk ilichukua nafasi ya kalenda ya kirumi iliyotangulia kalenda ya juliasi ilibadilishwa na kalenda ya gregori kuanzia karne ya bk lakini ilikuwa kalenda rasmi katika nchi mbalimbali kama urusi hadi karne ya mpaka leo ni kalenda ya liturgia katika kanisa la kiorthodoksi juliasi kaisari alikuwa mtawala wa kirumi aliyeamua kubadilisha kalenda ya kale iliyokuwa ya aina ya kalenda ya mwezi majira yalikosa tarehe kamili katika kalenda hiyo hali iliyosababisha matatizo ya kiutawala hasa kwa sababu tarehe ya malipo ya kodi ilitakiwa kuwa baada ya mavuno wakati wakulima walipokuwa na uwezo wa kulipa hivyo caesar alimwajiri mtaalamu mmisri sosigenes atunge kalenda mpya inayofuata mzunguko wa jua kalenda hiyo iliitwa kwa heshima yake kalenda ya juliasi ilikuwa na miezi yenye siku au isipokuwa mmoja mfupi wenye siku ambao ni mwezi wa februari ili kukamilisha siku za mzunguko wa kandokando ya jua vipindi hivyo viliendela kuitwa mwezi miezi ingawa havikufuata tena mwendo wa mwezi wenyewe kwa sababu muda wa mwaka wa jua ulijulikana kuwa na siku kila mwaka wa nne siku ya nyongeza iliingizwa kama siku ya ya mwezi wa februari mwaka kk wenyewe ulirefushwa kwa ajili ya sahihisho lile ukawa na siku ambao warumi waliukumbuka kama mwaka uliochanganyikiwa sosigenes alitumia majina ya miezi ya kalenda ya kale yanayoendela kutumika hadi leo isipokuwa mwaka kk baada ya kifo cha caesar mwezi wa quintilis ulipewa jina la marehemu ukaitwa julius ndiyo julai kwa kiswahili mtawala mkubwa aliyefuata baada ya julius caesar alikuwa augusto anayehesabiwa kuwa kaisari wa kwanza wa kirumi na mwezi wa setilis ulipewa jina kwa heshima yake ni mwezi wa agosti kwa kiswahili hata watawala wengine walijaribu kupachika majina yao kwenye mwezi fulani lakini ni majina ya kaisari juliusi na augusto pekee yaliyodumu miezi ya septemba hadi desemba inatunza kumbukumbu ya kwamba ilikuwa miezi ya saba hadi kumi katika kalenda ya kale ya kirumi oktoba octo novemba novem desemba decem lakini hapakuwa na mapatano kuhusu mwanzo wa mwaka ni mwezi gani maeneo mbalimbali yalitumia mwanzo tofauti ni tangu karne ya bk tu kwamba januari ilianza kukubaliwa polepole kuwa mwanzo wa mwaka katika nchi za ulaya kalenda ya juliasi ilikuwa na kasoro ambayo haikujulikana mwanzoni muda kamili wa mwaka wa jua si siku hivyo mwaka wa kalenda ya juliasi ulipita muda kamili ya mwaka wa jua kwa dakika na sekunde hadi karne ya bk tofauti hiyo ilikuwa imefikia tayari jumla ya siku hayo yalionekana hasa wakati wa pasaka ambayo haikufuata tena utaratibu uliowekwa na mtaguso wa kwanza wa nisea kwa sababu hiyo mtaguso wa trento wa kanisa katoliki uliamua kusahihisha kalenda ni papa gregori iii aliyeita wataalamu waliofanya makadirio mapya tangu mwaka kalenda ya gregori ilipoanzishwa ikawa leo kalenda ya kimataifa kalenda ya mwezi ni kalenda inayohesabu miezi kufuatana na mwendo wa mwezi kwenye anga mwezi una muda wa siku kutoka mwezi mpya hadi mwezi mpya faida yake ni ya kwamba mwezi unaonekana na watu wote hali hii inasaidia kuelewana haraka kati ya watu juu ya tarehe fulani katika mazingira ambako hakuna mitambo wala maandishi mwaka wa miezi hii una siku kwa sababu hiyo kalenda za kale katika mataifa na tamaduni mbalimbali mara nyingi zilikuwa hasa kalenda za kufuata mwezi kalenda ya mwezi ina mwaka wa siku ambao ni fupi kuliko mwaka wa jua mwenye siku kutokana na hiyo kalenda haiwezi kutabiri majira yanayoenda sambamba na mwendo wa jua hii ilileta ugumu katika makadirio ya mambo yote yanayohusu mpangilio ya kilimo kinachofuata majira ya joto na baridi au ukame na mvua hali hizi zote zinategemea hali ya jua na kukadiriwa katika mwaka wa jua ugumu huu uligusa pia mambo ya utawala na serikali kwa sababu uwezo wa wakulima kulipa kodi inategemea mavuno kalenda ambayo haisaidii kupanga wakati wa mavuno hivyo kupatikana kwa mapato ya serikali ina faida kidogo tu kutokana na sababu hizo kalenda za mwezi zilirekebihswa mara nyingi kwa njia ya kuingiza siku za nyongeza ili muda wa mwaka ilingane na mwaka wa jua kalenda ya kiyahudi ni mfano hadi leo jinsi mwaka wa mwezi unasahihishwa kwa kuingiza miezi ya nyongeza katika utaratibu wa kipindi cha miaka kuna miaka ya kawaida na miaka saba yenye mwezi wa nyongeza inayobadilishana ili kulinganisha kalenda ya mwezi na mwendo wa jua hivyo mwezi wa mavuno inabaki katika majira yake kalenda ya mwezi tupu ambayo ni muhimu hadi leo ni kalenda ya kiislamu tarehe zake zinabadilika kila mwaka katika kalenda ya gregori ambayo ni kalenda ya kimataifa inayofuata jua kwa mfano ramadhani iko mwaka bk wakati wa novemba kila mwaka inasogea mbele itafika miezi ya agosti mei januari na kadhalika hadi kurudi tena novemba katika mwendo wa miaka wapitao jamhuri ya madagaska inaenea katika kisiwa cha madagaska pia bukini kilichopo katika bahari hindi mashariki kwa pwani ya afrika jina madagaska lina maana ya kisiwa kikubwa na linatokana na lugha ya wenyeji wamalagasi ambao waongea kimalagasi kisiwa chenyewe ni cha nne kwa ukubwa duniani upekee wa kisiwa unatokana na kwamba kilimeguka kutoka india miaka milioni hivi iliyopita halafu kilibaki bila watu hadi karne ya hivi bk kisiwa hicho ni pia mazingira makubwa ya aina ya violezo ambayo ni asilimia ya violezo vyote vya mimea na wanyama vya dunia nzima asilimia ya viumbehai asili ni maalumu wa madagaska kama vile wanyama aina ya kima awali wanaoitwa lemuri ndege ambao waambukiza ugonjwa na mti wa mbuyu madagaska ni kati ya maeneo ya mwisho kufikiwa na kukaliwa na binadamu wa kwanza kufika walitokea visiwa vya indonesia kama mwaka bk baadaye tu walihamia watu kutoka bara la afrika mwaka hivi na wengineo waarabu wahindi wazungu wachina n k kuanzia mwaka hadi mwaka kisiwa kilizidi kuunganishwa kisiasa chini ya ufalme wa merina watawala walikuwa watu kutoka familia ya andrianampoinimerina mwanzilishi wa taifa hilo ambaye alikuwa ametokea katika kabila la wamerina kabila hilo lilikuwa kubwa na muhimu kuliko yote ya kisiwa hicho makazi yake yalikuwa katika uwanda wa juu wa kati lakini lilienea sehemu kubwa ya bukini wamerina walikuwa na makao makuu ya utawala wao antananarivo baada ya kugawiwa kwa ufalme wao mnamo kitovu cha malaka kati ya wamerina ikahamia kwenye mlima wa ambohimanga lakini tangu kuunganishwa kwa wamerina mnamo mji mkuu ukulikuwa tena atananarivo kutoka hapo waliweza kueneza mamlaka yao katika sehemu nyingine za kisiwa hicho makabila yote ya wenyeji yalizungumza lugha moja na yalikuwa na mila na desturi zinazofanana hivyo yaliweza kujenga umoja wa kiutamaduni uliowafanya wawe jamii moja kimsingi watawala hao wa kifalme waliweza kutekeleza mambo mbalimbali kuendeleza bukini katika vipindi vyao kabla ya kuja kwa wageni kutoka uingereza na ufaransa ambao kwa kiasi fulani ulidhoofisha mamlaka ya kifalme kisiwa hicho hatimaye kiligeuzwa kuwa koloni la ufaransa hii ni kwa kuwa ingawa sera ya kuisasisha ya bukini kwa namna fulani iliimarisha uwezo wa nchi hiyo wa kutetea uhuru wake lakini kwa ujumla sera hiyo ilidhoofisha ufalme huo kwa kuongeza utegemezi wake kwa mataifa ya kigeni mwaka idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa milioni wenyeji wengi wana mchanganyiko wa damu dna inaonyesha kuwa wakazi wa kwanza kutoka indonesia wameichangia asilimia hivi na waafrika vilevile wanaoishi sehemu za ndani ni wa kiindonesia zaidi wakati wale wa pwani ni wa kiafrika zaidi lugha ya taifa ni kimalagasi lugha rasmi za madagaska ni kimalagasi na kifaransa angalia pia orodha ya lugha za madagaska mwaka nchini madagaska kulikuwa na dini za jadi hivi ukristo waprotestanti wakiwazidi kidogo wakatoliki uislamu hivi n k tangu hapo wafuasi wengi wa dini za jadi wameongokea ukristo hasa wa kiprotestanti pamoja na kutokea mazingira tofauti sana wamalagasi wamechanganyikana sana na kuwa na utamaduni na lugha aina moja ya kiindonesia zaidi itifaki kutoka neno la kiarabu pia protokali kutoka kiingereza protocol ni orodha au mpangilio wa visa unaotumika katika kuendesha sherehe mkutano mjadala na kadhalika kutokana na utaratibu uliowekwa mathalani katika shughuli za mikutano ni kiongozi gani anatakiwa kuingia kwanza kisha nani afuatie na nani awe wa mwisho kuingia katika sehemu ya mkutano mwenyeji wa mkutano anatakiwa kukaa upande gani na mgeni mwalikwa anatakiwa kukaa upande gani kama ni shughuli ya kitaifa ni wimbo wa taifa gani unatakiwa uanze ule wa rais mwenyeji au wa rais mgeni baada ya mkutano nani anatakiwa kutoka kwanza na nani awe wa mwisho mambo kama haya au utaratibu kama huu ndio huitwa itifaki pia ni maelewano au maridhiano maalumu kati ya mataifa tena ni programu ya kompyuta gaius julius caesar tamka gayus yulius kaesar kk alikuwa kiongozi wa kisiasa na wa kijeshi wa roma ya kale anakumbukwa hasa kwa mafanikio mbalimbali yanayoonekana kuathiri dunia hadi leo baadhi ya mafanikio hayo ni alizaliwa katika familia ya makabaila wenye nafasi katika senatus ilivyoitwa bunge la roma aliingia katika siasa akachaguliwa kwa vyeo mbalimbali kwa vipindi vya kawaida wa miezi kadhaa hadi mwaka moja cheo chake muhimu cha kwanza kilikuwa mkuu wa koloni la kiroma la hispania alifaulu kushinda ghasia ya wahispania wenyeji waliojaribu kuwafukuza waroma kutoka nchini mwao caesar aliporudi roma alitajirika na kujipatia sifa kama kiongozi wa kijeshi pia mwanasiasa aliyeokoa koloni muhimu la hispania baadaye caesar alijiunga na wanasiasa wawili wengine gnaeus pompeius magnus aliyekuwa mkuu wa wanajeshi na marcus licinius crassus aliyekuwa tajiri kushinda waroma wote wote watatu waliunda umoja ulioitwa triumviratus yaani umoja wa wanaume watatu wakashika mamlaka katika dola caesar alichaguliwa kwa cheo kikuu yaani konsul kwa mwaka kk baada ya mwisho wa kipindi chake alijipatia cheo cha prokonsul au gavana wa eneo la gallia ya kiroma italia ya kaskazini na eneo dogo la ufaransa ya kusini alitumia nafasi hii kuanzisha vita dhidi ya makabila ya gallia huru yaani eneo lote la ufaransa uswisi na ubelgiji ya leo katika miaka minane ya kk alitwaa gallia yote aliingia pia ndani ya germania ujerumani na kuvuka bahari aliposhambulia upande wa kusini wa britannia aliandika kitabu cha de bello gallico yaani vita ya gallia akieleza mapigano yake kitabu hicho kina habari muhimu za kihistoria juu ya utamaduni wa makabila ya gallia germania na britannia aliyopigana nayo baada ya kufanikiwa gallia na kujenga jeshi kubwa tena hodari wanasiasa wengine huko roma walianza kumwogopa wakajaribu kumzuia asirudi italia mwenzake crassus alikuwa amekufa tayari vitani mashariki mwa dola mwenzake pompeius aliomwogopa caesar akajaribu kushawishi viongozi wengine kumsimamisha lakini mwaka kk caesar aliongoza wanajeshi lake warudi italia pompeius na wapinzani wake walitoka roma wakaenda ugiriki iliyokuwa jimbo la kiroma mwaka kk caesar akachaguliwa tena kuwa konsul akamfuata pompeius kwa jeshi lake akamshinda katika mapigano pompeius alikimbia kwenda misri lakini mfalme ptolemaio iii alimwogopa caesar akamwua pompeius akampatia caesar kichwa chake alipofika misri caesar alikutana na dada yake ptolemaio kleopatra akampenda na kuzaliana naye mwana wake pekee akamsaidia kleopatra kuwa malkia na mtawala wa misri caesar alirudi roma kutoka misri akiwa mshindi dhidi ya wapinzani wote bunge la senatus lilimpa cheo na madaraka ya dikteta kwa miaka baada ya ushindi mwingine dhidi ya wapinzani huko hispania bunge lilibadilisha azimio hilo kumpa cheo cha dikteta wa maisha caesar alipokea azimio hili sasa sehemu ya wabunge waliogopa ya kwamba nia yake ilikuwa kuwa mfalme wa roma jambo lililokuwa marufuku katika jamhuri ya roma kikundi cha wabunge wote makabaila wa familia za kale kiliunga mikono wakamwua caesar bungeni tarehe machi kk kwa kumdunga kisu mara caesar anasemekana alimtambua mpwa wake brutus akamwuliza kwa maneno yake ya mwisho hata wewe mwanangu caesar hakuwa na watoto ila huyu mwana wa kleopatra asiyekuwa mroma kabla ya kifo chake alikuwa amempanga mtoto mpwa wake oktaviano huyu oktaviano aliyejulikana baadaye kama augusto na mtawala wa kwanza wa dola la roma alilipiza kisasi chake katika kipindi cha vita ya wenyewe kwa wenyewe na kuua wapinzani wote wa caesar miaka miwili baada ya kifo chake bunge lilimtangaza caesar kuwa mungu gallia ni jina la kihistoria kwa ajili ya ufaransa pamoja na maeneo ya jirani gallia ilikuwa jina la kilatini kwa ajili maeneo yaliyokaliwa na wagallia hili ilikuwa namna jinsi waroma wa kale walivyowaita majirani wao wakelti kijiografia eneo hili lilijumlisha ufaransa uswisi ubelgiji na italia ya kaskazini ya leo wakelti au wagallia walikalia pia uingereza ya kusini britania na hispania iberia lakini maeneo haya hayakuhesabiwa kuwa sehemu ya gallia na waroma wakelti walikuwa pia kati ya wakazi wa kale wa ujerumani kabla ya uvamizi huko wa wagermanik wenyewe karibu habari zote za kimaandishi kuhusu gallia na wagalli zimetokana na waroma wa kale sehemu kubwa ya habari zinapatikana katika kitabu cha caesar vita ya gallia kuna pia mabaki ya kiarkolojia hasa makaburi pamoja na vitu vya maisha ya kila siku vilivyoweka makaburini kwa imani ya kwamba vitawasaidia marehemu katika ahera arkiolojia ya makaburi inaonyesha ya kwamba wakelti wagallia walikuwa sehemu ya biashara ya kimataifa pia walikuwa na mafundi wenye uwezo wa kutengeneza vitambaa na nguo pia na wahunzi na wafinyanzi mnamo mwaka kk kabila fulani la wagallia chini ya kiongozi brennus lilivamia italia na mji wa roma lakini walishindwa kuteka boma la mji kwa muda mrefu waroma walihofia majirani ya kaskazini kuanzia mwaka kk waroma walikuwa waliendelea kisiasa kiuchumi na kijeshi wakafaulu kuteka gallia cisalpina gallia upande wa kusini wa milima ya alpi ambayo leo hii ni italia ya kaskazini ikawa jimbo la kiroma kuanzia mwaka kk waroma walianza kuvamia sehemu za pwani la gallia pamoja na bonde la mto wa rhone ikawa jimbo la gallia narbonensis mji mkuu ulikuwa mji wa narbo leo narbonne sehemu nyingine ya gallia imebaki nchi huru ya makabila yaliyojitawala mwaka kk mwanasiasa na jenerali mroma caesar akawa gavana wa gallia cisalpina pia narbonensis alichukua nafasi ya vita kati ya makabila ya wagallia katika eneo la uswisi kuingilia ndani ya mambo ya gallia huru katika vita ya miaka nane alishinda wapinzani wote mwaka kk gallia yote ikawa chini ya utawala wa kiroma katika karne zilizofuata gallia imekuwa sehemu halisi ya dola la roma inaonekana wagallia wenyewe walikubali utawala wa kiroma hasa baada ya kupewa uraia wa kiroma lugha ya kilatini ilitumika kwa ajili ya habari za kiutawala ikapokelewa polepole na wenyeji kilatini hiki kilikuwa msingi wa lugha ya kifaransa kilichotokea baadaye misri kwa kiarabu masr ni nchi ya afrika ya kaskazini mashariki ikiwa na eneo la rasi ya sinai kwenye bara la asia pia ni nchi yenye wakazi milioni na mji mkuu kairo ni kati ya miji mikubwa zaidi duniani zaidi ya milioni ni kati ya nchi za dunia zenye historia ndefu inayojulikana misri imepakana na bahari ya mediteranea israel eneo la mamlaka ya palestina ghuba ya suez ghuba ya aqaba bahari ya shamu sudan na libya umbo la nchi hufanana na trapeza tabianchi ni yabisi sana na maeneo makubwa ni jangwa pamoja na oasisi na maeneo ya savana ya miiba karibu wananchi wote huishi ndani ya kanda nyembamba ya bonde la mto naili bonde hili linavuka nchi kuanzia mpakani na sudani katika kusini kuelekea kaskazini hadi mdomo wa mto kwenye bahari ya mediteranea ardhi pande zote mbili za mto inamwagiliwa na kulimwa kwatika umbali mdogo kutoka mto jangwa inaanza takriban kilomita kabla ya mdomo naili inagawanyika katika mikono mbalimbali na kuunda delta ya mto kanda hili bichi si zaidi ya asilimia za eneo lote la nchi ila za wananchi wote huishi humo kwa hiyo naili huitwa baba wa misri kwa maana bila mto huo pasingekuwepo taifa hili mji mkuu wa kairo uko mwanzoni mwa eneo la delta nchi yote huwa na kanda asilia zifuatazo nchi hiyo ni kati ya vitovu vya ustaarabu wa binadamu na kwa sababu hiyo inavutia watalii wengi katika kipindi cha historia ya awali tangu takriban miaka kk wakazi wa misri walikuwa na kilimo cha nafaka walikuwa na teknolojia ya zama za mawe wakati ule jangwa la sahara lilipanuka na kuwalazimisha watu kukaa karibu zaidi kwenye mto nile na kwenye oasisi kama faiyum katika mazingira ya jangwa bonde la nile liliwavuta watu kutokana na rutuba kubwa ya ardhi iliyoongezwa kila mwaka upya kwa njia ya mafuriko yaliyotandaza matope kutoka nyanda za juu kwenye ardhi utafiti wa akiolojia umegundua ya kwamba wakazi hao wa bonde walianzisha tamaduni mbalimbali zilizokuwa tofauti kati yao lakini zilizowasiliana kibiashara mifano ya kwanza ya mwandiko wa hiroglifi imepatikana kwenye vyungu vilivyofinyangwa mnamo kk katika karne zilizofuata mnamo kk yalitokea muungano wa sehemu mbalimbali wa misri chini ya wafalme wenye nguvu wanaotajwa kwa cheo cha farao katika historia iliyotungwa na waandishi wagiriki wa kale ni kwa kawaida farao menes anayetajwa kuwa mtawala wa kwanza aliyeunganisha misri ya kaskazini na misri ya kusini kuwa milki moja lakini leo hii inajulikana kuna wafalme waliomtangulia waliokuwa tayari na milki kubwa hata hivyo menes alianzisha utawala wa nasaba mbalimbali zilizofuatana pamoja na vipindi vya kati ambako vita vya wenyewe kwa wenyewe na mafarakano katika nasaba ziliweza kugawa nchi tena kwa muda mafarao wa misri ya kale walifaulu mara kadhaa kupanua mamlaka yao hadi ndani ya sudani ya leo na pia kwa vipindi juu ya sehemu za palestina na syria ya leo mara kadhaa wavamizi kutoka nje walifaulu kushika utawala juu ya misri kama vile wahyksos kutoka palestina kanaan wakushi kutoka nubia au watu kutoka lybia wavamizi hao walitumia pia cheo cha farao wakijaribu kuendeleza tabia nyingi za milki za awali hatimaye wote walipinduliwa tena na viongozi wazalendo walioanzisha nasaba mpya mwaka kk mfalme wa uajemi aliteka misri kwa kipindi kifupi wamisri waliweza kuwaondoa tena na kuendelea chini ya watawala wazalendo uvamizi wa aleksander mkuu mwaka kk ulianzisha kipindi cha misri ya kigiriki mji mpya wa aleksandria ulikuwa mji mkuu mpya jemadari wa wagiriki walitumia pia cheo cha farao na kutawala kama nasaba ya ptolemi lakini tabaka ya watawala ilikuwa na utamaduni tofauti sana na wananchi wakulima wa kawaida wakati wafalme wagiriki waliendelea kutawala milki mpya ilienea kutoka magharibi ya mediteranea iliyokuwa dola la roma malkia wa mwisho wa misri alikuwa kleopatra baada ya kifo chake misri ilikuwa jimbo la dola la roma utawala wa kiroma uliendelea kwa karne katika muda huu ukristo ulianza kuenea katika misri nchi ilikuwa haraka kitovu muhimu cha imani mpya na ukristo wa kikopti uliendeleza liturgia na mapokeo ya pekee na kupeleka mfumo huu wa ukristo hadi sudani na ethiopia lakini hali ilikuwa ngumu baada ya magavana wa roma na baadaye wa bizanti kujaribu kuwalazimisha wakopti kufuata liturgia na mafundisho ya kanisa rasmi yaani kanisa la kiorthodoksi kwenye mwaka jeshi la waarabu waislamu lilivamia misri na kuteka nchi yote katika muda wa miaka wenyeji wengi waliokuwa wakristo wakopti hawakuwapinga kwa sababu walipendelea waislamu kuliko wakristo waorthodoksi waliowahi kuwakandamiza vikali katika miaka iliyotangulia kwa karne kadhaa idadi kubwa bado walikuwa wakristo lakini kuanzia karne ya idadi ya waislamu ilikuwa kubwa zaidi kwa sababu wakristo walipaswa kulipa kodi zaidi na vipindi kadhaa vya mateso vilitokea na yote ilisababisha kuhamia kwa wananchi kwenda dini mpya watawala wapya hawakutumia aleksandria kuwa mji mkuu bali walianzisha mji mpya wa fustat karibu na babylon ya misri pale ambako mto nile unajigawa na kuanzisha delta yake hadi mwaka misri ilitawaliwa na watawala waislamu wasunni waliokuwa kwa jina magavana na wawakilishi wa makhalifa huko dameski au baghdad lakini zaidi watawala wa kujitegemea hali halisi mwaka wafatimi kutoka sehemu za tunisia ya leo walivamia na kuteka nchi wakianzisha ukhalifa wao wafatimi walikuwa waismaili wakati ule mwelekeo wa kimapinduzi ya shia walianzisha makao makuu yao nje ya fustat na babylon wakaiita al qahira yaani mwenye ushindi na hii ilikuwa chanzo cha kairo ya leo wakati wa vita za misalaba wafatimi walishindwa na askari wa wasunni waliendelea kuunda nasaba ya masultani wa mamluki wa misri mnamo mwaka waosmani walivamia na kuteka misri hadi karne ya misri ikaendelea kama jimbo la milki ya osmani kisheria hata hadi vita kuu ya kwanza ya dunia hali halisi nchi ilikuwa na kipindi kifupi kama milki ya kujitegemea wakati wa karne ya hadi kusimamiwa na uingereza hasa kwa shabaha ya kutawala mfereji wa suez na kushuka kwa ngazi ya nchi lindwa mwaka ilitangazwa kuwa nchi lindwa chini ya uingereza tangazo la uhuru la mwaka bado liliacha athira kubwa kwa uingereza tangu mwaka misri imepata uhuru kamili na tangu hapo ilitawala pia mfereji wa suez wakazi wengi ni wamisri asili wengine ni waazaba waturuki wagiriki wabeduini waberberi wanubi n k wahamiaji kutoka sudan na nchi nyingine ni milioni hivi wakati wamisri wanaoishi ugenini ni milioni lugha rasmi ni kiarabu sanifu cha kisasa wakati wananchi wanatumia kwa kawaida aina mbalimbali za kiarabu hasa kiarabu cha kimisri upande wa dini sheria zinazitambua tu uislamu ambao ndio dini rasmi ukristo na uyahudi uwiano wa wafuasi wa dini hizo haujulikani vizuri lakini waislamu hasa wasunni ni kama wakristo hasa wakopti wanaoendelea kufuata ukristo uliokuwa unatawala kabla ya waarabu kuteka nchi katika karne ya ni walau wakati wayahudi wamehama karibu wote libya ni nchi ya afrika ya kaskazini kwenye bahari ya mediteraneo inayopakana na misri sudan niger chad algeria na tunisia eneo kubwa la nchi ni sehemu ya jangwa la sahara chini yake kuna akiba kubwa ya petroli ambayo ndiyo utajiri wa nchi miji mikuu ni tripoli benghazi na misratah wakazi asili walikuwa waberber baadaye wakaja wafoinike upande wa magharibi na wagiriki upande wa mashariki hatimaye libya ikamezwa na dola la roma na ukristo ukaenea baada ya dola hilo kuanguka wavandali waliteka sehemu kubwa ya nchi katika karne ya waarabu waliingiza uislamu na utamaduni wao mwaka waturuki walifukuza wazungu kutoka tripoli wakatawala hadi karne ya nchi ilitawaliwa na waitalia tangu mwaka hadi vita vya libya dhidi ya italia halafu ujerumani na n a t o vimehakikisha libya kuwa jamhuri ya kiarabu waingereza waliacha nchi mwaka mikononi mwa mfalme mwenyeji kisha kupindua mfalme idris i muammar al gaddafi alitawala kidikteta tangu mwaka hadi alipopinduliwa na kuuawa mwaka baada ya hapo wananchi wanazidi kupigana katika vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka libya iko kwenye vita vya serikali dhidi ya wapinzani wa jeshi la hafter na majeshi ya jemadali bokelo wakazi wa libya ni hasa mchanganyiko wa waberberi waarabu na waturuki mbali na waberberi ambao ndio wakazi asilia lakini wengi wao wameanza kutumia lugha ya kiarabu pia kuna pia wahamiaji kutoka nchi za jirani za kandokando ya bahari ya kati na kutoka bara hindi wakazi wameongezeka tangu mwaka kutoka milioni hadi kuwa karibu milioni mwaka nusu ya wakazi wote ni vijana chini ya umri wa miaka sehemu kubwa kabisa huishi sehemu za pwani lugha kuu ni kiarabu pamoja na lugha kadhaa za kiberberi upande wa dini unatawala uislamu wakristo ni zaidi ya wakiwemo hasa wakopti na wakatoliki maulid pia maulidi kwa kirefu maulid an nabii ni sikukuu ya dini ya uislamu ya kuadhimisha kuzaliwa kwake mtume muhammad takriban mwaka bk neno lenyewe ni la asili ya kiarabu kutokana na maulid an nabi au milaad an nabi sikukuu inafuata kalenda ya kiislamu waislamu wa dhehebu la sunni husheherekea tarehe rabi ul awwal kwa mujibu ya kalenda ya kiislamu ya alhijria na waislamu wa dhehebu la shia husheherekea tarehe rabi ul awwal wataalamu wa historia wengine wanasema ya kwamba sherehe ya maulid imeanzishwa mnamo karne ya bk kuna waislamu kadhaa wanaokataa sherehe hiyo kwa sababu hakuna sunna wala hadith ya muhammad mwenyewe kuhusu kusheherekea maulid yake lakini kwa ujumla ni sikukuu inayopendwa sana na waislamu wengi duniani misri maulid ni kati ya sikukuu za kiislamu zinazokumbukwa sana na waislamu katika afrika ya mashariki sherehe ya maulid huko lamu imejulikana hasa ikivuta wageni kutoka pande zote za afrika ya mashariki hadi uarabuni kati ya desturi ni mikutano kusikia mashairi juu ya maisha ya mtume a mengine maulid kama vile sikukuu zote za kiislamu inafuata kalenda ya kiislamu ambayo ni kalenda ya mwezi kwa sababu hiyo tarehe yake hubadilikabadilika katika kalenda ya gregori iliyoenea kimataifa kalenda ya kiislamu hubadilika kulingana na kuandama kwa mwezi zifuatazo ni tarehe za maulid kwa ajili ya miaka tarehe ya kwanza ni ile ya wasunni rabi ul awwal na tarehe ya pili katika mabano ni ile ya washia rabi ul awwal tarehe hizo zinaweza kuwa tofauti na tarehe halisi kwa sababu kuna tofauti kati ya nchi na vikundi vya waislamu jinsi gani kukubali kuhusu mwanzo wa miezi mayotte ni eneo la ng ambo la ufaransa kwa kifaransa dpartment de mayotte linaundwa na visiwa vya mahore na pamanzi pamoja na vingine vidogo eneo hili kijiografia ni hasa muungo wa funguvisiwa la komoro lakini si kisiasa mayotte iko katika kaskazini ya mfereji wa msumbiji kwenye bahari hindi kati ya madagaska upande wa mashariki kusini na msumbiji bara upande wa magharibi iko kilometa magharibi kwa madagaska na km kusini mashariki mwa anjouan ardhi ya mayotte ina eneo la takriban km ni mwamba wa matumbawe mji mkuu ni mamoudzou tangu mwaka mji mkuu wa zamani ni dzaoudzi kwenye kisiwa cha pamanzi mayotte inaonekana kuwa imekaliwa na watu kutoka karne ya wakitokea madagaska wengine wenye asili ya asia na wengine wenye asili ya afrika kati ya karne ya na karne ya wakazi walisilimu na kuna msikiti mkongwe katika tsingoni wa karne ya pamoja na mirhab ya matumbawe visiwa vyote vya komoro vinafuata utamaduni wa kiswahili vikiwa pamoja na mayotte mwaka wa wakati idadi ya watu ilipungua kwa wakazi chini ya sultani wa mwisho andriansoly kutoka madagaska aliuza kisiwa kwa ufaransa kwa kubadilishana ya ulinzi wa nchi hiyo hivyo mayotte ikawa koloni la kifaransa mwaka wakati visiwa vingine vitatu vya komoro walidai uhuru na kuunda umoja wa comoro mayotte iliomba kubaki na ufaransa na mwaka ilipewa hali ya eneo la ng ambo la ufaransa kwa kura ya maoni kuna lugha tatu ambazo huzungumzwa kisiwani mayotte yaani kifaransa lugha rasmi kimaore ya komori na kibushi ya madagaska upande wa dini asilimia ni waislamu na ni wakristo kisiwa cha mayotte kina mchanga wa pwani ya rangi tofauti nyeusi kahawia kijivu nyekundu beige nyeupe rasi yake ni kubwa km funguvisiwa ni kundi la visiwa vinavyokaa sehemu pamoja baharini mara nyingi kundi la namna hiyo lina asili moja kama vile kuwa mabaki ya kisiwa kikubwa zaidi kilichogawika kutokana na mmomonyoko wa ardhi yake au kuwa na asili ya volkeno atolli inaweza kuonekana pia kama kundi la visiwa lakini huhesabiwa zaidi kama kisiwa kimoja hata kama sehemu kadhaa ziko chini ya maji katika bahari ya pasifiki na bahari hindi kuna mafunguvisiwa ya atolli funguvisiwa kubwa kabisa duniani ni lile la indonesia pamoja na ufilipino linaloitwa pia funguvisiwa la malay bahari ya pasifiki ina mafunguvisiwa mengi pia sehemu ya karibi ya bahari ya atlantiki karibu na amerika ya kati mafunguvisiwa muhimu ya afrika ni zanzibar shelisheli na komoro katika bahari hindi halafu visiwa vya kanari na visiwa vya madeira katika atlantiki mafunguvisiwa madogo karibu na pwani ya afrika ya mashariki ni kama vile ya lamu kilwa na kirimba wilaya ni mgawanyo wa kiutawala au eneo lililotengwa kwa ajili ya utawala mikoa ya tanzania na kenya imegawiwa kwa wilaya asili ya neno ni kiarabu wilaayatun kituruki vilayet katika dola la osmani vilayet ilikuwa ngazi ya kwanza ya mgawanyo wa kiutawala ikimaanisha jimbo au mkoa mkuu wake au gavana alikuwa na cheo cha wali neno hili la wilaya limepatikana katika nchi nyingi zilizoathiriwa na utamaduni wa uislamu au lugha ya kiarabu kama vile uturuki algeria tunisia oman mauritania sudan malaysia indonesia afghanistan tajikistan turkmenistan na uzbekistan katika kiarabu cha kisasa wilaayatun inamaanisha pia dola ndani ya shirikisho kwa mfano madola kama vile teas ndani ya marekani katika matumizi ya kiswahili huko kenya na tanzania wilaya imekuwa mgawanyo wa ngazi ya pili yaani ni kitengo chini ya ngazi ya kwanza ya mikoa vitengo vya wilaya ni tarafa na vitengo vya tarafa ni kata zinazoitwa shehia katika zanzibar na chini yake vijiji au mitaa algeria ni nchi nyingine ambako wilaya inamaanisha ngazi ya pili ya kiutawala mmomonyoko kwa kiingereza erosion ni hali ya kuvunjika au kumegekamegeka kwa udongo au mwamba kutokana na athira ya upepo maji barafu joto au mwendo wa ardhi kazi za binadamu zimekuwa pia sababu muhimu ya mmomonyoko katika mazingira yanayokaliwa na binadamu na hasa kwa kilimo mmomonyoko unaleta hatari mmomonyoko ni kati ya nguvu muhimu zinazofinyanga uso wa dunia uso wa mabonde na milima ya dunia ni matokeo ya mmomonyoko maji ni kati ya nguvu kuu za mmomonyoko mwendo wa maji unasukuma sehemu ndogo za ardhi na kuzipeleka mbali kabisa hata vipande vya mwamba vinaweza kukatwa hasa kwa mawe madogo yanayorushwa na maji dhidi ya miamba mikubwa mwendo wa maji ya mito unaweza kuchimba mabonde makubwa ukali wake unategemea na kiasi cha maji kasi yake na aina ya ardhi kama ina mtelemko mkubwa au kama maji yamepita kwenye ardhi au juu ya miamba kama mtelemko ni mkubwa na ardhi ni laini ni rahisi kwa maji kukata bonde refu na kubwa hata mtelemko wa mvua unaleta mmomonyoko matone yenyewe hugongagonga sehemu ndogo za ardhi na kuzibeba kidogo jinsi inavyoonekana vizuri baada ya mvua kwenye eneo penye mchanga maji ya mvua yakitelemka milimani yanaweza kubeba udongo mwingi udongo wote pamoja na mawe madogo unaobebwa na maji hutuamishwa mahali fulani kama mashapo kwa njia hiyo maji yanaweza kutenganisha aina mbalimbali za mashapo kwa kawaida sehemu nzito hutelemka kwanza na kukaa kama mwendo wa maji unaanza kupungua wakati mto umetoka kwenye mtelemko na kuingia eneo la tambarare kwa njia hii aina za mashapo kama vile changarawe mchanga matamahuluku na udongo kabisa zinapatikana mmomonyoko kwenye mwambao wa bahari au ziwa ni aina ya pekee ya mmomonyoko wa maji unatokea hasa kutokana na nguvu ya mawimbi na mikondo mikondo ya baharini hubeba muda wote mashapo kwa kuyachukua hapa na kuyatuamisha pale kama kiasi kilichochukuliwa kinazidi kiasi kilichotuamishwa mmomonyoko unatokea pale panapotuamishwa zaidi kuliko kuchukuliwa fungu linatokea watu wakijenga karibu mno na bahari kwa mfano mahoteli ya kitalii wataona mara nyingi ya kwamba nyumba zinachukuliwa na bahari baada ya miaka kadhaa kwa sababu ya mmomonyoko wa pwani wa kawaida upepo unaweza kupuliza chembe ndogo za udongo kama udongo huu ni laini na kavu aina hii ya mmomonyoko hutokea hasa pasipo na mimea inayofunika udongo wa juu jangwani kiasi kikubwa cha udongo au mchanga huhamishwa na dhoruba upepo ukibeba machanga unaweza kusababisha hata mmomonyoko kwa miamba mchanga unarushwa na upepo kwa kasi kubwa dhidi ya mwamba na kuisagasaga barafu ikipatikana kama barafuto ganda nene la barafu inayoanza kutiririka polepole na kujisukuma mbele ina uwezo wa kuvunja mawe na miamba mikubwa kabisa na kuzisukuma mbali barafuto isipoishia baharini inatoa mito inayoendeleza kazi ya mmomonyoko wa maji njia nyingine ya barafu kufinyanga uso wa dunia hutokea pale ambako maji yanaingia kwa mashimo au safu ndogo katika mwamba hali ya hewa ikishuka chini ya c majai haya yanaganda na kupanuka hivyo kuvunja mwamba mabadiliko kutokana na kazi za kibinadamu yalisababisha mara nyingi mmomonyoko wa ghafla unaoshtusha na kuleta hasara mfano ni kukata miti hasa kwenye mitelemko ya milima au kulima milimani kazi hizi zinapunguza au kuondoa kabisa funiko la mimea na kuacha udongo bila hifadhi maji ya mvua na upepo hazina vizuizi tena matokeo yake ni mafuriko ya ghafla kwa sababu wakati wa mvua maji huteremka haraka na mara moja yakichimba mifereji kuharibu nyumba kuua watu na kuondoa ardhi yenye rutuba kwenye mashamba njia nyingine ni mmomonyoko kutokana na kuzidi kwa mifugo kazi ya kukanyaga kwa miguu mingi hasa kwenye njia zilezile zinazotumika kuzunguka kati ya boma maji na sokoni kumeleta uharibifu mwingi kwato za mifugo kama ng ombe mbuzi punda na wanyama wengine wafugwao huathiri udongo mara wanapokanyaga mara kwa mara na hivyo hufanya udongo huo kuwa rahisi kusombwa na wakala wa mmomonyoko kama vile maji barafu na upepo kwa wali kama chakula tazama wali chakula liwali au wali ni cheo cha msimamizi wa eneo fulani asili ni neno la kiarabu al wali linalomaanisha mtawala wa mahali au eneo asiyejitegemea bali aliyeteuliwa na serikali kushughulikia mambo ya utawala katika eneo fulani mara nyingi katika nchi za utamaduni wa uislamu wali alisimamia wilaya kazi yake ililingana na gavana katika eneo la waswahili neno al wali lilikuwa liwali na lilimtaja mkuu wa mahali au wa mji masultani wa zanzibar waliteua maliwali kwa ajili ya miji ya pwani waliokuwa wawakilishi wa sultani mahali walipo mwaka kulikuwa na maliwali wafuatao wa zanzibar kwenye pwani ya afrika ya mashariki tungi mikindani lindi kilwa kivinje kikunye kisiju katika mfumo wa utawala wa kiingereza katika afrika ya mashariki liwali ilikuwa cheo cha afisa wa ngazi ya juu zaidi kilichopatikana kwa wazawa katika utawala wa miji cheo hiki kiliendelezwa kwenye pwani ya kenya baada ya uingereza kuchukua mamlaka juu ya pwani kutoka sultani wa zanzibar liwali alipaswa kuwa mwislamu alisimamia mahakama ya liwali iliyokuwa ngazi ya juu za mahakama za kiislamu zilizoamua kesi za mali ndoa na urithi baina ya waislamu waliokuwa waafrika wazalendo au kutoka nchi nyingine waarabu au wahindi katika afrika ya mashariki ya kijerumani wajerumani waliendelea mwanzoni na maliwali waliorithi kutoka kwa sultani lakini baadaye nafasi yao ilichukuliwa na afisa mjerumani baada ya eneo kutekwa na uingereza na kuitwa tanganyika cheo cha liwali kilirudishwa mwaka kama cheo cha native administration ya miji kwa mfano mjini dar es salaam liwali alikuwa daima mwislamu kutoka ukoo wa kiarabu hadi uhuru aliwajibika na usimamizi wa mahakama yake alikoshika pia nafasi ya jaji akasimamia pia ukusanyaji wa kodi alikuwa na haki ya kuamulia adhabu ya kiboko hadi viboko sita urithi wa dunia ni maeneo yenye thamani kubwa ya kiutamaduni au kimazingira duniani yanayoangaliwa na shirika la unesco hadi julai sehemu katika nchi zimekubaliwa nchi zinazoongoza kwa wingi wa mahali ni italia na china zenye kila moja zikifuatwa na hispania ujerumani na ufaransa afrika ina mahali orodha rasmi ya unesco ina mahali pa urithi wa dunia wa kiutamaduni na mahali pa urithi wa dunia wa kimazingira mbali ya pa mseto mwanzo wa jitihada za kuhifadhi urithi wa dunia ulikuwa ujenzi wa bwawa la assuan lililoelekea kuzamisha majengo mbalimbali ya utamaduni wa misri na nubia wa kale chini ya maji wakati ule unesco ilifaulu kukusanya pesa ili hekalu la abu simbel liweze kuhamishwa mlimani kabla ya kujaa kwa bwawa tangu kuna mkataba wa kimataifa wa stockholm kuhusu hifadhi ya urithi wa dunia kiutamaduni na kimazingira kila mahali panapopendekezwa ili pakubaliwe panahitaji angalau sifa moja kati ya sita zifuatazo kamati ya urithi wa dunia hukutana kila mwaka na kuangalia maombi ya kupokelewa katika orodha ya urithi wa dunia kamati inapokea taarifa kuhusu hifadhi na hali ya urithi uliopo tayari orodhani kila baada ya miaka miwili orodha inatolewa upya somalia kwa kisomali soomaaliya ambayo inajulikana rasmi kama jamhuri ya shirikisho ya somalia ni nchi kwenye pwani ya afrika ya mashariki katika pembe ya afrika kijiografia imezungukwa upande wa kaskazini mashariki na ethiopia na jibuti na upande wa magharibi ya kati na kenya ghuba ya aden nayo iko mashariki mji mkuu na mji mkubwa zaidi ni mogadishu wakazi nchi iliunganika mwaka kutokana na makoloni mawili la waitalia kusini na la waingereza kaskazini baada ya mwaka nchi ya somalia ilibaki haina serikali wala umoja wa taifa iligawiwa na wakereketwa na wanamgambo wa ukoo na eneo hasa somaliland puntland na galmudug upande wa kaskazini katika miaka ilihesabika kama nchi filisika kwa sasa ni nchi dhaifu lakini inaanza kujengwa upya kama shirikisho tazama pia orodha ya lugha za somalia wakazi asili wa somalia ni wasomali wa makabila yafuatayo wengine ni kisomali ndiyo lugha ya kawaida ya wakazi wengi na lugha rasmi pamoja na kiarabu kati ya lugha nyingine zinazotumika nchini mojawapo ni kiswahili upande wa dini ni waislamu hasa wasuni maeneo umoja gobolka wingi gobollada ya somalia ambayo imegawiwa tena katika wilaya ni mawasiliano ya jamhuri ya somalia ilikaribia kuangamia kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini kwa sasa kampuni za binafsi za mawasiliano ya mitambo zimetwaa karibu miji yote somalia na hata kutoa huduma njema kuliko nchi zilizo jirani somalia ni nchi mojawapo afrika ambayo ina mawasiliano ya bei rahisi zaidi pengine kwa kuwa somalia haikuwa na serikali iliyotoza ushuru kampuni zinazohudumia watu wa somalia ni kama barafuto huitwa pia mto wa barafu ni kanda kubwa la barafu iliyoanza kutambaa kutokana na uzito wake ikifuata graviti kwenye mtelemko kwa sababu hiyo barafuto zinapatikana hasa mlimani barafuto zimetokana na theluji inayokaa miaka mingi bila kuyeyuka katika mazingira baridi theluji mpya inakaa juu ya theluji ya miaka iliyotangulia uzito wa theluji ya baadaye inakandamiza ile ya chini kutokana na shindikizo hili theluji ya chini hubadilika kuwa barafu kabisa barafuto ni kati ya nguvu kubwa za mmomonyoko duniani afrika ina barafuto ndogo kadhaa juu ya mlima kilimanjaro na mlima kenya lakini zinaelekea kupotea kutokana na uhaba wa mvua itakayobadilika kuwa theluji mpya zamani za enzi ya barafu kiwango cha barafu kwenye ncha ya kaskazini kilikuwa kikubwa kiasi cha kusababisha barafuto kutokea zilizosukuma barafu hadi ulaya ya kati utaridi kwa kiingereza mercury ni sayari iliyo karibu zaidi na jua letu katika mfumo wa jua jina lake limetokana na kiarabu soma utaarid inayomaanisha mwendo wa haraka kwa sababu kasi ya utaridi inapita mwendo wa sayari nyingine kutokana na njia yake fupi ya kuzunguka jua katika siku pekee majina ya wagiriki wa kale hermes na waroma wa kale mercurius yalikuwa majina ya mungu wao aliyekuwa na kazi ya kuwasilisha habari za miungu wengine aliyeaminiwa kuwa na kasi kubwa kwa kazi hii chaguo hili lilitokana na tabia ileile ya sayari jina hili la kiroma mercurius limeingia katika lugha nyingi za ulaya umbo la kiarabu limekuwa jina la watu katika nchi nyingi zilizoathiriwa na utamaduni wa kiislamu pia jina la sayari ya kwanza kwa mfano katika kituruki na kimalaysia katika vitabu kadhaa vya kiswahili sayari inaitwa zebaki lakini hii inaonekana ni kosa lililotokana na jina la kiingereza mercury kwa sayari hii mercury ni pia jina la metali inayoitwa zebaki kwa kiswahili kutokana na kiarabu tamka zibaq mara chache neno utaridi limetumiwa kutaja sayari kibete ya pluto lakini hii ni kwa kukosea pia utaridi ni sayari ndogo kipenyo chake kwa ikweta ni km kwa sababu iko karibu sana na jua ina mbio za haraka mwaka wa utaridi ambayo ni muda wa kuzunguka jua ni siku za dunia pekee inazunguka kwenye mhimili wake katika muda wa siku za dunia kutokana na kuwa karibu na jua kuna joto kali upande unaotazama jua lakini upande wa usiku ni baridi kabisa kutokana na uhaba wa hewa inayoweza kutunza halijoto halijoto ya wastani ni c usiku c na mchana c mwaka barafu ya maji ilitambuliwa kwenye data kutoka chombo cha angani messenger iliyochunguza sayari hii barafu inapatikana karibu na ncha ya kaskazini isiyofikiwa na miale ya jua uhaba wa hewa umesababisha uso wa sayari kujaa mashimo ya kasoko kasoko hizi zimesababishwa kwa kugongwa na meteoridi angahewa kama duniani ingeangamiza meteoridi ndogo na kusababisha kupasuka kwa kubwa lakini utaridi zote zinafika usoni bila kizuizi alama za meteoridi ni mmomonyoko wa pekee unaoonekana hakuna dalili ya mmomonyoko kutokana na hewa au maji ya awali kutokana na kuwa karibu sana na jua utaridi inaonekana kama nyota kwa macho katika masaa ya pambazuko na machweo pekee mshtarii pia mshiteri mushtarii au mshatira kutokana na kiarabu al mshtari na hata jupita kutokana na kiingereza jupiter ni sayari ya tano toka kwenye jua katika mfumo wa jua na sayari zake mshtarii ni sayari kubwa kabisa ya jua letu masi yake inazidi mara mbili na nusu masi ya sayari zingine zote pamoja mshtarii haina uso unaoonekana sehemu kubwa ya masi ya sayari ni elementi nyepesi kama hidrojeni na heli ambazo ni gesi katika mazingira ya duniani hii ndiyo sababu ya kwamba sayari kubwa za mshtarii pamoja na zohali huitwa sayari jitu za gesi kadiri gesi hizo zinavyopatikana chini zaidi yaani kuelekea ndani uzito wa matabaka ya juu unaongeza shinikizo katika vilindi vyake na kusababisha gesi za angahewa kuingia katika hali ya giligili majimaji inayobadilika kuwa mango imara ndani zaidi zamani iliaminika ya kwamba sayari yote ni ya gesi iliyoganda lakini siku hizi wataalamu wa astronomia huamini kwamba kuna kiini cha mwamba au metali doa jekundu linaloonekana usoni mwa angahewa ni dhoruba ya tufani kubwa sana iliyotazamwa tangu darubini za kwanza zilipopatikana duniani tufani zinapotea kwa kawaida baada ya wiki kadhaa lakini doa jekundu limeendelea bila kusimama kwa miaka mshtarii ina miezi iliyotambuliwa hadi mwaka miezi minne mikubwa ilitambuliwa mwaka na galileo galilei aliyekuwa kati ya wanaastronomia wa kwanza kutumia darubini ndiyo io europa ganimedi na kallisto ukubwa wa ganimedi unakaribia kipenyo cha utaridi ukipita kile cha pluto miezi huwa na kipenyo chini ya kilomita mwezi mdogo kabisa wa mshtarii unajulikana kwa namba tu na una kipenyo cha km mwezi ni gimba la angani linalozunguka sayari fulani kuna miezi mingi katika anga nje vipindi vya kuonekana kwa mwezi wa dunia vilisababisha matumizi ya mwezi kama majira ya wakati mabadiliko ya kuonekana kwake yalisababisha katika kiswahili neno mwezi litumike kama kipindi cha wakati awamu zake nne pengine ndizo chanzo cha majuma ya siku sabasaba sayari inaweza kukosa mwezi au kuwa na miezi mingi mshtarii ina miezi zaidi ya mingine mikubwa kama sayari ndogo mingine midogo yenye kipenyo cha km tu dunia yetu ina mwezi mmoja tu utaridi haina mwezi mwezi hauna nuru ya kwake yenyewe bali unang aa kutokana na nuru ya jua inayoakisiwa usoni mwake kama kwenye kioo sayari zenye miezi katika mfumo wa jua sayari zisizo na miezi katika mfumo wa jua mwezi wa dunia yetu ni kati ya miezi mikubwa kwenye mfumo wa jua hakuna jina tofauti kuliko mwezi isipokuwa watu wametumia pia jina la kilatini luna wakitaja mwezi wetu ili kuutofautisha na miezi ya sayari nyingine katika wikipedia hi tunajitahidi kuandika mwezi kwa gimba linalozunguka dunia na mwezi kama habari inahusu sayari nyingine mwezi wetu huwa na umbo la tufe lakini si tufe kamili kipenyo cha wastani ni kilomita ambacho ni takribani robo ya kipenyo cha dunia mwezi unazunguka dunia yetu kwenye obiti chenye umbo la duaradufu umbali wake na dunia ni baina ya kilomita hadi kutoka dunia huwa tunaangalia uso wake upande mmoja tena uleule tu sababu yake ni ya kwamba mzunguko wa mwezi kwenye mhimili wake ni sawa na kipindi cha obiti ya kuzunguka dunia mara moja kipindi cha obiti yake ni siku masaa dakika na sekunde upande wa nyuma wa mwezi uko gizani wakati sisi tunaona mwezi mpevu wakati wa mwezi mwandamo kwetu upande wa nyuma unapokea nuru ya jua nuru ya mwezi hautoki kwake bali ni nuru ya jua inayoakisiwa na uso wake uso wa mwezi unajaa mashimo ya kasoko yaliyosababishwa kwa kugongwa na meteoridi mwezi hauna angahewa inayozuia mapigo ya meteoridi ndogo au kupunguzu nguvu yao jinsi ilivyo duniani uso wa mwezi jinsi unavyoonekana duniani hubadilikabadilika mwezi mpevu unaonekana kama duara kamili la kung aa lakini baada ya kuonekana hivi umbo linapungua kila siku hadi kutoonekana kabisa na hali hii huitwa mwezi mwandamo baadaye mwezi unaonekana tena kama hilali nyembamba na kuongezeka hadi kuwa duara tena muda wa mabadiliko yote kupita mara moja ni siku na robo muda wa mabadiliko kati ya mwezi mwandamo hadi kupotea na kuwa mwezi mwandamo tena ni kati ya siku hadi kipindi hiki kinakumbukwa kirahisi kinaonekana kwa watu wote hivyo muda wa kurudi kwa mwezi ulikuwa kati ya vipimo vya kwanza vya wakati kwa binadamu pamoja na kipindi cha siku inawezekana kipimo cha siku saba katika juma kilianza kwa kuzingatia robo za mwezi wenye siku awamu za mwezi zilikuwa vipindi vya kuhesabu wakati tangu mwanzo wa kalenda hadi leo kuna kalenda ya mwezi ambayo ni kalenda ya kiislamu inapanga wakati kutokana na hali halisi ya awamu za mwezi mwezi wetu ni gimba la angani la kwanza ambako wanadamu wamefika tarehe julai mwanaanga mmarekani neil armstrong alikuwa mtu wa kwanza wa kukanyaga uso wa mwezi wanaanga wengine kutoka marekani waliendelea kufika mwezini hadi mwaka baadaye safari za kwenda mwezini hazikufanywa tena kutokana na gharama kubwa hata kama warusi na wamarekani walifikisha bendera zao mwezini hawadai kuwa na mali huko katika mkataba kuhusu anga nje nchi za dunia zimekubaliana kuwa mwezi utaangaliwa sawa na maeneo ya kimataifa ya bahari walikubaliana kuwa ni marufuku kupeleka silaha kali kama za nyuklia angani mataifa mengi ya dunia yametia sahihi mkataba huo isipokuwa nchi chache hususan za afrika ikiwemo tanzania lakini kuna watu binafsi wanaodai kuwa na mali kwenye mwezi tangu mwaka yupo mwamerika mmoja aliyefaulu kuandikisha mwezi kwa jina lake kwenye ofisi ya msajili wa viwanda mjini san francisco akiendelea kuuza hati za kumiliki maeneo mwezini kuna pia familia moja pale ujerumani iliyorithi hati ambako mfalme wa prussia kwenye mwaka alitoa zawadi ya mwezi kwa mzee wao taasisi ya sheria ya anga nje international institute of space law ilitoa tamko kuwa madai haya hayana msingi wa kisheria mwezi ni mojawapo wa vipindi kumi na mbili vya mwaka muda wa mwezi unategemea aina ya kalenda inayotumika uso wa mwezi jinsi unavyoonekana duniani hubadilikabadilika mwezi mpevu unaonekana kama duara kamili la kung aa lakini baada ya kuonekana hivi umbo lapungua kila siku hadi kutoonekana kabisa na hali hii huitwa mwezi mwandamo baadaye mwezi unaonekana tena kama hilali nyembamba na kuongezeka hadi kuwa duara tena muda wa mabadiliko yote kupita mara ni siku muda wa mabadiliko kati ya mwezi mwandamo hadi kupotea na kuwa mwezi mwandamo tena ni kati ya siku kipindi hiki kinakumbukwa kirahisi kinatazamiwa na watu wote wakati uleule kwa hiyo pamoja na kipindi cha siku kilikuwa kati ya vipimo vya kwanza vya wakati kwa binadamu inawezekana kwamba juma la siku saba lilianza kwa kuzingatia robo za mwezi wa siku awamu za mwezi zilikuwa vipindi vya kuhesabu wakati tangu mwanzo wa kalenda hadi leo kuna kalenda ya mwezi ndiyo kalenda ya kiislamu inayopanga wakati kutokana na hali halisi ya awamu za mwezi katika kalenda ya mwezi ni sawa na kipindi kutoka awamu ya mwezi mpya angani hadi mwezi mpya unaofuata ni siku mwezi mpya unaanza sawa na kuonekana kwa mwezi mpya jinsi ilivyo katika kalenda ya kiislamu kwa kalenda ya jua muda wa mwezi unakaribia tu muda kati ya awamu za mwezi katika kalenda ya gregori miezi ina kati ya siku hadi lakini vipindi hivi havina uhusiano tena na hali halisi ya awamu za mwezi wa angani mwenyewe mwezi ni lugha tu haimaanishi gimba la angani tena kwa kiswahili nchini tanzania miezi inatofautishwa kwa namba mwezi wa kwanza wa pili wa tatu hadi mwezi wa kumi na mbili pamoja na njia hiyo kuna majina ya kilatini iliyofika kwenye kiswahili kupitia lugha za wakoloni yaani kijerumani na kiingereza ndiyo yanayotumika zaidi nchini kenya majina ya kilatini katika mabano miezi hii haina wakati maalumu katika kalenda ya jua yenye miezi januari desemba bali inabadilika kila mwaka kalenda ni utaratibu wa kupanga wakati hupatikana kama orodha ya vipindi vya wakati kama vile siku juma mwezi na mwaka kalenda mbalimbali zimejua pia vipindi vya miaka kadhaa kalenda inayotumika zaidi leo kimataifa ni kalenda ya gregori iliyo muhimu kwa uchumi na biashara kuna pia nchi zinazotumia hasa kalenda zao za kitaifa au kalenda mbalimbali sambamba hasa maisha ya kidini hupangwa kufuatana na kalenda maalumu kihistoria palikuwako na kalenda nyingi kwa watu wengi duniani mabadiliko ya mchana na usiku ni utaratibu wa kwanza unaogawa wakati mchana na usiku pamoja inahesabiwa kama siku moja lakini kuna njia tofauti jinsi gani kuanza hesabu hiyo asubuhi mwanzo wa mchana au jioni mwanzo wa usiku zilikuwa njia za kawaida za kuhesabu siku mpya tangu kupatikana kwa saa zinazoonyesha masaa hata gizani ni saa sita usiku katikati ya usiku inayoangaliwa kuwa mwanzo wa siku mpya awamu za mwezi huonekana vizuri kwa kila mtu kwa sababu hii awamu hizi zilikuwa mbinu unaoeleweka rahisi kupanga siku kwa vipindi kipindi kutoka mwezi mpya hadi mwezi mpya ni kipimo kinachopatikana katika kila nchi ni siku majira au badiliko la vipindi vinavyorudi vya joto na baridi au vya ukame na mvua vilikuwa utaratibu mwingine ulioonekana kwa watu ila tu hesabu hii ilitegemea na mazingira na hali ya hewa katika eneo fulani hasa katika nchi ambako majira yanatofautiana vikali na kufuata utaratibu wa kurudia hata mimea na wanyama hufuata mwendo wa majira katika mazingira kama hii imewezekana kutofautisha matokeo katika maisha kufuatana na idadi ya vipindi vya baridi au vya joto au vya mvua vilivyopita tangu tokeo fulani mabadiliko ya mimea hutegemea mwendo wa jua na idadi ya mwanga pamoja na joto linalopatikana katika sehemu mbalimbali za dunia katika nchi karibu na ikweta tofauti hizi mara nyingi si kali sana na majira hazionekani vizuri isipokuwa majira ya mvua na ukame katika nchi hizi kalenda za kale mara nyingi zilitegemea nyota hasa zuhura ng andu na mahali angani inapoonekana asubuhi au jioni kwa wakati fulani inaaminika ya kwamba tangu kuanza kilimo watu wameanza pia kushika kumbukumbu ya wakati katika nchi nyingi kupanda na kuvuna kunategemea mwendo wa majira yanayorudia kazi ya pamoja inahitaji mpangilio na lugha ya pamoja hapa ni mwanzo wa kalenda kutokana na migawanyo asilia ya wakati zilitokea njia mbalimbali jinsi ya kupanga wakati katika kalenda kutokana na hapo kuna hasa kalenda ya mwezi kalenda ya jua na kalenda ya lunisolar kalenda jua mwezi inayounganisha mwaka kufuatana na mwendo wa jua na vipindi halisi vya mwezi kalenda hizi hufuata awamu za mwezi kutoka mwezi mwandamu mwezi mpya hadi mwezi mwandamu unaofuata ni muda wa siku na nusu za vipindi hivi ni takriban sawa na mwaka yaani kipindi hadi kurudia kwa majira kama joto au baridi lakini kuna tofauti kati ya mwaka wa jua unaotawala kurudi kwa majira baada ya siku na muda wa miezi halisi mwenye siku pekee hii ni hasara ya kalenda ya mwezi ya kwamba baada ya miaka kadhaa hailingani tena na majira kwa hiyo ni vigumu kupanga kilimo kufuatana na kalenda hii lakini katika maeneo ya dunia ambako majira si muhimu vile kalenda za mwezi zinaendelea kutumiwa mfano maarufu wa kalenda ya mwezi ni kalenda ya kiislamu hapo kipindi cha mwezi kinalingana kabisa na awamu za mwezi angani na baada ya miezi ya aina hii mwaka mpya mwenye muda wa siku unaanza tena ilhali mwaka huu una upungufu ya siku kulingana na mwaka wa jua sikuu zake zinatembea kutoka majira hadi majira katika mazingira ya jangwa ya uarabuni ulikotokea kilimo na majira hayakuwa muhimu vile nchi nyingi za dunia zinategemea kilimo kilimo hufuata majira ya hali ya hewa majira haya hutawaliwa na jua yaani na kiasi cha mwanga na nishati zinazofika dunianikutoka kwa jua na hii inabadilika kutokana na umbali wa jua unaobadilika katika mwendo wa dunia kuzunguka jua letu mwendo huu wa dunia kuzunguka jua unachukua siku kwa hiyo watu katika tamaduni mbalimbali baada ya kugundua muda huu walitunga kalenda zilizoshika mwendo huo kalenda hizi zinaweza kugawiwa kwa namna mbalimbali lakini mara nyingi zinatumia vipindi vpindi hivi vinaweza kuitwa mwezi lakini havina uhusiano tena na awamu halisi za mwezi kalenda ya jua maarufu ni kalenda ya gregori iliyokwa kalenda ya kimatifa hasa kalenda jua mwezi zinalenga kuunganisha mwaka wa jua na mwendo wa majira kwa pande mmoja na awamu halisi za mwezi kwa upande mwingine kwa hiyo kalenda hizi zinatumia vipindi vya mwaka vya mwezi yaani miezi halisi kila baada ya miaka kuna mwaka mrefu mwenye miezi kwa njia hii upungufu wa mwaka wa mwezi kulingana na mwaka wa jua unasawazishwa mifano mashuhuri wa hesabu hii ni kalenda ya kiyahudi na kalenda ya kichina kalenda zote hutumia hesabu inayoanza kwenye tarehe fulani ya chanzo kalenda ya kimataifa kalenda ya gregori huanza hesabu yake katika mwaka ulioaminiwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwa yesu kristo na hesabu hii huitwa baada ya kristo hesabu hii imefikia baada ya mwaka kalenda ya kiislamu huanza hesabu yake katika mwaka wa hijra yaani kuondoka kwa muhamad kutoka maka kwenda madina hesabu hii imefika zaidi ya miaka kalenda ya kiyahudi inaanza hesabu katika mwaka ulioaminiwa kuwa uumbaji wa dunia na leo imefikia hesabu ya zaidi ya miaka hata leo hii kuna kalenda mbalimbali zinazotumiwa duniani kalenda inayotumiwa zaidi kimataifa ni kalenda ya gregori inayohesabu miaka tangu kristo kuzaliwa kalenda hii imepokea muundo wake kutoka kalenda ya roma ya kale hasa miezi na idadi ya siku zao kalenda nyingine inayotumiwa katika nchi kadhaa ni kalenda ya kiislamu inayohesabu miaka tangu hijra ya muhamad kalenda hii hutumiwa na waislamu wote kwa kukadiria sikukuu zao hata wakitumia menginevyo kalenda ya gregori kalenda nyingine ni kalenda kama ile ya kichina ya kihindi na kadhalika zinazotumiwa kwa makadirio ya sikukuu katika dini au utamaduni wao lakini kwa maisha ya kawaida watu wengi wanatumia kalenda ya gregori nchi kadhaa huwa pia na namna ya pekee za kalenda kwa mfano ethiopia hufuata kalenda yake inayohesabu tangu kuzaliwa kwake kristo lakini kwa tofauti ya hesabu ya miaka na miezi ina miezi kalenda ya uajemi huhesabu miaka tangu hijra lakini tofauti na waislamu wengi hutumia mwaka wa jua si mwaka wa mwezi kwa hiyo kuna tofauti ya takriban miaka hivi hesabu ya wiki haifuati kalenda ni kipindi cha siku kinachorudia mfululizo bila kujali mwisho au mwanzo wa mwaka asili yake iko katika mashariki ya kati hasa babeli ikasambazwa kupitia imani ya uyahudi na ukristo inaanza kwa siku ya jumapili inayotazamiwa kidini kama siku ya kwanza ya uumbaji wa dunia na kwa wakristo pia siku ya ufufuo wa yesu unaotazamiwa kama uumbaji wa pili kwa kusudi la kupanga maisha na hasa kazi wiki za mwaka zinahesabiwa kuanzia hapo wiki ya kwanza na wiki ya mwisho kwa kawaida si kamili kwa sababu siku kadhaa zimo katika mwaka uliotangulia au kufuata tangu kuenea desturi ya wikendi yaani mapumziko ambako wengi hawafanyi kazi siku za jumapili na jumamosi kalenda nyingi huonyesha siku ya kwanza ya wiki ambayo ni jumatatu kama chanzo cha wiki ya kazi mpangilio wa wiki kama hesabu ya siku ya kupumzika na siku za kazi umeenea kote duniani hasa kwa ofisi za serikali ingawa katika nchi nyingi watu maskini hawana nafasi za kupumzika mara kwa mara sudan jina rasmi jamhuri ya sudan ni nchi ya tatu kwa ukubwa katika bara la afrika na ya kumi na sita duniani imepakana na misri kaskazini bahari ya shamu kaskazini mashariki eritrea na ethiopia mashariki sudan kusini kusini mashariki afrika ya kati na chadi magharibi na libya kaskazini magharibi kijiografia nchi hii huhesabiwa kama sehemu ya afrika ya kaskazini mji mkuu ni khartoum majimbo ya sudan kusini yalikuwa sehemu ya nchi hiyo lakini yalipiga kura ya kujitenga yakapata kuwa nchi huru kuanzia tarehe julai picha john garang jpg thumb p left aliyekuwa makamu wa rais john garang ambaye awali aliongoza wanamgambo wa sudan kusini kupigania uhuru wa majimbo ya kusini ona pia orodha ya mito ya sudan orodha ya miji sudan sudan iko upande wa afrika ya kaskazini ina pwani kwenye bahari ya shamu kati ya misri na eritrea imetamalikiwa zaidi na mto nile na mikono yake ina eneo la kilomita mraba sq mi ardhi yenyewe ni kiwara lakini kuna milima upande wa mashariki na magharibi hali ya anga ni ya mwangaza kusini na mikuranga kaskazini mvua yapatikana miezi ya aprili na oktoba uharibifu wa mazingira hasa ni kwa sababu ya mmomonyoko wa udongo na utapakazi wa jangwa nchi imegawiwa katika wilaya zilizogawiwa tena katika kata nchi ilikuwa na makazi ya kudumu kuanzia milenia ya kk katika milenia ya kk watu walizidi kuhama sahara ikigeuka jangwa wakasogea katika eneo la sudan ya sasa bonde la mto nile mchanganyiko wa watu hao uliunda ufalme wa kush kwenye kk makao makuu yalikuwa kerma katika karne ya kk watu wa ufalme huo waliteka misri na kuitawala kwa karne moja hadi waliposhindwa na waashuru baadaye makao makuu yalikuwa meroe ambapo ufalme uliendelea hadi karne ya bk ukiwa maarufu kwa uhunzi kwa jina la ethiopia ufalme huo uliposambaratika zilitokea falme mbalimbali katika eneo lake mmojawapo ukiwa ule wa nubia huko ukristo ulienea katika madhehebu tofauti yale ya kikopti kutoka misri na yale ya kibizanti kutoka roma ya mashariki baadaye uislamu pia ulijitokeza katika falme hizo ukazidi kuenea hadi kuanzisha usultani wa sennar mwaka mtawala wa misri chini ya himaya ya waturuki aliteka sudan kaskazini katika miaka ya juhudi za wazungu za kukomesha biashara ya utumwa zilisababisha kutokea kwa mahdi dola la mahdi kwa kiarabu mahdiyya lilianzishwa na muhammad ahmad al mahdi mwaka alipojitangaza kuwa mahdi kufuatana na imani ya kiislamu akaongoza uasi dhidi ya misri iliyotawala sudan ikisimamiwa yenyewe na uingereza muhammad ahmad al mahdi alifaulu kukusanya wafuasi wengi na kushinda wamisri tarehe januari jeshi lake lilitwaa mji mkuu khartum na kumwua gavana gordon pasha al mahdi alianzisha mji mkuu mpya ng ambo ya mto nile kwa kuunda omdurman wamisri na waingereza wakatoka nje ya sudan baada ya ushindi wake al mahdi alikufa na homa ya matumbo ugomvi ulitokea kati ya makamu wake hadi wakati abdallahi ibn muhammad mwenye sifa ya kuwa aliongoza jeshi la mahdi wakati wa mashambulio dhidi ya khartum alikubaliwa wa viongozi wa mahdiyya akajiita khalifa khalifa abdullahi aliimarisha utawala wake wa kuwaua wapinzani bila neema kati yao wanafunzi na ndugu za mahdi mwenyewe akajenga jumba mjini omdurman linalosimama hadi leo khalifa abdullahi alijaribu kutumia teknolojia mbalimbali akanunua meli za mvuke za mtoni alizoziona waingereza walizitumia pia akajenga kiwanda cha kutengenezea bunduki akaanzisha nyaya za mawasilaino kwa simu lakini kwa ujumla vita na utawala wa mahdiyya zilikuwa ziliharubu uchumi iliyoendelea kuzorota khalifa alifaulu kupanua utawala wake juu ya maeneo karibu yote ya sudan ya leo lakini alishindwa kufikia jimbo la ikweta ambako emin pasha aliendelea kutetea mabaki ya sudani ya kimisri itikadi ya kupanua utawala wa mahdiyya kwa njia ya jihad ilimsababisha khalifa kushambulia nchi jirani ya ethiopia iliyotawaliwa na kaisari wa kikristo mwaka akaongoza jeshi la askari hadi gondar waethiopia wakajibu kwa kushambulia sudan mwaka kifo cha kaisari yohane iv katika mapigano ya metemma tarehe machi ililazimisha waethiopia kurudi kwao lakini jeshi la mahdiyya lilipoteza wanajeshi wengi pia likadhoofika wakati huohuo jemadari wa khalifa abd ar ramn an nujum alishambulia misri lakini alishindwa kwenye mapigano ya tushkah hii ilikuwa mara ya kwanza ya jeshi la mahdiyya kushindwa majaribio ya vita za jihadi dhidi ya wabelgiji katika jimbo la ikweta na dhidi ya waitalia katika eritrea yalishindikana pia mwaka mkuu wa jeshi la pamoja la misri na uingereza jenerali horatio kitchener aliamua kulipiza kisasi kwa vita ya akaongoza jeshi kubwa dhidi ya sudan kwa kutumia meli za mvuke kwenye mto nile na kujenga reli akasongea mbele hadi omdurman tarehe septemba jeshi la mahdiyya lilishindwa kabisa katika mapigano ya masaa matano safari hiyo waingereza waliandaliwa vizuri zaidi pia silaha mpya kama bunduki ya mtombo ziliwapa ushindi upande wa khalifa walikufa askari upande wa waingereza na wamisri watu pekee khalifa mwenyewe alitoroka akajenga jeshi upya na kutawala kusini mwa sudan lakini akauawa mwaka katika mapigano ya umm diwaykarat hivyo waingereza walitawala sudan pamoja na misri hadi na kitchener akawa gavana mkuu wa kwanza baada ya uhuru wa nchi makabila ya kusini ambayo hayakukubali kusilimishwa yalipigania vita ndefu hadi kupata uhuru wao darfur ni eneo lenye majimbo matatu ambayo imeathiriwa na vita vya kisiasa vita vya darfur kutokana na vita nyingi serikali hazikuwa imara na kulikuwa na mabadiliko ya mara kwa mara baada ya uhuru mapinduzi ya kijeshi ya kwanza yalitokea mwaka kisha jenerali ibrahim abboud alitawala hadi wakati alipopaswa kujiuzulu kutokana na upanuzi wa vita katika sudan kusini na upinzani wa wananchi kwenye mji mkuu kilichofuata kilikuwa kipindi cha serikali za kiraia hadi tarehe mei jeshi chini ya kanali gaafar nimeiry lilipindua tena serikali nimeiry alikuwa waziri mkuu wakati bunge na vyama vyote vilipigwa marufuku nimeiry alitawala hadi na tangu alikuwa rais mwaka alifaulu kumaliza awamu ya kwanza ya vita ya wenyewe kwa wenyewe dhidi ya sudan kusini kwa mapatano ya addis ababa sudan kusini ilipewa mamlaka ya kujitawala katika mambo ya ndani chini ya serikali ya kieneo mwanzoni nimeiry alijaribu kuiga siasa ya gamal abd el nasser nchini misri na kutekeleza sera kadhaa za ujamaa utawala wake uliona upinzani kutoka kwa wakomunisti na pia kutoka waislamu wenye itikadi kali baada ya kupinduliwa kwa siku kadhaa na wakomunisti alivunja ushirikiano na urusi na kuanza kupokea wanasiasa wenye mwelekeo wa uislamu mkali katika serikali yake tangu miaka ya alisogea zaidi upande wa uislamu wa kisiasa mwaka alitangaza sharia kuwa msingi wa sheria zote na kubadilisha sheria za jinai ipasavyo hatua hii ilisababisha upinzani katika sehemu za nchi zisizokaliwa na waislamu alivunja pia serikali ya kieneo kwa sudan kusini na hivyo vita ya wenyewe kwa wenywewe ilianza upya nimeiry alitangaza hali ya dharura iliyompa tena mamlaka za kidikteta mwaka aliruhusu kunyongwa kwa mwanafalsafa mwislamu mahmoud mohammed taha kwa kosa la uasi dhidi ya uislamu miezi minne baadaye nimeiry alipinduliwa kwenye mwaka huohuo sudan ilirudi kwa miaka michache chini ya serikali ya kiraia mapinduzi yaliyofuata mwaka yalileta utawala wa jenerali omar al bashir vita ya wenyewe kwa wenye iliendelea hadi mwaka ikamalizika kwa mapatano ya naivasha baina ya sudan na spla sudan kusini ilipewa miaka hadi kujitawala halafu kuwa na kura ya wananchi wa kusini kuhusu uhuru uliotangazwa mwaka uleule tangu mwaka bashir alisimamia pia vita ya jeshi lake na wanamgambo dhidi ya wakazi wasio waarabu wa darfur waliopinga utawala wake tarehe aprili bashir alipinduliwa na jeshi lake baada ya wiki kadhaa za maandamano ya wananchi wa khartum na miji mingine dhidi yake kupinduliwa kwake pamoja na kipindi cha serikali ya mpito ya kijeshi vilitangazwa na waziri wa ulinzi jenerali awad mohammed ibn auf ilhali waandamanaji waliendelea kupinga serikali ya kijeshi ibn auf alijiuzulu tarehe aprili na siku iliyofuata tarehe aprili jenerali abdel fattah burhan alitangaza wanajeshi wanatafuta ushirikiano wa karibu na wapinzani wa utawala wa awali kadiri ya sensa za mwaka wakazi walihesabiwa kuwa milioni hakuna sensa nyingine ya hakika iliyofanyika baada ya mwaka huo kwa sababu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kadirio ni kwamba wakazi ni milioni mwaka umma wa miji kama khartoum na pia khartoum omdurman na khartoum ya kaskazini waongezeka zaidi umma wa miji hiyo yakadiriwa milioni na wengine wahamiaji milioni ambao wamekimbia vita vya kusini magharibi mashariki na pia wengine kwa sababu ya ukame majimbo ya kaskazini hasa ndio makubwa nchini sudan na pia miji mikubwa iko katika majimbo haya zaidi ya milioni wanaoishi katika majimbo haya ni waislamu waarabu na wanaongea kiarabu lakini wengi pia huongea lugha za kikabila hasa kinubi kibeja kifur kinuban kiingessana kwa kikundi hiki kuna wale wavutia zaidi kama wa kababish kutoka kaskazini kordofan watu hawa wanaofuga ngamia ga alin rubatab manasir and shaiqiyah makabila ambao kikao chao ni karibu na mito ni kama baggara wa kurdufan na darfur wakiham beja eneo ya bahari ya shamu na wanubi wa kaskazini nile ambao wengine wamehamishwa karibu na mto atbara eneo la shokrya kwa wa butana wa bataheen wamepakana na waga alin na washorya upande wa kusini magharibi eneo ya butana pia kuna warufaa wahalaween na makabila mengine mingi eneo la gazeera na kwa ufuo wa bluu nile na eneo ya dindir hata wanubi kusini mwa eneo la kurdufan na wafur upande wa magharibi mengine zaidi pamoja na eneo lao nchini sudan kuna lugha zaidi ya kati yake muhimu zaidi ni kiarabu ambacho ndicho lugha rasmi pamoja na kiingereza angalia orodha ya lugha za sudan dini kubwa zaidi nchini ni uislamu wakristo ni waumini hasa wa kanisa katoliki anglikana kanisa la sudan waorthodoksi na waorthodoksi wa mashariki wakopti waethiopia na waeritrea vyuo vikuu vya sudan jamhuri ya zimbabwe iliyojulikana wakati wa ukoloni kama rhodesia ya kusini ni nchi isiyo na bahari iliyoko upande wa kusini wa bara la afrika kati ya mto zambezi na mto limpopo imepakana na afrika ya kusini upande wa kusini botswana upande wa magharibi zambia upande wa kaskazini mashariki na msumbiji upande wa mashariki jina zimbabwe linatokana na neno dzimba dzamabwe linalomaanisha nyumba ya mawe kwa lugha ya kishona nyumba hiyo ya mawe ambayo imehifadhiwa kama eneo la kihistoria ilikuwa makao ya ufalme wa mutapa ambaye mfalme wake aliongoza eneo hilo miaka ya kale zimbabwe imegawiwa katika mikoa na miji yenye hadhi ya mikoa imegawiwa zaidi katika wilaya na kata mikoa ya zimbabwe ni miji minne mikubwa ya zimbabwe ni wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani katika karne za kwanza bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi tangu karne ya zimbabwe ya leo imekuwa na falme imara kwenye njia muhimu ya biashara hasa ufalme wa mutapa kampuni ya british south africa ya cecil rhodes iliweka mipaka ya sasa katika miaka ya koloni la uingereza lilianzishwa mwaka kwa jina la southern rhodesia mwaka serikali ya walowezi wazungu ilijitangazia uhuru kwa jina la rhodesia tu baada ya miaka ya kutengwa kimataifa na kupigana na raia waafrika katika miaka ya mapatano ya mwaka yalikubali wakazi wote wawe na haki ya kupiga kura na nchi ikawa huru kweli kwa jina la zimbabwe mwaka rais robert mugabe alipata umaarufu katika siasa kama mpiganaji dhidi ya ukoloni lakini pia kama aina ya dikteta aliyerudisha nyuma uchumi wa nchi baada ya yeye kulazimishwa na wanajeshi kujiuzulu tarehe novemba emmerson mnangagwa amekuwa rais mpya wa zimbabwe wakazi wengi ni wa kabila la washona ni wandebele ni wa makabila mengine ya kiafrika ni machotara wahindi wazungu n k kwa sasa lugha rasmi ni lugha kubwa ni kishona na kindebele kiingereza ni lugha ya kwanza ya chini ya asilimia za wakazi upande wa dini ni wakristo hasa waanglikana wakatoliki wasabato na wamethodisti waliobaki ni wafuasi wa dini asilia za kiafrika ni waislamu au hawana dini mawasiliano ya simu na mitambo yake yanaendeshwa na tel one kampuni ya serikali kuna kampuni za simu za mikononi econet wireless net one na telecel katika orodha ya uhuru wa waandishi wa habari mwaka zimbabwe ilishika nafasi ya kati ya nchi wilaya ya rungwe ni kati ya wilaya za mkoa wa mbeya katika tanzania yenye postikodi namba imepakana na wilaya ya mbeya vijijini upande wa kaskazini mkoa wa iringa upande wa mashariki wilaya ya kyela upande wa kusini mashariki wilaya ya ileje kwa kusini magharibi na mbeya mjini kwa magharibi makao makuu ya wilaya yako tukuyu jina la wilaya limetokana na kituo cha misioni ya moravian cha rungwe kilichopo kwenye mitelemko ya mlima wa rungwe takriban km kutoka tukuyu rungwe ni hasa eneo la wanyakyusa ikishika sehemu kubwa ya eneo la unyakyusa lililoitwa kihistoria pia konde mwaka wilaya ilikuwa na wakazi mnamo mwaka kata zilitengwa na rungwe na kuunda wilaya ya busekelo rungwe inapokea mvua nyingi na iko kati ya maeneo yenye rutuba sana katika tanzania kati ya mazao ya sokoni kuna mashamba makubwa ya chai angola ni nchi kubwa iliyopo upande wa kusini magharibi wa bara la afrika ikipakana na namibia jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na zambia upande wa magharibi kuna pwani ndefu ya bahari atlantiki mkoa wa kabinda umetenganika na sehemu nyingine za nchi na unapakana na jamhuri ya kongo pia angola ni nchi tajiri kwa mafuta na madini almasi ndiyo muhimu zaidi lakini nchi ni maskini kutokana na vita vya miaka kwanza vita vya kupigania uhuru dhidi ya ureno iliyofuatwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe hadi mwaka nchi yenyewe hasa ni ya kidemokrasia na inajulikana kama jamhuri ya angola kwa kireno repblica de angola kwa matamshi ya ipa kwa lugha za wenyeji repubilika ya ngola jina angola linatokana na neno la lugha ya kibantu n gola ambalo lilikuwa jina la kiongozi wa ufalme wa kwimbundo karne ya ambapo wareno walianza ukoloni katika eneo hili angola imegawiwa katika mikoa provncias wilaya municpios na kata mikoa ni wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani katika karne za kwanza bk kutoka kaskazini walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi kuanzia karne ya falme mbalimbali zilienea sehemu za angola kwa mfano dola la kongo dola la lunda na dola la kasanje dola la kongo lilikuwa ufalme ulioenea ndani ya nchi za leo za angola kongo kinshasa na kongo brazzaville ulianzishwa katika karne ya ikadumu hadi karne ya mtawala wake alikuwa na cheo cha mwene kongo au manikongo wa kabila la bakongo ufalme huo umejulikana zaidi kihistoria kwa sababu ya mawasiliano yake ya kimataifa katika karne ya meli za wareno zilifika mwambaoni mwake wakati wa kukutana na wareno ufalme wa kongo labda ulikuwa na eneo la km ukaunganisha robo ya magharibi ya kongo kinshasa pamoja na sehemu za angola na kongo brazzaville manikongo mbalimbali walijenga uhusiano na ureno na kongo ilikuwa taifa la kushikamana na ureno hadi kuharibika kwa uhusiano huo katika kipindi kile taarifa mbalimbali ziliandikwa zinazotupa leo picha nzuri ya ufalme huo manikongo alikaa katika mji wa m banza kongo baada ya wafalme kuwa wakristo wakatoliki na kujengwa kwa kanisa kuu jina la so salvador do congo kwa kireno mwokozi mtakatifu wa kongo lilikuwa kawaida kwa mji mkuu wa milki ufalme ukawa na majimbo wilaya na vijiji majimbo yalikuwa saba ya mpemba nsundi mpangu mbata mbamba na soyo kwa mikataba ya baadaye falme za kakongo loango na ngoy likatokea shirikisho ya sehemu nne dola la lunda lilikuwa ufalme wa kibantu katika miaka hadi hivi kandoni kwa mto kasai mpakani kwa nchi za kisasa za angola na jamhuri ya kidemokrasia ya kongo dola la kasanje lilikuwa ufalme wa kibantu katika miaka hadi hivi kandoni kwa mto kwango upande wa kaskazini wa nchi ya kisasa ya angola lilianzishwa na viongozi kutoka dola la lunda mwaka lilivamiwa na wareno na kuingizwa katika koloni lao la angola dola lingine la kusini lilikuwa lile la ndongo lililopambana na wareno miaka chini ya malkia njinga katika karne ya mwaka jonas savimbi alianzisha tapo la unita kwa kireno unio nacional para a independncia total de angola kama harakati ya kukomboa angola kutoka ukoloni wa ureno unita ilikuwa moja kati ya harakati tatu zilizoshindana unita ilianza kama kikundi cha kikomunisti kufuatana na itikadi ya mao zedong uadui kati ya wakomunisti wa uchina na urusi ulionekana katika mashindano ya unita dhidi ya mpla kwa kireno movimento popular de libertao de angola partido do trabalho iliyosaidiwa na urusi baada ya uhuru mwaka mpla ilitawala mji mkuu na kuunda serikali rasmi lakini savimbi aliendelea kuipinga savimbi alipata kupokea baadaye usaidizi kutoka maadui wote wa mpla bila kujali itikadi unita ilipata misaada toka serikali mbalimbali duniani ili kuiondoa madarakani serikali ya mpla savimbi alikuwa akipata misaada ya fedha na silaha toka serikali za marekani china afrika kusini ivory coast jamhuri ya kidemokrasia ya kongo wakati huo ikijulikana kama zaire moroko n k serikali ya angola ilikuwa ikipata misaada toka urusi jamhuri ya kidemokrasia ya kijerumani kuba na nicaragua tarehe machi jonas savimbi aliuawa vitani muda mfupi baadaye unita na mpla zilikubaliana kusimamisha mapigano unita ilichukua nafasi ya chama cha upinzani hata hivyo taratibu za kidemokrasia zilichelewa hadi chaguzi za miaka na na toleo la katiba mpya la mwaka sensa ya mwaka ilihesabu watu na kufikia mwaka walikuwa wakazi wengi ni waafrika hasa wa makabila ya waovimbundu waambundu na wakongo machotara ni wachina na wazungu ingawa lugha za kibantu zinaongoza na kati yake zina hadhi ya lugha ya taifa lugha rasmi ni kireno upande wa dini inakadiriwa kuwa zaidi ya nusu ni wakatoliki na robo ni waprotestanti wa madhehebu mia tofauti shilingi ya kenya kes au ksh ni fedha za kenya shilingi moja imegawanywa kwenye senti mia moja shilingi ya kenya ilianzishwa mwaka baada ya kuvunjwa kwa bodi ya fedha ya afrika ya mashariki iliyosimamia fedha ya pamoja ya kenya tanzania na uganda iliyoitwa east african shilling iliyotumiwa katika maeneo yote yaliyokuwa chini ya uingereza katika afrika ya mashariki kuna sarafu za shilingi na sarafu za senti zipo za zamani za senti na lakini hazinunui kitu tena noti zilitolewa za shilingi na ingawaje noti za shilingi na ni nadra sana kuonekana majina ya zamani jamhuri ya kamerun pia cameroon ni jamhuri ya muungano katika afrika ya magharibi imepakana na nigeria chadi jamhuri ya afrika ya kati jamhuri ya kongo gabon guinea ya ikweta na ghuba ya guinea lugha rasmi na lugha za taifa ni kifaransa kinachoongoza kwa zaidi ya asilimia na kiingereza kamerun imegawiwa katika mikoa na wilaya dpartements mikoa ni katika karne za bk wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi walianza uenezi wao kutoka huko kwenda kutawala maeneo mengi ya afrika ya kati kusini mwa afrika na afrika mashariki kamerun ilikuwa koloni la ujerumani hadi vita kuu ya kwanza ya dunia baada ya ujerumani kushindwa vita nchi ikagawiwa kati ya uingereza na ufaransa chini ya mamlaka ya shirikisho la mataifa kama eneo la kudhaminiwa mwaka wa wafaransa waliacha kamerun ikawa nchi huru na kuungana na sehemu ya kusini ya kamerun ya kiingereza mwaka kuunda shirikisho la jamhuri ya kamerun baadaye jina likabadilishwa kuwa jamhuri ya muungano ya kamerun mwaka wa halafu tena jamhuri ya kamerun kwa kifaransa rpublique du cameroun mwaka wa wakazi walikuwa mwaka ambao wamegawanyika sawasawa kati ya wanaoishi mijini na wale wa vijijini lugha rasmi ni kifaransa pamoja na kiingereza hata hivyo wakazi wanaongea pia lugha za makabila yao mengi upande wa dini ni wakristo wakatoliki na waprotestanti ni waislamu ni wafuasi wa dini asilia za kiafrika hawana dini yoyote makabila na koo sarafu kar badilisha ni kipande cha metali iliyotolewa na serikali ya nchi kama namna ya pesa mara nyingi sarafu ina umbo la duara kama kisahani kuna pia sarafu za pembe tatu pembe nne au pembe zaidi zamani sarafu ilikuwa umbo la kawaida ya pesa sarafu za kwanza zinazojulikana dunia zimepatikana kutoka lydia katika anatolia ya magharibi iliyokuwa wakati ule sehemu ya utamaduni wa wagiriki wa kale sarafu zilitengenezwa hasa kwa kutumia metali ya thamani kama dhahabu na fedha pia ya shaba na wakati mwingine ya chuma thamani ya sarafu ililingana na kiasi fulani cha metali hizi siku hizi sehemu kubwa ya fedha inatolewa kama noti yaani kama karatasi karibu popote duniani sarafu hutumika kwa ajili ya pesa ndogo tu isipokuwa sarafu za dhahabu zinatolewa kwa idadi ndogo hasa kwa ajili ya watu wanaopenda kukusanya aina mbalimbali za sarafu zenye thamani ingawa hazitumiki kama pesa ya kulipia nebula ni neno linalotumika kwa ajili ya kutaja eneo angavu na jeupejeupe linaloonekana angani ama kwa macho au kwa darubini zamani hata galaksi ziliweza kuitwa nebula galaksi ya andromeda iliyokuwa galaksi ya kwanza kutambuliwa angani ilikuwa inaitwa andromeda nebula siku hizi neno linataja wingu kubwa linalong aa maada yake inaweza kuwa gesi ya moto vumbi na utegili gesi ya moto na utegili zinang aa pekee yake vumbi linaweza kuakisi nuru ya nyota za karibu mara nyingi nebula ni mahali pa kuzaliwa au kutokea kwa nyota mpya wakati mwingine wingu ni mabaki tu ya nyota aina ya nova yaani nyota iliyokufa katika mlipuko mkubwa utegili pia plasma katika lugha ya fizikia ni hali ya nne ya maada hali hiyo ni kama gesi ila ni ya kiioni nyinginezo ni hali mango imara kiowevu majimaji na gesi kama hewa mfano wa maada mango ni jiwe la mwamba maada kiowevu ni maji na maada gesi ni hewa hivyo plasma ama utegili ni hali ya nne ambayo si ya asili katika maisha yetu ya kila siku huonekana katika mifumo ya kimaada iliyo katika joto kali plasma ni hali halisi ya jua lenyewe linafanyika na maada lakini si tena katika hali ya kawaida tunayoijua hapa duniani nayo ni kama gesi inayolipuka masaa yote na kufanya mnururiko wa nishati inayotufikia kama joto mwanga na pia mawimbi ya plasma itufikiayo na kujidhihirisha kama aurora katika ncha ya kaskazini ya dunia ikiwa gesi ni ya joto kali sana elektroni zake zinaanza kuachana na atomu zao tabia ya hali hii ni tofauti na hali ya gesi yenyewe elektroni zisizoshikwa na atomu pamoja na atomu hizo katika hali ya ioni zote zinajibu kwa uga wa sumakuumeme asilimia kubwa ya maada ulimwenguni iko katika hali ya utegili kwa sababu imo ndani ya nyota za angani kwa ajili ya matumizi ya mitambo hali ya utegili yaani ya kuionika husababishwa pia kwa leza au kwa uga wa sumakuumeme yuri aleeyevich gagarin kirusi alizaliwa tarehe machi huko klushino karibu na smolensk urusi alifariki tarehe machi alikuwa mwanaanga wa kwanza katika historia yaani mtu wa kwanza aliyefika kwenye anga nje alimwoa valentina goryachova akawa na mabinti wawili ambao ni galina na yelena akajiunga na jeshi la anga ya urusi mwaka mwaka aliteuliwa katika kikosi cha kwanza cha marubani walioandaliwa kurushwa kwa anga nje akateuliwa kuwa mtu wa kwanza wa kutoka duniani tarehe aprili alirushwa na chombo cha angani vostok akizunguka dunia lote mara moja katika muda wa dakika akashuka siberia alipandishwa cheo na kuwa mkuu wa kituo cha kuandaa wanaanga warusi mwaka alikufa katika ajali ya ndege alipofanya mazoezi ya urubani akazikwa kwenye makaburi ya heshima huko moscow jamhuri ya afrika ya kati kwa kisango kdrsse t bafrka ni nchi ya bara bila pwani katika afrika ya kati imepakana na chadi upande wa kaskazini sudan na sudan kusini upande wa mashariki jamhuri ya kongo na jamhuri ya kidemokrasia ya kongo upande wa kusini na kamerun upande wa magharibi nchi hii hasa inashikilia mbuga ya sudani guinea lakini pia jangwa la sahara upande wa kaskazini na msitu wa ikweta kusini theluthi mbili za eneo la nchi zimetapakaa kwa mabia ya mto ubangi unaotiririka kusini kwa mto kongo na theluthi ya eneo katapakaa kwa mabia ya mto shari unaotiririka kusini kwa ziwa chadi kwa sababu ya utapakazi wa eneo kwa mabia ya mto ubangi na mto shari wafaransa wakati wa ukoloni waliita nchi hii ubangi shari oubangui chari kwa kifaransa ilipokuwa koloni la ufaransa ubangi shari ziliwekewa mamlaka ya madaraka kama eneo la jamii ya wafaransa mwaka wa lakini baadaye ilipata uhuru tarehe agosti kwa miongo mitatu kutoka uhuru jamhuri ya afrika ya kati ilitawaliwa na serikali za mabavu zilizonyakua mamlaka bila kufuata taratibu za demokrasia kwa namna ya pekee jean bdel bokassa alitawala kuanzia tarehe desemba hadi septemba akijifanya kaisari tarehe desemba mwaka wa kura za kidemokrasia za kwanza zilifanywa na kumchagua ange fli patass kuwa rais lakini rais patass alipinduliwa na jenerali franois boziz mwaka wa baadaye huyo alishinda uchaguzi mnamo mei na kuiongoza nchi mpaka machi alipolazimika kukimbia kati ya novemba na tarehe julai vita vya wenyewe kwa wenyewe vilipamba kwa ukatili na vinaendelea hadi mwaka jamhuri ya afrika ya kati imegawiwa katika maeneo yanayoitwa prfectures na pia maeneo ya uchumi prfectures economique na mji mmoja commune maeneo hayo yamegawiwa zaidi katika wilaya zinazoitwa sous prfectures mikoa ni bamingui bangoran basse kotto haute kotto haut mbomou kmo lobaye mambr kad mbomou nana mambr ombella m poko ouaka ouham ouham pend na vakaga maeneo ya uchumi ni nana grbizi na sangha mbar na mji ni bangui nchi ina watu waliogawanyika katika makabila kila moja likiwa na lugha ya pekee ile inayowaunganisha katika mawasiliano ni kisango ambacho ni lugha rasmi pamoja na kifaransa kadiri ya sensa ya mwaka kati ya wakazi ni wakristo waprotestanti na wakatoliki waislamu ni na wengi wa waliobaki wanafuata dini za jadi algeria pia aljeria kwa kiarabu al jaz ir kwa kiberber dzayer kwa jina rasmi jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa algeria ni nchi ya afrika ya kaskazini magharibi imepakana na bahari ya mediteranea moroko sahara ya magharibi mauretania mali niger libya na tunisia algeria ni nchi kubwa kuliko zote za afrika lakini sehemu kubwa ya eneo lake iko katika jangwa la sahara jina la nchi limetokana na mji mkuu unaoitwa kwa jina lilelile al jaza ir kama nchi ya leo kwa lugha ya kiarabu sehemu kubwa ya nchi ni jangwa sahara iko upande wa kusini asilimia za eneo la algeria upande wa kaskazini ni makao kwa karibu wakazi wote maeneo haya ni pwani ya mediteranea na milima ya atlas atlas inapanda hadi kimo cha mita juu ya ub sahara inaanza kusini kwa atlas na kanda yenye nyasi chache halafu inafuata eneo la matuta ya mchanga pasipo mimea yote kusini kwake tena ni nyanda za juu ambazo ni hasa maeneo ya miamba mitupu kusini kabisa kuna milima kama tassili n ajjer na ahaggar inayopanda hadi mita na kuwa kama visiwa vya uoto katika jangwa mito ya kudumu iko kaskazini tu sehemu za pwani mabonde ya mito ya ndani ni makavu isipokuwa baada ya mvua mito mikali inajitokeza kwa masaa kadhaa kanda la kaskazini lina hali ya hewa inayoathiriwa na bahari ya mediteranea huko halijoto kwenye mwezi agosti ni c na c wakati wa januari kwenye sehemu za juu kuna baridi na hata barafu kwenye majira ya januari lakini joto ni kali zaidi wakati wa julai agosti kusini ya atlas inaanza hali ya hewa ya jangwani halijoto inaweza kucheza zaidi ya c katika siku moja wakati wa joto halijoto inapita c lakini wakati wa baridi halijoto inashuka chini ya c kwenye saa za usiku mvua ni haba mno kuna miaka mfululizo bila tone hata moja katika milima ya ahaggar kuna usimbishaji kidogo kutokana na ukungu kwa hiyo miti kadhaa na mimea mingine iko historia inayojulikana ilianza na waberber ambao wametokana na mchanganyiko wa wakazi asilia tangu mwaka kk wafinisia walianza kufika na kujenga miji yao ya biashara kwenye pwani ya mediteranea muhimu zaidi kati ya miji yao ulikuwa karthago uliopanua utawala wake hadi hispania na gallia ufaransa ya kusini kumbe waberber wa bara walijenga milki zao za numidia na mauretania katika vita kati ya karthago na roma ya kale waberber walisimama upande wa roma hivyo wakapata uhuru wao kwa muda kidogo lakini wakati wa karne ya kk roma ilianza kutawala eneo la algeria moja kwa moja numidia na mauretania zilikuwa mashamba ya roma na sehemu kubwa ya nafaka za italia zililimwa huko mawe ya maghofu ya miji ya kale bado yanaonyesha uhusiano wa algeria na dola la roma lililoitawala kwa karne nyingi hadi kuja kwa waarabu katikati ya karne ya utawala wa roma ulivurugika baada ya wavandali kutoka ulaya kaskazini kufika na kuanzisha milki yao kwa muda wa karne moja jeshi la kaisari justiniani i wa bizanti ilirudisha utawala wa kiroma ila tu katika karne ya uvamizi wa waarabu waislamu ulimaliza kipindi cha kiroma kuanzia mwaka vikosi vya waislamu waarabu kutoka misri walishambulia eneo la afrika ya kaskazini mwanzoni hawakufaulu kuwashinda wabizanti lakini baada ya uhamisho wa serikali ya makhalifa kutoka medina kwenda dameski waumawiya walikaza jitihada huko afrika ya kaskazini mwaka jeshi kubwa la waarabu likaunda mji wa kairuan kusini ya tunis ya leo na mji huu ulikuwa kitovu cha uenezaji walipoenea katika algeria ya leo walirudishwa na waberber wakristo kwa msaada wa wabizanti lakini jeshi lililofuata lilishinda na kufikia mwaka afrika ya kaskazini yote maana yake nchi za leo za tunisia algeria na moroko zilikuwa chini ya utawala wa waarabu hapo sehemu kubwa ya waberber walifanya haraka kujiunga na uislamu wakasaidiana na waarabu matokeo hayo yalikuwa chanzo cha mabadiliko makubwa ya kudumu maana yake upanuzi wa lugha ya kiarabu kati ya wananchi na uenezaji wa uislamu historia ya karibuni imeacha kumbukumbu yake inayoonekana katika athira kubwa ya lugha na utamaduni wa kifaransa kutokana na ukoloni wa ufaransa kati ya miaka na kwa marais wa nchi tangu uhuru angalia orodha ya marais wa algeria kwa sasa algeria inajenga upya umoja wa kitaifa baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyoishia mwaka nchi imebaki na idadi kubwa ya wakazi wa kabila la waberber ambao kihistoria ndio wakazi asilia lakini kwa lugha utamaduni na historia algeria ya leo ni sehemu ya dunia ya kiarabu kuna vitengo vya utawala vinavyoitwa wilaya zinazolingana zaidi na mikoa katika nchi zingine wakazi wengi wana mchanganyiko wa damu ya kiarabu na ya kiberber na wachache ya kituruki na ya kiberber karibu wote wanafuata dini ya uislamu wakristo ni wakiwemo waprotestanti na wakatoliki lakini wengine wanashindwa kujitokeza kutokana na hofu ya dhuluma lugha rasmi ni kiarabu na kiberber lakini wengi sana wanaongea pia kifaransa melilla tamka me li ya kwa kiarabu meliliya jina rasmi ciudad autnoma de melilla mji wa kujitawala wa melilla ni mji wa hispania kwenye pwani ya mediteranea unaozungukwa na eneo la moroko upande wa bara umbali na hispania bara ni takriban km kuvuka bahari mji ulio karibu upande wa moroko ni nador kwenye umbali wa km pamoja na mji wa ceuta kisiasa ni sehemu ya hispania na umoja wa ulaya kijiografia ni sehemu ya afrika moroko inadai ni sehemu ya eneo lake la kitaifa melilla ina wakazi mwaka katika eneo la km zamani wakazi walio wengi walikuwa wakatoliki wenye asili ya hispania pamoja na wayahudi na waislamu waarabu au waberber wenye asili ya moroko miaka ya nyuma idadi ya waislamu imeongezeka ambao wengi wao wanapendelea kujiita waberber kuliko waarabu wayahudi wamepungua sana inasemekana ya kwamba wakazi karibu wote wanajiangalia kuwa wahispania bila kujali kama ni wakatoliki au waislamu uchumi unategemea uvuvi pamoja na biashara ya mpakani pesa rasmi ni euro historia yake ilianza zaidi ya miaka iliyopita ikaundwa kwa jina la rusadir ikawa sehemu ya dola la roma katika jimbo la mauretania tingitana eneo lake lilipiganiwa kuanzia mwaka bk kati ya wavamizi wavandali na bizanti karibu kabla ya mwaka bk waarabu waislamu walivamia eneo la pwani ya moroko wakielekea hispania mji ulipata jina la meliliya ukabaki chini ya utawala wa kiislamu hadi mwaka ulipotekwa na wahispania wahispania walifaulu kubaki na mji katika vita mbalimbali za karne zilizofuata mwaka vita vya wenyewe kwa wenyewe vya hispania vilianza melilla kwa uasi wa wanajeshi dhidi ya serikali ya jamhuri ya hispania jamhuri ya guinea ya ikweta kwa kiswahili pia ginekweta ni nchi mojawapo ndogo ya bara la afrika iliyopo upande wa magharibi wa afrika ya kati imepakana na kamerun upande wa kaskazini gabon upande wa kusini na mashariki na ghuba ya guinea upande wa magharibi ambapo visiwa vya so tom na prncipe vinapatikana kusini magharibi mwa guinea ya ikweta jina la nchi linatokana na kuwa karibu na ikweta na pia karibu na ghuba ya guinea ilikuwa koloni la hispania kwa jina la guinea ya kihispania likiwa na maeneo mawili ambayo yalijulikana kama ro muni bara na visiwa vidogo kadhaa na kisiwa cha bioko zamani fernando poo ambako uko mji mkuu malabo ambayo iliitwa awali santa isabela guinea ya ikweta imegawiwa katika mikoa ni nchi pekee ya afrika ambapo lugha ya kihispania ndiyo lugha rasmi na ya taifa hasa ukiacha ceuta na melilla maeneo ya hispania yaliyozungukwa na moroko na jamhuri ya sahara ya kidemokrasia ya kiarabu nchi isiyotambulika kimataifa pamoja nacho kifaransa na kireno pia ni lugha rasmi wananchi wengi wanafuata ukristo katika kanisa katoliki na madhehebu mbalimbali ya uprotestanti wanaofuata dini asilia za kiafrika ni ziwa la tana ni ziwa kubwa la ethiopia na asili ya nile ya buluu beseni yake iko taktiban km kaskazini magharbibi ya addis ababa katika nyanda za juu za ethiopia umbo la ziwa limebadilika katika karne iliyopita kutokana na mashapo kamusi ya mwaka ilitaja kina ya mita lakini leo ni mita pekee eneo la ziwa hubadilika na majira ya mvua au ukame yaani kuwa na maji mengi au kidogo mito mingi inaingia ziwani ikiwa mikubwa kati yao ni mito ya rib na gumara mto wa abbai jina la kiethiopia la nile ya buluu unatoka katika ziwa eneo la ziwa la tana ni kitovu cha kihistoria cha ethiopia ya kikristo katika visiwa vidogo ziwani kuna makanisa na monasteri zilizojengwa tangu karne ya bk jangwa ni eneo kavu lenye mvua au usimbishaji kidogo tu kutokana na ukavu kuna mimea michache tu pia wanyama wachache wanyama walioko hufanya shughuli zao hasa wakati wa usiku kipimo cha usimbishaji kinachotambulika kimataifa ni kiwango cha chini ya mm kwa mwaka uoto wa mimea hufunika chini ya asilimia za eneo lake wakati mwingine huitwa jangwa hata maeneo ambayo ni makavu kutokana na baridi kali maeneo makavu yanaweza kutofautishwa kuwa yabisi sana en etremely arid pasipo usimbishaji kwa muda wa miezi mfululizo maana yake hakuna mvua kila mwaka yabisi en arid pasipo usimbishaji zaidi ya mm kwa mwaka nusu yabisi en semiarid penye usimbishaji kati ya mm and kwa mwaka maeneo yabisi sana na maeneo yabisi ni jangwa maeneo nusu yabisi yenye nyasi huitwa mbuga takriban theluthi moja ya uso wa nchi kavu duniani ni yabisi sana yabisi au nusu yabisi kiasi cha usimbishaji peke yake hakitoshi kila mahali kutofautisha maeneo makavu mm za mvua katika eneo la joto zitasababisha eneo kuonekana kama jangwa kabisa kwa sababu kiasi kikubwa cha maji yale kidogo yanayoneshewa hupotea kutokana na uvukizaji kuna mifano ya kwamba eneo penye kiasi kilekile cha mm halionekani kuwa jangwa tayari kwa sababu kutokana na halijoto na mawingu hata yasiponyesha mvua kiasi kidogo cha maji yanavukiza kama uvukizaji unapita kiasi cha mvua hata eneo penye mvua zaidi ya mm inaonekana kama jangwa mara nyingi majangwa hutofautishwa kutokana na uso wake jangwa ni eneo kavu lakini maji hutokea mara nyingi kuna maji chini ya ardhi pale ambako maji haya si chini mno mimea inaweza kuyafikia kwa mizizi yao mahali kadhaa chemchemi hutokea sehemu kama hizi zinaonekana kama oasisi penye miti wakati mwingine hata na bwawa mahali pengine wakazi wa jangwa wamechimba kisima kirefu pasipo na mimea kinachosaidia maji ya watu na wanyama hasa wa misafara mvua ikionyesha unaweza kutokea kwa wingi maji yake hukusanyika katika mabonde na kutokea kama mto wa muda kuna mifano mingi ya wasafiri jangwani waliokufa kwa sababu walipiga kambi katika bonde penye kivuli lakini walizama kwa sababu mto mkali ulijitokeza kwa ghafla kutokana na mvua ulionyesha katika umbali mkubwa sehemu nyingine mvua husababisha kutokea kwa mbwawa hata maziwa kwa muda mito kadhaa kama nile ina maji ya kutosha ili ivuke neo la jangwa inawezesha maisha ya mimea wanyama na watu katika mabonde yao mito mingine inakwisha jangwani kwa sababu maji yote hupotea na kuvukiza mfano wake ni delta ya mto wa okavango unaokwisha katika jangwa la kalahari huko botswana delta hii ni eneo la mimea na wanyama wengi katikati ya jangwa mto wa ewaso nyiro katika kenya ya kaskazini kwa kawaida hukwisha katika nchi yabisi za usamburu lakini kila baada ya miaka makumi kadhaa baada ya mvua kubwa sana inaendelea kuvuka jangwa la somalia ya kusini na kufikia bahari hindi jinsi ilvyotokea wakati wa el nino usimbishaji kwa kiingereza precipitation ni maji yanayonyesha kutoka hewa hadi ardhini maji hayo ni pamoja na mvua theluji mvua ya mawe na umande usimbishaji unaanza pale ambapo hewa yenye joto na mvuke hupanda juu juu zaidi halijoto yake inapungua na mvuke ndani ya hewa unaanza kuwa matone ya maji kila wingu hufanywa na matone mengi madogo yanayoendelea kuelea hewani pamoja upepo unakoroga matone yale madogo mpaka yanagongana na kuunganika na hivyo kukua kama matone ni makubwa ya kutosha yanaanza kuanguka chini kama mvua theluji au mvua mawe hali inategemea halijoto katika mawingu na hewani pale matone yanapotelemka kiasi cha usimbishaji ni muhimu kwa ajili ya tabia za hali ya hewa katika nchi au eneo fulani watu wameanza kufanya mvua kwa kukamua mawingu hapo punje ndogo za iodidi ya fedha zinatupwa mawinguni kwa njia ya ndege au makombora punje hizo zinakuwa viini vya kutonesha mvuke na kusababisha matone kukua hadi mvua kunyesha teknolojia hiyo inatumika katika maeneo makavu inatumika pia katika maeneo ya kilimo ili kuzuia mvua mawe isiharibu mavuno moroko pia maroko kwa kiarabu au kirefu ufalme wa moroko al mamlaka al maghribiya yaani ufalme wa magharibi ni nchi ya afrika ya kaskazini magharibi imepakana na bahari za atlantiki na mediteranea upande wa bara imepakana na algeria na mauretania maeneo ya kihispania ya ceuta na melilla yamezungukwa na moroko kwenye pwani ya mediteranea mpaka wa kusini haueleweki vizuri kwa sababu moroko inadai ya kwamba sahara ya magharibi ni sehemu ya eneo lake hali isiyokubaliwa na jumuiya ya kimataifa tangu moroko ilipovamia sahara ya kusini mwaka jina la moroko limetokana na mji mkuu wa kale marakesh eneo la moroko ni km sehemu kubwa ni jangwa la sahara watu walio wengi huishi kwenye sehemu za rutuba karibu na pwani kuna milima inayofunika maeneo makubwa milima ya rif inaongozana na pwani ya mediteranea yenye mwelekeo kutoka kaskazini magharibi kwenda kaskazini mashariki milima ya atlas iko katikati ya nchi kutoka kusini magharibi kwenda kaskazini mashariki mji mkuu ni rabat wenye wakazi milioni mji mkubwa ni casablanca kwa kiarabu dar al baida nyumba nyeupe miji yote miwili mikubwa ni miji ya bandari miji mitano mikubwa ni kama ifuatavyo namba za sensa ya mwaka habari za kimaandishi za kwanza ni kutoka karne za kwanza kk wafinisia walijenga miji yao pwani lakini eneo la ndani lilibaki nchi ya waberber waliounda ufalme wa mauretania ya kale usiuchanganye na nchi ya kisasa mauretania uliounganisha sehemu kubwa ya moroko ya kaskazini wamauretania wa kale walishirikiana na dola la roma hadi kuwa jimbo la dola hili kwa jina la mauretania tingitana wakati wa kudhoofika kwa dola la roma kuanzia mwaka bk kukawa na uvamizi wa wavandali karne ya bk ilileta uvamizi wa waarabu walioteka nchi na kusababisha polepole waberber waliokuwa wayahudi wakristo au wafuasi wa dini za jadi kuwa waislamu mwanzoni moroko ilikuwa sehemu ya milki ya khalifa ya waomawiyya waliotawala dameski siria baada ya kupinduliwa kwa waomawiyya na waabasiya wa baghdad iraq mkimbizi mwarabu idris ibn abdallah alikusanya makabila ya waberber na kuunda milki ya kujitegemea hii ilikuwa mwanzo wa moroko kuwa milki ya kiislamu inayojitawala vipindi vya historia husebabiwa kufuatana na familia zilizofuatana za wafalme waarabu au waberber moroko ilitawaliwa na familia za miaka bk wafalme wa wamurabitun almoravi na wa wamuwahidun almohad walieneza utawala wao hadi afrika ya magharibi mauretania senegal na mali ya leo na sehemu kubwa ya andalusia hispania ya kiislamu tena hadi mipaka ya misri wamuwahidun waliendelea kupanuka kuelekea misri lakini baadaye walidhoofika wakapaswa kuwaachia wahispania wakristo sehemu za andalusia athira ya milki ya moroko ilipungua baadaye hadi hispania yote ikarudishwa kwa watawala wakristo mwaka pia utawala kusini kwa sahara haukuendelea wareno wa wahispania waliendelea kuteka miji kwenye pwani za moroko utawala wa hispania juu ya ceuta na melilla leo ni mabaki ya nyakati zile sehemu za nchi zilianza kujitawala bila kukubali tena mamlaka wa juu kwa mfano makabila ya waberber milimani au miji ya rabat na sale iliyounda dola dogo la jamhuri ya bou regreg katika karne ya na kujishughulisha na uharamia katika karne ya familia ya waalawi walishika mamlaka wakaendelea nayo hadi leo waliweza kutunza uhuru wa nchi hadi mwanzo wa karne ya lakini mwanzo wa karne ya ufaransa na hispania walimlazimisha mfalme mulay abdelaziz kukubali mkataba uliofanya moroko kuwa kama koloni chini ya nchi hizo mbili vita kuu ya pili ya dunia ilidhoofisha ufaransa pamoja na kuingia kwa wanajeshi waamerika na waingereza na ahadi zao za kuleta uhuru tokeo lililohamasisha wazalendo wa maroko kupigania upya uhuru wa nchi baada ya vita wafaransa walijaribu kukandamiza mwendo huo wakamwondoa sultani mohammed v nchini ghasia zikaongezeka sultani akarudi na nchi ikapewa uhuru mwaka utawala wa mwanae hassan ii kuanzia mwaka uliitwa miaka ya risasi kwa sababu mfalme alikataa kukubali utaratibu wa kidemokrasia chaguzi zilikuwa za uwongo wapinzani wakatupwa jela au kuuawa hassan ii alishinda majaribio mbalimbali ya kumpindua siasa ya kushikamana na marekani ilimsaidia mfalme kimataifa lakini baada ya mwisho wa vita baridi alilazimishwa na wamarekani kulegeza utawala wake mtoto wake muhamad vi akawa mfalme kijana mwaka akaanza mageuzi ya kisiasa ya wazi zaidi mnamo januari za wakazi milioni huishi mijini kiasili wakazi wengi ni waberber na waarabu pamoja na watu wa asili ya andalusia hispania na wa afrika kusini kwa sahara waberber ndio wenyeji asilia kaskazini mwa nchi ambako kitovu chake ni fes kuna zaidi tabia ya kiarabu wakatu kusini ambako kitovu chake ni marakesh kuna tabia ya kiberber zaidi lugha rasmi ya nchi ni kiarabu na kiberberi waberber wengi hasa kaskazini wameacha lugha yao na kutumia kiarabu lakini walileta maneno yao katika lahaja ya kiarabu cha kimaroko hata kifaransa kinatumika sana uislamu ndio dini rasmi na ndio unaofuatwa na wakazi wengi sana hasa wasunni wengine ni wakristo na wayahudi wakristo karibu wote ni wa asili ya ulaya wayahudi waliwahi kuwa wengi kidogo lakini idadi yao imepungua katika miaka ya nyuma kutokana na uhamaji hata kama hali yao katika taifa ni nzuri kulingana na nchi nyingine za kiarabu nguzo za uchumi wa nchi ni kilimo na magodi ya kuchimba madini pamoja na uvuvi na utalii zaidi ya asilimia za wananchi hulima kwa jumla asilimia za eneo la moroko zinatumiwa kwa kilimo hasa katika magharibi na kaskazini magharibi nchi hii ina akiba kubwa ya fosfati inayochimbwa na kuuzwa nje kwa matumzi ya mbolea akiba ya fosfati ni kubwa duniani moroko ina nafasi ya tatu katika uzalishaji baada ya china na marekani umuhimu wa utalii kwa uchumi umezidi kukua mwaka idadi ya watalii ilifikia milioni vivutio vya kitalii ni pamoja na mahali pa urithi wa dunia kama vile historia ya moroko inahusu eneo ambalo leo ni nchi ya afrika kaskazini magharibi habari za kimaandishi za kwanza ni kutoka karne za kwanza kk wafinisia walijenga miji yao pwani lakini eneo la ndani lilibaki nchi ya waberber waliounda ufalme wa mauretania ya kale usiuchanganye na nchi ya kisasa mauretania uliounganisha sehemu kubwa ya moroko ya kaskazini wamauretania wa kale walishirikiana na dola la roma hadi kuwa jimbo la dola hili kwa jina la mauretania tingitana wakati wa kudhoofika kwa dola la roma kuanzia mwaka bk kukawa na uvamizi wa wavandali karne ya bk ilileta uvamizi wa waarabu walioteka nchi na kusababisha polepole waberber waliokuwa wayahudi wakristo au wafuasi wa dini za jadi kuwa waislamu mwanzoni moroko ilikuwa sehemu ya milki ya khalifa ya waomawiyya waliotawala dameski siria baada ya kupinduliwa kwa waomawiyya na waabasiya wa baghdad iraq mkimbizi mwarabu idris ibn abdallah alikusanya makabila ya waberber na kuunda milki ya kujitegemea hii ilikuwa mwanzo wa moroko kuwa milki ya kiislamu inayojitawala vipindi vya historia husebabiwa kufuatana na familia zilizofuatana za wafalme waarabu au waberber moroko ilitawaliwa na familia za miaka bk wafalme wa wamurabitun almoravi na wa wamuwahidun almohad walieneza utawala wao hadi afrika ya magharibi mauretania senegal na mali ya leo na sehemu kubwa ya andalusia hispania ya kiislamu tena hadi mipaka ya misri wamuwahidun waliendelea kupanuka kuelekea misri lakini baadaye walidhoofika wakapaswa kuwaachia wahispania wakristo sehemu za andalusia athira ya milki ya moroko ilipungua baadaye hadi hispania yote ikarudishwa kwa watawala wakristo mwaka pia utawala kusini kwa sahara haukuendelea wareno wa wahispania waliendelea kuteka miji kwenye pwani za moroko utawala wa hispania juu ya ceuta na melilla leo ni mabaki ya nyakati zile sehemu za nchi zilianza kujitawala bila kukubali tena mamlaka wa juu kwa mfano makabila ya waberber milimani au miji ya rabat na sale iliyounda dola dogo la jamhuri ya bou regreg katika karne ya na kujishughulisha na uharamia katika karne ya familia ya waalawi walishika mamlaka wakaendelea nayo hadi leo waliweza kutunza uhuru wa nchi hadi mwanzo wa karne ya lakini mwanzo wa karne ya ufaransa na hispania walimlazimisha mfalme mulay abdelaziz kukubali mkataba uliofanya moroko kuwa kama koloni chini ya nchi hizo mbili vita kuu ya pili ya dunia ilidhoofisha ufaransa pamoja na kuingia kwa wanajeshi waamerika na waingereza na ahadi zao za kuleta uhuru tokeo lililohamasisha wazalendo wa maroko kupigania upya uhuru wa nchi baada ya vita wafaransa walijaribu kukandamiza mwendo huo wakamwondoa sultani mohammed v nchini ghasia zikaongezeka sultani akarudi na nchi ikapewa uhuru mwaka utawala wa mwanae hassan ii kuanzia mwaka uliitwa miaka ya risasi kwa sababu mfalme alikataa kukubali utaratibu wa kidemokrasia chaguzi zilikuwa za uwongo wapinzani wakatupwa jela au kuuawa hassan ii alishinda majaribio mbalimbali ya kumpindua siasa ya kushikamana na marekani ilimsaidia mfalme kimataifa lakini baada ya mwisho wa vita baridi alilazimishwa na wamarekani kulegeza utawala wake mtoto wake muhamad vi akawa mfalme kijana mwaka akaanza mageuzi ya kisiasa ya wazi zaidi tuta la mchanga ni kilima cha mchanga kilichojengwa na upepo kwa kupuliza na kusukuma punje za mchanga kama halishikwi na mimea inaweza kuhamahama matuta ya mchanga hutokea penye mchanga usiofunikwa na udongo au mimea ya kutosha mifano ni matuta ya mchanga ni hatari kwa ajili ya binadamu kwa sababu yanaweza kufunika mashamba nyumba hata kijiji kizima kama upepo ni mkali yanaweza kuhama mita makumi kila nafasi ya dhoruba kuna majaribio mengi ya kusimamisha matuta yasihame njia mojawapo ni kupanda manyasi katika maeneo penye mvua wa kutosha hii ni kazi inayohitaji uangilifu lazima kurudia kupanda pale ambako majani yamekufa lazima kuzuia wanyama na watu wasikanyage kati ya manyasi haya mradi wa kuhifadhi mazingira ya umoja wa mataifa unasaidia miradi ya aina hii kote duniani sahara ni jangwa kubwa kaskazini mwa afrika ni jangwa kubwa kabisa barani ni la kwanza duniani kati ya majangwa joto na jangwa la tatu kwa ukubwa ulimwenguni baada bara la antaktiki na aktiki ina eneo la kilometa za mraba sawa na eneo la marekani au karibu sawa na eneo lote ya ulaya jina lake ni neno la kiarabu sahra linalomaananisha jangwa sahara inafunika sehemu kubwa ya afrika kaskazini isipokuwa kanda lenye rutuba kwenye ufuko wa bahari mediteranea milima ya atlas kwenye maghreb na bonde la mto naili huko misri na sudan inaenea kuanzia bahari ya shamu upande wa mashariki hadi atlantiki upande wa magharibi na kutoka mediteranea upande wa kaskazini hadi kanda la sahel upande wa kusini wataalamu wa jiografia husema sahara haikuwa hivyo wakati wote kutokana na utafiti wa dalili katika udongo na mawe yake eneo la sahara katika milenia zilizopita lilikuwa na vipindi vya ukame vikifuatana na vipindi vya mvua sahara iko kaskazini mwa afrika ina nchi za moroko algeria tunisia na libya upande wa kaskazini upande wa kusini kuna nchi za kanda la sahel kama chadi mali mauritania na niger sahara ya magharibi ina sehemu ufukoni mwa atlantiki na upande wa mashariki ni sudani na misri ambako oasisi ya mto nile inakata eneo lake upande wa magharibi sahara inaanza kwenye pwani ya atlantiki ikielekea hadi pwani ya bahari ya shamu kwa umbali wa km kwa jumla maeneo ya sahara ni takriban asilimia za bara lote la afrika uso wa sahara ni takriban asilimia mawemawe na miamba takriban asilimia umefunikwa na mchanga unaosukumwa na upepo kuwa na umbo la matuta ya mchanga ambao yanaweza kuwa na kimo cha mita au zaidi kama kila jangwa uso wake unafanyizwa na upepo na maji kutokana na mvua inayonyesha mara chache kuna milima ambayo mara nyingi ina asili ya kivolkeno kama vile ar ahaggar tibesti adrar des iforas na milima ya bahari ya shamu mlima mrefu ni volkeno ya emi koussi iliyo sehemu ya safu ya tibesti kaskazini mwa chadi mito ya sahara haiendelei mwaka wote ikiwa na maji kwa majira tu au hata kila baada ya miaka kadhaa kama mvua imenyesha mfano pekee wa kinyume ni mto naili unaovuka jangwa lote kutoka vyanzo vyake katika afrika ya kati hadi kuishia katika bahari mediteranea tabianchi ni ya joto na yabisi halijoto ni kati ya c wakati wa mchana ikishuka usiku hadi c mlimani hadi c wastani wa mvua katika sahara ni mm kwa mwaka lakini kuna miaka bila mvua yoyote katikati yake sahara ni uoto ni haba mno katika sehemu za kaskazini na kusini kuna maeneo yenye kiwango cha nyasi na vichaka vidogo kadhaa kama unyevu unaweza kudumu kwa muda katika mabonde vichaka vinakuwa vikubwa zaidi na huko na huko kuna pia miti sehemu za milima ya juu ambako joto si kama vile kuna kiwango kidogo cha usimbishaji na hapo mabaki ya misitu ya zamani yapo sehemu za katikati ambazo ni yabisi sana mara nyingi hazipokei mvua kwa miaka mfululizo upande wa kaskazini katika misri na sehemu za libya jangwa la sahara linafika moja kwa moja hadi ufuko wa mediteranea lakini katika nchi za maghreb jangwa linaishia mguuni pa milima ya atlas ambayo ina tabianchi ya kimediteranea yenye majira ya joto na ya baridi pamoja na mvua halihewa hiyo inaruhusu uoto wa miti na misitu pamoja na kilimo mpaka wa kaskazini wa sahara unalingana na mpaka wa kaskazini wa kilimo cha mitende na pia mpaka wa kusini wa uoto wa manyasi ya esparto ambayo ni nyasi ya maghreb na rasi ya iberia mpaka wa kaskazini unalingana pia na mwisho wa maeneo yanayopokea angalau milimita za mvua kwa mwaka upande wa kusini sahara inapakana na sahel ambayo ni kanda la savana kavu yenye majira ya mvua na kanda hili laenea upana wote wa afrika kutoka magharibi hadi mashariki mpaka wa kusini wa sahara unalingana na mstari wa mwisho wa maeneo yanayopokea angalau milimita za mvua kwa mwaka miji muhimu katika sahara ni pamoja na sahara haikuwa jangwa wakati wote michoro ya watu wa zamani katika milima ya tibesti na air inaonesha wawindaji na wanyama kama viboko na mamba wanaohitaji maji mengi wataalamu wamegundua kutokana na utafiti wa mawe na udongo ya kwamba eneo la sahara lilikuwa na vipindi vikavu na vipindi vya mvua nyingi mnamo miaka iliyopita sahara ilikuwa eneo nusu yabisi lenye maji katika mito mirefu inawezekana kuilinganisha na kenya kaskazini ya leo watu waliwinda na kufuga wanyama mnamo miaka iliyopita sahara ilikauka hadi kufikia hali yabisi kama leo lakini maji ya mvua ya nyakati zile bado yapo chini ya ardhi misri na libya ina miradi mikubwa ya kutumia maji yale kwa pampu na kuanza kilimo jangwani kabisa flora ya sahara ina mimea tofauti sana kulingana na mazingira mbalimbali ndani yake kuna kanda tatu za flora ambazo ni kaskazini kati na kusini zinatofautiana kwa kiwango cha mvua inayonyesha wataalamu hutofautisha pia kanda mbili za mpito mpito wa mediteranea sahara na mpito wa sahel kuna spishi za mimea ya juu na robo ya spishi hizi inapatikana katika sahara pekee nusu ya spishi ni za kawaida katika jangwa kuanzia huko hadi uarabuni sahara ya kati ambayo ni kanda yabisi zaidi ina spishi za mimea pekee hii ni idadi ndogo kulingana na ukubwa wa eneo mimea kama miti mitende vichaka na manyasi imerekebisha kwa ajili ya mazingira haya kwa kuwa ndogo zaidi kuhifadhi maji katika shina na kukuza mizizi ya mlalo kwa kusudi la kukusanya maji na unyevu na pia kuwa na majani yenye ngozi nene au umbo la sindano ili kutopoteza maji mengi kwa njia ya uvukizaji mimea ina uwezo wa kukauka kabisa halafu kurudi baada ya miaka wakati mvua inanyesha fauna ya sahara pia ina spishi zilizorekebisha maumbile au maisha kulingana na mazingira kuna spishi za bweha na spishi za paa na swala paa anayeitwa adda anaweza kuishi mwaka mzima bila kunywa duma ya sahara imepungua sana kutokana na uwindaji lakini bado yuko algeria togo niger mali benin na burkina faso lakini idadi ni chini ya duma kwa jumla paka huyu anaepukana na jua kuanzia aprili hadi oktoba akipumzika wakati wa mchana mahali pa kivuli jamhuri ya gabon kifupi gabon ni nchi huru ya afrika magharibi ya kati imepakana na guinea ya ikweta kamerun jamhuri ya kongo na ghuba ya guinea nchi hii ina umma mdogo madini na mali kwa wingi na wafanyabiashara kutoka nchi za kigeni wameweza kufanya gabon iwe nchi moja katika eneo hili la afrika yenye maendeleo na neema gabon imegawiwa katika mikoa nayo ina jumla ya wilaya dpartements mikoa ni jamhuri ya gabon kutoka kushinda uhuru kutoka ufaransa tarehe agosti imeongozwa na rais watatu lon m ba el hadj omar bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa hadi kifo chake ndiye aliyekuwa kiongozi barani afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi halafu mwanae ali mwaka wa gabon ilianza demokrasia ya vyama vingi na katiba ya kidemokrasia ambayo inaruhusu ukweli wa uchaguzi na utekelezaji wa idara za serikali gabon ni nchi yenye neema sana kuliko nchi jirani uchumi wake hasa chumo cha umma ni mara nne ya nchi za afrika kusini mwa sahara hii hasa ni kwa sababu ya uzalishaji wa mafuta ambao umeleta utajiri na mali lakini usambazaji wa mali hii ya mafuta bado umedhoofika gabon ilikuwa mwanachama wa muungano wa nchi zinazouza mafuta opec kutoka mwaka wa mbaka mwaka udhaifu wa pesa cfa frank uliacha gabon katika shida ya kulipa deni za kimataifa ufaransa na shirika la fedha la kimataifa imf wameipa gabon mkopo na usaidizi kwa uelewano kwamba gabon itageuza uchumi wake barabara yasemekana mambo ya mazingira yalifanya umma wa gabon kutopanda kwa sensa kati ya miaka na ni nchi ambayo ina umma mdogo zaidi afrika na upungufu wa wafanyakazi ni mojawapo ya mambo yanayofanya hasa uchumi kutovuma zaidi umma hasa kwa ujumla yasemekana ni kama watu milioni lakini mambo haya yamebaki bila kuwaziwa karibu wagabon wote ni wa jamii ya bantu gabon hasa ina makabila ambayo yana utamaduni na lugha tafauti wafang wakiwa ndio kabila kubwa zaidi nchini gabon wengine ni wamyene wabandjabi waeshira wabapounou na waokande lugha ya kifaransa ndiyo lugha rasmi ya taifa ambayo hutumika kwa mawasiliano wakazi wanaoimudu ni wafaransa wanaishi gabon na ufaransa unaathiri mambo ya kigeni utamaduni na biashara nchini gabon upande wa dini imekadiriwa kwamba za wakazi ni wakristo hasa wakatoliki ni waislamu hasa wageni na wanafuata dini asilia za kiafrika bwiti utendi pia utenzi kutoka kitenzi kutenda ni aina ya ushairi na tanzu mojawapo ya fasihi simulizi kwa kawaida utendi husimulia maisha na matendo ya mhusika shujaa au wa visasili maarufu katika fasihi ya ulaya kuna tendi kama wimbo wa troya wimbo wa odisei na wimbo wa kabila la nibelungi india kuna wimbo wa mahabharata afrika kuna utendi wa sundiata na wimbo wa oduduwa hizo zote mara nyingi hudondolewa kama mifano ya utendi siku hizi hata riwaya au filamu hasa kama ni ndefu sana pamoja na wahusika wengi au nyakati nyingi huitwa utendi kwa wakristo wanaotumia kiswahili tahajia utenzi inataja hasa nyimbo za kiroho ali hassan mwinyi amezaliwa mei alikuwa rais wa pili wa tanzania kuanzia mwaka hadi aliyemtangulia ni mwalimu julius nyerere na aliyemfuata ni benjamin mkapa pia alikuwa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ccm kuanzia mwaka hadi kabla ya hapo alikuwa rais wa tatu wa zanzibar baada ya kujiuzulu kwa mtangulizi wake aboud jumbe mwinyi kwenye januari urais wa zanzibar ulimfanya kuwa makamu wa rais wa tanzania hivyo aliteuliwa kugombea urais wa kitaifa wakati julius nyerere alipoamua kutogombea tena kwenye mwaka mwinyi alichaguliwa akaacha cheo chake cha zanzibar akawa rais wa tanzania visiwani alifuatwa na idris abdulwakil nombe kabla hajachaguliwa kuwa rais mwinyi alikuwa waziri wa mambo ya ndani na makamu rais mwinyi alizaliwa kivure kwenye mkoa wa pwani wa tanzania bara lakini wazazi wake walihamia unguja alipokuwa mdogo mwinyi alisomea ualimu akaendelea kuwa mkuu wa chuo cha ualimu unguja hadi kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya elimu ya zanzibar mnamo alipewa uwaziri wa nchi katika ofisi ya rais akaendelea na vyeo mbalimbali katika serikali ya zanzibar pamoja na waziri wa afya wa mambo ya ndani na wa utalii alihudumia pia miaka mitano kama balozi wa tanzania nchini misri kwenye januari aliteuliwa kuwa rais wa zanzibar baada ya mtangulizi wake aboud jumbe mwinyi alilazimishwa kujiuzulu katika nafasi kama rais wa zanzibar alikuwa pia makamu wa rais wa maungano katika uchaguzi wa aliteuliwa na ccm kuwa mgombea kwa nafasi ya raisi wa taifa akachaguliwa bila mpinzani katika mfumo wa chama kimoja wakati wa urais wa kitaifa wa mwinyi sera za ujamaa zilianza kugeuzwa badala yake sera za soko huria zilianzishwa masharti ya kuingiza bidhaa kutoka nchi za nje yalipunguzwa na uanzishaji wa biashara ya watu binafsi ulihamasishwa mwaka wa mwinyi alianzisha tume ya nyalali iliyopendekeza kuanzisha mfumo wa vyama vingi nchini wakati wa awamu yake kwenye mwaka ulitokea uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi vya kisiasa nchini tanzania sera za soko huria za mwinyi zimeendelezwa chini ya rais benjamin mkapa mwinyi mwenyewe baada ya kustaafu hakujiingiza katika mambo ya siasa tena anaendelea kuishi huko dar es salaam hamad bin muhammad bin juma bin rajab el murjebi amejulikana zaidi kwa jina la tippu tip ndash juni alikuwa mfanyabiashara mashuhuri katika afrika ya mashariki na ya kati wakati wa karne ya alikutana na wapepelezi mashuhuri kama david livingstone henry morton stanley na hermann von wissmann kwa miaka kadhaa alikuwa gavana wa kongo ya mashariki kwa niaba ya mfalme wa ubelgiji alitunga tawasifu kuhusu maisha yake baba yake alikuwa mfanyabiashara mwarabu muhammed bin juma mama yake bint habib bin bushir alikuwa ni mwarabu wa tabaka la watawala toka muscat hamed aliingia katika shughuli za biashara tangu umri wa miaka akafaulu katika biashara ya misafara kati ya zanzibar na kongo akiwa na umri mdogo hamad aliongoza kundi la wanaume kwenda afrika ya kati kutafuta watumwa na pembe za ndovu baada ya kuvamia maeneo mengi alirudi zanzibar kuimarisha vyanzo vyake na kukusanya watu wa kumsaidia ili arudi bara hapa alipokea jina la tippu tip kwa mujibu wake mwenyewe jina hilo lilitokana na mlio wa bunduki yake wa tiptip alipanga misafara ya mahamali waelfu akipeleka bidhaa kutoka bagamoyo kupitia tabora hadi ujiji kwa ziwa tanganyika na ndani ya kongo bidhaa alizobeba alizitumia kujipatia pembe za ndovu na watumwa watumwa walisaidia kubeba pembe za ndovu njia ya kurudi hadi pwani hamed alitajirika sana athira yake ilipanuka katika kongo ya mashariki hadi alitawala eneo kubwa sana hamed akapata jina huko ulaya kwa sababu alikutana na wasafiri na wapelelezi wazungu kama david livingstone veney cameron henry morton stanley eduard schnitzer emin pascha hermann von wissmann na wilhelm junker ambao mara nyingi walipata misaada muhimu kutoka kwake kati ya mwaka na alikuwa mtu mwenye mamlaka katika sehemu kubwa za mashariki ya kongo wabelgiji walipoanza kujenga ukoloni wao kongo walimkuta kama mtawala wa kongo ya mashariki wakapatana naye na kumpa cheo cha gavana ya mkoa wa chutes stanley maporomoko ya stanley leo kisangani mwaka alichoshika kwa miaka michache mwanzoni mwa stanley aliwasili zanzibar na kumtaka hamad awe gavana wa wilaya ya stanley falls kwenye dola huru la kongo iliyokuwa koloni binafsi la mfalme wa ubelgiji mfalme leopold ii wa ubelgiji na sultani barghash bin said wa zanzibar walikubaliana na tarehe februari hamad alikubali wakati huohuo alikubali kuongoza safari za stanley ili kwenda kumuokoa mjerumani emin pasha e schnitzer gavana wa kiosmani wa equatoria eneo la misri ya kiosmani sudan kusini ya leo mabadiliko ya ukoloni yaliharibu biashara yake akarudi zanzibar alipobaki bila misafara mipya hadi kifo chake mwaka hamed amejipatia nafasi katika historia ya afrika ya mashariki kwa kuandika tawasifu au kumbukumbu ya maisha yake yeye mwenyewe katika lugha ya kiswahili ni mfano wa kwanza wa tawasifu pia ni mfano wa pekee wa kumbukumbu ya kimaandishi ya matokeo ya siku zile zisizoandikwa na mzungu lakini na mwenyeji aliandika kwa lugha ya kiswahili akitumia mwandiko wa kiarabu mfasiri katika ukonsuli wa ujerumani kwenye kisiwa heinrich brode alinakili muswada wake kwa herufi za kilatini na kuongeza tafsiri ya kijerumani iliyochapishwa mwana pale berlin brode alitumia kazi hii kwa kutunga kitabu chake juu ya hamed kilichochapishwa na kutafsiriwa kwa kiingereza kwenye mwaka baada ya kuondoka kwake hemed katika kongo vita ya waarabu katika kongo ilianza waarabu na waswahili wa kongo mashariki walipigana na serikali ya kikoloni ya dola huru la kongo ilhali pande zote mbili zilitumia askari waafrika wengi walioongozwa na viongozi wa nje ama waarabu waswahili au wazungu tippu tip alipoondoka kongo uwezo wa dola huru la kikoloni la mfalme leopold bado ulikuwa hafifu sana katika sehemu za mashariki mamlaka ilikuwa mkononi mwa waarabu au waswahili waliofanya biashara ya pembe za ndovu na watumwa kwenda zanzibar kati yao walikuwa sefu bin hamed mwana wa tippu tip na mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina la rumaliza katika maeneo upande wa magharibi ya ziwa tanganyika mwaka sefu bin hamed alishambulia wabelgiji waliofanya biashara ya pembe za ndovu iliyokuwa hatari kwa biashara ya waswahili serikali ya koloni ya dola huru la kongo ilituma kikosi chini ya kamanda francis dhanis kwenda sehemu za mashariki dhanis alifaulu mapema kushawishi kiongozi mwafrika ngongo lutete aliyewahi kushirikiana na sefu ahamie upande wake jeshi lake lilikuwa na silaha bora na nidhamu bora kati ya askari wake likafaulu kumshinda sefu mara kadhaa hadi ifo chake kwenye oktoba kutoka hapa dhanis aliendelea kumshambulia rumaliza na hatimaye kumlazimisha akimbie katika eneo la afrika ya mashariki ya kijerumani kwa njia hii wabelgiji walifaulu kuvunja nguvu ya waarabu na waswahili katika kongo mashariki kisiasa hakuna kitu kilichobaki na juhudi za hemed bin mohammed el murjebi kujenga milki yake katika kongo ila tu kiutamaduni hemed na wenzake walifaulu kueneza lugha ya kiswahili katika sehemu zile hamad alifariki juni kutokana na ugonjwa wa malaria nyumbani kwake mji mkongwe jina lake linajulikana kama mfano wa mabaya ya biashara ya watumwa iliyoharibu maeneo makubwa huko kongo kabla ya mwanzo wa ukoloni yeye mwenyewe aliona watumwa ni sehemu tu ya biashara yake akitajirika hasa na biashara ya pembe za ndovu lugha za kibantu ni kundi la lugha ambalo ni tawi la lugha za niger kongo lugha za kibantu huzungumzwa hasa katika nchi za nigeria kamerun guinea ya ikweta gabon jamhuri ya kongo jamhuri ya kidemokrasia ya kongo rwanda burundi uganda kenya tanzania komori msumbiji malawi zambia zimbabwe angola namibia botswana lesotho swaziland na afrika ya kusini uenezi huo unaonyesha kwamba kundi la lugha za kibantu ni kubwa kabisa barani afrika na idadi ya wanaozitumia ni takriban watu milioni neno bantu maana yake ni watu katika lugha nyingi za kundi hilo shina lake ni ntu na kiambishi awali cha ba kinaonyesha uwingi wa viumbehai kwa sababu hiyo mtaalamu wilhelm heinrich immanuel bleek aliyeishi tangu mwaka hadi alitumia neno hilo kwa kurejea kundi la lugha hizo bleek alilinganisha sarufi za lugha mbalimbali za kibantu na baadaye carl meinhof alimfuata katika utafiti huo kuna mamia ya lugha za kibantu wataalamu wengine wanahesabu wengine wanahesabu mtaalamu malcolm guthrie aliziainisha kulingana na maeneo ya kijiografia kila eneo limepata herufi yake a b c d e f g h k l m n p r na s na ndani ya kila eneo kuna tarakimu tena pia guthrie alichunguza lugha ya nasaba ambayo ni chanzo cha lugha zote za kibantu lugha za kibantu zina tabia mbalimbali za pamoja kati ya tabia hizo kuna viambishi awali na ngeli za nomino kutokana na sifa hizo wataalamu wamekadiria kwamba asili ya lugha za kibantu ilikuwa katika maeneo ya kamerun ya kusini kutoka huko wasemaji asilia wa kibantu katika milenia ya pili kk walihamia kongo hadi zambia waliendelea kuhamahama na kupanuka hadi kufika maeneo yote walipo sasa sehemu kubwa ya maeneo ya wasemaji wa lugha za kibantu zilikaliwa awali na wasemaji wa lugha za khoisan wataalamu wamekisia kwamba wabantu walifaulu kuenea kutokana na maarifa yao ya kilimo na hasa matumizi ya chuma katika zana za kilimo na pia silaha kati ya lugha za kibantu zinazotumika zaidi kuna kiswahili na kilingala lugha zenye wasemaji wengi kama lugha ya kwanza ni kizulu na kishona idadi ya wasemaji ni makadirio tu bado ina tofauti kati ya makala na makala abuja ni mji mkuu wa nigeria idadi ya wakazi wake imekadiriwa kuwa watu mwaka wa serikali ya nigeria iliamua kuanzisha mji mkuu mpya badala ya lagos wakachagua katikati ya nchi na mipango ya ujenzi ikaundwa chini ya makampuni matatu ya marekani prc corporation wallace mcharg roberts na todd na archisystems mipango hiyo ikabadilishwa baadaye na kenzo tange msanifu majengo maarufu wa japani abuja ikatangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa nigeria tarehe desemba iko mahali pa kaskazini na mashariki balozi za nchi nyingi zikahamishwa abuja kutoka lagos sifa muhimu ya abuja ni mlima wa aso ambao ni mwamba ulio na urefu wa mita upande wa kusini wa mlima huo kuna ikulu ya rais bunge la nigeria mahakama kuu na sehemu nyingi za mji majengo maarufu mengine ni msikiti wa taifa nigerian national mosque na kanisa kuu la madhehebu national ecumenical centre cathedral kuna kiwanja cha ndege cha kimataifa nnamdi azikiwe international airport karibu na mlima wa zuma sehemu nyingine za mji hazijajengwa ilivyopangwa na majengo mengi yanaendelea kujengwa mji wa abuja unagombea kuwa mahali pa michezo ya jumuiya ya madola kwa mwaka wa commonwealth games windhoek ni mji mkuu wa namibia na uko mahali pa idadi ya wakazi wake ni takriban mji huu ni kituo muhimu kwa biashara ya ngozi za kondoo zamani ulikuwa makao makuu ya mtemi wa kabila la nama aliyewashinda kabila la waherero wakati wa karne ya mwaka wa nchi ilivamiwa na wakoloni kutoka ujerumani na mji wa windhoek ukawa makao makuu ya serikali ya ukoloni mwaka wa wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia nchi ilivamiwa na majeshi ya makaburu kutoka afrika ya kusini ambao wametawala nchi ya namibia hadi mwaka wa namibia ilipopata uhuru mji wa windhoek ukawa mji mkuu wa jamhuri ya namibia koigi wamwere ni mwanasiasa mwanaharakati na mwandishi kutoka nchi ya kenya koigi alizaliwa mwaka wa huko bahati wilaya ya nakuru koigi anajulikana kwa kujaribu kupindua serikali za jomo kenyatta na daniel arap moi koigi aliwekwa kizuizini na watawala hawa na baadaye alikimbilia uhamishoni nchini norway miaka ya baada ya kurudi kenya miaka ya koigi alikamatwa na kushtakiwa kwa madai ya kuhusika na uhaini na uporaji kwa kutumia silaha kutokana na kampeni kubwa ya kimataifa dhidi ya kesi hiyo ambayo ilichukuliwa kuwa na nia ya kumnyamazisha serikali ya kenya ilimwachia huru koigi ni mwandishi wa vitabu na makala kadhaa vitabu vyake ni a woman reborn justice on trial na i refuse to die hivi sasa koigi ni mbunge wa jimbo la subukia na waziri msaidizi wa habari katika serikali ya mwai kibaki koigi ambaye huko nyuma alikuwa na nywele msokoto dreadlocks alinyoa nywele zake baada ya kuangushwa kwa serikali ya chama cha kanu kutimiza ahadi yake kuwa atanyoa nywele baada ya ushindi dhidi ya chama hicho kupatikana lusaka ni mji mkuu wa zambia jiji la lusaka liko kusini ya kati ya zambia na mahali pake ni kusini mashariki iko futi au mita juu ya ub idadi ya wakazi wake imekadiriwa kuwa watu mwaka wa mji wa lusaka ulianzishwa mwaka wa na wakoloni wazungu kwenye mahali pa kijiji ambacho mwenyekiti wake aliitwa lusaaka kwa vile lusaka iko katikati ya nchi mwaka wa wakoloni waingereza walihamishia mji mkuu wao wa rhodesia ya kaskazini huko kutoka mji wa livingstone baada ya kupata uhuru lusaka ikaendelea kama mji mkuu wa zambia hadi hivi sasa lusaka hufikika kupitia kiwanja cha ndege cha kimataifa lusaka international airport au kupitia garimoshi kwenye njia ya reli inayoelekea kutoka mji wa livingstone kwenda mji wa kitwe kunguru ni ndege wakubwa kiasi wa familia corvidae spishi nyingine huitwa vinubi wanatokea mabara yote isipokuwa antakitiki spishi nyingi ni nyeusi au nyeusi pamoja na rangi ya nyeupe kijivu au kahawa nyingine zina rangi mbalimbali kama buluu pinki n k hula nusra kila kitu wanyama na ndege wadogo wadudu mizoga matunda nafaka n k hulijenga tago lao kwa vijiti juu ya mti au jabali spishi nyingine huyajenga matago kwa makundi jike huyataga mayai baadhi ya kunguru huonwa kuwa ni waharibifu na tunajua kwamba kunguru mkubwa kaskazi kunguru mkubwa wa australia na kunguru mlamizoga wanaweza kuua wanakondoo dhaifu lakini mara nyingi hula mizoga iliyouawa karibuni kwa namna nyingine ugonjwa k m wengine wanaweza kuiga sauti ya binadamu lakini hawawezi kuongea kama kasuku kunguru waliofundishwa kuongea huonwa kama sehemu muhimu ya asia ya mashariki kwa sababu kunguru huonwa kama alama ya bahati baadhi ya watu wanafuga kunguru kama wanyama wa nyumbani japo binadamu hawawezi kuwatambua kunguru kunguru wanaweza kuwatambua watu na kuelewa kwamba hawa ni watu wabaya au la kwa tamaduni nyingi za kienyeji za kaskazi ya mbali sana kunguru spishi kubwa hasa wamekuchwa kama viumbe vya kirobo au miungu katika afrika wahosa wa afrika kusini waliwachukulia kunguru kuwa ni ndege wa mungu hadithi ya kihosa kuhusu shujaa aitwaye gam inasimulia kwamba kunguru walirudishia shujaa aliyefanywa upofu uwezo wake wa kuona hadithi nyingine ya wasara wa chadi na sudani inasimulia kwamba mungu mkuu wantu su alimpa mpwa wake wa kiume wantu ngoma iliyokuwa ndani yake na mifano ya kila kitu kilichokuwamo mbinguni wantu alitarajiwa kuwapatia binadamu vitu hivi lakini alikuwa akishuka kamba iliyounga mbingu na dunia kunguru alipiga ngoma ngoma akaanguka duniani akavunjika na akatawanya wanyama samaki na mimea duniani kote huko marekani kunguru huwindwa kwa kibali cha serikali isipokuwa kwanzia agosti mpaka machi msimu wa uwindaji kunguru sababu huwa wengi na hapo watu huruhusiwa kuwinda kunguru huko uingereza ni marufuku mpaka pale mtu atakapopewa kibali kunguru anamaamuzi ya haraka sana na anamacho yenye uwezo mkubwa wa kuona pia kunguru anaonekana kuwa na ujasiri mkubwa hamwogopi binadam wa kike mwanamke kunguru hutoa milio mbalimbali suala kwamba kuna mawasiliano ya kunguru ni aina ya lugha ni mjadala mkubwa mpaka leo kunguru pia wamejifunza kuitika milio ya wanyama wengine na tabia hii hubadilika kwa misimu kadhaa milio ya kunguru ni tata na migumu kuelewa na milio yao hutofautiana kwa spishi tofauti na hasa ugumu wa kujifunza milio huja pale ambapo inafahamika kuwa kunguru wanauwezo wa kusikia sauti ndogo sana ambazo binadamu hawezi kuzisikia kama kundi kunguru wameonekana kuwa na akili sana na majaribio mbalimbali yamethibitisha hili kunguru wamepata alama za juu sana kwenye tafiti za awali kunguru wa huko israeli wamejifunza kutumia vipande vya mkate kama chombo cha kuvulia samaki spishi moja new caledonian crow wamefanyiwa tafiti sana kutokana na uwezo wao wa kutengeneza zana za matumizi ya kila siku ujuzi mwingine ni ule wa kuangusha mbegu ngumu kwenye barabara inayopitisha magari makubwa ili yapasue na kisha kusubiri taa za barabarani kuruhusu watu wapitie watawanye mbegu hizo na tafiti hivi karibuni zinaonesha kuwa kunguru wana uwezo wa nyuso za watu kunguru wa amerika wanaathirika sana na virusi vya naili magharibi ugonjwa ulioanza hivi punde tu huko amerika kunguru hufa ndani ya wiki moja tu tangu waupate ugonjwa huu na wachache sana hufanikiwa kupona kunguru wa huko huathirika sana na kiasi cha kwamba kifo chao sasa kinaonesha athari ya virusi hao kwenye maeneo yao tangu miaka mingi wataalamu hawakubali kuhusu undugu wa familia corvidae na jamaa yake mwishowe ilionekana kwamba kunguru wametokana na wahenga wa kiaustralasia na walitawanyika duniani kote majamaa yao ya karibu sana ni ndege wa peponi mbwigu na kumbukumbu ya visukuku vya kunguru mifupa yao inaonyesha kwamba walikuwa wengi sana ulaya lakini husiano baina ya kunguru wa kabla ya historia hazieleweki vizuri kunguru wa makubwa ya kunguru rangi mbili na kunguru domo nene wanaonekana kuwa walikuwepo tangu zamani sana kunguru waliwindwa na binadamu hadi enzi ya chuma kitu ambacho kinaonyesha mabadiliko ya spishi za kisasa kunguru wa marekani hawana historia sahihi inayoaminika chakushangaza spishi nyingi zimekwisha hivi sasa baada ya uvamizi wa binadamu katika visiwa kama nyuzilandi hawaii na grinlandi hasa mali kwa kifaransa rpublique du mali jamhuri ya mali ni nchi ya afrika ya magharibi imepakana na algeria mauretania niger burkina faso cote d ivoire na senegal mali haina pwani kwenye bahari yoyote sehemu ya juu ni mlima wa hombori tondo mita juu ya ub ulioko katikati ya nchi kaskazini sehemu kubwa ya eneo la mali ni jangwa la sahara wakazi walio wengi huishi kusini karibu na mito senegal na niger theluthi mbili za eneo la niger ni jangwa maeneo mengine ni ya sahel na kanda la sudan sehemu za kusini ni hasa tambarare za bonde la mto niger hali ya hewa ni tofautitofauti kulingana na eneo kuna kanda tatu kuna malighafi kama vile dhahabu urani fosfati kaolini chumvi na chokaa mali ina historia ndefu ambayo ni historia ya pamoja ya nchi za kanda la sahel na kanda la sudan zamani za wafinisia na za waroma palikuwa na mawasiliano ya biashara na nchi za mediteranea kupitia wanafayabiashara waberberi walioelewa njia za sahara uvamizi wa wavandali katika afrika ya kaskazini ulivuruga mawasiliano hayo baada ya uvamizi wa waarabu na uenezaji wa uislamu biashara ilianza upya ndio waberberi waislamu walioingiza dini mpya hata kusini ya sahara katika eneo la mali ya leo pamoja na nchi jirani ni hasa madola matatu makubwa yaliyotawala upande wa kusini wa njia za biashara iliyovuka sahara dola la kwanza lilikuwa dola la ghana kuanzia karne ya bk hadi mwaka lilitawala biashara ya dhahabu pembe za ndovu na chumvi mji mkuu ulikuwa kumbi sale wenye wakazi katika mauretania ya leo taarifa za wanahistoria waarabu zimeonyesha ufalme tajiri utamaduni wake haukuwa wa kiislamu bali wa kiafrika asilia mwisho wake ulianza wakati jeshi la wamurabitun kutoka moroko lilivuka jangwa na kuvamia kumbi sale mali ilianza kama ufalme mdogo wa wamalinke kando ya ghana wakati wa karne ya ilianza kupanuka chini ya mfalme sundiata keita sundiata mwenyewe alipokea uislamu mnamo bk na wafalme baada yake waliendela kuwa waislamu mfalme wa mali aliyejulikana zaidi ndiye mansa kankan musa i miaka alihiji kwenda makka alisafiri na dhahabu nyingi sana huku misri alitoa zawadi kiasi cha kuharibu thamani ya dhahabu kwa miaka iliyofuata wakati ule mji wa timbuktu ulikuwa kitovu cha biashara na elimu iliyojulikana kote katika umma wa kiislamu hata ulaya katika karne ya bk uwezo na utawala wa mali ulipungua na songhai ilichukua nafasi yake asili ya wasonghai ilikuwa nigeria ya kaskazini ya leo walipanua utawala wao kuelekea magharibi wakapokea uislamu wakati wa uvamizi wa almurabitun mnamo mwaka walikuwa chini ya mali lakini katika karne ya walijipatia uhuru tena wakaanza kushika maeneo ya mali yenyewe kilele cha nguvu yake ilikuwa wakati wa mfalme askia mohammad i katika karne ya walipotawala eneo kubwa kutoka kano nigeria hadi pwani ya atlantiki wakati wake mji wa timbuktu ilitembelewa na msafiri leo africanus aliyeleta baadaye habari za nchi hadi ulaya utawala wao uliporomoka baada ya mashumbulizi kutoka moroko mwaka wakati ule mataifa ya ulaya yameshaanza kufika kwenye mwambao wa afrika ya magharibi wakifungua biashara ya moja kwa moja na ulaya umuhimu wa biashara ya kuvuka sahara ulipungua vikali pamoja na faida iliyopatikana kwa watawala katika maeneo ya sahel kilichofuata kilikuwa kipindi cha madola madogo viongozi waislamu walijaribu mara kadhaa kujenga utawala juu ya eneo lote anayejulikana zaidi alikuwa alhaj omar aliyepiga vita kwa jina la dini ya kiislamu dhidi ya wabambara waliofuata utamaduni na dini asilia za kiafrika mtoto wa alhaj omar aliyeitwa ahmadu alijaribu kuendeleza jihadi yake lakini wakati ule wafaransa walianza kuenea katika afrika ya magharibi wakamshinda mali ikawa koloni la ufaransa kuanzia mwaka ilikuwa sehemu ya afrika ya magharibi ya kifaransa na kuanzia ya sudan ya kifaransa mwaka mali pamoja na senegal zilipata uhuru kama shirikisho la mali baada ya senegal kuacha umoja huo jamhuri ya mali chini ya rais wa kwanza modibo keta ikawa nchi ya kujitegemea keita alipinduliwa mwaka na wanajeshi akishtakiwa kuwa ameharibu uchumi na kujitajirisha kiongozi mpya moussa traor alitawala kama dikteta wa kijeshi baadaye kwa msaada wa katiba ya chama kimoja mabadiliko yaliyotokea kote afrika tangu mwisho wa ukomunisti kuanzia miaka ya yalisababisha kupinduliwa kwa traor katika machi na kamati ya kijeshi iliyoongozwa na amadou toumani tour katiba mpya ya mwaka iliunda kipindi cha kura huru alimoshinda amadou katika maeneo makubwa ya kaskazini wanaishi makabila ya waberberi hasa mauri na watuareg ambao ni wahamaji ndio ya wakazi wa nchi wakikalia asilimia kubwa za eneo kikundi kikubwa ndio wabamana katika eneo la mji mkuu bamako halafu wako wamandinka wafula wadogon wasonghai na wengineo kutokana na ukoloni kifaransa kimekuwa lugha rasmi kibambara kinaeleweka na takriban za wakazi kwa ujumla kuna lugha nchini mali uislamu ni dini kubwa nchini za wakazi wakristo wanafikia wakatoliki na waprotestanti wengine wanafuata dini asilia za kiafrika ibada na desturi asilia zinapatikana pia katika mazingira ya waislamu aleksander mashuhuri au aleksanda mkuu kwa kigiriki inayoandikwa kwa alfabeti yetu megas aleksandros aliishi tangu julai kk hadi tarehe juni kk mfalme wa masedonia kk anajulikana kama mmoja kati ya amiri jeshi waliofanikiwa kupita wote wengine katika historia ya dunia kabla hajafariki kwa umri wa miaka aliteka sehemu kubwa ya dunia iliyojulikana na wagiriki wa zamani zake kuanzia ulaya hadi bara hindi na misri aleksander alizaliwa mwaka kk kama mwana wa mfalme filippo ii wa masedonia na malkia olympias masedonia ilikuwa nchi katika kaskazini ya ugiriki ya kale na wagiriki wengi waliwatazama wamasedonia kama washenzi walio nje ya ustaarabu wa ugiriki tofauti na ugiriki ya kale iliyokuwa jamii ya madola miji masedonia iikuwa jamii ya miji michache na watu wengi walioishi vijijini ilitokea katika karne ya kk tu ya kwamba wanamichezo kutoka masedonia walikubaliwa kwenye michezo ya olimpiki filippo ii alibadilisha hali ya masedonia kwa kuimarisha jeshi lake hasa kuanzisha mbinu mpya za kupanga wanajeshi katika vikosi vya phalan vyenye mikuku mirefu sana na kuunda vikosi vya askari farasi wazito wailokingwa kwa nguo za chuma kifuani na kofia kinga kwa kutumia jeshi hili alishinda madola mengine ya ugiriki na majirani upande wa kaskazini na kuupatia ufalme wake kipaumbele katika ugiriki baada ya kuunganisha ugiriki chini ya uongozi wake kwa upanga alilenga kushinda pia mioyo yao kwa kuanza vita dhidi ya milki ya uajemi iliyowahi kupigana vita na wagiriki mara kadhaa alianza kutuma sehemu ya jeshi kwenda asia ndogo iliyokuwa wakati ule sehemu ya milki ya uajemi kuna masimulizi mengi kuhusu utoto wa aleksander ambayo mara nyingi ni hekaya zilizobuniwa baadaye hadithi moja inayokubaliwa na wanahistoria ni kuhusu aleksader kijana wa miaka aliyejipatia farasi iliyombeba baadaye hadi uhindini katika simulizi hii mfalme alitembelewa na mtu aliyetaka kuuza farasi farasi moja aliyependeza hakuweza kupandwa na mtu yeyote na mfalme alimkataa hapo aleksander aliomba ajaribu kumpanda akafaulu sababu yake ni aleksander alitambua ya kwamba huyu farasi aligeuka ghafla akikiona kivuli chake wakati mtu alitaka kumpanda farasi alinunuliwa na aleksander alimwita bukefalos akamtumia katika miaka ijayo hadi misri na bara hindi filippo alimwajiri mwanafalsafa aristoteli kuwa mwalimu wa aleksander katika falsafa sanaa na hisabati aristoteli alimpa mwanafunzi wake wa kifalme nakala ya muswada ya ilias na aleksander aliibeba kwenye kampeni zake za kijeshi aristoteli alidai kama sehemu ya malipo yake ya kwamba mji wake wa nyumbani uliowahi kuharibika vitani na filippo kujengwa upya na raia wake waliowahi kuuzwa kama watumwa wanunuliwe na mfalme na kupewa uhuru uhusiano baina ya kijana alesander na babake ulikuwa baadaye na matatizo kutokana na husiano za kimapenzi za mfalme kando la mamake aleksander mwaka kk mfalme filippo aliuawa na mlinzi wake aleksander kijana wa miaka alitangaziwa mfalme mpya kwa msaada wa jemadari antipater aliagiza kuuawa kwa maafisa wa babake waliosambaza uvumi kuwa aleksander aliuwa ameshiriki jatika uuaji wa babake mwaka huohuo alikutana na mabalozi wa miji ya ugiriki walioapa kumtii mwaka alipaswa kufanya vita na makabila ya kaskazini walioingizwa katika ufalme na babake na sasa waliona nafasi ya kuasi akawashinda wakati aleksander alipigania vita katika kaskazini miji ya wagiriki waliona nafasi ya kutafuta uhuru upya wakaasi wakazi wa thebes waliwafukuza askari wa kimakedinia katika mji wao aleksander alirudi ugiriki moja kwa moja baada ya ushindi wake kwenye kaskazini akateka mji wa thebes akaamuru nyumba zote zibomolewe isipokuwa hekalu na nyumba ya mshairi pindar wakazi walichinjwa na kuuzwa kama watumwa sasa miji mingine ya ugriki ilishikwa na hofu na kusalimu amri aleksander aliwasamehe wagiriki kwa sababu aliwahitaji kwa mipango yake ya vita dhidi ya uajemi alithebitishwa kama kiongozi na jemadari mkuu wa shirikisho la wagiriki wakati wa aleksander milki ya uajemi ilikuwa milki iliyotawala eneo kubwa duniani wakati wa karne mbili zilizotangulia watawala wa uajemi waliwahi kuvamia na kuteka mesopotamia shamu palestina misri asia ndogo pamoja na sehemu za asia ya kati walijaribu mara kadhaa kuvamia ugiriki pia lakini waliweza kushindwa kwa matatizo katika asia ndogo walitawala miji minghi ya kigiriki iliyokaa ng ambo ya bahari ya aegean hivyo filippo ii aliandaa vita dhidi ya uajemi kwa sababu alitaka kutumia vita dhidi ya maadui wa miaka mingi kuimarisha nafasi yake kati ya wagiriki uvamizi wa kwanza wa masedonia katika asia ndogo ulirudishwa nyuma na waajemi aleksander alivuka mlangobahari wa dardaneli katika mei akiwa na jeshi la askari wamasedonia na wagiriki alimwacha jemadari yake antipater huko ugiriki na askari mfalme wa uajemi alikuwa darios iii aliyesita kumpa jemadari moja mamlaka ya vita akaacha kazi hii kwa makabaila waajemi katika asia ndogo upande wa uajemi kulikuwa pia na jemadari mgiriki memnon aliyemhudumia mfalme wa uajemi kama askari wa kukodiwa alishauri kutomshambulia aleksander vikali badala yake kumvuta ndani ya asia ndogo na kuharibu akiba zote za chakula anakoenda lakini wakubwa waajemi walikataa wakatafuta mapigano mkutano wa kwanza wa aleksander na jeshi la uajemi ulitokea kwenye mapigano ya granikos viongozi waajemi walipanga jeshi lao vibaya wakapigwa na wamasedonia alesander aliendelea kupita kwenye miji ya pwani iliyokaliwa na wagiriki na kumfungulia milango yao kwa njia hii alitaka kuondoa nafasi ya bandari kwa meli za nevi ya waajemi zilizokuwa hatari kwa ugiriki aleksander aliteua viongozi wenyeji kama maliwali wake katika majimbo ya asia ndogo na hivyo kuimarisha utawala wake baada ya kumaliza miji ya pwani akaingingia ndani ya asia ndogo hadi frygia hapa katika mji mkuu wa kale wa gordion alikata fundo mashihuri wa gordion kwenye ikulu ya kale mjini gordion ilitunzwa gari la farasi la kale sana lilifungwa kwa kamba zilizopigwa fundo imara kupita kiasa ilisemekana kuna utabiri kuwa kama mtu angeweza uondoa fundo hili atakuwa mtawala juu ya asia kutokana na hekaya ya kale aleksander alitazama fundo akaiona gumu akatoa upanga wake na kuikata kuelekea mwisho wa mwaka aleksander alipokwa habari kuwa mfalme wa uajemi alikaribia asia ndogo kwa jeshi kubwa aleksander alipiga mbio kukutana naye kwenye mapigano ya granikos mnamno novemba majeshi ya waajemi na wagiriki yalikutana tena ushindi ulikuwa upande wa aleksander mfalme dareios aliweza kukimbia kwa muda katika deuterokanoni anatajwa na vitabu vya wamakabayo kama mwanzilishi wa dola lililoeneza ustaarabu wa kigiriki hata kuhatarisha imani ya wayahudi na kuwadhulumu wakati wa mwandamizi wake antioko epifane wa syria katika kitabu cha kizoroastria cha kipindi cha kati ya uajemi kilichoitwa arda wiraz nmag aleksander anajulikana kama aleksander aliyelaaniwa kwa sababu alishinda milki ya uajemi na aliangamiza mji mkuu wake ulioitwa persepolis lakini katika habari za baadaye za uajemi mpaka irani ya siku hizi anaitwa eskandar na hata alishangiliwa wakati ukuta mkuu wa sadd e eskandar ulijengwa wakati wa ufalme wa parthia pia anajulikana katika desturi za mashariki ya kati kama dhul qarnayn kwa kiarabu na dul qarnayim kwa kiyahudi na kiaramu yaani mtu mwenye pembe mbili huenda kwa sababu picha kwenye sarafu za wakati wa utawala wake ilimwonyesha kama anazo pembe mbili za kondoo dume za mungu ammon wa misri jina lake kwa kihindi ni sikandar neno ambalo ni sawa na mtaalamu au mtu stadi wolfgang amadeus mozart alikuwa mtunzi mashuhuri wa opera na mpigaji wa ajabu sana wa piano kutoka nchini austria alipolizaliwa katika jiji la salzburg tarehe januari enzi za maisha yake mafupi aliandika zaidi ya tungo za muziki watu wanaamini kwamba huyu ni moja kati ya watunzi bora wa muda wote alitunga nyimbo kadhaa zikiwemo opera muziki wenye hadithi don giovanni na die zauberflte filimbi ya ajabu kazi zake alizianza na minuet dansi aliyoitunga akiwa na umri wa miaka minne na alizimalizia kwa kipande chake cha mwisho requiem ambacho alikiacha hajakimaliza mozart alikuja kufariki tarehe desemba akiwa na umri wa miaka mozart alizaliwa katika familia ya wanamuziki baba yake leopold mozart alikuwa mpiga zeze na mtunzi mashuhuri ambaye alifanya kazi na askofu mkuu wa salzburg alikuwa na dada mkubwa maria anna aliyeitwa kwa jina la utani nannerl kulikuwa na ndugu wengine ambao walifariki wakiwa watoto mozart alibatizwa asubuhi baada ya kuzaliwa kwake kwenye kanisa kuu la mjini salzburg jina lake kamili kwa kilatini lilikuwa joannes chrysostomus wolfgangus theophilus mozart kwa kawaida alikuwa akifahamika kama wolfgang amadeus mozart na jina lake la utani lilikuwa wolfi nyumba alipozaliwa katika mtaa unaoitwa getreidegasse sasa hivi ni sehemu ya maonyesho ya mozart mozart alikuwa mtoto wa ajabu tangu akiwa mdogo alikuwa na kipaji cha muziki ambacho si cha kawaida baba yake alimpa ala kadhaa ili amfundishe mwanawe kutunga muziki wolfgang alijifunza kupiga kinanda akiwa na umri wa miaka mitatu na baada ya muda mfupi akajifunza pia kupiga zeze na organo vilevile kuna vipande viwili vifupi vya noti za piano alizotunga akiwa na umri wa miaka mitano lakini ziliandikwa kwa mwandiko wa baba yake hivyo si rahisi kusema kiasi cha msaada alioweza kuupata baadaye baba yake akaanza kumruhusu mtoto wake na kumfanya aanze kupiga kazi kwenye kumbi huku kukiwa na watu muhimu kibao mbele yake siku hizi hili linaweza kuitwa ukandamizaji wa watoto wenye vipaji lakini miaka hiyo watu walikuwa hawaoni tatizo kumwachia mtoto atumike kwa namna hii inaonekana kwamba hili halikumwathiri kabisa na hivyo akajikuta anakua akiwa mtunzi mkubwa kama vile alivyostahili kuwa mozart alianza kupiga kwenye umma mjini salzburg alipokuwa na umri wa miaka mitano halafu akachukuliwa na kuelekea jijini vienna akiwa na umri wa miaka sita pia aliwahi kupiga mjini linz na pressburg leo hii inaitwa bratislava aliwahi kupiga mara mbili mbele ya malkia maria theresa wa austria katika konseti hili alipiga nyimbo ambazo hata watu wazima wanaweza kuzicheza na muziki ambao watu hawakuwahi kuusikia alikuwa akibuni mitindo na kuicheza huku akiwa amevaa kinanda au akiwa hatazami mikono yake inapiga wapi na akipitisha mikono huku na huku pia alitengeneza miziki ambayo inafuata milio ya vitu vingine na alikuwa akiziweka mbeleni kwake watu wengi walimsikia kijana huyu mashuhuri na kuandika habari zake na ndiyo maana hadi leo hii tunajua mengi yaliyotokea pia inajulikana kwamba alikuwa anaweza kukumbuka noti za muziki aliotunga akizichungulia mara moja tu kwa muda mfupi mozart akawa anasafiri nchi za nje kwa shughuli za kimuziki aliwahi kutumbuiza munich prague paris the hague na london huko mjini london alipiga mbele ya mfalme george iii na kubahatika kukutana na mtunzi mmoja aitwaye johann christian bach mmoja kati ya watoto wa johann sebastian bach alipenda sana muziki wa christian bach na hata akaamua kufanya pamoja naye kazi ya muziki mnamo mwaka alikuwa zake mjini vienna tena ambapo alipata ugonjwa wa ndui lakini alipona na baba yake aliona hili kama ni dalili kutoka kwa mungu kwamba mtoto wake atakuwa salama baada ya hapo akaenda nchini italia ambapo alipata kusikia miziki ya watunzi wengine wengi wa kiitalia watunzi hao ni pamoja na gregorio allegri ambaye aliandika wimbo miserere ambao uliandikwa kwa ajili ya papa na kwa kuimbiwa na kwaya nzima ya basilika la mt petro vatikani katika tungo hizo hakuna mtu yeyote aliyeruhusiwa kuona kilichoandikwa kwenye muziki huo hivyo hakukuwa na mtu mwingine aliyeweza kuziimba katika kwaya cha kushangaza mozart alizisikia mara moja tu na kukaa chini na kuzichezea kwa kutumia kumbukumbu yake tu alikutana na papa na kupewa naye knighthood ya order of the golden spur mnamo mwaka alikwenda safari akiwa na mama yake huko mannheim akatokea kumpenda msichana mmoja aliyeitwa aloysia weber alikuwa na umri wa miaka tu na alikuwa akisomea kuimba mozart akataka amchukue kisha aende naye italia ili amfanye maarufu lakini baba yake akamwandikia barua kali ya mkwara wa kumtaka aache kufikiria huo upuuzi kunako mozart na mama yake walikuwa mjini paris lakini wakiwa huko mama akafariki dunia mozart aliandika opera ndogondogo kadhaa akiwa bwana mdogo lakini opera yake ya kwanza na muhimu ilikuwa idomeneo ambayo ilianza kutumbuizwa mjini munich mnamo mwaka uliofuatia akaenda zake vienna lakini muda huo alikuwa akifanya kazi kama baba yake kwa askofu mkuu wa salzburg aliporudi tena salzburg akalumbana na askofu mkuu kitendo ambacho kilipelekea kumfanya atimuliwe mbali mozart akarudi tena mjini vienna ambapo alitumia maisha yake yote yaliyombakia mnamo mwaka alimwoa constanze weber mmoja kati ya wadogo watatu wa aloysia ambaye kwa wakati huo alikuwa ameolewa na mtu mwingine walibarikiwa kupata watoto saba lakini kwa bahati mbaya watano kati yao walikufa wakiwa bado wadogo baba yake mozart hakupitisha ndoa hiyo constanze alikuwa mke mpendwa lakini kama mozart hakuwa mzuri sana katika suala la kutafuta fedha hivyo mara nyingi walikuwa maskini mwaka huohuo mozart akatunga opera nyingine iliyompa mafanikio makubwa kabisa die entfhrung aus dem serail kutekwa nyara kutoka seraglio ni hadithi moja maarufu inayoelezea kwamba baada ya mtawala kusikia opera akamwuliza mozart kama kulikuwa na noti nyingi mozart akamjibu yule mtawala zipo kiasi cha zitakazotakikana mtukufu tangu hapo mozart akaanza kutumbuiza katika makonseti mfululizo akipiga piano yake mwenyewe iliyokuwa ikielekezwa kutoka kwenye kinanda katika safari zake akapata kukutana na mtunzi mwenzi joseph haydn na hao watu wawili wakawa marafiki wakubwa mara nyingi walipiga pamoja kwenye string quartet siku moja haydn aliyasema haya kwa leopold mozart mbele ya mungu na nikiwa msemakweli ni kwamba mtoto wako ni mtunzi mkubwa anayejulikana nami kibinafsi au kijina ana ladha na cha zaidi ni kwamba mtu mwenye uelewa mkubwa katika utunzi mozart alikuwa mwanachama wa masonic lodge kama alivyokuwa haydn na alitengeneza kazi kadhaa kwa ajili yake baada ya muda fulani watazamaji wengi wa mjini vienna hawakuwa wakimwunga mkono sana mozart hivyo mara nyingi alienda zake mjini prague mahali ambapo washabiki wengi walikuwa wakimpenda opera yake ndoa ya figaro ilikuwa maarufu sana kule na mwaka akatumbuiza kwa mara ya kwanza opera yake don giovanni kuna hadithi chungu nzima zinazohusu ugonjwa wa mwisho na kifo cha mozart na si rahisi kuwa na hakika ya kipi hasa kilitokea alikuwa akifanya kazi kwenye opera the magic flute ambayo ni moja kati ya kazi zake kubwa na ni maarufu sana hadi leo hii opera hiyo iliandikwa kwa kijerumani na si kwa kiitalia kama ilivyo kwa opera zake nyingine nyingi katika hali nyingine ipo kama kiingereza hivi pantomime wakati huohuo aliokuwa akifanya kazi hii akaombwa na mtu mmoja atunge kwa siri requiem maombi kwa ajili ya marehemu pia akaombwa atunge opera ya kiitalia la clemenza di tito hii iliimbwa mjini prague wakati wa septemba mwaka mwishoni kabisa mwa mwezi huo the magic flute ilianza kupigwa kwa mara ya kwanza baada ya hapo mozart akawa anashughulikia vilivyo requiem alipata kugundua kwamba tayari yu mgonjwa sana na kwa maana hiyo ile requiem ilikuwa kwa ajili yake mwenyewe alikufa kabla hajaweza kuimaliza constanze akamwomba mtunzi mwingine aliyeitwa franz aver sssmayr kuimalizia kazi hadi leo hii hatuna hakika ni kipi kidogo alichoongezea sssmayr lakini yamkini karibu muziki wote ulikuwa kazi ya mozart mwenyewe mozart alizikwa kwenye kaburi lisilojulikana kwa sababu kulikuwa hakuna fedha za kutayarishia mazishi mazuri muziki wa mozart kama ule wa haydn ni muziki mashuhuri sana unaojulikana kama staili ya klasiki wakati huo alipoanza kutunga kipindi cha muziki wa baroque kilikuwa kinaelekea ukingoni ladha za muziki zilianza kupatikana katika muziki mozart alikuwa mtunzi wa kwanza kutunga muziki wa kutumia piano kifaa pekee kilichokuwa kinakuja kuwa maarufu alianza karibu kila aina ya muziki symphonies operas solo concertos chamber music hasa string quartets na string quintets na piano sonata pia aliandika miziki kibao ya kidini ikiwemo mass na vilevile miziki mashuhuri kama vile dansi divertimenti na serenade sokrates kk kk alikuwa mwanafalsafa mgiriki mtu wa athens nje ya falsafa anajulikana hasa kwa kifo chake alifariki kutokana na kunywa sumu baada iliyokuwa adhabu yake kwa kupatikana na hatia katika mahakama ya watu wa athens ilidaiwa kwamba mafunzo yake yaliingilia dini ya mji wa athens na kupotosha vijana wake ingawa alipewa nafasi kutoroka ili kuepukana na hukumu yake na kwenda uhamishoni sokrates alichagua kunywa sumu hiyo kwa sababu alikuwa amekubali kwa hiari yake afuate sheria za athens akaamini kwamba angalikwepa hukumu yake angaliuaibisha mkataba huo maarifa mengi kuhusu sokrates yametokea katika majadiliano yaliyoandikwa na plato mwanafunzi wake na mwanafalsafa maandiko ya zenephon mtu wa rika lake aristofanes na aristotle kuna matatizo katika maandiko yanayomhusu sokrates hivyo si vyema kutegemea chanzo kimoja tu ukitazama mambo yanayofanana baina ya maandiko ukaachilia mbali mambo yanayofikiriwa kuongezwa na mwandishi sokrates mwenyewe ataonekana chingis khan pia genghis khan takriban agosti alikuwa kiongozi wa wamongolia aliyeunda milki ya wamongolia iliyoendelea kutawala eneo kubwa kuanzia china pamoja na asia ya kati hadi urusi na mashariki ya kati alizaliwa kwa jina la temujin kama mtoto wa chifu wa kabila la kimongolia wakati ule wamongolia walikuwa wafugaji wahamiaji walioishi katika kaskazini ya nchi ya mongolia ya leo walikuwa na makabila mengi yaliyoendelea kupigana kwa vita temujin alishiriki katika vita vingi akaendelea kuunganisha makabila mbalimbali tangu mwaka alikuwa na nguvu ya kutosha akashambulia mataifa ya jirani kama watartari waliowahi kumwua babake na kuwashinda mwaka temujin aliitisha mkutano wa viongozi wote wa wamongolia waliomkubalia kama kiongozi mkuu na kumpa cheo cha chingis khan yaani mtawala mkubwa maazimio ya mkutano yalianzisha dola jipya ambamo temujin alikuwa mtawala wa pekee mwenye madaraka ya kutunga sheria alitawala kwa msaada wa halmashauri iliyokuwa na mamake kakaye na wana wake temujin alimwagiza mwana wake aliyejua mwandishi kuandika sheria zote za kale zilizohifadhiwa kwa kumbukumbu tu katika kitabu pamoja na amri na sheria mpya alizoendelea kutangaza nakala za kitabu hiki zilitumwa katika pande zote za milki yake sheria hizi zilimaliza utawala wa machifu waliowahi kuamua mambo kufuatana na hiari zao temujin aliendelea kuanzisha jeshi kwa kutangaza sheria kila mmongolia alipaswa kuwa mwanajeshi aliweza kuzawadisha askari wake kwa njia ya mali zilizotekwa vitani kama mateka yeye mwenyewe aliteua viongozi waliosimamia vikosi vya wanajeshi hapa hakuteua tena ndugu zake bali aliwachagua viongozi hao kulingana na uwezo na uaminifu mwenyewe alikuwa na kikosi cha ulinzi wake wa wanajeshi wateule kazi kubwa ya temujin ilikuwa kujenga umoja na nidhamu wamogolia walizoea kuungana kwa vita lakini kuachana maungano na kufarakana kufuatana na hiari za machifu kwa kuunda jeshi la pamoja temujin alikuwa na chombo cha kuunganisha makabila kwa njia ya kudumu kwa sababu machifu wa kale hawakuwa na nafasi tena katika muundo huo wakapungukiwa umuhimu baada ya kutwaa milki za majirani alipata pia maafisa wachina hasa waliokuwa na maarifa ya utawala aliweza kuanzisha utaratibu wa kodi na huduma mwenyewe hakujua kuandika wala kusoma lakini alielewa umuhimu wa maandiko akaamuru kutungwa kwa mwandiko kwa ajili ya lugha ya kimongolia baada kuimarisha utawala wake kati ya china na bahari ya kaspi alijenga mji mkuu mpya ya karakorum ilikuwa mji wa kwanza wa kudumu wa mongolia kwa kazi kama utawala biashara na ufundi alichukua watu kutoka sehemu mbalimbali ya milki yake alitambua ya kwamba wamongolia wenyewe walizoea ufugaji na vita tu kwa hiyo alitegemea wafanyabiashara waislamu waturuki na waajemi maafisa wa utawala na mafundi wachina na wataalamu wakristo baada ya kuunganisha makabila ya wafugaji temujin aliongoza jeshi lake dhidi ya milki ya china katika kusini kuanzia mwaka alivuka ukuta mkubwa wa china kwa jeshi la askari alitwaa beijing na kuanzia hata milki ya korea ilianza kumlipia hongo mwaka kulitokea matatizo na majirani wa khorezmu upande wa magharibi msafara wa kimongolia uliwahi kushambuliwa na mabalozi waliotumwa huku kupeleleza hali waliuawa kwa hiyo temujin aliitia mkutano wa viongozi wa milki yake wakaamua kushambulia khorezmu mkutano uleule ulimkubali pia mwana wa tatu ugedai kama mrithi wa temujin atakayemfuata kama khan mkuu mwaka chingis khan alikufa akiwa mzee wengine husema ya kwamba sababu ya kifo ilikuwa anguko kutoka farasi wengine husema ya kwamba binti wa mfalme aliyeuawa na temujin alilipiza kisasi kwa kumdunga kwa kisu kaburi lake lilifichwa na walinzi wake kufuatana na desturi ya wamongolia haijulikana hadi leo inasemekana ya kwamba wapandaji farasi walikanyaga sehemu ya kaburi kwa miguu ya farasi zao halafu waliuawa wenyewe baada ya kuleta taarifa ya kwamba walitimiza kazi ya kumzika chingis khan wafuasi wake waliendela kupanusha milki china yote pamoja na urusi zilikua majimbo ya milki na milki ya wamongolia ilkuwa milki kubwa katika historia ya dunia kwa watu wengi chingis khan ni sawa na ushindi katili na ya kinyama lakhi za watu waliuawa na wanajeshi wake aliposhinda taifa la watartari aliamuru watu wote wenye urefu juu ya futi nne wauawe yaani watu wazima wote wamongolia siku hizi wanamwona kama baba yao wa taifa alitumia miaka mingi kuunganisha na kueneza makabila ya watu wahamiaji wa mongolia baadhi ya wanahistoria wanasema kwamba alikuwa na kichwa kizuri cha kijeshi kuliko karibu watu wote wengine katika historia ya dunia visiwa vya kanari kwa kihispania islas canarias ni funguvisiwa ya afrika ya kaskazini katika bahari ya atlantiki viko baharini km magharibi kwa moroko umbali na hispania ni masaa mawili kwa ndege kisiasa ni jimbo la kujitawala la hispania kisiasa visiwa hivyo ni kati ya maeneo ya kujitawala ndani ya ufalme wa hispania visiwa vikubwa ni saba el hierro la gomera la palma na tenerife ambavyo vinaunda mkoa wa santa cruz de tenerife halafu gran canaria fuerteventura na lanzarote ambavyo vinaunda mkoa wa las palmas tena kuna visiwa vidogo sita vya alegranza kisiwa cha lobos la graciosa montaa clara roque del este na roque del oeste vyote vya mkoa wa las palmas miji mikuu ni santa cruz de tenerife na las palmas de gran canaria makao ya mkuu wa serikali ya eneo huhamahama kati ya miji hiyo miwili kila baada ya miaka minne jumla ya wakazi kufuatana na sensa ya mwaka ni mkoa wa las palmas una wakazi katika tarafa mkoa wa santa cruz de tenerife una watu katika tarafa miji mikubwa ni las palmas de gran canaria wakazi santa cruz de tenerife wakazi san cristbal de la laguna wakazi telde wakazi na arona idadi ya wakazi wa visiwa vikubwa ni kama ifuatayo karibu wenyeji wote ni wakristo wa kanisa katoliki visiwa vya kanari vilitembelewa zamani na wasafiri wafinisia wagiriki na waroma baadaye na waarabu katika ulaya visiwa vilisahauliwa hadi mwaka hivi visiwa vilikaliwa na wazalendo walioitwa guancha na wahispania walipofika kanari hakuna uhakika kuhusu asili yao wataalamu wengi hufikiri walikuwa waberber wengine husema walikuwa wafungwa walioachiwa huru visiwani wakati wa dola la roma wakati wa kufika kwa wahispania kuanzia mwaka walikuwa na utamaduni bila chuma wanasemekana hawakujua usafiri wa bahari katika muda wa karne moja wahispania walivamia visiwa na kukandamiza utamaduni wa wenyeji lugha yao imekwisha kabisa ingawa kuna bado majina ya mahali visiwani kutokana na lugha ya kiguancha baada ya wahispania kufika amerika las palmas ilikuwa bandari muhimu ya safari za atlantiki kutokana na uzuri wa nchi na hali ya hewa ambayo ni poa mwaka wote utalii umekuwa nguzo ya uchumi wa visiwa vya kanari pamoja na kilimo cha mazao ya biashara yanayopelekwa ulaya hasa ndizi na tumbaku jamhuri ya benin ni nchi huru katika afrika ya magharibi awali iliitwa dahomey inapakana na bahari ya atlantiki upande wa kusini nchi ya togo upande wa magharibi nchi ya nigeria upande wa mashariki na nchi za burkina faso na niger upande wa kaskazini haihusiani na mji wa benin benin city wala na ufalme wa benin wa karne ya nchi ya benin iko kati ya mto wa niger upande wa kaskazini na bahari ya atlantiki upande wa kusini haina milima mirefu idadi kubwa ya watu wanaishi katika tambarare za kusini ambapo miji mikubwa ya benin iko ikiwa ni pamoja na mji mkuu porto novo na mji mkubwa zaidi cotonou sehemu za kaskazini ni kavu hasa nchi ya benin inapata majira mawili ya mvua aprili julai na septemba novemba pia kuanzia mwezi desemba kuna upepo ulioitwa harmattan nao huleta vumbi na baridi wakati wa usiku ufalme wa dahomey ulianzishwa katika nchi ya kisasa ya benin katika karne ya ufalme huo uliotawaliwa na oba ni cheo cha mfalme wake ulienea sehemu kubwa ya afrika ya magharibi dahomey ilianzishwa na waaja baada ya uhamisho wao kutoka togo kuja benin ya leo jina la dahomey linasemekana kuwa limetokana na neno la kifon la dan lenye maana ya nyoka dokezo la ibada ya nyoka kusini mwa nchi jina la mfalme wa kwanza ni do aklin aliyekuwa mmoja wa wana watatu wa mfalme wa ardra waliogawanya ufalme kati yao mnamo bk do aklin aliunda mji wa abomey ukawa mji mkuu wa dahomey waaja wa abomey walichanganyikana na wenyeji wakawa kabila jipya la wafon au wadahomey waliratibu ufalme wao kwa kuupa serikali ya mfalme mwenye nguvu wakaunda jeshi la kudumu hasa mfalme wegbadja aliweka utaratibu kwa vizazi vilivyofuata mfalme alikuwa mtawala mkuu mkoani au majimboni hapana watawala wa kieneo bali watumishi wake tu ardhi yote ilitazamwa kuwa mali ya mfalme mwenyewe mafundisho yaliyohakikisha malipo ya kodi kutoka kwa wakulima waliokubali ya kwamba nchi waliyoilima ni mali ya mfalme mamlaka ya mfalme yalihakikisha nguvu ya dahomey katika mazingira yake jeshi la kudumu lilimpatia chombo muhimu ndani ya jeshi hilo kulikuwa na kikosi kimoja cha pekee ambacho kilikuwa kikosi cha wanawake wasafiri wa ulaya walikiita kikosi hiki waamazoni kutokana na askari wa kike katika masimulizi ya wagiriki wa kale wegbadja na wafuasi wake walikaza pia umuhimu wa ibada za pamoja wafalme wenyewe na mizimu yao walipewa nafasi muhimu sadaka zilienda na kila nafasi hasa sadaka kwa mizimu ya wafalme kulikuwa na utajiri mkubwa kwa sababu ya kufanya biashara na wazungu hasa wareno na waholanzi waliofika kuanzia mwisho wa karne ya ufalme uliongezeka nguvu ya kiuchumi hasa kutokana na biashara ya watumwa kupaa kwa nguvu ya dahomey kulikwenda sambamba na kuenea kwa wafanyabiashara wazungu kwenye pwani za afrika ya magharibi walionunua watumwa kwa ajili ya safari ya marekani wakiuza silaha na bidhaa kutoka ulaya katika karne tatu za historia yake dahomey ilikuwa kati ya wafanyabiashara wakuu wa watumwa pwani ya benin ya leo ilijulikana kama pwani ya watumwa jeshi la dahomey lilikuwa na bunduki zilizonunuliwa kwa wazungu wakiwauzia watumwa silaha hizo zilitumika kwa ajili ya kupiga vita dhidi ya majirani na kujipatia wafungwa waliouzwa kama watumwa mapato kutoka biashara hiyo yaliwezesha wafalme wa dahomey kununua silaha mpya biashara ya watumwa iliendelea kwa karne tatu mpaka mwaka wa kuanzia karne ya ufalme wa dahomey ulidhoofika mpaka ufaransa uliweza kuuvamia mwaka wa dahomey ikawa chini ya ukoloni wa ufaransa kuanzia mwaka wa hadi ilipopata tena uhuru tarehe agosti mpaka mwaka wa makundi mbalimbali walipigana vita hatimaye wakomunisti walianza kutawala chini ya kiongozi wao mathieu krkou hapo nchi ilipewa jina jipya yaani jamhuri ya watu wa benin mwaka wa hadi tangu miaka ya nchi ilifuata mfumo wa soko huria krkou alikuwa rais hadi halafu tena miaka katika uchaguzi wa machi yayi boni alipata urais aliouanza tarehe aprili bunge la benin lina viti huchaguliwa kila mwaka wa nne rais ni mkuu wa serikali na wa nchi naye huchaguliwa kila mwaka wa tano mgombea urais anatakiwa asiwe na umri wa miaka zaidi ya sabini kuna majimbo nayo ni kuna makabila mbalimbali ambayo watu wake wanaongea lugha tofauti sana k m kihausa lugha za kisonghai lugha za kimande na lugha za kifula kabila kubwa kabisa ni lile la wafon lugha rasmi ni kifaransa upande wa dini wakristo ni wakatoliki halafu madhehebu mengi ya uprotestanti waislamu ni wafuasi wa dini asilia za kiafrika hasa vodun asilimia hawana dini yoyote uchumi wa benin hauna nguvu sana na hutegemea hasa kilimo mazao ya pamba na biashara ndogondogo atlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha amerika upande wa magharibi na afrika na ulaya upande wa mashariki eneo lake ni kilometa za mraba au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya baltiki na mediteranea hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya pasifiki bila bahari hizi za pembeni eneo lake ni kilometa za mraba beseni yake ina umbo kama s kina ya wastani ni mita kina kikubwa katika mfereji wa puerto rico kinafikia mita upana wa bahari ni kati ya km kati ya brazil na liberia hadi km kati ya marekani na afrika ya kaskazini kuna ghuba nyingi pamoja na bahari za pembeni atlantiki inabadilishana maji yake na pasifiki na bahari hindi hasa kusini ya mabara ya afrika na amerika ya kusini atlantiki inafunika sehemu za mabamba ya gandunia ya amerika ya kaskazini amerika ya kusini karibi afrika na ulaya asia yanapokutana katika ya beseni uko mgongo kati wa atlantiki ambao ni safu ya milima chini ya bahari mahali pachache inafikia hadi uwiano wa bahari na kuonekana kama visiwa visiwa vikubwa ni vyenye alama ya ni sehemu ya safu ya mgongo kati wa atlantiki greenland iceland britania uingereza ueire ireland kuba newfoundland funguvisiwa muhimu ni visiwa vya faroe visiwa vya azori visiwa vya madeira visiwa vya kanari visiwa vya cabo verde visiwa vya karibi pamoja na kuba visiwa vya britania pamoja na uingereza na ueire ireland visiwa vya bermudas na vingine mikondo ya atlantiki inatawala hali ya hewa katika nchi zinazoongozana bahari kati ya mikondo hizi ni mkondo wa ghuba la meiko kutoka eneo la visiwa vya karibi ukivuka atlantiki na kubeba maji ya moto ambayo bado ni vuguvugu kiasi wakati wa baridi hadi pwani la ulaya mkondo huu umesababisha ya kwamba sehemu kubwa ya ulaya ina hali ya hewa ya wastani bila joto au baridi kali mno na mvua nyingi hivyo kuhakikisha rutuba ya bara bandari za ulaya hubaki bila barafu hadi kaskazini kabisa vilevile mkondo baridi wa benguela kutoka antaktika hubeba maji baridi kwa pwani za afrika ya kusini magharibi na kusababisha kutokea kwa jangwa la namib kwa ujumla mikondo katika atlantiki ya kaskazini hufuata mwendo wa saa mikondo ya atlantiki ya kusini huzunguka kinyume cha mwendo wa saa bahari ni eneo kubwa lenye maji ya chumvi katika kiswahili cha kila siku neno hili hutumiwa pia kwa kutaja magimba madogo zaidi ya maji kama vile ziwa kwa maana ya kijiografia bahari hasa ni bahari kuu ya dunia kwa kiingereza ocean yaani maeneo makubwa ya maji ya chumvi ambayo ni kama gimba moja bahari kuu ya dunia inafunika asilimia za uso wa dunia katika matumizi ya kawaida neno bahari humaanisha pia eneo la pekee ambalo ni sehemu ya bahari kuu inayogawiwa na mabara katika pande tatu kubwa wataalamu mara nyingi huhesabu maeneo karibu na ncha ya kaskazini na ncha ya kusini ya dunia kama bahari kubwa ya nne na ya tano yaani tena neno bahari linatumika pia kwa maeneo ambayo ni bahari za pembeni za bahari tatu kubwa kama vile mediteranea baltiki bahari ni muhimu sana kwa ajili ya maisha na hali ya hewa duniani bahari zinashika asilimia za maji yote ya dunia maji ya bahari yana takriban asilimia za chumvi ndani yake kiwango hiki hutofautiana kidogo katika sehemu mbalimbali kutokana na uvukizaji mkubwa penye joto kwa matumizi ya binadamu hata kwa matumizi ya mimea na wanyama wa nchi kavu haifai lakini bahari pia ni chanzo cha mvua kwa sababu mawingu hutokea hasa juu ya bahari katika mwendo wa uvukizaji chumvi inabaki na mvuke unapaa bila chumvi ndani yake kuwa mawingu na kurudi katika mwendo wa usimbishaji usimbishaji unaleta maji yanayojaza mito na maziwa hata akiba za maji chini ya ardhi tangu zamani bahari ni njia kuu za mawasiliano ya kimataifa hadi leo asilimia ya mizigo yote hubebwa kwa meli baharini kati ya bandari mita pia meta ni kipimo cha urefu ambacho kimekuwa kipimo sanifu cha kimataifa neno limetokana na kigiriki mtron kipimo pia chombo cha kupimia kwa kupitia kiingereza metre meter kutokana na maana hiyo mita inataja pia mitambo ya kupima maji umeme na kadhalika hapo matumizi ya kiswahili yanafanana na ya kiingereza metre mita imeundwa kama kipimo wakati wa mapinduzi ya kifaransa mwaka mita iliamuliwa kuwa sehemu moja kati ya sehemu milioni za meridiani ya paris mstari kutoka ikweta hadi ncha ya kaskazini unaopitia mjini wa paris nia ilikuwa kumaliza vipimo vya kale kutokana na viungo vya mwili kama hatua mkono mguu na kadhalika vipimo hivi asilia vilitofautiana kila mahali ujerumani ilikuwa na futi tofautitofauti zaidi ya kumi katika mikoa na majimbo mbalimbali mita ya asili ilichongwa kama reli ya shaba na baadaye ya platini ambayo ni metali ngumu sana nchi zote duniani hutumia vipimo vya mita hata kama nchi mbalimbali bado hutumia vipimo asilia kufuatana na utamaduni wao kwa mfano nchi za mapokeo ya kiingereza hupenda inchi na futi matumizi ya vipimo ya kale katika maisha ya kila siku si kizuizi kupeleka watu angani warusi bado wanapenda kipimo cha verst mita wamarekani huhesabu yard mita lakini wote walifaulu kurusha makombora angani pasipo kutumia vipimo vya mita tangu mwaka mita imekubaliwa kuwa umbali unaosafiriwa na nuru katika anga pasipo hewa ombwe katika muda wa sekonde kilomita km kilomita moja ni mita dekamita deca dekamita moja ni mita sentimita cm sentimita ni sehemu ya mia ya mita mita ina sentimita milimita mm milimita ni sehemu ya kumi ya sentimita moja sentimita ina milimita kumi mita ina milimita elfu moja kilomita pia kilometa ni kipimo cha urefu kinamaanisha urefu wa mita kifupi chake ni km kilomita ni kipimo cha kawaida katika maisha ya kila siku cha kupimia umbali usio karibu umbali kati ya miji hupimwa kwa kilomita kilomita ni sehemu ya vipimo vya si vyenye msingi wa mita katika nchi mbalimbali kilomita imechukua nafasi ya vipimo vingine kama maili au verst kwa umbali mkubwa mno kama kwa vipimo vya astronomia kilomita haifai tena hapo kuna vipimo vingine kwa mfano umbali kati ya mwezi na dunia inaweza kutajwa kwa kilomita ni lakhi tatu au km umbali kati ya dunia na jua ni km na kwa umbali huo kizio cha kizio astronomia hutumiwa lakini umbali kutoka jua letu hadi nyota nyingine ni mkubwa mno hapa vipimo kama mwakanuru au pia parsek hutumiwa dahomey ilikuwa jina la jamhuri ya benin hadi mwaka lakini hasa jina la ufalme wa afrika ya magharibi katika eneo la benin ya kusini ya leo dahomey ilianzishwa na waaja baada ya uhamisho wao kutoka togo kuja benin ya leo jina la dahomey linasemekana kuwa limetokana na neno la kifon la dan lenye maana ya nyoka dokezo la ibada ya nyoka kusini mwa nchi jina la mfalme wa kwanza ni do aklin aliyekuwa mmoja wa wana watatu wa mfalme wa ardra waliogawanya ufalme kati yao mnamo bk do aklin aliunda mji wa abomey ukawa mji mkuu wa dahomey waaja wa abomey walichanganyikana na wenyeji wakawa kabila jipya la wafon au wadahomey waliratibu ufalme wao kwa kuupa serikali ya mfalme mwenye nguvu wakaunda jeshi la kudumu hasa mfalme wegbadja aliweka utaratibu kwa vizazi vilivyofuata mfalme alikuwa mtawala mkuu mkoani au majimboni hapana watawala wa kieneo bali watumishi wake tu ardhi yote ilitazamwa kuwa mali ya mfalme mwenyewe mafundisho yaliyohakikisha malipo ya kodi kutoka kwa wakulima waliokubali ya kwamba nchi waliyoilima ni mali ya mfalme mamlaka ya mfalme yalihakikisha nguvu ya dahomey katika mazingira yake jeshi la kudumu lilimpatia chombo muhimu ndani ya jeshi hilo kulikuwa na kikosi kimoja cha pekee ambacho kilikuwa kikosi cha wanawake wasafiri wa ulaya walikiita kikosi hiki waamazoni kutokana na askari wa kike katika masimulizi ya wagiriki wa kale wegbadja na wafuasi wake walikaza pia umuhimu wa ibada za pamoja wafalme wenyewe na mizimu yao walipewa nafasi muhimu sadaka zilienda na kila nafasi hasa sadaka kwa mizimu ya wafalme ufalme uliongezeka nguvu ya kiuchumi kutokana na biashara ya watumwa kupaa kwa nguvu ya dahomey kulikwenda sambamba na kuenea kwa wafanyabiashara wazungu kwenye pwani za afrika ya magharibi walionunua watumwa kwa ajili ya safari ya marekani wakiuza silaha na bidhaa kutoka ulaya katika karne tatu za historia yake dahomey ilikuwa kati ya wafanyabiashara wakuu wa watumwa jeshi la dahomey lilikuwa na bunduki zilizonunuliwa kwa wazungu wakiwauzia watumwa silaha hizo zilitumika kwa ajili ya kupiga vita dhidi ya majirani na kujipatia wafungwa waliouzwa kama watumwa mapato kutoka biashara hiyo yaliwezesha wafalme wa dahomey kununua silaha mpya bibi titi mohammed novemba alikuwa mmoja wa wanawake wa kwanza mzalendo kushika nafasi za ubunge na uwaziri nchini tanzania pia alikuwa kati ya wanawake wa kwanza kujiunga na harakati za kupigania uhuru wa tanganyika mwaka bibi titi mohammed alikamatwa na mwaka uliofuata alifikishwa mahakamani kwa kosa la kula njama ya kutaka kupindua serikali katika kesi hiyo bibi titi alikuwa ni mwanamke pekee katika washtakiwa baada ya kesi hiyo kusikilizwa alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha hata hivyo mwaka alisamehewa na rais julius nyerere juu ya kutolewa kwake mohammed aliongoza maisha yake akiwa mpweke mume wake alimtelekeza wakati wa kesi ushirika wake wa kisiasa ukanyang anywa na marafiki zake wengi wakamlaani mnamo mwaka wa wakati tanzania ikisherekea miaka ya uhuru bibi titi ameonekana kwenye maandishi ya chama tawala kama shujaa wa kike aliyepigania uhuru tarehe novemba mohammed alifariki kwenye hospitali ya net care hospital mjini johannesburg ambapo alikuwa akitibiwa moja kati ya mabarabara makubwa ya jijini dar es salaam limepewa jina la mohammed kwa heshima ya mafaniko makubwa aliyoyafanya wakati wa mbio za kutafuta uhuru wa mtanzania theluji kutoka kiarabu thalj ni aina ya pekee ya barafu ya maji inapatikana kama usimbishaji unaotelemka kwa maumbile ya barafu ya fuwelia fuwele za theluji ni ndogo muundo wa fuwele unaonekana kwa macho matupu kama fuwele ni kubwa vipande vyake ni vyembamba sana hivyo theluji hutelemka nyepesi si kama vipande vizito vya mvua ya mawe theluji haipatikani kwa halijoto juu ya c katika afrika inaweza kutokea tu kwenye milima mirefu kama mlima kilimanjaro na mlima kenya theluji hutokea kama mvuke wa maji mawinguni unafikia halijoto chini ya c maji mawinguni yanaweza kukaa kiowevu majimaji hata chini ya c kwa muda matone yake madogo sana yanaanza kushikana na punje ndogo za vumbi hewani na kuganda fuweli ndogo chini ya mm hutokea kadiri zinavyokua na kuwa nzito zinaanza kushuka njiani mvuke baridi inashikana na fuweli zinazoendelea kukua maumbile yanatokea ya kufanana na picha ya nyota watu katika nchi baridi wamezoea kutofautisha aina mbalimbali za theluji lugha nyingi zina maneno ya pekee kwa ajili ya aina tofauti za theluji kama ni nyepesi au nzito chepechepe au kavu mpya au kama imeshakaa muda fulani theluji inatokea elimu kwa maana pana ni tendo au uzoefu wenye athari ya kujenga akili tabia ama uwezo wa kimaumbile wa mtu binafsi katika dhana ya kiufundi elimu ni njia ambayo hutumiwa makusudi na jamii kupitisha maarifa ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine walimu katika taasisi za elimu huratibisha elimu ya wanafunzi wao kupitia masomo kama vile ya kuandika kusoma kuhesabu hisabati sayansi na historia mbinu hii wakati mwingine huitwa masomo haswa tunaporejelea somo la aina fulani kwa kawaida mbinu hii hutumiwa na maprofesa katika taasisi za masomo ya juu kuna elimu maalumu kwa wale wanaohitaji ujuzi wa kitaaluma kama vile wanaohitaji kuwa marubani juu ya hayo kuna nafasi nyingi za elimu katika viwango vingine visivyo rasmi kama vile majumba ya ukumbusho maktaba pamoja na mtandao na tajriba za maisha haki ya kusoma imeweza kuelezwa kuwa haki ya msingi ya binadamu katika kifungu cha pili cha itifaki ya kwanza ya maagano ya haki za binadamu barani ulaya kuanzia mwaka wa ambapo wanachama wote wanashurutishwa kuhakikisha elimu kwa wote katika kiwango cha kimataifa mapatano ya umoja wa mataifa ya haki za kiuchumi za kijamii na za kiutamaduni katika mwaka wa yanahakikisha haki hii katika kifungu cha elimu ni dhana inayorejelea namna ambayo wanafunzi wanaweza kujifunza kitu masomo ya msingi huchukua kati ya miaka ya kwanza ya elimu rasmi kwa jumla elimu ya juu hujumulisha miaka ya masomo kuanzia mwaka wa tano au sita lakini hutofautiana baina na kati ya nchi asilimia ya watoto waliotimu umri wa kujiunga na shule hujiandikisha katika masomo ya msingi kote ulimwenguni na viwango hivi vinaongezeka chini ya elimu kwa mipango yote inaendeshwa na unesco nchi nyingi wana nia ya kufanikisha zima uandikishaji katika elimu ya msingi ifikapo mwaka na katika nchi nyingi ni lazima kwa watoto kupata elimu ya msingi chini ya mpango wa elimu kwa wote ulioanzishwa na shirika la elimu sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa unesco nchi nyingi zimejitolea katika mifumo ya kisasa ya elimu ulimwenguni elimu ya shule za upili au sekondari huchukua kipindi cha pili cha elimu rasmi ambayo hutokea wakati wa ujana wa wanafunzi mfumo huu hutofautian na masomo ya msingi ambayo ni ya lazima ni ya jumla na yanayofanana yale ya shule za upili ni teule na ya hiari shule hizi hujulikana kama sekondari shule za upili shule za kati vyuo au shule za ujuzi wa kitaalamu kulingana na kipindi au mfumo unaofuatwa maana ya dhana hizi hutofautiana kutoka mfumo mmoja hadi mwingine mpaka kamili kati ya elimu ya msingi na ya upili hutofautiana kutoka nchi moja hadi nyingine tofauti hizi zipo hata katika nchi lakini kwa kijumla hutokea kati ya mwaka wa saba na wa kumi wa kusoma elimu ya sekondari hutokea katika umri wa ujana nchini marekani na kanada elimu ya msingi na sekondari kwa pamoja hurejelewa kama elimu ya k na katika nchini ya nyuzilandi elimu hii hurejelewa kama elimu ya miaka azma ya elimu ya sekondari ni kutoa maarifa ya kawaida kutayarisha wanafunzi kwa elimu ya juu au kuwafunza watu kazi moja kwa moja elimu ya sekondari iliibuka nchini marekani mwaka wa na ilisababishwa na kuwepo kwa biashara kubwa na maendeleo ya kiteknolojia viwandani ili kuafikia mahitaji ya kazi shule za upili zilijengwa na mtaala uliolenga maarifa ya kazi za ofisi na za sulubu ukazinduliwa hii ilibainika kuwa njia ya manufaa kwa mwajiri kwani uimarishaji wa huduma za kibinadamu uliwafanya waajiriwa kuwa madhubuti kazini na kushusha gharama kwa waajiri huku waajiriwa wakinufaika na mishahara minono ikilinganishwa na waliokuwa na elimu ya msingi pekee barani ulaya shule za sarufi au akademia zilikuwepo hata katika miaka ya shule za umma au zile za kulipa karo au hata shule za ufadhili na wakfu zina historia ndefu zaidi tunapaswa kujitahidi katika kuhamasisha elimu ya sekondari kwani huwezesha kufikia chuo kikuu elimu ya juu yaani ile ya baada ya shule ya upili au elimu ya awamu ya tatu si ya lazima elimu hii kwa kawaida hujumulisha viwango vya shahada pamoja na elimu ya ujuzi wa kitaalamu kwa jumla elimu ya juu hutolewa na vyuo na vyuo vikuu na huambatana na kutolewa kwa vyeti stashahada za diploma na shahada za digrii kitaaluma masomo ya juu hujumuisha elimu utafiti na huduma za jamii na katika uwanja wa elimu hujumulisha viwango vya shahada ya kwanza na nyingine za juu elimu ya juu aghalabu huhusu kufuzu katika kiwango cha shahada ya kwanza ya uzamili na ya uzamifu idadi kubwa ya watu katika nchi zilizoendelea hadi kufikia asilimia wameweza kupata elimu ya juu wakati fulani maishani mwao kwa hiyo elimu ya juu ni muhimu kwa uchumi wa taifa ni kiwanda cha pekee ambacho huzalisha wafanyakazi walioelimika katika nchi maskini serikali zinatakiwa kuongeza mikopo kwa wanafunzi wa vyuoni ili waweze kupata elimu hiyo na kusonga mbele kwa kuwa elimu ni ufunguo wa maisha elimu ya ngumbaru au ya watu wazima imekuwa kawaida katika nchi nyingi elimu hii huchukua maumbo mengi yakiwemo elimu rasmi darasani elimu ya binafsi na masomo ya mtandao idadi fulani ya kozi za kazi maalum kama vile elimu ya mifugo masuala ya madawa uwekezaji uhasibu na kozi nyinginezo kwa sasa hupatikana mtandaoni elimu mbadala ambayo pia hujulikana kama elimu isiyo rasmi ni dhana yenye maana pana na inayoweza kutumiwa kurejelea aina zote za elimu zilizo nje ya elimu ya kawaida kwa watu wote na viwango vyote vya elimu hujumuisha si tu mitindo ya elimu inayokusudiwa wanafunzi wenye mahitaji ya pekee lakini pia mitindo inayolenga hadhira ya jumla na kutumia mitindo na falsafa badala ya elimu elimu mbadala mara nyingi huwa matokeo ya mabadiliko katika elimu yaliyotokea katika misingi mbalimbali ya falsafa ambayo kwa kawaida ni tofauti na elimu ya jadi ya lazima mabadiliko mengine yana misingi ya kisasa kiutafiti au kifalsafa ilhali mengine ni miungano isiyo rasmi kati ya walimu na wanafunzi wasioridhika na masuala fulani ya elimu hiyo ya jadi elimu mbadala hii ambayo ni pamoja na shule za tabia shule badala shule zinazojitegemea na masomo ya nyumbani hutofautiana pakubwa lakini zote hutilia maanani umuhimu wa idadi ndogo ya wanafunzi darasani na mahusiano ya karibu kati ya wanafunzi na walimu vilevile husababisha hali ya umoja kuongezwa kwa ruwaza za elimu ya asili mbinu na maudhui yake ndani ya elimu badala katika eneo la mfumo wa elimu rasmi na elimu isiyo rasmi kumewakilisha kipengele muhimu kilichochangia ufanisi wa mfumo wa elimu asili kwa wanajamii asili walioamua kufuata njia hii hii ikiwa ni pamoja na wanafunzi na walimu kuingizwa kwa mbinu za asili kama vile kujua kusoma kuelekeza kufunza na kusoma kama njia nzuri ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wanagenzi na walimu waelekezi wanaweza kufaidika kutokana na elimu kwa njia ya kiasili iliyokuza kutumia na kuendeleaza uhamasishaji wa tamaduni za kiasili kwa wanafunzi au wagenzi na walimu au waelekezi kuwekwa pamoja kwa mbinu hizi mara nyingi huongeza fanaka matarajio na matokeo ya elimu hili huafikiwa kwa kutoa elimu inayooana na taswira zao za asili mazoea na mitiazamo yao ya ulimwengu kwa wanafunzi na walimu wasio wa asili elimu ya aina hii ina athari ya kuongeza ufahamu wa tamaduni zao za kibinafsi na mazoea ya jumla ya umma na watu wanaowazunguka hivyo basi kukuza heshima na kuthamini tamaduni za wanajamii hizo katika elimu na mafunzo kujumuishwa kwa maarifa ya kiasili tamaduni maono mitazamo na dhana katika mitaala vifaa vya kuelekeza na vitabu vya kozi vina athari kubwa kama ile ya kujumuisha mbinu za asili katika elimu ambayo hunufaisha walimu na wanafunzi katika usambamba wa masomo kufaulu na matokeo ya masomo hayo ambayo hunufaisha walimu na wanafunzi katika usambamba wa masomo kufaulu na matokeo ya masomo hayo walimu na wanafunzi wa kisasa wana heshima hamasa na maridhio kwa jamii na watu wa kienyeji kutokana na elimu husishi wanayopata mfano mkuu unaoonyesha mbinu na maudhui ya asili yanaweza kukuza matokeo yaliyotajwa hapo juu undhihirika katika elimu ya juu nchini kanada kwa sababu ya sheria fulani dhamira ya kuongeza mafanikio kwa wanafunzi wa elimu asili na kukuza maadili ya jamii ya kitamanduni kuingizwa kwa mbinu na maudhui ya asili katika elimu huonwa kuwa jukumu na wajibu wa serikali na taasisi za elimu zenye mamlaka somo la taaluma ni tawi la elimu ambalo hufunzwa kirasmi katika vyuo vikuu ama kupitia njia zingine kama hizo kwa kawaida kila somo huwa na masomo mengine ama matawi na mipaka ya kuyabainisha mara nyingi huwa si dhahiri na na mara nyingine husababisha utata mifano ya masomo ya kitaaluma yenye upana ni kama vile sayansi asilia hesabu sayansi ya komputa sayansi za jamii sayansi za binadamu na sayansi za matumizi kuna utafiti uliofanywa kuhusu mitindo ya kusoma katika miongo miwili iliyopita dunn na dunn walilenga kutambua vichangamshi husishi vinavyofanya masomo yavutie na namna ya kutawala mazingira ya shule baadaye joseph renzulli alipendekeza mikakati tofautitofauti ya kufunza howard gardner alitambua talanta ama vipaji vya mtu binafsi katika nadharia zake za akili nyingi kwa misingi ya kazi za c g jung kielezi aina cha myers briggs na kitenga tabia cha keisresy vililenga kuelewa jinsi nafsi za watu huathiri uhusiano wa mtu binafsi na zinavyoathiri maelewano ya watu katika mazingira ya kujifunza kazi za david kolib na anthony gregorc jinsi ya kusawiri hufuata mfano kama huu lakini uliorahisishwa kwa wakati huu kugawika kwa elimu katika mitindo tofautitofauti hukubalika na wengi huenda ikawa kuwa mitindo ya kujifunza ndiyo ya kawaida imedaiwa kuwa kulingana na mtindo wa kujifunza unaopendelewa mbinu tofautitofauti za kufunza huwa na matokeo ya viwango tofauti umuhimu wa nadharia hii ni kuwa kunakofaa inapaswa kutumia mbinu mbalimbali za kufunza zinazojumulisha mitindo yote mitatu ya kufunza ili wanafunzi tofautitofauti wapate fursa ya kujifunza kwa njia inayowafaa guy claton ametilia shaka mitindo ya kujifunza kama vile vak kwani kwa kiasi fulani mitindo hii ina mazoea ya kupachika watoto majina hivyo basi kuwazuia kujifunza kujifunza ni kutaka kujua juu ya jambo fulani ambalo hukulijua kabla hata jambo zuri kuhusu kujifunza ni kwamba hakuna mtu yeyote mwenye uwezo wa kukiweka mbali nawe kitu hicho ambacho umejifunza walimu wanapaswa kuelewa somo vilivyo ili kuwasilisha umuhimu wake kwa wanafunzi shabaha hapa ni kuunda misingi ya ujuzi kamili ambayo wanafunzi wanaweza kutumia kujijenga zaidi kwani wamewekwa wazi kwa matukio mbalimbali ya maisha walimu wazuri huweza kutafsiri habari kama hukadiria vizuri hutumia mazoea na hekima hadi kwa elimu husika ambayo mwanafunzi anaweza kuelewa kuhifadhi na kupititishia wengine utafiti kutoka marekani unatoa maoni kuwa ubora wa walimu ndio kigezo kinachoathiri mafanikio ya wanafunzi na kuwa nchi zinazopata alama za juu katika mtihani au majaribio ya kimataifa zimeweka sera chungu nzima zinazohakikisha kuwa walimu wanaoajiriwa ndio bora teknolojia ni kigezo muhimu katika elimu tarakilishi na simu za rununu zinatumiwa katika nchi zilizoendelea kuimarisha elimu iliyothibitishwa na kukuza njia mpya za elimu kama vile elimu ya mtandao masomo ya mbali wanafunzi hupata fursa ya kuchagua wanachotaka kusoma kuenea kwa tarakilishi pia kunamaanisha kuongezeka kwa programu za kompyuta na kuongeza habari mtandaoni teknolojia hutoa vifaa muhimu vinavohitaji ujuzi mpya na uelewa wa wanafunzi zikiwemo njia nyingi za mawasiliano na huleta njia mpya za kuhusisha wanafunzi kama vile mazingira ya kujifunza teknolojia inatumiwa si tu katika wajibu wa kutawala katika elimu bali pia katika kuwaelekeza wanafunzi matumizi ya teknolojia kama vile virusha maandishi power point na ubao mweupe hutumiwa kunasa akili za wanafunzi darasani teknolojia vilevile hutumiwa kuwatahini wanafunzi mfano mzuri ni mfumo wa kuvutia hadhira ars ambao huruhusu majibu ya mitihani moja kwa moja pamoja na majadiliano darasani teknolojia pia imekuwa mojawapo wa maktaba katika elimu ambamo vitabu ripoti za utafiti tansifu n k huchapishwa tovuti zinazochapishwa vitabu ripoti na tansifu zimekuwa za manufaa kwa wasomi zinawapa uwezo wa kupata vitabu maalum kwa ujumbe fulani tofauti na maktaba za kizama ambazo humlazimu mtu kusoma kwa urefu na upana kupata ule ujumbe tofuati hizi hufuata mpangilio nyingine zikiruhusu watumizi kupakua vitabu bila malipo nyingine zina malipo ya muda ilhali nyingine hulazimu mtu kununua kile kitabu anachokihitaji teknolojia za habari na mawasiliano ict ni seti ya vifaa na rasilimali mbalimbali zinazotumiwa kuwasiliana kuunda kueneza na kuongoza habari teknolojia hizi ni pamoja na kompyuta mtandao teknolojia za kusambaza habari redio na televisheni na simu kuongea na pia kwa ujumbe wa maandishi kuna mvuto unaoongezeka kuhusu namna tarakilishi na mtandao vinavyoweza kuimarisha elimu katika viwango vyote yaani mseto wa elimu rasmi na ile isiyo rasmi teknolojia za habari na mawasiliano za awali kama vile redio na televisheni zimetumiwa kwa zaidi ya miaka kwa elimu wazi na ile ya mbali hata hivyo kupiga chapa ndiyo njia nafuu zaidi inapatikana kwa urahisi na hivyo basi ni mbinu iliyotawala katika nchi zilizoendelea na zile zinazoendelea matumizi ya tarakilishi na mtandao ikiwa vinatumika bado ni changa katika nchi zinazoendelea na hii ni kwa sababu miundo msingi ni michache na ghali kwa kawaida teknolojia kadhaa hutumiwa kwa pamoja bali si mbinu pekee ya kupokelewa kwa mfano kothmel community radio internet hutumia matangazo ya redio na kompyuta pamoja na teknolojia ya mtandao na hivyo hurahisisha kugawa habari na kutoa nafasi za elimu katika kijiji fulani sri lanka chuo kikuu cha uingereza ukou kilichoanzishwa mwaka wa kama taasisi ya elimu ya kwanza ulimwenguni kujitolea kutoa elimu ya wazi na ya mbali bado hutegemea vifaa vilivyopigwa chapa na kuongezea redio runinga na kompyuta vivyo hivyo chuo kikuu cha indira gandhi nchini india huweka pamoja matumizi ya chapa sauti zilizorekodiwa video redio televisheni na teknolojia ya vielezo vya kusikiza mkutano dhana ya masomo yanayosaidiwa na kompyuta cal limetumiwa kwa wingi kuelezea teknolojia katika masomo nadharia ya elimu ni nadharia ya azma matumizi na ufafanuzi wa elimu na kusoma historia yake inatokana na wataalamu wa elimu kutoka ugiriki kuanzia karne ya katika karne ya mbinu za kusoma zimetumia nadharia katika kufunza kutathmini na katika sheria za elimu ambazo hupatikana katika vitengo mbalimbali kama ifuatavyo sababu zimetolewa kuwa kiasi cha juu cha elimu ni muhimu kwa nchi ili kuwezesha ukuaji haraka wa uchumi uchunguzi unaotegemea nadharia huunga mkono nadharia za kutabiri kuwa nchi maskini zinapaswa kukua haraka kuliko nchi tajiri kwani nchi hizi zinaweza kutumia teknolojia mpya kabisa ambayo imeshajaribiwa na nchi tajiri hata hivyo kuhamisha teknolojia kunahitaji viongozi wenye maarifa na wahandisi wenye uwezo wa kutumia mashine mpya ama mazoezi ya uzalishaji yaliyokopwa ili kuziba mpaka kwa miigo hivyo basi uwezo wa nchi wa kujifunza kutoka kwa nchi kiongozi ni jukumu la wafanyakazi wa nchi hiyo utafiti wa hivi karibuni wa vitambulishi vya kujumuisha ukuaji wa kiuchumi umesisitiza umuhimu wa vyuo asili vya uchumi na majukumu ya ujuzi tambuzi katika kiwango cha mtu binafsi kuna maandishi yenye uhusiano na kazi ya jacob mincer ya jinsi mapato yanahusiana na elimu na rasilimali ya mtu binafsi kazi hii imetia motisha idadi kubwa ya utafiti lakini pia inaelekea kuleta mabishano kwa kiasi fulani ubishi mkubwa unahusu jinsi ya kufasiri matokeo ya kusoma wataalamu wa uchumi samwel bowels na herbert ginits walitoa maoni kwamba kulikuwa na ubishi asili katika elimu nchini marekani kati ya shabaha ya demokrasia shirikishi yenye usawa na faida ya mapato ya kibepari yaliyodokeza hali ya kutokuwa na usawa historia ya elimu ilianza miaka mingi iliyopita kwa kuwa elimu kama sayansi haiwezi kutengwa na utamaduni wowote wa elimu iliyokuwepo awali wakubwa waliwafunza wadogo wao juu ya jamii kwa kutumia maarifa na ujuzi waliohitaji kufahamu na mwishowe kupitisha mabadiliko ya utamaduni na binadamu kama spishi yalitegemea mazoea ya kupitisha elimu katika jamii ambazo hazikujua kusoma hili liliafikiwa kupitia mdomo na kuiga kusimuliana hadithi kuliendelezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine lugha ya mazungumzo iliendelea na kuwa ishara na herufi kina na upana wa elimu au maarifa ulioweza kuhifadhiwa na kupitishwa uliongezeka zaidi na zaidi wakati ambapo tamaduni zilianza kupanua elimu zaidi ya ujuzi wa kawaida wa mawasiliano biashara ukusanyaji chakula tunu na desturi za kidini na kadhalika mwishowe elimu rasmi na masomo vilifuatia kisomo kwa maana hii kilikuwa kimeshaanza nchini misri kati ya na kk siku hizi aina fulani ya elimu ni jambo la lazima kwa watu wote katika nchi nyingi kwa sababu ya ongezeko la watu na kuenea kwa elimu ya lazima shirika la elimu sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa unesco limepiga hesabu ya kwamba miaka ijayo watu wengi zaidi ulimwenguni watapata elimu rasmi katika historia ya binadamu falsafa ya elimu ni utafiti wa kifalsafa juu ya kusudi utaratibu na ubora wa elimu kwa kuchunguza ufafanuzi malengo na maana ya elimu kwa jumla au ya mtazamo mmojawapo juu yake falsafa ya elimu kwa kawaida huonwa kama tawi la falsafa na la elimu falsafa ya elimu mara nyingi hubaki ndani ya falsafa na elimu ilhali ni falsafa matumizi iliyotokana na nyanja za zamani za falsafa ontolojia maadili epistemolojia na njia kisia taswira na tafiti mbinu na mtaala nadharia kwa kutaja tu chache saikolojia ya elimu ni uchunguzi wa jinsi watu hujifunza katika mandhari ya elimu ufaafu wa maingiliano ya elimu saikolojia ya kufunza na saikolojia jamii za shule ingawa maneno saikolojia ya kielimu na saikolojia ya shule mara nyingi hutumiwa kwa kubadilishana watafiti na wananadharia wanaweza kutambuliwa kama wanasaikolojia wa elimu ilhali weledi wanaopatikana shuleni au mandhari yanayoana na shule hujulikana kama wanasaikolojia wa shule saikolojia ya elimu inajishughulisha na utaratibu wa kutoa elimu kwa watu na umma kwa jumla na umma mdogo kama vile watoto wenye vipaji na wale wenye ulemavu saikolojia ya elimu inaweza kueleweka kwa sehemu kupitia masomo mengine saikolojia ya elimu vilevile huarifiwa na saikolojia ikileta uhusiano baina ya utabibu na biolojia saikolojia ya elimu pia huarifu masafa mapana ya masomo maalum yakiwemo mpango wa mafunzo teknolojia ya elimu mtaala uliokuzwa masomo yaliyopangwa masomo maalumu sayansi tambuzi na sayansi masomo katika vyuo vikuu idara za elimu ya saikolojia zimehifadhiwa katika vitivo vya elimu hii ni kwa sababu ya uwezekano wa ukosefu wa uwakilishaji wa maudhui ya saikolojia ya elimu katika utangulizi wa vitabu vya saikolojia sosholojia ya elimu ni somo linalohusu jinsi taasisi za kijamii na kani huathiri michakato na matokeo ya elimu na kinyume chake kwa wengi elimu hueleweka kama mbinu ya kushinda vizuizi kufanikisha usawa na kupata amani na hadhi kwa wote sargent wanafunzi wanaweza kutiwa motisha na hamu ya maendeleo na uboreshaji elimu hutambuliwa kama mahali ambapo watoto huweza kujikuza kulingana na mahitaji yao ya pekee jukumu la elimu linaweza kuwa ni kukuza mtu binafsi hadi kilele uelewa wa shabaha na mbinu za michakato ya utangamano wa kielimu hutofautiana kulingana na dhana ya sosholojia iliyotumika katika nchi zinazoendelea idadi na uzito wa shida zilizoko kwa kawaida ni kubwa watu wa vijijini wakati mwingine huwa hawana habari kuhusu umuhimu wa elimu hata hivyo nchi nyingine zina wizara ya elimu na katika masomo mengi kama vile kujifunza lugha za kigeni kiwango cha elimu kimo juu kuliko katika nchi zilizoendelea kwa mfano katika nchi zinazoendelea ni kawaida kupata wanafunzi wakizungumza lugha nyingi za kigeni kwa usanifu mkubwa ilhali jambo hili ni nadra katika nchi zilizoendelea ambapo idadi kubwa ya watu huzungumza lugha moja vilevile kuna shinikizo la kiuchumi kutoka kwa wazazi ambao hupendelea watoto wao wapate pesa kwa muda mfupi kuliko faida za elimu ya muda mrefu utafiti wa hivi karibuni kuhusu ajira ya watoto na umasikini zimependekeza kuwa familia zilizokumbwa na umasikini zinapofikia kiwango fulani cha kukidhi mahitaji yao ya kimsingi wazazi huwarejesha watoto wao shuleni hii imethibitshwa kuwa kweli mara tu kizingiti kinapovukwa hata kama uwezekano wa thamani ya kiuchumi ya ajira ya watoto inaongezeka baada yao kurudishwa shuleni ukosefu wa vyuo vikuu bora na kiwango cha chini cha kukubalika katika vyuo hivi ni dhahiri katika nchi zilizo na idadi kubwa ya watu baadhi za nchi zina mitaala mikuu inayoweza kubadilika kwa urahisi inayofanana na yenye miundo zaidi india inakuza teknolojia na mtandao india ilizindua edusat elimu ya setilaiti ambayo inaweza kuwafikia wengi kwa gharama ya chini kuna pia mpango ulioanzishwa na shirika la olpc kundi lililotokana na maabara ya mit lililoungwa mkono na mashirika makuu ili kukuza kompyuta ya kupakata ambayo ingeghalimu ili kuwezesha kuwasilisha elimu ya programu ya kompyuta kompyuta hizi zimesambaa kote kufikia mwaka wa kompyuta hizi zinauzwa au kutolewa kama msaada hii itawezesha nchi zinazoendelea kuwapa watoto wao elimu kwa kutumia mitambo barani afrika shirika la nepad limezindua programu ya masomo ya mtandao inayotoa vifaa vya kompyuta na masomo ya mtandao kwa shule zote za msingi na upili kwa kipindi cha miaka kumi vikundi vya binafsi kama vile wamormoni wanajikakamua kuwapa watu fursa ya kupokea elimu katika nchi zinazoendelea kupitia miradi kama vile perpetual educational fund mradi wa maendeleo kimataifa inayofahamika kama com iliyoanza kwa msaada wa rais wa marekani bill clinton hutumia mtandao kuwezesha ushirikiano wa watu binafsi kuzungumzia maswala ya maendeleo ya jamii elimu inaendelea kuwa jambo la kimataifa si vifaa vyake tu vinavyoendelea kuathiriwa na mazingira ya kimataifa yenye ukwasi bali pia mabadiliko ya wanafunzi katika viwango vyote yanayochangia kuendesha jukumu hili muhimu kwa mfano kule uropa imechechemua mabadilishano kati ya vyuo vikuu vya uropa vile vile hutoa fursa nyingi kwa wanafunzi kutoka asia ya kati na uropa mashariki wasomi wengi hudai kwamba ingawa mfumo fulani unaweza kuzingatiwa kuwa bora au mbaya kuliko mwingine kuzoea aina tofauti ya elimu mara nyingi huonwa kuwa elementi muhimu ya kuzoea masomo ya kimataifa elimu katika dini ya uislamu ni muhimu kwa wake na waume haswa kwa watoto wadogo kinyume na dhana ya kawaida kutafuta aina zote za maarifa yawe ya kitaaluma ya kidini au ya kidunia yanaruhusiwa kwa watu wa umri wowote hata hivyo masomo ya umri mdogo huonwa kuipa akili fursa ya kumakinika bila kuathiriwa na shida na majukumu ya maisha ya utu uzima hekaya za abunuwasi ni mkusanyo wa hadithi fupi zinazosimulia habari za abunuwas hadithi hizi hazina uhusiano halisi na abu nuwas mshairi mwarabu aliyeishi baghdad mnamo mwaka bk abunuwasi wa hekaya ni mjanja anayeshindana mara kwa mara na tabia mbaya za watu wenzake kama vile walafi matajiri wasio na huruma akiwadanganya kwa kutumia mbinu zao wenyewe mara nyingi hadithi zilezile zinasimuliwa pia katika nchi nyingine za waislamu kwa majina kama hekaya za nasreddin guha au hekaya za mullah mchoraji mtanzania godfrey mwampembwa anayejulikana kwa jina la gado alitunga kitabu cha vibonzo kwa jina la abunuwasi kinachosimulia tatu za hekaya zake kitabu hiki kilitolewa na sasa sema publications mwaka kuna matoleo kadhaa ya hekaya ya miaka ya nyuma kuna wakati abunuwasi aliamua kuwa mfuga mbuzi alinunua mbuzi wa kufuga huku akiwa na lengo la kujiongezea kipato chake pindi mbuzi huyo atapoanza kuzaa ili awafuge ndama wawe wengi na kumuwezesha kuwa tajiri kuliko wote waliokuwepo katika mji ule siku moja abunuwasi akipokuwa anampeleka mbuzi wake malishoni alikuta kiatu kimoja kizuri sana katikati ya njia alisimama na kukiangalia kiatu kilipendeza machoni mwake ila akasema kiatu hiki ni kizuri lakini mbona kipo kimoja tu alitafuta kiatu cha pili pembezoni mwa njia ila hakukiona alipoona hawezi kuvaa kiatu kimoja aliamua kukiacha palepale abunuasi akachukuwa mbuzi wake na mbele kidogo akaona kile kiatu cha mguu wa pili abunuwas alishangaa na akaona bora angelikichukua kile cha mwanzo kwa sababu cha pili kimepatikana aliporudi pale mwanzo kukitafuta alichokiacha awali lakini hakukikuta tena alijaribu kukitafuta lakini hakukiona basi akadhani kuna mtu amekiokota akarudi haraka alipomfunga mbuzi wake nako pia hakumkuta mbuzi wala kile kiatu kimoja mwisho akawa amemkosa mbuzi na viatu ndoto zote za abunuwasi kupata utajiri zikaruka na akabaki na umasikini wake kwa sababu ya tamaa yake bunge la umoja wa afrika ni mkutano wa wawakilishi wa nchi wanachama wa umoja wa afrika wabunge wake hawapigwi kura na raia wa nchi wanachama bali wanateuliwa na bunge za nchi wanachama kwa sasa kazi ya bunge ni kutoa ushauri tu kwani haina mamlaka ya kutunga sheria makao makuu ya bunge yapo mjini midrand afrika kusini sasa kwa muda katika jengo la gallagher estate katikati ya johannesburg na pretoria afrika kusini inalipa gharama za makao na za ofisi ya bunge mkutano wa kwanza ulifanyika machi mwenyekiti wa bunge ni gertrude mongella kutoka tanzania ana makamu wanne kutoka kanda nne za afrika nao ndio christopher mtikila alikuwa mchungaji wa kikristo na mwanasiasa nchini tanzania kama kiongozi wa chama cha upinzani cha democratic party dp mtikila alizaliwa iringa kusini mwa tanzania mwaka mwanzoni mwa miaka ya mchungaji mtikila alijipatia umaarufu mkubwa katika siasa za tanzania kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuongea upinzani wake dhidi ya muundo wa muungano kati ya tanganyika na zanzibar madai yake kuhusu hujuma za uchumi zinazofanywa na wahindi ambao aliwaita magabacholi na kesi mbalimbali za kikatiba alizokuwa akizifungua katika mahakama za tanzania kesi za kikatiba ambazo aliwahi kuzifungua ni pamoja na kesi ya kutaka wagombea binafsi kuruhusiwa katika uchaguzi tanzania wananchi wa tanzania bara kuruhusiwa kwenda zanzibar bila pasipoti na vyama vya siasa kuruhusiwa kufanya mikutano bila kuomba kibali toka kwa mkuu wa wilaya na polisi mtikila alifungwa kwa mwaka mmoja mnamo baada ya kupatikana na hatia ya kutoa maneno ya kashfa dhidi ya aliyekuwa katibu mkuu wa ccm marehemu horace kolimba mwaka alihukumiwa kifungo kilichosimamishwa cha miezi sita kwa kutoa maneno ya kashfa dhidi ya mkuu wa polisi wa wilaya ya ilala kwa muda mrefu chama chake cha dp hakikuweza kupata usajili wa kudumu kutokana na kukataa kwake kutambua zanzibar alikuwa akisisitiza kuwa chama chake ni cha tanganyika na si tanzania hata hivyo mtikila alibadili msimamo wake katika miaka iliyofuata kwa kukubali kutafuta wanachama toka zanzibar kama sheria ya uchaguzi inavyotaka na hivyo chama chake kuweza kupata usajili wa kudumu mtikila alikuwa ni kati ya wagombea wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka katika uchaguzi huo alipata kura asilimia pamoja na shughuli za siasa mchungaji mtikila alikuwa mwanzilishi na mkuu wa kanisa la kipentekoste la full salvation church mchungaji mtikila alijihusisha pia na harakati za haki za binadamu kwa kupitia kitengo cha haki za binadamu cha kanisa hilo kiitwacho liberty desk mchungaji mtikali amefariki alfajiri ya jumapili oktoba kwa ajali ya gari kwenye kijiji cha msolwa karibu na chalinze barafu ni maji yaliyoganda maji huganda yakishikwa na baridi na kufikia c barafu inaeleweka ni maji ya mgando hata kiowevu kingine kinaweza kushika baridi na kuganda kuwa barafu ila kama maziwa yanaganda tunayaita barafu ya maziwa pia hewa ya kaboni inaweza kugandishwa na kuwa barafu kavu inapatikana katika hali na ukubwa mbalimbali kama ni ndogo ni fuweli kadhaa tu kubwa zaidi ni vipande vya mvua ya mawe barafu inaweza kuwa ganda kubwa kama bapa nene sana kama lile linalofunika bara la antaktiki barafu ina kazi muhimu katika hali ya hewa duniani hasa maganda ya barafu kwenye ncha za dunia yanatunza sehemu kubwa ya maji matamu yaliyopo maji yakiganda hupanuka hivyo barafu yake inahitaji nafasi kubwa kuliko maji ya kiowevu kiasi cha mfano wake ni chupa ya soda katika friji inaweza kupasuka sababu yake ni maji ndani ya soda inahitaji nafasi kubwa kuliko soda ya majimaji hivyo kupasua chupa yenyewe kutokana na hali hiyohiyo barafu ni nyepesi kuliko maji hivyo hubaki juu ya maji vipande vikubwa vya barafu vikiyeyuka na barafu ya antaktiki au aktiki vinaelea baharini kama siwa barafu vinaweza kuharibu hata meli kubwa jinsi ilivyoonyesha mfano wa meli titanic kwenye mtelemko wa milima barafu inaweza kutambaa kama mto ikiitwa barafuto botswana yaani utswana ni nchi huru iliyoko kusini mwa afrika jina rasmi ni jamhuri ya botswana mji mkuu wa botswana ni gaborone botswana haina pwani kwenye bahari yoyote imepakana na zambia zimbabwe afrika kusini na namibia mpaka baina ya taifa la botswana na zambia ni meta tu na ndio mfupi kuliko mipaka yote ulimwenguni kuna pia feri ya moja kwa moja kati ya botswana na zambia kuvukia mto zambezi jangwa la kalahari linafunika theluthi mbili za eneo la botswana moja ya maeneo muhimu nchini botswana ni delta ya mto okavango delta ya okavango ni delta kubwa kabisa duniani maana yake mdomo wa mto si baharini bali kwenye nchi kavu maji yakiishia jangwani wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani katika karne za kwanza bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi botswana imekuwa na mfumo wa demokrasia kwa miaka mingi ikiwa na viongozi ambao huchaguliwa kwa kura ya wananchi wote rais wa jamhuri ni mokgweetsi masisi watu wa botswana hujiita batswana kutokana na jina la kabila kubwa kabisa nchini kuna wakazi takriban milioni kwa sababu nchi ni kubwa msongamano wa watu kwa kilometa za mraba ni pekee idadi hiyo ndogo imetokana na sehemu kubwa ya nchi hiyo kuwa jangwa lugha inayotumiwa na wakazi walio wengi ni setswana kitswana pamoja na kiingereza upande wa dini wakazi wengi ni wakristo wakiwemo waprotestanti na wakatoliki wafuasi wa dini asilia ya kiafrika ni asilimia haina dini yoyote uchumi wa botswana umekuwa imara kwa miaka mingi na hali ya maisha imeendelea kuwa bora kila mwaka tangu uhuru utajiri wa nchi unatokana hasa na migodi ya almasi pamoja na machimbo ya shaba na minerali kama vile chumvi watalii wanaongeza pato la taifa hasa kwa sababu ya uzuri wa delta ya okavango fedha ya botswana huitwa pula yaani mvua ina thebe ngao bendera ni kitambaa chenye rangi mbalimbali mara nyingi ina umbo la pembenne pia la mraba au pembetatu ina kazi ya kitambulisho au alama ya mawasiliano mara nyingi bendera ni alama ya kitambulisho cha taifa au jumuiya nyingine nchi inweka bendera yake kwa kuonyesha hapa eneo letu linaanza au leo tunaonyesha bendera kwa sababu ni sikukuu ya taifa serikali zinaweza kuweka bendera mbele ya majengo rasmi ikonyesha hapa ndipo jengo rasmi kama kituo cha polisi shule nyumba ya wizara na kadhalika mji una bendera ukiitumia kama serikali ya nchi katika eneo lake klabu ya soka inaweza kuwa na bendera bendera ya klabu inaonyeshwa na wafuasi wake uwanjani kwa kusidi la kuwaonyesha wachezaji kuwa wenzao wako bendera zilikuwa kati ya alama muhimu vitani vikosi mbalimbali vilikuwa na bendera zao zilizowasaidia wanajeshi kutambua jeshi lao liko sehemu gani kama walitengwa na wenzao wengine katika mapigano ya watu maelfu matumizi ya kale kabisa ya mabendera ni kuwasilisha habari matumizi haya yanahitaji uelewano kuhusu maana ya rangi zinazoonyeshwa rangi mbalimbali pamoja zinaweza kumaanisha maneno herufi au amri bendera zenye rangi hizi zinaonekana kwa umbali wa wastani unaotegemea ukubwa wa bendera utaratibu huu uliwahi kutumika kati ya meli baharini tangu karne nyingi hadi leo meli zinatumia mawasiliano ya bendera hata siku hizi za simu na redio lakini bendera zinasaidia kama mitambo imeharibika au kama meli mbili zinakutana zisizojua marudio ya redio ya meli nyingine matumizi haya ni kawaida pia katika michezo fulani kwa mfano mshika bendera kwenye soka au alama ya mwanzo mbioni ufalme wa lesotho au lesotho ni nchi ndogo inayozungukwa na afrika kusini pande zote haina pwani kwenye bahari yoyote jina lesotho lamaanisha eneo la basotho wakazi watu ambao wanaongea lugha ya kisotho ambayo ni lugha rasmi pamoja na kiingereza wakati wa ukoloni ilijulikana kama basutoland sasa ni nchi mwanachama wa umoja wa mataifa ina wakazi milioni hivi mji mkuu ni maseru ukweli wa kijiografia ambao wajulikana zaidi kuhusu lesotho ni kwamba ni nchi inayozungukwa na afrika ya kusini na ni nchi huru pekee duniani ambayo yote iko juu ya mita juu ya usawa wa bahari ub ft eneo la chini zaidi liko mita futi na zaidi ya asilimia za nchi ziko juu ya mita futi wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya wasani katika karne za kwanza bk walifika wahamiaji wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi lesotho ya sasa ilianza kupatikana mwaka chini ya chifu moshoeshoe i aliyeungana na makabila mengine dhidi ya shaka zulu baadaye nchi iliathiriwa na mahusiano na waingereza na makaburu wa koloni la rasi leo afrika kusini yakiwemo mapigano ya mara kwa mara wamisionari walioalikwa na mfalme moshoeshoe i walianza kuandika na kuchapa kwa lugha ya kisotho kati ya miaka na mwaka nchi ikawa chini ya malkia wa uingereza kwa jina la basutoland lakini mwaka waingereza waliwaachia makaburu nusu ya eneo la basutoland uhuru ulipatikana tena mwaka na nchi ikaitwa ufalme wa lesotho kwa usimamizi wa serikali lesotho imegawiwa katika wilaya kila moja ikiongozwa na karani wa wilaya kila wilaya ina mji unaoitwa mji wa kambi camptown wakazi kwa asilimia ni wakristo wakigawanyika karibu sawa kati ya wakatoliki na waprotestanti wa madhehebu mbalimbali shirikisho la mataifa kwa kiingereza league of nations lilikuwa umoja wa madola ya dunia kati ya na bk umoja huo ulianzishwa na mataifa washindi wa vita kuu ya kwanza ya dunia katika miaka mataifa mengine yalijiunga nao shirikisho la mataifa lilikwisha baada ya kuundwa kwa umoja wa mataifa iliochukua nafasi yake wazo la kuwa na shirikisho la mataifa lilitolewa mara ya kwanza na mwanafalsafa mjerumani immanuel kant mnamo mwaka wazo la kant lilirudiwa na wanafalsafa mbalimbali wakati wa vita kuu ya kwanza rais wa marekani woodrow wilson alipendekeza hatua za kuanzisha shirikisho hili kwa kusudi la kuzuia vita kwa wakati ujao baada ya mwisho wa vita ile katiba ya shirikisho la mataifa ilikuwa sehemu ya mkataba wa versailles mwaka nchi washindi au mataifa ya ushirikiano zilijiunga na umoja huo mpya baada ya kukubaliwa na nchi za kutosha shirikisho lilianza rasmi tarehe januari katiba ilikuwa na madhumuni kama yafuatavo mkataba wa versailles ulianzisha aina mpya ya maeneo yaliyowahi kuwa ama koloni au majimbo ya nchi zilizoshindwa katika vita koloni zote za ujerumani pamoja na sehemu kubwa ya majimbo ya milki ya osmani ya awali ziliwekwa chini ya mamlaka ya shirikisho la mataifa na kukabidhiwa kwa nchi washindi wa vita zilipewa hali ya pekee kama maeneo ya kudhaminiwa league of nations mandate territories tofauti na koloni za kawaida nchi wadhamini hazikupewa mamlaka yote jinsi iliyokuwa katika koloni zao za kawaida bali zilipokea maeneo ya kudhaminiwa chini ya masharti fulani pamoja na kulinda haki kadhaa za wenyeji na kuandaa nchi hizi kwa uhuru hapo mwanzoni tofauti kati ya koloni na eneo la kudhaminiwa haikuwa kubwa lakini baadaye masharti ya udhamini yalikuwa muhimu kwa mfano hali ya tanganyika kuwa eneo ka kudhaminiwa ilisababisha uingereza kutokubali walowezi wengi kuja hapa vivyo hivyo hali ya afrika ya kusini magharibi kuwa eneo la kudhaminiwa ilizuia sehemu hii kuwa jimbo la afrika kusini na kuwa msingi kwa uhuru wake kama nchi ya namibia shirikisho lilikuwa awali umoja wa mataifa washindi wa vita baadaye hata nchi zisizoshiriki katika vita na pia nchi zilizoshindwa kama ujerumani zilipokelewa kama wanachama idadi ya wanachama ilipanda hadi kufikia kati ya mafanikio ni haya shirikisho la mataifa liliunda pia utaratibu wa utawala wa maeneo yaliyokuwa chini ya uturuki na ujerumani hadi liberia na afrika kusini zilikuwa wanachama tangu mwanzo ethiopia ilipokelewa mwaka katika afrika shirikisho liliunda utaratibu mpya kwa ajili ya koloni za ujerumani yaani tanganyika rwanda burundi togo kamerun na namibia ujerumani haukubaliwa kuwa nazo tena kwa sababu ya kuwatendea wenyeji waafrika vibaya hata kama sababu hiyo ilikuwa tamko la washindi wa vita waliotaka kujigawia wenyewe koloni hizi ilhali wenyewe waliwahi kuwatendea watu vibaya katika koloni zao msingi muhimu uliwekwa uliozaa matunda baadaye yaani hata serikali ya kikoloni inatakiwa kuheshimu haki za binadamu halafu koloni za ujerumani hazikukabidhiwa tu kwa uingereza tanganyika sehemu za kamerun na togo ufaransa sehemu kubwa za kamerun na togo ubelgiji rwanda burundi na afrika kusini namibia hivi lakini kama maeneo ya kukabidhiwa chini ya uangalizi wa shirikisho la mataifa utaratibu huu ulikuwa muhimu baadaye wakati wa uhuru namibia ilikuwa sehemu ya afrika kusini chini ya sheria za nchi ile lakini jumuiya ya kimataifa haikukubali kwa sababu namibia ilikuwa kati ya maeneo ya kukabidhiwa mwishoni afrika kusini iliiacha namibia iwe huru mwaka miaka baada ya mwisho wa shirikisho lenyewe tatizo kubwa tangu mwanzo ilikuwa ya kwamba marekani haukuthebitisha unachama wake rais wilson aliyeandaa kuundwa kwa shirikisho alikuwa amekasirisha wabunge wake nyumbani hivyo senati ya marekani iliendelea kukataa uanachama ya marekani matatizo mengine yaliyosababisha kushindwa kwa shirikisho la mataifa yalitokana hasa na udhaifu mkubwa wa kukosa jeshi lake tangu mwanzo shirikisho lilitegemea nguvu ya nchi wanachama kama nchi ilivunja mapatano na kukataa kuitikia maazimio ya shirikisho kuanzia mnamo mwaka mataifa wanachama makubwa yalianza kuvunja vibaya sheria za shirikisho lakini hatua kali hazikuchukuliwa dhidi yao shirikisho lilishindwa kuzuia vita na mashambulio dhidi ya nchi wanachama wake kati ya matukio muhimu yaliyoharibu sifa za shirikisho ni nchi mbalimbali zilitoka katika shirikisho la mataifa baada ya kupingwa mkutanoni kama vile italia japan na ujerumani azimio la mwisho lenye maana kidogo yalikuwa kufukuza urusi katika shirikisha baada ya uvamizi wake katika finland mwaka septemba ujerumani ilivamia poland baada ya siku chache ilionekana ya kwamba vita kuu ya pili imeanza shirikisho la mataifa lilishindwa katika dhumuni lake la kuzuia marudio ya vita kuu ya kwanza ya dunia washindi wa vita kuu ya pili waliamua kuanzisha chombo kipya umoja wa mataifa uliundwa ukachukua nafasi yake vitengo kadhaa za shirikisho viliendela vikihamia kwa um kwa mfano shirika ya kazi ya kimataifa ilo mwaka mkutano mkuu uliamua mumaliza shirikisho mali yale ilikabidhiwa kwa um diego garcia ni atolli ya kiingereza katika bahari hindi kati ya tanzania na indonesia ni sehemu ya funguvisiwa la chagos na leo kisiwa pekee chenye wakazi ambao ni wanajeshi wa marekani ni kituo kikubwa cha kijeshi cha marekani katika bahari hindi kati ya miaka na kisiwa kilikuwa sehemu ya koloni la morisi mwaka kilitengwa na morisi pamoja na funguvisiwa lote mwaka uingereza ilikodisha diego gracia kwa jeshi la marekani ambao walitaka kuwa na kituo cha kijeshi kwenye bahari hindi katika mashindano yao na umoja wa kisovyeti katika miaka miwili iliyofuata wenyeji wote wa funguvisiwa waliondolewa visiwani wakahamishiwa na watoto wao huko mauritius shelisheli na uingereza wengi wao wanapigania haki ya kurudi mahakama ya uingereza iliwaruhusu mwaka warudi tena lakini serikali imekataa mwaka diego garcia ilikuwa kituo muhimu katika vita vya marekani huko afghanistan na irak ndege za kijeshi za aina b zinatoka hapa pamoja na ndege za kubeba petroli marekani ina pia kituo cha manowari zake kisiwani ol doinyo lengai maana kwa kimaasai ni mlima wa mungu ni mlima wenye asili ya volkeno katika tanzania ya kaskazini iko takriban km kaskazini magharibi kwa arusha na km kusini kwa ziwa natron mlima una kimo cha m juu ya ub ni volkeno ya pekee duniani kutokana na aina ya lava yake inayotoka hali ya kiowevu majimaji lakini si moto sana mnamo c ol doinyo lengai ililipuka tena kuanzia machi katika mwaka mlima umesababisha mitetemeko ya ardhi ya mara kwa mara kuanzia tarehe julai tetemeko la tarehe julai lilisikika hadi nairobi m ni herufi ya katika alfabeti ya kilatini ambayo ni pia mwandiko wa kiswahili cha kisasa asili yake ni mi ya alfabeti ya kigiriki asili ya herufi m ni katika miandiko iliyotangulia alfabeti ya kilatini waroma walipokea mwandiko kutoka alfabeti ya kigiriki kupitia alfabeti za kiitalia za awali kama kietruski wagiriki walipokea kutoka wafinisia wafinisia walikuwa na alama ya mem iliyokuwa kiasili picha iliyorahisishwa ya maji wakitumia alama tu kwa sauti ya m na kuiita kwa neno lao kwa maji mem kwa kurahisisha kazi ya kuandika waliongeza stari mrefu upande walipoanza kuandika wagiriki walichukua alama hiyo na kuiita mi bila kujali maana asilia ya maji ilikuwa sauti tu ya m waligeuza alama kulingana na mwendo wao wa kuandika kuanzia upande wa kushoto na kufikia umbo lililokaa hivyo waitalia ya kwanza wakaipokea ilivyo hata kama walirudi mara nyingi kwa umbo la mapema waroma wakaendeleza alama hiyo katika alfabeti yao kwa maana hiyihiyo herufi za kiarabu ni maandishi maalumu ya lugha ya kiarabu nje ya kiarabu lugha mbalimbali zinaandikwa kwa herufi za kiarabu hasa lugha za nchi zenye waislamu wengi ingawa herufi hizo zilibuniwa kabla ya dini hiyo kuenea kati ya lugha hizo kuna kiajemi kikurdi kimalay na urdu pengine katika lugha hizo herufi kadhaa zinaongezwa au kupunguzwa kulingana na lugha ilivyo kihistoria hata kiswahili na kituruki ziliwahi kuandikwa kwa herufi za kiarabu kuna herufi za kiarabu zinazoandikwa kutoka kulia kwenda kushoto herufi zote isipokuwa sita zinaunganishwa wakati wa kuandika kutokana na tabia hiyo kila herufi inaweza kuonekana kwa maumbo tofautitofauti kiasi kutegemeana na mahali pake mwanzoni katikati au mwishoni mwa neno kwa kawaida maandishi ya kiarabu ni ya konsonanti tu bila vokali vokali zikiandikwa zinaonekana kama mstari au nukta chini au juu ya herufi zinazoanzisha silabi bagamoyo ni mji mwambaoni mwa bahari hindi katika tanzania takriban km kaskazini kwa dar es salaam na km magharibi kwa kisiwa cha unguja bagamoyo iko kati ya miji ya kale kabisa ya waswahili katika tanzania magofu ya kaole msikiti na makaburi ya karne ya bk yako karibu na bagamoyo yakionyesha umuhimu wa utamaduni wa kiislamu katika eneo hili lakini hakuna uhakika kuhusu historia ya bagamoyo ya kale isipokuwa ya kwamba mnamo karne ya mji haukuwa muhimu wakazi walio wengi wakati ule walikuwa wavuwi na wakulima palikuwa na biashara kiasi cha samaki na chumvi mwisho wa karne ile familia za waarabu kutoka oman walihamia bagamoyo wakipanua biashara yake mji ukawa kituo muhimu zaidi kwenye pwani biashara ya misafara mikubwa ya karne ya kwenda barani hadi kongo ilianza na kurudi hapa hasa kuhamia kwa makao ya sultani wa oman kuja zanzibar kuliongeza umuhimu wa mwambao karibu na unguja wafanyabiashara wa zanzibar walikusanya bidhaa zao huko unguja wakavuka bahari na kuajiri mahamali wakarudi miezi au miaka kadhaa baadaye wakileta pembe za ndovu na watumwa kwa njia hiyo bagamoyo ilijulikana kama bandari kuu ya biashara ya watumwa kwenye pwani ya afrika ya mashariki katika karne ya watumwa wakasafirishwa kwa jahazi au dhau hadi unguja wakiuzwa huko sokoni mapadre wa roho mtakatifu walijenga kituo chao cha kwanza katika afrika ya mashariki huko bagamoyo wakiona umuhimu wa mji kama mlango wa bara aprili sultani wa zanzibar alikodisha eneo la pwani kwa kampuni ya kijerumani kwa afrika ya mashariki walioanzisha makao makuu yao bagamoyo ukali wa kampuni ulisababisha katika muda wa wiki chache ghasia ya wenyeji wa pwani iliyoleta vita vya abushiri ambavyo vilikandamizwa na wanajeshi wa ujerumani mwaka serikali ya ujerumani ilichukua madaraka ya utawala badala ya kampuni halafu mji mkuu ukahamishwa dar es salaam umuhimu wa bagamoyo ilianza kupungua tena kwa sababu meli kubwa zilitumia bandari ya dar es salaam badala ya bagamoyo leo hii bagamoyo ni mji mdogo unaofanywa na kata mbili za magomeni na dunda majengo yake ya kihistoria yako katika hali mbaya wakazi walio wengi wanaishi katika sehemu jipya la magomeni na soko jipya majaribio ya hifadhi la urithi wa kihistoria hayakufaulu sana tangu miaka mingi bagamoyo ina chuo cha kitaifa kiitwacho chuo cha sanaa cha bagamoyo kinafundisha uchoraji wa jadi wa tanzania uchongaji mchezo kucheza na kucheza mwaka kulingana na chuo sanaa ya bagamoyo na taasisi ya kitamaduni tasuba ilianzishwa mzee katika mji mkongwe bagamoyo tangu barabara ya lami imepatikana na kuleta matumaini ya kuongezeka kwa utalii idara ya mambo ya kale nchini tanzania inafanya kazi ili kudumisha maboma ya zama za kikoloni karibu na bagamoyo na kuimarisha mji mwaka wa idara hiyo iliomba unesco kuingiza bagamoyo katika orodha ya urithi wa dunia world heritage katika jamii ya kitamaduni bandari mpya iitwayo bagamoyo port inajengwa mbegani karibu na bagamoyo serikali ya uchina imewekeza dola la kimarekani bilioni ili kuifanya bandari hii kuwa moja ya bandari muhimu afrika jibuti kwa kiarabu ni mji mkuu na mji mkubwa nchini jibuti ukiwa na wakazi mji wenyewe uko kwenye rasi inayogawa ghuba ya aden kutoka ghuba ya tadjoura yenyewe iko kaskazini mashariki mji huo ulianzishwa na ufaransa kama bandari mwaka wa ukawa mji mkuu mwaka wa ukiandamwa na tadjourah msafiri mmoja mwandishi alielezea mji jibuti kama mji ulio na shida ya kujitambulisha alisema ya kwamba mji wa kudumu kwa taifa la wahamiaji ni mji wa kiafrika uliotengenezwa kama makao ya kiulaya na pia kama hong kong wa kifaransa kwa bahari ya shamu mji pamoja na bandari ulianzishwa kwa sababu mahali pake pana umuhimu wa kijeshi kwa kuwa uko karibu na mlango wa bahari wa bab el mandeb ulio njia ya kuingia bahari ya shamu kutoka bahari hindi na kuelekea mfereji wa suez wakati wa ukoloni ulikuwa muhimu kwa ufaransa kwa sababu meli zake ziliweza kupumzika hapa na kuongeza maji na makaa njiani kati ya mediteranea na makoloni ya kifaransa huko vietnam na kandokando yake mji umepangwa na wafaransa na sehemu mbili moja kwa ajili ya maafisa wafaransa na nyingine kama makazi kwa ajili ya waafrika kaskazini mashariki kuna bandari inayotumika kwa biashara za kimataifa uvuvi wa samaki na feri inayoenda obock na tadjoura hulka za mji wa jibuti ni mapwa kwa pwani ya magharibi na soko kubwa la kati na uwanja wa michezo wa taifa jumba la rais na msikiti hamouli gari la moshi laenda hadi addis ababa na pia mji huu wasafiri wa ndege hushukia uwanja wa ndege wa jibuti ambouli asmara pia asmera ni mji mkuu na makazi makubwa nchini eritrea watu wakiwa wanaishi mjini humu nguo nyama pombe viatu na seramiki ni mojawapo ya vifaa vinavyotoka mji wa asmara asmara yenyewe kijiografia iko kaskazini mashariki mji umo katika orodha ya urithi wa dunia ya unesco asmara ilianza kutoka vijiji vinne karne ya kama eneo la biashara na baadaye kama mji wa ras alula ilitawaliwa na waitalia tangu mwaka na kuwa mji mkuu wa koloni la eritrea miaka ya waitalia waligeuza mji kwa majengo mapya asmara iliitwa na waitalia piccola roma roma mdogo siku hizi majengo makubwa zaidi ya asmara ni ya kiitalia na maduka bado yana majina ya kiitalia mfano bar vittoria pasticceria moderna casa del formaggio ferramenta siku za vita vya uhuru wa eritrea kutoka ethiopia uwanja wa ndege wa asmara ulikuwa mhimu sana waethiopia walitumia uwanja huo kupata silaha kutoka ng ambo mji wa mwisho kuanguka kwa jeshi ya ukombozi wa eritrea ulitekwa mwaka na kusalimishwa na jeshi ya ethiopian bila vita mnamo mei mji wenyewe una makumbusho na unajulikana kwa majengo ya karne ya sanaa ya deco sinema impero kubisti pensheni afrika kanisa kuu la tewahedo nyumba ya opera ujenzi wa umbele jengo la fiat tagliero jengo la neo romanesque kanisa kuu la kanisa katoliki na ujenzi wa kupendeza asmara pia ni nyumbani kwa chuo kikuu cha asmara na gome ya karne ya kituo cha ndege uwanja wa kimataifa wa asmara kimeungana pia na bandari ya massawa kwa reli ya eritrea asmara ni makao makuu ya patriarki wa kanisa la kiorthodoksi la eritrea lililokubaliwa na patriarki wa aleksandria misri kuwa linajitegemea tangu mwaka na kuongozwa na patriarki wake tangu mwaka sawa na kanisa la kiorthodoksi la ethiopia ambalo pia linakiri umoja wa nafsi wa yesu kristo tewahedo mungu ibariki afrika ni wimbo wa taifa wa tanzania jina linatokana na maneno yake ya kwanza asili yake ni wimbo nkosi sikelel iafrika wa afrika kusini enoch sontonga ndiye mtunzi wake mwaka sehemu ya wimbo huu inatumika pia katika nyimbo za taifa za afrika kusini na zambia huko nyuma ulitumiwa kama wimbo wa taifa wa zimbabwe mungu ibariki afrika wimbo nkosi sikelel iafrika yaani god bless africa ulitungwa na enoch sontonga mhosa raia wa afrika kusini na baadaye kutafsiriwa na kanali moses nnauye kwenda kiswahili kuwa mungu ibariki afrika ulikuwa wimbo wa african national congress anc walipokuwa wanapambana na ukandamizaji wa makaburu pamoja na kutumika katika afrika kusini umeimbwa pia katika nchi nyingine kwa mfano zimbabwe na namibia na labda hata botswana lesotho swaziland na malawi kwa miaka mingi hata kabla ya tanu tanganyika african national union kuanzishwa mwaka wa wimbo huo nkosi sikelel iafrika ulikuwa unaimbwa afrika kusini kama vile chama cha afrika kusini african national congress anc kilivyoanzishwa miaka mingi kabla ya chama cha tanu kwenye mkutano wa kwanza uliofanyika bloemfontein ili kuanzisha chama hicho mwaka wa waliimba nkosi sikelel iafrika julius nyerere alikuwa bado hajazaliwa chama kilichoanzishwa kiliitwa south african native congress chini ya uongozi wa john dube mzulu na piley ka i seme pia kutoka natal kama dube kikabadilishwa jina baadaye na kuitwa african national congress anc kuanzia mwaka wa wana anc waliuchagua wimbo huo nkosi sikelel iafrika kama wimbo wao wa taifa na bado unaimbwa leo katika nyimbo za mataifa yetu ya kiafrika hakuna wimbo mwingine unaojulikana kama wimbo huo hata katika nchi za afrika magharibi watu wengi wanajua nkosi sikelel iafrika ni wimbo gani na unamaanisha nini hata kenya wanaimba wimbo huo unaimbwa na unafahamika katika nchi nyingi hata kaskazini mwa bara hili ukienda misri algeria na nchi nyingine huko utawakuta watu wengi wanaojua kuhusu nkosi sikelel iafrika enoch sontonga alitoka eastern cape province jimbo la wahosa ambako pia ni nyumbani kwa nelson mandela alitunga wimbo huo kama wimbo wa kanisa katika lugha yake ya kihosa kama wimbo wa bara lote ndiyo maana alisema nkosi sikelel iafrika god bless africa si god bless south africa alipotunga wimbo huo mwaka wa haukuimbwa hadharani mpaka mwaka wa uliimbwa kanisani kwa mara ya kwanza mwaka huo halafu baada ya miaka kumi na tatu uliimbwa kwenye mkutano wa kwanza wa south african native congress mwaka wa uliofanyika bloemfontein kuanzisha chama hicho kugombea haki za wafrika hata watanganyika wengi waliokwenda kufanya kazi migodini afrika kusini miaka ya na waliujua wimbo huo walikuwa wanaimba nkosi sikelel iafrika pamoja na watu wa afrika kusini walipokuwa huko na waliporudi tanganyika watanganyika wengi mara baada ya kupata uhuru walikuwa au waliona music sheets za wimbo huo nchini tanganyika ikiwa na jina la enoch sontonga kama ndiye mtunzi wa wimbo huo ilikuwa katika lugha mbili kiswahili na kiingereza na kichwa chake kilikuwa mungu ibariki afrika god bless africa yaani nkosi sikelel iafrika sikiliza wimbo huo katika youtube ambao mmoja wa waimbaji wake katika video ni miriam makeba ukiusikiliza muziki wake hauna tofauti hata kidogo na ule wa wimbo wa taifa mungi ibariki afrika au wa wimbo wa taifa wa zambia nyimbo nyingi za enoch sontonga zilikuwa nyimbo za huzuni kuhusu maisha magumu ya wafrika chini ya utawala wa wazungu waliokuwa wanawakandamiza wafrika katika bara lote wimbo wake nkosi sikelel iafrika ulitokana na maumivu hayo ya wafrika ingawa pia ulikuwa wimbo wa kuwapa tumaini kwamba hawako peke yao mungu yuko nao au yuko nasi ingawa tunaumia na tunateswa na wanaotutawala kwa mabavu wimbo huo nkosi sikelel iafrika uliwekwa kwenye sahani ya santuri kwa mara ya kwanza huko london mwaka wa uliimbwa na solomon plaatje mwimbaji maarufu wa afrika kusini ambaye pia alikuwa mmoja wa wafrika walioanzisha chama cha south african native congress bloemfontein mwaka wa ni wimbo wa watanzania pia kwa sababu afrika ni moja kwa hiyo hawakuiba wala kuazima wimbo huo kwa kuufanya wimbo wa taifa ni wa watu wa afrika kusini na wa nchi nyingine zote za afrika vilevile utumizi wa wimbo huo unaonyesha umoja na undugu wa waafrika ndiyo maana kulikuwa hata vyama vilivyopigania uhuru ambavyo majina yao yalifanana au yalikuwa karibu sana kwa mfano african national congress anc iliyoundwa tanganyika na kuongozwa na zuberi mtemvu na katibu wake mkuu john chipaka ilikuwa na jina sawa na la chama cha afrika kusini cha akina mandela pia chama cha kwanza kupigania uhuru northern rhodesia kilichoongozwa na harry nkumbula kilikuwa kinaitwa african national congress na kiliendelea kuitwa hivyo hata baada ya wanachama wengine kuondoka na kuunda chama kingine united national independence party unip chini ya uongozi wa kenneth kaunda kenya kulikuwa na kenya african union kau kabla ya tanganyika african national union baadaye kau ikabadili jina kidogo na kuitwa kanu na ndugu zetu zimbabwe waliunda chama kinachoitwa zanu baada ya baadhi yao pamoja na robert mugabe kuondoka na kuachana na zapu majina hayo katika nchi mbalimbali yanafanana kwa sababu waafrika wanajiona na kweli ni ndugu bila kujali kabila rangi dini au asili pia inaonyesha ushirikiano wao hata uganda jeshi lao ni uganda people s defence forces updf jina linalotokana na jina la tanzania people s defence forces tpdf saint helena maana kwa kiingereza mtakatifu helena ni kisiwa cha bahari ya atlantiki ya kusini chenye eneo la km umbali na angola ni km ni km hadi brazil amerika ya kusini kisiwa chenye asili ya kivolkeno kimo ndani ya beseni la angola la atlantiki hivyo huhesabiwa kuwa kisiwa cha afrika kiutawala ni eneo la ng ambo la uingereza na makao makuu ya kundi la visiwa vidogo pamoja na kisiwa cha ascension na funguvisiwa la tristan da cunha mji mkuu ni jamestown wenye wakazi wakazi ni wa asili ya ulaya afrika na china wote wana uraia wa uingereza wakitumia lugha ya kiingereza kihistoria saint helena haikuwahi kuwa na wakazi kabla ya kufika kwa wareno mwaka bk ndio waliojenga nyumba za kwanza bila kuacha wakazi wa kudumu katika miaka iliyofuata palikuwa na mvutano kati ya wareno waholanzi na waingereza tangu mwaka kampuni ya kiingereza ya india ya mashariki ilitawala kisiwa kama kituo cha safari za merikebu ya matanga kubwa kati ya uingereza afrika ya kusini na india kampuni ilianzisha mji wa jamestown na mashamba makubwa ya mboga kwa ajili ya mabaharia waliopita huko kwa ajili hiyo watumwa waafrika walipelekwa saint helena baada ya mwisho wa utumwa katika karne ya pia wafanyakazi wahindi wamadagaska na wachina jina la saint helena lilipata kujulikana kote duniani kutokana na kuwa mahali pa kufungwa kwa kaisari napoleon i wa ufaransa napoleon alikuwa kiongozi aliyeogopwa sana na kutawala sehemu kubwa ya ulaya kwa miaka kadhaa mwanzoni wa karne ya baada ya kushindwa mwaka huko lipsia alitakiwa kubaki kwenye kisiwa cha elba italia lakini alitoroka na kuanza vita upya baada ya kushindwa mara ya pili huko waterloo waingereza walimpeleka mahali pa mbali iwezekanavyo st helena mwaka hapo aliishi katika hali ya kufungwa akiwa na nyumba yake na watumishi wake lakini alipaswa kuongozana kisiwani na maafisa waingereza waliomfuata kila alikokwenda kwa ujumla waingereza walipeleka st helena wanajeshi pamoja na mabaharia wa kijeshi ili wamlinde napoleon wakiogopa majaribio ya wafaransa kumwondoa na kumrudisha katika hali ya uhuru napoleon alikufa mwaka akazikwa kisiwani lakini mwili wake ulihamishwa baadaye kwenda ufaransa alikopewa kaburi la heshima paris mjini ufaransa ilinunua baadaye nyumba alimoishi kutoka kwa uingereza kama makumbusho ya kitaifa pa ufaransa hadi leo kisiwa kinafikiwa kwa meli tu haina kiwanja cha ndege kikubwa lakini hakuna meli za tanga tena zinazohitaji kusimama st helena na kuchukua maji pamoja na chakula hivyo hali ya uchumi ni duni kuna uvuvi kidogo na utalii unaotegemea kumbukumbu ya napoleon kuna meli moja tu ya kuhudumia st helena na visiwa vingine inafika takriban mara mbili kwa mwezi muda wa safari kati ya st helena na namibia au afrika kusini ni siku au kwa ujumla kisiwa kinategemea misaada ya serikali ya uingereza jamestown ni bandari na mji mkuu wa eneo la ng ambo la uingereza lenye visiwa vidogo vya saint helena ascension na funguvisiwa ya tristan da cunha mji uko kisiwani st helena katika bahari ya atlantiki takriban km mbele ya pwani la angola idadi ya wakazi inakaribia jamestown ilianzishwa mwaka na kampuni ya kiingereza ya india ya mashariki miaka ya nyuma bandari ya jamestown ilikuwa kituo muhimu cha safari za jahazi kubwa kati ya uingereza afrika kusini na india jina limetokana na jina la mfalme james ii wa uingereza na uskoti james vii kama mfalme wa uskoti zamani wafanyabiashara wengi walipeleka dhahabu yao hadi st helena kwa sababu kisiwa kilikuwa na sifa ya kuwa mahali pa usalama kwa kutunza dhahabu haya yote imepungua hadi kupotea kabisa kwa sababu za mabadiliko ya teknolojia za benki na pia ya usafiri leo hii kuna meli tu ya rms st helena inayofika takriban mara kwa mwezi ikitumia siku kwa ajili ya safari hadi afrika kusini idadi ya wakazi wa jamestown imeendelea kupungua mji mwenyewe ni hasa barabara moja yenye nyumba za aina ya ujenzi wa kikoloni cha kiingereza 
